ONA MAHABA YA DK SULLE KWA WAKE ZAKE WANNE, NAWAPENDA WOTE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2024

Комментарии • 283

  • @user-oy8sb7jg3s
    @user-oy8sb7jg3s 23 дня назад +12

    Masha Allah nakuombea Allah akuhifadhi

  • @Fadhila-xk2sw
    @Fadhila-xk2sw 16 часов назад

    Mashaallah Allah akuzidishie uwadilifu

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m 23 дня назад +11

    Mashallah mashallah honger kwa msimamoo mwanaume ni kichwaaa cha familiaa

  • @user-cr6mn4ks5f
    @user-cr6mn4ks5f 22 дня назад +7

    Dadaangu unapendeza sana ukivaa hivyo nakupenda kwaajili ya Allah❤

  • @user-kq1sx1uc6z
    @user-kq1sx1uc6z 8 дней назад +1

    Mashaallahh mashaallahh . hongera shekh inapendeza Sana ♥️

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 19 дней назад +8

    MashaAllah MashaAllah ukewenza raha yake wote muwe na dini na pia pesa iwepo (Sheikh Sule 1 akitoka naomba nafasi😅😅) hapo hakutakua na shida sio wengine wanajua suna ya kuowa tu huduma 0 matokeo yake ndio hayo kutesa watt wawatu na kuona ukewenza haufai

    • @user-gu1lg2zr8s
      @user-gu1lg2zr8s 12 дней назад +2

      Ujakufika ukajua. Dk sule kwanza kawapiga kisomo apo awajielewi 😂

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 12 дней назад +1

      @@user-gu1lg2zr8s hapanaaaaaaaaaaa bana ukewenza Raha yake mume awe na pesa na pia nyote muwe na Iman ndan ya mioyo yenu vinginevyo hamtoboi hata kama pesa iwepo

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu 8 дней назад

      Wanawake wanaojiuza WANAWEZA KUKAA na bwana mmoja tena Kuna muda wanashea mabwana na mashoga kitu ambacho ni uchafu zaidi ya uchafu lakini huku kwenye kheri na barka mnaona jambo baya ndio maana masingo mother wamejaaa na wanazidi kila siku

    • @user-gu1lg2zr8s
      @user-gu1lg2zr8s 8 дней назад

      @@BIGBOSS-hl3bu kumbuka wanawake wanaojiuza awajainvest mapenzi yao pale. Wanajua ile kwao kazi akija mteja mmemalizana hapa katika ndoa kuna jambo kama penzi tusiwe waongo kushare mapenzi kunauma, kumbuka uyu ni mtu alopanga nae maisha na vitu vingi, kuna watoto unaanzaje kuona mwanamke mwengine anapendwa na mumeo? Sio rahisi wanaume msioijua dini ndio mnaona rahisi dini yenyewe imesema wazi sio jambo la rahisi apo panatakiwa ushirikiano Mkubwa sana kutoka kwa Allah kuweza kuwatia wale wanawake moyo wa kustahimilia, kwa hio usiwachukulie wanawake Wabaya, angalia wanaume wengi waliobobea kwenye dini wanabakia na mke mmoja na sio kwamba hawana kipato, kipo lakini wanajua ni mtihani na pia wanaume wengi wanapata dhambi sana katika ndoa ya mathna, ni ngumu sana kupenda wanawake wote sawa lazima moyo utazama kwa mmoja. Walio na nyoyo za subra watavumilia wasio weza rukhsa kukata dini haijalazimisha uke wenza mnaolazimisha ni nyinyi tu

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 8 дней назад

      @@BIGBOSS-hl3bu usitujumuishe tafadhali Sheikh 😅😅😅

  • @ZenaOsman-mr7lj
    @ZenaOsman-mr7lj 17 дней назад

    Congratulations,Dr.sulle. hongera tena.sitara ni Sunna ya mtume wetu Mohammad S.A.W.

