Ukimsikiliza Uyu Ostazi Maneno Yake Yamejaa Elimu Kubwa Sana Sijajua Kwa Watu Mnaomsema Mnawaza Nini Kichwani Maneno Yake Ziko Pointi Nyingi2 Moja Anasema Mtu Ukipata Pesa Kupitia Jini Ujue Wewe Unamuamini Jini Kuliko Mungu Na Yapo Maneno Mazuli2 Tuache Kusema Uchawi Uchawi Mimi Nachukia Sana Mashee Wale Kazi Yao Maubili Yao Wanawake Na Ngono Wanawake Na Ngono Mpaka Unawaza Inamana Kitabu Kinazungumza Ngono2
Kuita jinn ni katika ushirikina ushahidi aya ya 6 suratul jinn na hadith ya mtume (s.a.w) alipomfunga sheytwan akakumbuka maneno ya nabii suleiman ('alayhi salaam) aliposema Allah (s.w) asimpe kiumbe yeyote uwezo aliopewa yeye wa kuamrisha majinn Hakuna wa kati na kati ktk kuleta rizk, Allah (s.w) haitaji pete kukuletea rizk wala jinn muogope mola wako rejea ktk manhaj sahihi ya ahlul athar wa sunna wa jama'a kutoka kwa ufahamu wa wema waliopita
dunia hii inamambo mengi sana mwenyezi mungu atunusuru mana kila mtu analake kwasababu moyo wa mtu ni msitu Allah atuongoze ktk kheri zake atuepushe na tamaa za maisha haya kumekua na mambo mengi mnoo yaarabi tunusuru yaarabi
yeu hakuwa mkiristo. wala wakiristo hamufwati yesu wala mafundisho yake wala lolote alilolifanya yesu hamna mnalilifanya. kwa taarifa yako. yesu hakuwahi ingia kanisani, wala wakati wake hakukuwa na kabisaa sasa wewe unamffwata yesu yupi?
YESU ni kristo, na sisi niwakristo soma wagaratia 3:29. Na tunafuata mafundisho yake, kwanza tunaamini kuwa alikufa na kufufuka, tunabatizwa kama alivyowaamulu wanafunzi wake, matayo 28:19
Wewe mtangazaji..ni mgombanishi sana..DR sule ajasema kuwa aiwezekani kumwita jinni..amesema kuwa inawezekana rakini inaitajika uwe na elimu ya kutosha ya kuongea na majini...ninekusawisha vizuri mtangazaji..ukiwa na elimu ya kutosha ya kuongea na majini..utakuwa nao uwezo wakuwaita
Unamwita jini Kwaajili ya nini,nyie watu acheni uchawi, Muhammad hakuwa mtume wa Mungu na ndiyo maana hakuna mahali kwenye koran panaonyesha Mungu alisema naye kama alivyosema na wakina Musa, Yesu, Samuel au Daniel,mud ni muongo na ndiyo maana hata mafundisho yake yanachanganya sana
Abdullah ni neno la kiarabu, pia ni jina Abdullah maana yake ( KUMTEGEMEA MWENYEZI MUNGU ) sasa wengine Wanategemea majini kinyume na Mwenyezi Mungu. Hili ni balaa.
Yye hyu anajita bin laden aah hwa wote matapeli wallah mungu shahid hta mm kanitapeli anatafuta umaarufu hana lolote Na ushahid ninao juu ya u tapeli wke asimponde mwenziwe, asitoe aibu ya mwenziwe wakt zak anazoo
Wote waongo hawa, si ktk mafunzo ya Quran wala mafunzo ya Mtume salallahu alayhi wasalla. Majini wema wanaomtii Allaah hawaingii ktk vichwa vya watu wala hawashirikiani na wanaadamu.
Kweli, ubora uliomo ndani sala ya al jumaa ni bora kuliko uhai wako. Ila watu hawajuwi. Njooni kwangu niwafafaulie sala ya al jumaa na siku yenyewe. Nipo Toangoma( al musabih ) na maswali yenu yoye najibu Mimi mfano kama waliopita. Allah ameniruzuku elimu toshelezi.
Acheni kuusema uislamu kwa vibaya kwasababu ya haya maneno qur-ani na sunaa za mtume Muhammad swalla llahu alayhiwasallam hazjafundidha upuuzi 17:54 hio
!!Hii ni SHIRKI!! kwa muislamu yeyote anae soma labda hana uhakika hapa, tiba ya ruqya na shifaa yeyote inatoka kwenye Quran kwa idhini yake Allah(s.w.t) na RasullAllah(s.a.w) ame tu ongoza kwenye Sunnah zake zote na dini ime kamilika usi danganywe kwenye Bidaa,ingekua kweli haya mambo sijui nyusi za samaki sijui nini ..kutoka kwenye sahaba wa kizazi cha pili auTābiʿū al-Tābin ingekua hizi sunna zote ziko wazi kwa waumini...chunga imani yako na amali zako jitenge na kufur!...
JAMAAA KASOMA HAYO MANENO SIO YA KUOTESHWA😊,,,NA NDIOMANA TUNAMSIKILIZA,,,OPTION NI 2 TU,,,KUBALI AU PUUZA,,,USIANZE KU CRITISAIZ WATU NA HUNA UNACHOKIJUA TULIA ELIMIKA.
