KIMENUKA! MPINA ATAKA KIFO CHA MAGUFULI KICHUNGUZWE, MABEYO ATAJWA, MAKONDA NA CHALAMILA KUSHTAKIWA?
HTML-код
- Опубликовано: 18 апр 2024
- #TANZANIA: Kimenuka! #Mpina# ataka #kifo cha #Magufuli kichunguzwe, #Generali #Mabeyo atajwa, #Makonda na #Chalamila kushtakiwa?
Wangapi wanataka tume iiundwe gonga like hapa...👇👇👇
Mm hapa nataka tumeiundwe na wakibainika wanyongwe hadharani
Tume iundwe Kwa Watanzania wote waliofariki kwa utata na wailiopotea ktk mazingira pia yenye utata
Sio tume Kwa ajili ya Magu Tu
Waend Chp Chp
Tume iundwe kabisa
Huyu atatufaa sana akiwa Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿. God bless you .
Nchi ya kusadikika,ukiongea neno moja lililo wafurahisha basi unafaa kuwa rais
@@FridayMwassaungekua mbunge unaweza kuongea hichi anachokiongea apa acha kuongea ujinga ww
Katika wabunge wa CCM wenye akili ni Mpina na msukuma
Maadaui wako hawatakugusa tena maana uko kwenye vita kubwa nakufunika kwa damu ya yesu amen.
Jamani mpina ulikuwa wapi baba yaani nimekupenda bure mpina nakupenda baba nibora mmoja ajiripue tu kama tunataka kufika mbali
Nyuma yake kuna jambo so, usidhani ni kichwa kichwa tu ndugu.
ASANTE Mh.Mpina kwa pendekezo la kuunda Tume ya kuchunguza kifo cha Hayati Jemadari Mzalendo,jasiri,Tingatinga,Mchapa KAZI Na Nyota iliyong'ara Tanzania Afrika na kuzimika ghafla Dr Magufuli ,ili kama kuna tatizo tupate jibu Tutashukuru sana kama Bunge litafanyia KAZI ushauri wa Mheshimiwa Mpina
Mhe. Magufuli hakuna shaka ameuwawa lakini hakuzikwa hafla.
Ye hafiz na corona?
Hiyo Tume Ni fitna Tupu!!!
Walete Tu FBI au Metropolitan Police! Serikali ina Hela za kuchezea kwanini mtumie Tume za hapo hapo wakati Mafisadi waliomuua Bado wameshika Mpini????
@@hajihassan5433Ata kama alizikwa baada ya mwaka,wananchi hatujaambiwa kwanini alikufa??Na kuna mauza uza mengi yalitokea Inabidi watu wawajibishwe!
hiyo tume labda itoke mbinguni sio hao - - - -
Hongera mheshimiwa kwa uwazi
Kifo cha Magufuli kweli kichungyzwe
Ni kweli kifo cha Magu kinasikitisha sana lakini na yeye pia anashutumiwa kuuwa watu wrngi sana kuliko kiongozi yeyote alietawala nchi hii.Illifika mahali watu wakawa wanaokotwa kila siku kwenye fukwe za bahari ya Dar watu wakiwa wsmetiwa ndani ya viroba.Watu walitekwa na watu wasiojulikana na mpaks leo hawajaonekan tena nsfamilia zao z8meshajua kuwa wameuawa.kuuliea kwa essndizhi wa habar ns wanaharakati ns kupigwa risasi kwa wanasiasa,hayoyote yachunguzwe kwani hao wote waliofanyiwa ushenzo huo nibinadamu n wamezsliwa na mama kama alivyozaliwa Magufuli.Tusijizimr data kuangalia upande mmoja tu.
On point MAGUFULI achunguzwe kifo chake
Hongera mehemiwa Mpina unasema ukweli mtupu
Safi sana Hawa viongozi ndoo watanzania wanahihiji god bless you
Hawa fisiem wanafiki SANA,akipigwa chini ndio anaanza kuzungumzia demokrasia,wizi na utawalabora.
