KIMENUKA! MPINA ATAKA KIFO CHA MAGUFULI KICHUNGUZWE, MABEYO ATAJWA, MAKONDA NA CHALAMILA KUSHTAKIWA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 апр 2024
  • #TANZANIA: Kimenuka! #Mpina# ataka #kifo cha #Magufuli kichunguzwe, #Generali #Mabeyo atajwa, #Makonda na #Chalamila kushtakiwa?

Комментарии • 322

  • @naturesoul6261
    @naturesoul6261 15 дней назад +97

    Wangapi wanataka tume iiundwe gonga like hapa...👇👇👇

    • @HajiJuma-xw7vh
      @HajiJuma-xw7vh 10 дней назад

      Mm hapa nataka tumeiundwe na wakibainika wanyongwe hadharani

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 9 дней назад

      Tume iundwe Kwa Watanzania wote waliofariki kwa utata na wailiopotea ktk mazingira pia yenye utata

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 9 дней назад

      Sio tume Kwa ajili ya Magu Tu

    • @titomisigaro4759
      @titomisigaro4759 8 дней назад

      Waend Chp Chp

    • @SaimonRichard-wv5yx
      @SaimonRichard-wv5yx 8 дней назад

      Tume iundwe kabisa

  • @htx1873
    @htx1873 14 дней назад +30

    Huyu atatufaa sana akiwa Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿. God bless you .

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 14 дней назад

      Nchi ya kusadikika,ukiongea neno moja lililo wafurahisha basi unafaa kuwa rais

    • @user-nh3jt3dr5w
      @user-nh3jt3dr5w 13 дней назад

      ​@@FridayMwassaungekua mbunge unaweza kuongea hichi anachokiongea apa acha kuongea ujinga ww

    • @barakamartine2452
      @barakamartine2452 11 дней назад

      Katika wabunge wa CCM wenye akili ni Mpina na msukuma

  • @lusatofikili6000
    @lusatofikili6000 13 дней назад +10

    Maadaui wako hawatakugusa tena maana uko kwenye vita kubwa nakufunika kwa damu ya yesu amen.

  • @Mlilapi
    @Mlilapi 15 дней назад +25

    Jamani mpina ulikuwa wapi baba yaani nimekupenda bure mpina nakupenda baba nibora mmoja ajiripue tu kama tunataka kufika mbali

    • @zakariamalembela3974
      @zakariamalembela3974 13 дней назад +3

      Nyuma yake kuna jambo so, usidhani ni kichwa kichwa tu ndugu.

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 15 дней назад +39

    ASANTE Mh.Mpina kwa pendekezo la kuunda Tume ya kuchunguza kifo cha Hayati Jemadari Mzalendo,jasiri,Tingatinga,Mchapa KAZI Na Nyota iliyong'ara Tanzania Afrika na kuzimika ghafla Dr Magufuli ,ili kama kuna tatizo tupate jibu Tutashukuru sana kama Bunge litafanyia KAZI ushauri wa Mheshimiwa Mpina

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 15 дней назад

      Mhe. Magufuli hakuna shaka ameuwawa lakini hakuzikwa hafla.

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 15 дней назад

      Ye hafiz na corona?

    • @myself4128
      @myself4128 14 дней назад

      Hiyo Tume Ni fitna Tupu!!!
      Walete Tu FBI au Metropolitan Police! Serikali ina Hela za kuchezea kwanini mtumie Tume za hapo hapo wakati Mafisadi waliomuua Bado wameshika Mpini????

    • @myself4128
      @myself4128 14 дней назад

      ​@@hajihassan5433Ata kama alizikwa baada ya mwaka,wananchi hatujaambiwa kwanini alikufa??Na kuna mauza uza mengi yalitokea Inabidi watu wawajibishwe!