12:55 kitu chochote ukivaa kwa malengo ya kinga huo ni ushirikina hata ukiandika aya za quran alafu ukazitundika ukutani ama mlangoni alafu ukaamini ni kinga yako huo ni ushirikina
Huyu jamaa anajichanganya. ALLAH ndio kila kitu, haya mengine ni utunzI na uzushi tu wa siku nyingi. Huyu jamaa ni kibaraka wa maandishi asiyo yaelewa vizuri. Muulize nani kaandika hivyo vitabu. Mwambie aende akasaidie wapalestina wasidhulumiwe na waisrael. Kama kweli elmu hiyo yawasaidia waarabu wangesumbuliwa na muamerika. Huo wote ni ulaghai. Kama kweli hio elmu yao na mapete yao yafanya kazi nawaruhusu waitumie kunidhuru mimi, wayatume kwangu majini mabaya sana wafanyie unyama watakavyo wao. Hawa watu wana elmu potoshi. ALLAHU AKBAR!
Mimi na fwatiya sana vipindi vyako : Ila naku hakikishia wote wana tumia ilimu ya Siri ambayo ki sheria yaki islam ni shirki aina ubish ndanimo , Allah pekee ndo mwenye kutowa utajiri na ku kadiria kila kitu , Allah ndo mlinzi , na akuna ushirika wowot saw bin’Adam n majin wot weny kumia ilumu y nyota wot nyuma yao kuna nguvu y jini hutumika nao yot ni ushirikina , haijalish alo sem ame vaa kanzu na kilemba au ni mwarabu au ni nani Ila dini yetu iko waz waz , ndoman mtume saw ame tumia miak mingi kuifundish tauhid, turizik n maish alo tukadiria … Allah uko shahid nime fikish
Kusoma hizi elimu sio shida madhali Allah ametuteremshia, ispo kua ni mbaya sana kiupande Fulani kama ukizojua Kuna asilimia kubwa sana ya kumuasi Allah. Binadam tumeumbiwa na tamaa
Hii imekuwa Bishara ya uganga sasa wallahi j😢Jamani watangazaji acheni kutafuta waganga kwenye mitandao watu wote wenye tamaa fupi muwataingiza ktk ushirikina hii dunia imekuwa ya ushirikina tuu loooh mungu atuhifadhi
Kwahio hapo kuna muislam unavyoona? Hao washirikina wote kuvaa kanzu haimaanishi kuwa wewe ni muislam. Kwahio hii kesi ya mchungaji kubaka inamaana kuwa wakristo wote wamebaka au wanabaka? Ni tabia ya mtu tu
Uyu kijana nilimjua mwaka 2021 anaitwaa sir Bin laden Nilimpata Kwa Bingo alinisahidia Sanaa kunitibia matatizo yangu uyu anajua haswaa Tiba SEMA umri wako ni mdogo
Watu wengi wasiokuwa na elimu hutumia mihemko kufikisha yao unajua elimu hizi zipo nyingi Watu wamezama kwenye elimu mbali mbali ndio maana wazungu baada ya kuona wenye vyao akili zao ni kukopy na kupest bila kufuatilia mambo wenzetu wazungu wanavichukua na kuvitumia na kufanikiwa maeneo mengi sana lakini kwa hawa Watu waliojaliwa kubishana na kutukana mitandaoni ukiwachunguza kwa undani hawana elimu wasoma tabbatiada zao tu wameanza kujifunga viremba tu hata vyanzo na maana yake hawajui tusome elimu jamani tuzame kwenye vitabu msome msikalie matusi tu mnajichoresha tu
Tumcheni Allah tungu zanguni kwenye uwislam elimu zote zipo tunaamin lakn so kila elimu inafaa kuifanyia kazi ,hapo hatuna masheikh wote wamrudie Allah kabla kufa
....HAWA WOTE NO WAGANGA WA JADI KUMAAMAYE ZAO....HAKUNA SHEHE HAPO WALA USTAADHI...HAO WAPO KWA AJILI YA KUUKASHIFU UISLAM TU BASI.....SHEHE NA MAPETE NI WAPI NA WAPI....KUANZIA DR SULLE NA HUYO MBWA UNAYEMHOJI HAPO WOTE NI WAGANGA WA JADI KIMAAMAYE ZAO...
Sasa matusi ya nini, au kuitana aina ya wanyama? Umekosea sana sana, umefika mahala pabaya mno kumtukana mtu asiehusika ni sawa ? Omba msamaha hata kimoyomoyo si jambo la kheri kumtukana mama au kuitana majina ya wanyama
Mtume Muhammad Aliwauluza ma swahaba mufilusi Ni mtu wa Aina gani? Ma swahaba wakajubu Ni mtu aliyefirisika Kisha Muhammad akasema mmekosa Mufilisi Ni yule mtu anayewatukana wazazi wake wawili mfano unapomtukania mwengine wazazi wake hapo Ni sawa na kuwatukana wazazi wako
Wapi Quran imefundisha hayo unayoyasema ?? Acha ubabaifu wewe yaani makafiri ufahamu ni tatizo yaani unashindwa kujua kama Hawa ni washirikina ??? Mashonde yanskusumbua 😂😂😂
Washirikina ni wengi sana siku hizi na wanajificha kupitia dini... Mwenyeezi Mungu atawahukumu wote wanaomshirikisha katika kufanya Shirki.. Maana yeye hakutufundisha kuyatenda hayo..
