Part3_USHUHUDA WA MCHAWI MSTAAFU WA SUMBAWANGA/ALISABABISHA MARADHI KWA UCHAWI WA MITI,DUA NA MAJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 63

  • @keziaranga6329
    @keziaranga6329 3 года назад +3

    Huu ushuhuda umenibariki sana, kuna nguvu ya ajabu katika damu Ya Yesu kristo,nikupongeze sana Joktan kwa kutuletea ushuhuda huu hakika roho nyingi zitakuja kwa yesu, Mungu akubariki mchungaji usiache kuwahubiria watu injili.

  • @pammymoraamoraa6702
    @pammymoraamoraa6702 3 года назад +4

    Give glory to God almighty mungu ndio mungu jana leo na milele, ,

  • @muhindokeukeu5503
    @muhindokeukeu5503 Год назад +1

    Asante kwa kukuokowa yesu Christo apewe sifa

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 года назад +2

    Jacktan nikwambie ubarikiwe sana sana,mm kitambo nilikuwa mkristo vugu vugu si moto si baridi lakini tangu nianze kufuatilia hii promover ndiyo niliokoka kanisa kabisa ile kutoangalia nyuma,kulia wala kushoto natazama mbele hata majaribu yawake moto,nimegundua dhambi ndiyo chanzo ya kurogwa hata kutumiwa majini,Jacktan nakupenda sana Mungu akubariki Dorcah Bonareri from Saudi Arabia

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад

      Asante sana Dorcah Nakupenda pia

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад

      Asante sana Dorcah Nakupenda pia

  • @myself4128
    @myself4128 3 года назад +2

    Yaani ndio maana Africa hatuendelei maaana Kuna maroho mabaya tupu yanatenda kazi katika ulimwengu wa roho,bila hata Sababu mtu anakuharibia tu maisha! Shetani amefanikiwa sana sababu ya umasikini na ujinga wetu weusi

    • @africandarling6925
      @africandarling6925 7 месяцев назад

      Mmhh ndugu sio kwl kusema watu weusi ndio wachawi au washilikina Apana ata hizo langi nyeupe ni watu wabaya bora ata sie wafrca ndugu tunayaona kwa macho na sio kuadisiwa

  • @evalynerwegasira7485
    @evalynerwegasira7485 3 года назад +3

    HONGERA KWA KUMPOKEA YESU.

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 3 года назад +1

    YESU KRISTO ni Nuru ya ulimwengu wote na ni BWANA na mwokozi

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 Год назад +1

    Amen hakika Yesu ni Mshindi

  • @vickiemerere4056
    @vickiemerere4056 3 года назад +2

    Hakuna uganga wala uchawi juu yangu na generation yangu kwa jina la Yesu... Hesabu 23:23

  • @wilsonmatunda4937
    @wilsonmatunda4937 3 года назад +1

    Nimejifunza mengi sana haswa uhusiano wa waganga wa kienyeji na wachawi. Kumbe ni marafiki sana! Waalaniwe kwa jina la Yesu Christo!

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 2 месяца назад

    Ushuhuda wa maana kabisa. Mch Leonard Mungu akupe furaha ya wokovu.
    Mtumishi Jaktan, ubarikiwe kwa kutuletea shuhuda halisi za namna hii. Mungu akulipe sawasawa na mapenzi yake.

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 2 месяца назад

    Yesu ni Ushindi. Yesu ni Uhuru. Asifiwe yeye aokoaye mataifa.

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 3 года назад +3

    Shetani ni mwongo,sasa mtumikie Mungu kwa nguvu na kwa roho yako yote 🇰🇪🙏🙏

  • @aimablendereyimana48
    @aimablendereyimana48 Год назад

    Habari zenu, Promover TV, mimi nilikuwa nataka kujuwa mafuta ya mtuu ni nini, tunajua mtuu ana damu, mkojo, mate, jasho, sasa mafuta ya mtuu ni nini?

  • @sarahjudahsarah1263
    @sarahjudahsarah1263 2 года назад +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @edinambaga776
    @edinambaga776 3 года назад +2

    Jactan mdogo wangu siku hizi unaalibu watu wanaeleza Sana uchawi kwa muda bila kusikia ukuu wa MUNGU je ktk uchawi ajawai kukutana na Alie okoka hata maswali Kama zamani akuna mpaka mwisho tutachoka tunafatilia kz yako kwakuwa unatujenga kiroho ushauli tu ili kazi ihende mbele hacha kuwa no mpiga pesa tu ila kutangaza ukuu wa MUNGU

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад

      Amen asante kwa ushauri.Maswali mengi zaidi yanakuwa mwisho wa ushuhuda kama wengi walivyoshauri.Hapo kwenye kwenye kupiga pesa sijaelewa kabisa ungefafanua labda.

    • @mahomamahoma775
      @mahomamahoma775 3 года назад +2

      Mm naona Jack Tan unavyofanya ni sahihi kabisa kuacha mtuu ajieleze kisha mwisho unauliza maswalii,hii inafanya mmzungumzajii awe huru kueleza kwa mtiririko mzuri

    • @justooluoch2468
      @justooluoch2468 3 года назад

      Ukiacha MTU aeleze maovu aliyoyafanya ndivyo anavyozidi kuwa huru..huu ndio ushuhuda.

