ESTER BULAYA AFUNGUKA A-Z MAISHA ya NDOA / KIFO CHA WAZAZI WAKE, MAHUSIANO YAKE na HALIMA MDEE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2023
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 52

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Год назад +2

    Nakupendaga sana, nawapenda sana wanawake majasiri akiwemo Jokate, Halima, Joyce Kiria na wengineo Mungu azidi kuwatunza...

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Год назад +1

    Upo vizuri Kaka Mende👍

  • @nuratmokiwa1636
    @nuratmokiwa1636 Год назад +2

    Hongera sana

  • @kiulazepha6041
    @kiulazepha6041 Год назад +3

    Zebwelaaa unafoka sanaa unapigaa makelele😂😂😂ila nakukubalii sanaa

  • @octaviantito
    @octaviantito Год назад +1

    Uwezo wa kifedha utalisha familia na kujenga nyumba, ila upendo na heshima hujenga familia bora. Kila kimoja kinahitaji imani na muda wa kukijenga vizuri.

  • @josephtheophill6918
    @josephtheophill6918 Год назад

    Wasafi mnashindwa kuuliza maswali mhimu mnauliza maswali ya hovyo

  • @user-oy9wr2zc6x
    @user-oy9wr2zc6x Год назад

    Nice

  • @user-sf7ni7ht7h
    @user-sf7ni7ht7h 11 месяцев назад

    Kweli sana dada

  • @florachogo243
    @florachogo243 Год назад

    Mrembo sana

  • @ntullyipopo2287
    @ntullyipopo2287 Год назад +3

    Hapo kwenye kikokotoo ndio penyewe selikali inatuumiza wastaafu

  • @EvancFranz-wl6qw
    @EvancFranz-wl6qw Год назад +1

    Kuzeeka wajib kuchakazwa kupend

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 11 месяцев назад +1

    Anamacho makali huyu dada Ila hongera

  • @SmilingChicken-ws9to
    @SmilingChicken-ws9to Месяц назад

    Siasa ni kujali matatizo ya jamii

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Год назад +2

    Una bahati ulikutana na family yenye upendo,mengine yangebagua katika kununua nguo,kwenye kaxi mnagaguliwa.Mapakashume yajifunxe kupitia Bulaya na mkewe.

  • @joycekasimbazi-pt3tq
    @joycekasimbazi-pt3tq Год назад +6

    Dada umenifurahisha kweli uzee ni stress tusikatae

  • @gracemsalila7735
    @gracemsalila7735 Год назад

    19

  • @user-oy9wr2zc6x
    @user-oy9wr2zc6x Год назад

    Saafi

  • @murtan5027
    @murtan5027 Год назад +5

    Yani huyu jamaa hana kabisa ushawisi ktk hiko kipindi heshima sana kwa salma Dakota na zembwela 🤝

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад +1

    Huyu dada nampenda sana,hasa pale anapokua anachangia mada bungeni.

  • @mwijagenelsoni357
    @mwijagenelsoni357 Год назад +1

    Unambeba mtu anageuka adui siku hiz wengi wamekata tamaa kusaidia coz maisha yenywe yamekuwa ghali sana

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Год назад

    Duuuh yaani mtu miaka 45 ndio uanze maisha siumechelewa sana uajiriwe ajira mshahara unalipa kodi kula na kuvaaaa ustaafu miaka 45 upewe kiinua mgongo milioni 20 ujenge nyumba ufungue biashara mmmh maisha magumu kwakweli kila mtu na njia zake wengine miaka 25 tu tushashika zaidi ya milioni 500 na mali viwanja vigari vipo kweli mshukuru Mungu kwa ulichonacho kiwe kikubwa au kidogo wengine hawana kabisa

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Год назад

    Wanajaribu kujisafisha kupitia media!