Naam, wanamshikisha Mola ambaye ndiye muenzi wetu, kwa tamaa za kidunia.waiogope siku hiyo watakapo ambiwa haya waiteni hao majini wenu wakusaidieni. Innalillahi wainaillahi rajoun.
maisha ya uislamu yanatufundisha kuishi ktk misingi na taratibu, sio kila alichokiumba mungu ukitumie kwa faida zako, mungu kaumba kwa kusudio lake,, pia tumieni elimu zenu vzr msitumie ktk shirki hilo sio kusudio la elimu ya kiislamu mnatuharibia uislamu ni mzr sn sn
Nanyie angalieni na watu mnaokuja kuwahiji uchawi ni sayansi hivi kunashekhe gani Tanzania hii anaemshinda Dakta sule kwa sayansi jini kuitwa mpaka akaja kunajazi na jini ambae anaitwa mpaka kukufika tayari ashaweka mawasiliano na wewe na hili dka sule asha lizungumza
watu wote hawezi kuwa sawa ktk Dunia hii wako wakiristo wako waislam Kwa undani wako washirikina wapo wapotovu wapo Wazinifu wapo wizi wapo waumini wakweli ktk uislam ila yule Alie sahihi ni yule muumin wakweli wadini ya kislam ambae hayuko tayari kumshirikisha mungu Kwa chochote
Tuna mashehe wengiiiii wa mitandaoni. Mojawapo ya dalili za qiyama Ukiona wasiokuwa na darsa la watu mbele yao, kw maana angalau wanafunzi watatu tu, akifundisha Qur'an fiqihi tauwid nk. Yupo mitandaoni tu ama mihadhara ambayo mwisho wake ziuzwe dawa na michango kw ajili ya matumbo yao.....
Mm nimmoja wa watuambao nimekutana na mambo mengisana ya kidunia ambayo sijaomba wala kutafuta ispokuwa ulimwengu ndio ulinifanya iweivo baadakuwa napigwa vita na wanadamu tena wandani ya familia sasa majini nilokuwa natupiwa kwaajili ya kuzulumiwa sasa mungu hajawa tayari kuwa mm mjawake kufa sasa majini waliamuwa kubadilika ndio wakaja kwangu naniukweli wamehitaji mm nifanye kazi ya utibabu na utafanya vip utibabu bila kukutana na hawaviumbe lazima uwaite tena anakuja na mnaongea na kiukweli hata wachawi iliuchawi wao utumike jini na quani na miti ifanyekazi tofauti na mti na quani mti unaroho iriji toka umeubwa ila quani mpaka uisadifu hayomambo nimakubwa sana
Ukimsikiliza Uyu Ostazi Maneno Yake Yamejaa Elimu Kubwa Sana Sijajua Kwa Watu Mnaomsema Mnawaza Nini Kichwani Maneno Yake Ziko Pointi Nyingi2 Moja Anasema Mtu Ukipata Pesa Kupitia Jini Ujue Wewe Unamuamini Jini Kuliko Mungu Na Yapo Maneno Mazuli2 Tuache Kusema Uchawi Uchawi Mimi Nachukia Sana Mashee Wale Kazi Yao Maubili Yao Wanawake Na Ngono Wanawake Na Ngono Mpaka Unawaza Inamana Kitabu Kinazungumza Ngono2
Naam.
exactly
Hakuna cha elimu Wala nn
Ushirikina tu
Mwogopeni Mungu
Achana na mapichapicha Jini ndo ushenzi gani acheni dini za uongo
Kesho Miele ya Allah kutatanda
😢😢😢😢😢😢 na jasho, Ya rab nisamehe mimi na unionize ktk kheri na uongoze ulimwengu mzima.
Huyu jamaa ni mshirikina...Tanbih kwa waowafuata hawa jamaa kwaajili ya tiba,,wajue wanawaendea washirikina wanaojificha ktk kivuli cha dini
Subuhanallah Allah tujalie mwisho mwema
Uislamu ni miongoni mwa wachawi, washirikina na ushetani pia
Na Ukiristo nao je?
@@Onchieku-cp8wd sokweli ndugu uislamu ukombali nahivyo vitu
Kuita jinn ni katika ushirikina ushahidi aya ya 6 suratul jinn na hadith ya mtume (s.a.w) alipomfunga sheytwan akakumbuka maneno ya nabii suleiman ('alayhi salaam) aliposema Allah (s.w) asimpe kiumbe yeyote uwezo aliopewa yeye wa kuamrisha majinn
Hakuna wa kati na kati ktk kuleta rizk, Allah (s.w) haitaji pete kukuletea rizk wala jinn muogope mola wako rejea ktk manhaj sahihi ya ahlul athar wa sunna wa jama'a kutoka kwa ufahamu wa wema waliopita
We😂 nawe hata haujui tofauti ya shwaitan na jini
@@RamadhaniMsukuma tafauti yake nini?