5:36
@@michaelmacha2659 ukiwa mbuge ndiyo unatakiwa uongee, maana waziri ni sehemu ya serikali kuu, ndiyo maana mawaziri kwa sasa wapo tu Kimyaa.
Ndugu Mpina upo vizuri.
Safi sana watanzania bado tupo kwenye giza nene atujui kilicho mkuta rais wetu mpendwa #rip JPM
Kilichomkuta ni kifo tu cha kawaida ila ugonjwa corona 😅😅😅
Napenda kuwaona wabunge kama Hawa
Hiyo ni kweli,mwamba alikufa Kwa ajabu sana
Mpina Ndugu yangu Tanzania ya watu hii😢
Huyu ni kiongozi bora sana
Hongera Mpina Kwa hoja yako...
safi sana na chakushangaza hakuna mtu yeyote aliyochukuliwa hatua aisee
Sukuma gang
NATO wamehusika kabisa Haina mashaka kuendeleza kuwaogopa ni upumbavu
😂😂😂😂😂
Wapumzisheni NATO tuangalie na waarabu baadae ya kifo ndio wamekuwa wawekezaji wakubwa apa bongo😂😂
@@charlesboniphace2249point 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
@@charlesboniphace2249 NATO wa hovyo sana hawataki mashamba yawndelee yawe na viwanda wanajua ajira kwao itakuwa hamna, ilipigwa serikali nzima toka kina mahega bosi wao katibu mpaka waziri wa ulinzi gavana na w pesa iliobaki kidogo aende wenye serikali Yao wenzetu magharibi wanawatimua kwa Kasi kubwa
Safi sana mm nipo pamoja na ww mungu akusaidye
Actually tusipokuwa makini Kwa hili inawezekana ni mpango wa wenyewe waliohusika wanatakakujifanya wema kumbe wanatuchora tuwe very careful kutambua watakao Fanya uchunguzi huo ili ijulikane na haki itendeke bila kuangalia maslahi au sura na heshima za watu Kwa sababu JPM angekuwepo mpaka sasa nafikiria tungesha fika mbali sana na tungekuwa kwenye rank ya mataifa makubwa
Asanteee sana tunawaombea kwa Kazi njema mnayofanya
Nikweli kabisa Mpina nakupongeza 👏👏👏
Sawa kiongozi ilo swala ni bola Sana ili wote ni watanzania na watekaji naoifanyiwe kazi sio ilo tuu na wasio julikana watafutwe Kaka Asante kiongozi
Kifo cha JPM kichunguzwe😮 tena haraja😢
VIVA COMRADE MPINA....WATANZANIA TUKO NA WEWE!
Hapo watanzania watakua wametendewa haki
Kwani wabunge nyinyi tuliwachaguwa tuliwachaguwa kweli😊
Mpina unastahili sana kuendelea kuwepo hapo mjengoni. Umeongea smart sana
Kweli Kabisaaa uchunguzi ufanyike, bado tunamajonzi makubwa
Mpina uko sawa kabisa, JPM walimuuwa kumbe, mbona walificha kifo chake,tume iundwe kweli kifo cha JPM
Yupo sahihi
Ukweli watanzania wengi hatukuridhika kabisa alikufaje?
