Pole sana sister yangu hata akikuacha utapata mume mwingine mungu Yuko nawe n kwanza kama haupati mtoto watu wa familia wanakudharau sana pole lakini mwenyezi mungu akuongoze kwa Kila jambo Amina
Fanya hiviii nenda kadai talaka mpe huyo fala. Alitaka upaukeee mwisho uwe ombaomba ili apate Cha kusema. Alafu Huwa ukiwaomba talaka hawatoi ili tu ukonde. Pambana na huyo aliekupenda si ajabu kamzid ndo mana anashoboka.
Una ruksa kabisa ya kuolewa na hance mana wanaume wengine hawajui thamani ya wake zao kama huyo ni sahihi kwako Bora uolewe nae na muende pamoja kwa sababu hakuna Raha ya ndoa bila tendo la ndoa au bila furaha ya watoto hance anakufaa sana dada❤❤❤
Kabisa huyo jamaa fala kweli yaan nimezoea kuona wanawake ndo wahanga wa hili kumbe na huyo boya katuharibia sana sisi wanaume na Suzy ukirudiana na huyo boya wako wa zamani nitakuona boya sana wew muombe tu msamaha hance na atakusamehe na mtaendelea kuishi tu fresh hata kama hamjafunga ndo ishi tu badae mtakuja kubariki ndoa aache uboya huyo fala akaendelee kudanga uko maana atakuwa kafilisika danga lake limemkimbia alafu ndo anamkumbuka Suzy warudiane Suzy usikubali kamwe we mbembeleze hance naamin atakusamehe na mtaendelea kuishi tu fresh
Tatizo wanaume mnapenda ukimuacha mwanamke akateseke apauke ndo raha yenu sawa ote wanamakosa ila wababa msipende kuzarau wake zenu hata kama umepata mwingine na kama ulioa kwa bahat mbaya muache kwa amani tyuuuuu😭😭😭😭🤬🤬🤬
Pole sana dada tatizo kwa nini ukulazimisha upewe talaka yako uwe na uhuru tatizo la mke na mume hakuna wakulitatua zaidi ya hao wenyewe wana ndoa ndiyo manaojua matatizo ya ndoa yao
Bi harusi anapata nguvu ya kuongea kweli maumivu navyoyajua ya kupoteza unachokipenda hii inatufanya tujue ni uongo, pia sasa hivi kwenye mitandao mara mdada anaenda kuzuia ndoa isifungwe Kwa hiyo ndani ya mwaka huu ni uharibifu wa ndoa tu kweli
Nawewe ulieachana na hyu dada hukufanya vyema.siilitangazwa ungekwenda kwenye ofisi kupinga kabla ya ndoa. !! Mimi nasema hakuna mapenzi y kweli tena hapo ni hatari bwana Harusi Mungu akupe furaha ya moyo wako n mke mwingine utapata
Bwana harusi MUNGU anampenda Sana ndoa ya Kristo sio ya kuchezea ndy maana vimebumbuluka...Mungu akupenda kabisaa wewe mke wa mtu ingeleta shida baadae.
Kama nikweri uliolewa ulikubali vp uwolewe Tena nawe Dada Malaya unapenda pesa zahuyo mwanaume kwanini uaifate Sheria ipate taraka halafu ndio ufanye uninga wako
Unajua hizi media uchwara hataikiwa kweli hatuamini kwasababu wammezoea kiki nakama kweli bwana harusi sijui kama atatazama nyuma nindio kaisha timua hawa media hii inapenda sana kiki
Kijana mshukuru Mungu kwa hilo jambo, ikiwa huyu msichana na familia yake walipata ujasiri wa kukuficha jambo hadi ufikiye siku ya harusi. Mungu anakupenda sana kijana usisikiye maneno matupu ya kusema nakupenda .
Lkn miaka miwili haifai kuolewa mara mbili arafu kama mara ya kwanza ulifunga ndoa ya kiislam na Sasa tunakusikia unaitwa suzi bas inaonekana ulibadili dini na ndoa yenu iliishia hapo kwasababu hampo dini moja te
Kitu ukiwa nacho huwez jua thaman yake had ukipotez sasa hapo anapaparika nini wakat alijiona yy ndomtana shat tanznia nzima, wanaume mnakosea ile kujiaminisha et ukimuacha nani atakae muoa ndomatokeo yke unasikia kashapedwa unajitoa betri n kuvamia shughul ya watu, au wengine huwa munaoa kwaajil yakufanya watot wawatu majaribio ?
