MashaAllah MashaAllah ukewenza raha yake wote muwe na dini na pia pesa iwepo (Sheikh Sule 1 akitoka naomba nafasi😅😅) hapo hakutakua na shida sio wengine wanajua suna ya kuowa tu huduma 0 matokeo yake ndio hayo kutesa watt wawatu na kuona ukewenza haufai
@@user-gu1lg2zr8s hapanaaaaaaaaaaa bana ukewenza Raha yake mume awe na pesa na pia nyote muwe na Iman ndan ya mioyo yenu vinginevyo hamtoboi hata kama pesa iwepo
Wanawake wanaojiuza WANAWEZA KUKAA na bwana mmoja tena Kuna muda wanashea mabwana na mashoga kitu ambacho ni uchafu zaidi ya uchafu lakini huku kwenye kheri na barka mnaona jambo baya ndio maana masingo mother wamejaaa na wanazidi kila siku
@@BIGBOSS-hl3bu kumbuka wanawake wanaojiuza awajainvest mapenzi yao pale. Wanajua ile kwao kazi akija mteja mmemalizana hapa katika ndoa kuna jambo kama penzi tusiwe waongo kushare mapenzi kunauma, kumbuka uyu ni mtu alopanga nae maisha na vitu vingi, kuna watoto unaanzaje kuona mwanamke mwengine anapendwa na mumeo? Sio rahisi wanaume msioijua dini ndio mnaona rahisi dini yenyewe imesema wazi sio jambo la rahisi apo panatakiwa ushirikiano Mkubwa sana kutoka kwa Allah kuweza kuwatia wale wanawake moyo wa kustahimilia, kwa hio usiwachukulie wanawake Wabaya, angalia wanaume wengi waliobobea kwenye dini wanabakia na mke mmoja na sio kwamba hawana kipato, kipo lakini wanajua ni mtihani na pia wanaume wengi wanapata dhambi sana katika ndoa ya mathna, ni ngumu sana kupenda wanawake wote sawa lazima moyo utazama kwa mmoja. Walio na nyoyo za subra watavumilia wasio weza rukhsa kukata dini haijalazimisha uke wenza mnaolazimisha ni nyinyi tu
Jamani wallah napenda uke wenza kwanza mme kila siku humkinai na wala huwezi kumnyima usiku manaje ataenda kulala kwa mke mwingine akija lazima utamfurahia tu lskini kila siku mko wawili tu lazima mtachokana
Hamna lolote ukewenza ni mapenzi ya ndugu na madada kuishi pamoja.. Ukiwa Muislaam wa kweli na ukiwa na imani ya kweli.. Basi sio kazi Unaishi kawaida tu.. Kwani imeshaamini kuwa mwenye kuruzuku ni Allah peke yake na hana mshirika..
Amiin Allah Wallahi unaweza ukawa umeolewa upo peke yako kwenye ndoa Lakini ukawa huna raha wala amani kwenye ndoa yako.. Na ukawa umeolewa upo kwenye ndoa ya uke wenza na mukaishi kumdhibiti mume wenu na mukawa na umoja mukaishi kwa raha na Aman❤i❤
Sio wote wenye dini na wanaroho safi,baadhi ya wenye dini wanajionesha nje wanadini"lkn niwanachoyo na roho mbaya kwa wenzie! Na utakuta hamuwezi mume na hayawezi yote ktk Ndoa
The ayaat of marriage, the ulama have divided it into 4 interpretations: 1) you can marry 4 women 2) 9 wives 3) 18 wives 4) more than 18 wives As you know, all doctrines have their own opinions and evidence. No one can say that those who support the opinion of 4 women are right! In Islam, every opinion is taken into account, because all doctrines have endeavored to reach their decisions through probabilities!