Kila mtu ataonja kifo. Musilete kufuru. Mbona ham chunguzai vifo vingine vingi tu k.m nyerere, maalim seif, membe n.k
Yaniii HILI Mhimu Sana hili
Wewe mbunge unastahili pongezi
Bro kama n kweli upo serious Mungu akutangulie
Magufuli aliuwawa watanzania wote tunajua ila yote haya Hakim mkuu ni mwenyezi mungu nawahusika wote lazima watalipa kwa hili
Hongera sana Mh.Mpina wewe ni mzalendo,Watanzania tuko nyuma yako na tunakuombea sana
jeshi la mtu mmoja ilo
safi Sana mzee
Safi sana naomba iwe ivyo
YANI NAOMBA SANA SKU NIWE RAIS MIMI NIKIAPISHWA TUUU CHAKWANZA NI KICHUNGUZA KIFO CHA RAISI magufuli wanainchi wanaumia sana
May God bless you
Safi sana uchunguzi uwepo
Ili tumchunge hata Mama yetu
Fact
Tunakoelekea sasa mta muabudu , unafik tu na kugawa watu, hawa jamaa tushajua true color yao, Basi vichunguzwe vyote Nyerere, Mkapa, Mwinyi, Sokoine, Karume n.k
Hao ndio wanafiki wakubwa wanatafuta kiki uchaguzi unakuja apewe cheo na hana Sera ataongea nini kazi za maendeleo zina fanyika ki ufanisi zile sheria za magu zipo zimewekwa kando tu ikibidi tutazirudisha yeye hapo achukuliwe hatua huo ni uchochezi tosha
Sasa unafiki wake ni nini na hayo anayosema yamesemwa hadharani? Acheni ujinga
Iwe amekufa au ameuwawa kwa imani yangu HAKUNA mtu yoyote atakaeongeza au kupunguza chochote kwenye UHAI wa mtu.
Hauwezi kuonashida yeyote kwasababu una akili ya kitumwa wewe kila kitu ni sawa tu ,
Ikitokea tatizo lisiposhugulikiwa litaendelea so utakuwa wakupoteza. Tulipoteza tuinyeshe msimamo tusipoteze tena. Hukuelewa. Ukifiwa mtoto ktk mazingira ya kutatanisha hutafuatilia kwaajiri ya kulinda walio baki😮
Big up ndg mbunge
NINGEKUWA SIIJUI CCM NINGEKUPONGEZA KWA MANENO YAKO, ILA SIWEZI KUKUPONGEZA SABABU NAIJUIA CCM YAKO.
Uko sawa
Kweli na ukweli utaongea daima😢
Hongera mpina
Hapo sasa naanza kupata matumaini mapya,kifo cha jpm kuchunguzwa? Aaaah mungu simama ktk hili ili kusitokee ukilitimba haki ikatendeke kwa mpendwa wetu,miss you my president daaaah😭😭😭😭
Hawa ni viongozi ambao tunawahitaji kwa sasa.
Nampenda sana huyu jamaaa
Nashukuru sana tuamuke yametimia
Ni kweli mkuu watajwe kwa majina vinginevyo waache kuropoka
Kuna hisia ,uhalisia na hofu ya kulinda maslahi
Inaonekana hata ukinyimwa fomu mwakani sawa tu potelea mbali umeacha legacy
Gud sana
Achana na hiyo habari kaka, Ushauri wangu
Big Brain kiukwel kwenye ccm umebaki wew na msukuma tu
Nikweli kuna kilipu zilivuja kua ngoja aje dar es Salam mshamba tumuoneshe
Twaijua nchi nzuri kubwa tena mashuhuri mashariki mwa Afirika ......
Very true
Jahbles you brother
Mmmhh mi naguna tu maana mungu ndo atakae hukumu kwa waliohusika na kifo cha Rais wetu mpendwa
Sijui kama serekali inafatilia Aya maneno . Kifo Cha magufuri ichunguzwe
Huyu jamaa aweza kuwa ndiye rais inayomhitajia Tanzania.
Ni kweli naunga mkono hoja
Umeongea vzr sana ivi kweli raisi anaumwa tunashindwa kupewa taarifa tunakuja kuambiwa tu tunamasikitiko raisi hatuko naye mimi usingizi ulikata cku hiyo nativii hd leo nikauza cna hd sasa maana taariza za habari zilikuwa hazinipiti
Safiiii kabisa
😅😅😂mpina unawaza vzr lkn majibu ya CCM kiujumla uwezikupata ukweli chini ya utawala wa Samia 😂😂😂😂😂😂😂😂 serikali saivi imekua ni serikali ya uongo
Hapo sawa
Mzoga ukinuka inzi wakusanyika kushelekea?
