THE STORY BOOK: UBABE WA KIM JOUNG UN | KIDUME ANAYE TIKISA ULIMWENGU
HTML-код
- Опубликовано: 23 сен 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Jamal inafaa upewe tuzo ya mwandishi msimuliaji wa africa mashariki🎉🎉❤❤ kama unamkubali gonga like
Km umegundua Proffesal Jamal nae ni general ana nyota 4 km kim jung Un kiduku tujuane kwa like🙏
Waoooo waooooo waoooo leo nimeiwah mapema like kwak.jaman jaman love this giant ❤💞💞❤❤❤
Tunaomkubali Professor Jamal Na Tuliokua Tunasubiri Kwa Hamu Story Ya Huyu Mwamba Kutoka North Korea Tujuane Kwa Likes Kwa Kuua Ndege Wawili Kwa Jiwe Moja..,📌📚👍🏿
He is very competent
@@johnlukuwi1239..,Exactly!
ako chini bado ....
ruclips.net/video/62qXNGj-d_Q/видео.htmlsi=SSw7qC4lV1GN1EfM
😊😊
Jamal unajua kusimulia story vizuri..Wala kina Ananias Edgar wanakkera sana huwa nawatukanaga. Lakini huwa Jamal anajua sana Story...
Hii story inabidi nimtafte yeye mwenyewe KIM JONG UN nimtafaslie kwa kikorea alafu sikie yeye anasemaje🙈🙈🙈🙈🏃🏃🏃
Magori hauna akili😂😂😂😂
Unataka Professor wetu ang'atishwe mbwaa
🙄🙄🙄🙄
Alafu hamjatuambia kuhusu familia ya Kim je ana mke au watoto
Nilikujua be4fore ukiwa unaitwa #JAMAL BISHOO u doing gud brooo
Santee
Naomb number yko ya whatsApp
Professor Jamal Unatisha Bro Here We Go🔥🔥🔥
Tuletee Historia ya #JPM Mana Nae Ni Mbabe Wa Africa Insha Allah🙏
Mbona ipo iyo
Mi ntk ya kikwete
Sahh kabsa
Who else has watched more than once
Aliyesikia neno la za ndani kabisa agonge like😀😀
ruclips.net/video/62qXNGj-d_Q/видео.htmlsi=SSw7qC4lV1GN1EfM
skiza hiyo story kwanza
KIM JOUNG UN genius like MAGUFULI 💪❤
Nimeikubali sana histori
Acha kufananisha kimu na v2 vya ajabu
Kiduku mwamba...!!!
mtinga Nisha msahau Jamal April hukosei kazi zako nakuelewa Sana mwamba Hadi Sasa hivi wewe namba moja
Professor tunaomba xtory book yakwako kama unakubaliana na mm gonga like
Hakika huyu mwamba MUNGU amulinde 🙏🙏
watching this from Washington DC,
wewe mkali babu
Upo whatsapp
@@babudeo2758 ndio kaka
Nipeno brother
@@babudeo2758 nitafute facebook kwa jina langu
Sema jamal ujatuambia kma uyu jamaa ana mtoto au familia
Leo nimekupenda bule 😭😭😭😭nilikuw nakuchukia Jamal kwa Strory ya Leo Respect na unisamehe kwa kukuchukia bila sababu wew ni king of the Story book
Kk Hufirwii??
Kumchukia mtu bila sababu ni dalili ya mimba changa
@@anastaziamruma3775 🤣🤣🤣
@@anastaziamruma3775 Nikikijibu Nitakuwa na Akili km yako
Mjib tuone
JAMAAL APRIL WE JAMAA NI FUNDI SANAAA..YANI UKITOA MAKALA FULANI BASI UNADESIGN HADI MAVAZI INAYOENDANA NA MAKALA... UMEPENDEZA NAHAYO MAVAZI BRO.. IM YOUR BIG FUN...
brother you are talented
🚬💣 balaaaa utam utam , no body can stop Jamal
Huyu dogo anajua wasomi tunamuindorse,Ana research za kotosha kabla ya kuongea
Nataka historia ya Rais wa
Russia vildmir putin
Na nataka watu wajue zaidi kuhusu jeshi la Antilantika NATO
Asante kwa historia tunataka watu kama hawa kim jong un Africa.
