UTAJIRI WA DR SULLE NI FEKI MTUMISHI WA MUNGU ATANGAZA KUMUOMBEA JINI LITOKE KWENYE JUMBA HILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2024

Комментарии • 26

  • @berry4726
    @berry4726 19 дней назад +1

    HUYU SI MTUMISHI NI MUONGO WA KUPITILIZA. HAJUI KITU .

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys 19 дней назад +1

    Mm nazani utajir wa dokta sule wengi wenu unawaumiza na nyiy mnataka mfike kama yy

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 8 дней назад

    Huyu uvivu wakulima ndo umemfanya ajidai mchungaji😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 20 дней назад

    MBONA MNAMUATAKI HUYU SHEIKH SULE KAMA UTAJILI WAKE FEKI MUONGO YANAWAUSU NINI NYINYI FANYENI YENU MUACHENI KIVYAKE AJAMLAZIMISHA MTU KWEDA KWAKE YEYE MAMBO YAKE UFANYA NJE YA TANZANIA NA KUMUAMINI MUNGU ❤

  • @Rahma94Oman-cn5qo
    @Rahma94Oman-cn5qo 19 дней назад

    Mm heruf yangu ni p nn maana nyota yanu

  • @Abninimo.
    @Abninimo. 19 дней назад +1

    Elimu ndogo sana.... Hamna kitu apo

  • @AnthonyNgowa-cs1uc
    @AnthonyNgowa-cs1uc 19 дней назад

    Naomba number ha huyo

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 18 дней назад

    Hizi ni nyakati zilizo tabiriwa kuna mamb o mengi sana amba yo yametabiriwa nd io yanayoonekana sasahivi eeee mmu ngu tusaidie

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys 19 дней назад

    Ila jitahidini tu kupambana nanyiy mnafika kama yy huyo dokt sule
    Kiufupi kinawauma

  • @user-jg3ek6ot3u
    @user-jg3ek6ot3u 19 дней назад

    Ovyo mxuuuu😂😂

  • @audifansisafari5587
    @audifansisafari5587 19 дней назад

    Moto wa ROHO MTAKATIFU ukaunguze hizo nafsi yako

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys 19 дней назад

    Acheni uzushi jamani huyo dokct sule muacheni

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 19 дней назад

    Huyu ni mganga kama waganga wengine! Mungu hana habari na mizimu! Nyota sio mababu zenu na nyie! Yani u🎉tegemee mtu aliekwisha kufa huku unajua hakufufuka! We mtangazaji hujampata mchungaji wakweli wa kumhoji!

  • @meshackkalunge4174
    @meshackkalunge4174 19 дней назад

    Huyu pia amejizanganja

  • @selemwenda690
    @selemwenda690 20 дней назад

    Mtumishi mawasiliano weka hapo

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 19 дней назад

    huyu sio mtumishi wala hatuwakilishi sisi wakristo sidhani kama anajua biblia

  • @wakeshojana
    @wakeshojana 19 дней назад

    MUNGU AMEKATAZA MAMBO YA FALAKI NA NYOTA >>>
    Isaya 47:12-15 Simama sasa na uganga wako, na wingi wa uchawi wako, uliojitaabisha nao tangu ujana wako; labda utaweza kupata faida, labda utaweza kushinda.
    Umechoka kwa wingi wa mashauri yako; basi, na wasimame hao wajuao falaki, wazitazamao nyota, watabirio kila mwezi mambo ya mwezi huo, wakakuokoe na mambo yatakayokupata.
    Tazama, watakuwa kama mabua makavu; moto utawateketeza; hawatajiokoa na nguvu za mwali wa moto; hautakuwa kaa la kukota moto, wala moto wa kukaa karibu nao.
    Ndivyo yatakavyokuwa mambo hayo uliyojitaabisha nayo; wale waliofanya biashara nawe tangu ujana wako watatanga-tanga mbali nawe, kila mtu akienda zake; hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 19 дней назад

    DINI YA KIKRISTO HAITAMBUI HABARI YA NYOTA HUYU NI MTUMISHI FEKI KAMA ALIVYOKUWA DR SULLE FEKI

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 20 дней назад

    We ata ujui wasema nn bro umuezi sule kwa lolote

  • @pastorbonifacenjiku2955
    @pastorbonifacenjiku2955 19 дней назад

    Tuoneshe hilo andiko linalonyesha majini mazuri na mabaya kwenye biblia

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman8989 20 дней назад

    Mpuuzi wewe utatu ni upagani wa kishetani

  • @xenioribra3765
    @xenioribra3765 19 дней назад

    admin punguzen ukali wa uandishi...wewe umeenda kumhoji sule m..why unakuw unaringanisha huku na kule....hoji vitu kujifunza vitu usihoji vtu kuweka utofaut na wtu utatengenez chuki na migogoro

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 20 дней назад

    Apo kwenye Sulaiman apo sawa lkn kwenye utatu utakatifu ni upuuzi

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 19 дней назад +1

    Hatuna Mkristo wa hivi, huyu nae ni mchawi tu kama sule

    • @allyciza
      @allyciza 19 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