Breaking News: Kimenuka Bungeni, Mnyika Atolewa Nje na Askari, Upinzani Wasusia Bunge
HTML-код
- Опубликовано: 1 июн 2017
- Breaking News: Kimenuka Bungeni, Mnyika Atolewa Nje na Askari, Upinzani Wasusia Bunge
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
DODOMA: Mbunge wa Jimbo la Kibamba, John Mnyika leo alisababisha kuzaazaa Bungeni Dodoma baada ya kugoma kutoka nje ya Bunge alipoamuriwa na Spika Job Ndugai kutokana na kile kilichodaiwa kukataa kuketi kama alivyoamuriwa na kiongozi huyo wakati mijadala ikiendelea.
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Chokochoko hizo ziliibuka baada ya Mbunge wa Mvumi, Livingstone Lusinde kudai kwamba wapinzani bungeni humo wanatetea wezi wa mchanga wa dhahabu.
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Mnyika ilibidi asimame na kutoa mwongozo kwa kusema wao wapinzani sio wezi isipokuwa walichokuwa wakikisema ni kulalamikia mikataba mibovu ya madini ambayo imeingiwa na serikali na kusababisha kufikia hapa tulipo.
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Wakati Mnyika akiendelea kumpa taarifa Lusinde, mbunge ambaye hajajulikana jina alisikika akisema kwa sauti ‘mwizi’, hali iliyomfanya Mnyika kumuomba spika amjuwe aliyemuita mwizi, hata hivyo, Spika Ndugai akawa anamsisitizia akae chini.
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Alimuomba kukaa chini mara tatu lakini Mnyika hakutii ndipo Ndugai alipomuamuru atoke nje lakini pia hakutoka, hivyo akawaita askari wa bunge aliowaamuru waingie ndani na kumtoa nje kwa nguvu mbunge huyo kijana.
Kuona hivyo Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na yule wa Bunda, Ester Bulaya, waliingilia kati kuwazuia askari wa bunge kumtoa nje Mnyika, hali iliyoleta tafrani, hata hivyo, alitolewa na kwenye lango la kuingilia bungeni, alisukumwa na ‘kutupwa’ nje ya mjengo.
Spika alitangaza kumsimamisha kuingie bungeni Mnyika kwa wiki moja na Bulaya na Mdee alisema wataandikiwa barua ili wakahojiwe na Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge.
SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Review. Ester Bulaya sio mbunge wa CCM. Mmekosea kuandika...
Big up upinzan we lv U
mkiona Hamna point bungeni msiende bakieni na wananchi majimboni
sijaona chama cha kuwatoa CCM tanzania....never and won't happen
hatari sio kwa kutupwa huko uwiii
nchihii inaongozwa kifisiem kwetu kule Zanzibar tunasema rahaa telee tabu yanini
kazi imeanzaa nihatari sanaaa
ajasema baadhi ya wabunge amesema tupimwe wote
sasa bado mnatetea wezi???
wapimweeeeeee teba kama mnyika anakula bangi huyo
mmmh jamani alivyosukumwa sasa mnyika wa watu
yangu majichoo soo macho tena mazee
buraya anafudishwa asungzee nini mnataka viboko
tz bahati mbaya
ili bunge moja ya bunge lenye maana kuwai kutokea
ester umeongea kwa uchungu mpaka imenigusa nyie wengine mnacoment pasipo kufuatilia tukio toka mwanzo
ipo siku nchi hii kitaeleweka tu watu wanafanya nchi kama yao...
piganeni nao tu hakuna mtu asiejua kama huyo spika wa CCM lakini hakuna jinsi
Hili Bunge haliwezi kuwa na adabu bila idadi ya wabunge wa pinzani hawataongezeka.Ccm na serikali yake niwababe,wazandiki,wanafiki,na wanaroho za kisheti.Msukuma na kibajaji ni madomo kaya tu nawala siogopi hizo sheria za mitandaoni hata maana tulitungiwa sisi wapinzani ccm na serikali yao yote ni wasengerema.
Ndavid Mhanuzi fact...ili nchi yetu iwezekuendelea lazima tuwe na upinzani imara wenye uwezo kuhoji na kufanya maamuzi .xo hilo litawezekana pale idadi ya wabunge wa upinzani itakapongezeka . cha msingi wasikate tamaa wapambane
Ndavid Mhanuzi Serious bro
Mnawafukuza Bungeni kwa hila,halafu mnataka wawe Wazalendo!mbona haiwezekani.Hivi yule askari aliyemsukumiza Mh.Mnyika pale langoni,hivi yule ni askari wa Bunge au jambazi?Hivi askari ana weledi na kazi take?Mbunge anamdhalilisha vile,vp raia wa kawaida si atamuua?.
