"Niliugua nusu ya kufa,Yesu akanitokea hospital na kuniponya" USHUHUDA WA MAGDALEN MURINGO WA KENYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 61

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 Год назад +13

    Ninaomba Mungu akupe subscribers wengi kwakuwa TV hii ni ya kulitangaza jina Lake na matengo makuu anayoyafanya kwakutumia wanadamu

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Год назад +1

      Amen

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      Mathayo 4
      10 Ndipo Yesu alipomwambia
      Nenda zako, Shetani; kwa maana
      imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu
      wako, umwabudu yeye peke yake.
      Yesu anawaambia mumuabudu mungu yesu hafai kuabudiwa yeye mtu km sisi sote

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Год назад

      ​@@alzawahirabdallah2299Tutamwabudu Yesu milele. Kama hutaki jinyonge.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@RubenMtuwaMungu-bz8ee sikio la kufa halisiki dawa ndio wenzako kenya wamefunga mpaka wa kafa sahivi wanakula kibano kwa mungu

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@RubenMtuwaMungu-bz8ee 1 Wakorintho 15
      18 Na hapo wao nao waliolala katika
      Kristo wamepotea.
      19 Kama katika maisha haya tu
      tumemtumaini Kristo, sisi tu maskini
      kuliko watu wote.
      Biblia yenyewe inakwambia usimtumaini yesu

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt Год назад +2

    Ni maombi yangũ,Mũngũ akũĩnũe promover tv,tũkũone azam tv na ds tv.ũshũhũda ũwe masaa ishirini na nne.Mungu moyo wangũ ũ wazĩ naomba ũmũĩnũlĩe jacktanĩ watũ ĩkĩwemo na mimi pĩa ilĩ neno lako lisikike dũnĩanĩ,

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Год назад +4

    Beautiful Baby girl

  • @lovemajogolafia5839
    @lovemajogolafia5839 Год назад +1

    Hakika, palipo BWANA yote yanawezekana ninaisubiri siku yangu nitakayosimama na kushuhudia na mimi! 🙏

  • @gracewahu8741
    @gracewahu8741 Год назад +3

    Amen Amen kuna mungu mbinguni awezae yote 🙏🏽

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +1

    Amen utukufu kwa mungu shatani hameshitwe na kazi zake mbele ya mungu

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Год назад +2

    God bless you sister.Mwenyezi Mungu azidi kukutumia❤🎉

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 Год назад +1

    Amen Amen nimeokoka watching from Saudi Arabia from 🇰🇪

  • @florenceamagove4448
    @florenceamagove4448 Год назад +1

    Amen Amen Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu Kwa hushuda wako umenitia nguvu sana nilikuwa nimekata tamaa

  • @sarahkapange252
    @sarahkapange252 Год назад +1

    Ameni mtumishi

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Год назад +3

    Hallelujah 🙏🙌 GLORY TO GOD 🙏

  • @محمد46-ش6ك
    @محمد46-ش6ك Год назад +2

    Ameeen mungu hutoa njia pasipo njia

  • @josephenemuthuri5351
    @josephenemuthuri5351 Год назад

    Barikiwa sana mchungaji umenifunza uvumilivu❤❤❤

  • @kedricksiame6167
    @kedricksiame6167 Год назад +3

    Ameni

  • @edwinndyamukama8918
    @edwinndyamukama8918 Год назад

    AMEN,Jesus never fail, I have seen people receiving miracles. I have received miracles from Jesus. I believe hundred percent Jesus did for you. May God bless you

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Год назад +3

    AMEN 🙏

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp Год назад

    Amen ubarikiwe san mtumishi kwa ushuhuda mungu anaweza mungu akubarki san

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Год назад +3

    AMEN 🙏

  • @janekavesa8003
    @janekavesa8003 Год назад +1

    Amen na je mko na mchungaji Katekela? Karibuni Kenya, Mombasa mwaja lini.