Hadithi tu izo ...sifa za shetani hakuna wa kumfunga zaidi ya MWENYEZI MUNGU, funguka akili
Swadakta
dunia hii inamambo mengi sana mwenyezi mungu atunusuru mana kila mtu analake kwasababu moyo wa mtu ni msitu Allah atuongoze ktk kheri zake atuepushe na tamaa za maisha haya kumekua na mambo mengi mnoo yaarabi tunusuru yaarabi
1a
Mimi na YESU wangu fresh, pengine panatisha…
yeu hakuwa mkiristo.
wala wakiristo hamufwati yesu
wala mafundisho yake
wala lolote alilolifanya yesu hamna mnalilifanya.
kwa taarifa yako.
yesu hakuwahi ingia kanisani,
wala wakati wake hakukuwa na kabisaa
sasa wewe unamffwata yesu yupi?
YESU ni kristo, na sisi niwakristo soma wagaratia 3:29. Na tunafuata mafundisho yake, kwanza tunaamini kuwa alikufa na kufufuka, tunabatizwa kama alivyowaamulu wanafunzi wake, matayo 28:19
@@softymoha5484toka pepo
Allah kuongelea shiriki Kwa mara nyingi zaidi Tena Kwa uzito kunamaana sio Bure
Kaka nimekuelewa vizuri Sana Ira mtangazaji hajakuelewa
Wewe mtangazaji..ni mgombanishi sana..DR sule ajasema kuwa aiwezekani kumwita jinni..amesema kuwa inawezekana rakini inaitajika uwe na elimu ya kutosha ya kuongea na majini...ninekusawisha vizuri mtangazaji..ukiwa na elimu ya kutosha ya kuongea na majini..utakuwa nao uwezo wakuwaita
Mtangazaji amejikanyaga
Alafu anataka kujua kila kitu mtu ashasema ni siri yake lakini yy analazima ajue khaa
Unamwita jini Kwaajili ya nini,nyie watu acheni uchawi, Muhammad hakuwa mtume wa Mungu na ndiyo maana hakuna mahali kwenye koran panaonyesha Mungu alisema naye kama alivyosema na wakina Musa, Yesu, Samuel au Daniel,mud ni muongo na ndiyo maana hata mafundisho yake yanachanganya sana
wewe mwehu huna akili@@FridayMwassa
Mwamini Allah,hakuna mafundisho ya Pete katika Quran tukufu watanzania wacheni ushirikina
Masheikh wa bongo njaa zinawasumbua sana.. Allah atawahuku.
Allahu akuongoze ktk hqq ndugu yangu
Yaani huyu mwamba Muhammad ana nguvu nyingii za giza hadi kawafanya wafrika wakafata ujinga wake duh mungu tusaidie
Namshukuru MUNGU kuwa mkristo Hakika nipo mahali salama na pa uhakika ni njia isiyo na shaka yoyote.
Bado hunawa salama yesu anaenda kukukataeni mbele ya mungu
uoukilsto niushilikina kukubali yesumungu niushilikina kumpinga mtume Mohammad s.a.w. ukafili kukubali yesu kajakukomboa zambizawatu niushilikina nyinyi wakilsto amunaelimu yadin .atamwamposa nimshilikina
achakuogopa pumbavuwe uklsto niushilikina kaamini yesu nimungu kumpinga mungu kusema kunamungu baba namungu mwana niushilikina kuamin msalaba nakuutii niushilikina waklstowote niwashilikina kakuna mklsto anabisha nimpeandiko ndani yakitabuchake biblia awa wakilsto niwasomi ila awaisomi dini wanaelimu yakutafuta ajilatu kwaio wewe usiogope kusema ukweli abuwewe mklsto soma kwanza issaya 10..56
Hahahahaha . Allah akuongoe ujue njian sajihi
Amina, Hakika Yesu ni Bwana
Inna shshriki ladhulmun a'dhwiim.Hii ndo dhambi kubwa kuliko dhambi yoyote kuweni makini na hayo mnayoeneza na muandae majibu mazuri kwa Allah s.w
Wote washirikiina muislamu safi anamjua mungu pekee.
Abdullah ni neno la kiarabu, pia ni jina Abdullah maana yake ( KUMTEGEMEA MWENYEZI MUNGU ) sasa wengine Wanategemea majini kinyume na Mwenyezi Mungu. Hili ni balaa.
Yye hyu anajita bin laden aah hwa wote matapeli wallah mungu shahid hta mm kanitapeli anatafuta umaarufu hana lolote Na ushahid ninao juu ya u tapeli wke asimponde mwenziwe, asitoe aibu ya mwenziwe wakt zak anazoo
Ulikutapeli je tuambie
Wote waongo hawa, si ktk mafunzo ya Quran wala mafunzo ya Mtume salallahu alayhi wasalla. Majini wema wanaomtii Allaah hawaingii ktk vichwa vya watu wala hawashirikiani na wanaadamu.
Swadakta
Yaani hawa waganga kweli leo ndio wanaiharibu dini kiasi hiki
(@@thabitimkufi7388
Hakunaga shetani mwema acheni uzwa,wa
Majini wema uliwaona wapi, mafundisho potofu ya Muhammad,
Hakuna jini wakuleta pesa fanyeni kazi acheni kudanganya umati Muhammad
😂😂😂😂😂
Sahihi
Sahihi, Hawa wote ni wezi tu.
