BULAYA ALIAMSHA BUNGENI, MAWAZIRI WASIMAMA KUMPA TAARIFA AZIKATAA!
HTML-код
- Опубликовано: 20 июн 2022
- BULAYA ALIAMSHA BUNGENI, MAWAZIRI WASIMAMA KUMPA TAARIFA AZIKATAA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mungu akubariki sana Ester Bulaya yaan umeongea ukweli kabisa ndio maana wastaafu wengi maisha yao ni mafupi sana baada ya kustaafu wanakufa haraka maisha ya uraiani yanawawia magumu hatima wanakumbwa na maradhi hadi kifo asante kwa kuliongelea hili asante sana
Ubarikiwe sana mpendwa
@@annakarijo8478 asante sana ndugu yangu
Mungu akubariki sana Bulaya kwa kuwatetea wafanyakazi nyie ndio wakombozi wa wananchi wanyonge🙏
Mh.Bulaya umelinena vema suala la wastaafu.Umelisemea kwa upole sana suala la kikokotoo cha wastaafu ingawa unakiri ubaya wake.
Watumishi wa Tanzania hawana mtetezi japo ndiyo wanaotekeleza mipango ya maendeleo ya serikali.
Safi sana Ester Bulyaya, viongozi Kama Hawa tunawahitaji sana👍👍👍👍👍
Haya ni majembe, ni mabinti wanaojiamini na wanaoipenda nchi yao na kuitakia mema.. watetezi wa wanyonge, pia kuna mikopo wastaafu wanapewa ambayo riba yake inatisha chili nalo liangalieni!!
Ni wazi Halima Mdee.... Ester Bulaya na wengine👏👏 wanawateteaga sana wananchi...kina mama ni watu wenye huruma..
Mungu azidi kuwaongoza.
Wanawake hoyee!!
Bulaya MUNGU akubariki Sana kwa upendo wako kwa watanzania wote
Esite Bulaya ni mtetezi wa wanyonge mimi ni CCM Esita Bulaya ni kweli kabisa anacho sema hao watu wawili waliyo simama ndio wanao kula sema za wafanyikazi ni wezi Dada Esita Bulaya wape vidonge vyao
Mawaziri tuliyo nao, ndani ya serikali yetu in wengi,walio na uchungu wa nchi hii ni wachache sana,Mungu atuhurumie,hali ni mbaya kwa watanzania.
Big up sana Bulaya
Bulaya Nakupenda Mnoo Yan Una Akili Hadi Zinamwagikia 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Bulaya ni mtetezi wa haki za wafanyakazi. Msikilizeni na serikali itekeleze mapendekezo yake bila kutoa visingizio.
Big up our Bulaya Wabunge wengi mi si waelewi kabisa wanajali matumbo yao tu
Seems Mama wait mishahara Yao NI mikubwa hivyo Hilo haliwaumizi
Hongera Dada Bulaya, Mungu akulinde. Hapa Arusha jiji kuna walimu wanadai mapunjo ya mafao yao kwa zaidi ya miaka mitatu wanazungushwa kila wanapoenda. Nawaomba CHADEMA wawafikirie upya watetezi wa wanyonge hawa. mawaziri wawe wakweli wamwogope Mungu.
Huyu dada kaongea point sana sana. Ni mtetezi wa wafanyakazi huyu. Kuanzia leo namkumbali HUYU Esther. Ana akili sana kuhusu Uhai wa Taifa hususan wanfanyakazi. Kwa kweli wastaafu tupo pamoja na Esther !
Sio wastaafu tu ni wafanyakazi wowote tunamuunga mkono
Nakupenda Sana bulahya very wisdom! Unaongea uhalisia HATA Kama kikokotoo Cha 33% sio rafiki KWA MSTAAFU. Piga galagaza mama yetu Samia Ni msikivu saana! Hatakubali katu unyanyasaji huu KWA watukuka wastaafu Hawa! No longer kitarudi TU 50% vinginevyo wastaafu WENGI watakufa mapema Sana KWA stress.
we muhagama kuwa aibu ccm ni wezi watanzania
Ester Bulaya, Bulaya, Bulaya.
Hekima, Busara, Uzalendo, Akili, vyote unavyo Bint.
Hongera sanax2.
Wafanya kazi wamekusikia, umekua mtetezi wao!!
Mungu Akubariki Sana.