  • @AllyRamadhani-wl3um
    @AllyRamadhani-wl3um 22 дня назад +8

    Wewe unaesema hutaki ndoa za kushea huenda labda unae michepuko kibao Bora mmeo aoe kwani haki kuoa na kuolewa

  • @SharifaAthumani-ws5hv
    @SharifaAthumani-ws5hv 15 дней назад

    Masha allah allah akulipe. Herry inshaallah

  • @DjanatWatoto
    @DjanatWatoto 20 дней назад +2

    ManshaAllah , Allah awape kila kizuri fidunia wari akhera, ukewenza nilaha ❤❤❤

  • @adijamuke8590
    @adijamuke8590 22 дня назад +4

    Allah akuhifadhi shekhe wetu.

  • @FatiuHussein
    @FatiuHussein 2 дня назад

    Mashaallah ❤❤❤❤

  • @HalimaAlly-dt5lm
    @HalimaAlly-dt5lm 4 дня назад

    Mashaallahh ❤ mm nimwislam lakin uke wennza nauogopa sana kwasababu niliolewa nikateseka sana

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583 20 дней назад

    MashaAllah , nikhere Allah awajaze kheri naupendo .

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4l 18 дней назад +1

    Mimi pia kama ningekuwepo huko basi ningelisubiria nafasi ya mke mwengine akitoka ili nizibe pengo❤kwa Dr.Sulle.

  • @DaudMuhammedDjuma
    @DaudMuhammedDjuma 15 дней назад

    Mashallah alhamndulillah ongera dr Sule hata mimi ninao wawili na Sina pesa ila alhamndulillah tumetulia nakushibana Allah mkubwa

  • @ShabaniShabani-fg7rm
    @ShabaniShabani-fg7rm 7 дней назад

    Nashukuru mungu Mimi Nina wata3 naishi nao pamoja tena Kwa amani kubwa ila wananisema sanaaaaaaa.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 3 дня назад

    Jamani wallah napenda uke wenza kwanza mme kila siku humkinai na wala huwezi kumnyima usiku manaje ataenda kulala kwa mke mwingine akija lazima utamfurahia tu lskini kila siku mko wawili tu lazima mtachokana

  • @shamsaalsalamy5159
    @shamsaalsalamy5159 16 дней назад +1

    Baba yangu aliishi na wake 4 tens nyumba 1 na mpaka wamehitimishana, inatakiwa busara za mume wao tu. Kwa hiyo si ajabu dr shule kuishi na wekeza 4.

  • @Nfffff
    @Nfffff 21 день назад +4

    Mimi muislam napenda uke wenza ❤❤😢xana

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4l 18 дней назад

    MaashaAllah Dr.Sulle ninamuamini kabisa ni mwanaume wa kikweli na yuko imara❤

    • @user-rs6tb6sv9m
      @user-rs6tb6sv9m 17 дней назад

      Una muamini vp ume lala nae

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 8 дней назад

      @@user-rs6tb6sv9m tumekatazwa-kudhaniana-kwa-ubaya!naamin-hayo-ni-mapenzi-yake-tu!

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 16 дней назад

    Yawezekana Bora Tu upate Wenye Kuifahamu Dini vilivyo... Controller ni Mume siku zote MashaAllah Sunnah tul Nabii

  • @SalmaBashingwa
    @SalmaBashingwa День назад

    Mm ninamke mwenzangu hatujahi kuongea toka nimeolewa mm nickel mdg

  • @georgeslupopo6215
    @georgeslupopo6215 22 дня назад +2

    Mungu akuokowe katika maisha ya uzinifu, umujuwe Yesu-Kristo kua bwana namokozi wamaisha yako

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 18 дней назад +1

    Sawa sawa master Dr. Sule

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 20 дней назад

    Masha Allah mungu awazidishiy mapenzi yenu

  • @nancyenock5601
    @nancyenock5601 22 дня назад +3

    Naona wanaokataa ukewenza wote ni waisilam hapo ndiyo ujue mapenz hayagawanyki

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 19 дней назад

    MashaaAllah

  • @selemanemomadeformassane3441
    @selemanemomadeformassane3441 22 дня назад

    MashaALLAH

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 20 дней назад +2

    Pesa unazo bila ya pesa wasengelikaa hata sekunde 1

  • @maryamathman8917
    @maryamathman8917 20 дней назад +3

    Wallahi uke wenza wataka moyo kwakweli

    • @user-pf9mt2yt4l
      @user-pf9mt2yt4l 18 дней назад

      Hamna lolote ukewenza ni mapenzi ya ndugu na madada kuishi pamoja..
      Ukiwa Muislaam wa kweli na ukiwa na imani ya kweli..
      Basi sio kazi
      Unaishi kawaida tu..
      Kwani imeshaamini kuwa mwenye kuruzuku ni Allah peke yake na hana mshirika..