Mmoja kaua kisha kapotea mkali wa tiktok
wote hawa ni wezi tu wapumbavu hawa
SUBHAANA ALLAH
SUBHAANA ALLAH YAARABBY TUONGOZE NAHAWA NDUGU ZETU KTK HAKI ZAIDI
Tunapata Maneno jinsi waislamu Wanavyoita Majini na Jinsi wanavyotajirika kupitia Majini
Acheni uongo, kwa Mwenyezi Mungu hakuna siku mbaya, siku zote ni nzuri.
Vinginevyo ni shirki.
Na sio mnaita majini mnaita uchawi.
Una ushahidi gani kusema siku zote ni nzuri? Siku ya ijumaa ni siku bora kuliko zote imetukuzwa na tumepewa umati Muhammad.
@@LumolaSteven Siku zote ni nzuri, na Al jumaa ni nzuri zaidi
Na ndiyo maana inawakutanisha waja pamoja..
Kweli, ubora uliomo ndani sala ya al jumaa ni bora kuliko uhai wako. Ila watu hawajuwi.
Njooni kwangu niwafafaulie sala ya al jumaa na siku yenyewe. Nipo Toangoma( al musabih ) na maswali yenu yoye najibu Mimi mfano kama waliopita. Allah ameniruzuku elimu toshelezi.
Namba ya simu dkt sulle tafadhali
Acheni kuusema uislamu kwa vibaya kwasababu ya haya maneno qur-ani na sunaa za mtume Muhammad swalla llahu alayhiwasallam hazjafundidha upuuzi 17:54 hio
Huyu ana ukweli fulani mimi najua na naelewa chenye anakiiongelelea
Umemuelewa kwasababu ya rugha lakini akuna kitu
Watu wengi wamebabaishwa na lugha mkamuona huyu shekh apana ni shirki tu
Sikliza mpk mwisho amefafanua vizuri kabisa
Hakuna chchte hapo
!!Hii ni SHIRKI!! kwa muislamu yeyote anae soma labda hana uhakika hapa, tiba ya ruqya na shifaa yeyote inatoka kwenye Quran kwa idhini yake Allah(s.w.t) na RasullAllah(s.a.w) ame tu ongoza kwenye Sunnah zake zote na dini ime kamilika usi danganywe kwenye Bidaa,ingekua kweli haya mambo sijui nyusi za samaki sijui nini ..kutoka kwenye sahaba wa kizazi cha pili auTābiʿū al-Tābin ingekua hizi sunna zote ziko wazi kwa waumini...chunga imani yako na amali zako jitenge na kufur!...
Mungu akujalie kaka mi nimekuelewa sana sule anatuongopea sana etikunamajini wazuri nimekuelewasana kaka
Mm pia namkubali
Huyu jamaa Ameongea vitu vya ndani saana tatizo watu kuambiwa ukweli ndio hawapendi
Kabisa, lakini Kuna watu kuelewa ndio shida
Wengi wavivu kusoma huyo dogo kasoma
Huyu ostadhi anapatikana wap
Huyu jamaa anaelmu kubwa sana
JAMAAA KASOMA HAYO MANENO SIO YA KUOTESHWA😊,,,NA NDIOMANA TUNAMSIKILIZA,,,OPTION NI 2 TU,,,KUBALI AU PUUZA,,,USIANZE KU CRITISAIZ WATU NA HUNA UNACHOKIJUA TULIA ELIMIKA.
SWADAKTA
😂Ni kweli kabsaaaaah
12:55 kitu chochote ukivaa kwa malengo ya kinga huo ni ushirikina hata ukiandika aya za quran alafu ukazitundika ukutani ama mlangoni alafu ukaamini ni kinga yako huo ni ushirikina
Je upo Sawa kabisa usitoe hukumu Hali ya kua hujui hukumu ya jambo
Yaani hawa waganga dahh dini inaharibiwa jamanii
Hawa waganga wa kienyeji ndo wanao tuharibia dini ,ushirikina umewajaa
Waislam tujizatiti ktk kusoma Tawhiid na kujifunza tiba ya Ruqya ya kisheria kwa jinsi Mtume S. A. W alivyofunza.
Bado ni uchawi na majini watakuja tu uislam na majini ni kitu kimoja
Mtume wako kajifunza kwa nani na yeye
@@jpmanotaofficial639 mtume gani?? Sijawahi kuwa na mtume mchawi
Huyu jamaa anajichanganya. ALLAH ndio kila kitu, haya mengine ni utunzI na uzushi tu wa siku nyingi. Huyu jamaa ni kibaraka wa maandishi asiyo yaelewa vizuri. Muulize nani kaandika hivyo vitabu. Mwambie aende akasaidie wapalestina wasidhulumiwe na waisrael. Kama kweli elmu hiyo yawasaidia waarabu wangesumbuliwa na muamerika. Huo wote ni ulaghai. Kama kweli hio elmu yao na mapete yao yafanya kazi nawaruhusu waitumie kunidhuru mimi, wayatume kwangu majini mabaya sana wafanyie unyama watakavyo wao. Hawa watu wana elmu potoshi. ALLAHU AKBAR!
