BIBI HARUSI AFICHUA MADUDU YA MUME WAKE, SIRI ZOTE HADHALANNI, AMEVUNJA NDOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 360

  • @Debora-s8j
    @Debora-s8j 17 дней назад +3

    Dada nakuelewa vizury kabisa kwa wanawake ambao tushaputia ndoa pole sana

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 22 дня назад +2

    Khaaa,pole sana binti yangu,unapitia magumu ukiwa bado mdogo,omba Mungu sana akuonyesha njia yakupitia ili kutatua mapito yako

  • @paschaljoseph2412
    @paschaljoseph2412 10 месяцев назад +14

    Huyo mume wa kwanza atakuwa akili hana pamoja na family yake!

  • @damarispeter-rd7lx
    @damarispeter-rd7lx 7 месяцев назад +3

    Pole sana sister yangu hata akikuacha utapata mume mwingine mungu Yuko nawe n kwanza kama haupati mtoto watu wa familia wanakudharau sana pole lakini mwenyezi mungu akuongoze kwa Kila jambo Amina

  • @saudangalleni388
    @saudangalleni388 10 месяцев назад +6

    Pole hiyo midude inatakaga kuaribu maisha yako tu kama hapo limekuja kukuharibia

  • @EvaRyoba
    @EvaRyoba 8 месяцев назад +3

    Pole dada jaman, ila ndoa yako umtamgulize Mungu unapoona jambo gumu Kwa Mungu nijepes ,pole sanaa

  • @NeemaMbise-ex1tx
    @NeemaMbise-ex1tx 24 дня назад +3

    Fanya hiviii nenda kadai talaka mpe huyo fala. Alitaka upaukeee mwisho uwe ombaomba ili apate Cha kusema. Alafu Huwa ukiwaomba talaka hawatoi ili tu ukonde. Pambana na huyo aliekupenda si ajabu kamzid ndo mana anashoboka.

  • @JanethKimath-d5n
    @JanethKimath-d5n 9 месяцев назад +2

    Una ruksa kabisa ya kuolewa na hance mana wanaume wengine hawajui thamani ya wake zao kama huyo ni sahihi kwako Bora uolewe nae na muende pamoja kwa sababu hakuna Raha ya ndoa bila tendo la ndoa au bila furaha ya watoto hance anakufaa sana dada❤❤❤

    • @alexlyimo122
      @alexlyimo122 9 месяцев назад +1

      Kabisa huyo jamaa fala kweli yaan nimezoea kuona wanawake ndo wahanga wa hili kumbe na huyo boya katuharibia sana sisi wanaume na Suzy ukirudiana na huyo boya wako wa zamani nitakuona boya sana wew muombe tu msamaha hance na atakusamehe na mtaendelea kuishi tu fresh hata kama hamjafunga ndo ishi tu badae mtakuja kubariki ndoa aache uboya huyo fala akaendelee kudanga uko maana atakuwa kafilisika danga lake limemkimbia alafu ndo anamkumbuka Suzy warudiane Suzy usikubali kamwe we mbembeleze hance naamin atakusamehe na mtaendelea kuishi tu fresh

  • @aminamsimbe-en6rp
    @aminamsimbe-en6rp 10 месяцев назад +11

    Pole sana mama hilo dume la zamani limepanga kukuharibia maisha ili iteseke mpeleke mahakamani

  • @ELIREHEMANAWE-o7e
    @ELIREHEMANAWE-o7e 8 месяцев назад +2

    Poleni sana ndugu zangu mungu akawe suluhisho la hili

  • @RamadhanMwinyimvua-ry8yp
    @RamadhanMwinyimvua-ry8yp 10 месяцев назад +3

    Pole Sana mdogo wangu, mwombe tu msamaha huyo Uliyempata kwa sasa, ili ndoa iendelee, huyo Roho tu imemuuma hadi kufanya hivyo.

