SHABIBY AMWAMBIA SPIKA TULIA "SIKU UKITOKA KWENYE UBUNGE, WEWE LAZIMA UTAVAA KANDAMBILI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 апр 2024

Комментарии • 224

  • @AlbertSabo-hp3ss
    @AlbertSabo-hp3ss Месяц назад +29

    Wabunge anzeni kulipa kodi, tutapata Trillion 1.2 kwa mwaka

  • @burkardkayombo4608
    @burkardkayombo4608 27 дней назад +1

    Upo vizuri MH. Shabibi Bima kwa wote, isiwe njia ya kupruni Watanzania.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Месяц назад +10

    Wallah mbunge una maono Bima ya Afya ni muhimu sana na Afya ni uchumi Tafuteni vyanzo kama tozo simu mafuta vinywaji nk Asante baba

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Месяц назад +5

    Bima ya afya imekuwa mateso kwa wananchi, hongera sana mheshimiwa shabiby kujuwa changamoto watu hali ya chini ni mtihani mkubwa

  • @salatielmwakyambiki8383
    @salatielmwakyambiki8383 Месяц назад +1

    Shabib umewatetea sana wananchi. Hongera kwa ushauri wa kina juu ya chanzo cha kudumu cha chanzo cha bima ya afya kwa wote

  • @eliasjoseph8830
    @eliasjoseph8830 16 дней назад

    Hongera sana mbunge shabibu uko sawa hicho serikari itafute chanzo Cha pesa ilikuwasaidia wananchi wake bima

  • @jurdanforwardersltd1460
    @jurdanforwardersltd1460 Месяц назад +2

    SHABBY upo sahihi sana umetoa wazo zuri sana ambalo serikali walifanyie kazi itapatikana pesa nyingi sana.

  • @godsonkilua7738
    @godsonkilua7738 Месяц назад +4

    Kweli Mbunge wangu umekomaa kisiasa , hongera Sana kwa mawazo mazuri bima ya afya Ni pasua kichwa Hali ya maisha Ni mbaya hakuna mtu anaependa kufa kwa kukosa bima. Mungu akubariki kwa kupeleka kilio chetu bungeni tutakuchagua Hadi useme po. Huo ndio utetezi wa wananchi siyo kupigapiga mameza Hadi mikono inakuwa na sugu kwa hoja za wenzio.

  • @gladyssembojas5308
    @gladyssembojas5308 20 дней назад +1

    Huyo ni muheshimiwa kama muheshimiwa Shabiby

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd Месяц назад +4

    Unazingua, kwa mafaoo yote ya spika hilo haliwezekani

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 Месяц назад +2

    Hapo nimekuelewa Shabby 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 Месяц назад

    Mheshimiwa SHABIBY Mungu akubariki kwa hekima na uzalendo wako wa kweli. Inasikitisha kuwa na wizara isiyo na ufahamu wa hali halisi ya wananchi wetu

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 Месяц назад +3

    shabiby akili nyingi sana Wana gailo mna jembe hapo mjengoni wengine kazi zao kusinzia

    • @ce-08
      @ce-08 22 дня назад

      Angesema wabunge waanze kulipza Kodi ndyo tutapata pesa za maana

  • @philemonmbalwowa5619
    @philemonmbalwowa5619 Месяц назад

    Asante Mh. Ubalikiwe.

  • @elijuskikoto392
    @elijuskikoto392 Месяц назад +3

    Mwarabu wa Gailo huwa nakukubali Sana

  • @user-pm5hw8mf7s
    @user-pm5hw8mf7s Месяц назад +1

    mheshimiwaa uko sahihiii kabsaaa,, inaonesha unayajua maishaaa halis ya waTz

  • @SilasMollel-mp9ib
    @SilasMollel-mp9ib Месяц назад +1

    Safi sana hawa ndo wabunge wa mfano..anaongea fact tupu..mungu akubariki kaka shabiby

    • @ce-08
      @ce-08 22 дня назад

      Sasa hapo c wamebadilisha mfumo kutoka kukutoza kwa cash kuja kukuchukulia kwenye layn sasa c waseme tuchukue kwenye migodi huko au utalii au wabunge waanze kulipza Kodi itumike kwenye bima

  • @RosemaryPeter-hc6ts
    @RosemaryPeter-hc6ts Месяц назад +5

    Umezunguza ukweli mtupu Mungu akubariki maana umezungumza kwa niaba ya watu wa hali ya chini
    Tunakushkuru

  • @samwelikangambili4831
    @samwelikangambili4831 Месяц назад +7

    Hongera Sana mbunge kwa maono yako itakuwa mkombozi kwa wa Tanzania

    • @bulunjamalimikulwa4876
      @bulunjamalimikulwa4876 Месяц назад

      Safi mwenyewe nimemuelewa, changamoto kwetu sisi ni kupinga Kila kitu tukisikia pesa tu.