Mungu akumpe maisha malefu uenderee kutu erimisha mambo tusyo yafahamau tuna yafahamu kupitia wwe
Jamal ww n zaid ya professor
Uko deep sana
Keep it up bro
Professor Jamal upo vizur story zako zinavutia pia zinafundishaaa mungu azidi kukupatia maarifa zaidiiiiiiiii
Fuatilieni simulizi yake kwa kiingereza"evolution of evil" utajua kwamba kim ni mwamba kama ilivyo kwa Gadaffi na wageni wengineo.tofsuti yake na miamba mingine ni kubwa ameishi mda mrefu madarakani na ana ulinzi mkali sana muda wote
Sio kweli mzee ww Korea huwezi kuishi
MashaAllah mungu awe pamoja nawe kwa kutuelimisha kwayale tusie yaelewa
Kazi Saffi Ila Huyu Jamaa..Ngao No More Bullsh*† About Westernera Komesha:-🙌🏾
yuko sawa wavae kiheshima kwanini munatomboa masikio nyinyi wanaume.❤❤❤❤❤🙏🖐
siku zote naamini katika ELIMU, ELIMU uliyopata na kipaji cha ku narrate story kaka, ungekuwa mwanamke ningefanya kila niwezalo nikuoe Mr. profesor
Kwa waswahil Hapo umemtusi
🤣umrmtuc itamtamanije mwanaume meenzio
Sio kwamba Jamal ndio akuoe wewe uwe mke wake?
Matuc kwa mwanaume mwenzio
Unatamani kumwingilia kimwili daaah
Badilisha lugha yako itakua ujue kiswahili
Nataka historia ya John Pombe magufuri .Rais kupita maraisi wote TANZANIA . Like mpaka himfikie mr simulizi
Mi pia nataka
historia ya magufuli
Nakubal xan, viongoz kam kim wanatakiwa Africa
Watching this from UK keep doing Good brooo
Mwandalizi wa aridhio ana sauti laini na mwororo mithili ya asali. Pongezi kwa kazi nzuri ya usimulizi.
Napenda Sana story zako beans +254 tunafwatilia
Inafaaa uandae ya Jalisco new generation
Napenda Sana hiki kipindi, it's the best tv show ever
P1 sana kaka ,,, ✌️ unastsjir kuwa professor ✌️✌️🥂
From saudia mola apatite nguvu
Tunaomba story book ya maalim seif
Wacha sisi tuenjoy tu maan the stry book inazunguka ulimwengu wote
Nataman sana siku moja uwe na kipindi Azam Tv
Professor iyo safi sana nakuombeya maisha malefu
Bro Jamal ,Mimi cna neno kbsaaaa
Ila big up sana bro
Dah! Yupo powa huyu mtu, Mimi namkubali Sana aiseeeeee huyu dogo!
Proffessoooooorrrrrr 💪💪💪💪
Watu weng wame toa story ila wew umejua kuichimb san km vp mwz huu uongezew mshahara
This oga #jamalapril is very amazing🏁🏁
Very good
Jamarii ❤❤💪💪 natamani pia usimrie kuhusu china nayo tuierewe zaidi 🙏🙏💪💪❤❤🔥🔥
Edgar Mbogo is my favorite! Tembele LA uani,nitamtembelea mzee Maabud snipe dawa!
Amkeni jamani kabla ya wale wa nguvu za kiume awajacomment chochote humu ndani 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
🤣🤣had huku wapo kwan
@@amazingvideo1075 wapo hadi akina Aisha mtamu 🤣🤣🤣🤣
@@kingcicero1708 M najuaga wapo fb tyu kumbe had hku😂😂
Kuna mkanganyiko wa kifo cha mjomba wake Kim mwanzon bom mwishon mbwa
Mbabe wa dunia huyoooo 💪💪💪
Nataka historia ya John Pombe magufuri .Rais kupita maraisi wote TANZANIA
MagufuLi na siyo MaguRi kama ulivyo andika- Uwe makini kwenye mitandao
embu tuondokee
Ndo nani
pombe hana historia yeye....ni wakawaida sana alikua hakupigana vita...
hatumjui
The King Kim,the real leader and confidence
Nomaa
Nakuelewa Chief.
