MNYUKANO MKALI BUNGENI, SERIKALI YASHAMBULIWA, "NITAKUTOA NJE, HUNA ADABU, RAIA WAMEUAWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 апр 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 227

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 20 дней назад +5

    VIVA MH. ESTER MATIKU....WATANZANIA TUMEKUELEWA.

  • @yusuphmsuya8336
    @yusuphmsuya8336 19 дней назад +7

    Zungu sio spika anaongoza kwa matakwa yake

  • @nghomanohosea9251
    @nghomanohosea9251 19 дней назад +2

    Penye ukweli tusitumie u babe, ester Yuko sawa hii ni kwa watanzania wote pasipo kuendelea mtu yeyote, pole dada nimekuelewa Sana Sasa umekua hongera sana

  • @SimonsamweliKivuyo
    @SimonsamweliKivuyo 19 дней назад +3

    Anahepa maswali Suma wanaua raia kila wakati hakuna hatua wana chukuliwa

  • @JumbeRichard
    @JumbeRichard 20 дней назад +4

    Esita ubarikiwe Kwa kweli Maana how wajamaa kwa kweli wanapiga sana watu risasi

  • @tonysadick5338
    @tonysadick5338 19 дней назад +3

    Watu wanakufa asilete masiara na dam ya watu polisi ni wakae vizuri na wana nchi

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 19 дней назад +3

    Mkisikia tumechoka tumechoka.Na hakuna ripoti mlileta kwa masilahi mazuri ya umma

  • @RamaOmari-ei9yk
    @RamaOmari-ei9yk 20 дней назад +7

    Zungu unazingua sanaa aisee tumia akili acha matisho

    • @Petro.John.
      @Petro.John. 16 дней назад

      Kabisa, kusema nitakutoa nje si jibu , hizo ni vitisho, ishu ni kutumia busara,nampenda sana Tulia Ackoson anatumia busara.

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 15 дней назад

      ​Anaezidiwa akili lazima atoe makucha kujilinda maana akili ndogo utamsikia kila mala akijilipua kama baluti maana hukosa hoja za busala kulinda enzi yake​@@Petro.John.

  • @elizabethmassi7327
    @elizabethmassi7327 18 дней назад +5

    huyu waziri nafasi aliyo nayo haimtoshi wenzie wanatoa hoja yenye msingi na yenye kitu kipo halafu anakwepa

    • @petermboje5839
      @petermboje5839 9 дней назад

      Huyu hafai kuwa waziri hii nafasi amepewa tu kwa ajiri ya

  • @PeterRhimo
    @PeterRhimo 9 дней назад

    Hongera ester kwa watetez wa wanyonge watu tumepoteza nguvu kazi vijana wengi sana

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 20 дней назад +4

    Kumbe ni majizi haya hayataku hoja nzito wanataka kusema ndio . Kuanzia leo nutamdharau mbunge yeyote nitakayemuona jimboni kwangu

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 8 дней назад

    Nyakoro Esther, ungeshikilia hiyo shilling hadi kieleweke. Ila hongera kwa kupigania haki za wananchi🇹🇿🇹🇿🦾🦾👏🏾👏🏾

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 20 дней назад +4

    Hawa wote ni wizi wa kodi tu mishahara ya wizi tu watu wanakufa njooni muone makaburi acheni utani....

  • @NemesiRabow
    @NemesiRabow 20 дней назад +5

    Esta mitano tena

  • @thomasmollel9465
    @thomasmollel9465 19 дней назад +1

    Hongera dada esta

  • @user-kx5dt5ih2i
    @user-kx5dt5ih2i 16 дней назад +1

    Esta matiko hongera sana,naomba namba yako

  • @calvinjoseph4278
    @calvinjoseph4278 15 дней назад +1

    Hongera mheshimiwa dada estar kwakusimama kwenye haki

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 20 дней назад +2

    Ki namama oyee safi sana.

  • @gwamakagwamaka
    @gwamakagwamaka 18 дней назад +3

    Kwani huyu zungu nimbunge wawananchi au nimbuge wa serikali maake kila sikuyeye anaitetea serikali Sasa najiuliza hili mbuge ni laserikali au wananchi sipika ziro mawaziri ziro yani hivyo tu

    • @mokeya
      @mokeya 15 дней назад

      Asante kwakuliona hilo.