Yani apo nishida kwakweli
hawa wameenda kutuwakilisha bungeni au kupoteza muda
sasa mlivyosusa faida yake ni ipi
spika ni upendeleo wa hali ya juu,halima mdee aliwasha maik akakutukana spika,leo mbunge mmoja kawasha maik kumtukana mnyika umembeba huo ni upendeleo wa hali ya juu spika jilekebishe
Mtoto kwa mama hakui. Airtel Baba lao
mbon halim alimtukn spika na hakuomb radhi hapo hapo baad ya siku kadha ndo
Rosemary Benjamin dada uko outdated sana, mdee aliomba msamaha na akashangiliwa na kutetewa na wabunge wote
Fazeel Shomary ci baada ya siku kadha ndo tuliskia achen mambo ya kurupshn mgetulia msubil mkubwa wenu anasemj ndo muanz kupank
Rosemary Benjamin sas msamaha uliombwa au lah? then kauli yako ni ya uongo
Fazeel Shomary ulombwa lkin baada ya siku kadha
hivi hii nchi tunaelekea wapi vile
the real situation is that kuna ubaguzi bungeni. chama tawala kinabebwa sana na hii kitu itakuja icost nchi baadae viongozi wajuu wasipokuwa makini
Tanzania mbona ivo kwani hao wezi waliwekwa na selikari ipi
jaman aman ni kitu muhimu kuliko hayo mnayo yafanya jaman
😀😀😀 kila siku kugoma,
twende Kazi kitaeleweka tu
Bunge la tz linachekesha san
Duh!
dhahiri naibu spika anaupendeleo sana,atende haki kwenye maamuzi
alisema tupwimwe. (wote) sio wapinzani tu.Hampendi maendeleo sijui nani aliwachagua .Machine ya kupimia iletwe.. Kama mpirani .
awa chadema wanataka wawe wanasikilizwa wao tu nyinyi mnatukana mmetuchosha
mhhh mm siwezi kusema sana ,maana nitakuja kutafutwa ramadhani hii na malengo yangu nimalize ramadhani kwa amani ,hii nchi hii mhh ,,ww ukimtukana mboe sawa ,lowasa sawa ,seif ,sawa ,zito ,sawa ,lakini usimtukane ila kosowa tu kuhusu ccm mara ,mhhh utaiona dunia,,,mbunge kessy alisema ingelikua yeye roma mkatoliki engelikiona kwa kumtukana raisi ,,ivi ni nyimbo gani ya roma inayomtusi raisi?Tanzania hamna kitu mbunge wa ccm anakosoa serikali ,mbunge mwengine wa ccm anaomba taarifa ,where we going?
Hao Hawajikua
aisee nishidaaaaaa
Bunge linakosa mwelekeo wa kiuweledi. upendeleo umezidi
jamaani sote tulio angalia crip tumesikia Mnyika akiitwa mwizi so sikuona sababu ya spika kusema anasikia ilikuwa ni kumsimamisha aliyesema atengue kauli kikao kingeenderea kwa amani mimi naona spika atoe suala la uchama anapokuwa bungeni kwani yeye pale anakuwa kama baba atakiwi kupenderea upande mmoja mimi ni ccm lakini kwa hapo spiker ameenda kombo kkwa usema kweli
hawana jipya hao
Tatizooooo mnatetea wezi tokeni tu.
huo ni utoto wanaofanya upinzani tumewachagua watutatulie matatizo xio huo utoto wanaoleta huo
Hao wabungee kikosi changoma Kanga moko vigodoro vechenparty mana katolewa moja wanatoka wote Kwani wanatoka Jimbo moja huwo ni ujinga mnakula posh za bure mda wenu umeisha hatuto wachagua tena
Nawanao wapa kula akili zao hazina machoooo
spika, anasema hana masikio ya kusikiliza pembeni kwanini kwa wengine wa upande wa pili huwa anasikia akina mdee?tuwe wawazi
Ahaha haaaaaa Tanzania ya matajili na kudidimiza maskin
nahisi wabunge kupimwa akili ni jambo la msingi,maana utoto mnaoufanya hapo bungeni duhh,kama wapiga kura wenu huko majimboni wana akili 2020 hamrudi.
fikra zenu ni finyu sana hata walio wachagua nyie wanajuta na endeleen kutoka hivyo hivyo mpaka 2020 na kodi zetu mnashiba tu bule kwa mishahara yetu msio ifanyia kaz nanyie mungu anawaona pia asahv tz nikaz tu token wote ikibid nabado mambo yata kaaa sawa.