    • @user-is4om8ci1y
      @user-is4om8ci1y 7 дней назад

      hiyo tume labda itoke mbinguni sio hao - - - -

  • @peterboa8862
    @peterboa8862 15 дней назад +21

    Hongera mheshimiwa kwa uwazi

  • @FrecoShirima-qb1qo
    @FrecoShirima-qb1qo 15 дней назад +43

    Kifo cha Magufuli kweli kichungyzwe

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s 15 дней назад

      Ni kweli kifo cha Magu kinasikitisha sana lakini na yeye pia anashutumiwa kuuwa watu wrngi sana kuliko kiongozi yeyote alietawala nchi hii.Illifika mahali watu wakawa wanaokotwa kila siku kwenye fukwe za bahari ya Dar watu wakiwa wsmetiwa ndani ya viroba.Watu walitekwa na watu wasiojulikana na mpaks leo hawajaonekan tena nsfamilia zao z8meshajua kuwa wameuawa.kuuliea kwa essndizhi wa habar ns wanaharakati ns kupigwa risasi kwa wanasiasa,hayoyote yachunguzwe kwani hao wote waliofanyiwa ushenzo huo nibinadamu n wamezsliwa na mama kama alivyozaliwa Magufuli.Tusijizimr data kuangalia upande mmoja tu.

  • @moingamollel3163
    @moingamollel3163 15 дней назад +10

    On point MAGUFULI achunguzwe kifo chake

  • @jameswanyancha5940
    @jameswanyancha5940 15 дней назад +19

    Hongera mehemiwa Mpina unasema ukweli mtupu

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 15 дней назад +37

    Safi sana Hawa viongozi ndoo watanzania wanahihiji god bless you

    • @michaelmacha2659
      @michaelmacha2659 14 дней назад

      Hawa fisiem wanafiki SANA,akipigwa chini ndio anaanza kuzungumzia demokrasia,wizi na utawalabora.
      5:36

    • @zakariamalembela3974
      @zakariamalembela3974 13 дней назад

      ​@@michaelmacha2659 ukiwa mbuge ndiyo unatakiwa uongee, maana waziri ni sehemu ya serikali kuu, ndiyo maana mawaziri kwa sasa wapo tu Kimyaa.

  • @user-qv4jb7mt5q
    @user-qv4jb7mt5q 15 дней назад +14

    Ndugu Mpina upo vizuri.

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 15 дней назад +21

    Safi sana watanzania bado tupo kwenye giza nene atujui kilicho mkuta rais wetu mpendwa #rip JPM

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 13 дней назад

      Kilichomkuta ni kifo tu cha kawaida ila ugonjwa corona 😅😅😅

  • @petermbezi202
    @petermbezi202 14 дней назад +7

    Napenda kuwaona wabunge kama Hawa

  • @user-sy2mp7mm8u
    @user-sy2mp7mm8u 15 дней назад +6

    Hiyo ni kweli,mwamba alikufa Kwa ajabu sana

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 15 дней назад +12

    Mpina Ndugu yangu Tanzania ya watu hii😢

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 14 дней назад +6

    Huyu ni kiongozi bora sana

  • @lemsanyajoel8360
    @lemsanyajoel8360 12 дней назад +3

    Hongera Mpina Kwa hoja yako...

  • @mathewm7115
    @mathewm7115 15 дней назад +16

    safi sana na chakushangaza hakuna mtu yeyote aliyochukuliwa hatua aisee

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 15 дней назад +22

    NATO wamehusika kabisa Haina mashaka kuendeleza kuwaogopa ni upumbavu

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 15 дней назад +5

      😂😂😂😂😂
      Wapumzisheni NATO tuangalie na waarabu baadae ya kifo ndio wamekuwa wawekezaji wakubwa apa bongo😂😂

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 14 дней назад

      ​@@charlesboniphace2249point 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍

    • @jumamnumbwa9483
      @jumamnumbwa9483 14 дней назад

      @@charlesboniphace2249 NATO wa hovyo sana hawataki mashamba yawndelee yawe na viwanda wanajua ajira kwao itakuwa hamna, ilipigwa serikali nzima toka kina mahega bosi wao katibu mpaka waziri wa ulinzi gavana na w pesa iliobaki kidogo aende wenye serikali Yao wenzetu magharibi wanawatimua kwa Kasi kubwa