  • @user-dn8dg2rl2q
    @user-dn8dg2rl2q 19 дней назад +2

    Waziri hajitambue anatetea wapofu hata mungu anamuona

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 20 дней назад +3

    Yaani mnajibu kisiasa huku watu wanauawa 😢 Mungu simama na Taifa lako

  • @SimonsamweliKivuyo
    @SimonsamweliKivuyo 19 дней назад +1

    Si kweli kwamba polisi hawaui raia wanaua

  • @diegoshanga8184
    @diegoshanga8184 19 дней назад +3

    Bwana waziri majibu mbona mepesi!! Watu wanakufa hukoo!!

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 19 дней назад +2

    Hakika,Matiko,na hawa wabunge wawili wa kike wako vizuri Mno, lakini huyo jamaa Hana hoja kbx

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 20 дней назад +3

    Bunge lipo Tupu wameenda wapi ?

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 19 дней назад

    Haki huinua Taifa,bali dhambi ni album ya watu wote, tuungane kuliweka vyema Taifa letu.Amen

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 19 дней назад +3

    Esta Matiko, Hongeraaa sana Mungu akubariki Mno,✌️✌️✌️

    • @jeremiahngoka4980
      @jeremiahngoka4980 18 дней назад

      Abarikiwe nn huyo?.Acha kumsifia upuuzi wezi wa kodi zetu hawa.Wabunge wa mchongo

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 День назад

    Namna majibu ya serikal yanavyotolewa ni wazi kuwa kuna tatizo na hamtaki kushindwaaa ila hamtaishi milele

  • @zephaniasirikwa7495
    @zephaniasirikwa7495 19 дней назад +2

    Hivi waziri anajibu swali au anapiga porojo bungeni?😮

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q 19 дней назад +1

    Muogopeni mungu polisi hawatendi hali wamekuwa sehem ya serikari na wawekezaji wanafanyakazi kwa maelekezo

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 19 дней назад +2

    Ukisema ukweli nakutoa nnje ikosiku yata warudia lema alisema. Kamuulize jonn heche Kwa mdogo wake opareshen tokomeza ilikuwaje

  • @ngotosilasi2099
    @ngotosilasi2099 20 дней назад +2

    Waone hadi aibu watu wamekufa sana fika ramadi au bunda uliza utalia

  • @jemeslaizer8436
    @jemeslaizer8436 20 дней назад +2

    Ni kweli inalinda ccm na wenye nguvu.

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 20 дней назад +5

    Uko sahihi dada yangu mungu akubariki sana askari wanapigia watu risasi kama wanyama tumechoka na CCM

    • @RamaNinga-jv2xw
      @RamaNinga-jv2xw 20 дней назад

      Bila ya kuwa mnafiki huwezi kuwa mfuasi wa CCM lazima uwe mnafiki ili upate kula.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 19 дней назад

      ​@@RamaNinga-jv2xw Polisi kupiga watu risasi na CCM kunahusiana je.

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 19 дней назад

      anaye ongoza selkari ni ccm je unakwepa vip hapo

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 15 дней назад

    Matico upo vizuri usitishike na usirudi nyuma mtetezi wa wanyonge

  • @augustinomhanje9225
    @augustinomhanje9225 20 дней назад +2

    Waziri unatakiwa kuelewa hoja. Issue ni wanakijiji wanaingiliwa maeno yake. Sasa suluhisho nini?. Ili kuepusha mauaji ya watu.

  • @JosephJon-wk6il
    @JosephJon-wk6il 20 дней назад +2

    Dada ukosawa kabisa hawezi kukueliwa kwasababu wanalala naulinzi masaa yote

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 16 дней назад

    Hapo umesema Mbunge kwenye madini watu wanauwawa sanaaaa wakati ni nchi yao

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 19 дней назад +2

    Hatupendi mnayoyafanya kwa watetezi

  • @ngotosilasi2099
    @ngotosilasi2099 20 дней назад +2

    Ww waziri mbona unajitoa hakili pia mbona mnakoromeana kunawatu wamepotea serengeti hata ndugu yetu ameishia huko mpaka leo ni miaka mitatu sasa

  • @evaemil856
    @evaemil856 20 дней назад +1

    Itawasilishwa kwa nini inachukuwa muda mrefu? Huyu waziri wa ulinzi Mungu anamuona. Na wote wanaotetea na kukwepa mauaji yaliyofanyika na yanayoendelea, Mungu anawaona.

