"MAGUFULI ALIKIONA KIFO CHAKE, ALITAKA AKAFIE NYUMBANI KWAKE" MSTAAFU MABEYO

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 60

  • @user-tl4cy7br6v
    @user-tl4cy7br6v 2 месяца назад +8

    Pumzika kwa amani our hero president jpm, pongezi kwa cdf mabeyo

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 2 месяца назад +7

    Kurudishwa nyumbani inaonekana kuna jambo aligundua sio zuri akachukizwa bora afie nyumbani kwake kuliko huduma aliyopewa hapo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 месяца назад +14

    Dah kama naww imekugusa hii tujuane

  • @prophetjamesmzigaba4447
    @prophetjamesmzigaba4447 2 месяца назад +10

    Nimejifunza jambo sana ,hadi anaumwa lakin bado anasimama na msimamo wake alikufa kishujaa sana mwamba huyu

  • @jaykule8197
    @jaykule8197 2 месяца назад +7

    CDF kwanini mlificha ukweli mkasema Rais ni mzima na anaendelea na ziara zake hamkutaka Rais aombewe na wananchi wake kama kawaida yake

  • @amosmichael8986
    @amosmichael8986 2 месяца назад +5

    Kwahiyo mkuu wa majeshi ulikataa kutii amri ya amiri wako jeshi mkuu au inakuaje ebu tufafanulieni

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 2 месяца назад +3

    Yani tunajiulizaga maswali sana hero wetu nini kilimkuta lakini Mungu ajua yote tuntamkumbuka daima

  • @user-yi8pe8zz1t
    @user-yi8pe8zz1t 2 месяца назад +4

    mngemrudisha kwao huenda angewaona ndugu zake angepona,maana damu ni nzito kuliko maji😢

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 2 месяца назад +4

    Sasa ile watu wanasema ati kapelekwa Nairobi kumbe ulikuwa ni uongo tu. RIP Magufuri, umetuachia legacy kubwa sana nchini kwetu.

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 2 месяца назад +9

    😭😭 nimefarijika kusikia Kama alipata upako wa mwisho naamini alipata kitubio kabla ya sakramenti ya mwisho, walio wake Mungu amewachagua hata dakika ya mwisho atawaokoa. Amepumzika kwa amani mpendwa wetu.

  • @ivangasper1709
    @ivangasper1709 Месяц назад +1

    Yaani napata hasira sana kuhusu kuondoka huyu baba, ila itoshe kwa kusema kila jambo ambalo Mungu ameruhusu litokee basi ni kwa ajiri ya utukufu wake🙏

  • @yomamausafi1137
    @yomamausafi1137 2 месяца назад +2

    ipo sku mtasem ukweli

  • @crispinakimaro3821
    @crispinakimaro3821 2 месяца назад +2

    Why retired cdf ! we cried out again May our Lord God granted JPM eternal peace Amen 🙏😭😭😭

  • @charlesyapuka4992
    @charlesyapuka4992 2 месяца назад +2

    Daah CDF kukataa kumrejesha maskani ulizingua sqna...Kwahyo madaktari walikua huru kwa kila kitu?

  • @JaphethKauno
    @JaphethKauno 3 дня назад

    Mbele yako nyuma yetu. Hakika tutakukumbuka kwa mengi ulliyo fanya. Daima tunakuombea mungu akuondolee na adhabu ya kaburi. Daima tunakuombea pumzika kwa aman amen.

  • @chuisayi754
    @chuisayi754 2 месяца назад +4

    Ulikuwa wap zaman kuweka waz hayo maneno

    • @user-tl4cy7br6v
      @user-tl4cy7br6v 2 месяца назад +1

      Wew hy mambo si ya kukurupuka kutangaza hivhiviiiii

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 2 месяца назад +1

      Nakwambia wanafik tuu hawa...!!

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 2 месяца назад +3

    Duuuuuuuu Muna tuuumizaaaaaaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @geofreymlingwa2914
    @geofreymlingwa2914 2 месяца назад +1

    Maneno hayo yameniuma Sana. Anyway R.I. P JPM

  • @joharimillanga1587
    @joharimillanga1587 27 дней назад

    Yote kwa yote Mungu ndo anajua kuzaliwa na kufa kwa mwanadamu. Imeshatokea basi hatuna namna zaidi ya kutulia

  • @VeronicaVitus-rk5mf
    @VeronicaVitus-rk5mf 2 месяца назад +3

    😢

  • @GeorgeBenard-ue2gh
    @GeorgeBenard-ue2gh Месяц назад

    Nyinyi nyinyi semeni vizuri, yaan mhmhmh

  • @mrmiamiaclassic6492
    @mrmiamiaclassic6492 Месяц назад

    Duhuu kwa hayo maelezo CDF kuna kitu kipo nyuma ya paziaa

  • @joselinemwaki9665
    @joselinemwaki9665 Месяц назад +1

    Mwili unaongea mengi kuliko ya mdomoni, #ripmagufuli

    • @simasima8084
      @simasima8084 Месяц назад

      Asante kwa kugundua hilo😢😢

  • @vitalgiddy04
    @vitalgiddy04 2 месяца назад

    Wengi wanaamini Magu alifia Kenya hospitali kuu la Agakhan jijini Nairobi

  • @user-mortone
    @user-mortone 2 месяца назад

    Kwa nini anapata kigugumizi sana katika kuongea

  • @justinjasson7070
    @justinjasson7070 Месяц назад

    Mzera kulikuwa na vifaa?

