Hawa watumishi wa ardhi washezi sana kila mkoa wizara ardhi ni shida dar hivyohivyo mungu atujalie tupate viongozi wakutusaidie sisi tusiyojua sheria na umaskini unatuumiza na hawa watumishi wa ardhi wanapata nafasi ya kutuumiza
Huyo mama inawezekana katumwa sio bure. Mimi sijaona ubaya wa makonda Sema sikuzote wanawake ni sumu ya uchochezi. Hawa alimdanganya Adam. Wa awake tuache uchochezi fitina na husda. Kwani waheshimike wanawake tu vp kwa wanaume.. Makonda hajamdhalilixha Makonda Mungu akulinde akupiganie uchape akusimamie piga kazi.
Mi naona sawakabisa mtu yupo kazini unaulinzwa maswali unaleta mapozi tena kwangu mi alikosea mi ningetukana kabisa kumbuka unalipwa kwa kodi zetu akitimiza majukumu yasingemkuta haya makonda mdogo wangu nyoosha wezi sana kwenye miladi ya serikali
Ukifanya kazi ya nchi/umma hovyo hustahili heshima. Mtu unachezea rasilimali za nchi/umma bado unataka uheshimiwe. Siku CCM na serikali yake ikijua kuwa raia/wapiga kura ndiyo waajiri wao itafanikiwa sana.
Kama kachukia aache kazi awpishe wengine mdogo wangu tena hiyo nafasi alikupa mama anakupima kuna sehemu unastahili kweli kuna baadhi viongozi hawana maamuzi sahihi unasikia wanasema tuunde tume tume yanini mtu ameharibu unasema uunde tume walipwe wtu wakujadili we mwizi
Tuanze kwa samsoni na delila chanzo ni mwanamke, nenda kwa adam na hawa chanzo ni mwanamke, kwa hiyo sishangai hyo mama kusema kuwa mwanamke mwenzke kadhalilishwa, hata kwenye vitabu vya dini vinasema tuishi nao kwa akili!!!!
Waachie kufanya kazi kimazoea ni lazima Kila mtu awajibike kwenye kazi makonda hataki ujinga kwenye kazi Wala mazoea ondoeni huo ujinga wenu mkiambiwa ukweli mnasema anawazalilisha acheni ujinga mwacheni makonda afanye kazi kunawanawake wangapi wanazalilishwa mbona hamjitokezi kuongeza pumbavu kabisa nyie
Sasa Makonda atuombe radhi watanzania,kwani ametukosea nini mpaka umtwike jambo kubwa hivyo la kutuomba radhi? Mimi kama Mtanzania,sioni kitu alichonikosea Makonda.
Hivi jaman hamuoni kuwa poul makonda, tushampitisha....tunahitaji viongoz wengi kama poul makonda....wànaokuwa wakali lkwenye maslahi ya nchi na wananchi wake.....na makonda huwa hanafokea hata wanamme wanaozingua...hamuhibuki hata cku moja kumpongeza kwa anayoyafanya mnakaa kuviziavizia tu mtafute mtakapohisi amekosea ili mpate pa kuongelea....very stupid.....hatutashangaa kwa makonda kupingwa na viongoz wengi,,,,,na hata leo hii tukisikia ametenguliwa pia tutaona ni kawaida,,,maana kuna watu wenye nguvu wapo kwenye mifumo,,,,ambao wanakerereketwa na watu kama poul makonda....ila cc wananchi ametuteka mazma ....ongeeni , andamaneni,,,,,lkn tupo pamoja na poul makonda......
Mi naona sawakabisa mtu yupo kazini unaulinzwa maswali unaleta mapozi tena kwangu mi alikosea mi ningetukana kabisa kumbuka unalipwa kwa kodi zetu akitimiza majukumu yasingemkuta haya makonda mdogo wangu nyoosha wezi sana kwenye miladi ya serikali
Huyo mama anatumika na mafisadi
Makonda kaza kaza sanaa
Hayo ni maneno mazuri tu
Huyo dada anazarau
Hawa watumishi wa ardhi washezi sana kila mkoa wizara ardhi ni shida dar hivyohivyo mungu atujalie tupate viongozi wakutusaidie sisi tusiyojua sheria na umaskini unatuumiza na hawa watumishi wa ardhi wanapata nafasi ya kutuumiza
Huyo mama inawezekana katumwa sio bure. Mimi sijaona ubaya wa makonda Sema sikuzote wanawake ni sumu ya uchochezi. Hawa alimdanganya Adam. Wa awake tuache uchochezi fitina na husda. Kwani waheshimike wanawake tu vp kwa wanaume.. Makonda hajamdhalilixha
Makonda Mungu akulinde akupiganie uchape akusimamie piga kazi.