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 8 дней назад

      @@user-pf9mt2yt4l inaonyesha-unaupenda?

  • @kuborashid9351
    @kuborashid9351 16 дней назад +1

    Dada yupo vizuri sana mahojiano yake anauliza maswali ya muhimu alafu sauti Masha Allah

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4l 18 дней назад

    Kikweli kabisa maneno yako ya murua na ya imani ya kweli uke wenza ameujaalia Allah..
    Ameelezea kwenye surat Al Baqarah

  • @makameJuma-ex3ps
    @makameJuma-ex3ps 21 день назад +2

    Dada etu mavazi usiyaache ayo yamekupendezesha mno

  • @najatramadhani6300
    @najatramadhani6300 22 дня назад

    Mashallah hongera sana

  • @saniairadukunda4400
    @saniairadukunda4400 18 дней назад +1

    Mmh minapenda kweli ila hio yakukazwa nyumba moja hapana kweli uongo zambi sintoweza

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 18 дней назад

    Saluti to u I'm coming there

  • @MashakaRashid-fw3xu
    @MashakaRashid-fw3xu 16 дней назад

    Mashallah dr sule❤

  • @user-we3ck6jv8o
    @user-we3ck6jv8o 9 дней назад

    Hongera kaka ila wajengee kila mtu nyumba yake itapendeza zaidi.

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 8 дней назад

      Kwan-kuna-ubaya-gan-wakat-wenyiwao-wameshakubalian?

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4l 18 дней назад

    Amiin Allah Wallahi unaweza ukawa umeolewa upo peke yako kwenye ndoa Lakini ukawa huna raha wala amani kwenye ndoa yako..
    Na ukawa umeolewa upo kwenye ndoa ya uke wenza na mukaishi kumdhibiti mume wenu na mukawa na umoja mukaishi kwa raha na Aman❤i❤

  • @SababuChinunga-ff8ul
    @SababuChinunga-ff8ul 15 дней назад

    Yuko Sawa shehee wangu mimi mwenyewe mwaka waa12 atujawai gombana atuna pesa ira tunaishi kikubwa kuondoa umbea wauku kupereka uku

  • @user-pf9mt2yt4l
    @user-pf9mt2yt4l 18 дней назад

    Kwa hiyo kwenye kumuamini Allah na mwenye kuwa na imani ya kweli kabisa baai hawezi kuyapinga maneno ya Allah ambae ametuamrisha..

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k 23 дня назад +2

    Kama wana dini ndani yao wanakaa sana pamoja.

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 23 дня назад

      Sio wote wenye dini na wanaroho safi,baadhi ya wenye dini wanajionesha nje wanadini"lkn niwanachoyo na roho mbaya kwa wenzie! Na utakuta hamuwezi mume na hayawezi yote ktk Ndoa

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 22 дня назад +2

    Comments zitaniua😂😂😂😂Dr sulle ayo ni maamuzi yake haimaanishii kila mwanaume aige mfano wake Laa wanaume watofautiana jamanii

  • @bijou5038
    @bijou5038 20 дней назад +1

    Huyu musimusikilize mwizi mukubwa muone😢😢😢

  • @SalamaJuma-mg3ru
    @SalamaJuma-mg3ru 7 дней назад

    Ahsante

  • @user-py1ob2ou2w
    @user-py1ob2ou2w 23 дня назад +3

    Acha umalaya

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d 15 дней назад

    Raha sana

  • @bradleykhanei4092
    @bradleykhanei4092 18 дней назад

    The ayaat of marriage, the ulama have divided it into 4 interpretations:
    1) you can marry 4 women
    2) 9 wives
    3) 18 wives
    4) more than 18 wives
    As you know, all doctrines have their own opinions and evidence.
    No one can say that those who support the opinion of 4 women are right! In Islam, every opinion is taken into account, because all doctrines have endeavored to reach their decisions through probabilities!