  • @joshuambilinyi6655
    @joshuambilinyi6655 27 дней назад

    Daah

  • @user-ve1xm7gn9y
    @user-ve1xm7gn9y 2 месяца назад +1

    Alichokifanya Harmonize kwa Diamond State House ilikua maagizo ya Wachawi wa Harmonize.... Popo kazini 🦇🦇🦇 🦇🦇🦇🦇🦇🦇😭🇹🇿

  • @GeorgeBenard-ue2gh
    @GeorgeBenard-ue2gh Месяц назад

    Sjakuelewa kabisa

  • @user-yi8pe8zz1t
    @user-yi8pe8zz1t 2 месяца назад

    hacheki huyu mzee ni askari jeshi sura yake haisomeki,unapo dhani anacheka ooh,mambo yanawezabadilika mara moja,askari huyo ohooo!

  • @ezekielmbazi.8687
    @ezekielmbazi.8687 Месяц назад

    Inswezekana angeenda Nyumbani angepona labda kuna kitu alishakigundua....... Mhhhh moyo unaniuma zaid

  • @tegemeantenga102
    @tegemeantenga102 2 месяца назад

    Kuna jambo halkuwa vzur ndio maana aliomba arudishwe nyumbn, huenda wazee wangemuwekea mikono ya baraka angepona,,,Kuna sku maelezo yatanyooka tu....najiulizaga kwann mzee aliumwa hivyo na serkal ilificha?

  • @user-nh7ie5kz7l
    @user-nh7ie5kz7l Месяц назад

    ni vigumu kumsahau mwamba, kipenzi cha watanzaia apumzike kwa amani baba.yetu.

  • @RichardNyalucy
    @RichardNyalucy 2 месяца назад

    Ccm wamemlambisha kisu chenye asali

  • @MagingaJoseph-iw9nk
    @MagingaJoseph-iw9nk 2 месяца назад

    😢rip

  • @deuslucas2256
    @deuslucas2256 2 месяца назад +2

    Inauma sana

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i Месяц назад

    Huyu kamanda mbona mwili wake unaongea mengi kuliko mdomo?? Anasema mda huo makamu hakuwa Dar alikuwa mbali,mbali ni Tanga??waziri alikuwa Dodoma, kamanda mdomo ni mzito,karuhusiwa kusema machache, anasema hadi Magufuli anakufa mkewe hakuwako, nyie watu

  • @user-wl8ok7zz5d
    @user-wl8ok7zz5d 2 месяца назад

    rip

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад

    Sasa na wewe askari km ulikuwepo na alikuambia umrudishe kwao wewe ulikataa kwann? yeye alijua pengine angelishugulikiwa na ndugu zake angepona. hapo ulimkosea sana kumkatalìa.

  • @JulianaMakunja-vr4jl
    @JulianaMakunja-vr4jl 2 месяца назад +1

    Yaan Magu uliniumiza sana 😭 nakumbuka wakat mzee wng naye anakaribia kufarik nilimuota Magu yupo maeneo ya home Baba anamwangalia now wote hawapo😭😭😭

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 2 месяца назад

    Kwa hiyo mkuu wewe ulimtii amili jeshi wako alipokuwa mzima ilikuwaje alipougua ukakaidi maagizo yake na kugoma kumludisha nyumbani ina maana amili jeshi anasthili utii anapokuwa mzima akiumwa hastahili utii jamani mbona hapo sijapaelewa ?

    • @abdullynasry2205
      @abdullynasry2205 Месяц назад

      Ndo najiuliza inakuaje kapinga kauli ya rais waongo walimua Yule mzee

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 2 месяца назад +1

    Umebadilisha aliomba madactari waondolewe kabla ya kutaka kurudishwa nyumbani

    • @user-tl4cy7br6v
      @user-tl4cy7br6v 2 месяца назад +1

      Ulikuwepo syoooo????

    • @fortunendyamukama3906
      @fortunendyamukama3906 2 месяца назад

      Mind your language inaweza kuku cost🙌🙌🙌🙌😷😷

    • @shabanipanya1033
      @shabanipanya1033 2 месяца назад

      @@fortunendyamukama3906 tunasema mambo yaliyo sikika dunia nzima sio siri tunazungumza kutokana na mambo tulio sikia wakukamatwa ni yule alie tuelezea na hao walio kuwa kwenye mamlaka wamemsikia na wamemuacha tu azidi kutueleza na wanamjua na wala hajifichi sura wameheshimu freedom of speech nenda kwenye U-Tube andika hivi (kifo cha raisi magufuri generali mabeho kimeibua maswali 10,,,SK-Media on line)

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 2 месяца назад

    Daaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢R I P JPM

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 2 месяца назад

    Hivi kwa nini cdf anacheka, na kutikisa miguu? yumkini naye anahusika.

    • @doiabel3793
      @doiabel3793 2 месяца назад

      Cdf alimpenda sana magufuli hapo anamachungu mengi sana kisimlia hii story anaweza kuangua machozi gafra ndo maana anatikisa tu mguu

  • @Eng2460
    @Eng2460 2 месяца назад

    😭😭