KIMENUKA! MAKONDA AWATUMBUA WAKUU wa IDARA 2 MKUTANONI - ''WANAKULA PAKUBWA WANAHONGA PADOGO''...
HTML-код
- Опубликовано: 29 май 2024
- KIMENUKA! MAKONDA AWATUMBUA WAKUU wa IDARA 2 MKUTANONI - ''WANAKULA PAKUBWA WANAHONGA PADOGO''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hatua nzuri
Tungekua tuna viongozi kama makonda kwa kila mkoa. Dah tungekua mbali kwa haki na maendeleo
Nimeona Mkuu wa mkoa wa DSM nae ameanza et
@@renatusblandes1131 yeah yy yukogo hivo ila sio kwa kasi kama ya Makonda. kila mtu na uwezo wake alojaliwa na Munug wetu. kikubwa ni uaminifu na uwelelevu
@@renatusblandes1131Yule hapana jamani bado turudishiee Makonda Dar 😂
Chalamila ni Mwamba ila Dar kama imemmeza hivi.
Hakika Sasa vijana ndio wanavaa nchi hii. Makonda ni kijana ameonesha uthubutu wa vijana. Tungekuwa na vija 10 kama Makonda nchi isingechezewa wananchi tungekuwa na amani na matumaini makiubwa na maovi yanggeisha Tanzania. Apewe nafasi kubwa zaidi ya kipekee ya kuweza kupitia mikoa yote. Makonda ni Mrema mwingine anachambua Kila kitu kiwe kikubwa kiwe kidogo kinawekwa sawa na HAKI inatendeka bila kujali mkubwa, mdogo,, tajiri Wala maskini. Anatenda HAKI. Mungu azidi kumwimua. Natamani angekuwa kwenye mikoa ninaoishi.
Makonda mkuu umengusa uko vizur mungu akubariki
Mungu ashukuriwe na ambariki Makonda.Viongozi wengine pia wafuatie mfano.🎉🎉 Amen
Waoga
Wamekalisha vitambi ofisini na wakati mikoa yao imeoza kwa matatizo kibao.
Makonda sio wakukaa ofisin ni mchapa kazi mtaisoma namba CCM no 1
Tanzania tuna Mkuu wa Mkoa mmoja tu,amabaye hata vipofu wanamsikia,ambaye hata viziwi wanamuona hata watoto wadogo wanamfahamu ni Makonda tu Wingne mnawajuwa nyinyi wenyewe
Hakika
Asante hakika huyu sisi hata Msikitini tunamuombea huyu ni mzalendo wa kweli
Wakuu wa mikoa mingine wako kulinda masilahi yao tu
Ukwelii mtupu huo.mtanzania mwezangu
😂😂😂😂😂
Ugomvi wenu naununua dah,,,,Makonda Mungu akubariki na kukulinda mtu wa MUNGU.
Kiongozi namba moja anaetakiwa kuigwa ni makondo Tanzania hii
Jamaa anajitoa sana kusema ukweli. Anahitaji pongezi Kubwa sana muheshimiwa Makonda.
Safi sana vipara na vitambi kz kula pesa za maendeleo 2 wakwende 3 shenzi kbs hao
My coming president! Makonda Mungu akupe uzima na afya njema na kukupa kupanda vyeo hadi ngazi ya uraisi.
Mh:RAIS tunaomba Mh:makonda awe mkuu wa mkoa wa DSM
Huo ndii msingi wa legend wa hapa kazi tu
Sasa kila siku wanaend OFISINI mishahara wanapata kwq kazi gani sas hapo!? Dah nchi hii aisee unawez laumu wizara kumbe huku chini ni balaa
Makonda wewe ni mtu na nusu!🙌🙌
Samia Aliona mbali sana❤
Rais wetu Samia ana akili Saba MNOO huu mkoa anae umdu NI jembe makonda sivinginevo
Wakuu wa Mikoa mengine waige mfano wa Muheshimiwa Paul Makonda wa Mkoa Wa Arusha. Mungu Akubariki Ndugu Paul Makonda kwa kazi nzuri unayoifanya Arusha. Pongezi nyingi zaidi zinwendee Mama Dr Samia Suluhu Hassan Rais wa Mungano wa Jamhuri ya Tanzania kwa kumleta Hon. Paul Makonda Arusha
Mama tunakupenda tunakuheshimu na tunakushukuru sanaa kwa kutupatia kiongozi huyu( Mr MAKONDA) Tunakuomba utuachie akae hapo Arusha hata kwa miaka 5 ikikupendeza ila kama utaamua kumpandisha cheo hata sasa nisawa tunakubari ila kwa nafasi hiyo tunakuomba tuachie Arusha yetu abakie . Mungu akulinde Mama SAMIA pia MAKONDA na viongozi wengine ambao ni wachapakazi.
