"ANAKATA ROHO TULIKUWA PALE" MABEYO AFICHUA SIRI NZITO SIKU YA MWISHO HAYATI MAGUFULI AKIWA WODINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #OFFTRACKTV #offtracktv #mabeyo #magufuli
    VIDEO HII NI KWA HISANI YA - #DAILY NEWS DIGITAL @DailyNewsDigital
    Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/c...
    KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
    PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
    / offtracktv
    Email | info@offtrack.co.tz
    🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
    🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 769 612 166)
    🔴 Email: info@offtrack.co.tz
    Www.offtrack.co.tz
    𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
    ...............................................................................................
    Subscribe: / offtracktv

Комментарии • 58

  • @Antelopeaccessories
    @Antelopeaccessories 3 месяца назад +4

    Dah HATUTAMSAHAU HUYU MWAMBA MAGUFULI 😢😢 MAANA SIO KWA TUNAYOPITIA SASA😢😢😢

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 4 месяца назад +5

    Ndugu Hadi watoto mke hawakujua ugonjwa Ni hatari sana

  • @Theironrod9373
    @Theironrod9373 3 месяца назад +3

    Unapolaumu kwa nini anacheka kumbuka huyu ni komando wa jeshi na aliyekufa ni mkuu wa majeshi.. na kifo jeshini ni jambo la kawaida na hivyo.. ni vyema mfanye Exegesis katika kumkoti mtu katika maelezo yake.. hapo ni background ndio inazungumza na sio tukio la msiba tu wa raisi

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 4 месяца назад +4

    Dr. Samia alipaswa kutangaza kifo Cha Rais JPM akiwa ameisha apa tayari kuwa Rais! Kuapishwa vipi mlitakiwa kusoma katiba sio kujadili na Kutumia busara! Pia mungeuliza Nchi zingine Kwa kupata UZOEFU, lakini nimegundua Mabeyo alitumia Hekima sana! RAIS anaugua Hadi kufa bila mwanafamilia yeyote hata mtoto wake kuwepo! Duh! JPM!

  • @KhadijaKhadija-zv8uo
    @KhadijaKhadija-zv8uo 3 месяца назад +2

    Huyu hayupo sawa kinacho chekesha sikuoni

  • @Cubakah234Bujirire
    @Cubakah234Bujirire 2 месяца назад +1

    Simuamini general. Haionekani anasema ukweli.

  • @minaaluwilo78
    @minaaluwilo78 3 месяца назад +1

    mungu hapangiwi

  • @JamalKhan-le9ud
    @JamalKhan-le9ud 4 месяца назад +3

    Sasa anacheka nini
    Hayo niyakuchekesha
    Kweli jamani?

  • @remiginatusmalale5336
    @remiginatusmalale5336 3 месяца назад +1

    Mh,inaumiza sana.R I P,JPM

  • @vannyk-jz7tf
    @vannyk-jz7tf 3 месяца назад +2

    Unafurahi kufa kwa mtu au una maana gani we baba

    • @RuthOmollo-e7y
      @RuthOmollo-e7y 3 месяца назад

      Pengine anacheka tu kwa machungu jamn 😢😢

  • @azizmasaba
    @azizmasaba 4 месяца назад +7

    General you are a man who loves your country so much

  • @SillaStephano
    @SillaStephano 4 месяца назад +1

    Kiukweli Mkuu upo vizuri kimafafanuzi, Mungu aiweke pema ROHO ya marehemu Rais wetu John Pombe Magufuri
    C

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 5 месяцев назад +2

    Nasubri sku niwe rais mimi watasema vizuri magufuli arikufaje na irikuwaje razima niware kichwa wote wario huska

  • @AbelAnthony-sw8si
    @AbelAnthony-sw8si 3 месяца назад

    Kuna kitu pale kimenipa mashaka sana

  • @AshuraIsa
    @AshuraIsa 3 месяца назад +1

    Unacheka nn ww mwenyewe utakufa huna hata huruma

  • @AshuraIsa
    @AshuraIsa 3 месяца назад +1

    Kip chakukuchekesha unashangaza ulimwengu hujafisha au hujui maumivu yakufisha

  • @moshintagata100
    @moshintagata100 4 месяца назад +2

    Cheka hatawewe mdaukifka kunawatu watacheka

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 4 месяца назад +3

    Mbona taifa halikupewa taarifa ya kuugua kwake??

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 4 месяца назад

    Umefafanua vizuri sana

  • @irenekalinga323
    @irenekalinga323 4 месяца назад +1

    Natamani kuhama nchi ya Tanzania
    Walitutangazia raisi alikuwa na tatizo la moyo Leo Na wewe unatueleza kitu tofauti sana ukweli uko wapi hapo?

