MBONA MNAMUATAKI HUYU SHEIKH SULE KAMA UTAJILI WAKE FEKI MUONGO YANAWAUSU NINI NYINYI FANYENI YENU MUACHENI KIVYAKE AJAMLAZIMISHA MTU KWEDA KWAKE YEYE MAMBO YAKE UFANYA NJE YA TANZANIA NA KUMUAMINI MUNGU ❤
Huyu ni mganga kama waganga wengine! Mungu hana habari na mizimu! Nyota sio mababu zenu na nyie! Yani u🎉tegemee mtu aliekwisha kufa huku unajua hakufufuka! We mtangazaji hujampata mchungaji wakweli wa kumhoji!
MUNGU AMEKATAZA MAMBO YA FALAKI NA NYOTA >>> Isaya 47:12-15 Simama sasa na uganga wako, na wingi wa uchawi wako, uliojitaabisha nao tangu ujana wako; labda utaweza kupata faida, labda utaweza kushinda. Umechoka kwa wingi wa mashauri yako; basi, na wasimame hao wajuao falaki, wazitazamao nyota, watabirio kila mwezi mambo ya mwezi huo, wakakuokoe na mambo yatakayokupata. Tazama, watakuwa kama mabua makavu; moto utawateketeza; hawatajiokoa na nguvu za mwali wa moto; hautakuwa kaa la kukota moto, wala moto wa kukaa karibu nao. Ndivyo yatakavyokuwa mambo hayo uliyojitaabisha nayo; wale waliofanya biashara nawe tangu ujana wako watatanga-tanga mbali nawe, kila mtu akienda zake; hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.
HUYU SI MTUMISHI NI MUONGO WA KUPITILIZA. HAJUI KITU .
Mm nazani utajir wa dokta sule wengi wenu unawaumiza na nyiy mnataka mfike kama yy
Huyu uvivu wakulima ndo umemfanya ajidai mchungaji😂
MBONA MNAMUATAKI HUYU SHEIKH SULE KAMA UTAJILI WAKE FEKI MUONGO YANAWAUSU NINI NYINYI FANYENI YENU MUACHENI KIVYAKE AJAMLAZIMISHA MTU KWEDA KWAKE YEYE MAMBO YAKE UFANYA NJE YA TANZANIA NA KUMUAMINI MUNGU ❤
Mm heruf yangu ni p nn maana nyota yanu
Elimu ndogo sana.... Hamna kitu apo
Naomba number ha huyo
Hizi ni nyakati zilizo tabiriwa kuna mamb o mengi sana amba yo yametabiriwa nd io yanayoonekana sasahivi eeee mmu ngu tusaidie
Ila jitahidini tu kupambana nanyiy mnafika kama yy huyo dokt sule
Kiufupi kinawauma
Ovyo mxuuuu😂😂
Moto wa ROHO MTAKATIFU ukaunguze hizo nafsi yako
Acheni uzushi jamani huyo dokct sule muacheni
Huyu ni mganga kama waganga wengine! Mungu hana habari na mizimu! Nyota sio mababu zenu na nyie! Yani u🎉tegemee mtu aliekwisha kufa huku unajua hakufufuka! We mtangazaji hujampata mchungaji wakweli wa kumhoji!
Huyu pia amejizanganja
Mtumishi mawasiliano weka hapo
huyu sio mtumishi wala hatuwakilishi sisi wakristo sidhani kama anajua biblia
MUNGU AMEKATAZA MAMBO YA FALAKI NA NYOTA >>>
Isaya 47:12-15 Simama sasa na uganga wako, na wingi wa uchawi wako, uliojitaabisha nao tangu ujana wako; labda utaweza kupata faida, labda utaweza kushinda.
Umechoka kwa wingi wa mashauri yako; basi, na wasimame hao wajuao falaki, wazitazamao nyota, watabirio kila mwezi mambo ya mwezi huo, wakakuokoe na mambo yatakayokupata.
Tazama, watakuwa kama mabua makavu; moto utawateketeza; hawatajiokoa na nguvu za mwali wa moto; hautakuwa kaa la kukota moto, wala moto wa kukaa karibu nao.
Ndivyo yatakavyokuwa mambo hayo uliyojitaabisha nayo; wale waliofanya biashara nawe tangu ujana wako watatanga-tanga mbali nawe, kila mtu akienda zake; hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.
DINI YA KIKRISTO HAITAMBUI HABARI YA NYOTA HUYU NI MTUMISHI FEKI KAMA ALIVYOKUWA DR SULLE FEKI
We ata ujui wasema nn bro umuezi sule kwa lolote
Tuoneshe hilo andiko linalonyesha majini mazuri na mabaya kwenye biblia
Hawezi
Mpuuzi wewe utatu ni upagani wa kishetani
admin punguzen ukali wa uandishi...wewe umeenda kumhoji sule m..why unakuw unaringanisha huku na kule....hoji vitu kujifunza vitu usihoji vtu kuweka utofaut na wtu utatengenez chuki na migogoro
Apo kwenye Sulaiman apo sawa lkn kwenye utatu utakatifu ni upuuzi
Hatuna Mkristo wa hivi, huyu nae ni mchawi tu kama sule
😂😂😂😂😂😂😂