ESTER BULAYA AFUNGUKA A-Z MAISHA ya NDOA / KIFO CHA WAZAZI WAKE, MAHUSIANO YAKE na HALIMA MDEE
HTML-код
- Опубликовано: 8 май 2023
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Nakupendaga sana, nawapenda sana wanawake majasiri akiwemo Jokate, Halima, Joyce Kiria na wengineo Mungu azidi kuwatunza...
Upo vizuri Kaka Mende👍
Hongera sana
Zebwelaaa unafoka sanaa unapigaa makelele😂😂😂ila nakukubalii sanaa
Uwezo wa kifedha utalisha familia na kujenga nyumba, ila upendo na heshima hujenga familia bora. Kila kimoja kinahitaji imani na muda wa kukijenga vizuri.
Wasafi mnashindwa kuuliza maswali mhimu mnauliza maswali ya hovyo
Nice
Kweli sana dada
Mrembo sana
Hapo kwenye kikokotoo ndio penyewe selikali inatuumiza wastaafu
Kuzeeka wajib kuchakazwa kupend
Anamacho makali huyu dada Ila hongera
Siasa ni kujali matatizo ya jamii
Una bahati ulikutana na family yenye upendo,mengine yangebagua katika kununua nguo,kwenye kaxi mnagaguliwa.Mapakashume yajifunxe kupitia Bulaya na mkewe.
Dada umenifurahisha kweli uzee ni stress tusikatae
Q❤❤❤❤q❤q❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
19
Saafi
Yani huyu jamaa hana kabisa ushawisi ktk hiko kipindi heshima sana kwa salma Dakota na zembwela 🤝
Jamaa gani
Huyu dada nampenda sana,hasa pale anapokua anachangia mada bungeni.
Unambeba mtu anageuka adui siku hiz wengi wamekata tamaa kusaidia coz maisha yenywe yamekuwa ghali sana
Umeongea kweli kabisa
Duuuh yaani mtu miaka 45 ndio uanze maisha siumechelewa sana uajiriwe ajira mshahara unalipa kodi kula na kuvaaaa ustaafu miaka 45 upewe kiinua mgongo milioni 20 ujenge nyumba ufungue biashara mmmh maisha magumu kwakweli kila mtu na njia zake wengine miaka 25 tu tushashika zaidi ya milioni 500 na mali viwanja vigari vipo kweli mshukuru Mungu kwa ulichonacho kiwe kikubwa au kidogo wengine hawana kabisa
Wanajaribu kujisafisha kupitia media!
Sio Utamaduni maisha yanavyoendelea tough life ndio manake
Hao PSSF siwapendi, yaani ingekua amri yangu nisingekuwemo kwenye huo mfuko ila kwakuwa ni lazima mtumishi wa umma kuwa kwenye huo mfuko....basi nimekua mpole walinidhulumu fao langu la uzazi, nilifanya kila walichohitaji kwa wakati, nikafanya kauchunguzi kuuliza wenzangu kila ninayemuuliza hajalipwa😢. Hapa tupo kazini, tunanguvu yakufuatilia, tukizeeka itakuwaje?.....Jamani tafuteni pesa mkiwa na nguvu hayo mafao yawe nyongeza tu.
Pole Sana jaman! Dah pole jesca
Siha hata hamu nao unawaza fomu halafu hawajui pesa zako yaani sijawasameheee yoyote aliyekula haki yanguuu
SASA YEYE ANATUHUSU NINI SISI,?
NYERERE AMEYAKUTA HAYO USIAMINISHE WATU KUWA NYERERE AMELETA HUO UTAMADUNI.
Sauti ipo down sana
Et sijatoka chini ya mti 🤣🤣🤣🤣🤣
Mbunge hewa
Baba angu alisema, maisha yamebadilika watu wamekuwa wachoyo kwa sababu ya maendeleo, mtu anapiga mahesabu akianza kazi anataka TV, gari nzuri, Simu kali na new technologies zote kuasi ya kwamba hata mishahara yenyewe haitoshi! Hata mimi nadhani hiyo ndo sababu kubwa, enzi za Baba zetu hapakuwa na technologies kwa hiyo hapakuwa na unnecessary matumizi. In short .kizazi hiki watu wachoyo na wabinafsi.
0tr
Pole sana hongera sana
@@robertalphan5533 thanks 🙏
Safi sana Ester.
Huyo mtangazaji mwingine kaka buyu kamlia buyu Ester bulaya kama hayupo hajaongea chochote ila nimecheka sana my ribs 😂😂😂😂zembwela alivyomaliza na kumwambia na wewe utazeeka vile vile
Mh. Ester kuna vitu vya msingi anavikosa ukweli ni kwamba mara ndiyo mkoa ambao watu (wazazi na watoto) hawatambui tofauti ya baba wa kambo au baba mdogo au mkubwa kulingana na mila zao hasa enzi hizo hiyo tofauti haikuwepo kabisa nikioa mwanamke mwenye watoto wanakuwa wangu kabisa na hakuna maswali hasa wakuryq hivyo huyo dada hakupata nafasi ya kuyajua hayo ni kwl mm mwenyewe nikuwa nikiyaona hayo na nina shiriki kutekeleza hilo linasaidia mno hapa nlipo watito watoto wa kaka hawajui mipaka na mm sjui mipaka kwa maana ya kuwahudumia na jamii kwa ujumla hahahhaa
Maswali mengine majibu mengine
Haaaaaa,kuzeeka wajibu ,kuchakaa uzembe wako
DUU!KWAHIYO WANAOISHI KIJIJINI BUNDA NI WATUHUMIWA?🤣WENYE MIMBA🤣,
Tunataka viongozi kama wewe kikokotoo hiki ni wizi tunapigwa nchi hii
Wanasema halina ni mmeo
Wakina Nani wanasema no research no right to speak.
Ester bulaya bunda one
Macho sasa
Jembe la Wana bunda
Huna lolote.Wahujumu uchumi nyie