  • @mathiasmuhochi435
    @mathiasmuhochi435 Месяц назад +1

    Good idea....tulifanyie kazi wazo lake

  • @00P288
    @00P288 22 дня назад

    Nchi bahati mbaya sana hii. Ubunge iwe kazi ya kizalendo mishahara yao ipunguzwe.

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 22 дня назад

    Mheshimiwa uko vzr Sana ila tatizo mfumo ila ingekuwa Jambo jema uwajibikaji itaongezeka

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 Месяц назад

    You are very clever, May God protect you.

  • @emazacharia4455
    @emazacharia4455 Месяц назад +3

    Yaan bima ya afyaa imekuwa n mateso mateso Kwa wananch ..Kwa utajir wa Mali zet watanzania bima ingelkuwa bure Kwa Kila mwananchi😢

  • @user-rv2gb2gi7q
    @user-rv2gb2gi7q Месяц назад +3

    Mbunge shabby Yuko sahihi mawazo yake yafanyiwe kazi hongera sana

    • @user-ey8bo5iw9y
      @user-ey8bo5iw9y Месяц назад

      Tatizo uwo mfuko wabima serikali inaukopa mbaya zaidi hailipi na je tukianza kata 2000 kwa kila raia tunauhakika gani zitakuwa salama

    • @ahz6907
      @ahz6907 Месяц назад

      ​@@user-ey8bo5iw9yni namna fulani ya kuufisadi mfuko.

  • @godfredkimaro3292
    @godfredkimaro3292 Месяц назад +1

    Ukiacha kumtoza mwananyi pesa taskinu alafu ukamtoza kwenye simu c umebadilisha njia ya utozaji ila utozagi upon pale pale.minashauri hela itozwe kwa gesi madini utali nakazalika

  • @ibraimnikolaus9702
    @ibraimnikolaus9702 Месяц назад

    Serikali ilifanyie kazi wazo hili ni nzuri

  • @rich-lr8tq
    @rich-lr8tq Месяц назад +1

    wenye laini zaidi ya moja mtakoma, watumishi wa serikali pia watakatwa mara mbili au tatu na zaidi

  • @user-vc8cc2pt7n
    @user-vc8cc2pt7n Месяц назад

    Shabby shabby shabby mungu akubaliki sana Kwa michango wako mzuli tunaitaji wabunge km wewe hongera sana ilitakiwa uwe wazili kbs

  • @prorwega
    @prorwega Месяц назад

    Well said mbunge Shabib I am admiring you.

  • @rashidhtibangayukatibangayuka
    @rashidhtibangayukatibangayuka 20 дней назад

    Nakupongeza SHABIB UKO VIZURI

  • @wilfredaxwesso7394
    @wilfredaxwesso7394 Месяц назад +2

    Si rahisi kuvaa kanda bili hata kama akitoka kwenye kiti kwani wako na stahiki nyingi baada ya kustaafu.

  • @TheNichym
    @TheNichym Месяц назад +2

    Kwa nini aseme tutumie mgodi mmoja wa dhahabu kwa ajili ya bima?! Au Tanzanite yote ya Arusha mapato yake yapelekwe kwenye bima na afya?! Ni ufinyu wa fikra kufikiria kuwakamua wananchi zaidi ya sasa, badala yake rasilimali za nchi hasa madini, mafufa na gesi vitumike vizuri, tutafanikiwa kwenda mbali, badala ya kuwaongezea ugumu wananchi na kuichukia serikali

  • @harsoshelezi4658
    @harsoshelezi4658 Месяц назад +1

    ZIBAKI ZA RUFAA TU KWASABUBU NDIKO MNAKO KWENDA.

