We Estar mwaka 2025 njoo ugombee jimboni kwetu bunda vijijini maana mmbunge wajimbo letu hana anachokifanya jimbo limepoa .kazi yake nikununulia Wazee maandazi nakahawa na soda .anatafuna pesa zajimbo tu .
Mwanachi wa kawaida akilaza deni la mwezi mmoja anakatiwa maji kwa deni la lisilo fikia hats tsh elfu 50 iweje hao wa mamilioni hamkati maji ktk ofisi zao?
Mama yetu mpendwa chukua hatua kwa hawa majambazi wa nchi hii? Wanatudhulumu sisi wananchi wanyonge wavuja jasho ambao hatujui hata kula yetu ya siku, mheshimiwa rais hii ni dhulma kwa watanzania wanyonge
Sasa mwizi anaenda kulipia bill? Ukoo wa panya unalipia mahindi waliokula stoo? Hii ni serikali au genge la wezi? Ipo siku laana ya viongozi wetu itawatafuna wao na vizazi vyao.
Mbona Barabara.za.kwao pangani Tanga pongwe tongoni maguzoni.korogwe.hazijengwi kwa.lami hamnakitu hao
Uko vizur mheshiwa Bulaya, kuna wabunge wako serious bungeni na sio kuuza sura
SAFI SANA WE ESTA BULAYA, DAM YA MARA HIYOO, HONGERA KWA KAZI NZURI
Hatari kweli kweli. Sisi wananchi wa kawaida ndo tunaonewa kwenye Nchi hii.
Ni kweli sana unayose ma esta bulaya aweso ni mnyenyekevu sana hajavaa cheo
Esther Bulaya sijawahi kuchoka kusikiliza hoja zako bungeni
huko vizuri mbunge
Ester apewe maua yake na miti na product nyingine za kilimo
Estar hongera kwa kazi nzuri sana Kuna wabunge wengine hawaongei waache ububu hotel 77 madai yetu hatujalipwa mhe Ester tutetee Arusha hawaongei
Ester na Halima ni majembe kweli kweli.Njooni Chadema.
Mama kuhus maji umeongea point na Waziri kakuckia kwa makini hyo ndo raha ya kuwa mtanzania .Uweso godbless u
Yani hua nikiwaona hao wa dada Halima na Ester hua nafurahi sana wanavyo sumbua ccm bungeni
Kazi ya kudai watu wa chini na wanyonge tu.Ongera dada👍👍👍❤❤
Esther Uko vizuri .
Ester Bulaya mwanamke jasiri
We Estar mwaka 2025 njoo ugombee jimboni kwetu bunda vijijini maana mmbunge wajimbo letu hana anachokifanya jimbo limepoa .kazi yake nikununulia Wazee maandazi nakahawa na soda .anatafuna pesa zajimbo tu .
Safi sanaaa ww ni Jasiri sana
Hongera sana ester umenifurahisha sana ,ingekuwa raia angekatiwa maji tena kwa kiasi kidogo tu ,
Aweso namkubali japo mi sio ccm
sisi Kama hatujalipa mwezi Moja tunakatiwa
Ester Uko vzr
Nimekupenda bureee
Uliyosema yote nikweli kbs
Bunda stor Na nyamakokoto maji yanapotea sanaaaaaaa
Nakupongeza sana mwana mke
Jasiri wambie kabisa ukuchini
Tunateseka sana
Mpigieni makofi AWESO hata kama hamtaki ila mkuu Aweso yuko vizuri sana kumbe Ester bulaya anaona kama ninavyoona
Kweli Aweso anapiga kazi
Aweso ni mtu safi SANASANA, actually watukutoka tanga ni watu safi na wasio na Tamaa
Apana umeferi
Nampenda Sana uweso jamaniii nampenda ester jamaniii nawapenda sanaaaaaaaaaaa
Asenga yuko vizuri ulanga poleni hamna mwakilishi
Wakakatiwe na nyumbani kwao
Mwigulu ni mpumbavu sana yaani kiufupi ni kero katika taifa letu
Lkn waziri Wa fedha ww
Yes aweso yupo vzr
Asante Ester wapehabari hao wamezidi kutubana bhana wengi wanajipenda wenyewe
Ni swali nzuri sana Aksante sana Mweheshimiwa Ester Bulaya.Mchango wako ni safi sana
Hongera bulaya
Hizi jembe hiziii, Ester na Halima Mdee,
Wanawake majasiri kama hawa ni wachache hapa nchini
Nakupenda Mama
Wambie hao wamekosa haya hoo wala aibu hamna kazi kuwadai raiya maji wao hawataki kulipa nifedheha gani
Taasisi za serikali zifungiwe pre paid meters ndio suluhisho. Ingawaje kwa ubabe wanaweza kuweka by pass.