  • @fatumamwande2833
    @fatumamwande2833 16 дней назад

    Mashallah,❤❤❤❤

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 23 дня назад +2

    Ibilisi ni wewe kama mume anamsimamo make vizuli sana ilawengi choyo anaroho mbaya

  • @suleimansoud2783
    @suleimansoud2783 20 дней назад

    MaaShaaAllah

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 22 дня назад +1

    Wanaume wengi wanaowa kwa tamaa tu km huna pahala pa kuwaweka kuna haja gani ya kuowa wanne kisha uwakusanye km kuku.kuowa zaidi ya mmoja ni uwe muadilifu uwapende na kuwatendea haki sawa lkn kuwakusanya km sardine hapana kwa kweli

    • @sheemaryam
      @sheemaryam 22 дня назад +1

      Kama hawana shida ni sawa ata othman Michael akona wawili na wanaishi pamaoja

    • @user-th8bo9lu8n
      @user-th8bo9lu8n 18 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kati ya comment zote umetisha

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 20 дней назад

    Mapenzi bila ya pesa kwanawaka wasasa sahivi hawa sio wanawake hawa wanawaka

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 22 дня назад +1

    Iyo moja mm sitaiweza ata km niko muislamu siwezii uke wena

  • @ImaMohd-lp3cs
    @ImaMohd-lp3cs 15 дней назад

    Na mm mung anijaliye niwe kama shehe sule

  • @TpPt-do5vg
    @TpPt-do5vg 21 день назад

    Nampenda huyu dokta suley yaani sio muoga

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 21 день назад +2

    Mimi nimeoa wake wawili na wote naishi nao kwenye nyumba moja ila kila mke ana chumba chake na wanapendana sana Allah aniongoze katika ndoa yangu

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o 22 дня назад

    Namimi naitajiii kuongezaaa Mk eee nimepataaa fundishoooo kakaaa

  • @nsuriitv2468
    @nsuriitv2468 22 дня назад +2

    Chamsingi Amani na Upendo

  • @fridalyanguka1733
    @fridalyanguka1733 17 дней назад

    Wake wote hao wa nini ni tamaa tu

  • @MustafaAlly-su4dp
    @MustafaAlly-su4dp 19 дней назад

    Mmh huyu shee ana shida,hapendi kusoma dini ila anapenda kuongea sana.Atwambie Mtume swalallahu alyhiwassalaama alifanya hivo au lifundisha hivo, kuwaweka wanawake w4 nyumba1

  • @madamshifaa8503
    @madamshifaa8503 18 дней назад

    😢😢😢yarabi nisaidie, nina moyo mwepes jaman nitashindwa mie

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 18 дней назад

      Pia mie😂😂 cyawezi mungu nisamehe

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 20 дней назад +1

    Gig up dkt sule,mimi nipo nyuma yako saiv nna wawili napambana nipate 3😂😂😂

    • @user-pf9mt2yt4l
      @user-pf9mt2yt4l 18 дней назад +1

      MaashaAllah nakuomba uchukue mafunzo kwa wenye uzoefu ambao wamekutangulia kama Dr.Sulle.
      Ninamuomba Allah akuwezeshe na akupe nguvu na imani..
      Amiin yaarab Amiin

    • @Allybinamour
      @Allybinamour 18 дней назад

      @@user-pf9mt2yt4l amin amin amin.
      jazakallahu khairaaa

  • @mohdbest5859
    @mohdbest5859 22 дня назад +1

    huyu sule alikuwa mpole Sana lkn kwa sasa media zimemteka na amini usiamini sule ukizidi kuendekeza hizi media utajishushia hadhi maana sasa hivi mara ona mjengo wa sule mara unamiliki vx mara natongozwa sheikh mzima unaongeaje pumba kiasi hicho‽
    sasa ushaanza kuongelea wake zako wakati kina mufti wapo kitambo hawaongei wake zao

    • @TpPt-do5vg
      @TpPt-do5vg 21 день назад

      Kwani Shida gani hapo kuelezea kuhusu Ndoa, mbona hata mtume Muhammad s.a.w. Imeelezewa wake zake au ujasoma weye,.