...
Nina miaka 60 ya Mungu endelea Kupata HEwA safi ....
Nataka tuonane nikupepe wp ak
Tunakukubali professor broho makini san
Ongera kwa Kim jong un napatikana rd-congo
Unafany story inakua nzur sana mr professor well done
From kenya God bless you
Kenyan in da house tunawapenda sana majirani zetu
@@josephstephen2047 thank You
Fantastic professor
Mapema leo
Atar sana sana🔥🔥🔥
And I'm not tired to watch again and again,,,,@wasafi this man need to come back
Where has he gone??
Aaahh Jamal April we love you so much, you are the best of the story book, much love, from Tanzania 🇹🇿❤️❤️😭🙏💜💜♥️ all the best of your life and your family
You're talented indeed #story teller in east Africa
Huyu mwamba mimi binafsi namkubali sana ila umesahau kuwa anapenda mziki sana tena mziki wa hasiri ya taifa lao pia anapenda kuogelea sana
Am the third one to listern a story today... ♥️♥️ The story book
Sema jamaa unamotivate sana jamalii kuwa kwenye kusomq unaweza ukajua vituu vingii na kujifunza vingii big up to you broo....
Ndouvae na nguo za jeshi kabisa aya bwana umetisha boy
Next week tunaomba utuandalie story kuhusu kibuli cha wamarekani,,,,,. 🤏
Jamali mstapha 🔥🔥🔥
Naomba ulete history ya magufuli
Receive Kenyan Love🇰🇪
Being honest I like this guy, Kim Joung UN ,he is very confident, radicalist, optimistic!!
He is not a good guy ata ameban mothers day 😭he is a pychopath
Nakupenda sana ❤❤❤ professor
Jamal your talented
Bwana we lipua tu dunia bhana
😆😆😆😆😆😆😂🤣😂🤣🤣
😆😆😆😆😆😆😂🤣😂🤣🤣
Kila siku nafikilia kuhusu story zako may God bless de work ov ur hands🙏 love u
Bravo! Tunaomba utusimulie historia ya Kali max
Professor ni mmoja tu🔥🔥🔥🔥
Yupo Dr sulle
Kuna mafala wanasema we muongo yan kuna watu mapimbi sana, professor we piga kaz
Kwli jmaaa mi kunawatu nawaona machizi akili hawana ujue wamekalili kua kilastr et uongo
🙌🙌🙌..i really appreciate
Jamaaaaallllllllyyy 🙌🏻🙏🏻
Mdogo wangu huwa unanifunza mengi tena huwa nakukubali uko vizuri dogo
Napenda sana video zako bw. Professor 👏👏👏👏
Saafi Jamal💛
Namkubali sana huyu kiongozi ndy maana nimeipenda nickname ya Kim. Mungu amuweke labda mpaka mimi nisiwepo duniani tenaaa
Asante
Big up broo
Huyou ndio mwanaume kiongozii ambaye Anapenda injiyake🙏🙏🙏🙏
Nilimsikia Jamal anasema miongoni mwa simulizi alizopata shida kuziandaa ni kafara za Freemason na uchawi
the best story teller ever,let the talent do the talking
Professor I tink itakuwa bora zaidi ukieka subtitle ya kizungu kwa izi clips zako for growing your market!!!
Nop kishwahili mimeweza kwa hiyo sioni maana
@@sanjeynicks2927 Huja nielewa bradhe ndo mana...
Yeye aendelee kuelezea kiswahl,bh kuwe na kma subtitle coz nko na uhakka kuna watu wanahaja ya kutaka kutazama ila haelewi kiswahl so na yeye atakuw yuasoma translation tu,dat's wat I meant...
Nimekupata sasa brathee
Nice idea
I second you
Prof uko juu the best narrator I know in East Africa
Genius 🔥👌🙏🇧🇮
Unajua sna jamal tulete kwa ulefu sna ili tufaidike na elimu hii ya mkomonist Kim jom un . Alikua magufuli mkomonisti na mpenzi wa kweli wa Tanzania still I love u jpm naishi maono yako .Kim naishi maono yako
Unajua sana mkuu nakubari
Nakubali mkari wangu we ni mashine nyingine
Napenda sana hadithi zako prof