Penye ukweli tusitumie u babe, ester Yuko sawa hii ni kwa watanzania wote pasipo kuendelea mtu yeyote, pole dada nimekuelewa Sana Sasa umekua hongera sana
Anaezidiwa akili lazima atoe makucha kujilinda maana akili ndogo utamsikia kila mala akijilipua kama baluti maana hukosa hoja za busala kulinda enzi yake@@Petro.John.
Kwani huyu zungu nimbunge wawananchi au nimbuge wa serikali maake kila sikuyeye anaitetea serikali Sasa najiuliza hili mbuge ni laserikali au wananchi sipika ziro mawaziri ziro yani hivyo tu
Itawasilishwa kwa nini inachukuwa muda mrefu? Huyu waziri wa ulinzi Mungu anamuona. Na wote wanaotetea na kukwepa mauaji yaliyofanyika na yanayoendelea, Mungu anawaona.
Ni hatari wananchi yafaa tuamke kulinda uhai wetu wenyewe. Huyu waziri wa ndani haeleweki kabisa anatetea polisi tu kujilinda dhidi ya wananchi je wananchi wanapouawa na polisi wafanyeje.
Naibu spika unapaswa kupumzika sasa umechoka! Umri ulionao sasa ni wa kulea vitukuu na virembwe, maana mwisho utatutukania wawakilishi wetu wenye nia njema kwa wananchi. Umri wako si wa kugombana na wabunge vijana ni kuwaonyesha njia..."Acha uchawa!"
HUYU WAZIRI HAFAI HATA KIDOGO, KUNA MATUKIO ARUSHA, MBEYA, MOROGORO NA HATA DAR.. NI VYEMA MTETEE MWANANCHI, SIO WANANCHI WANAVURUGWA NA WAZIRI HUSIKA ANAPUUZA TU... INAUMA SANA, WATU WANABAMBIKIWA KESI NINYI HAMUONIIIIIIIIIII 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mbunge akisikilizwa nadhani jambo jema sana kwani anawakilisha hoja za wananchi, kanuni zinalinda hadhi ya bunge, wakati mwingine hatufurahishwi na kiti kinavyoshughulika na hoja za mbunge mmoja mmoja.
Sasa askari wapo kwaajili ya kulinda maslahi ya viongozi sio wananchi,wananchi wakiwa na matukio habari mahakamani na kuhukumiwa haraka ila wao sasa huyu kadanganya nyumba rais kasema ajengewe kumbe sio hawa wanamtukana mama huyu kaiba hela ila anadai ya mboga anasahau ni kodi za wananchi zinatakiwa zije kwenye mrejesho mzuri sasa sijajua hawa ni wakina nani hawaadabishwi wakifanya makosa
Kwanini hoja ikitolewa bungeni wabunge hupiga makofi kama vile kushangilia? Naomba mnieleweshe hili,maana jambo liwe halina mantiki wanapiga makofi liwe na mantiki wanapiga makofi sasa hapo huwa inakuweje?
Mh. Zungu unatukosea heshima sisi watanzania. Mbona unaongoza bunge kama unaongoza familia? Shida ni nini kwenye hixho kiti? Si kuna kanuni? Nakushauri ni vyema ukatumia kanuni kuliko kujiendea tu ndugu yangu. Mtaleta machafuko ndani ya taifa kwa kuwapa Askari na wageni kupaumbele kwa kila jambo. Hamuoni kama wananchi watanzania wa sehemu kubwa ya Tanzania wamewacjoka?
Huyu siyo waziri bali chawa kabisa yuko hapo . Gwanda, Sanane , na wote walipotea siyo wanadamu? Bali mnatetea mauwaji bunge gani hili. Mnajua yote Ester anayoyasema.
NDIYOOOOOOOOOOOOOO WANANCHI KAZI TUNAYO DADA ESTER MATIKU AMESEMA KWA UCHUNGU KUWA ""WANANCHI NDIYO TUTAKAO PIMA" TATIZO WAPINZANI WANAOWEZA KULETA MABADILIKO YA KWELI KABIIIIIISAA SIWAONI DAAAAAH😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hawa askari Wana wake na watoto pia na Wana wazazi wakati mwingine raia waheshimu vyombo vya usalama maana vipo kwa ajili Yao....Kuna askari waliuliwa mbona hamkemeo wale wanawadhuru ?tuwapende askari wetu na kuwaheshimu
VIVA MH. ESTER MATIKU....WATANZANIA TUMEKUELEWA.
