Jamani uchawi unakazi nyingi pôle kwayote ilio pitia mungu anakupenda mahandiko m’a Takatifu yana sema kua hata uwe nazambi nyekundu kama bendera uki tubu kwa ukweli utasamehewa nautakua mweupe kuliko seluji usirudilie tena mungu wabariki
kwa kupitia huu ushuhuda nmejifunza kwamba ata sisi tuliookoka tunauwezo wa kunenea vitu na kutimia kwa mfano mtoto akiwa tumbon unaweza kumnenea kwamba wew n kichwa na sio mkia au ata kunenea mwaka kwamba mwaka wew mwaka 2022 hautakuwa kama miaka iliyopita kwenye maisha yang utakuwa mwaka wa baraka na vibali Ushuhuda huu n mzur snaaaa kwakwel
Ndio maana naombaga kabla ya kuingia chooni Damu ya YESU ukiomba unafanya shughuri zako na watoka OK Uko chooni kuna jini subiani wakristo ita Damu ya YESU waombeeni watoto wenu waume zenu wakienda chooni wasizurike. Hata wapangaji oombeeni vyoo nyumba zengine zina mazindiko hata ukienda choo Cha kanisa peleka Damu ya YESU sema napeleka mauti ya kristo initowe kwenye mateka ya choo.
Asante watumishi wa Mungu jactan kwa kazi nzuri Sana unayofanya, unawapatanisha watu na watumishi wa Mungu na kwa mtumishi Leonard asante sana kwa ushuhuda huo mzuri na umemalizia kwa kumuinua Christo pia wewe umefungua roho yako na kuvunjika mbele za Muumba wako na pia huuitishi Hela ya maombezi kama watumishi wengine Ingawa sio wote Yesu Christo azidi kuwa Mungu wako mbaka milele Amina
Ina maana hilo pembe nalo lilikuwa hai??ilikuwa lipepo?nywele za kichaa ulizipatia wapi?je ingewezekana mtu angeliiba ilo pemebe ingekuwaje??ulikuwa ukiliona?
Daah ni hatari Sana tubaki na yesu wetu bila yesu hawa jamaa watatuumiza vibaya
Jamani uchawi unakazi nyingi pôle kwayote ilio pitia mungu anakupenda mahandiko m’a Takatifu yana sema kua hata uwe nazambi nyekundu kama bendera uki tubu kwa ukweli utasamehewa nautakua mweupe kuliko seluji usirudilie tena mungu wabariki
kwa kupitia huu ushuhuda nmejifunza kwamba ata sisi tuliookoka tunauwezo wa kunenea vitu na kutimia kwa mfano mtoto akiwa tumbon unaweza kumnenea kwamba wew n kichwa na sio mkia au ata kunenea mwaka kwamba mwaka wew mwaka 2022 hautakuwa kama miaka iliyopita kwenye maisha yang utakuwa mwaka wa baraka na vibali
Ushuhuda huu n mzur snaaaa kwakwel
Mmmmm eheeee wachawi wana kazi kweli bali kwa Yesu no muswaki asante Jacktan kwa kazi nzuri
Kwa kweli tunganganie wokovu Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Jacktan kwa huduma hii tunajifunza sana .
Ndio maana naombaga kabla ya kuingia chooni Damu ya YESU ukiomba unafanya shughuri zako na watoka OK Uko chooni kuna jini subiani wakristo ita Damu ya YESU waombeeni watoto wenu waume zenu wakienda chooni wasizurike. Hata wapangaji oombeeni vyoo nyumba zengine zina mazindiko hata ukienda choo Cha kanisa peleka Damu ya YESU sema napeleka mauti ya kristo initowe kwenye mateka ya choo.
Waaah,nashidwa cha Ku comment,heri walio n yesu,damu ya yesu yatosha
He,!!! Mungu akulinde sana baba.hayo maroho yasikudhuru
Hakuna kinacho shindikana kwa yesu,asifiwe yesu kwa kku toa huko
Asante watumishi wa Mungu jactan kwa kazi nzuri Sana unayofanya, unawapatanisha watu na watumishi wa Mungu na kwa mtumishi Leonard asante sana kwa ushuhuda huo mzuri na umemalizia kwa kumuinua Christo pia wewe umefungua roho yako na kuvunjika mbele za Muumba wako na pia huuitishi Hela ya maombezi kama watumishi wengine Ingawa sio wote Yesu Christo azidi kuwa Mungu wako mbaka milele Amina
Mungu ana sababu na hizi ushuhuda kwa ajili yetu
Sasa aliacha kabisa Emeni Injili isonge mbele kwa Jina la Yesu Amen Amen
Asante sana kwa kazi nzuri mungu akubariki sana mchungaji
Asante Jacktani kwa kazi njema Mungu akuzidishie neema yake.
Bila yesu duniani ni bule
Mungu akubariki mnoo we we shujaa
Tumeyajua mengi zaidi kupitiia Ushuhuda huu
Mungu ni mwema kwakila jambo.
Hongera sana kwako Mtangazaji kwakazi hii umeifanya.
Dunia hii bila mwokozi hakika ni maangamizi tu yesu tuokoe
Amen
Barikiwa sana kaka unattractive ushuhuda utasaidia watu wengi Sanaa. Jacktan Barikiwa sana
Amen
Mchungaji Leonard hongera kwa ushuhuda MUNGU akubariki
Ameeeen barikiwa pia
Kumbe wa nyumbani mpanda daa pole Sana ndugu yangu
Ubarikiwe sana jacktani
Amen Ushuhuda mzuri sana 🇰🇪🙏
Asante kwa ushuhuda. Mungu awakumbuke na kuwasamehe yote kwa Jina la Yesu. Asante kaka Jactan
Kweli kazi ya shetani ni mbovu
Jaman ongerani Sana kwakupata uokovu maana ulitoka mbali.
Wataumbuka sana tu
Sema huu ushuhuda kuna watu watajifunza kuloga
Unge bana na maneno mengine maana wengine wanga hapa wata roga sana
Ushuhuda Mzuri...ila kamziki ketu hakapo Mtumishi Bwana
Amen,tulisahau kukaweka asante kutukumbusha,wakati mwingine tutakaweka
Mungu akubarik
Shetani wewe na mambo yako machafu ivi ndio maana utaishia motoni milele.... Na uchomekee uko kabisa
Wanganga mna kazi
Swali kama mtu anaamini Mungu kabisa na wewe uede kufanya tandiko lako kaburini uue mtu je hapo kutaeda aje ?ungetuelimisha hapo
Shetani ashindwe kabisa
GOD BLEESSYOU
There is God in heaven
Ina maana hilo pembe nalo lilikuwa hai??ilikuwa lipepo?nywele za kichaa ulizipatia wapi?je ingewezekana mtu angeliiba ilo pemebe ingekuwaje??ulikuwa ukiliona?
Following
Unapoenda kuroga mtu unakuwa unaonekana au unakuwa huonekani???na je hujawahi pata tatizo na wachawi wenzako??
Majina ya M-pesa please
Jacktan Msafiri
Ama kweli Mungu atusaidiye
Duh
😀😀😀😀
So mtu anajipaka jini?
Nyinyi Walevi Kweli Katikati Ya Stol Mnaeka Ujinga Usio Na Mana
Asante kwa maoni yako