Part1_USHUHUDA WA MCHAWI MSTAAFU WA SUMBAWANGA/ALISABABISHA MARADHI KWA UCHAWI WA MITI,DUA NA MAJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 июн 2021
  • #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 54

  • @josephmtatilo2326
    @josephmtatilo2326 3 года назад +6

    Daah ni hatari Sana tubaki na yesu wetu bila yesu hawa jamaa watatuumiza vibaya

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1. 3 года назад +3

    Jamani uchawi unakazi nyingi pôle kwayote ilio pitia mungu anakupenda mahandiko m’a Takatifu yana sema kua hata uwe nazambi nyekundu kama bendera uki tubu kwa ukweli utasamehewa nautakua mweupe kuliko seluji usirudilie tena mungu wabariki

  • @rhodachanangula7734
    @rhodachanangula7734 2 года назад +2

    kwa kupitia huu ushuhuda nmejifunza kwamba ata sisi tuliookoka tunauwezo wa kunenea vitu na kutimia kwa mfano mtoto akiwa tumbon unaweza kumnenea kwamba wew n kichwa na sio mkia au ata kunenea mwaka kwamba mwaka wew mwaka 2022 hautakuwa kama miaka iliyopita kwenye maisha yang utakuwa mwaka wa baraka na vibali
    Ushuhuda huu n mzur snaaaa kwakwel

  • @elvisekhayemba9069
    @elvisekhayemba9069 3 года назад +3

    Mmmmm eheeee wachawi wana kazi kweli bali kwa Yesu no muswaki asante Jacktan kwa kazi nzuri

  • @neemanzengele7169
    @neemanzengele7169 3 года назад +2

    Kwa kweli tunganganie wokovu Mungu akubariki mtumishi wa Mungu Jacktan kwa huduma hii tunajifunza sana .

  • @anneafrica939
    @anneafrica939 3 года назад +9

    Ndio maana naombaga kabla ya kuingia chooni Damu ya YESU ukiomba unafanya shughuri zako na watoka OK Uko chooni kuna jini subiani wakristo ita Damu ya YESU waombeeni watoto wenu waume zenu wakienda chooni wasizurike. Hata wapangaji oombeeni vyoo nyumba zengine zina mazindiko hata ukienda choo Cha kanisa peleka Damu ya YESU sema napeleka mauti ya kristo initowe kwenye mateka ya choo.

  • @jacintamaingi843
    @jacintamaingi843 3 года назад +4

    Waaah,nashidwa cha Ku comment,heri walio n yesu,damu ya yesu yatosha

  • @haikajohn7580
    @haikajohn7580 3 года назад +3

    He,!!! Mungu akulinde sana baba.hayo maroho yasikudhuru

  • @user-sk1pf7rb7i
    @user-sk1pf7rb7i 3 года назад +8

    Hakuna kinacho shindikana kwa yesu,asifiwe yesu kwa kku toa huko

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 3 года назад

    Asante watumishi wa Mungu jactan kwa kazi nzuri Sana unayofanya, unawapatanisha watu na watumishi wa Mungu na kwa mtumishi Leonard asante sana kwa ushuhuda huo mzuri na umemalizia kwa kumuinua Christo pia wewe umefungua roho yako na kuvunjika mbele za Muumba wako na pia huuitishi Hela ya maombezi kama watumishi wengine Ingawa sio wote Yesu Christo azidi kuwa Mungu wako mbaka milele Amina

  • @daudilazaro5551
    @daudilazaro5551 3 года назад +3

    Mungu ana sababu na hizi ushuhuda kwa ajili yetu

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi9746 3 года назад +1

    Sasa aliacha kabisa Emeni Injili isonge mbele kwa Jina la Yesu Amen Amen

  • @njerimukami3112
    @njerimukami3112 3 года назад +2

    Asante sana kwa kazi nzuri mungu akubariki sana mchungaji

  • @linetvisenwa4134
    @linetvisenwa4134 3 года назад +1

    Asante Jacktani kwa kazi njema Mungu akuzidishie neema yake.