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Год назад +1

    Sio Utamaduni maisha yanavyoendelea tough life ndio manake

  • @jescamgegela8253
    @jescamgegela8253 Год назад +1

    Hao PSSF siwapendi, yaani ingekua amri yangu nisingekuwemo kwenye huo mfuko ila kwakuwa ni lazima mtumishi wa umma kuwa kwenye huo mfuko....basi nimekua mpole walinidhulumu fao langu la uzazi, nilifanya kila walichohitaji kwa wakati, nikafanya kauchunguzi kuuliza wenzangu kila ninayemuuliza hajalipwa😢. Hapa tupo kazini, tunanguvu yakufuatilia, tukizeeka itakuwaje?.....Jamani tafuteni pesa mkiwa na nguvu hayo mafao yawe nyongeza tu.

    • @dapinitiative2451
      @dapinitiative2451 Год назад +1

      Pole Sana jaman! Dah pole jesca

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 11 месяцев назад

      Siha hata hamu nao unawaza fomu halafu hawajui pesa zako yaani sijawasameheee yoyote aliyekula haki yanguuu

  • @nsajigwamwakalonge5702
    @nsajigwamwakalonge5702 Год назад +1

    SASA YEYE ANATUHUSU NINI SISI,?

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Год назад +1

    NYERERE AMEYAKUTA HAYO USIAMINISHE WATU KUWA NYERERE AMELETA HUO UTAMADUNI.

  • @massawemrlowprice3949
    @massawemrlowprice3949 Год назад +2

    Sauti ipo down sana

  • @evertheobald1811
    @evertheobald1811 Год назад

    Et sijatoka chini ya mti 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Год назад +1

    Mbunge hewa

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Год назад +17

    Baba angu alisema, maisha yamebadilika watu wamekuwa wachoyo kwa sababu ya maendeleo, mtu anapiga mahesabu akianza kazi anataka TV, gari nzuri, Simu kali na new technologies zote kuasi ya kwamba hata mishahara yenyewe haitoshi! Hata mimi nadhani hiyo ndo sababu kubwa, enzi za Baba zetu hapakuwa na technologies kwa hiyo hapakuwa na unnecessary matumizi. In short .kizazi hiki watu wachoyo na wabinafsi.

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Год назад +1

    Huyo mtangazaji mwingine kaka buyu kamlia buyu Ester bulaya kama hayupo hajaongea chochote ila nimecheka sana my ribs 😂😂😂😂zembwela alivyomaliza na kumwambia na wewe utazeeka vile vile

  • @mann9460
    @mann9460 Год назад

    Mh. Ester kuna vitu vya msingi anavikosa ukweli ni kwamba mara ndiyo mkoa ambao watu (wazazi na watoto) hawatambui tofauti ya baba wa kambo au baba mdogo au mkubwa kulingana na mila zao hasa enzi hizo hiyo tofauti haikuwepo kabisa nikioa mwanamke mwenye watoto wanakuwa wangu kabisa na hakuna maswali hasa wakuryq hivyo huyo dada hakupata nafasi ya kuyajua hayo ni kwl mm mwenyewe nikuwa nikiyaona hayo na nina shiriki kutekeleza hilo linasaidia mno hapa nlipo watito watoto wa kaka hawajui mipaka na mm sjui mipaka kwa maana ya kuwahudumia na jamii kwa ujumla hahahhaa

  • @hamidasaba1557
    @hamidasaba1557 10 месяцев назад

    Maswali mengine majibu mengine

  • @florachogo243
    @florachogo243 Год назад +1

    Haaaaaa,kuzeeka wajibu ,kuchakaa uzembe wako

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 Год назад +2

    DUU!KWAHIYO WANAOISHI KIJIJINI BUNDA NI WATUHUMIWA?🤣WENYE MIMBA🤣,

  • @paulsamuel5691
    @paulsamuel5691 11 часов назад

    Tunataka viongozi kama wewe kikokotoo hiki ni wizi tunapigwa nchi hii

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 Год назад

    Wanasema halina ni mmeo

    • @user-oy9wr2zc6x
      @user-oy9wr2zc6x Год назад

      Wakina Nani wanasema no research no right to speak.

  • @SmilingChicken-ws9to
    @SmilingChicken-ws9to Месяц назад

    Ester bulaya bunda one

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 7 месяцев назад

    Macho sasa

  • @ChipugeLaulian-fz1mv
    @ChipugeLaulian-fz1mv Год назад +1

    Jembe la Wana bunda

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 Год назад

    Huna lolote.Wahujumu uchumi nyie