  • @rerisamba
    @rerisamba Год назад

    Mungu ni mkuu kweli yani huo ulikua ni uchawi kweli mpaka Bwana akashuka akatoa vitu vilivyoko tumboni

  • @monicamafenyi8358
    @monicamafenyi8358 Год назад +2

    Ameen ,Ameen,ushuhuda huu ,unanikumbusha kuna kipindi niliwai katishwa tamaa na daktari ya kwamba sitawai pata mtoto tena ,lakini Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati ,nilipata kwa uweza wake.ahsante kwa ushuhuda.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      Wewe kidogo umeongea neno muweke mungu mbele yesu ni mtume wa mungu tena sisi hatuhusu kaletwa kwa wana Israel peke yake

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Год назад

      ​​@@alzawahirabdallah2299s up to you. We love Him we worship Him nothing will separate us from Jesus Christ. Jesus is God. Why people obeying the sinner Muhammad and reject the holy Jesus Christ!?

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@RubenMtuwaMungu-bz8ee pole sana usilolijua ni km usiku wa giza

  • @kanyinginjoroge
    @kanyinginjoroge Год назад

    Atukuzwe Bwana wetu YESU Kristo kwa kumponya mtumishi wake Magdalene Muringo.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      Mathayo 4
      10 Ndipo Yesu alipomwambia
      Nenda zako, Shetani; kwa maana
      imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu
      wako, umwabudu yeye peke yake.

  • @ElizabethJuma-e4z
    @ElizabethJuma-e4z Год назад

    Ameeen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @AdinethMartin
    @AdinethMartin Год назад +1

    Ubarikiwe sana mchungaji nimebarikiwa sana na huu ushuhuda

  • @apostlezizi
    @apostlezizi Год назад

    MUNGU ni mwema mno,mimi pia ni shuhuda wa haya

  • @coolwaveac7659
    @coolwaveac7659 Год назад +1

    amen hakika huu ushuuda umenitoa sehemu flani na kunivusha sehemu nyingine kitu kikubwa nilicho jifunza ni kuwa na Iman ya kuwa Mungu yupo pia anajibu maombi

  • @RosemaryManyaza-oc7te
    @RosemaryManyaza-oc7te Год назад

    Mungu ni mwema sana ushuhuda huu umenijenga

  • @ashambena6910
    @ashambena6910 Год назад

    Mungu ni mwema nisaidie nishinde

  • @backyardmultipleafricanveg791
    @backyardmultipleafricanveg791 Год назад

    yesu niguse na mimi mateso ya myaka mingi.

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Год назад

    Ameeeeeen

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 Год назад

    Hallelujah 🙌Yesu Kristo Anapenda makuu

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 Год назад +1

    Mungu akutende mema katika Jina la YESU

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 Год назад +1

    Mungu nimwema siku zote

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Год назад +2

    Amen

  • @evelyinipaja7022
    @evelyinipaja7022 Год назад +1

    Wow! Beautiful baby girl.

  • @jessemach4459
    @jessemach4459 Год назад +1

    Mrembo sana

  • @shaonapendeza5942
    @shaonapendeza5942 Год назад

    Amen🙏

  • @shaonapendeza5942
    @shaonapendeza5942 Год назад

    Amen🙏

  • @maicofidelix3549
    @maicofidelix3549 Год назад

    Amen

  • @nkombamuteni9151
    @nkombamuteni9151 Год назад

    Amen

  • @kanyinginjoroge
    @kanyinginjoroge Год назад

    YESU Kristo yu hai.

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Год назад +2

    Jina la YESU litukuzwe milele.. blessed Mama n promover tv.the power of testimony

  • @sallymo2674
    @sallymo2674 Год назад

    Amen WOG🙏🏽

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Год назад +1

    Powerful

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Год назад +1

    All Glory be to God

  • @naomisaronga6053
    @naomisaronga6053 Год назад

    Amen amen amen, asante Bwana Yesu kwa mkono wako usioshindwa

  • @xstn8
    @xstn8 Год назад

    Praise God praise God. Am in tears because I can relate with your testimony my son and husband have gone through this but our God is a healer. Jehovah Rapha is his name, mighty warrior he is.

  • @christalgrandberry9283
    @christalgrandberry9283 Год назад

    Amen-praise-the-lord❤❤

  • @bettywanjala5630
    @bettywanjala5630 Год назад +2

    Wow, Amen Amen, mungu nimwema,

  • @patrickkatana8823
    @patrickkatana8823 Год назад

    Glory to JESUS