  • @piusmtwale7690
    @piusmtwale7690 3 года назад +5

    Bila yesu duniani ni bule

  • @rosemwakihaba7211
    @rosemwakihaba7211 3 года назад +2

    Mungu akubariki mnoo we we shujaa

  • @mdkkagombe4115
    @mdkkagombe4115 3 года назад +1

    Tumeyajua mengi zaidi kupitiia Ushuhuda huu
    Mungu ni mwema kwakila jambo.
    Hongera sana kwako Mtangazaji kwakazi hii umeifanya.

  • @piusmtwale7690
    @piusmtwale7690 3 года назад +5

    Dunia hii bila mwokozi hakika ni maangamizi tu yesu tuokoe

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 3 года назад +1

    Barikiwa sana kaka unattractive ushuhuda utasaidia watu wengi Sanaa. Jacktan Barikiwa sana

  • @johnmayego4889
    @johnmayego4889 3 года назад +2

    Mchungaji Leonard hongera kwa ushuhuda MUNGU akubariki

  • @rajabhussein7794
    @rajabhussein7794 3 года назад +1

    Kumbe wa nyumbani mpanda daa pole Sana ndugu yangu

  • @biblianenolaukweli5616
    @biblianenolaukweli5616 3 года назад +2

    Ubarikiwe sana jacktani

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 3 года назад +1

    Amen Ushuhuda mzuri sana 🇰🇪🙏

  • @riccahcate8126
    @riccahcate8126 3 года назад +1

    Asante kwa ushuhuda. Mungu awakumbuke na kuwasamehe yote kwa Jina la Yesu. Asante kaka Jactan

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 3 года назад +4

    Kweli kazi ya shetani ni mbovu

  • @denisjosephat1503
    @denisjosephat1503 3 года назад +2

    Jaman ongerani Sana kwakupata uokovu maana ulitoka mbali.

  • @johnmkama8074
    @johnmkama8074 3 года назад +1

    Wataumbuka sana tu

  • @peterlyimo6696
    @peterlyimo6696 7 месяцев назад

    Sema huu ushuhuda kuna watu watajifunza kuloga

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 года назад +1

    Unge bana na maneno mengine maana wengine wanga hapa wata roga sana

  • @thomasmwakatobe8207
    @thomasmwakatobe8207 2 года назад +1

    Ushuhuda Mzuri...ila kamziki ketu hakapo Mtumishi Bwana

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад

      Amen,tulisahau kukaweka asante kutukumbusha,wakati mwingine tutakaweka

  • @fei3668
    @fei3668 3 года назад +1

    Mungu akubarik

  • @kmwendemusic5379
    @kmwendemusic5379 3 года назад +3

    Shetani wewe na mambo yako machafu ivi ndio maana utaishia motoni milele.... Na uchomekee uko kabisa

  • @jesmilinaom6989
    @jesmilinaom6989 3 года назад

    Wanganga mna kazi

  • @irenengina233
    @irenengina233 3 года назад +2

    Swali kama mtu anaamini Mungu kabisa na wewe uede kufanya tandiko lako kaburini uue mtu je hapo kutaeda aje ?ungetuelimisha hapo

  • @gloriatoo22
    @gloriatoo22 3 года назад +3

    Shetani ashindwe kabisa

  • @monicahnjeri257
    @monicahnjeri257 Год назад +1

    GOD BLEESSYOU

  • @monicahnjeri257
    @monicahnjeri257 2 года назад +1

    There is God in heaven

  • @myself4128
    @myself4128 3 года назад +1

    Ina maana hilo pembe nalo lilikuwa hai??ilikuwa lipepo?nywele za kichaa ulizipatia wapi?je ingewezekana mtu angeliiba ilo pemebe ingekuwaje??ulikuwa ukiliona?

  • @LoFi_120
    @LoFi_120 3 года назад +1

    Following

  • @myself4128
    @myself4128 3 года назад +1

    Unapoenda kuroga mtu unakuwa unaonekana au unakuwa huonekani???na je hujawahi pata tatizo na wachawi wenzako??

  • @veeinn7965
    @veeinn7965 3 года назад +3

    Majina ya M-pesa please

  • @revinaabela4281
    @revinaabela4281 3 года назад +1

    Duh

  • @milley7185
    @milley7185 Год назад

    😀😀😀😀

  • @kamakia-z1y
    @kamakia-z1y 2 года назад

    So mtu anajipaka jini?

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 года назад +1

    Nyinyi Walevi Kweli Katikati Ya Stol Mnaeka Ujinga Usio Na Mana