  • @yusuphmakangemakange4474
    @yusuphmakangemakange4474 15 дней назад +11

    Safi sana mm nipo pamoja na ww mungu akusaidye

  • @user-oo3kc2cj8n
    @user-oo3kc2cj8n 13 дней назад +5

    Actually tusipokuwa makini Kwa hili inawezekana ni mpango wa wenyewe waliohusika wanatakakujifanya wema kumbe wanatuchora tuwe very careful kutambua watakao Fanya uchunguzi huo ili ijulikane na haki itendeke bila kuangalia maslahi au sura na heshima za watu Kwa sababu JPM angekuwepo mpaka sasa nafikiria tungesha fika mbali sana na tungekuwa kwenye rank ya mataifa makubwa

  • @abelmbega3707
    @abelmbega3707 14 дней назад +5

    Asanteee sana tunawaombea kwa Kazi njema mnayofanya

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 14 дней назад +13

    Nikweli kabisa Mpina nakupongeza 👏👏👏

  • @BakariBuma-yj7sz
    @BakariBuma-yj7sz 15 дней назад +9

    Sawa kiongozi ilo swala ni bola Sana ili wote ni watanzania na watekaji naoifanyiwe kazi sio ilo tuu na wasio julikana watafutwe Kaka Asante kiongozi

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 14 дней назад +4

    Kifo cha JPM kichunguzwe😮 tena haraja😢

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 15 дней назад +4

    VIVA COMRADE MPINA....WATANZANIA TUKO NA WEWE!

  • @ezronwilson9965
    @ezronwilson9965 15 дней назад +34

    Hapo watanzania watakua wametendewa haki

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 13 дней назад

      Kwani wabunge nyinyi tuliwachaguwa tuliwachaguwa kweli😊

  • @lazarolaurent8800
    @lazarolaurent8800 15 дней назад +9

    Mpina unastahili sana kuendelea kuwepo hapo mjengoni. Umeongea smart sana

  • @eliasmpanilehi3221
    @eliasmpanilehi3221 14 дней назад +5

    Kweli Kabisaaa uchunguzi ufanyike, bado tunamajonzi makubwa

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 11 дней назад +2

    Mpina uko sawa kabisa, JPM walimuuwa kumbe, mbona walificha kifo chake,tume iundwe kweli kifo cha JPM

  • @emanuelawe-ur5hf
    @emanuelawe-ur5hf 11 дней назад +2

    Yupo sahihi

  • @frbm1729
    @frbm1729 15 дней назад +10

    Ukweli watanzania wengi hatukuridhika kabisa alikufaje?

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 14 дней назад

      Kila mtu ataonja kifo. Musilete kufuru. Mbona ham chunguzai vifo vingine vingi tu k.m nyerere, maalim seif, membe n.k

  • @geophreymlelwa
    @geophreymlelwa 13 дней назад +2

    Yaniii HILI Mhimu Sana hili

  • @donizzo9570
    @donizzo9570 15 дней назад +10

    Wewe mbunge unastahili pongezi

  • @bensonelisa3225
    @bensonelisa3225 13 дней назад +2

    Bro kama n kweli upo serious Mungu akutangulie

  • @NyamkechaTv
    @NyamkechaTv 12 дней назад +2

    Magufuli aliuwawa watanzania wote tunajua ila yote haya Hakim mkuu ni mwenyezi mungu nawahusika wote lazima watalipa kwa hili

  • @eliasmpanilehi3221
    @eliasmpanilehi3221 14 дней назад +8

    Hongera sana Mh.Mpina wewe ni mzalendo,Watanzania tuko nyuma yako na tunakuombea sana

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde8061 15 дней назад +6

    jeshi la mtu mmoja ilo

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 15 дней назад +10

    safi Sana mzee

  • @cosein
    @cosein 15 дней назад +7

    Safi sana naomba iwe ivyo

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 14 дней назад +2

    YANI NAOMBA SANA SKU NIWE RAIS MIMI NIKIAPISHWA TUUU CHAKWANZA NI KICHUNGUZA KIFO CHA RAISI magufuli wanainchi wanaumia sana