  • @bahatisophie6211
    @bahatisophie6211 8 месяцев назад +3

    Inaumiza zaidi Pole saana dada

  • @MabulaMakoye-t4o
    @MabulaMakoye-t4o 10 месяцев назад +2

    Good content kuigiza mnaweza

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 14 дней назад

    Pole sana dadangu

  • @sondalasalumu5423
    @sondalasalumu5423 9 месяцев назад +2

    Pole sana muombe mungu atakusaidia🎉

  • @RahelSalumu
    @RahelSalumu 9 дней назад

    Pole aisee

  • @daudiedsonrichard509
    @daudiedsonrichard509 10 месяцев назад +11

    oyaa hapa mmetupiga hahhh😅😅😅😅😂😂😂😂😂...hongera kwa timu nzima kwa kudirect hii movie 😂😂

    • @m.m.tvmbebamaono
      @m.m.tvmbebamaono 10 месяцев назад +2

      Hapana hii ni kweli huyu ndugu bunala namfahamu sana

    • @annakaboi8811
      @annakaboi8811 9 месяцев назад

      Kumfahamu sio issue, hata kanumba tulimfahamu

  • @NagrethSimon
    @NagrethSimon 10 дней назад

    Inauma sana dada yagu

  • @iddyiddy7358
    @iddyiddy7358 10 месяцев назад +4

    Huyu mwanamke Hana shida huyo jamaa kamkatili huyo dada

  • @EmanuelNdungulu
    @EmanuelNdungulu 22 дня назад

    Du xio pw tumuogope mungu unabariki ndoa marambiri unarichukuriaje swara randoa dad. Mximamu kwazaamna

  • @mkamajames2786
    @mkamajames2786 10 месяцев назад +3

    Hii sinema kiki wanataka ku trend

  • @ChrisClinton-ys7lo
    @ChrisClinton-ys7lo 10 месяцев назад +5

    Ndio uvae tite gauni kweli 🤣🤣😭😭

  • @beathagabriel8438
    @beathagabriel8438 10 месяцев назад +1

    Hujui pa kudai talaka? Njoo nikupeleke ukaclear matatizo uoleke kiroho safi.mbabaishaji wa kiingereza...na maigizo yako.kapumzike

  • @bahatisophie6211
    @bahatisophie6211 8 месяцев назад +1

    Pole saana dada ila wanaume kweli sijuwi munapendaka nini kwetu kwanini munakera hivi jamani ila usija kuusu iyo matatizo bado Mungu nyupoo naweyee

  • @EmmanuelHaruni-rl1rb
    @EmmanuelHaruni-rl1rb 14 дней назад

    Hz movie tu kama zngne ,,matumbo njaa zinasumbua watu achen msipotez mb zenu

  • @Tdm1389
    @Tdm1389 10 месяцев назад +2

    Hii movie au mbona sielewi

  • @nusaebahkeis6774
    @nusaebahkeis6774 10 месяцев назад +1

    Nenda ktk vyombo vya sheria kadai talaka yako km hii ni kweli sio move

  • @HellenMathias-b8n
    @HellenMathias-b8n 10 месяцев назад +24

    Tatizo wanaume mnapenda ukimuacha mwanamke akateseke apauke ndo raha yenu sawa ote wanamakosa ila wababa msipende kuzarau wake zenu hata kama umepata mwingine na kama ulioa kwa bahat mbaya muache kwa amani tyuuuuu😭😭😭😭🤬🤬🤬

    • @aminangwalima105
      @aminangwalima105 10 месяцев назад

      Kabisa

    • @SiliviaDavid
      @SiliviaDavid 9 месяцев назад +1

      Umeongea point sana

    • @zayananishimwe7441
      @zayananishimwe7441 9 месяцев назад

      Kbsa

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 9 месяцев назад +1

      Ndio tena wanaume wa hivyo. Wapo wengi tena chefu

    • @aliabdallah8456
      @aliabdallah8456 9 месяцев назад

      Pole sana dada tatizo kwa nini ukulazimisha upewe talaka yako uwe na uhuru tatizo la mke na mume hakuna wakulitatua zaidi ya hao wenyewe wana ndoa ndiyo manaojua matatizo ya ndoa yao

  • @betitympeleta9697
    @betitympeleta9697 Месяц назад +1

    Pole

  • @joycedavid5533
    @joycedavid5533 9 месяцев назад +1

    Yesiiii...