Wewe Dada akili una kabisaa unge papmbana mpaka upewe talaka kama kweli akutaki Akuna SheriA kwenye Dini yoyote ninayo ruhusu Kuolewa ukiwa ujaachika lazima upewe talaka kwanza
Yaani huyo mwanaume wa zamani ni mjinga na miaka 2 tayari sio mkeo uwe umetoa talaka au ujatoa talaka huyo sio wako miezi 3 tu bila unyumba ndoa automatic imevunjika aache ushenzi bwana
Huyo ni mke. Wa mtu .unaona shida hiyo tunapo taka kuoa tusikurupuke tufanye uchunguzi hata msichana akionyesha upendo mkubwa kwako ndugu kuwa makini usrahizishe fanya uchunguzi wa kina siyotuukiona mwanamke tayali niwakuoa SASA ndugu ona umedanganywa umeaibishwa mbele ya familiya yako marafiki Aibu Gani hiyo mpendwa Hiki kidada kingekuchakaza maana kina ushetani ndani ya nafsi Ona kalikufucha hakakuwa kakweli 😂😂😂😅
Dada nakuelewa vizury kabisa kwa wanawake ambao tushaputia ndoa pole sana
Khaaa,pole sana binti yangu,unapitia magumu ukiwa bado mdogo,omba Mungu sana akuonyesha njia yakupitia ili kutatua mapito yako
Huyo mume wa kwanza atakuwa akili hana pamoja na family yake!
Pole sana sister yangu hata akikuacha utapata mume mwingine mungu Yuko nawe n kwanza kama haupati mtoto watu wa familia wanakudharau sana pole lakini mwenyezi mungu akuongoze kwa Kila jambo Amina
Pole hiyo midude inatakaga kuaribu maisha yako tu kama hapo limekuja kukuharibia
Pole dada jaman, ila ndoa yako umtamgulize Mungu unapoona jambo gumu Kwa Mungu nijepes ,pole sanaa
Fanya hiviii nenda kadai talaka mpe huyo fala. Alitaka upaukeee mwisho uwe ombaomba ili apate Cha kusema. Alafu Huwa ukiwaomba talaka hawatoi ili tu ukonde. Pambana na huyo aliekupenda si ajabu kamzid ndo mana anashoboka.
Una ruksa kabisa ya kuolewa na hance mana wanaume wengine hawajui thamani ya wake zao kama huyo ni sahihi kwako Bora uolewe nae na muende pamoja kwa sababu hakuna Raha ya ndoa bila tendo la ndoa au bila furaha ya watoto hance anakufaa sana dada❤❤❤
Kabisa huyo jamaa fala kweli yaan nimezoea kuona wanawake ndo wahanga wa hili kumbe na huyo boya katuharibia sana sisi wanaume na Suzy ukirudiana na huyo boya wako wa zamani nitakuona boya sana wew muombe tu msamaha hance na atakusamehe na mtaendelea kuishi tu fresh hata kama hamjafunga ndo ishi tu badae mtakuja kubariki ndoa aache uboya huyo fala akaendelee kudanga uko maana atakuwa kafilisika danga lake limemkimbia alafu ndo anamkumbuka Suzy warudiane Suzy usikubali kamwe we mbembeleze hance naamin atakusamehe na mtaendelea kuishi tu fresh
Pole sana mama hilo dume la zamani limepanga kukuharibia maisha ili iteseke mpeleke mahakamani
Poleni sana ndugu zangu mungu akawe suluhisho la hili
Pole Sana mdogo wangu, mwombe tu msamaha huyo Uliyempata kwa sasa, ili ndoa iendelee, huyo Roho tu imemuuma hadi kufanya hivyo.