  • @AwardHakimu
    @AwardHakimu Месяц назад +3

    Bima hizi hizi ambazo wanazichukia wahudumu wa afya au Kuna zingine

  • @mcsukerpapaa8817
    @mcsukerpapaa8817 Месяц назад

    Wazi zuri, nasi tunaomba kila anayemiliki Mabasi na Malori, ktk kila route akatwe tsh elfu 10. Na wenye Madaladala wakatwe tsh elfu Tano kwa siku. Nawasilisha hoja Spika.

  • @user-qr7kj3bf9q
    @user-qr7kj3bf9q Месяц назад

    Hongera mshimuwa shabiby

  • @user-dh8gj1dt6x
    @user-dh8gj1dt6x 28 дней назад

    Safi sana kamanda,karibu mbarali utete anyone,pia bima ni nzuri ila tatizo ni dawa hazipo!

  • @DennisDidas
    @DennisDidas Месяц назад

    Wazo zuri sana. Ukitaka kujua uzuri wa wazo hili angalia hali za watu kwenye vituo vya afya.

  • @raphaelmkosamali1056
    @raphaelmkosamali1056 Месяц назад +1

    Je,wabunge mkilipa kodi tutapata sailingi ngapi?

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Месяц назад

    Safi sana baba mngu akuone

  • @user-zu5ee3qe6u
    @user-zu5ee3qe6u Месяц назад +1

    Hata uingereza ni mfumo huo huo again good thinking

  • @DaheerK
    @DaheerK Месяц назад

    Hakuna matusi apa hongera mkuu

  • @jumamhando3992
    @jumamhando3992 21 день назад

    Mm nilijua atashaur matajir wote wa Mabas wakatwe lak Kwa Kila mwez na wabunge walipe kodi Tena wawe mfano wakatwe asilimia 25 ingesaidia bima vzr

  • @emmanuellaizer4808
    @emmanuellaizer4808 Месяц назад

    Bunge mko vizuri bima lazima ila iwe inayotumika mikoa yote popote unapokutwa na homa

  • @inocentkaiza7962
    @inocentkaiza7962 22 дня назад

    Hawez akavaa kandambili kwasababu uwakika wakuishi kwagharama ya serikali mpaka anazeeka upo namsharahara juu

  • @farajiissa8747
    @farajiissa8747 23 дня назад

    Akika imekaa vizur ifanyiwe tu kazi nafikri fraha itakuwa kwa hawa watu

  • @theophilmawe9776
    @theophilmawe9776 7 дней назад

    Shabibiy Jembe isee

  • @barakaalfred1491
    @barakaalfred1491 16 дней назад

    Hakuna lisilowezekana, kuna vitu vingi serikali inavigharamia wakati havina impact kwa wananchi mfano ni vikao vingi kujadiri issues halafu matokeo yanabakia kuwa hasi kumbe ulikua mchongo wa posho.😃😄

  • @lovemusicnoreen9185
    @lovemusicnoreen9185 Месяц назад

    SHABIBY WILL ALWAYS BE SHABIBY AKILI KUBWA

  • @jumaruhinda4109
    @jumaruhinda4109 Месяц назад

    Uko sawa sana

  • @richardrugemalira6934
    @richardrugemalira6934 Месяц назад

    True CHAMPION of the poor whom are the majority in TZ.

  • @femexpress7857
    @femexpress7857 Месяц назад

    Mh. anaongea vizuri sanaa. Mimi ningependa kuchangia kwa kusema kuwa, wananchi hali yao ya maisha ni ngumu sana. lakini pia watu wakuchangia hizi bima za afya wapo sana, maana watu wakitoa hizo hela kama kweli zitasimamiwa vizuri basi hata wale wasiokuwa na uwezo wanaweza kutibiwa kwa kutumia bima za afya hizo

  • @user-nk4yl7bw2h
    @user-nk4yl7bw2h 26 дней назад

    Tunaitaji wabunge kamahawa wanaishauli selikali vituvya maana wengi bungeni wanarara tu nimzingo kwa selikali

  • @azizakiswili9063
    @azizakiswili9063 18 дней назад

    Ukweli usemwe akili nyingi mbunge makini

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 Месяц назад

    naomba mawazo ya Shabiby yafanyiwe kazi plz naomba sana

  • @Goofyplayz-fj3ce
    @Goofyplayz-fj3ce Месяц назад

    Msiseme 'WanaNchi wetu',:semeni 'WanaNchi wenzetu'!

