uko sahihi kbs mtumishi, sio siri, unakuta mkuu wa mkoa anafanya kaz kama kibarua chake hivyo hana hata nia ya kuona miradi mbalimbali ikitekelezwa na haki kutendeka.
My mission accomplished stage one. Stage two, ifike wakati mpotee mitandaoni kwa muda, na hata mkirudi mitandaoni, unaongea mara moja moja, na unahakikisha, kila uletacho mtandaoni kinakuva cha faida kwa Tanzania 🇹🇿 kwa kuwajenga kimawazo sio kutukana na ku-complain everyday. It doesn’t hurt to be nice.
Kweli mchungaji. Ukosahihi,kwani Makonda anapigania haki za wananchi na mwenyezi Mungu ambaliki na ampiganie Afya njema amina.
Hongera sana Mchungaji Mbarikiwa kwa kuona Kusudi kubwa la MUNGU Kwa Mchungaji Paul CHRISTIAN Makonda ,mkuu wa mkoa arusha
Mbarikiwa anapasua ukweli safi mbarikiwa, safi makonda
Umeongea point Sana kipesile
Amina
Aisee mwakipesile umeongea
Hapa umenena ni ukweli usiopingika Makonda anastahili pongezi
Amen baba
Umenena vyema mtu wa Mungu ubarikiwe
Makonda nijembe hatama Samia haingii Ndani kwa makonda HUYU NI magufuli no 2
Leo ❤
Kuanzia leo mtumishi nisamehe tu nilipoenda kinyume na ww nisamehe sana nimejifunza kitu kutoka kwako na nimeelewa nn maana ya kilio chako juu ya watz
uko sahihi kbs mtumishi, sio siri, unakuta mkuu wa mkoa anafanya kaz kama kibarua chake hivyo hana hata nia ya kuona miradi mbalimbali ikitekelezwa na haki kutendeka.
Umesema kweli kabisa
Amen 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umenene.
🙏🙏🙏
My mission accomplished stage one. Stage two, ifike wakati mpotee mitandaoni kwa muda, na hata mkirudi mitandaoni, unaongea mara moja moja, na unahakikisha, kila uletacho mtandaoni kinakuva cha faida kwa Tanzania 🇹🇿 kwa kuwajenga kimawazo sio kutukana na ku-complain everyday. It doesn’t hurt to be nice.
Kinakuwa na faida kwa watanzania . Correction
Amina