  • @BettyKithuku-e9c
    @BettyKithuku-e9c 7 месяцев назад

    Pole sana dada...na mimi nilipitia iyo lakini mungu iko...sema ukweli ukweli itakusaidia ata kama ni ngumu la kini sema ukweli iyo ndio kosa ulifanya

  • @AnjestaFugutilo
    @AnjestaFugutilo Месяц назад +1

    Ulikosea tu kuolewa bila taraka jamani

  • @SusoTati-xt6br
    @SusoTati-xt6br 18 дней назад

    Wanaumu tuwe namsimamo sasa unamhalibia mtotowawatu sasa ndo atakubali mishiwote au ndo mmoja azikwe mngine akafugwe sotetumepita maishahayo ilatumechukua mamzi menginemazuli naludia tuwena msimamo polesana dadayangu

  • @ElizaMlowe
    @ElizaMlowe 6 месяцев назад

    Pole sana dear

  • @NatureRelaxation-bw4kp
    @NatureRelaxation-bw4kp 9 месяцев назад +1

    Kama mtu hakutaki unalazimisha nini.

  • @ROBERTMGOGOSI
    @ROBERTMGOGOSI 10 месяцев назад +3

    Huyu ni mke wa mtu msenge huyu

  • @PeterMashauri-q2g
    @PeterMashauri-q2g 10 месяцев назад +1

    Pole dada huyo mwanaume anapepo pamoja na ndugu zake

  • @harymo173
    @harymo173 9 месяцев назад

    Dada nakuombea Hance akusamehe mrudiiane jamani wanaume wengine washenzi kabisa. Mungu akusaidie

  • @beathagabriel8438
    @beathagabriel8438 10 месяцев назад +1

    Ungemwambia ukweli huyu mpya..acha uwongo halafu unatest test ndoa.utawafanya wanaume wa watu wachinjane huku ukijifanya huelewi😮

  • @MaryPaschal-mm2zb
    @MaryPaschal-mm2zb 10 месяцев назад +2

    Bi harusi anapata nguvu ya kuongea kweli maumivu navyoyajua ya kupoteza unachokipenda hii inatufanya tujue ni uongo, pia sasa hivi kwenye mitandao mara mdada anaenda kuzuia ndoa isifungwe Kwa hiyo ndani ya mwaka huu ni uharibifu wa ndoa tu kweli

  • @hassanjuma3703
    @hassanjuma3703 10 месяцев назад +1

    Hi TV bhana ni ya michongo nani aliwaambia Kuna ndoa mbili? Hiyo ni michongo ya kuelimisha jamii

  • @AnnastaziaLeonard-wu2xd
    @AnnastaziaLeonard-wu2xd 4 месяца назад

    Daah!! Pole sana dada ang.

  • @nikizakabila
    @nikizakabila Месяц назад +1

    Mmmm pole sana dada ,riziki kama ipo ipo tuu. Huyo mwanaume wa zamani. Amwache afungashe atende zake.

  • @gracebuguzi2515
    @gracebuguzi2515 8 месяцев назад

    Nano la Mungu libasema” Watu wawili hawawezi kwenda pamoja ikiwa awajapatana” Hance wameelewana mbele za Mungu safari iendeleee!

  • @RoseRaphael-d8i
    @RoseRaphael-d8i 10 месяцев назад +1

    Nawewe ulieachana na hyu dada hukufanya vyema.siilitangazwa ungekwenda kwenye ofisi kupinga kabla ya ndoa. !! Mimi nasema hakuna mapenzi y kweli tena hapo ni hatari bwana Harusi Mungu akupe furaha ya moyo wako n mke mwingine utapata

  • @ernestaassenga9646
    @ernestaassenga9646 5 месяцев назад +2

    Usijali mamy kama ndoa yako ipo tu Mwenyezi Mungu atamrudîsha mume wako wa pili maana huyo ndo fungu lako

  • @DotoS12
    @DotoS12 Месяц назад +1

    Wewe bibi harusi ni mbaya sana kw nn usingeomba talakabhadi kwenda kujidharirisha hivyo nyoooooo muone uso

  • @kaimasawe1919
    @kaimasawe1919 10 месяцев назад +4

    Bwana harusi MUNGU anampenda Sana ndoa ya Kristo sio ya kuchezea ndy maana vimebumbuluka...Mungu akupenda kabisaa wewe mke wa mtu ingeleta shida baadae.

    • @FestoMalisati
      @FestoMalisati 9 месяцев назад

      Ila jamaa kaonyesha udhaifu mkubwa sana angeachana nae tu

    • @MWIGAADAM-r3e
      @MWIGAADAM-r3e 9 месяцев назад

      Mapenzi yananguvu baba anae laumu halijamfika

  • @CarolineShadrack
    @CarolineShadrack 10 месяцев назад

    Pole dada, mwanamme ukiwa naye anakuona wa kazi gani ukiondoka ndo anajifanya anakupenda sanaaaaaa, ana laana huyo achana naye!