  • @user-oy8sb7jg3s
    @user-oy8sb7jg3s 23 дня назад +12

    Laiti wanaume wote wangekua kama wewe walah Kila mwanamke angekubali ukewenza

    • @fatmasaleh2707
      @fatmasaleh2707 22 дня назад

      😊

    • @user-jw7qq1rt4r
      @user-jw7qq1rt4r 20 дней назад

      Ni sahihi kabisa

    • @aooshosho4255
      @aooshosho4255 19 дней назад

      Na pia kaa wanawake wote wangekuwa kaa wanawake wake Kila mwanaume angekuwa na wanna na riziki ingeongezeka mara dufu.

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 8 дней назад

      @@aooshosho4255 jibu-limeenda-shule

  • @user-br1mf8bc9q
    @user-br1mf8bc9q 20 дней назад

    Ndoa za kushea hutski ila jamaa Yako nje ana makadhalika mia

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599 20 дней назад

    Shekhe anawapiga kamba Mkubwa anakaa peke ake bhana na wale wengine wanakaa wawili huyo mmoja sijui kaoa lini

  • @yahfatmudswiddiq2271
    @yahfatmudswiddiq2271 20 дней назад

    hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! kama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa

  • @yahfatmudswiddiq2271
    @yahfatmudswiddiq2271 20 дней назад

    hayo ni kwa wenye akili sio kila mtu halafu swala la kugawa mapenzi ;mapenzi sio mandazi ?mandazi yenyewe yanagawika itakuwaje mapenzi ! jama huwezi kugawa mapenzi hata hela huwezi gawa

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 20 дней назад

    Hilo la pesa, hata ukiwa na mke mmoja , ukichacha anakukimbia

    • @aooshosho4255
      @aooshosho4255 19 дней назад

      Na pia akikuvumilia heshima yapotea

  • @user-qk5tr8dt7j
    @user-qk5tr8dt7j 19 дней назад +3

    Alafu et anajiita mtu wamungu wakati anaonekan kabsa ni muhun tu mungu atusaidie Sana Mana waislam weng wanamwamin hyu jamaa alaf nimganga wakienyeji daah mungu atuhurumie sanaa

  • @RamadhaniOmary-hn4my
    @RamadhaniOmary-hn4my 22 дня назад

    Sheikh wang nakukumbusha usiache mavaz ya Snna

  • @ashaomari1404
    @ashaomari1404 21 день назад +1

    Wenimuhuni tu

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 22 дня назад

    Hongera sana dr sulle

  • @bintomar8653
    @bintomar8653 19 дней назад

    Nyie mnao sema kwa yesu kuna raha unaoa mke umevaa pete kidoleni na bado unatoka nje muogopeni mungu sio kuwasema waisilamu vibaya heri yeye kaoa wake wa nne kuliko wewe ulieoa mke mmoja na ukiviona vya nje mate yakudondoka.

  • @khadijaamiri6629
    @khadijaamiri6629 16 дней назад

    Lait mngejua ndani ya nyumba ya dr sulle msingeaongea

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 22 дня назад

    Kisakalogia.Nakuja mimi mke wa 5

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 22 дня назад

    😂😂 Pretend, Shekhe naona kimagharibi kwa sana😂😂

  • @user-yt3nb3uc9i
    @user-yt3nb3uc9i 20 дней назад

    Kujiendekezaa tuu na kuendekeza nafsi Kila unachokitaka kwenye nafsi yako we inataka ufanye hio ni sw shirki

  • @user-gu1lg2zr8s
    @user-gu1lg2zr8s 12 дней назад

    Dr. Sule asiwafanye wanaume wengine kujiona wao sio wanaume, huyu kawapiga visomo vibaya mno apo awajielewi kwa hio kaka zangu msijione hafif. Mimi hapa nilikua mchumba kwa shekh mkubwa na alikua hana mke, nikaja kukuta msg akiongea na mwanamke mwengine akimwambia baada ya kunioa atamuoa, mwanamke kamuuliza je atakubali kamwambia kuna dua uwa wanafanyiwa kwa hio nitatulia tu. Kwa hio wanaume wote mnaowaona wanajifanya wameweza wanambinu wanatumia... Kwanza uyu Dr sule hana dini yuko kibiashara zaidi. Angalia mashekh waliobobea kwenye dini wanaogopa Sana hii sunnah sababu watu wanaichukulia rahisi lakini wanaume wengi wanapata dhambi sana katika mathna. Hala Dr sule wacha uongo wanawake atupendagi waume za watu tunapenda huduma. Ebu Leo mpunga up ungesema ndio utajua ukweli