Inaumiza zaidi Pole saana dada
Good content kuigiza mnaweza
Pole sana dadangu
Pole sana muombe mungu atakusaidia🎉
Pole aisee
oyaa hapa mmetupiga hahhh😅😅😅😅😂😂😂😂😂...hongera kwa timu nzima kwa kudirect hii movie 😂😂
Hapana hii ni kweli huyu ndugu bunala namfahamu sana
Kumfahamu sio issue, hata kanumba tulimfahamu
Inauma sana dada yagu
Huyu mwanamke Hana shida huyo jamaa kamkatili huyo dada
Du xio pw tumuogope mungu unabariki ndoa marambiri unarichukuriaje swara randoa dad. Mximamu kwazaamna
Hii sinema kiki wanataka ku trend
Ndio uvae tite gauni kweli 🤣🤣😭😭
😂😂😂😂😂
Hujui pa kudai talaka? Njoo nikupeleke ukaclear matatizo uoleke kiroho safi.mbabaishaji wa kiingereza...na maigizo yako.kapumzike
Pole saana dada ila wanaume kweli sijuwi munapendaka nini kwetu kwanini munakera hivi jamani ila usija kuusu iyo matatizo bado Mungu nyupoo naweyee
Pole sana dada
Hz movie tu kama zngne ,,matumbo njaa zinasumbua watu achen msipotez mb zenu
Hii movie au mbona sielewi
Nenda ktk vyombo vya sheria kadai talaka yako km hii ni kweli sio move
Tatizo wanaume mnapenda ukimuacha mwanamke akateseke apauke ndo raha yenu sawa ote wanamakosa ila wababa msipende kuzarau wake zenu hata kama umepata mwingine na kama ulioa kwa bahat mbaya muache kwa amani tyuuuuu😭😭😭😭🤬🤬🤬
Kabisa
Umeongea point sana
Kbsa
Ndio tena wanaume wa hivyo. Wapo wengi tena chefu
Pole sana dada tatizo kwa nini ukulazimisha upewe talaka yako uwe na uhuru tatizo la mke na mume hakuna wakulitatua zaidi ya hao wenyewe wana ndoa ndiyo manaojua matatizo ya ndoa yao
Pole
Yesiiii...
Pole sana dada...na mimi nilipitia iyo lakini mungu iko...sema ukweli ukweli itakusaidia ata kama ni ngumu la kini sema ukweli iyo ndio kosa ulifanya
Ulikosea tu kuolewa bila taraka jamani
Wanaumu tuwe namsimamo sasa unamhalibia mtotowawatu sasa ndo atakubali mishiwote au ndo mmoja azikwe mngine akafugwe sotetumepita maishahayo ilatumechukua mamzi menginemazuli naludia tuwena msimamo polesana dadayangu
Pole sana dear
Kama mtu hakutaki unalazimisha nini.
Huyu ni mke wa mtu msenge huyu
Pole dada huyo mwanaume anapepo pamoja na ndugu zake
Dada nakuombea Hance akusamehe mrudiiane jamani wanaume wengine washenzi kabisa. Mungu akusaidie
Ungemwambia ukweli huyu mpya..acha uwongo halafu unatest test ndoa.utawafanya wanaume wa watu wachinjane huku ukijifanya huelewi😮
Bi harusi anapata nguvu ya kuongea kweli maumivu navyoyajua ya kupoteza unachokipenda hii inatufanya tujue ni uongo, pia sasa hivi kwenye mitandao mara mdada anaenda kuzuia ndoa isifungwe Kwa hiyo ndani ya mwaka huu ni uharibifu wa ndoa tu kweli
Hi TV bhana ni ya michongo nani aliwaambia Kuna ndoa mbili? Hiyo ni michongo ya kuelimisha jamii
Daah!! Pole sana dada ang.
Mmmm pole sana dada ,riziki kama ipo ipo tuu. Huyo mwanaume wa zamani. Amwache afungashe atende zake.
Nano la Mungu libasema” Watu wawili hawawezi kwenda pamoja ikiwa awajapatana” Hance wameelewana mbele za Mungu safari iendeleee!
Nawewe ulieachana na hyu dada hukufanya vyema.siilitangazwa ungekwenda kwenye ofisi kupinga kabla ya ndoa. !! Mimi nasema hakuna mapenzi y kweli tena hapo ni hatari bwana Harusi Mungu akupe furaha ya moyo wako n mke mwingine utapata
Usijali mamy kama ndoa yako ipo tu Mwenyezi Mungu atamrudîsha mume wako wa pili maana huyo ndo fungu lako
Wewe bibi harusi ni mbaya sana kw nn usingeomba talakabhadi kwenda kujidharirisha hivyo nyoooooo muone uso
Bwana harusi MUNGU anampenda Sana ndoa ya Kristo sio ya kuchezea ndy maana vimebumbuluka...Mungu akupenda kabisaa wewe mke wa mtu ingeleta shida baadae.