Daudi Mariseli tulia ww Fanya yko siasa achia wenyw wenye siasa
Kwa ujinga wa mnyika anaofanya kazi imemshinda nampongeza sana spika kwa ma'amuzi yake
mbona hayo makelele ya kawaida tu mnapigaga kelele hovyo hovyo, nyie tokeni mtarudi tu kama wakati ule
bunge likiongozwa na huyu mwanamke ni shida kila cku wala cjui kwann alipata nafac kama hii mtu ana upendeleo kila kukicha!! bulaya uko right
Nilijua watatete wezi Wa madini,huo ndo upinzani Wa Tanzania.
Hakiamungu chadema niwezi yaani hata mfanyeje Raisi kaisha washutukia we esta blaya msagani
usijifanye kujua sana ww bulaya..hivi Refarii akimpa Redcard mchezaji ,mbona wachezaji hawatoki? Acheni utoto
wabunge wetu wa upinzani kwenye hoja za maana ndipo kwenye vurugu. acheni uhuni watanzania tunawaona na endeleeni kukutea tu wezi wa rasilimali
Uongo haudumu msiiishi kwa kukalili siasa faki hazita dudumu ukweli unajulikana
nyinyi wabunge wacheni hizo fanyeni mambo ya msingi mfano kubadilisha sheria ya madini na sio bla bla bla tuu,kama watz kuibiwa madini tumeshaibiwa sana tuu
ujinga unaofanywa WA kwamba demokrasia ni kushangilia matakwa ya serikali ni ujinga uliotukuka
Bora wapimwe hao wengi vichaaaa tuuu Mbona mnyika amesema Serekali wezi, hakusema wengine amesema wabunge wote wapimwe akili akiwa na yeye pia,
Mmmmh hii nchi ina watu wapumbav cjapata kuona wanaona kutoka kwa wapinzani ni ujinga ko mlitaka wabaki unafikir kingeendelea nin baada ya pale kama si kupigana? kwanza Mimi naupongeza xna upinzani wa Tanzania unazidi kuonyesha ukomavu wa khari ya juu la hasivyo mgeshuhudia ugomvi kama unaotokea kwenye mabunge mengine kama majirani zetu Kenya, wanatwangana Mara kibao jambo linakuwa linaleta uvunjifu wa amani kwa taifa, kwa mtu mwenye upeo mzuri lazima atawapongeza wapinzani kwa kuepusha Shari ambayo ingewezatokea pindi wangebaki ndani acheni kuchangia kama hamjafatilia mlolongo mzima wa tukio husika na kama umefatilia mlolongo mzima na bdo unaponda upinzani kutoka kwao nje basi ww ni mpumbavu. namaanisha Haujui na haujui kama haujui na hautaki kujua ww sifa yko kubwa ni mpumbavu. namaliza kwa kuwapongeza wapinzani kwa ujumla wao.
ccm wanakotupeleka ni pabaya mno.
Mmeanza utoto wenu tena
ccm msituzarau huo ushabiki Wenu pelekeni kwa rais Wenu sisi huwa hatubembelezi serikali yenu ya kinafki
atuna lakfanya tukanyagwe kama chula
kumbe ndio suluhisho kutoka nje
Salim Mustafa wakae wanafanya nn sibora utoke kuepusha shari
Salim Mustafa
Hali ifuatwe
Tatizo la nchi hii ni ushabiki tunafanya siasa kama simba na yanga na ndiomaana hata coment zetu si za kutafakari mwanzo wa tukio mpaka linapoishia tutafakari nduguzangu na ndipo tutafaham nani alikosea nanani alikua sahihi
well done
kweli j4 ujue Watz ndo tabia zetu
hivi nyie mnawakomesha SERIKALI au WANANCHI acheni uhini
GENIUS ONLY CANA UNDERSTAND THIS, ILA MOST OF THE PIPO COMMENTING INSIDEHERE ARE FOOLS, But we genius understand what it meanss
HAWA WABUNGE BAADHI YAO HAWAPO KWA AJILI YA WANANCHI WAO.BALI KWA MASLAHI BINAFSI,MASLAHI MAPANA YAMEACHWA.