Daaaaaah Namuombea Kwa M'Mungu Amnusuru Kwa kila Baya Muheshimiwa Makonda Daaaah🥹
Mh. Akilala usingizi hauji ndoto za matatizo ya wananchi humsumbua usiku kucha hana raha na usingizi wake akiwaona mshetani wakiwatesa wananchi wake, Kiongozi huyu hupata shida na kiu raha yake ni kuwatumikia wananchi wake 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Ikiwa wewe Mungu unasikia bac sikia ombi langu moja tu keep him safe from his enemies.
Enough is Enough.Wajanja wakomeshwe😮 Wizi umezidi 😮
Kwa nn makonda asigombee ura is mwaka 2024 2025
😂
Je ni Arusha tu au ni mikoa yote? Kama ndivyo Makonda awakague wakuu wa mikoa wote na Mongela hakuwajibika pamoja na kulipwa mishahara muda wote!
Hana mamlaka ya kukagua wakuu wa mikoa yote, na hamna hiyo nguvu kisheria, hiyo ni kazi ya waziri mkuu
Hahaha😂😂 kwel kbsaaa
Yaani ni wavivu mpk wanatia hasira
Unafanya kazi ngumu sana, Mungu akulinde Mh. Makonda
Akibanwa wana huzunisha kabisa . Wizi umekithiri kabisa
Makonda akija Morogoro hapa yni Mkoa utasimama mwezi mzima kwa manyanyaso yaliopo hapa dah wanyoge tunakufa kwa stress
Asante mkuu wa mkoa mungu akulinde endelea kutumgua
Mungu akusimamie mkuu wa mkoa makonda Ktk kazi
Makonda be blessed 🙏🙏🙏🙏
Jipu limepata mkunaji. Huwa tunadhani serikali imetusahau kumbe kuna watu wanajilia tu.
Makonda fanya kazi mungu atakulipa ukimaliza arusha wakulete kwetu napo ufanye mambo we ni mwanaume
Lamda Hao ni wafuasi wa chadema wanataka kuharibu siasa ya CCM na kumchafua mama samia ili warusha waichukie CCM
Hamna mfuasi wa chadema hapo, ni ccm kwa ccm wenyewe
Yani ndio akili yako ilipo fikia kufikiria
Piga spana mkubwa maana watu wamekaa napesa za miradi kama zao spana ndiyo dawa yao
Huwa wanafanyaga kazi gani sasa huko ofisini.
Wanapiga story jioni wanaishia bar kutongoza mabinti
Wanachat tu na kujamba jamba ovyo si wana hela 😅😅
Makonda njoo Moshi municipal kazi yao kushinda bar kunywa na kuongoza vibinti
Makonda apewe ukuu wa wakuu wa mikoa,
Hakika
Kuiga jambo jema sio vibaya,wakuu wa mikoa mingine tokeni ofisini katatueni matatizo ya wananchi,Rais kasema nyinyi ndio ma Raisi ktk mikoa yenu
Ni ngumu kuiga style hiyo kwa sababu ya msingi uliowekwa na "mama" baada kuingia madarakani. Alikuwa kama anawapiga mkwara watendaji wa aina hiyo, watu wakarudi nyuma baada ya kuona hapendi spidi hiyo, leo Makonda anafanya hayo wengine wanatazama tu maana "mama" hasomeki sawa sawa.
@@hamisisalum6116 ingekua vyema kama wakuu wa mikoa wote wangefanya hivyo halafu tuone mama atamtoa nani atamuacha nani maana nikitu wananchi wanapenda atajinyima kura mwenyewe kama ataonyesha wazi hapendi watu wackilizwe kero zao
Anaeweza kutoka km Makonda mwingine ni ALLY HAPI na KASSIM MAJALIWA sioni mwingine mwenye kauli km hao
Goodman!
Kumbe wazee nao wakibanwa wanatiaga huruma😂😂😂😂
Wakatombwe hukoooooo 😢😢😢😢😢
Akin huyu Mzee anatia huruma jaman daaa💔
Ubarikiweee Sanaa kiongoz
Nchi hii inahitaji Mimi na akina Makonda 4 ili tusogee pale juu
Wanaweka Hela kwa fix deposit wanakula interest
Makonda oyeeeeeeeee
Hivi ni kweli mwaka 2024 bado wahindisi wetu wanatengeneza vyoo vya shimo kweli ? Watalamu wetu amukeni bwana .