Ila jamaa kaonyesha udhaifu mkubwa sana angeachana nae tu
Mapenzi yananguvu baba anae laumu halijamfika
Pole dada, mwanamme ukiwa naye anakuona wa kazi gani ukiondoka ndo anajifanya anakupenda sanaaaaaa, ana laana huyo achana naye!
Kama nikweri uliolewa ulikubali vp uwolewe Tena nawe Dada Malaya unapenda pesa zahuyo mwanaume kwanini uaifate Sheria ipate taraka halafu ndio ufanye uninga wako
pole dada yangu yadunia mengi
Bongo movies ii trick imechezwa fresh
Kwakweli mi mwenyewe naona ni move imechezwaaaaa
Hans so handsome 😂😂😂 dada ish na hans
Kwann hukulazimisha upewe talaka.bado ni mume wako ulikosea
Pole mwaya
Pole sister n maisha 2 ayo 😢
yes yes yes zanini dada tueleze vizurii basi na wewe!???? af apo sas ulipoficha umekosea sijui kma hans atarudi kwa kweli!!!!
Unajua hizi media uchwara hataikiwa kweli hatuamini kwasababu wammezoea kiki nakama kweli bwana harusi sijui kama atatazama nyuma nindio kaisha timua hawa media hii inapenda sana kiki
Mbona kama wakwe nao kama wasanii wecheki kama uyo baba mtu alivokuwa waluwalu
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Mnapenda sana kutrend mtandaoni cjui mnashida gani
Kijana mshukuru Mungu kwa hilo jambo, ikiwa huyu msichana na familia yake walipata ujasiri wa kukuficha jambo hadi ufikiye siku ya harusi. Mungu anakupenda sana kijana usisikiye maneno matupu ya kusema nakupenda .
Fikiria kama mtu mzima n ueke mungu mbele Wacha kureply ki ubina damu hapa kuwa n macho ya kiroho
pole dear huyo amekuja kukufanyia fujo si alikuona mbaya sasa imekuaje aje tena hafai sana
"yupo pamoja na mimi na ananijali" ni mapema sana kusema hili neno kwa mwanaume.
KWA NINI HAMKUMWAMBIA HUYO MME MWINGINE KM ULISHAOLEWA?
Baadhi ya wanaume hio tabia ya kurudi ucku wakicngizia ball ukiuliza et ndio uraibu wke.umeoa mke na kumridhisha hujui s ubki single
Pole dada kwa maumivu
Lkn miaka miwili haifai kuolewa mara mbili arafu kama mara ya kwanza ulifunga ndoa ya kiislam na Sasa tunakusikia unaitwa suzi bas inaonekana ulibadili dini na ndoa yenu iliishia hapo kwasababu hampo dini moja te
Yule mume SI alisema mashehe sasa mbona suzi
Namm ndio najiuliza ni ndoa ya kiislm au ya kikristo
@@fatmaally wanatufanya sisi matoyoyoy kutumalizia mb zetu tu manina zao 😄😄
Huyu dada mwenyew cjamuelewa
Pole sana 😭😭🙏😭😭😭😭😭😭
Mambo yenu ya hovyo sana nyie \mbengo TV mnatengeneza matukio ya uongo
Kwa hyo cyo kweli😳😳😳
😢😢😢😢ungeenda tu kuishi na uzae wanaume wako na wivu atakii akikuwacha usiolewe
Rudisha mahari ya mwanzo uoleo na unaempenda
Shida hapo ipo Kwa b harusi ungemshirikisha mmeo mpya pengine mngeoata sulihisho.......
