MWIGULU AMVAA ESTER BULAYA / UNANIANGALIA SANA MIMI / WABUNGE HAMUONI AIBU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 май 2023

Комментарии • 132

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 12 дней назад +1

    Mbona Barabara.za.kwao pangani Tanga pongwe tongoni maguzoni.korogwe.hazijengwi kwa.lami hamnakitu hao

  • @hrehemaandreson1970
    @hrehemaandreson1970 Год назад +14

    Uko vizur mheshiwa Bulaya, kuna wabunge wako serious bungeni na sio kuuza sura

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 Год назад +8

    SAFI SANA WE ESTA BULAYA, DAM YA MARA HIYOO, HONGERA KWA KAZI NZURI

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +15

    Hatari kweli kweli. Sisi wananchi wa kawaida ndo tunaonewa kwenye Nchi hii.

  • @selinatogolai3314
    @selinatogolai3314 Год назад +7

    Ni kweli sana unayose ma esta bulaya aweso ni mnyenyekevu sana hajavaa cheo

  • @elizabethmassi7327
    @elizabethmassi7327 Год назад +7

    Esther Bulaya sijawahi kuchoka kusikiliza hoja zako bungeni

  • @HamisiMbinga-lg6nv
    @HamisiMbinga-lg6nv Год назад +5

    huko vizuri mbunge

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Год назад +12

    Ester apewe maua yake na miti na product nyingine za kilimo

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Месяц назад +1

    Estar hongera kwa kazi nzuri sana Kuna wabunge wengine hawaongei waache ububu hotel 77 madai yetu hatujalipwa mhe Ester tutetee Arusha hawaongei

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 8 месяцев назад +3

    Ester na Halima ni majembe kweli kweli.Njooni Chadema.

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 8 месяцев назад +1

    Mama kuhus maji umeongea point na Waziri kakuckia kwa makini hyo ndo raha ya kuwa mtanzania .Uweso godbless u

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 Год назад +5

    Yani hua nikiwaona hao wa dada Halima na Ester hua nafurahi sana wanavyo sumbua ccm bungeni

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 6 месяцев назад +1

    Kazi ya kudai watu wa chini na wanyonge tu.Ongera dada👍👍👍❤❤

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +6

    Esther Uko vizuri .

  • @piniellaizer5753
    @piniellaizer5753 Год назад +5

    Ester Bulaya mwanamke jasiri

  • @julianamasato5655
    @julianamasato5655 Год назад +6

    We Estar mwaka 2025 njoo ugombee jimboni kwetu bunda vijijini maana mmbunge wajimbo letu hana anachokifanya jimbo limepoa .kazi yake nikununulia Wazee maandazi nakahawa na soda .anatafuna pesa zajimbo tu .

  • @ezekiellotoishe3664
    @ezekiellotoishe3664 Год назад +2

    Safi sanaaa ww ni Jasiri sana

  • @BahatiMwamewa-jk5wx
    @BahatiMwamewa-jk5wx Год назад +9

    Hongera sana ester umenifurahisha sana ,ingekuwa raia angekatiwa maji tena kwa kiasi kidogo tu ,

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 16 дней назад +1

    Aweso namkubali japo mi sio ccm

  • @mustaphampandi137
    @mustaphampandi137 Год назад +5

    sisi Kama hatujalipa mwezi Moja tunakatiwa

  • @nyamwekomatoke9951
    @nyamwekomatoke9951 Год назад +3

    Ester Uko vzr
    Nimekupenda bureee
    Uliyosema yote nikweli kbs
    Bunda stor Na nyamakokoto maji yanapotea sanaaaaaaa

  • @DicksonLudoviko
    @DicksonLudoviko 11 месяцев назад +1

    Nakupongeza sana mwana mke
    Jasiri wambie kabisa ukuchini
    Tunateseka sana

  • @user-uy2dk2yv2c
    @user-uy2dk2yv2c Год назад +3

    Mpigieni makofi AWESO hata kama hamtaki ila mkuu Aweso yuko vizuri sana kumbe Ester bulaya anaona kama ninavyoona

