😭😭 nimefarijika kusikia Kama alipata upako wa mwisho naamini alipata kitubio kabla ya sakramenti ya mwisho, walio wake Mungu amewachagua hata dakika ya mwisho atawaokoa. Amepumzika kwa amani mpendwa wetu.
Mbele yako nyuma yetu. Hakika tutakukumbuka kwa mengi ulliyo fanya. Daima tunakuombea mungu akuondolee na adhabu ya kaburi. Daima tunakuombea pumzika kwa aman amen.
Kuna jambo halkuwa vzur ndio maana aliomba arudishwe nyumbn, huenda wazee wangemuwekea mikono ya baraka angepona,,,Kuna sku maelezo yatanyooka tu....najiulizaga kwann mzee aliumwa hivyo na serkal ilificha?
Huyu kamanda mbona mwili wake unaongea mengi kuliko mdomo?? Anasema mda huo makamu hakuwa Dar alikuwa mbali,mbali ni Tanga??waziri alikuwa Dodoma, kamanda mdomo ni mzito,karuhusiwa kusema machache, anasema hadi Magufuli anakufa mkewe hakuwako, nyie watu
Sasa na wewe askari km ulikuwepo na alikuambia umrudishe kwao wewe ulikataa kwann? yeye alijua pengine angelishugulikiwa na ndugu zake angepona. hapo ulimkosea sana kumkatalìa.
Kwa hiyo mkuu wewe ulimtii amili jeshi wako alipokuwa mzima ilikuwaje alipougua ukakaidi maagizo yake na kugoma kumludisha nyumbani ina maana amili jeshi anasthili utii anapokuwa mzima akiumwa hastahili utii jamani mbona hapo sijapaelewa ?
@@fortunendyamukama3906 tunasema mambo yaliyo sikika dunia nzima sio siri tunazungumza kutokana na mambo tulio sikia wakukamatwa ni yule alie tuelezea na hao walio kuwa kwenye mamlaka wamemsikia na wamemuacha tu azidi kutueleza na wanamjua na wala hajifichi sura wameheshimu freedom of speech nenda kwenye U-Tube andika hivi (kifo cha raisi magufuri generali mabeho kimeibua maswali 10,,,SK-Media on line)
Pumzika kwa amani our hero president jpm, pongezi kwa cdf mabeyo
Kurudishwa nyumbani inaonekana kuna jambo aligundua sio zuri akachukizwa bora afie nyumbani kwake kuliko huduma aliyopewa hapo
Dah kama naww imekugusa hii tujuane
Nimejifunza jambo sana ,hadi anaumwa lakin bado anasimama na msimamo wake alikufa kishujaa sana mwamba huyu
CDF kwanini mlificha ukweli mkasema Rais ni mzima na anaendelea na ziara zake hamkutaka Rais aombewe na wananchi wake kama kawaida yake
Ndio swali! Usiri kwa mtu ambaye ni wa watu wengi...
Kwahiyo mkuu wa majeshi ulikataa kutii amri ya amiri wako jeshi mkuu au inakuaje ebu tufafanulieni
Ndo najiuliza apa sipati majibu
Ni katika jitihada za kuokoa uhai wake.
Yani tunajiulizaga maswali sana hero wetu nini kilimkuta lakini Mungu ajua yote tuntamkumbuka daima
mngemrudisha kwao huenda angewaona ndugu zake angepona,maana damu ni nzito kuliko maji😢
Sasa ile watu wanasema ati kapelekwa Nairobi kumbe ulikuwa ni uongo tu. RIP Magufuri, umetuachia legacy kubwa sana nchini kwetu.
Usiri unasababisha maneno
😭😭 nimefarijika kusikia Kama alipata upako wa mwisho naamini alipata kitubio kabla ya sakramenti ya mwisho, walio wake Mungu amewachagua hata dakika ya mwisho atawaokoa. Amepumzika kwa amani mpendwa wetu.
Yaani napata hasira sana kuhusu kuondoka huyu baba, ila itoshe kwa kusema kila jambo ambalo Mungu ameruhusu litokee basi ni kwa ajiri ya utukufu wake🙏
ipo sku mtasem ukweli
Why retired cdf ! we cried out again May our Lord God granted JPM eternal peace Amen 🙏😭😭😭
Daah CDF kukataa kumrejesha maskani ulizingua sqna...Kwahyo madaktari walikua huru kwa kila kitu?