Dada Bulaya unatupenda sana kwa kweli tunavunjika moyo sana unapowaza kupewa mafao yako uliyotoka nayo jasho. Ubarikiwe
Uishi mile mheshimiwa Easter bulaya mungu ayabariki maneno Yako.
Uko vizuri sana. Ubarikiwe una upeo mkubwa wa kazi yako.
Kwa kweli huyu dada ndio shujaa wangu Mimi silielewi kabisa hili swala la kikotoo hata hamsini halitoshi naitaji asilimia 70
😆
Shukran sana Mh Bulaya kututetea jamani wengine ni roho mbaya wanakula wanashiba wana fear displine sio hiari yao ni kubanwa tu
Mungu azidi kukulinda Ester...umuhimu wenu Bungeni ni mkubwa sanaa😍😍
Wewe ni mwakilishi sahihi wa watu, wewe ni mbunge kweli , Jimbo lako limepata mtu , Mungu akusimamie, sisi watumishi Kama wasiporekebisha Sheria hiyo ya kikotozi hicho , kila mtumishi atakufa mapema tu ,
Uko vizuri ndo maana hawakupendi mama!
mh esther buleya hongera sana ww ni mama jasiri na kk bali sasa mama
Bravo Mh. Bulaya!
Barikiwa Ester
Buraya uko sahihi dadaangu watetee watumishi wa umma kwa nafasi ulionayo mnamuhimu sana kuwepo bungeni watu kama nyie mnaetetea masrahi ya watanzania hasa wanyonge nawaomba viongozi wa chadema hasa wale wa ngazi za juu wawasamehe nakuwaruhusu kwa moyo mmoja muendelee kuwepo bungeni kuwatumikia wananchi na kuwatetea
Nakupongeza mheshimiwa Esther Bulaya
Point sana Estar bulaya mpaka mawaziri wengine vichwa vimewasimama
Saf sana Ester,...wasiwapangie watu wazma,..kwann wabaki na hela yao nyng,kdogo ndo wawape!.hao wanawauwa wafanyakaz,..waongeze ziwe 66.7 wanazotaka kubak nazo ili wawalipe kidogokdogo kla mwez km penshen,na hzo 33.3%wanazodai watalpa kwa mkupuo ndyo iwe inalpwa km peshen,!..ester tunakutegemea tupambanie wafanyaz!!..waambie waelewe wasjdai km hawaelewi wakat wanafaham waz kuwa wanaumiza wafanyakaz!.kwann wabakze hela nying kulko wanayoitoa kwa mkupuo??..
Bulaya Mungu akusaidie sana.
If Kikotoo is fair kwa wastaafu, please start with those members of parliament, tuone Kama hiyo agenda itapita.
Yes bulaya
2022 !! Wanawake wa tanzanie munafanya kazi yenu vizuli sana .
Wabunge wa CCM mnatuangusha. Esther anasema kweli. Pesa ni zetu kwann mnatupangia matumizi???? Mbona nyie hampewi 33% mngekuwa mngeona.
Mh Ester ... sisi wafanyakazi tunasema hata hiyo 50% hatutaki ...hao NSSF si wanamiradi wanaingiza pesa sisi watupe ela yetu yote na riba pindi tunavyo maliza mikataba au kustaafu...WAACHE KUIBA NA KUWEKEZA KWENYE MIRADI MIBOVU NDIO WATAPATA ELA ZETU ZA KUTULIPA NA KUACHANA NA HIZO LONGOLONGO ZA ASILIMIA NA MUDA MREFU ...
Kuwe na options za aidha mtumishi alipwe 33.3%,50%,75% au apewe fedha zake zote.Siyo jukumu la serikali kutunza fedha za wastaafu ambao zaidi ya 50% hufariki kambla ya 5 years.Wabunge mbona wanalipwa 100% ya mafao yao kila baada ya 5 years?Hii mifuko ya nssf na psssf ni ya nani hasa?
Tunahitaji Katiba Mpya itakayoweka vitu vyote walivyoharibu hawa CCM nchi hii.
Waziri wa utumishi Mungu anakuona
Ahsante bulaya
Na mpenda sana ESTA Yuko sawa
hongera sana mh buraya
Upo vizuri Ila wataishia kusikiliza hao. Wabunge wao mbna wanachukua full hawana uzalendo hao 2025 wtz tufanye yetu MUNGU atafungua njia
Big up Bulaya your right.