  • @daudimwita-bk6mg
    @daudimwita-bk6mg 19 дней назад +1

    Hamna, katika hili la vyombo vya usalama kuwakatili wananchi Waziri using'ang'anie msimamo

  • @franciscoivo1591
    @franciscoivo1591 19 дней назад +2

    Waziri kilaza unajibuje swali

  • @thomasmollel9465
    @thomasmollel9465 19 дней назад

    Why you close mic?

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g 19 дней назад +1

    Upo sahihi dada yetu mbungee, esta!

  • @user-fu3hn1ms2j
    @user-fu3hn1ms2j 17 дней назад +1

    Hovyo

  • @sagamomattaro6568
    @sagamomattaro6568 19 дней назад

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @calvinlema6107
    @calvinlema6107 20 дней назад +1

    Aaahh!! Majibu hayaeleweki ...

  • @franciscoivo1591
    @franciscoivo1591 19 дней назад +2

    Zungu anaongea na wabunge km familia yake

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 18 дней назад +1

    Huyu hastahili kuwa waziri wa ulinzi anangalia upande mmoja wa shilling pamoja na mshahara wake

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc 19 дней назад +1

    Ni hatari wananchi yafaa tuamke kulinda uhai wetu wenyewe. Huyu waziri wa ndani haeleweki kabisa anatetea polisi tu kujilinda dhidi ya wananchi je wananchi wanapouawa na polisi wafanyeje.

  • @ngotosilasi2099
    @ngotosilasi2099 20 дней назад +2

    Naibu spika na mawazili sijui wanatokea burudi mimi siwaelewi

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 16 дней назад

    Naibu spika unapaswa kupumzika sasa umechoka! Umri ulionao sasa ni wa kulea vitukuu na virembwe, maana mwisho utatutukania wawakilishi wetu wenye nia njema kwa wananchi. Umri wako si wa kugombana na wabunge vijana ni kuwaonyesha njia..."Acha uchawa!"

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 17 часов назад

    Acha ujinga waziri pumba kabisa wanaua hadi wakata mkaa unakuja kusema pumba hivi😢😢😢

  • @petermabula4492
    @petermabula4492 19 дней назад +1

    Ee mungu atusaidie tumepata wengine ambao wataungana na jamii yetu ya kifugaj

  • @ALESIACHIJOKA
    @ALESIACHIJOKA 12 дней назад

    Zungu acha utemi fanya kazi wananchi tuelewe sisi tunawategemea kauli yako sio sahihi kwa wabunge wetu.

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 18 дней назад +1

    Huyu waziri huyu ndo shida ya hawa

  • @user-ku4gf8dc4i
    @user-ku4gf8dc4i 18 дней назад +1

    Mh. Masauni umekosa sifa ya kuwa waziri. Kama huwezi si ujiuzjlu tu.

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 19 дней назад +1

    Daaaaah.....! Mmmmh .. . ! Wmweeeeeeee . .. babu. . . Tulikosea kwa hapa tulijipiga kadi yangu ileile ..........sijui

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 16 дней назад

    Huyu waziri m as ni taka kweli. Hana Makini!

  • @EZZEMatelephone
    @EZZEMatelephone 16 дней назад

    Ndo Tanzania yetu ,,nisiongee nisije nikapotea ila maaskari wananyanyas wananchi atali,Wana tumia vyeo vyao

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 20 дней назад +2

    Mliwataka wenyewe, hayo ndio majibu yake

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl 18 дней назад +1

    Uzee umezidi inafaa jimbo limfchie aibu mzee mwisho atapiga wabunge.