    • @carteq
      @carteq 6 месяцев назад

      Kweli Aweso anapiga kazi

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj Год назад +5

    Aweso ni mtu safi SANASANA, actually watukutoka tanga ni watu safi na wasio na Tamaa

  • @atamotivetv8104
    @atamotivetv8104 Год назад +4

    Nampenda Sana uweso jamaniii nampenda ester jamaniii nawapenda sanaaaaaaaaaaa

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i 6 месяцев назад +1

    Asenga yuko vizuri ulanga poleni hamna mwakilishi

  • @otianasanga9106
    @otianasanga9106 Год назад +4

    Wakakatiwe na nyumbani kwao

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 8 месяцев назад +1

    Mwigulu ni mpumbavu sana yaani kiufupi ni kero katika taifa letu

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 Год назад +5

    Lkn waziri Wa fedha ww

  • @GodfreyMagagi-yh2fr
    @GodfreyMagagi-yh2fr 11 месяцев назад +1

    Yes aweso yupo vzr

  • @CathelinMdoe-kf6xr
    @CathelinMdoe-kf6xr 11 месяцев назад

    Asante Ester wapehabari hao wamezidi kutubana bhana wengi wanajipenda wenyewe

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq Год назад +4

    Ni swali nzuri sana Aksante sana Mweheshimiwa Ester Bulaya.Mchango wako ni safi sana

  • @user-xl3sr4jj4l
    @user-xl3sr4jj4l 6 месяцев назад +1

    Hongera bulaya

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Год назад +1

    Hizi jembe hiziii, Ester na Halima Mdee,
    Wanawake majasiri kama hawa ni wachache hapa nchini

  • @user-rv7nz6xb6d
    @user-rv7nz6xb6d 11 месяцев назад +1

    Nakupenda Mama

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 8 месяцев назад +1

    Wambie hao wamekosa haya hoo wala aibu hamna kazi kuwadai raiya maji wao hawataki kulipa nifedheha gani

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Год назад +4

    Taasisi za serikali zifungiwe pre paid meters ndio suluhisho. Ingawaje kwa ubabe wanaweza kuweka by pass.

  • @esterstaphord5184
    @esterstaphord5184 Год назад +2

    Namesake 🥰🥰🥰🥰 very confident woman safiiiiiiii 🥰

  • @maadigitalpro
    @maadigitalpro Год назад +2

    Namkubali Sana @Esther Bulaya

  • @hildananyaro3231
    @hildananyaro3231 Год назад +5

    Nakupenda unavyojiamini mama 🥰🥰🥰

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 7 месяцев назад +1

    Ahahahahahahaahaaaaa mwigulu bana eti taasisi walipe basi ili wasaidie kuchachua uchumi

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 Год назад +4

    🎉🎉🎉Aweso kapewa maua yake

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 3 месяца назад +1

    Apa nime kueshimu sana wapizani ninaowataka kama hawa

  • @BarakaKennedy-kg9ep
    @BarakaKennedy-kg9ep Месяц назад +1

    Saw

  • @robertkavishe-fk1ve
    @robertkavishe-fk1ve Год назад +2

    Aweso Safi sanaa

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Год назад +6

    Mimi nimelipa maji kiomboi iramba toka mwaka jana sijapata maji😢

  • @mustaphampandi137
    @mustaphampandi137 Год назад +6

    kumbe hata taasisi za serekali zinadaiwaga? maji?

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 16 дней назад +1

    Ester na halima rudini nyumbani chadema

  • @mariamheinz8582
    @mariamheinz8582 Год назад +4

    Huyu mama anafaa hapa kenya

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 8 месяцев назад +1

    Shell ndiyo nini Mhe Bulya??? Ebu Katibu wa Bunge ondoa kwenye kumbukumbu za Bunge hilo jina Shell ilikulinda heshima ya Bunge.