Wanaume wengi wanaowa kwa tamaa tu km huna pahala pa kuwaweka kuna haja gani ya kuowa wanne kisha uwakusanye km kuku.kuowa zaidi ya mmoja ni uwe muadilifu uwapende na kuwatendea haki sawa lkn kuwakusanya km sardine hapana kwa kweli
MaashaAllah nakuomba uchukue mafunzo kwa wenye uzoefu ambao wamekutangulia kama Dr.Sulle. Ninamuomba Allah akuwezeshe na akupe nguvu na imani.. Amiin yaarab Amiin
huyu sule alikuwa mpole Sana lkn kwa sasa media zimemteka na amini usiamini sule ukizidi kuendekeza hizi media utajishushia hadhi maana sasa hivi mara ona mjengo wa sule mara unamiliki vx mara natongozwa sheikh mzima unaongeaje pumba kiasi hicho‽ sasa ushaanza kuongelea wake zako wakati kina mufti wapo kitambo hawaongei wake zao
hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! kama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa
hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! jama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa
Alafu et anajiita mtu wamungu wakati anaonekan kabsa ni muhun tu mungu atusaidie Sana Mana waislam weng wanamwamin hyu jamaa alaf nimganga wakienyeji daah mungu atuhurumie sanaa
Nyie mnao sema kwa yesu kuna raha unaoa mke umevaa pete kidoleni na bado unatoka nje muogopeni mungu sio kuwasema waisilamu vibaya heri yeye kaoa wake wa nne kuliko wewe ulieoa mke mmoja na ukiviona vya nje mate yakudondoka.
Dr. Sule asiwafanye wanaume wengine kujiona wao sio wanaume, huyu kawapiga visomo vibaya mno apo awajielewi kwa hio kaka zangu msijione hafif. Mimi hapa nilikua mchumba kwa shekh mkubwa na alikua hana mke, nikaja kukuta msg akiongea na mwanamke mwengine akimwambia baada ya kunioa atamuoa, mwanamke kamuuliza je atakubali kamwambia kuna dua uwa wanafanyiwa kwa hio nitatulia tu. Kwa hio wanaume wote mnaowaona wanajifanya wameweza wanambinu wanatumia... Kwanza uyu Dr sule hana dini yuko kibiashara zaidi. Angalia mashekh waliobobea kwenye dini wanaogopa Sana hii sunnah sababu watu wanaichukulia rahisi lakini wanaume wengi wanapata dhambi sana katika mathna. Hala Dr sule wacha uongo wanawake atupendagi waume za watu tunapenda huduma. Ebu Leo mpunga up ungesema ndio utajua ukweli
Yani natamani nipate namba ya sheikh mmoja nimuulize maswali anijibu kwa ufasaha labda nitaelewa kama kuna makosa nakosea masna hizi haiko mbali kuvunjika ndoa yangu
Masheeee bwana mnatupa wakati mgumu wewe ulikuwa unamesema msanii mmoja Kuhusu pete Apo naona vile vidole ulivyo kataaa kikiwemo cha shahada naona kina pete Ya nn iyo
Dk Sulle, Aya ya ndoa, maulamaa wameigawanya katika tafsiri 4: 1) unaweza kuoa wanawake 4 2) wake 9 3) wake 18 4) zaidi ya wake 18 Kama unavyojua, mafundisho yote yana maoni na ushahidi wao wenyewe. Hakuna mtu anayeweza kusema kwamba wale wanaounga mkono maoni ya wanawake 4 ni sawa! Katika Uislamu, kila rai inazingatiwa, kwa sababu mafundisho yote yamejitahidi kufikia maamuzi yao kwa njia ya uwezekano!