    • @MauridKondo
      @MauridKondo 9 месяцев назад

      Kama nikweri uliolewa ulikubali vp uwolewe Tena nawe Dada Malaya unapenda pesa zahuyo mwanaume kwanini uaifate Sheria ipate taraka halafu ndio ufanye uninga wako

  • @Soloja-b3m
    @Soloja-b3m 8 месяцев назад +1

    pole dada yangu yadunia mengi

  • @alexkipemba3655
    @alexkipemba3655 10 месяцев назад +2

    Bongo movies ii trick imechezwa fresh

    • @feyshebe2543
      @feyshebe2543 7 месяцев назад

      Kwakweli mi mwenyewe naona ni move imechezwaaaaa

  • @TabiaNchimbi
    @TabiaNchimbi 10 месяцев назад +1

    Hans so handsome 😂😂😂 dada ish na hans

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 15 дней назад

    Kwann hukulazimisha upewe talaka.bado ni mume wako ulikosea

  • @HabibaShabani-p8h
    @HabibaShabani-p8h 2 месяца назад

    Pole mwaya

  • @fgg8794
    @fgg8794 10 месяцев назад +1

    Pole sister n maisha 2 ayo 😢

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 10 месяцев назад +3

    yes yes yes zanini dada tueleze vizurii basi na wewe!???? af apo sas ulipoficha umekosea sijui kma hans atarudi kwa kweli!!!!

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 10 месяцев назад

      Unajua hizi media uchwara hataikiwa kweli hatuamini kwasababu wammezoea kiki nakama kweli bwana harusi sijui kama atatazama nyuma nindio kaisha timua hawa media hii inapenda sana kiki

  • @seifntandala9137
    @seifntandala9137 10 месяцев назад +3

    Mbona kama wakwe nao kama wasanii wecheki kama uyo baba mtu alivokuwa waluwalu

  • @DanielSamatembo-ks3vl
    @DanielSamatembo-ks3vl 10 месяцев назад

    Mnapenda sana kutrend mtandaoni cjui mnashida gani

  • @mazibondahamika5857
    @mazibondahamika5857 9 месяцев назад +2

    Kijana mshukuru Mungu kwa hilo jambo, ikiwa huyu msichana na familia yake walipata ujasiri wa kukuficha jambo hadi ufikiye siku ya harusi. Mungu anakupenda sana kijana usisikiye maneno matupu ya kusema nakupenda .

    • @damarispeter-rd7lx
      @damarispeter-rd7lx 7 месяцев назад

      Fikiria kama mtu mzima n ueke mungu mbele Wacha kureply ki ubina damu hapa kuwa n macho ya kiroho

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 10 месяцев назад

    pole dear huyo amekuja kukufanyia fujo si alikuona mbaya sasa imekuaje aje tena hafai sana

  • @TBCLINICKYELA
    @TBCLINICKYELA Месяц назад

    "yupo pamoja na mimi na ananijali" ni mapema sana kusema hili neno kwa mwanaume.

  • @leylasaid9641
    @leylasaid9641 10 месяцев назад +1

    KWA NINI HAMKUMWAMBIA HUYO MME MWINGINE KM ULISHAOLEWA?

  • @FatmaMlala
    @FatmaMlala 10 месяцев назад +2

    Baadhi ya wanaume hio tabia ya kurudi ucku wakicngizia ball ukiuliza et ndio uraibu wke.umeoa mke na kumridhisha hujui s ubki single

    • @FatmaMlala
      @FatmaMlala 10 месяцев назад

      Pole dada kwa maumivu

    • @Bikhafija
      @Bikhafija 10 месяцев назад

      Lkn miaka miwili haifai kuolewa mara mbili arafu kama mara ya kwanza ulifunga ndoa ya kiislam na Sasa tunakusikia unaitwa suzi bas inaonekana ulibadili dini na ndoa yenu iliishia hapo kwasababu hampo dini moja te