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Год назад +3

    Kaka mwiguli atoke kwenye hiyo sehemu

    • @FadhirSaid-hf2cp
      @FadhirSaid-hf2cp Год назад +1

      Hana ishukabisa huyujamaa huyu nimzizi wamatatizo kwenyenchihii

    • @geremanamzoo-up2og
      @geremanamzoo-up2og 11 месяцев назад +1

      Kabisa huyu jamaa ni takataka

  • @tajirifransis729
    @tajirifransis729 Год назад +1

    Hongera San uwatetee watanzania wanyonge

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Месяц назад +1

    Sisi tunakatiwa wao wanakuja bata

  • @naimunaimu2312
    @naimunaimu2312 Год назад +4

    Halima utavunja hichokitabu 😅😅

  • @shuhudiamtasiwa6646
    @shuhudiamtasiwa6646 Год назад +11

    Sisi wananchi ndio maana tunabambikwa madeni kumbe huwa tunawalipia serikali😢😢😢😢😢

  • @wamburanyamhanga9615
    @wamburanyamhanga9615 11 месяцев назад +1

    5z55😮

  • @PaulKhaday-gm4hq
    @PaulKhaday-gm4hq Год назад +3

    Wajiangalie hawa ndio wanawaibia wanainchi Huku wakidai kujenga nchi.

  • @shikuhata
    @shikuhata Год назад +2

    Kuna maeneo tunawahitaji kina mh Easter Bulaya wengi ili tufikie malengo ya serikali ya awamu ya sita

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv 11 месяцев назад +1

    Dadaangu barikiwa sana

  • @maulidwhyder8848
    @maulidwhyder8848 11 месяцев назад +1

    Mdee nakugotea kwa juu upo vzri mummy

  • @lucygwande-jf2cu
    @lucygwande-jf2cu 11 месяцев назад +1

    Walipe bnh wengine tunakosa maji kwaajili yao na kuwanganishiwa mabomba feki yanapasuka pasuka ovyo

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 7 месяцев назад +1

    Kuchachua uchumi

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 8 месяцев назад +1

    Hii kupokea taarifa ndio nini na hupokewa kama ipi?

  • @DicksonLudoviko
    @DicksonLudoviko 11 месяцев назад +1

    Arafu ivi wabunge wario pigiwa
    Kura na wanaichi mbona
    Siwasikii wakitowa oja vi

  • @VenasiVenasi-gf2pz
    @VenasiVenasi-gf2pz 11 месяцев назад

    ESTA safi sana SS wanaichi tunakatiwa wao hawakatiwi ndio maana tunaitaji uwepo wenu

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 8 месяцев назад +1

    Wabunge wazazibary mnamsikia mwenzenu huyo mtoto wakike esta bulaya nyie kazi kusinzia na kupokea posho toka aondoke bwege hatuwasikii wapinzani

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 Год назад +3

    Anaongea kama anawagombeza😂

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 11 месяцев назад +1

      Ndio, hatakiw kuomba kwasababu anatetea Mali ya umma na wenye kuhusika na usimamiz wanafanya dhulma

  • @ellylyatuu7302
    @ellylyatuu7302 Год назад +1

    Safii Mh Juma uko vizuri ila watendaji wako hapa kinyerezi mongolandege kuna shidaaw

  • @PeterToga-zp6jv
    @PeterToga-zp6jv 14 часов назад

    Ukweli walipe

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 11 месяцев назад +1

    Mwanachi wa kawaida akilaza deni la mwezi mmoja anakatiwa maji kwa deni la lisilo fikia hats tsh elfu 50 iweje hao wa mamilioni hamkati maji ktk ofisi zao?

  • @user-ku1kq1mo2z
    @user-ku1kq1mo2z 2 месяца назад +1

    Wabuge wote wangekuwa kama huyu mama tuko mbali

  • @hassanosman3824
    @hassanosman3824 Год назад +1

    Mwigulu achaa kzi umeshiba

  • @ngusawales2039
    @ngusawales2039 Год назад +2

    Ovyo sana

  • @elibarikmafie7490
    @elibarikmafie7490 Год назад +1

    safi sana mama

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb Год назад +1

    Si maskini wanalipia deni zao ya nini walipe wao na sisi wanyonge wa Mungu tupo kuwalipiadeni zao lakini Mungu atatulipia nguvu zetu wanazo tuzulumu

  • @damasjoachim4451
    @damasjoachim4451 8 месяцев назад +1

    Shame, bomba kuvuja kuongelewa bungeni?