Namesake 🥰🥰🥰🥰 very confident woman safiiiiiiii 🥰
Namkubali Sana @Esther Bulaya
Nakupenda unavyojiamini mama 🥰🥰🥰
Ahahahahahahaahaaaaa mwigulu bana eti taasisi walipe basi ili wasaidie kuchachua uchumi
🎉🎉🎉Aweso kapewa maua yake
Apa nime kueshimu sana wapizani ninaowataka kama hawa
Saw
Aweso Safi sanaa
Mimi nimelipa maji kiomboi iramba toka mwaka jana sijapata maji😢
kumbe hata taasisi za serekali zinadaiwaga? maji?
Ester na halima rudini nyumbani chadema
Huyu mama anafaa hapa kenya
Shell ndiyo nini Mhe Bulya??? Ebu Katibu wa Bunge ondoa kwenye kumbukumbu za Bunge hilo jina Shell ilikulinda heshima ya Bunge.
Kaka mwiguli atoke kwenye hiyo sehemu
Hana ishukabisa huyujamaa huyu nimzizi wamatatizo kwenyenchihii
Kabisa huyu jamaa ni takataka
Hongera San uwatetee watanzania wanyonge
Sisi tunakatiwa wao wanakuja bata
Halima utavunja hichokitabu 😅😅
Sisi wananchi ndio maana tunabambikwa madeni kumbe huwa tunawalipia serikali😢😢😢😢😢
Umeonaee
Umeona eee
5z55😮
Wajiangalie hawa ndio wanawaibia wanainchi Huku wakidai kujenga nchi.
Kuna maeneo tunawahitaji kina mh Easter Bulaya wengi ili tufikie malengo ya serikali ya awamu ya sita
Dadaangu barikiwa sana
Mdee nakugotea kwa juu upo vzri mummy
Walipe bnh wengine tunakosa maji kwaajili yao na kuwanganishiwa mabomba feki yanapasuka pasuka ovyo
Kuchachua uchumi
Hii kupokea taarifa ndio nini na hupokewa kama ipi?
Arafu ivi wabunge wario pigiwa
Kura na wanaichi mbona
Siwasikii wakitowa oja vi
ESTA safi sana SS wanaichi tunakatiwa wao hawakatiwi ndio maana tunaitaji uwepo wenu
Wabunge wazazibary mnamsikia mwenzenu huyo mtoto wakike esta bulaya nyie kazi kusinzia na kupokea posho toka aondoke bwege hatuwasikii wapinzani
Anaongea kama anawagombeza😂
Ndio, hatakiw kuomba kwasababu anatetea Mali ya umma na wenye kuhusika na usimamiz wanafanya dhulma
Safii Mh Juma uko vizuri ila watendaji wako hapa kinyerezi mongolandege kuna shidaaw
Ukweli walipe
Mwanachi wa kawaida akilaza deni la mwezi mmoja anakatiwa maji kwa deni la lisilo fikia hats tsh elfu 50 iweje hao wa mamilioni hamkati maji ktk ofisi zao?
Wabuge wote wangekuwa kama huyu mama tuko mbali
Mwigulu achaa kzi umeshiba
Ovyo sana
safi sana mama
Si maskini wanalipia deni zao ya nini walipe wao na sisi wanyonge wa Mungu tupo kuwalipiadeni zao lakini Mungu atatulipia nguvu zetu wanazo tuzulumu
Shame, bomba kuvuja kuongelewa bungeni?
Ivi ww una pata ujasli wapi wewe miguu juu kujibu wana nchii
Anakuangalia sana kwasababu ata mpendwa wetu hayati John Joseph pombe makufuli alikupiga chini kwasababu ni aufai ata kidogo
Mama yetu mpendwa chukua hatua kwa hawa majambazi wa nchi hii? Wanatudhulumu sisi wananchi wanyonge wavuja jasho ambao hatujui hata kula yetu ya siku, mheshimiwa rais hii ni dhulma kwa watanzania wanyonge
Wabunge wa Tanga mabubu vilema
Newala
Damu ya mara hajawahi kutoka mjinga huko
Sasa mwizi anaenda kulipia bill? Ukoo wa panya unalipia mahindi waliokula stoo? Hii ni serikali au genge la wezi? Ipo siku laana ya viongozi wetu itawatafuna wao na vizazi vyao.
Hongera Esther
Hayo madeni wanayo daiwa ndio tunabambikiwa sisi wananchi wa kawaida Ili kufidia fidia,bado matozo haijulikani peza zaenda wapi
Kama mwananchi wangemkatia maji!! Kwa nini wao wasikatiwe maji?? Kwa nini wao wasikatiwe maji????
Daaa ukiwa na mbunge kama huyu kwa Nini usilinge na kutembea kifua mbele hongera dada
Kata aweso. usivionee aibu kata tu pigakaz
Lipeni madeni ya maji
Mwanachi ikifika deni elfu 60 tu wamekata maji
Vichwa kutoka Mara🔥🔥🔥
Kumekucha, ilo nalo neno wazee jitahidin.
Hata machame kilimanjaro wanatabia hyooo😂😂😂
Dadake nakupenda bure
Hamlipi nyie tunabambikiziwa sisi wananchi, wananchi tunateseka sana.
Pamoja mbunge
Na kubambikiwa bili imekuwa kawaida
Kule Mugum mbona hskunaga maji??
Waripe
The woman I love the most