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 18 дней назад +1

    Waziri hauko makini

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 20 дней назад +3

    Huyu hafai kuwa kwenye hicho kiti

  • @JumaJuma-js2sm
    @JumaJuma-js2sm 19 дней назад +1

    Kweli wanaua

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo7739 18 дней назад

    HUYU WAZIRI HAFAI HATA KIDOGO, KUNA MATUKIO ARUSHA, MBEYA, MOROGORO NA HATA DAR..
    NI VYEMA MTETEE MWANANCHI, SIO WANANCHI WANAVURUGWA NA WAZIRI HUSIKA ANAPUUZA TU...
    INAUMA SANA, WATU WANABAMBIKIWA KESI NINYI HAMUONIIIIIIIIIII
    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 19 дней назад +1

    Yaaani Zungu sasa ndio anajipambanua !😢 Tuhitaji ukombozi😅

  • @Emmanuelilemomo2024
    @Emmanuelilemomo2024 20 дней назад +2

    Matiko ajafajiwa haki.kabiza

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 16 дней назад

    Sasa,mnatenda haki kwa kukataa utendaji mbovu wa serkali.Eneo la usalama na amani ya raia limezorota sana hapa Tanzania kv:askari wa mbugani,n.k.

  • @abadimapunda7218
    @abadimapunda7218 18 дней назад

    Waziri unatakiwa kuelewa kwa kiasi gani watu wanaumia katika nchi Yao na sio kutuletea siasa ambayo haina msingi

  • @nizigiyimanaibrahim2329
    @nizigiyimanaibrahim2329 19 дней назад +1

    Waziri nenda kituo cha polisikilchopo nyakanazi(w) biharamro wanavoua watu wanavombambikizia makesi watu

  • @William-ki1st
    @William-ki1st 14 дней назад

    mungu akuinuw dd esta usiogope kuongea ukweli mungu naye ni mukweli wapolis wanaua raia

  • @ZerahSchwebence
    @ZerahSchwebence 14 дней назад

    😢😢waziri chupa inapoza unachokwepa hapo n kipi Dada ester Umemalza mama ujumbe umefika sio kwamba hawajui

  • @William-ki1st
    @William-ki1st 14 дней назад

    mungu akuinuw dd esta usiogope kuongea ukweli mungu maybe ni mukweli

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 16 дней назад

    Kawaida yao kua raia,wa Tz mjipange, mipira inapigwa nje,hakuna uchunguz,

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa5496 17 дней назад

    Mbunge akisikilizwa nadhani jambo jema sana kwani anawakilisha hoja za wananchi, kanuni zinalinda hadhi ya bunge, wakati mwingine hatufurahishwi na kiti kinavyoshughulika na hoja za mbunge mmoja mmoja.

  • @ml-elisante-kwayayavijanai6570
    @ml-elisante-kwayayavijanai6570 8 дней назад

    Kuna mambo mengi sana yanafunikwa funikwa tuu 😢 dah

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 15 дней назад

    Ni kweli wanauwa raiya badala ya kuwalinda na mali zake

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 19 дней назад +1

    Sasa askari wapo kwaajili ya kulinda maslahi ya viongozi sio wananchi,wananchi wakiwa na matukio habari mahakamani na kuhukumiwa haraka ila wao sasa huyu kadanganya nyumba rais kasema ajengewe kumbe sio hawa wanamtukana mama huyu kaiba hela ila anadai ya mboga anasahau ni kodi za wananchi zinatakiwa zije kwenye mrejesho mzuri sasa sijajua hawa ni wakina nani hawaadabishwi wakifanya makosa

  • @mackarioussmakuri6147
    @mackarioussmakuri6147 19 дней назад +1

    Kwanini hoja ikitolewa bungeni wabunge hupiga makofi kama vile kushangilia? Naomba mnieleweshe hili,maana jambo liwe halina mantiki wanapiga makofi liwe na mantiki wanapiga makofi sasa hapo huwa inakuweje?