  • @jitathminitv3429
    @jitathminitv3429 15 дней назад +6

    May God bless you

  • @samhadas788
    @samhadas788 12 дней назад +1

    Safi sana uchunguzi uwepo
    Ili tumchunge hata Mama yetu

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 14 дней назад +4

    Fact

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 15 дней назад +7

    Tunakoelekea sasa mta muabudu , unafik tu na kugawa watu, hawa jamaa tushajua true color yao, Basi vichunguzwe vyote Nyerere, Mkapa, Mwinyi, Sokoine, Karume n.k

    • @MasangulaGoa
      @MasangulaGoa 15 дней назад

      Hao ndio wanafiki wakubwa wanatafuta kiki uchaguzi unakuja apewe cheo na hana Sera ataongea nini kazi za maendeleo zina fanyika ki ufanisi zile sheria za magu zipo zimewekwa kando tu ikibidi tutazirudisha yeye hapo achukuliwe hatua huo ni uchochezi tosha

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 15 дней назад +1

      Sasa unafiki wake ni nini na hayo anayosema yamesemwa hadharani? Acheni ujinga

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 15 дней назад +10

    Iwe amekufa au ameuwawa kwa imani yangu HAKUNA mtu yoyote atakaeongeza au kupunguza chochote kwenye UHAI wa mtu.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 14 дней назад

      Hauwezi kuonashida yeyote kwasababu una akili ya kitumwa wewe kila kitu ni sawa tu ,

    • @annachristersimon
      @annachristersimon 12 дней назад

      Ikitokea tatizo lisiposhugulikiwa litaendelea so utakuwa wakupoteza. Tulipoteza tuinyeshe msimamo tusipoteze tena. Hukuelewa. Ukifiwa mtoto ktk mazingira ya kutatanisha hutafuatilia kwaajiri ya kulinda walio baki😮

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 15 дней назад +7

    Big up ndg mbunge

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 11 дней назад +1

    NINGEKUWA SIIJUI CCM NINGEKUPONGEZA KWA MANENO YAKO, ILA SIWEZI KUKUPONGEZA SABABU NAIJUIA CCM YAKO.

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 15 дней назад +6

    Uko sawa

  • @user-qp2pq1uq4k
    @user-qp2pq1uq4k 14 дней назад +2

    Kweli na ukweli utaongea daima😢

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 15 дней назад +7

    Hongera mpina

  • @user-kr6zt6np5s
    @user-kr6zt6np5s 14 дней назад +1

    Hapo sasa naanza kupata matumaini mapya,kifo cha jpm kuchunguzwa? Aaaah mungu simama ktk hili ili kusitokee ukilitimba haki ikatendeke kwa mpendwa wetu,miss you my president daaaah😭😭😭😭

  • @ElishadaiSam-rq3hl
    @ElishadaiSam-rq3hl 12 дней назад +1

    Hawa ni viongozi ambao tunawahitaji kwa sasa.

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 15 дней назад +4

    Nampenda sana huyu jamaaa

  • @achiamasolwa2015
    @achiamasolwa2015 6 дней назад

    Nashukuru sana tuamuke yametimia

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 15 дней назад +4

    Ni kweli mkuu watajwe kwa majina vinginevyo waache kuropoka

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 14 дней назад +1

    Kuna hisia ,uhalisia na hofu ya kulinda maslahi
    Inaonekana hata ukinyimwa fomu mwakani sawa tu potelea mbali umeacha legacy

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 14 дней назад +2

    Gud sana

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 15 дней назад +2

    Achana na hiyo habari kaka, Ushauri wangu

  • @felixboniphace
    @felixboniphace 15 дней назад +4

    Big Brain kiukwel kwenye ccm umebaki wew na msukuma tu

  • @khamisikasusura204
    @khamisikasusura204 12 дней назад +1

    Nikweli kuna kilipu zilivuja kua ngoja aje dar es Salam mshamba tumuoneshe

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 14 дней назад +1

    Twaijua nchi nzuri kubwa tena mashuhuri mashariki mwa Afirika ......