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 10 месяцев назад +4

    Yule mume SI alisema mashehe sasa mbona suzi

    • @fatmaally
      @fatmaally 10 месяцев назад

      Namm ndio najiuliza ni ndoa ya kiislm au ya kikristo

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 10 месяцев назад

      @@fatmaally wanatufanya sisi matoyoyoy kutumalizia mb zetu tu manina zao 😄😄

  • @NdeerayPusindawa
    @NdeerayPusindawa 22 дня назад

    Huyu dada mwenyew cjamuelewa

  • @ZawadiRimba-gy4dn
    @ZawadiRimba-gy4dn 9 месяцев назад +1

    Pole sana 😭😭🙏😭😭😭😭😭😭

  • @husseinkazimoto784
    @husseinkazimoto784 10 месяцев назад +3

    Mambo yenu ya hovyo sana nyie \mbengo TV mnatengeneza matukio ya uongo

  • @Esendi564
    @Esendi564 10 месяцев назад +2

    😢😢😢😢ungeenda tu kuishi na uzae wanaume wako na wivu atakii akikuwacha usiolewe

  • @NioneNyondo
    @NioneNyondo 19 дней назад

    Shida hapo ipo Kwa b harusi ungemshirikisha mmeo mpya pengine mngeoata sulihisho.......

  • @zawad9751
    @zawad9751 10 месяцев назад

    Pole my dear

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v 10 месяцев назад +3

    Sheriya huolewi mpaka upewe talaka shehe lakwaza anauliza cheti cha ndoa😂😂😂😂😂

    • @khadijahamisi8531
      @khadijahamisi8531 9 месяцев назад

      Sio lazima talaka hata mtu akikutamkia tu ushaachika tayar

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 5 месяцев назад

      Kama hatoi talaka

  • @EsterSambala
    @EsterSambala 8 месяцев назад

    Nakuombea kwa mungu haya yasikie kwa mtu yasikukute

  • @NajNaj-es8rb
    @NajNaj-es8rb 10 месяцев назад +3

    Huyo wangu wazamani asijidanganye akajileta kwa harusi yangu na baby wangu mpya😅😅😅 namtafutia mganga hadi kieleweke

  • @aud548
    @aud548 10 месяцев назад +23

    😂😂😂😂tatizo la hivi Vi online Tv vyenu ni usanii

    • @abdulfatahjuma5355
      @abdulfatahjuma5355 10 месяцев назад +1

      Kweli kabisa na hii mbengo tv ,imezidi kutuletea story za kutunga

    • @gracemrema9815
      @gracemrema9815 10 месяцев назад +1

      Hawa si ndo wale wa yule aliefukia miguu yake akaweka ya ng'ombe kwake wakatudanganya

    • @aud548
      @aud548 10 месяцев назад

      @@gracemrema9815 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

    • @m.m.tvmbebamaono
      @m.m.tvmbebamaono 10 месяцев назад +1

      Hii sio usanii huyu ndugu namfahamu sana na hii ni kweli kabisa

    • @aud548
      @aud548 10 месяцев назад

      @@m.m.tvmbebamaono aya

  • @ElishaDaniel-k3d
    @ElishaDaniel-k3d 10 месяцев назад

    Kitu ukiwa nacho huwez jua thaman yake had ukipotez sasa hapo anapaparika nini wakat alijiona yy ndomtana shat tanznia nzima, wanaume mnakosea ile kujiaminisha et ukimuacha nani atakae muoa ndomatokeo yke unasikia kashapedwa unajitoa betri n kuvamia shughul ya watu, au wengine huwa munaoa kwaajil yakufanya watot wawatu majaribio ?

  • @jullykweka4502
    @jullykweka4502 10 месяцев назад

    Yess yes uko wap yes

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 10 месяцев назад +1

    Huelewi nini wakati nyie wote munaishi Tanzania, ingelikuwa mmoja wenu anaishi EARTH, NA MWENGINE ANAISHI JUPITER

  • @rosejames5748
    @rosejames5748 10 месяцев назад +2

    How did you even register for marriage with Hans kama hukuwa umepata talaka,its not adding up

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 10 месяцев назад +1

    Tatizo tamaa baadhi ya wanawake wanatamaa na wanakmbilia wanaume wenye vijisenti

  • @aliceshija3123
    @aliceshija3123 10 месяцев назад +1

    Pole sana,umeniskitisha na kauli yako ya sielew,sielew,pole

  • @NatureRelaxation-bw4kp
    @NatureRelaxation-bw4kp 9 месяцев назад

    Unyanyasaji wa wanawake. Ndoa si ya familia ni ya mume na mke.Huu ni wivu na kutaka kuharibu maisha ya mke