Mbele yako nyuma yetu. Hakika tutakukumbuka kwa mengi ulliyo fanya. Daima tunakuombea mungu akuondolee na adhabu ya kaburi. Daima tunakuombea pumzika kwa aman amen.
Ulikuwa wap zaman kuweka waz hayo maneno
Wew hy mambo si ya kukurupuka kutangaza hivhiviiiii
Nakwambia wanafik tuu hawa...!!
Duuuuuuuu Muna tuuumizaaaaaaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Maneno hayo yameniuma Sana. Anyway R.I. P JPM
Yote kwa yote Mungu ndo anajua kuzaliwa na kufa kwa mwanadamu. Imeshatokea basi hatuna namna zaidi ya kutulia
😢
Nyinyi nyinyi semeni vizuri, yaan mhmhmh
Duhuu kwa hayo maelezo CDF kuna kitu kipo nyuma ya paziaa
Mwili unaongea mengi kuliko ya mdomoni, #ripmagufuli
Asante kwa kugundua hilo😢😢
Wengi wanaamini Magu alifia Kenya hospitali kuu la Agakhan jijini Nairobi
Kwa nini anapata kigugumizi sana katika kuongea
Mzera kulikuwa na vifaa?
Daah
Alichokifanya Harmonize kwa Diamond State House ilikua maagizo ya Wachawi wa Harmonize.... Popo kazini 🦇🦇🦇 🦇🦇🦇🦇🦇🦇😭🇹🇿
Dah
Sjakuelewa kabisa
hacheki huyu mzee ni askari jeshi sura yake haisomeki,unapo dhani anacheka ooh,mambo yanawezabadilika mara moja,askari huyo ohooo!
Inswezekana angeenda Nyumbani angepona labda kuna kitu alishakigundua....... Mhhhh moyo unaniuma zaid
Kuna jambo halkuwa vzur ndio maana aliomba arudishwe nyumbn, huenda wazee wangemuwekea mikono ya baraka angepona,,,Kuna sku maelezo yatanyooka tu....najiulizaga kwann mzee aliumwa hivyo na serkal ilificha?
ni vigumu kumsahau mwamba, kipenzi cha watanzaia apumzike kwa amani baba.yetu.
Ccm wamemlambisha kisu chenye asali
😢rip
Inauma sana
Huyu kamanda mbona mwili wake unaongea mengi kuliko mdomo?? Anasema mda huo makamu hakuwa Dar alikuwa mbali,mbali ni Tanga??waziri alikuwa Dodoma, kamanda mdomo ni mzito,karuhusiwa kusema machache, anasema hadi Magufuli anakufa mkewe hakuwako, nyie watu
rip
Sasa na wewe askari km ulikuwepo na alikuambia umrudishe kwao wewe ulikataa kwann? yeye alijua pengine angelishugulikiwa na ndugu zake angepona. hapo ulimkosea sana kumkatalìa.
Yaan Magu uliniumiza sana 😭 nakumbuka wakat mzee wng naye anakaribia kufarik nilimuota Magu yupo maeneo ya home Baba anamwangalia now wote hawapo😭😭😭
Kwa hiyo mkuu wewe ulimtii amili jeshi wako alipokuwa mzima ilikuwaje alipougua ukakaidi maagizo yake na kugoma kumludisha nyumbani ina maana amili jeshi anasthili utii anapokuwa mzima akiumwa hastahili utii jamani mbona hapo sijapaelewa ?
Ndo najiuliza inakuaje kapinga kauli ya rais waongo walimua Yule mzee
Umebadilisha aliomba madactari waondolewe kabla ya kutaka kurudishwa nyumbani
Ulikuwepo syoooo????
Mind your language inaweza kuku cost🙌🙌🙌🙌😷😷
@@fortunendyamukama3906 tunasema mambo yaliyo sikika dunia nzima sio siri tunazungumza kutokana na mambo tulio sikia wakukamatwa ni yule alie tuelezea na hao walio kuwa kwenye mamlaka wamemsikia na wamemuacha tu azidi kutueleza na wanamjua na wala hajifichi sura wameheshimu freedom of speech nenda kwenye U-Tube andika hivi (kifo cha raisi magufuri generali mabeho kimeibua maswali 10,,,SK-Media on line)
Daaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢R I P JPM
Hivi kwa nini cdf anacheka, na kutikisa miguu? yumkini naye anahusika.
Cdf alimpenda sana magufuli hapo anamachungu mengi sana kisimlia hii story anaweza kuangua machozi gafra ndo maana anatikisa tu mguu
😭😭