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 15 дней назад +4

    Very true

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy 15 дней назад +2

    Jahbles you brother

  • @SamwelMasisa-qy2zb
    @SamwelMasisa-qy2zb 14 дней назад +1

    Mmmhh mi naguna tu maana mungu ndo atakae hukumu kwa waliohusika na kifo cha Rais wetu mpendwa

  • @user-hr5qr7mt1r
    @user-hr5qr7mt1r 14 дней назад +1

    Sijui kama serekali inafatilia Aya maneno . Kifo Cha magufuri ichunguzwe

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 14 дней назад +1

    Huyu jamaa aweza kuwa ndiye rais inayomhitajia Tanzania.

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z 12 дней назад +1

    Ni kweli naunga mkono hoja

  • @estheroscar6520
    @estheroscar6520 14 дней назад +1

    Umeongea vzr sana ivi kweli raisi anaumwa tunashindwa kupewa taarifa tunakuja kuambiwa tu tunamasikitiko raisi hatuko naye mimi usingizi ulikata cku hiyo nativii hd leo nikauza cna hd sasa maana taariza za habari zilikuwa hazinipiti

  • @Kaka-frank
    @Kaka-frank 15 дней назад +2

    Safiiii kabisa

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 12 дней назад +1

    😅😅😂mpina unawaza vzr lkn majibu ya CCM kiujumla uwezikupata ukweli chini ya utawala wa Samia 😂😂😂😂😂😂😂😂 serikali saivi imekua ni serikali ya uongo

  • @stewartmdebe4314
    @stewartmdebe4314 15 дней назад +2

    Hapo sawa

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 15 дней назад +6

    Mzoga ukinuka inzi wakusanyika kushelekea?

    • @hassangasaba4565
      @hassangasaba4565 15 дней назад +2

      Acha ujinga kuna mzungu alikuwa hospitali alipokuwa akilazwa.
      Aliuwawa na watanzania wenyewe

  • @BenedictKilanga
    @BenedictKilanga 15 дней назад +3

    Sema na shambulio la lisu

  • @user-is4om8ci1y
    @user-is4om8ci1y 7 дней назад

    Huwezi kupeleka kesi ya mbuzi kwenye mahakama ya fisi

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 14 дней назад +1

    Tunakuunga.mkono🎉

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 13 дней назад

    JAMANI TUMUACHE MWENDA ZAKE APUMZIKE JAMANI WATANZANIA.......!

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 14 дней назад +1

    Kutaja inawezekana lkn baada yakupima madhara na faida

  • @erickwanjarajr5707
    @erickwanjarajr5707 14 дней назад +1

    Mzimu wa JPM umefufuka!

  • @AmanLaizer-rb5rt
    @AmanLaizer-rb5rt 15 дней назад +1

    Vipi kuhusu Tundu Lissu??

  • @annachristersimon
    @annachristersimon 12 дней назад

    Amina itasaidia uondoa uoga kwa wazalendo 🎉🎉🎉🎉❤

  • @AbdullahOmar-be4wy
    @AbdullahOmar-be4wy 15 дней назад +22

    Mnafiki tu huyo kwanza waunde tume ya tundulisu

    • @shabanipanya1033
      @shabanipanya1033 15 дней назад +2

      Mbona unajaribu kupigana na ukweli alicho kisema ni nukuu za maneno amboyo kila mtu kayasikia

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 15 дней назад

      @@shabanipanya1033 kwani ya hakuna nukuu za tundulisu km haki ifanywe

    • @lameckbalekere1962
      @lameckbalekere1962 15 дней назад

      Mpina ukosahihi kabisa shika hapohapo

    • @shabanipanya1033
      @shabanipanya1033 15 дней назад

      @@AbdullahOmar-be4wy dah-labda umesahau tafsiri ya neno mnafiki ,,mnafiki hasa ni yule mwenzako na wewe ukaamini huyu ni mwenzangu kumbe ni msaliti bila ya wewe kujua kwa hiyo mnafiki ni mwana chadema ambae hajaimiza na azungumzii tume ya kuchunguza swala la lisu mpina yeye amezungumzia udhaifu wa chama chake na serikali ya chama chake kuonyesha ni jinsi gani ni mzalendo na sio mnafiki mambo ya kudai haki za mwana chadema ni za chadema