Zungu sio spika anaongoza kwa matakwa yake
Penye ukweli tusitumie u babe, ester Yuko sawa hii ni kwa watanzania wote pasipo kuendelea mtu yeyote, pole dada nimekuelewa Sana Sasa umekua hongera sana
Anahepa maswali Suma wanaua raia kila wakati hakuna hatua wana chukuliwa
Esita ubarikiwe Kwa kweli Maana how wajamaa kwa kweli wanapiga sana watu risasi
Watu wanakufa asilete masiara na dam ya watu polisi ni wakae vizuri na wana nchi
Mkisikia tumechoka tumechoka.Na hakuna ripoti mlileta kwa masilahi mazuri ya umma
Zungu unazingua sanaa aisee tumia akili acha matisho
Kabisa, kusema nitakutoa nje si jibu , hizo ni vitisho, ishu ni kutumia busara,nampenda sana Tulia Ackoson anatumia busara.
Anaezidiwa akili lazima atoe makucha kujilinda maana akili ndogo utamsikia kila mala akijilipua kama baluti maana hukosa hoja za busala kulinda enzi yake@@Petro.John.
huyu waziri nafasi aliyo nayo haimtoshi wenzie wanatoa hoja yenye msingi na yenye kitu kipo halafu anakwepa
Huyu hafai kuwa waziri hii nafasi amepewa tu kwa ajiri ya
Hongera ester kwa watetez wa wanyonge watu tumepoteza nguvu kazi vijana wengi sana
Kumbe ni majizi haya hayataku hoja nzito wanataka kusema ndio . Kuanzia leo nutamdharau mbunge yeyote nitakayemuona jimboni kwangu
Nyakoro Esther, ungeshikilia hiyo shilling hadi kieleweke. Ila hongera kwa kupigania haki za wananchi🇹🇿🇹🇿🦾🦾👏🏾👏🏾
Hawa wote ni wizi wa kodi tu mishahara ya wizi tu watu wanakufa njooni muone makaburi acheni utani....
Esta mitano tena
Hongera dada esta
Esta matiko hongera sana,naomba namba yako
Hongera mheshimiwa dada estar kwakusimama kwenye haki
Ki namama oyee safi sana.
Kwani huyu zungu nimbunge wawananchi au nimbuge wa serikali maake kila sikuyeye anaitetea serikali Sasa najiuliza hili mbuge ni laserikali au wananchi sipika ziro mawaziri ziro yani hivyo tu
Asante kwakuliona hilo.
Waziri hajitambue anatetea wapofu hata mungu anamuona
Yaani mnajibu kisiasa huku watu wanauawa 😢 Mungu simama na Taifa lako
WATU HAWANA HOFU YA MUNGU
Bunge lakihuni n
Si kweli kwamba polisi hawaui raia wanaua
Bwana waziri majibu mbona mepesi!! Watu wanakufa hukoo!!
Hakika,Matiko,na hawa wabunge wawili wa kike wako vizuri Mno, lakini huyo jamaa Hana hoja kbx
Bunge lipo Tupu wameenda wapi ?
Haki huinua Taifa,bali dhambi ni album ya watu wote, tuungane kuliweka vyema Taifa letu.Amen
Esta Matiko, Hongeraaa sana Mungu akubariki Mno,✌️✌️✌️
Abarikiwe nn huyo?.Acha kumsifia upuuzi wezi wa kodi zetu hawa.Wabunge wa mchongo
Namna majibu ya serikal yanavyotolewa ni wazi kuwa kuna tatizo na hamtaki kushindwaaa ila hamtaishi milele
Hivi waziri anajibu swali au anapiga porojo bungeni?😮
Muogopeni mungu polisi hawatendi hali wamekuwa sehem ya serikari na wawekezaji wanafanyakazi kwa maelekezo
Ukisema ukweli nakutoa nnje ikosiku yata warudia lema alisema. Kamuulize jonn heche Kwa mdogo wake opareshen tokomeza ilikuwaje
Waone hadi aibu watu wamekufa sana fika ramadi au bunda uliza utalia
Ni kweli inalinda ccm na wenye nguvu.
Uko sahihi dada yangu mungu akubariki sana askari wanapigia watu risasi kama wanyama tumechoka na CCM
Bila ya kuwa mnafiki huwezi kuwa mfuasi wa CCM lazima uwe mnafiki ili upate kula.
@@RamaNinga-jv2xw Polisi kupiga watu risasi na CCM kunahusiana je.
anaye ongoza selkari ni ccm je unakwepa vip hapo
Matico upo vizuri usitishike na usirudi nyuma mtetezi wa wanyonge
Waziri unatakiwa kuelewa hoja. Issue ni wanakijiji wanaingiliwa maeno yake. Sasa suluhisho nini?. Ili kuepusha mauaji ya watu.