Sasa mm nashangaa ndo za waislam afrika wanajali Sana uke wenza ila Waarabu Sasa huwa nacheka wanavimba uwiiiiiiiiiiiiii 😂😂😂 kuna madam wangu hapa mwambie Sasa uke wenza umuone povu 😅😅😅
Masha Allah nakuombea Allah akuhifadhi
Mashaallah Allah akuzidishie uwadilifu
Mashallah mashallah honger kwa msimamoo mwanaume ni kichwaaa cha familiaa
Dadaangu unapendeza sana ukivaa hivyo nakupenda kwaajili ya Allah❤
Mashaallahh mashaallahh . hongera shekh inapendeza Sana ♥️
MashaAllah MashaAllah ukewenza raha yake wote muwe na dini na pia pesa iwepo (Sheikh Sule 1 akitoka naomba nafasi😅😅) hapo hakutakua na shida sio wengine wanajua suna ya kuowa tu huduma 0 matokeo yake ndio hayo kutesa watt wawatu na kuona ukewenza haufai
Ujakufika ukajua. Dk sule kwanza kawapiga kisomo apo awajielewi 😂
@@user-gu1lg2zr8s hapanaaaaaaaaaaa bana ukewenza Raha yake mume awe na pesa na pia nyote muwe na Iman ndan ya mioyo yenu vinginevyo hamtoboi hata kama pesa iwepo
Wanawake wanaojiuza WANAWEZA KUKAA na bwana mmoja tena Kuna muda wanashea mabwana na mashoga kitu ambacho ni uchafu zaidi ya uchafu lakini huku kwenye kheri na barka mnaona jambo baya ndio maana masingo mother wamejaaa na wanazidi kila siku
@@BIGBOSS-hl3bu kumbuka wanawake wanaojiuza awajainvest mapenzi yao pale. Wanajua ile kwao kazi akija mteja mmemalizana hapa katika ndoa kuna jambo kama penzi tusiwe waongo kushare mapenzi kunauma, kumbuka uyu ni mtu alopanga nae maisha na vitu vingi, kuna watoto unaanzaje kuona mwanamke mwengine anapendwa na mumeo? Sio rahisi wanaume msioijua dini ndio mnaona rahisi dini yenyewe imesema wazi sio jambo la rahisi apo panatakiwa ushirikiano Mkubwa sana kutoka kwa Allah kuweza kuwatia wale wanawake moyo wa kustahimilia, kwa hio usiwachukulie wanawake Wabaya, angalia wanaume wengi waliobobea kwenye dini wanabakia na mke mmoja na sio kwamba hawana kipato, kipo lakini wanajua ni mtihani na pia wanaume wengi wanapata dhambi sana katika ndoa ya mathna, ni ngumu sana kupenda wanawake wote sawa lazima moyo utazama kwa mmoja. Walio na nyoyo za subra watavumilia wasio weza rukhsa kukata dini haijalazimisha uke wenza mnaolazimisha ni nyinyi tu
@@BIGBOSS-hl3bu usitujumuishe tafadhali Sheikh 😅😅😅
Congratulations,Dr.sulle. hongera tena.sitara ni Sunna ya mtume wetu Mohammad S.A.W.
Wewe unaesema hutaki ndoa za kushea huenda labda unae michepuko kibao Bora mmeo aoe kwani haki kuoa na kuolewa
Asaaaante Kweli kabisa maneno yako
Masha allah allah akulipe. Herry inshaallah
ManshaAllah , Allah awape kila kizuri fidunia wari akhera, ukewenza nilaha ❤❤❤
Amiin yaarab Amiin
Uke wenza ni raha mnapenda kama ndugu mnaishi❤
Amiin thumma amiin ❤❤❤
Allah akuhifadhi shekhe wetu.
Amiin thumma amiin
Mashaallah ❤❤❤❤
Mashaallahh ❤ mm nimwislam lakin uke wennza nauogopa sana kwasababu niliolewa nikateseka sana
MashaAllah , nikhere Allah awajaze kheri naupendo .
Mimi pia kama ningekuwepo huko basi ningelisubiria nafasi ya mke mwengine akitoka ili nizibe pengo❤kwa Dr.Sulle.
We mchawi haondoki mtu
Mashallah alhamndulillah ongera dr Sule hata mimi ninao wawili na Sina pesa ila alhamndulillah tumetulia nakushibana Allah mkubwa
Nashukuru mungu Mimi Nina wata3 naishi nao pamoja tena Kwa amani kubwa ila wananisema sanaaaaaaa.
Jamani wallah napenda uke wenza kwanza mme kila siku humkinai na wala huwezi kumnyima usiku manaje ataenda kulala kwa mke mwingine akija lazima utamfurahia tu lskini kila siku mko wawili tu lazima mtachokana
Baba yangu aliishi na wake 4 tens nyumba 1 na mpaka wamehitimishana, inatakiwa busara za mume wao tu. Kwa hiyo si ajabu dr shule kuishi na wekeza 4.
Mimi muislam napenda uke wenza ❤❤😢xana
Unapatikana wap nilete posa
Assalamu alaykum,kweli?