@@jesusislord9190😂😂 washenzi hawa wananafasi yao peponi kuongopea watu na kupotosha watu sio bure
Sule anachakujifunza hapa, ule wa sule ni ushirikiana wa wazi na kakufuru mpaka sasa
Mimi na fwatiya sana vipindi vyako : Ila naku hakikishia wote wana tumia ilimu ya Siri ambayo ki sheria yaki islam ni shirki aina ubish ndanimo , Allah pekee ndo mwenye kutowa utajiri na ku kadiria kila kitu , Allah ndo mlinzi , na akuna ushirika wowot saw bin’Adam n majin wot weny kumia ilumu y nyota wot nyuma yao kuna nguvu y jini hutumika nao yot ni ushirikina , haijalish alo sem ame vaa kanzu na kilemba au ni mwarabu au ni nani Ila dini yetu iko waz waz , ndoman mtume saw ame tumia miak mingi kuifundish tauhid, turizik n maish alo tukadiria … Allah uko shahid nime fikish
HIZI ZOTE NI ELIMU ZA SHIRIKI MSIMFUATE WAISLAM.
WAMUACHE ALLAH HAWA MASHEIKH NI WA GANGA KAMA WANGA WENGINE
Elmu zipo ila kuwa na mipaka yake
Sahihi
Kusoma hizi elimu sio shida madhali Allah ametuteremshia, ispo kua ni mbaya sana kiupande Fulani kama ukizojua Kuna asilimia kubwa sana ya kumuasi Allah. Binadam tumeumbiwa na tamaa
Muthani kweli kweli mie nampenda sana sheikh Nurdin kishik havai pete kbsa 😢😢🤔🤔🤔
Wewe unasema kweli na hutaki unafiki, endelea kuweka wazi wengi wajue, mwenyezi Mungu atakukipa mema, achana na muongo dr Sule
Innalillah Wainailayhi rajiun
Subhnallah Allah tujalie mwisho mwema😢😢
Karibuni huku Kwa Yesu hatuitaji jini ni imani yako. 🎉 Nipo mahala sahihi Yesu anaokoa Karibuni wote muokoke
Hivyo kusema hivyo tu tyr una majini elf washakupotosha
Hii imekuwa Bishara ya uganga sasa wallahi j😢Jamani watangazaji acheni kutafuta waganga kwenye mitandao watu wote wenye tamaa fupi muwataingiza ktk ushirikina hii dunia imekuwa ya ushirikina tuu loooh mungu atuhifadhi
Wengi hawa ni wachawi na washirikina watu wa Elimu za majini na nyota n pete
Asante Mungu mimi kwakuwa mkristo
Kkkk
Hakika ukristo Raha na ukweli usio na unafiki YESU NDIYE NJIA PEKEE KWELI NA UZIMA.Aasante na namshukuru MUNGU kuwa mkristo.
Kwahio hapo kuna muislam unavyoona? Hao washirikina wote kuvaa kanzu haimaanishi kuwa wewe ni muislam.
Kwahio hii kesi ya mchungaji kubaka inamaana kuwa wakristo wote wamebaka au wanabaka? Ni tabia ya mtu tu
Ww huna din nahuyo pia sio muisilam ndugu soma kumjua mungu wahak
Huo ndio uislam maana majini walisilim wakawa waislam
Uyu kijana nilimjua mwaka 2021 anaitwaa sir Bin laden Nilimpata Kwa Bingo alinisahidia Sanaa kunitibia matatizo yangu uyu anajua haswaa Tiba SEMA umri wako ni mdogo
Habari ndugu naomba namba zake ninamgonjwa labda anaweza nisaidia
@@gideonjohn8912
Kachukua kwenye channel yake inaitwa firdausi
Tunaomba namba
Naomba kuwasiliana na wewe tafadhali nikwambie Habari za uponyaji kupitia Yesu Kristo kama hutojali @@gideonjohn8912
Mungu nijaariye mimi naummawako woote
SubhanaAllah mtihani Allah atuepushe na shirki
Subhanallah
Allah Akbar
Nyie ni washirikina wakubwa sana
Na mtaingia motoni milele
Mnatuaibisha ss waisilam
Tuwasomeshe watoto wetu ttauhidi wasije kua waganga
Huyo jamaa wala sio sheikh anatafuta kumchafua Doctor Sule Mshamba tuuu
1.Mhoji na mhojiwa ni washirikina. 2.Hakuna kanisa la Kristo linaloshirikiana na majini.
Soma vizuri kuhusu kuundwa kwa Freemason utapata ukweli.
😂😂😂hata maswala Yako kwa Quran na waislamu lakini kwa unafiki wanajifanya yanafanika makanisanai... Ignorance 😂😂😂
Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu ya shiriki.