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b 21 день назад

    Huez elewa life style kwa siku moja 😂😂😂

  • @yankanafamily
    @yankanafamily 9 дней назад

    Don't trust anyone in this world.be careful

  • @user-my4dr5oq6v
    @user-my4dr5oq6v 21 день назад +1

    Hao ni wake au mananau jamani

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 23 дня назад

    Unataka pesa kaoe bengi🇰🇪🇰🇪

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 22 дня назад

    Yani natamani nipate namba ya sheikh mmoja nimuulize maswali anijibu kwa ufasaha labda nitaelewa kama kuna makosa nakosea masna hizi haiko mbali kuvunjika ndoa yangu

  • @user-he7nv8no3e
    @user-he7nv8no3e 14 дней назад

    Wee mwanaume malaya apo una mpenda moja tuu

  • @abudalaabdumalik9362
    @abudalaabdumalik9362 День назад

    Masheeee bwana mnatupa wakati mgumu wewe ulikuwa unamesema msanii mmoja
    Kuhusu pete
    Apo naona vile vidole ulivyo kataaa kikiwemo cha shahada naona kina pete
    Ya nn iyo

  • @jumaramadhan5903
    @jumaramadhan5903 23 дня назад

    Sister nakupenda na ninataka ku kuoa je tuna weza kuongea kuhusu hili

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by 16 дней назад

    Wasafi ebu muibeni huyu mdada naona anakuja vizur katika kufanya mahojiano

  • @bradleykhanei4092
    @bradleykhanei4092 18 дней назад

    Dk Sulle,
    Aya ya ndoa, maulamaa wameigawanya katika tafsiri 4:
    1) unaweza kuoa wanawake 4
    2) wake 9
    3) wake 18
    4) zaidi ya wake 18
    Kama unavyojua, mafundisho yote yana maoni na ushahidi wao wenyewe.
    Hakuna mtu anayeweza kusema kwamba wale wanaounga mkono maoni ya wanawake 4 ni sawa! Katika Uislamu, kila rai inazingatiwa, kwa sababu mafundisho yote yamejitahidi kufikia maamuzi yao kwa njia ya uwezekano!

  • @user-th8bo9lu8n
    @user-th8bo9lu8n 18 дней назад

    Sasa mm nashangaa ndo za waislam afrika wanajali Sana uke wenza ila Waarabu Sasa huwa nacheka wanavimba uwiiiiiiiiiiiiii 😂😂😂 kuna madam wangu hapa mwambie Sasa uke wenza umuone povu 😅😅😅

  • @ConfusedIslandVacation-nh9wc
    @ConfusedIslandVacation-nh9wc 16 дней назад

    Padir haow walioachwa na padri waolewe na nani

  • @SelemaniMndai-ox8dy
    @SelemaniMndai-ox8dy 22 дня назад

    Swadakta 💯💯💯👏

  • @mariamomary7758
    @mariamomary7758 20 дней назад

    Doctor sule njoo unioe mik jkn ila matako makubw cna

  • @user-rj4cd7oc4x
    @user-rj4cd7oc4x 21 день назад

    Munguanipe mume kama huyu ila nataka nimwe wa3

  • @hajimiraji7840
    @hajimiraji7840 15 дней назад

    Ndoa za kushea sunna kubwa

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 23 дня назад

    Ndoa ya Kikiristo mi imenishangaza unamuona mama anafanya harusi na baba watoto na watoto already wapo form4🇰🇪🇰🇪

    • @lordenoughforme4417
      @lordenoughforme4417 22 дня назад

      Uzinifu kwao nikitu cha kawaida2

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 22 дня назад

      😂 umenichekesha sana na umenikumbusha sana 😂 hizo zipo sana. Wengine wanasema kukamilisha 😂

    • @user-th8bo9lu8n
      @user-th8bo9lu8n 18 дней назад

      Tofauti Sha makanisa ukristo ndio lkn Kuna makanisa hayaruhusu

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 22 дня назад

    Huyonimuhuni migogoro ipo hana lolotehuyo

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 23 дня назад +1

    Mtu mwenyewe kanyata😂