  • @haikajohn7580
    @haikajohn7580 3 года назад +1

    Amen,yesu nibwana hakuna lisilowezeka kwake yeye aaminie.mungu akusaidie kuulinda wokovu huu uliyogharimu damu ya yesu iliyoyathamani sana

  • @riccahcate8126
    @riccahcate8126 3 года назад +1

    Waaaah!!! Natumai uliomba toba kamili kaka hii ni hatari hadi naingiwa na uwoga lakini nina imani Damu ya Yesu iko juu yetu tunaokusikiliza. Kipekee nakuombea toba kali na Damu ya Yesu inayo mwagika msalabani iikuoshe thabiti. Mungu akukumbuke na akuokoe kabisa usirudi Kule tena. Asante kaka Jactan

    • @nicksonmmbando9635
      @nicksonmmbando9635 2 года назад

      @@pastorleonarddionizi9333 Naomba Mawasiliano Kaka Mchungaji

  • @waithirahnaomy1573
    @waithirahnaomy1573 2 года назад +2

    Ameni amenii ubarikiwe na yesu

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 3 года назад +1

    Mafuta ya maiti yalipatikanaje mortuary?

  • @admerarobert3485
    @admerarobert3485 3 года назад +1

    YESU ndiye njia na kweli na uzima ubalikiwe Sana Mtumishi

  • @neemaduda4186
    @neemaduda4186 3 года назад +1

    Mungu ni mwema sana

  • @kmwendemusic5379
    @kmwendemusic5379 3 года назад +1

    Kweli Yesu mwema na mwenye rehema nyingi siku zote, 🙏Asante Yesu kwa kutoa damu yako msalabani itukomboe

  • @alinepascalin8777
    @alinepascalin8777 3 года назад +1

    Mungu ni mwema

  • @fredkyara3278
    @fredkyara3278 2 года назад +1

    Ahsante Yesu kwa damu yako msalabani

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 3 года назад +1

    Wacheni Mungu aitwe Mungu. Barikiwa sana Jacktan

  • @fefedordjuma7093
    @fefedordjuma7093 3 года назад

    Ameeeeeena Ameeeeeena 😭😭😭 nashukuru sana Mungu kuona nimezaliwa kwenye familia ya wokovu 😭😭😭😭😭😭😭😭 Asante Yahweh

  • @myself4128
    @myself4128 3 года назад +1

    Na je? Vita gani ya kiroho ulokutana nayo baada ya kuokoka???hukupambana na maroho (majini) ulokuwa ukiyamiliki?

  • @wilsonmatunda4937
    @wilsonmatunda4937 3 года назад +1

    Jackstan Msafiri Hoyeeeeeee!!

  • @eddasang9393
    @eddasang9393 3 года назад +1

    Weeueee hatariii

  • @myself4128
    @myself4128 3 года назад

    Hukuchoma mapembe na mahirizi yako??utaachaje uganga kwa kuutelekeza katika mji wa mtu?huoni umewaachia majanga? Yale mapepo yatamuingia mtu na bado yanamilki iyo nyumba,na pia kuhusu hirizi na mavitu ulomeza je uliyatapika ulipoombewa?? Manaake katika ushuhuda hujasema kama mapepo yalilipuka wakati wa Deliverence,

    • @truth7796
      @truth7796 3 года назад +1

      Next episode is coming i think he will tell us more about how he receive deliverence

    • @happyisack8469
      @happyisack8469 3 года назад

      Kaelezea vizuri sana aisee groly 2 God

  • @habari2558
    @habari2558 2 года назад +1

    Amen God is good

  • @dorisgesare7707
    @dorisgesare7707 Год назад +1

    Glory to God

  • @wilsonmatunda4937
    @wilsonmatunda4937 3 года назад +1

    Viva Promover TV!!

  • @hobokelajackson1947
    @hobokelajackson1947 3 года назад +1

    Bwana Yesu asifiwe sana🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @haikajohn7580
    @haikajohn7580 3 года назад +2

    Sasa? Ilehirizi ilikutokaje ile ulioimeza?

  • @rhodahsavayi5146
    @rhodahsavayi5146 2 года назад +1

    Glory to God

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 3 года назад

    Mungu ni mwema kila siku, kila saa

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 3 года назад

    Amen ,amen,what a testimony,I have learned alot.

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 3 года назад +1

    .😳😳😳.. Wickedness 😳😳😳😳

  • @josephomuto3240
    @josephomuto3240 2 года назад +1

    Daaaaaah! Ndugu Jaktan Msafiri, Mungu akibariki sana kwa kazi yako nzuri sana na ya kipekee. Kupitia channel hii, nimejifunza mambo mengi sana, sana, saaana.
    Mchungaji Leonardi, wewe ni wa baraka sana, ushuhuda wako umenijenga sana.

  • @benterawuor6950
    @benterawuor6950 3 года назад

    Hallelujah.