Una daraja F unalipwa million 47 unaifanyia nn hii hela ndogo. Harafu kwa nn muandae mpango wa kutuua mapema? Mungu anawaona
Watu wa mkoa wa mara tuna akili sana …safi sana mbunge
Mheshimiwa Bulaya nakuelewa Sana, Mama Mhagama sijui kwanini amebadilika hivi!
Watumishi mnaongezewa mishahara wananchi wenu waliowapa dhamana wanaangaika maisha magumu.
Tunamshamba ya ngano Arusha yanatosha kulisha afrika nzima tatizo wakimbiz wa 1956 ndio wAnaongoza taifa na wenyeji wAmeduwAa bulaya uko sawa
Ester kwa leo nmekukubal,nmekukubali sana,umeongea poit,..wape vdonge vyao wanaendelea kuwagandamiza watumish na kuwauwa haraka
Hivi kwa nini Ester Bulaya huwa anashindwa kwenye Jimbo lake. Wananchi wa huko bunda mpeni Jimbo huyu. Ana uchungu na nchi
Figisu
Fact Mh. Ester Bulaya
CCM sio chama cha siasa,ni genge la majangiri,wametumia pesa zetu,halafu wanajitetea ni upuuzi mtupu,hoja za mhagama ni upuuzi,na hana aibu kuongea hivo
Harafu huyo Jenister Mhagama huwa anakitetea Sana kikotoo. Hana mapenzi na watumishi wa Tanzania. Mbona ninyi mafao yenu hayana kikotoo? kikotoo ni kwetu watumishi wadogo wadogo tu. Huo mpango ni kandamizi rudisheni ile ya zamani aslimia 50 au iongezwe zaidi. Kwa nini mbaki na asilimia 67 zote hela zangu
Jamani wafanyakazi wastaafu tunanyongwa huku tunaona ushauri tupate wawakilishi toka wastaafu
Ni wangapi hawajajenga huku mtaani kisa maisha magumu ninyi mnapigania mishahara mikubwa na KILA kitu mnalipiwa kwani hapo bungeni mnabeba zege? Tangulizeni maslahi ya taifa mbele na ya wanachi walio wachagua kukosa uzalendo kunaliumiza taifa.
Hayo mawazo ya MH.BULAYA yachukuliwe na wah.Mawaziri kikokotoo hicho hakikubaliki.
Mimi ni ccm lakini bulawayo umenena vema, mimi nawapenda sana napenda muendelee kuwa bungeni, maana munachangamsha bunge
Esta bulaya sister yangu unaongea vitu vya maana kweli.ndgu mungu akubariki sana.serekali wamekuwa wezi sana
Bulaya hapa nakupa heko sana sana kwenye watumishi UPO SAWA KABISA
Akili kubwa sna
Yaan ukiwaza sana mambo haya unaweza kulia
Yaani huyu waziri ndalichako huyu ndo simpendi sana,eti MTU wastaafu halafu akae miaka 30 eti mungu akimjaaalia kweli miaka hii MTU aishi 90miaka!!!yaani tunakuelewa da Esther, wenyewe wanalithishana madaraka sisi wanatugandamiza,waziri muhagama nyamaza KBS yaani tunaelewa sana da Esther tutakupa kura zetu
Taarifa taarifa keleleee tupuu
i hiki kikokotoo kiwahusu na Hawa mawaziri,kwakuwa hakiwahusu ndio maana wanasimama kutetea hicho kikokotoo
Leo mtan Wang umeongea vzr San hakika busara imetawala
Hao wafanyakazi na wastaafu ndio wengi wapiga kura haajaelimishwa yawezekana hawajapata tulsa sahii
Hivi kwanin wabunge wasilipwe kama ambavyo WATUMISHI wanalipwa kwa kikotoo
Yaani Esta bulaya na halima wakikosekana bungeni itakuwa si haki
Kwa kweli hilo swala liangaliwe kwa undani sana hizo asilimia ni ndogo sanaaaaa
Acheni siasa kwenye ukweli Bulaya kaongea ukweli
Kikokotoo cha awali kilikuwa na shida gani? Mpaka kitolewe
Bubaya ulitakiwa uwe waziri sema tu dadangu ndio hivyo dada
Hicho kikokotoo hakikubaliki mh.Bulaya uko sahihi.Rudisheni Cha awali.