Asante mtu uliyenihubilia injili ya Yesu
ALLAAH akuongoze
Ukae ukijua wate ni washirikina wanamshirikisha Allah na majin Muslim humuomba Alla pekoe mmoja tu
Yaaani jini anajuwa dini la kislamu, kanisani hatupandishi jini, sisi tuna Roho mtakatifu
Mm siofundi ila mm hizi mambo mnayo ongelea ni mjarabu sana sule anajuwa nn anacho kiongelea
Majina uliyo yataja ya majini ndio majina ya maraika waasi kwa mujibu wa kitabu cha henoko
Watu wengi wasiokuwa na elimu hutumia mihemko kufikisha yao unajua elimu hizi zipo nyingi Watu wamezama kwenye elimu mbali mbali ndio maana wazungu baada ya kuona wenye vyao akili zao ni kukopy na kupest bila kufuatilia mambo wenzetu wazungu wanavichukua na kuvitumia na kufanikiwa maeneo mengi sana lakini kwa hawa Watu waliojaliwa kubishana na kutukana mitandaoni ukiwachunguza kwa undani hawana elimu wasoma tabbatiada zao tu wameanza kujifunga viremba tu hata vyanzo na maana yake hawajui tusome elimu jamani tuzame kwenye vitabu msome msikalie matusi tu mnajichoresha tu
Hakuna malaika alieasi acha kufru wewe
Mtangazaji umemsingizia dr sule huyo shehe yupo right ila umemsingizia dr sule hawezi kusema jini haitwi
Tumcheni Allah tungu zanguni kwenye uwislam elimu zote zipo tunaamin lakn so kila elimu inafaa kuifanyia kazi ,hapo hatuna masheikh wote wamrudie Allah kabla kufa
Jamani hii ndini au uchawi!
Mnamtania Mungu
Hawa watanzani wote washirikina mtapata laana kutoka kwa Allah
Naomba umuulize sheikh hukmu ya kumdhurumu mtu haki yake inakuaj kwa mwenyezi mungu
🤔🤔
Wenae shehe yukowapihapo. Hukumuyake mototu ukitakakusalimika umlipe
Sheikh naona karuka alipogusiwa sio makanisa yote.. Eti inawezekana Sio Tanzania.😂😂
Kajitahidi shekhe kueleza lakini hapo katika pete kachemsha, Allah amuhidi!
Ukristu ndo dini ya kweli
Duh nkajua mnaakili kumbe manyumbu tu
Majini toka lini akawa integral part na Dini
Upuuzi huu
....HAWA WOTE NO WAGANGA WA JADI KUMAAMAYE ZAO....HAKUNA SHEHE HAPO WALA USTAADHI...HAO WAPO KWA AJILI YA KUUKASHIFU UISLAM TU BASI.....SHEHE NA MAPETE NI WAPI NA WAPI....KUANZIA DR SULLE NA HUYO MBWA UNAYEMHOJI HAPO WOTE NI WAGANGA WA JADI KIMAAMAYE ZAO...
Sasa matusi ya nini, au kuitana aina ya wanyama? Umekosea sana sana, umefika mahala pabaya mno kumtukana mtu asiehusika ni sawa ? Omba msamaha hata kimoyomoyo si jambo la kheri kumtukana mama au kuitana majina ya wanyama
UPEW ULINZ WAKUTOSH
Mtume Muhammad Aliwauluza ma swahaba mufilusi Ni mtu wa Aina gani? Ma swahaba wakajubu Ni mtu aliyefirisika Kisha Muhammad akasema mmekosa Mufilisi Ni yule mtu anayewatukana wazazi wake wawili mfano unapomtukania mwengine wazazi wake hapo Ni sawa na kuwatukana wazazi wako
Anaeeee Linda ni mwenyezimngu tuuu hakuna zaidyyyyy yakeeeee.
Swadakta
Ko hilo neno la kiarabu la kuitia majini linasemwaga kansani ???? Acha uongo mwamba umeyatimba
Mbwa kwel wewe mungu atakulahan kwa utapel wako
Jamanii kwanini. Unasema utapelii ??
Vp ushataoeliwa!!😅😅
Kwani Umetapeliwa nin?🤔🤔🤔
Tatizo duniya hii mtu akiongea ukweli anaonekana nimpotoshi yeye hajasena hivoo lakin
Mmmmmh dunia iyi inamengi kwl allh tup mwisho mwem yarab
Dini ya kislamu inaweza tatua shida zote hapa duniani
Hii dunia imeisha ss mungu tunusuru😭🙏 mina
inakuwaje shekh ..... hahahah ndugu mwanadishi zingatia mazingira ya salamu
Huyo sheikh mwenyewe anang'ata maneno hajaweka wazi anavaa hiyo Pete kwa malengo gani anatakiwa afunguke kama anavyo funguka mwenzie Sule
Mshirikina sana ww tubu kwa Allah la si hivo Allah atakutia.motoni
Innalillah wainna ilayhi rahiun , hasbiyallah waniimal wakeel
Tukisema wabarakatu wafuga majini mnabisha
Waislaaamu munatia aibu Sana. Acheni majini wandugu yatawazulia balaaaaaa
Huu ni ushirikina mtupu namuomba ALLAH mtukufu atuongoze sote maana Hawa ndo wachafuzi wa uislam kwa elim zao za kitaoeli za kutafutia ugali
Kumbe washirikina mnajificha ndani ya dini ya Allah Na Allah atawaumbua
Si kwamba wanatumia dini k si kwamba wanatumia dini kufanya ushirikina bali koloani nzima no uchawi tosha ksbiss
Wapi Quran imefundisha hayo unayoyasema ??
Acha ubabaifu wewe yaani makafiri ufahamu ni tatizo yaani unashindwa kujua kama Hawa ni washirikina ???
Mashonde yanskusumbua 😂😂😂
Washirikina ni wengi sana siku hizi na wanajificha kupitia dini... Mwenyeezi Mungu atawahukumu wote wanaomshirikisha katika kufanya Shirki.. Maana yeye hakutufundisha kuyatenda hayo..