  • @user-ku4gf8dc4i
    @user-ku4gf8dc4i 18 дней назад +1

    Mh. Zungu unatukosea heshima sisi watanzania. Mbona unaongoza bunge kama unaongoza familia? Shida ni nini kwenye hixho kiti? Si kuna kanuni? Nakushauri ni vyema ukatumia kanuni kuliko kujiendea tu ndugu yangu. Mtaleta machafuko ndani ya taifa kwa kuwapa Askari na wageni kupaumbele kwa kila jambo. Hamuoni kama wananchi watanzania wa sehemu kubwa ya Tanzania wamewacjoka?

  • @naphtalkingori8811
    @naphtalkingori8811 5 дней назад

    Huyu waziri anabore sana.

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 20 дней назад +2

    Wizi mtupu

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b 19 дней назад +1

    Wewe zungu hufai kabisa

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 19 дней назад +1

    Wabunge wa ccm hawapo wenyewe Wana gonga meza tuu

  • @mokeya
    @mokeya 15 дней назад

    Wapo waliwatishia wenzao hvhv hatimae leo hii wamejitoa kwenye mfumo wenyewe . Na ww zungu utamaliza tu muda wako na atakaa mwingine ni suala la muda.

  • @danielreuben4177
    @danielreuben4177 12 дней назад

    Ajirinde kwanza alinde na wengine, mngu anakuona mh waziri

  • @faustinemangula8424
    @faustinemangula8424 День назад

    Mnayafikisha mahakamani? Waziri maelezo yake ni kulinda zaidi asikali kuliko raia

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 6 дней назад

    Huyu siyo waziri bali chawa kabisa yuko hapo . Gwanda, Sanane , na wote walipotea siyo wanadamu? Bali mnatetea mauwaji bunge gani hili. Mnajua yote Ester anayoyasema.

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 11 дней назад

    Hakuna mtu anayesema au anayetaka bungee liingilie vyombo vya dola hoja ni kuna baadhi ya maaskali sio waaminifu

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo7739 18 дней назад +1

    NDIYOOOOOOOOOOOOOO
    WANANCHI KAZI TUNAYO
    DADA ESTER MATIKU AMESEMA KWA UCHUNGU KUWA ""WANANCHI NDIYO TUTAKAO PIMA"
    TATIZO WAPINZANI WANAOWEZA KULETA MABADILIKO YA KWELI KABIIIIIISAA SIWAONI
    DAAAAAH😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @rushydahmed9179
    @rushydahmed9179 20 дней назад +1

    katika mawaziri wa samia wasiojitambua, huyu masauni ni kinyesi hajui hata kupangua hoja huyu ni mhalifu wa kufoji umri ndio analojua

  • @MussaNgosi-tk6cu
    @MussaNgosi-tk6cu 16 дней назад

    Mbona mnakuwa wakali selikali munapoammbiwa ukweli

  • @JosephJon-wk6il
    @JosephJon-wk6il 20 дней назад +1

    amani inatoka wapi wewe nawakati watu wanauwawa kufai kuwawazili ulaniwe namungu utumbuliwe wangeuwa dadayako ungekubalu

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 18 дней назад

    It's fine mawaziri Kama hayo mawaziri Kama hayo Kama si watoto wao au watoto wa watoto wao wataikutana na Mambo Kama hayo yanayo wafumbia macho

  • @mokeya
    @mokeya 15 дней назад

    Ingekuwa inafaa kutukana viongz kwa mitandao bas ningeanza na huyu waziri . Anajibu kirahisi tu masuala ya uhai ase

  • @AugustinoPeter-rn9bn
    @AugustinoPeter-rn9bn 19 дней назад +1

    Hakuna kitu hapo nyingi shibeni tu

  • @prophetjohnmasso186
    @prophetjohnmasso186 20 дней назад +1

    Hawa askari Wana wake na watoto pia na Wana wazazi wakati mwingine raia waheshimu vyombo vya usalama maana vipo kwa ajili Yao....Kuna askari waliuliwa mbona hamkemeo wale wanawadhuru ?tuwapende askari wetu na kuwaheshimu

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 19 дней назад +2

    Hili lizee linakera Sana, kwanza umekuwa mzee mpaka unafanywa Babu cheza

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 16 дней назад

      Wewe tukupeleke ujezi huku kwenye mambo ya kisheriya aje kabudi