Mi naona sawakabisa mtu yupo kazini unaulinzwa maswali unaleta mapozi tena kwangu mi alikosea mi ningetukana kabisa kumbuka unalipwa kwa kodi zetu akitimiza majukumu yasingemkuta haya makonda mdogo wangu nyoosha wezi sana kwenye miladi ya serikali
Ukifanya kazi ya nchi/umma hovyo hustahili heshima.
Mtu unachezea rasilimali za nchi/umma bado unataka uheshimiwe.
Siku CCM na serikali yake ikijua kuwa raia/wapiga kura ndiyo waajiri wao itafanikiwa sana.
Huyo allizarau wananchi
Kama kachukia aache kazi awpishe wengine mdogo wangu tena hiyo nafasi alikupa mama anakupima kuna sehemu unastahili kweli kuna baadhi viongozi hawana maamuzi sahihi unasikia wanasema tuunde tume tume yanini mtu ameharibu unasema uunde tume walipwe wtu wakujadili we mwizi
Atuombe radhi watanzania au huyo dada ?
Uyo dada mnae mtetea amepungukiwa nanini
Wanakera
Wacha ubaguzi kwani wanaume sio watu kwaiyo hiyo dada ni nani
Kadhalilishwa nn
Aliteleza
Mwacheni achape KAZI hatuna sababu ya kusikiliza hizo video.
Tuanze kwa samsoni na delila chanzo ni mwanamke, nenda kwa adam na hawa chanzo ni mwanamke, kwa hiyo sishangai hyo mama kusema kuwa mwanamke mwenzke kadhalilishwa, hata kwenye vitabu vya dini vinasema tuishi nao kwa akili!!!!
Makonda piga kanzi acha nahao
Waachie kufanya kazi kimazoea ni lazima Kila mtu awajibike kwenye kazi makonda hataki ujinga kwenye kazi Wala mazoea ondoeni huo ujinga wenu mkiambiwa ukweli mnasema anawazalilisha acheni ujinga mwacheni makonda afanye kazi kunawanawake wangapi wanazalilishwa mbona hamjitokezi kuongeza pumbavu kabisa nyie
Kaniudhi mno huyo mwanamke Tena ningekuwa Karibu yake ningemlambo kofi fala kweli..... Wanapewa nafasi halafu wanachezea
Haki za wananje ni nyyingi kulliko
Haki yake moja ya mwwanamke
Huyo amezzarau wannawake walioo wengi
Hiyoo alistahili
Makonnda uusirudi nyuma
Sasa Makonda atuombe radhi watanzania,kwani ametukosea nini mpaka umtwike jambo kubwa hivyo la kutuomba radhi? Mimi kama Mtanzania,sioni kitu alichonikosea Makonda.
Kwa hiyo hata kama ni mwanamke ndio awe mbadhilifu? Je mwanaume hana haki? We mwnamke nakuchukia..... Mkipewa nafasi fanyeni kazi!!!
Jomoioy
Katumwa huyo ,makonda yupo sawatyu
Kiongoz jembe piga kazi zidisha moto
Hivi jaman hamuoni kuwa poul makonda, tushampitisha....tunahitaji viongoz wengi kama poul makonda....wànaokuwa wakali lkwenye maslahi ya nchi na wananchi wake.....na makonda huwa hanafokea hata wanamme wanaozingua...hamuhibuki hata cku moja kumpongeza kwa anayoyafanya mnakaa kuviziavizia tu mtafute mtakapohisi amekosea ili mpate pa kuongelea....very stupid.....hatutashangaa kwa makonda kupingwa na viongoz wengi,,,,,na hata leo hii tukisikia ametenguliwa pia tutaona ni kawaida,,,maana kuna watu wenye nguvu wapo kwenye mifumo,,,,ambao wanakerereketwa na watu kama poul makonda....ila cc wananchi ametuteka mazma ....ongeeni , andamaneni,,,,,lkn tupo pamoja na poul makonda......
Apo kamzarau vp nyie amuoni akizawananch mbona amjali ilo mnatumika vibaya nyie eshimuni anachofanya mkuu wa mkoa
Acha ujinga ww na midia yako amemdhalilisha nani yule mama hahitatambui amemvua nguo achani ujinga marofanyia tunakatwa kodi zetu lalafu mm tumishi.anachekacheka tu
Mwacheni makonda afanye kazi yake,ninyi kazi yenu ni kutetea ushoga tu,
Peleka uko
Mi naona sawakabisa mtu yupo kazini unaulinzwa maswali unaleta mapozi tena kwangu mi alikosea mi ningetukana kabisa kumbuka unalipwa kwa kodi zetu akitimiza majukumu yasingemkuta haya makonda mdogo wangu nyoosha wezi sana kwenye miladi ya serikali