  • @BenedictaShirima
    @BenedictaShirima 22 дня назад

    Sio kweli hii ni maigizo tuu

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 10 месяцев назад +3

    Nice drama 😂❤

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 10 месяцев назад +1

    Ndoa nyingi zinavunjika kwa makosa Ayo sema vijana awajitambui unavoshindwa kumrizisha mke unatengemea nini

  • @EdinaTumaini-kp8et
    @EdinaTumaini-kp8et 7 месяцев назад

    Movie kweli hii imeiva

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 10 месяцев назад +1

    Wewe Dada akili una kabisaa unge papmbana mpaka upewe talaka kama kweli akutaki Akuna SheriA kwenye Dini yoyote ninayo ruhusu Kuolewa ukiwa ujaachika lazima upewe talaka kwanza

  • @Winnie-py3et
    @Winnie-py3et 10 месяцев назад

    III nikipindi tunajua

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 10 месяцев назад +1

    Na wewe .mtoto nj mrembo mmpaka watu wapigana kweli

  • @tereziangasiwa2520
    @tereziangasiwa2520 10 месяцев назад +2

    Dunia ina mambo jamani

  • @BerthaKundi
    @BerthaKundi 8 месяцев назад

    Ukweri ndo kila kitu jmn ungemwambia ukweli kama anakupenda angetafuta suluhu sio kumwingiza mkenge Hanssy wetu😅

  • @نجمةكينيا
    @نجمةكينيا 10 месяцев назад +2

    uyo ni kicheche tu siagesubiri talaka

    • @TatuTatu-f1v
      @TatuTatu-f1v 10 месяцев назад

      Unajuwa ataipata lining hiyo talaka

  • @neemagavu
    @neemagavu 9 месяцев назад

    Kweli hii uongo kwa tukio Hilo watu wangejaa sana

    • @SiliviaDavid
      @SiliviaDavid 9 месяцев назад

      Mbengo TV waongo sana😂😂😂😂😂😂

  • @subiramakanga1716
    @subiramakanga1716 9 месяцев назад

    Yaani huyo mwanaume wa zamani ni mjinga na miaka 2 tayari sio mkeo uwe umetoa talaka au ujatoa talaka huyo sio wako miezi 3 tu bila unyumba ndoa automatic imevunjika aache ushenzi bwana

  • @meahmfaume8129
    @meahmfaume8129 9 месяцев назад

    Kaka Hans ishi na mkeo mnapendana.huyo bwege ni muharibifu tu.mtafunga baadae.

    • @YohanaRobert-cz3zx
      @YohanaRobert-cz3zx 9 месяцев назад

      Huyo ni mke. Wa mtu .unaona shida hiyo tunapo taka kuoa tusikurupuke tufanye uchunguzi hata msichana akionyesha upendo mkubwa kwako ndugu kuwa makini usrahizishe fanya uchunguzi wa kina siyotuukiona mwanamke tayali niwakuoa SASA ndugu ona umedanganywa umeaibishwa mbele ya familiya yako marafiki Aibu Gani hiyo mpendwa Hiki kidada kingekuchakaza maana kina ushetani ndani ya nafsi Ona kalikufucha hakakuwa kakweli 😂😂😂😅

  • @LucasMayunga
    @LucasMayunga 22 дня назад

    Huyu dada ana akili huyo,,

  • @timurmauga6559
    @timurmauga6559 Месяц назад

    Ukiwa mwisilamu ni talaka automatic, huna haja ya kubembeleza talaka

  • @naomymuro2199
    @naomymuro2199 10 месяцев назад +1

    Yesii bi harus mzungu

  • @halimashaban3858
    @halimashaban3858 10 месяцев назад +1

    Mwanaum akishakuach alafu ukaanza maish mengin umependez ndio wanaonkuon wamaan

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 10 месяцев назад

      Wanataka wakuache alaf upauke apo sawa 😂😂😂

    • @mishikalama5448
      @mishikalama5448 10 месяцев назад

      😂😂awatak pia ukipata mume awe na Kaz yake ya maan ya kumshinda yy

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 8 дней назад

    Hivi hii ni c0mmed ya wale wa roboti ya chuo au?

  • @gracegodfrey53
    @gracegodfrey53 10 месяцев назад

    Ndoa gani inafungwa bila kupewa taraka has wamama ni hatari