Hata mimi napenda sana
@@user-my4dr5oq6v kwakusema-hivyo-tu-ndio-unataka-upeleke-posa!kuwa-makin-usiwe-na-pupa
MaashaAllah Dr.Sulle ninamuamini kabisa ni mwanaume wa kikweli na yuko imara❤
Una muamini vp ume lala nae
@@user-rs6tb6sv9m tumekatazwa-kudhaniana-kwa-ubaya!naamin-hayo-ni-mapenzi-yake-tu!
Yawezekana Bora Tu upate Wenye Kuifahamu Dini vilivyo... Controller ni Mume siku zote MashaAllah Sunnah tul Nabii
Mm ninamke mwenzangu hatujahi kuongea toka nimeolewa mm nickel mdg
Mungu akuokowe katika maisha ya uzinifu, umujuwe Yesu-Kristo kua bwana namokozi wamaisha yako
ACHA ujinga
haha upo sawa kwel?? ndoa ni uzinifu
Dini yake sioyako
Sawa sawa master Dr. Sule
Masha Allah mungu awazidishiy mapenzi yenu
Allahumma Amiin Amiin yaarab Amiin
Naona wanaokataa ukewenza wote ni waisilam hapo ndiyo ujue mapenz hayagawanyki
Sio waslamu wate
MashaaAllah
MashaALLAH
Pesa unazo bila ya pesa wasengelikaa hata sekunde 1
Kweli
Wallahi uke wenza wataka moyo kwakweli
Hamna lolote ukewenza ni mapenzi ya ndugu na madada kuishi pamoja..
Ukiwa Muislaam wa kweli na ukiwa na imani ya kweli..
Basi sio kazi
Unaishi kawaida tu..
Kwani imeshaamini kuwa mwenye kuruzuku ni Allah peke yake na hana mshirika..
@@user-pf9mt2yt4l inaonyesha-unaupenda?
Dada yupo vizuri sana mahojiano yake anauliza maswali ya muhimu alafu sauti Masha Allah
Kikweli kabisa maneno yako ya murua na ya imani ya kweli uke wenza ameujaalia Allah..
Ameelezea kwenye surat Al Baqarah
Dada etu mavazi usiyaache ayo yamekupendezesha mno
Mashallah hongera sana
Mmh minapenda kweli ila hio yakukazwa nyumba moja hapana kweli uongo zambi sintoweza
Kukazwa-tena!
Saluti to u I'm coming there
Mashallah dr sule❤
Hongera kaka ila wajengee kila mtu nyumba yake itapendeza zaidi.
Kwan-kuna-ubaya-gan-wakat-wenyiwao-wameshakubalian?
Amiin Allah Wallahi unaweza ukawa umeolewa upo peke yako kwenye ndoa Lakini ukawa huna raha wala amani kwenye ndoa yako..
Na ukawa umeolewa upo kwenye ndoa ya uke wenza na mukaishi kumdhibiti mume wenu na mukawa na umoja mukaishi kwa raha na Aman❤i❤
Yuko Sawa shehee wangu mimi mwenyewe mwaka waa12 atujawai gombana atuna pesa ira tunaishi kikubwa kuondoa umbea wauku kupereka uku
Kwa hiyo kwenye kumuamini Allah na mwenye kuwa na imani ya kweli kabisa baai hawezi kuyapinga maneno ya Allah ambae ametuamrisha..
Kama wana dini ndani yao wanakaa sana pamoja.
Sio wote wenye dini na wanaroho safi,baadhi ya wenye dini wanajionesha nje wanadini"lkn niwanachoyo na roho mbaya kwa wenzie! Na utakuta hamuwezi mume na hayawezi yote ktk Ndoa
Comments zitaniua😂😂😂😂Dr sulle ayo ni maamuzi yake haimaanishii kila mwanaume aige mfano wake Laa wanaume watofautiana jamanii
Huyu musimusikilize mwizi mukubwa muone😢😢😢
Ahsante
Acha umalaya
Raha sana
The ayaat of marriage, the ulama have divided it into 4 interpretations:
1) you can marry 4 women
2) 9 wives
3) 18 wives
4) more than 18 wives
As you know, all doctrines have their own opinions and evidence.
No one can say that those who support the opinion of 4 women are right! In Islam, every opinion is taken into account, because all doctrines have endeavored to reach their decisions through probabilities!