  • @mirumbeihema2589
    @mirumbeihema2589 Год назад +1

    Ivi ww una pata ujasli wapi wewe miguu juu kujibu wana nchii

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 11 месяцев назад

    Anakuangalia sana kwasababu ata mpendwa wetu hayati John Joseph pombe makufuli alikupiga chini kwasababu ni aufai ata kidogo

  • @adamshaban5336
    @adamshaban5336 6 месяцев назад +1

    Mama yetu mpendwa chukua hatua kwa hawa majambazi wa nchi hii? Wanatudhulumu sisi wananchi wanyonge wavuja jasho ambao hatujui hata kula yetu ya siku, mheshimiwa rais hii ni dhulma kwa watanzania wanyonge

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 12 дней назад +1

    Wabunge wa Tanga mabubu vilema

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Год назад +2

    Newala

  • @jumannemagumba619
    @jumannemagumba619 26 дней назад +1

    Damu ya mara hajawahi kutoka mjinga huko

  • @sesicasi1364
    @sesicasi1364 8 месяцев назад +1

    Sasa mwizi anaenda kulipia bill? Ukoo wa panya unalipia mahindi waliokula stoo? Hii ni serikali au genge la wezi? Ipo siku laana ya viongozi wetu itawatafuna wao na vizazi vyao.

  • @olivermlebele3894
    @olivermlebele3894 11 месяцев назад +1

    Hongera Esther

  • @geofreysimpepo9945
    @geofreysimpepo9945 Год назад +1

    Hayo madeni wanayo daiwa ndio tunabambikiwa sisi wananchi wa kawaida Ili kufidia fidia,bado matozo haijulikani peza zaenda wapi

  • @kasembewakasembe580
    @kasembewakasembe580 11 месяцев назад +1

    Kama mwananchi wangemkatia maji!! Kwa nini wao wasikatiwe maji?? Kwa nini wao wasikatiwe maji????

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 11 месяцев назад

    Daaa ukiwa na mbunge kama huyu kwa Nini usilinge na kutembea kifua mbele hongera dada

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp 11 месяцев назад +1

    Kata aweso. usivionee aibu kata tu pigakaz

  • @PhilipoShumbi-lp6vg
    @PhilipoShumbi-lp6vg Год назад +4

    Lipeni madeni ya maji

  • @shahanyoni9163
    @shahanyoni9163 10 месяцев назад +1

    Mwanachi ikifika deni elfu 60 tu wamekata maji

  • @annawegoro1522
    @annawegoro1522 Год назад +2

    Vichwa kutoka Mara🔥🔥🔥

  • @StephanoMwakilito
    @StephanoMwakilito 11 месяцев назад +1

    Kumekucha, ilo nalo neno wazee jitahidin.

  • @Titonazaleth-py8ol
    @Titonazaleth-py8ol 11 месяцев назад +1

    Hata machame kilimanjaro wanatabia hyooo😂😂😂

  • @rhobysagwe1711
    @rhobysagwe1711 Год назад +1

    Dadake nakupenda bure

  • @shahadaushindi7745
    @shahadaushindi7745 11 месяцев назад +1

    Hamlipi nyie tunabambikiziwa sisi wananchi, wananchi tunateseka sana.

  • @ZabronNyanginywa-dm3ww
    @ZabronNyanginywa-dm3ww 11 месяцев назад +1

    Pamoja mbunge

  • @BahatiMwamewa-jk5wx
    @BahatiMwamewa-jk5wx Год назад +3

    Na kubambikiwa bili imekuwa kawaida

  • @nickolatharwelamila776
    @nickolatharwelamila776 Год назад +1

    Kule Mugum mbona hskunaga maji??

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 17 дней назад +1

    Waripe

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Год назад +6

    The woman I love the most