Dada ukosawa kabisa hawezi kukueliwa kwasababu wanalala naulinzi masaa yote
Hapo umesema Mbunge kwenye madini watu wanauwawa sanaaaa wakati ni nchi yao
Hatupendi mnayoyafanya kwa watetezi
Ww waziri mbona unajitoa hakili pia mbona mnakoromeana kunawatu wamepotea serengeti hata ndugu yetu ameishia huko mpaka leo ni miaka mitatu sasa
Itawasilishwa kwa nini inachukuwa muda mrefu? Huyu waziri wa ulinzi Mungu anamuona. Na wote wanaotetea na kukwepa mauaji yaliyofanyika na yanayoendelea, Mungu anawaona.
Hamna, katika hili la vyombo vya usalama kuwakatili wananchi Waziri using'ang'anie msimamo
Waziri kilaza unajibuje swali
Why you close mic?
Upo sahihi dada yetu mbungee, esta!
Hovyo
👏👏👏👏👏👏👏
Aaahh!! Majibu hayaeleweki ...
Zungu anaongea na wabunge km familia yake
Huyu hastahili kuwa waziri wa ulinzi anangalia upande mmoja wa shilling pamoja na mshahara wake
Ni hatari wananchi yafaa tuamke kulinda uhai wetu wenyewe. Huyu waziri wa ndani haeleweki kabisa anatetea polisi tu kujilinda dhidi ya wananchi je wananchi wanapouawa na polisi wafanyeje.
Naibu spika na mawazili sijui wanatokea burudi mimi siwaelewi
Naibu spika unapaswa kupumzika sasa umechoka! Umri ulionao sasa ni wa kulea vitukuu na virembwe, maana mwisho utatutukania wawakilishi wetu wenye nia njema kwa wananchi. Umri wako si wa kugombana na wabunge vijana ni kuwaonyesha njia..."Acha uchawa!"
Acha ujinga waziri pumba kabisa wanaua hadi wakata mkaa unakuja kusema pumba hivi😢😢😢
Ee mungu atusaidie tumepata wengine ambao wataungana na jamii yetu ya kifugaj
Zungu acha utemi fanya kazi wananchi tuelewe sisi tunawategemea kauli yako sio sahihi kwa wabunge wetu.
Huyu waziri huyu ndo shida ya hawa
Mh. Masauni umekosa sifa ya kuwa waziri. Kama huwezi si ujiuzjlu tu.
Daaaaah.....! Mmmmh .. . ! Wmweeeeeeee . .. babu. . . Tulikosea kwa hapa tulijipiga kadi yangu ileile ..........sijui
Huyu waziri m as ni taka kweli. Hana Makini!
Ndo Tanzania yetu ,,nisiongee nisije nikapotea ila maaskari wananyanyas wananchi atali,Wana tumia vyeo vyao
Mliwataka wenyewe, hayo ndio majibu yake
Uzee umezidi inafaa jimbo limfchie aibu mzee mwisho atapiga wabunge.
Waziri hauko makini
Huyu hafai kuwa kwenye hicho kiti
Nani hm
Waziri hana.majibu sahihi.
Kweli wanaua
HUYU WAZIRI HAFAI HATA KIDOGO, KUNA MATUKIO ARUSHA, MBEYA, MOROGORO NA HATA DAR..
NI VYEMA MTETEE MWANANCHI, SIO WANANCHI WANAVURUGWA NA WAZIRI HUSIKA ANAPUUZA TU...
INAUMA SANA, WATU WANABAMBIKIWA KESI NINYI HAMUONIIIIIIIIIII
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yaaani Zungu sasa ndio anajipambanua !😢 Tuhitaji ukombozi😅
Matiko ajafajiwa haki.kabiza
Sasa,mnatenda haki kwa kukataa utendaji mbovu wa serkali.Eneo la usalama na amani ya raia limezorota sana hapa Tanzania kv:askari wa mbugani,n.k.
Waziri unatakiwa kuelewa kwa kiasi gani watu wanaumia katika nchi Yao na sio kutuletea siasa ambayo haina msingi
Waziri nenda kituo cha polisikilchopo nyakanazi(w) biharamro wanavoua watu wanavombambikizia makesi watu
mungu akuinuw dd esta usiogope kuongea ukweli mungu naye ni mukweli wapolis wanaua raia
😢😢waziri chupa inapoza unachokwepa hapo n kipi Dada ester Umemalza mama ujumbe umefika sio kwamba hawajui
mungu akuinuw dd esta usiogope kuongea ukweli mungu maybe ni mukweli
Kawaida yao kua raia,wa Tz mjipange, mipira inapigwa nje,hakuna uchunguz,
Mbunge akisikilizwa nadhani jambo jema sana kwani anawakilisha hoja za wananchi, kanuni zinalinda hadhi ya bunge, wakati mwingine hatufurahishwi na kiti kinavyoshughulika na hoja za mbunge mmoja mmoja.