Allah atuepushe na hayo
Naam, wanamshikisha Mola ambaye ndiye muenzi wetu, kwa tamaa za kidunia.waiogope siku hiyo watakapo ambiwa haya waiteni hao majini wenu wakusaidieni. Innalillahi wainaillahi rajoun.
Huyo na Dr sule wamoja
maisha ya uislamu yanatufundisha kuishi ktk misingi na taratibu, sio kila alichokiumba mungu ukitumie kwa faida zako, mungu kaumba kwa kusudio lake,, pia tumieni elimu zenu vzr msitumie ktk shirki hilo sio kusudio la elimu ya kiislamu mnatuharibia uislamu ni mzr sn sn
😂😂😂nilikuwaga nasikia kuwa uislamu imetawaliwa sana na majini nilikwa nasikia hivyo kumbe kweli
@@obedymwilenga7490
Kuna uislam na uislam sahihi
Na ndio maana waislam wengi tu wataingizwa motoni
Munguninuxuru nauyu hoxtdhi yukoxahihi
Bina adamu ndio muwasiwa jini kwani mnawapa majini ahadi zeni hamtimizi
Huyu na dr sule wote wasafiri wamoja gari moja isipokua mmoja manamba mmoja konda
Nanyie angalieni na watu mnaokuja kuwahiji uchawi ni sayansi hivi kunashekhe gani Tanzania hii anaemshinda Dakta sule kwa sayansi jini kuitwa mpaka akaja kunajazi na jini ambae anaitwa mpaka kukufika tayari ashaweka mawasiliano na wewe na hili dka sule asha lizungumza
Hapa Hakuna tcha ushekhe wala wislam safi. Huyu hana dhihirisha kuwa ni mshirikina na hana ijua shirk tena vizuri sana
Uyu kijana anaitwa sir Bin laden nilimjua mwaka 2020 kwa Bingo alinisahidia sanaa matatizo yangu anajua tiba kweli ila ana umri mdogo
Ko yuko vzuri kitiba
Kama hutojalii nisaidie namba zake tafadhali Ndg yangu
Namba tu kaka🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mmm! Si wote waelewa hii elimu ya hawa viumbe ni pana zaid
Anapatikana wapi
watu wote hawezi kuwa sawa ktk Dunia hii wako wakiristo wako waislam Kwa undani wako washirikina wapo wapotovu wapo Wazinifu wapo wizi wapo waumini wakweli ktk uislam ila yule Alie sahihi ni yule muumin wakweli wadini ya kislam ambae hayuko tayari kumshirikisha mungu Kwa chochote
Aww msiwasikilize hawa wahuni shauri zenu.elimu ni bahari 🙏🙏
Bakabla hujacoment kwanza umewaskiliza alafu ndio umecoment
Sasa unatwambiaje tusiwaskilize??
Kwanza Kuna kuskiliza na kukubali
Kumuita jini mpaka kufata masharti hii ndio shirki yenyewe,
Usimwamini Mungu akusaidie unamtegemea jini.
Watu wengi wanaingia kwenye ushirikina kuamin ktk majin ni watu twariqa, wanakumbwa sana na mtihan huu.
toa jibu unavaa pete kwa maana gani mbona sule akiongea unampinga kubali nawew upo humo acha kumchafua mwenzako
Daaah...!! kazi ipo ktk izi Dinni...
Acha uongo ndugu yangu kumbuka kuna kesho unaongea uongo tu na hata hufikirii hio elimu wenyew ya majini hujui acha kupotesha
Huyu kijana yuko vizuri kabisa ! Kumbe kwa wa islamu piya kuna wanao fafanua mambo kwa ukweli ?
Yani wewe unajaribu ili ujuwe mungu akulinde .yani wa somi poleni .sis wamungu mungu atazidi kutulinda
Tuna mashehe wengiiiii wa mitandaoni. Mojawapo ya dalili za qiyama Ukiona wasiokuwa na darsa la watu mbele yao, kw maana angalau wanafunzi watatu tu, akifundisha Qur'an fiqihi tauwid nk. Yupo mitandaoni tu ama mihadhara ambayo mwisho wake ziuzwe dawa na michango kw ajili ya matumbo yao.....
Saf sana ndg yangu
Mdogo wake Dr sule wako wengi sana
Mm nimmoja wa watuambao nimekutana na mambo mengisana ya kidunia ambayo sijaomba wala kutafuta ispokuwa ulimwengu ndio ulinifanya iweivo baadakuwa napigwa vita na wanadamu tena wandani ya familia sasa majini nilokuwa natupiwa kwaajili ya kuzulumiwa sasa mungu hajawa tayari kuwa mm mjawake kufa sasa majini waliamuwa kubadilika ndio wakaja kwangu naniukweli wamehitaji mm nifanye kazi ya utibabu na utafanya vip utibabu bila kukutana na hawaviumbe lazima uwaite tena anakuja na mnaongea na kiukweli hata wachawi iliuchawi wao utumike jini na quani na miti ifanyekazi tofauti na mti na quani mti unaroho iriji toka umeubwa ila quani mpaka uisadifu hayomambo nimakubwa sana
Uislamu ni uchawi tu kwa huyu mhojiwa....
Audhubillahi mina sheitwani Rrajiim