Askari Kukaa Kambini Miaka 6 Bila Kuoa / Kuolewa. Waziri wa Ulinzi na JKT, Atoa Ufafanuzi Bungeni
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2022
- Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt Stergomena Lawrence Tax (Mb) leo Septemba 16, 2022 ametoa ufafanuzi Bungeni kuhusu utaratibu uliowekwa kwa askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wa kukaa miaka sita bila kuoa ama kuolewa mara baada ya kujiunga na jeshi hilo.
Mheshimiwa Dkt. Stergomena Tax ameliambia Bunge kuwa kwa sasa utaratibu huo utabakia kama ulivyo kutokana na misingi iliyowekwa kwa ajili ya kuwaandaa askari hao kulinda nchi.
Dkt. Stergomena amesema askari wapya wanaojiunga na Jeshi wanahesabiwa kama wapiganaji ambao wanapaswa kupewa ujuzi zaidi mara baada ya kutoka Chuo Cha Mafunzo ya awali (Recruit Training School) hivyo miaka sita iliyowekwa ya kutokuoa ama kuolewa inatoa nafasi kwa askari hao kutumika katika shughuli za medani pamoja na Oparesheni za Kijeshi kulingana na mahiiiijio.
Wanaorudishwa nyumba asilimia kubwa ni watoto wa wanyonge wasio na watu majeshini...
Jeshi sio uraiani...km wanataka waone congo n.k , jeshi likiwa km taasis za kiraia,sio jeshi tutaharibu utendaji kazi...#Umoja
Huyo wazir wa ulinzi mbona mrembo ataweza kweli kupambana na panya road
Wacheni wakae miaka iyo Mbona wafungwa wanakaa miaka mingi bila wake bila waume au mnawachukuliaje awo wanaokaa mda mlefu msiwe mnapendelea sehem moja wote hao ni binadamu
Hapo usawa uko wapi? punguzeni muda wa kukaa kikapera
Umeongea
Sawa kabisa lakini mnatakiwa kuwaonea huruma watoto wanao kuwa wamejitolea huko jkt na mkaamua kuwapa kipaumbele Cha ajira
Ndio maana jeshini kuna HIV Kali Sana
😆😆
Acha upumbavu wewe,
hahaha HIV kali sana 😂😂😂😂