Kuna mambo mengi sana yanafunikwa funikwa tuu 😢 dah
Ni kweli wanauwa raiya badala ya kuwalinda na mali zake
Sasa askari wapo kwaajili ya kulinda maslahi ya viongozi sio wananchi,wananchi wakiwa na matukio habari mahakamani na kuhukumiwa haraka ila wao sasa huyu kadanganya nyumba rais kasema ajengewe kumbe sio hawa wanamtukana mama huyu kaiba hela ila anadai ya mboga anasahau ni kodi za wananchi zinatakiwa zije kwenye mrejesho mzuri sasa sijajua hawa ni wakina nani hawaadabishwi wakifanya makosa
Kwanini hoja ikitolewa bungeni wabunge hupiga makofi kama vile kushangilia? Naomba mnieleweshe hili,maana jambo liwe halina mantiki wanapiga makofi liwe na mantiki wanapiga makofi sasa hapo huwa inakuweje?
Mh. Zungu unatukosea heshima sisi watanzania. Mbona unaongoza bunge kama unaongoza familia? Shida ni nini kwenye hixho kiti? Si kuna kanuni? Nakushauri ni vyema ukatumia kanuni kuliko kujiendea tu ndugu yangu. Mtaleta machafuko ndani ya taifa kwa kuwapa Askari na wageni kupaumbele kwa kila jambo. Hamuoni kama wananchi watanzania wa sehemu kubwa ya Tanzania wamewacjoka?
Wamechoka?
Huyu waziri anabore sana.
Wizi mtupu
Wewe zungu hufai kabisa
Wabunge wa ccm hawapo wenyewe Wana gonga meza tuu
Wapo waliwatishia wenzao hvhv hatimae leo hii wamejitoa kwenye mfumo wenyewe . Na ww zungu utamaliza tu muda wako na atakaa mwingine ni suala la muda.
Ajirinde kwanza alinde na wengine, mngu anakuona mh waziri
Mnayafikisha mahakamani? Waziri maelezo yake ni kulinda zaidi asikali kuliko raia
Huyu siyo waziri bali chawa kabisa yuko hapo . Gwanda, Sanane , na wote walipotea siyo wanadamu? Bali mnatetea mauwaji bunge gani hili. Mnajua yote Ester anayoyasema.
Hakuna mtu anayesema au anayetaka bungee liingilie vyombo vya dola hoja ni kuna baadhi ya maaskali sio waaminifu
NDIYOOOOOOOOOOOOOO
WANANCHI KAZI TUNAYO
DADA ESTER MATIKU AMESEMA KWA UCHUNGU KUWA ""WANANCHI NDIYO TUTAKAO PIMA"
TATIZO WAPINZANI WANAOWEZA KULETA MABADILIKO YA KWELI KABIIIIIISAA SIWAONI
DAAAAAH😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Km huwaoni mbadala shikilia hapo hapo!
katika mawaziri wa samia wasiojitambua, huyu masauni ni kinyesi hajui hata kupangua hoja huyu ni mhalifu wa kufoji umri ndio analojua
Mbona mnakuwa wakali selikali munapoammbiwa ukweli
amani inatoka wapi wewe nawakati watu wanauwawa kufai kuwawazili ulaniwe namungu utumbuliwe wangeuwa dadayako ungekubalu
It's fine mawaziri Kama hayo mawaziri Kama hayo Kama si watoto wao au watoto wa watoto wao wataikutana na Mambo Kama hayo yanayo wafumbia macho
Ingekuwa inafaa kutukana viongz kwa mitandao bas ningeanza na huyu waziri . Anajibu kirahisi tu masuala ya uhai ase
Hakuna kitu hapo nyingi shibeni tu
Hawa askari Wana wake na watoto pia na Wana wazazi wakati mwingine raia waheshimu vyombo vya usalama maana vipo kwa ajili Yao....Kuna askari waliuliwa mbona hamkemeo wale wanawadhuru ?tuwapende askari wetu na kuwaheshimu
Hili lizee linakera Sana, kwanza umekuwa mzee mpaka unafanywa Babu cheza
Wewe tukupeleke ujezi huku kwenye mambo ya kisheriya aje kabudi