Watendaji makanjanja, enawezekana system ya maji hamna
Unataka vya kukaa ma UTI ? Jiulize UTI miaka ya 90 tunasoma ilikuepo ?
Kwa shule lazima viwepo
@@AllyMaya-yj3xdUTI ilikuwepo, haikuwa widely known, na UTI hailetwi kwa vyoo vya kukaa . Wenzetu wa nchi nyingine wanazitumiaje wao? Mbona hawalalamikii vyoo vya kukaa au hawana matako?
Huku shule za msingi unataka waweke vyoo gani ?
Makonda mungu akubariki ndugu yangu unatutetea
MUNGU akubariki sanaaaa Mtumishi Makondaa
Makonda Mungu akulinde Baba
Mungu akulinde Makonda, namwona makufuria anaishi
Ujinga wote huo hakuna sheria ya kuwaajibisha sheria ingekuwepo kama china mtu kunyongwa mbona madudu hayo yasingekuwepo
Tena ananyongewa hadharani ili iwe fundisho kwa wengine@handenitakuru
Wanasubiri wazipige mwishoni mwa bajet
Makonda oyeeeee jaman Mungu akuhifadhi na Kila Audi akuhifadhi na wachawi Akupe umri mrefu wakuwanyoosha wadhalim na akudumishe kwenye serikal na kuwa mustakibal raisi WA wa Tanzania hakika mm si mtazania ila na kupenda kwa ajili ya Mungu wewe NI kiongozi Bora mwenye huruma ya wa Tanzania na mwenye upendo kwa wa Tanzania na nchii yko pia ❤❤ kijana mahiri dua ndo zawadi yangu kwako
Aise watakuchukia ujue heee lkn usiogope Makonda. Ww ndo rais wa hii nchi. Piga kazi.
Hapa mtu ndio unasema nimetumikia serikali sasa hata uwajibiki unasema umetumikia serikali cjui mnanielewa
Makuma hawa wanapokea Mshahara bureeeee
Ubarikiwe makonda.
Mm naona wangefuta wakuu wa mikoa wote Makonda anatosha kwa mikoa yote
kwani tangu aende Arusha ndo Mkuu wa Mkoa2 tunaona anfanya kaz ya wananchi na kutatua kero yao
Ila msinlewe vibaya kwa ss Wananchi tunahitaji Viongoz wanao tatua kelo za Wananch
Hatoweza kuhudumia nchi nzima, katiba haito ruhusu
Makando Yuko vizuri
Makonda ana nyota ya kupendwa na watu kuliko mtu yeyote maarufu tanzania huo ndiyo ukweli
Ukimtoa rais Samia, anae pendwa na WA tz milion 68 no 2 NI jembe makonda, no 1 NI rais Samia no 2 makonda, huo ndo ukweli,,
Hawezi kimfikia marehemu maalim seif sharif Hamad kwa kupendwa na watu
@@mercyzakariah nan?😂😂😂😂😂😂😂😂
Pesa za tz zinaliwa kwaajili ya viongozi waovyo wasiofatilia miradi ya nchi jamani raisi ukiona haya wausika wafukuzwe na kifungo juu nchi itaisha ivi mpaka lini
Wanakula pakubwa hao safi sana kwa hiyo hukumu
HII NI MFUMO UNAOPASWA KUIGWA NA VIONGOZI WA MIKOA YOTE ILIYOPO TZ.MUNGU IBARIKI TZ NA RAIS SAMIA SULUH HASSAN.SPANA NA KAZI IENDELEE SPANA TU
Ndio maana wanachagua sisi m na mimi maana hawawafatilii,kwa kuogopa kukosa madaraka.maana hao ndio wapiga kura wao kina sisi m na mimi
watumishi wazembe ndio wanaorudisha maendeleo yetu nyuma ,waachie ngazi hao wezi
Samia anatakiwa amfuatilie na kumpa ulinzi po makonda
Walee spana tu hao.....wanakaa tu ofisini wanasubili mpaka wasukumwe....
