MBARIKIWA MWAKIPESILE AMTAJA PAUL MAKONDA | AMTOLEA MFANO WA MATUKIO YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #mbarikiwamwakipesile #paulmakonda

Комментарии • 20

  • @frankmamboleo6418
    @frankmamboleo6418 2 месяца назад

    Kweli mchungaji. Ukosahihi,kwani Makonda anapigania haki za wananchi na mwenyezi Mungu ambaliki na ampiganie Afya njema amina.

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 месяца назад +1

    Hongera sana Mchungaji Mbarikiwa kwa kuona Kusudi kubwa la MUNGU Kwa Mchungaji Paul CHRISTIAN Makonda ,mkuu wa mkoa arusha

  • @TUMUENZIMBARIKIWA
    @TUMUENZIMBARIKIWA 3 месяца назад +2

    Mbarikiwa anapasua ukweli safi mbarikiwa, safi makonda

  • @dubai8594
    @dubai8594 3 месяца назад +3

    Umeongea point Sana kipesile

  • @astrinomgesi-np5xv
    @astrinomgesi-np5xv 3 месяца назад +1

    Amina

  • @DellerdoneDeller
    @DellerdoneDeller 3 месяца назад +2

    Aisee mwakipesile umeongea

  • @veronicamokiwa4315
    @veronicamokiwa4315 3 месяца назад +3

    Hapa umenena ni ukweli usiopingika Makonda anastahili pongezi

  • @UpendoMungure
    @UpendoMungure 3 месяца назад +1

    Amen baba

  • @ShijaMpanya
    @ShijaMpanya 3 месяца назад +1

    Umenena vyema mtu wa Mungu ubarikiwe

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 3 месяца назад +9

    Makonda nijembe hatama Samia haingii Ndani kwa makonda HUYU NI magufuli no 2

  • @gladnesskombe1664
    @gladnesskombe1664 3 месяца назад +1

    Leo ❤

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 2 месяца назад +1

    Kuanzia leo mtumishi nisamehe tu nilipoenda kinyume na ww nisamehe sana nimejifunza kitu kutoka kwako na nimeelewa nn maana ya kilio chako juu ya watz

  • @stephenkalidush5446
    @stephenkalidush5446 3 месяца назад +1

    uko sahihi kbs mtumishi, sio siri, unakuta mkuu wa mkoa anafanya kaz kama kibarua chake hivyo hana hata nia ya kuona miradi mbalimbali ikitekelezwa na haki kutendeka.

  • @EliaMarco
    @EliaMarco 3 месяца назад +1

    Umesema kweli kabisa

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 3 месяца назад +1

    Amen 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 3 месяца назад +1

    Umenene.

  • @zablonnyanda6095
    @zablonnyanda6095 3 месяца назад +1

    🙏🙏🙏

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 3 месяца назад +1

    My mission accomplished stage one. Stage two, ifike wakati mpotee mitandaoni kwa muda, na hata mkirudi mitandaoni, unaongea mara moja moja, na unahakikisha, kila uletacho mtandaoni kinakuva cha faida kwa Tanzania 🇹🇿 kwa kuwajenga kimawazo sio kutukana na ku-complain everyday. It doesn’t hurt to be nice.

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 3 месяца назад +1

      Kinakuwa na faida kwa watanzania . Correction

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nh 2 месяца назад

    Amina