Mashallah,❤❤❤❤
Ibilisi ni wewe kama mume anamsimamo make vizuli sana ilawengi choyo anaroho mbaya
MaaShaaAllah
Wanaume wengi wanaowa kwa tamaa tu km huna pahala pa kuwaweka kuna haja gani ya kuowa wanne kisha uwakusanye km kuku.kuowa zaidi ya mmoja ni uwe muadilifu uwapende na kuwatendea haki sawa lkn kuwakusanya km sardine hapana kwa kweli
Kama hawana shida ni sawa ata othman Michael akona wawili na wanaishi pamaoja
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kati ya comment zote umetisha
Mapenzi bila ya pesa kwanawaka wasasa sahivi hawa sio wanawake hawa wanawaka
Iyo moja mm sitaiweza ata km niko muislamu siwezii uke wena
Roho mbaya tu
Na mm mung anijaliye niwe kama shehe sule
Nampenda huyu dokta suley yaani sio muoga
Mimi nimeoa wake wawili na wote naishi nao kwenye nyumba moja ila kila mke ana chumba chake na wanapendana sana Allah aniongoze katika ndoa yangu
Allah wanariki wazid kupendan
Allah wanariki wazid kupendan
Namimi naitajiii kuongezaaa Mk eee nimepataaa fundishoooo kakaaa
Chamsingi Amani na Upendo
Wake wote hao wa nini ni tamaa tu
Mmh huyu shee ana shida,hapendi kusoma dini ila anapenda kuongea sana.Atwambie Mtume swalallahu alyhiwassalaama alifanya hivo au lifundisha hivo, kuwaweka wanawake w4 nyumba1
😢😢😢yarabi nisaidie, nina moyo mwepes jaman nitashindwa mie
Pia mie😂😂 cyawezi mungu nisamehe
Gig up dkt sule,mimi nipo nyuma yako saiv nna wawili napambana nipate 3😂😂😂
MaashaAllah nakuomba uchukue mafunzo kwa wenye uzoefu ambao wamekutangulia kama Dr.Sulle.
Ninamuomba Allah akuwezeshe na akupe nguvu na imani..
Amiin yaarab Amiin
@@user-pf9mt2yt4l amin amin amin.
jazakallahu khairaaa
huyu sule alikuwa mpole Sana lkn kwa sasa media zimemteka na amini usiamini sule ukizidi kuendekeza hizi media utajishushia hadhi maana sasa hivi mara ona mjengo wa sule mara unamiliki vx mara natongozwa sheikh mzima unaongeaje pumba kiasi hicho‽
sasa ushaanza kuongelea wake zako wakati kina mufti wapo kitambo hawaongei wake zao
Kwani Shida gani hapo kuelezea kuhusu Ndoa, mbona hata mtume Muhammad s.a.w. Imeelezewa wake zake au ujasoma weye,.
Laiti wanaume wote wangekua kama wewe walah Kila mwanamke angekubali ukewenza
😊
Ni sahihi kabisa
Na pia kaa wanawake wote wangekuwa kaa wanawake wake Kila mwanaume angekuwa na wanna na riziki ingeongezeka mara dufu.
@@aooshosho4255 jibu-limeenda-shule
Ndoa za kushea hutski ila jamaa Yako nje ana makadhalika mia
Shekhe anawapiga kamba Mkubwa anakaa peke ake bhana na wale wengine wanakaa wawili huyo mmoja sijui kaoa lini
hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! kama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa
hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! jama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa
Hilo la pesa, hata ukiwa na mke mmoja , ukichacha anakukimbia
Na pia akikuvumilia heshima yapotea
Alafu et anajiita mtu wamungu wakati anaonekan kabsa ni muhun tu mungu atusaidie Sana Mana waislam weng wanamwamin hyu jamaa alaf nimganga wakienyeji daah mungu atuhurumie sanaa
Haikuhusu sio muumini meenzako angalia yako
Sheikh wang nakukumbusha usiache mavaz ya Snna
Wenimuhuni tu
Hongera sana dr sulle
Nyie mnao sema kwa yesu kuna raha unaoa mke umevaa pete kidoleni na bado unatoka nje muogopeni mungu sio kuwasema waisilamu vibaya heri yeye kaoa wake wa nne kuliko wewe ulieoa mke mmoja na ukiviona vya nje mate yakudondoka.