Wanajikutaga miamba sana hao hawafany kazi wao kuwaonea walimu tu
Uposahihi
Makonda unatumbua miozo big up mkuu yaani wanao sikia hivyo watajibadikisha una maono ya jpm copyright
Watu wanacheza na kazi
❤
Makonda nimependa uongozi wako naomba ugombee uraisi muda wa mama yetu ukiisha
Hv wakuu wa mkoa wengne hua hawajitathimin
Kazi kula hela tu kazi hawafannyi ofisini kila siku
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉piga spana mpaka wanyooke utendaji wako umepasi unafaa kuwa raisi wa Tanzania
Big up sana makonda-----
Wanakula pakubwa wanahonga padogo ❤❤❤ piga sipana mpaka wanyoke mbwa hao✅
Makonda be blessed♥️🙏
Mheshimiwa Makonda Mungu akulinde ww Ni mfano wakuigwa
Daaa! Huu mkoa mkuu wa mkoa alikuwa nani?
MAKONDA BABA ENDELEA KUWABANA SPANA
Jaman mbona mikoa kibao inachangamoto hapa Tz sasa mbona naona Arusha tuu aliko Makonda ndo matatizo yanatatuliwa inamana hii mikoa mingine haina wakuu wa mikoa?au ktk mikoa yao hamna changamoto jamn viongozi ebu igeni huo mfano wa mwenzenu msisubr kutumbuliwa ni Aibu badiliken aisee
Mungu akulinde popote uendapo makonda
Hawa wakurungenzi wanaiba sana hela za wananchi,
Muheshimiwa po makonda Mzee wa fufunguwa span njoo kijijini kwetu engaruka mbona huji wananchi wakutaka uku muheshimiwa mtetezi wetu njooo bababab
Jamani ... Tunaposemaga MUNGU anatenda huwa haimanishi anakuja mwenyewe lahasha! Bali huwa anatumia watu kama Mr Paul Makonda. Mungu amlinde mtu huyu tazama maendeleo hayo yoote watu wameyakalia na hela zipo sasa sijui huwa wanazizungusha au laa!
iv kweli mbunge kazi yake ni nini Jamani Yani makonda anafanya kazi nzuli utazani mbunge ayupo daaih asante makonda
Mbunge sio mtendaji wa serikali, hiyo kazi ya mkurugenzi wa jiji
@@samsonkivuyo9548mkuu wa wilaya na mkurugenzi wakutoka
Mbunge ni mwananchi tu hana meno ya kuiwajibisha serikali kama RC
Sasa nimeanza kuelewa kazi ya wakuu wa mikoa sasa
Piga kazi kaka
Naomba kuuliza hivi viongozi wa mikoa mingine, majukumu ni sawa na ya mhshmw Makonda?
Mimi nilikua sijui majukumu ya wakuu wa mikoa,
Haya yote ni matokeo ya mfumo mbovu kwakuwa hayapo Arusha tu ni kila mahala Kwa Tanzania yani Halmashauri zote nchini.
Uozo mtupu........ Nchi haina maendeleo kutokana na watu kama hawa
Piga hao mkuuuu?
Mbona awajasikilizwa
Wasikilizwe kwa kazi gani mwizi hatakiwi kusikilizwa
Makonda upitie na huku kimandolu Mzee baba tukupe mauwa yako
Nilijua magufuli amekufa kumbe bado hai mungu akubariki makonda
Kimsingi Sina tatizo uamuzi wake ingawa nilidhani alitakiwa kuwasikiliza kwanza kabla ya kufikia uamuzi huo!!
Ukiangalia kwa jicho la tatu utaliona tatizo lingine kubwa zaidi.... Kwa hao watu wote wanafanya kazi kwenye jengo Moja yaani maafisa Elimu wote na afisa manunuzi.
Kama wote walikuwa wote walikuwa na taarifa Kuna fedha zimeingia Afisa manunuzi alishindwa Nini kwenda kuwaambia wapandishe documents kwenye mfumo!!? Wakati wako kwenye jengo Moja wanapishana vyumba tu!!?
Nadhani ipo haja ya kulitizama jambo hili vizuri Ili na wengine watakaoteuliwa wasiingie kwenye mtego huu!!
NI MAONI TU DON'T TAKE IT PERSONAL
Ili idara ipeleke mahitaji lazima wapewe barua za kuwekewa pesa ...sasa je hao wakuu walipewa hizo barua mkuu???
Yaani wewe kiswahili hujui ama?
Spana itawanyoosha
Watumbue tu mkombozi wetu
Mbona mkuu wa wilaya hatulii au sioni vizuri
Piga Spana
Apewe maua makonda
Mama SAMIA hana shida nasi kabisa shida ipo kwa watendaji Yani wengi wanajali mashlahi yao na unafiki nimkubwa sana Yani wapo kama panya wachukue mfano kwa makonda ukweli mama tumeshachoka na hawa majizi mama yao doe wanakuangusha