Wewe bulaya amuoni wakulima , na wafanyakazi binafis au sarau
Wazr kilaza kwel,yani kaona hiyo ni taarifa ya maana kutoa?
Sasa uko chama gani hili bungee nalo ni la kihuni au kishetani km walivyowekwa
Jenesta muhagama shwaini zake, Kwan Hawa wanaopanga haya madudu aloeleza mtani wangu bulaya sio watumishi wa seriakali au? Maana me sielewi wanabana watu namna hii alafu wao vp?
Hebu bulaya njoo utueleze vzr inaonesha una Siri nyingi tu
Wao ya kwao baada ya miaka 5 mmmmmm, mnyonge lkn haki mpatie duuuuuu
Basi na ninyi wabunge mkiacha ubunge mlipwe 33%
Yaaaani!!!!!!
Kwani wabunge hawastaafu ?
Ndio maana hawa wabunge wanatakiwa waendelee kukaa mjengoni
Nimekupenda bure bulaya
Hivi waziri unajua unachozungumza? Sikilizeni wawakilishi wa watumishi?!!
Mungu akubariki mama, ulichokisema ni ukweli mtupu.
Kaz kudai mishahaara tu matilion kuliko kuangalia masilahi ya nchi
Nikiwa Mp natamani kua kama wewe!...
Kikokotoo kitawaonyesha 2025
Yaani hawa wadada huwa nawapendaga
Nyie si mnashiba tufanye mnavyotaka
usajigweghe ubarikiwe kwarugha yetu
Mawazili wa mchongo
Umeongea mheshimiwa, tunahitaji wabunge kama hawa. Wafanyakazi wanakosa ari ya kazi kwa maslahi mabovu
Serikali haina viona mbali nchi hii.Tazameni trend ya watumishi wanaostaafu kabla hawajafikia umri wa miaka 60 sasa hivi?
Hivi hapa kwetu Tanzania kuna sheria za kazi au mahakama ya kazi?
@@gellangi9694 viongozi wetu wabinafsi Sana wao wanapesa nyingi hawajua na hawajali sio shida zao
Hivi vikokotoo ni wizi Kama wizi mwingine tu.
Magufuri alikikataa kikotoo ....kimeanzia wapi tena? 33 ni nn hii? Are you serious anyway. Mungu anawaona atawalipa muda si mrefu
Hizi taarifa hazina mashiko ukweli mnawaua wastaafu BADILISHENI WARAKAHUO SI MSAHAFU,dhambi kubwa,acheni kuiga ya nchu ziloendelea wakati wastaafu hao ni watu maskini,kajibana,afya duni,anaomesha, kalipa kodi kwa asilimia mia kila mwezi,mazingira duni kazn LEO ANAPANGIWA Pesa yakel??kikokotoo kifutwe mtende haki
Hii ni Baraka sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼
ruclips.net/video/cgb-mXBbADk/видео.html
Kwa hiki kikokotoo specialties hakuna atakae kaa nchini kufanya kazi
Hao wakubwa wa Tukta na Talgu ni kina yes tu hakuna kukataa na hawasaidii chochote wafanya kazi wanafukuzwa bila sababu na hawawatetei wamekaa kutukata pesa yetu wanashibisha matumbo yao na hao hatuwataki
saiv hamna vyama vya wafanyakazi
Bulaya wafanyakazi no wasomi Kuna wahasibu wachumi Wana vyama vyawafanyakazi wanashidwa kudai haki zao achana nahawo wajinga wanashidwa kudai haki zao pesa zao zinafanyamaendeleo ya taifa.ndiyo kusudi lahizofedha.watumishi wajinga achana nawo
Naona kichefuchefu nisije tapika acha bulaya nakumbuka ulijitahidi Sana kupambana na mwenda zake.akailisha Sasa wameanza Tena.
Watumishi wangalitambua kuwa wabunge wanapo maliza miaka Murano serikari inakuwa imewalipa karibu billion mbili mishahara pdm.usafiri pdm kwenda ulaya matibabu watumishi wangalijuwa pesa zinavyo liwa hakika wangeliya machozi najilaumu hero nisingesoma niwe Kama wapiga Kyra was ccm. .wasiyo juwa kinachoendelea
Ndalichako unazingua