BALAA ZITO LEMA AWATAJA MAWAZIRI WANAOMTUKANA RAISI | MAKONDA ALISHINDWA KUWATAJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 апр 2024
  • #lemaawatajawanaomtukanaraisi #paulmakonda

Комментарии • 48

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 Месяц назад

    We’re respectful President mama samia and everyone proud to have women like her may god bless her and protect her from all evil people!!

  • @chemstry409
    @chemstry409 Месяц назад +3

    JANUARY MAKAMBA NAMBA MOJA ANAMTUKANA SANA SANA RAIS WETU NA PIA NI MROHO SANA SANA WA MADARAKA.....

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Месяц назад +2

    Huyu mtangazaji kwanza akajifunze kiswahili ndio awe matangazaji Laisi, Alusha 😂😂😂😂😂

    • @user-jd7xu3iw3n
      @user-jd7xu3iw3n Месяц назад

      Hajakoseya mkuu wamkowa ndiye Raisi wa eneo Hilo naye kutowa talifa kwa Rais mkuu wake

  • @pharleserasto3114
    @pharleserasto3114 Месяц назад +4

    Sema Arusha na sio Alisha, sema Rais na sio Lais, pimbi wew

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 Месяц назад +2

    Sasa nimeelewa ukweli wa kauli ya makonda

  • @CafeJohn-jz8ri
    @CafeJohn-jz8ri Месяц назад

    Hii nchi nigumu sana magufuri magufuri ariacha ujumbe nzito sana kuwa mtanikumbuka nakweli hakukoesa kabisa kusema tutamkumbuka sasa hivi hata wale waliyokuwa wanamchukiya nao pia wamembukuka

  • @kassimmwawado7002
    @kassimmwawado7002 Месяц назад +3

    Alusha! Laisi ! Jifunze matamshi sahihi! 1:59

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 Месяц назад

      Ni ajab mtu anajijuwa hajui kutofautisha L na R lakini bado anashikilia kuwa msomaji wa habari. Hivi hawa jamaa hawaoni aubu .!!

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Месяц назад +1

    WE LEMA ACHA UNAFIKI WE MWENYEW N MIONGON WA WATU MNAO TUKANA VIONGOZ MAJUKWAAN ULITAKIWA KUWA JERA WEW NA MWAMBUKUSI

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g Месяц назад

    Hahahaaa jamani makonda mmempa madalaka makubwa sana sana analewa hakuna mtu mbaya kama mfitinishi fukuza kabisa makonda sum baridi atawamaliza

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Месяц назад +1

    Msipo angalia ccm mtaivuruga mnaenda kwenye uchaguzi sikilizeni ushauri wangu acheni hayo mambo

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 Месяц назад +3

    Mmoja wao ni wewe Lema.

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Месяц назад +1

    Makonda ni mwehu hajui atendalo

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b Месяц назад

      WW NDIO MWEHU MAKONDA YUPO VIZURI JE HUYO LEMA YUKO SAHIHI JAMBAZI MKUBWA ACHENI KUFUATA UPEPO

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Месяц назад

    Mm

  • @amiroamiroboa8724
    @amiroamiroboa8724 Месяц назад

    Mkuu wa mkowa Wa Alusha?

  • @abashamad9929
    @abashamad9929 Месяц назад +1

    January anataka uraisi kwanguvu ilaa anarohombayasana

  • @dominickrukokelwa1284
    @dominickrukokelwa1284 Месяц назад +2

    Alusha, lais, mawazili,
    bado unajiita mwandishi wa habari!!!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Месяц назад +1

    Lema ni jasusi.

  • @SofiaMvungi-zu5tg
    @SofiaMvungi-zu5tg Месяц назад +2

    Ina maana chadema hamna agenda hadi Makonda aseme neno ndio na nyie mpate la kusema

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Месяц назад

      Hujuagi tu kwamba ni wadandiaji wa agenda....endeleeni kupayuka wenzenu wanasonga😆😆

  • @user-pg2wk7zi5q
    @user-pg2wk7zi5q Месяц назад

    Makonda chapa kazi niko na wewe pamoja.mimi napenda mtu msemakweli halafu anaejisimamia makonda chapa kazi.