  • @AloicemaikoNgakuro
    @AloicemaikoNgakuro 29 дней назад

    Hongera sana shabby iyo ndio ukweli

  • @KhatibTmk
    @KhatibTmk Месяц назад

    Mhe Shabiby chukuwa 💐🌼🌺 yako

  • @user-wl8ej9qy5d
    @user-wl8ej9qy5d Месяц назад +1

    Bip up bunge

  • @rashidhtibangayukatibangayuka
    @rashidhtibangayukatibangayuka 20 дней назад

    Hongera shaving

  • @ziadakayoyo7310
    @ziadakayoyo7310 Месяц назад

    Umeongea suala la mbolea sana. Safi.

  • @linogracephord9785
    @linogracephord9785 Месяц назад

    Unaongea vizuri sana, ila kuna maeneo mndewa ukuchanganya!

  • @jahululamasunga
    @jahululamasunga Месяц назад +1

    immaculate contribution MP Shabiby

  • @VarerianRichardi
    @VarerianRichardi Месяц назад

    Baba hongera

  • @wenseslausjoseph1749
    @wenseslausjoseph1749 Месяц назад +1

    Chanzo cha pesa ni jambo moja na matumizi sahihi ya hizo pesa ni jambo nyingine

  • @user-dm3vh4br5f
    @user-dm3vh4br5f Месяц назад

    Na biashara za watu binafsi zifutwe,mabasi imiliki serikali,maduka n.k.Hoja haijakaa vzr,vituo binafsi vinasaidia Sana.Serikali haiwezi pekee yake.

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 Месяц назад

    Baba ongera kwa wazo nzuri

  • @jacksonsilaa415
    @jacksonsilaa415 Месяц назад

    Mr Shabby mawazo yako hebu andika andiko ili na wengine wausome kwa manufaa zaidi kongole sana kiongozi.

  • @user-dh8gj1dt6x
    @user-dh8gj1dt6x 28 дней назад

    Mungu awe nawe,hiyo ndio sera halisi ya ccm, chapa kazi wanyonge wote tz wapo nyuma yako!

  • @user-dk8uf8ho9s
    @user-dk8uf8ho9s Месяц назад +3

    Mbunge mahari sana. SAMIA mpe huyu Ahmed uwaziri wa biashara.jamaa ni smart sana

  • @user-kx5dt5ih2i
    @user-kx5dt5ih2i 29 дней назад

    HONGERA SANA

  • @user-yz1xq8xo8s
    @user-yz1xq8xo8s Месяц назад

    Ni kweli mwanike wa ukaya Ila wasitubague sisi maskini

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 Месяц назад +1

    Mlaikiji komenti🤗

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 Месяц назад

    Daaaa maoni mazuri sana mbunge

  • @rafikkarimomar8202
    @rafikkarimomar8202 Месяц назад

    Hi bima ya afya anaye taka naakate asiye na uwezo aendelee kama kawaida akalipe cash anapo kwenda kutibiwa

  • @AmusedForestBridge-zo6ox
    @AmusedForestBridge-zo6ox Месяц назад +1

    huyu mbunge anasema ukweli mtupu isipingwe kitu yoyote !!!

  • @yateramadavaathumanmmbaga7776
    @yateramadavaathumanmmbaga7776 Месяц назад +1

    Mswada walihangaika nao miaka 2 unaeakebishwa hauwekwi hadharani baadae wakaupitisha sasa hayo anayoyaongea ambayo ni mambo mazuri alitakiwa ayaongee kabla muswada hawajaupitisha ili ukipitishwa kila mtu anaufarahia. Anyway, mawazo hayo yafanyiwe kazi tena haraka maana tumechelewa sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 Месяц назад

      Ilitakiwa waanze na wananchi kupata mawazo yao.ila kama kawaida wao wanajiona wana akili sana na wajuaji ndipo mambo mengi hugoma.
      Hata zile tozo za simu walifeli.