  • @Peter-z5f6l
    @Peter-z5f6l 3 месяца назад

    Au ni ndugu mwafann

  • @AlickMulambia-vd7nt
    @AlickMulambia-vd7nt 4 месяца назад +2

    Magufuri arkua kabira gani

  • @mchugajikinyambo
    @mchugajikinyambo 3 месяца назад +1

    Matukio kahama

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 4 месяца назад

    Yaani mlibaki bila kujua kuwa JPM angeweza kufa! Mungeuliza if the president dies, what do you think could happen? Mungetengeneza shadow transition hapo mungejua kuwa baada ya JPM kufa haraka alitakiwa kuapa haraka mno! Ili atangaze kifo Cha RAIS

  • @FadhiliMtiri-zk5ne
    @FadhiliMtiri-zk5ne 4 месяца назад +1

    tunakushukuru cdf

  • @cylousjeremiah3768
    @cylousjeremiah3768 6 месяцев назад +2

    Jpm alijuwa kwasababu alikuwa mcha MUNGU malaika walimuletea taarifa

    • @Khmediy3241
      @Khmediy3241 6 месяцев назад +2

      Mchamungu anamjua mungu peke yake Wacha kujidanganya nyau ww

    • @waltersesuru43
      @waltersesuru43 6 месяцев назад

      Mwenyezi mungu.azidi kumubaliki.mama yetu samia suluhu asani.%%

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 4 месяца назад +1

    Kwanini mlifukuza watotowake namkewae nani anabaswakuwakalibu katiyamke nawatuwengine hamkuwasahihi katikohilo

  • @ElneySheddy-is1dv
    @ElneySheddy-is1dv 3 месяца назад +1

    Washenzi wanafk

  • @HamisiMgwigwi
    @HamisiMgwigwi 2 месяца назад

    nyimbo ya besiti nas

  • @SophiaMshwahiri-rg5zs
    @SophiaMshwahiri-rg5zs 3 месяца назад

    Mgufuli

  • @Eva-mn8ns
    @Eva-mn8ns 4 месяца назад +1

    But you could have informed his family

    • @copmbogo3694
      @copmbogo3694 4 месяца назад +1

      He said very well that they informed the family, learn to listen before you start unleashing your stupidity

  • @FatmaLyego
    @FatmaLyego 3 месяца назад

    Cyo kila kicheko kinamaanisha furaha

  • @mjinyaismail7742
    @mjinyaismail7742 4 месяца назад +1

    Kilio 😢😢

  • @moshintagata100
    @moshintagata100 4 месяца назад

    Anikatu menoyako ukumbuke hiyo nidhamana uliyo kuwanayo ilakunawatu unawakela bla kujuwa

  • @marypartson8409
    @marypartson8409 4 месяца назад

    mbn mnafanana na magufuli

  • @RatifaHamisi-oe9py
    @RatifaHamisi-oe9py 3 месяца назад

    Polen san

  • @mudihussein-ce8hp
    @mudihussein-ce8hp 4 месяца назад +1

    jpm2takukumbukami
    milele

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 3 месяца назад

    Mh 😭😭😭😭

  • @RajabuAlly-nt9zs
    @RajabuAlly-nt9zs 3 месяца назад

    Hutuba za j p m

  • @JOSEpHUMASUKA
    @JOSEpHUMASUKA 4 месяца назад

    Kismi

  • @AgustineBernado
    @AgustineBernado 4 месяца назад

    Duuuuuh

  • @dominickchristopher1669
    @dominickchristopher1669 3 месяца назад

    Unatukumbusha machungu

  • @ainnakabalimu880
    @ainnakabalimu880 3 месяца назад +1

    Maguli alikuw jembe

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 4 месяца назад +3

    Sasa unacheka nini

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome639 6 месяцев назад +2

    Kama Jenerali Mabeyo Anaukubali Utendaji wa Rais SAMIA nakusema Utendaji wake ni Mzuri Sana, Wengine wote Mnaobeza utendaji wa Rais SAMIA ni MBWA au NGURUWE

    • @joachimlema
      @joachimlema 4 месяца назад +1

      Kulingana na nafasi yake Ni Sheria kukubali Uongoz uliopo madarakan ili kuzuia machafuko

    • @abdallahmmary8591
      @abdallahmmary8591 2 месяца назад

      Mmmmm unajipa mamlaka na ulimi kuwapa watu majina ya viumbe waliombwa na wanatii kwa kumbwa kwao je wewe nimtu wa aina gani qu unaubora gani je ulitaka wewe kuwa mwanadamu au umejikuta umeumbwa na ALLAH