  • @adamsanga062
    @adamsanga062 Месяц назад

    Makonda anawachonganisha viongozi

  • @MahiriChacha-tq4yq
    @MahiriChacha-tq4yq Месяц назад +1

    Acha uongo

  • @edwardbujiku-vn8xy
    @edwardbujiku-vn8xy Месяц назад

    Ukweli ukisemwa makonda ni mnafiki.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Lakini Lema mbona nawe unaanza kuacha roho ya Mungu unaanza kuwa mchonganishi?

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Месяц назад

    Siasa mchezo wa kuigiza

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Kwa wakati huo mlikuwa hamjawa wachawa?

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 Месяц назад

    Mnakumbuka hayati Magufuli walivyo mtukana .....

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 Месяц назад

    Sijaelewa point ya lema mwenzenu 😅😅😅

  • @JustinMkwanda
    @JustinMkwanda Месяц назад +1

    Viongozi wa Nchi muwe makini sana na Makonda. Huyu Makonda ni mnafiki mno

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b Месяц назад

      MNAFIKI NI LEMA AU HUONI ACHA MANENO,ANGEKUWA MWANAO UNGEMSIFU. IKO CKU MAKONDA ATAKUSIFIA JE UTAMKATAA ACHA MATUC

  • @mussabuhe8881
    @mussabuhe8881 Месяц назад

    adabu hawana na nyinyi mnawaangalia badala kuwashuhulikia

  • @chemstry409
    @chemstry409 Месяц назад

    RAIS....UNAKOSEA KUTAJA AU KUTAMKA....

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 Месяц назад

    Upuuzi mtupu

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад

    Heeee makubwa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Hivi mbona hii ni kama Serikali ya kitoto kwa yale yanasemwa, yanayotendeka, kwani ndiyo Serikali ya Mwalimu Nyerere au vipi. Mbona mnajiita madictator? Mbona mnapayuka payuka ovyo? Kwa mfano Mange alianza kuongea tangu Awamu ya 4 mbona mlikuwa hamjali? Leo kuna nini mnaanza kumfuatilia Mange Kimangi? Kuna nini cha zaidi?

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 Месяц назад

    😂😂😂😂

  • @SaidiAmiri-qv5ed
    @SaidiAmiri-qv5ed Месяц назад

    Unamatatizo ya R na L eeeh!

  • @MohamedMlangida
    @MohamedMlangida Месяц назад

    Tutaingia kwenye mtego wa Siasa kuvuruga nchi,Rais Ni taasisi tuiache Taasisi ifanye kazi yake

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 Месяц назад

    What is Lena done for the past few years is only drunk alcohol and playing games!!

  • @JumaabedNzota
    @JumaabedNzota Месяц назад

    Huyu nikiongoz wetu hatutokubali atukanwe wala achafuliwe kwani kufanya ivo nichanzo Cha kuvuruga amani ambayo nimuhimu kwetu

    • @MatikoMichael
      @MatikoMichael Месяц назад

      Siasa nimuchezo mchafu matuzi lazima hiyo ndio siasa

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Месяц назад

    Arusha na Kilimanjaro ni karibu na Kenya.
    Hawa watu wajua kupigania haki kama Wakenya!
    Sisi watanzania ni maboya, Akina Makamba na CCM yote pia ni maboya including mwenyekiti wao pia ni maboya !!!
    A " boya" CEO appoints subordinates who are " maboya!!

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b Месяц назад

      HATA WW NI BOYA KAKAE KENYA TZ AMANI TUNATAKA

  • @JumaabedNzota
    @JumaabedNzota Месяц назад +1

    Wasimtukane kiondoz wetu wakome