  • @ColinMhema-ne3lz
    @ColinMhema-ne3lz Месяц назад

    Linaweza kuwa wazo nzuri tatzo pesa zikichangwatu tayari zinaingia kwenye makoti yenu

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi Месяц назад

    Wabunge na mawaziri nyie mnakatwa kiasi gani cha kodi ya maendeleo tafadhali, maana Tanzania ni ya ajabu sana. Watu wanapambana kuingia bungeni maana huko ndiko kwenye green pastures.
    Mngekuwa mnapewa mishahara kama wafanyakazi wengine hii nchi isingekuwa na matrilion ya maden, inauma sana napambana kijijini kulipa kodi kwa kila ninachonunua halafu anaenda kufaidi mbunge.

  • @user-kz1rx3rk1b
    @user-kz1rx3rk1b 28 дней назад

    Wabunge mkikatwa milioni moja kwa mwezi je

  • @willylwiza6665
    @willylwiza6665 Месяц назад

    NI wazo zuri ila .Huyo maskini nae kaesabika katika hizo line .2000 anapita wapi simu simu yenyewe Hana anamiliki line

  • @mussaali9729
    @mussaali9729 Месяц назад +1

    huyu mbunge nimpumbavu

  • @innocentedmund3105
    @innocentedmund3105 Месяц назад

    Safi mbunge

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Месяц назад

    Uko sahihi mkuu

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 Месяц назад +1

    Ni yaleyale ya mzigo wa tozo nchi itajengwa na walala hoi italiwa na wenye meno

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Месяц назад

    Mhmm kumbe umeongeea unamaliza kwa kutudanganya yani spika tembelee kandambili kachumbali apo mimi ntakua natembea uchi sasa😮

  • @2003hintay
    @2003hintay Месяц назад

    Hii bima wanaifanya kama bima ya magari watoto bima yao wanataka ipitie mashuleni na huko shule lazima watoto wafikie idadi ya 100 ndo ndio wasajiliwe. Kitu kigumu wengine hawataki na ni ngumu sana kufikia idadi hiyo mwisho wake watoto hawaangaliwi. Huko nyuma mtoto alikatiwa bima ya sh 54000/ ni kuwadhulumu kwa kweli. Hii wangeirudisha kwa kujali afya ya mtoto.

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Месяц назад

    Nikweli kabisa huna hera ustumie simuu

  • @user-rm8gp2kr9i
    @user-rm8gp2kr9i Месяц назад

    Mwenye shibe ham jui mwenye njaa😂😂😂

  • @mosesrutaihwa6569
    @mosesrutaihwa6569 Месяц назад

    Maskini wa kutupwa!

  • @premierevents9537
    @premierevents9537 Месяц назад

    Safi sana

  • @Worldunite
    @Worldunite Месяц назад

    Kwahiyo mheshimiwa unashauri tuongezewe gharama za line za simu sh 2,000? ..au sijakuelwwa vizuri?
    Ila ninanakukubali sana nd shabiby 6:47

  • @JamalMshenga-ex5ui
    @JamalMshenga-ex5ui 28 дней назад

    Lipeni nyie mnojiongezea maposho kila mara- bac hata sie pangu pakavu mtukomoe. Mnachukua pesa kwenye vocha kisha mnatak kuongeza. Hy bn

  • @user-nr5sk6zp2o
    @user-nr5sk6zp2o Месяц назад

    Matusi hayo

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569 Месяц назад

    Tozo za majengo tozo za mazao ya biashara yaendayo nje kama ufuta na korosho hela hizi ni nyingi sana ila hatujuiga zinaenda wapi kama mkulima

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Месяц назад

    Hawa ndo watu wanafaaa kuwa Marais wa nchi hiiii point z uhakika

  • @AmusedForestBridge-zo6ox
    @AmusedForestBridge-zo6ox Месяц назад

    jamani watu wanatezeka sana kijijini madaktari wanaringa utadhani hospitali ni yao na madaktari hawana ukarimu na watu kabisa!

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl Месяц назад

    Bima ni mpango wa kuwaibia wanachi ukweli bima haina nafuu kwa wagonjwa waulizeni wananchi waliopatwa na shida na wana bima. Kweli mbunge .

  • @erickuiso3703
    @erickuiso3703 23 дня назад

    Huyu mbunge anaelewa kwamba karibu nusu ya huduma ya afya tz ni vituo binafsi???