Pole my dear
Sheriya huolewi mpaka upewe talaka shehe lakwaza anauliza cheti cha ndoa😂😂😂😂😂
Sio lazima talaka hata mtu akikutamkia tu ushaachika tayar
Kama hatoi talaka
Nakuombea kwa mungu haya yasikie kwa mtu yasikukute
Huyo wangu wazamani asijidanganye akajileta kwa harusi yangu na baby wangu mpya😅😅😅 namtafutia mganga hadi kieleweke
😅
😂😂😂😂
😂😂😂😂tatizo la hivi Vi online Tv vyenu ni usanii
Kweli kabisa na hii mbengo tv ,imezidi kutuletea story za kutunga
Hawa si ndo wale wa yule aliefukia miguu yake akaweka ya ng'ombe kwake wakatudanganya
@@gracemrema9815 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Hii sio usanii huyu ndugu namfahamu sana na hii ni kweli kabisa
@@m.m.tvmbebamaono aya
Kitu ukiwa nacho huwez jua thaman yake had ukipotez sasa hapo anapaparika nini wakat alijiona yy ndomtana shat tanznia nzima, wanaume mnakosea ile kujiaminisha et ukimuacha nani atakae muoa ndomatokeo yke unasikia kashapedwa unajitoa betri n kuvamia shughul ya watu, au wengine huwa munaoa kwaajil yakufanya watot wawatu majaribio ?
Yess yes uko wap yes
Huelewi nini wakati nyie wote munaishi Tanzania, ingelikuwa mmoja wenu anaishi EARTH, NA MWENGINE ANAISHI JUPITER
How did you even register for marriage with Hans kama hukuwa umepata talaka,its not adding up
Tatizo tamaa baadhi ya wanawake wanatamaa na wanakmbilia wanaume wenye vijisenti
Pole sana,umeniskitisha na kauli yako ya sielew,sielew,pole
Unyanyasaji wa wanawake. Ndoa si ya familia ni ya mume na mke.Huu ni wivu na kutaka kuharibu maisha ya mke
Sio kweli hii ni maigizo tuu
Nice drama 😂❤
Ndoa nyingi zinavunjika kwa makosa Ayo sema vijana awajitambui unavoshindwa kumrizisha mke unatengemea nini
Movie kweli hii imeiva
Wewe Dada akili una kabisaa unge papmbana mpaka upewe talaka kama kweli akutaki Akuna SheriA kwenye Dini yoyote ninayo ruhusu Kuolewa ukiwa ujaachika lazima upewe talaka kwanza
III nikipindi tunajua
Na wewe .mtoto nj mrembo mmpaka watu wapigana kweli
Dunia ina mambo jamani
Ukweri ndo kila kitu jmn ungemwambia ukweli kama anakupenda angetafuta suluhu sio kumwingiza mkenge Hanssy wetu😅
uyo ni kicheche tu siagesubiri talaka
Unajuwa ataipata lining hiyo talaka
Kweli hii uongo kwa tukio Hilo watu wangejaa sana
Mbengo TV waongo sana😂😂😂😂😂😂
Yaani huyo mwanaume wa zamani ni mjinga na miaka 2 tayari sio mkeo uwe umetoa talaka au ujatoa talaka huyo sio wako miezi 3 tu bila unyumba ndoa automatic imevunjika aache ushenzi bwana
Kaka Hans ishi na mkeo mnapendana.huyo bwege ni muharibifu tu.mtafunga baadae.
Huyo ni mke. Wa mtu .unaona shida hiyo tunapo taka kuoa tusikurupuke tufanye uchunguzi hata msichana akionyesha upendo mkubwa kwako ndugu kuwa makini usrahizishe fanya uchunguzi wa kina siyotuukiona mwanamke tayali niwakuoa SASA ndugu ona umedanganywa umeaibishwa mbele ya familiya yako marafiki Aibu Gani hiyo mpendwa Hiki kidada kingekuchakaza maana kina ushetani ndani ya nafsi Ona kalikufucha hakakuwa kakweli 😂😂😂😅
Huyu dada ana akili huyo,,
Ukiwa mwisilamu ni talaka automatic, huna haja ya kubembeleza talaka
Yesii bi harus mzungu
Mwanaum akishakuach alafu ukaanza maish mengin umependez ndio wanaonkuon wamaan
Wanataka wakuache alaf upauke apo sawa 😂😂😂
😂😂awatak pia ukipata mume awe na Kaz yake ya maan ya kumshinda yy
Hivi hii ni c0mmed ya wale wa roboti ya chuo au?
Ndoa gani inafungwa bila kupewa taraka has wamama ni hatari