Asaaante maneno yako ni kweli😅
Lait mngejua ndani ya nyumba ya dr sulle msingeaongea
😂
Kisakalogia.Nakuja mimi mke wa 5
😂😂 Pretend, Shekhe naona kimagharibi kwa sana😂😂
Kujiendekezaa tuu na kuendekeza nafsi Kila unachokitaka kwenye nafsi yako we inataka ufanye hio ni sw shirki
Dr. Sule asiwafanye wanaume wengine kujiona wao sio wanaume, huyu kawapiga visomo vibaya mno apo awajielewi kwa hio kaka zangu msijione hafif. Mimi hapa nilikua mchumba kwa shekh mkubwa na alikua hana mke, nikaja kukuta msg akiongea na mwanamke mwengine akimwambia baada ya kunioa atamuoa, mwanamke kamuuliza je atakubali kamwambia kuna dua uwa wanafanyiwa kwa hio nitatulia tu. Kwa hio wanaume wote mnaowaona wanajifanya wameweza wanambinu wanatumia... Kwanza uyu Dr sule hana dini yuko kibiashara zaidi. Angalia mashekh waliobobea kwenye dini wanaogopa Sana hii sunnah sababu watu wanaichukulia rahisi lakini wanaume wengi wanapata dhambi sana katika mathna. Hala Dr sule wacha uongo wanawake atupendagi waume za watu tunapenda huduma. Ebu Leo mpunga up ungesema ndio utajua ukweli
Huez elewa life style kwa siku moja 😂😂😂
Don't trust anyone in this world.be careful
Hao ni wake au mananau jamani
Unataka pesa kaoe bengi🇰🇪🇰🇪
Yani natamani nipate namba ya sheikh mmoja nimuulize maswali anijibu kwa ufasaha labda nitaelewa kama kuna makosa nakosea masna hizi haiko mbali kuvunjika ndoa yangu
Wee mwanaume malaya apo una mpenda moja tuu
Kamtongoza mama yako?
Masheeee bwana mnatupa wakati mgumu wewe ulikuwa unamesema msanii mmoja
Kuhusu pete
Apo naona vile vidole ulivyo kataaa kikiwemo cha shahada naona kina pete
Ya nn iyo
Sister nakupenda na ninataka ku kuoa je tuna weza kuongea kuhusu hili
Wasafi ebu muibeni huyu mdada naona anakuja vizur katika kufanya mahojiano
Dk Sulle,
Aya ya ndoa, maulamaa wameigawanya katika tafsiri 4:
1) unaweza kuoa wanawake 4
2) wake 9
3) wake 18
4) zaidi ya wake 18
Kama unavyojua, mafundisho yote yana maoni na ushahidi wao wenyewe.
Hakuna mtu anayeweza kusema kwamba wale wanaounga mkono maoni ya wanawake 4 ni sawa! Katika Uislamu, kila rai inazingatiwa, kwa sababu mafundisho yote yamejitahidi kufikia maamuzi yao kwa njia ya uwezekano!
Sasa mm nashangaa ndo za waislam afrika wanajali Sana uke wenza ila Waarabu Sasa huwa nacheka wanavimba uwiiiiiiiiiiiiii 😂😂😂 kuna madam wangu hapa mwambie Sasa uke wenza umuone povu 😅😅😅
Padir haow walioachwa na padri waolewe na nani
Swadakta 💯💯💯👏
Doctor sule njoo unioe mik jkn ila matako makubw cna
Hahaha hutaki vijana
Munguanipe mume kama huyu ila nataka nimwe wa3
Ndoa za kushea sunna kubwa
Ndoa ya Kikiristo mi imenishangaza unamuona mama anafanya harusi na baba watoto na watoto already wapo form4🇰🇪🇰🇪
Uzinifu kwao nikitu cha kawaida2
😂 umenichekesha sana na umenikumbusha sana 😂 hizo zipo sana. Wengine wanasema kukamilisha 😂
Tofauti Sha makanisa ukristo ndio lkn Kuna makanisa hayaruhusu
Huyonimuhuni migogoro ipo hana lolotehuyo
Mtu mwenyewe kanyata😂