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 14 дней назад

      TUNDU LISSU MWENYEWE ANAHUSIKA KWENYE KUMUUA DADDY ILIKUAJE YY AJUE MAGUFULI AMEFARIKI KABULA YA SISI AMBAO NI BABA YETU UHAKIKA GANI ALIKUA NAO KAMA DADDY HATA SIMAMA KAMA SIO SUMU? ALANIWE ATAKAYE KUA UPANDE WA ALIYE WASHAWISHI WAZUNGU WAKAMATE NDEGE ZILIZONUNULIWA NA KODI ZA WA TANZANIA REST IN HAPPY DADDY JHONI FOREVER WE WILL CONTINUE TO REMEMBER YOU FOR THE A GOOD THINGS

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 15 дней назад +1

    Ulizaliwa cku moja utakufa cku moja sema

  • @JoshuaMutinda-fb4fu
    @JoshuaMutinda-fb4fu 15 дней назад +1

    Watakuandama mpina ccm hawataki kuambiwa ukweli , n mipawa gasili was sakasaka butuli

  • @kapongorashid6534
    @kapongorashid6534 10 дней назад

    Kuna fulani alifunga mjadara bungeni, nakumbuka baada ya hapo wote wakanyamaza kulinda ugali wao

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 14 дней назад +1

    Nani alikataa kuapishwa kwa Mama Samia?

  • @achiamasolwa2015
    @achiamasolwa2015 6 дней назад

    Mpina apewe ulinzi tuko vibaya taifa limeagamia mpina ame gusa kidonda amina

  • @KalebiXewando
    @KalebiXewando День назад

    Kuanzia leo mi nataka uwe raisi we ni mwamba

  • @user-pk5yi3gh3f
    @user-pk5yi3gh3f 8 дней назад

    Mimi napata mashaka na hili si amini magufuli alikufa kwa haki

  • @Elisha-qn8rc
    @Elisha-qn8rc 9 дней назад

    Vigogo wana kuangalia tu we endelea utapata🎉maua yako

  • @michaelboniface7003
    @michaelboniface7003 11 дней назад

    Namkubali sana huyu jemedali

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 15 дней назад

    Sema baba

  • @yvonnnewhite4339
    @yvonnnewhite4339 14 дней назад

    Kifo cha magufuli kilitoka inje ya inchi

  • @tanunewstz
    @tanunewstz 13 дней назад

    TANU AFRICA tunakupongeza sana mh mbunge wa kiesa Mpina na tunaunga mkono kila ulichokisema .

  • @fatumasaidimmependezamjeng8994
    @fatumasaidimmependezamjeng8994 8 дней назад

  • @user-tl1nz7qx2l
    @user-tl1nz7qx2l 13 дней назад

    Tulipigwa rungu kichwani tukazimia Sasa tumezinduka nakuunga mkono kichunguzwe

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 13 дней назад

    Rais aliacha huru yeyote mwenye Taarifa zozote za kifo hicho apeleke Taarifa je uliwasilisha Taarifa hizo

  • @user-lx2yc8tj5h
    @user-lx2yc8tj5h 15 дней назад

    ❤❤❤❤upo sahihi kaka ichunguzwe kweli

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 14 дней назад +4

    Hata vifo vya Dr Omar Ali JUMA na MAALIM Seif

  • @jimmysameji3602
    @jimmysameji3602 9 дней назад

    Naamini kifo ni sekunde tu,ila hiki cha Rais anayelindwa na anayefanyiiwa uchunguzi wa afya kila kukicha,ndio afe kiboya hivi! Hapana. Usalama wajiulize wapo kazini ama wanauza sura mitaani na miwani zao nyeusi kama wagonjwa wa macho