Acha ujinga kuna mzungu alikuwa hospitali alipokuwa akilazwa.
Aliuwawa na watanzania wenyewe
Sema na shambulio la lisu
Upo sasa kiongozi!!!!.
Huwezi kupeleka kesi ya mbuzi kwenye mahakama ya fisi
Tunakuunga.mkono🎉
JAMANI TUMUACHE MWENDA ZAKE APUMZIKE JAMANI WATANZANIA.......!
Kutaja inawezekana lkn baada yakupima madhara na faida
Mzimu wa JPM umefufuka!
Vipi kuhusu Tundu Lissu??
Amina itasaidia uondoa uoga kwa wazalendo 🎉🎉🎉🎉❤
Mnafiki tu huyo kwanza waunde tume ya tundulisu
Mbona unajaribu kupigana na ukweli alicho kisema ni nukuu za maneno amboyo kila mtu kayasikia
@@shabanipanya1033 kwani ya hakuna nukuu za tundulisu km haki ifanywe
Mpina ukosahihi kabisa shika hapohapo
@@AbdullahOmar-be4wy dah-labda umesahau tafsiri ya neno mnafiki ,,mnafiki hasa ni yule mwenzako na wewe ukaamini huyu ni mwenzangu kumbe ni msaliti bila ya wewe kujua kwa hiyo mnafiki ni mwana chadema ambae hajaimiza na azungumzii tume ya kuchunguza swala la lisu mpina yeye amezungumzia udhaifu wa chama chake na serikali ya chama chake kuonyesha ni jinsi gani ni mzalendo na sio mnafiki mambo ya kudai haki za mwana chadema ni za chadema
TUNDU LISSU MWENYEWE ANAHUSIKA KWENYE KUMUUA DADDY ILIKUAJE YY AJUE MAGUFULI AMEFARIKI KABULA YA SISI AMBAO NI BABA YETU UHAKIKA GANI ALIKUA NAO KAMA DADDY HATA SIMAMA KAMA SIO SUMU? ALANIWE ATAKAYE KUA UPANDE WA ALIYE WASHAWISHI WAZUNGU WAKAMATE NDEGE ZILIZONUNULIWA NA KODI ZA WA TANZANIA REST IN HAPPY DADDY JHONI FOREVER WE WILL CONTINUE TO REMEMBER YOU FOR THE A GOOD THINGS
Ulizaliwa cku moja utakufa cku moja sema
Watakuandama mpina ccm hawataki kuambiwa ukweli , n mipawa gasili was sakasaka butuli
Kuna fulani alifunga mjadara bungeni, nakumbuka baada ya hapo wote wakanyamaza kulinda ugali wao
Nani alikataa kuapishwa kwa Mama Samia?
Mpina apewe ulinzi tuko vibaya taifa limeagamia mpina ame gusa kidonda amina
Kuanzia leo mi nataka uwe raisi we ni mwamba
Mimi napata mashaka na hili si amini magufuli alikufa kwa haki
Vigogo wana kuangalia tu we endelea utapata🎉maua yako
Namkubali sana huyu jemedali
Sema baba
Kifo cha magufuli kilitoka inje ya inchi
TANU AFRICA tunakupongeza sana mh mbunge wa kiesa Mpina na tunaunga mkono kila ulichokisema .
❤
Tulipigwa rungu kichwani tukazimia Sasa tumezinduka nakuunga mkono kichunguzwe
Rais aliacha huru yeyote mwenye Taarifa zozote za kifo hicho apeleke Taarifa je uliwasilisha Taarifa hizo
❤❤❤❤upo sahihi kaka ichunguzwe kweli
Hata vifo vya Dr Omar Ali JUMA na MAALIM Seif
Naamini kifo ni sekunde tu,ila hiki cha Rais anayelindwa na anayefanyiiwa uchunguzi wa afya kila kukicha,ndio afe kiboya hivi! Hapana. Usalama wajiulize wapo kazini ama wanauza sura mitaani na miwani zao nyeusi kama wagonjwa wa macho