Hawa chadema pumbavu sana
cio kutoka nje acheni na mjiuzuru tu mala cion kaz yenu uko Bungen nyie wapinzan
Paul Emmanuel aaah! huoni kazi yao? nenda kaulize kwenye majimbo yao na usiseme bila kufikiri zaidi Muogope Mungu
du hapa kazi2 nyinyi wapizan majipu2
Aliesema upinzani hawana akili hata yeye ni mvuta bangi
Haki Fanyawewe
Nawewe sheheyamekukuta yepi
Yaani nyie Lusinde ndio kiboko yenu... tokeni tushawachokaa
hivi wezi nchi hii ninani kati ya serikali na upinzani maana zikiletwa hoja bungeni nazamuhimu kwataifa kwanza zinaletwa kwa dharula tena kwasiku mbili au tatu na kwavyovyote inavyotaka serikali ndiyo hivyo inavyokuwa maana wabunge wengi ni ccm wanaalama mwisho naunga mkono hoja sasa leo mikata ya madini kweli taifa tunapata asilimia 4% kati yamia hivi kweli haya tuwalaumu kina mnyika minadhani wabunge wajuwe wajibu wao ni kuishauli serikali nakuisimamia hivi kweli sipika mtu anaomba kuhusu utaratibu unamtisha kuwa anamchokoza Lusinde hivi hajui kuwa lusinde nimsema hovyo sasa hapo kiti kinatenda haki kweli ndugai wewe nikiongozi makini nandiyo maana leo upo hapo usiishi kwamatamanio yamtu timiza wajibu wako usiendeshe bunge hivyo wee watu wanaimani nawewe wananchi tunaumia sana
FIKRA ZA MONOPART STILL ZIPO FIKRANI MWA WATU NA WANAZIAPPLY
wameaza utoto wao tena tumewazoea hawana jipya watoke
Owen Nyorido mbna ww jipya huna lakin atuongei acha ujinga www
Shikeni adabu nyie
washapewa chao. waende tu tushawazoea kulia lia... Kwani sio siri Mnyika si Mwizi. aje atuoneshe alilolifanya jimboni kwake.
Saba Simba acha ushamba ww
Neema Mush Mshamba ww mpuuzi unae watetea wapuuzi na washamba wenzako. mmekosa akili ya darasa hata ya maarifa pia??? akili kuambia nyie, akili zenu mmeshikiwa km bakuli la uji.... Kwann uumie kuitwa Mwizi km kweli sio mwizi. Endeleen kutetea upuuzi tuone km mtafaidika. Tena next time dont reply upuuzi to my msgs. jenga hoja km huwezi kakojoe ukalale
we itakua hata iyo CM umepewa na mume wadadako mana kwaakili zako uwez nunua CM
Omary Mbalala sasa ww mbona roho inakuuma sana na ww si uende wakupe mume wakukupumulia???? Ndio wale wale kazi kulia lia tu... njoo na ww uolewe... wapuuzi wakubwa mmezoea vya bure nyie vilaza . Wasomi Brainless...
spika wetu ni mbumbu tu
kimenukaaaaa
yaan mkitoka bunge linaendelea km kawa mtajua kwenye majimbo yenu
+Mem Meme unaongea hd mishipa inasimama
mnyika hakuwa mtulivu
mi jamani navojua ukipigwa ngumi na unauzalendo lazima ukomae kupigana nae mpaka kufa na si kukimbia ukitoka manake maamuzi wafanye wao mi naona kutoka bado sio busara coz wataendelea kufanya maamuz na badae mtasema walifanya maamuz wenyew busara kukomaaa humohumo
uzalendo mnao Mimi cioni kinachowafanya mtoke coz ukiambiwa mwizi huchubuki wala hautapungukiwa zaidi Kama kesho kunaishu ya kupitisha tutawaita wezi ili mtoke tena coz huo ndo udhaifu wenu nas tutafanya yetu mkomae humohumo Kama kweli nyinyi mnauzalendo
hata tundu lisu aliita wenzake wasio na akili hawawezi kujua inakuwaje nyie mjisikie vibaya
ill skillz 😂😂😂😂
Faraji Mrutu sasa Tundu lisu ana akili? ??
we unazo kuliko tundu lisu hebu tupe cv yako
Unaweza ukawa na akili ukakosa maarifa
Faraji Mrutu kweri hakili sio tija
Nendeni huko kila Siku mnatoka bungeni ni upumbavu msitueleze ujinga wenu, hatujawatuma kutoka bungeni waone wanavyojisikia ujinga mtupu.
Mathias Festo Ivi ww huko wapi? maana inawezakana kazi huna?
huko majimbo mliko wa chagua wa bunge wa ccm kwanini msibadilishe mwelekeo maana sasa atuoni msaada wao.lakini jambo moja na mpongeza mtukufu rais ana cha uccm hukikosea nje hakuna cha kada wa chama kwake.
upinzani wa tanzania ni kama hayawani,mradi waongewe tu,watoke wasirudi kabisa shwaayyyn zao
jaman mwenye macho haambiwi aone hiyo ndo wabunge wetu
cio kutoka nje acheni na mjiuzuru tu mala cion kaz yenu uko Bungen nyie wapinzan
Paul Emmanuel jiuzulu ww ziro br