Hii nchi nigumu sana magufuri magufuri ariacha ujumbe nzito sana kuwa mtanikumbuka nakweli hakukoesa kabisa kusema tutamkumbuka sasa hivi hata wale waliyokuwa wanamchukiya nao pia wamembukuka
Hivi mbona hii ni kama Serikali ya kitoto kwa yale yanasemwa, yanayotendeka, kwani ndiyo Serikali ya Mwalimu Nyerere au vipi. Mbona mnajiita madictator? Mbona mnapayuka payuka ovyo? Kwa mfano Mange alianza kuongea tangu Awamu ya 4 mbona mlikuwa hamjali? Leo kuna nini mnaanza kumfuatilia Mange Kimangi? Kuna nini cha zaidi?
Arusha na Kilimanjaro ni karibu na Kenya. Hawa watu wajua kupigania haki kama Wakenya! Sisi watanzania ni maboya, Akina Makamba na CCM yote pia ni maboya including mwenyekiti wao pia ni maboya !!! A " boya" CEO appoints subordinates who are " maboya!!
We’re respectful President mama samia and everyone proud to have women like her may god bless her and protect her from all evil people!!
JANUARY MAKAMBA NAMBA MOJA ANAMTUKANA SANA SANA RAIS WETU NA PIA NI MROHO SANA SANA WA MADARAKA.....
Huyu mtangazaji kwanza akajifunze kiswahili ndio awe matangazaji Laisi, Alusha 😂😂😂😂😂
Hajakoseya mkuu wamkowa ndiye Raisi wa eneo Hilo naye kutowa talifa kwa Rais mkuu wake
Sema Arusha na sio Alisha, sema Rais na sio Lais, pimbi wew
Sasa nimeelewa ukweli wa kauli ya makonda
Hii nchi nigumu sana magufuri magufuri ariacha ujumbe nzito sana kuwa mtanikumbuka nakweli hakukoesa kabisa kusema tutamkumbuka sasa hivi hata wale waliyokuwa wanamchukiya nao pia wamembukuka
Alusha! Laisi ! Jifunze matamshi sahihi! 1:59
Ni ajab mtu anajijuwa hajui kutofautisha L na R lakini bado anashikilia kuwa msomaji wa habari. Hivi hawa jamaa hawaoni aubu .!!
WE LEMA ACHA UNAFIKI WE MWENYEW N MIONGON WA WATU MNAO TUKANA VIONGOZ MAJUKWAAN ULITAKIWA KUWA JERA WEW NA MWAMBUKUSI
Hahahaaa jamani makonda mmempa madalaka makubwa sana sana analewa hakuna mtu mbaya kama mfitinishi fukuza kabisa makonda sum baridi atawamaliza
Msipo angalia ccm mtaivuruga mnaenda kwenye uchaguzi sikilizeni ushauri wangu acheni hayo mambo
Mmoja wao ni wewe Lema.
Makonda ni mwehu hajui atendalo
WW NDIO MWEHU MAKONDA YUPO VIZURI JE HUYO LEMA YUKO SAHIHI JAMBAZI MKUBWA ACHENI KUFUATA UPEPO
Mm
Mkuu wa mkowa Wa Alusha?
January anataka uraisi kwanguvu ilaa anarohombayasana
Alusha, lais, mawazili,
bado unajiita mwandishi wa habari!!!
Hii ngumu sana kaka
Lema ni jasusi.
Ina maana chadema hamna agenda hadi Makonda aseme neno ndio na nyie mpate la kusema
Hujuagi tu kwamba ni wadandiaji wa agenda....endeleeni kupayuka wenzenu wanasonga😆😆
Makonda chapa kazi niko na wewe pamoja.mimi napenda mtu msemakweli halafu anaejisimamia makonda chapa kazi.
Makonda anawachonganisha viongozi
Acha uongo
Ukweli ukisemwa makonda ni mnafiki.
Lakini Lema mbona nawe unaanza kuacha roho ya Mungu unaanza kuwa mchonganishi?
Siasa mchezo wa kuigiza
Kwa wakati huo mlikuwa hamjawa wachawa?
Mnakumbuka hayati Magufuli walivyo mtukana .....
Sijaelewa point ya lema mwenzenu 😅😅😅
Viongozi wa Nchi muwe makini sana na Makonda. Huyu Makonda ni mnafiki mno
MNAFIKI NI LEMA AU HUONI ACHA MANENO,ANGEKUWA MWANAO UNGEMSIFU. IKO CKU MAKONDA ATAKUSIFIA JE UTAMKATAA ACHA MATUC
adabu hawana na nyinyi mnawaangalia badala kuwashuhulikia
RAIS....UNAKOSEA KUTAJA AU KUTAMKA....
Upuuzi mtupu
Heeee makubwa
Hivi mbona hii ni kama Serikali ya kitoto kwa yale yanasemwa, yanayotendeka, kwani ndiyo Serikali ya Mwalimu Nyerere au vipi. Mbona mnajiita madictator? Mbona mnapayuka payuka ovyo? Kwa mfano Mange alianza kuongea tangu Awamu ya 4 mbona mlikuwa hamjali? Leo kuna nini mnaanza kumfuatilia Mange Kimangi? Kuna nini cha zaidi?
😂😂😂😂
Unamatatizo ya R na L eeeh!
Tutaingia kwenye mtego wa Siasa kuvuruga nchi,Rais Ni taasisi tuiache Taasisi ifanye kazi yake
What is Lena done for the past few years is only drunk alcohol and playing games!!
Huyu nikiongoz wetu hatutokubali atukanwe wala achafuliwe kwani kufanya ivo nichanzo Cha kuvuruga amani ambayo nimuhimu kwetu
Siasa nimuchezo mchafu matuzi lazima hiyo ndio siasa
Arusha na Kilimanjaro ni karibu na Kenya.
Hawa watu wajua kupigania haki kama Wakenya!
Sisi watanzania ni maboya, Akina Makamba na CCM yote pia ni maboya including mwenyekiti wao pia ni maboya !!!
A " boya" CEO appoints subordinates who are " maboya!!
HATA WW NI BOYA KAKAE KENYA TZ AMANI TUNATAKA
Wasimtukane kiondoz wetu wakome