Part4_USHUHUDA WA MCHAWI MSTAAFU WA SUMBAWANGA/ALISABABISHA MARADHI KWA UCHAWI WA MITI,DUA NA MAJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 79

  • @elizabethauma2260
    @elizabethauma2260 3 года назад +5

    Mimi ni mkenya na nimebarikiwa sana na ushuda

  • @sarahmsangi7243
    @sarahmsangi7243 3 года назад +5

    Come on,ubarikiwe pastor

  • @eddasang9393
    @eddasang9393 3 года назад +5

    Nmejifunza mengi, blood of Jesus Christ of Nazareth inatosha Alleluia

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 3 года назад +2

    SHETANI hana adabu . Pepo mchafu alikutesa...lakini BWANA aliposema ndiyo hakuna aliyesema HAPANA..songa mbele na kazi ya Mungu Amen.

  • @irenengina233
    @irenengina233 3 года назад +3

    Hizo maswali ziko sawa na zimetutia nguvu kwa jawabu anazo kupa..Groly to God JESUS IS THE ANSWER!

  • @johnmkama8074
    @johnmkama8074 3 года назад +2

    Shuhuda hii imetoka rohoni mwa Huyo mtumishi kwa uzoefu anaouchungu wa matendo yakare aliyopitia huko nyuma huyo kweli ni mtumishi wa Mungu anauchungu na kazi ya Mungu na kusema ukweli makanisani tuna hitaji watu wanamna hii ili kuliponya kanisa inamana kwamba kule kanisani kwao hawana hata habari naye Mungu atusaidie sana hadi anatia uchungu analia Bwana Yesu kristo akurinde na kkubarikia amina

  • @haikajohn7580
    @haikajohn7580 3 года назад +4

    Kama aliyeweka zindiko keshaakufa waliyobaki wataliondoa vipi?

    • @pastorleonarddionizi9333
      @pastorleonarddionizi9333 3 года назад +2

      Ukijuwa lilipo tafuta watumishi wa Mungu watalichoma moto kwa maombi asante

    • @sarahmsangi7243
      @sarahmsangi7243 3 года назад

      " ili kuvunja agano moja lazima use umeokoka na upo na yesu vizuri,mbili unaitumia damu ya yesu kuvunja na kuharibu maagano ya kila namna,halafu tatu unawashirikisha na watumishi wa MUNGU kwa ppamoja mnakuwa mnafanya maombi mpaka kuvunja agano

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 3 года назад +3

    Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu wetu aliye hai katika jina la Yesu Kristo Mungu azidi kukupa ujasili

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 3 года назад +3

    Kaka jacktani!!! Hakika kazi unayofanya MUNGU atakulipa

  • @Star-qf7ls
    @Star-qf7ls 3 года назад +3

    You are a great man of God, please continue God will make a way for you and you will enjoy the goodness of God 🙏

  • @jacintamaingi843
    @jacintamaingi843 3 года назад +4

    Ndungu jactan umbarikiwe Sana na mungu,akika unatujenga kiimani Sana kipitia shuhuda,pastor Jesu akumbariki n azidi kukutumia Sana Sana ,I can see the true fellowship that you have with Jesus ,umeinua imani yangu kabisa,kamwe sita mwacha jesu🙏

  • @benterawuor6950
    @benterawuor6950 3 года назад +1

    Huyu pastor ameokoka ya ukweli,nimejifunza mengi sana kutoka kwake.

  • @naomimunanga6363
    @naomimunanga6363 3 года назад +3

    Yani nimewai sikiliza ushuuda mwingi, lakini hu nao niwakweli, yani postar nimekuelewa sana hakuna raha kwenye ulimwengu wa giza, kristo yesu ndio mambo yote. My God bls you, am from Kenya.

  • @riccahcate8126
    @riccahcate8126 3 года назад +3

    Mungu akukumbuke kaka ushuhuda huu umenifunza mambo mengi. Mungu akukumbuke

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 3 года назад +4

    What a joy, to be in the Lord,I have learned a lot,

  • @annajohn419
    @annajohn419 3 года назад +4

    Barikiwa mtumishi

  • @mishibaron5021
    @mishibaron5021 3 года назад +2

    Jila la yesu liinuliwe milele...barikiwa poster

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 года назад +1

    Pastor Leonard ubarikiwe sana sana,lakini uendelee kutombea nazi kenya 🇰🇪 waganga na wachawi wa kila haina waokoke hilo ndilo namwambia Mungu kila wkt,mbona sisi hakuna ushuhuda na wachawi wapo??😭😭😭

  • @violethbagila905
    @violethbagila905 3 года назад +2

    Hongera sana mtumishi wa Mungu nimebarikiwa Sana umenifunza mengi.

  • @Emmanuela_pius
    @Emmanuela_pius 3 года назад +2

    Asante kwa ushuhuda mzuri mtumishi wa Mungu

  • @irenengina233
    @irenengina233 3 года назад +2

    😀😀😀😀😀hii mashart yotee ni ya nn ama nihuyo mwenyeji asikae na raha..kweli shetani hana cha bure

  • @Berchmansngendakumana
    @Berchmansngendakumana 7 месяцев назад +1

    Yesu awabariki Burundi tunawasikiliza kila siku neema ya Mungu iwe nanyi

  • @Berchmansngendakumana
    @Berchmansngendakumana 7 месяцев назад +1

    Burundi tunawasikiliza kila siku neema ya bwana yesu kristo iwe nanyi ameeeen

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 3 года назад +1

    Mapepo wanataka usifanikiwe kwa sababu ukifanikiwa hutakuwa na muda nao.

  • @annndinda1224
    @annndinda1224 3 года назад +1

    Wacha Mungu aitwe Mungu....nimejifunza ujasiri na mamlaka katika wokovu ,Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu

  • @dkedjffkkldldksjekxkdshl7867
    @dkedjffkkldldksjekxkdshl7867 3 года назад +2

    Pole sana Kakayangu mungu nimwema yoooo

  • @redeemed5380
    @redeemed5380 3 года назад +4

    Hallelujah

  • @messikihongosi5290
    @messikihongosi5290 2 года назад +1

    Asante jactan maswari mazuri

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 3 года назад +1

    Wewe watu wasumbawanga

  • @edinambaga776
    @edinambaga776 3 года назад +1

    Leo nimekuelewa Sana mungu akubariki jackitani

  • @eunicemsigo9677
    @eunicemsigo9677 3 года назад

    Mimi hapa nimepata ufunuo
    Kwa hio minaeza kuamuru chochote
    Kama maji wewe sio maji ni damu ys yesu
    My hand now you not ardinarry hand you are a staff of moses.
    Thankyou jesus christ

  • @hekimazaustaadhmashaka9724
    @hekimazaustaadhmashaka9724 3 года назад +1

    Pia nahitaji namba yako mtumishi Jacktan

  • @racheljaphet6141
    @racheljaphet6141 3 года назад +1

    Ameokoka tayari Hilo jina kwenye title linatakiwa libadilike siyo mchawi mstaafu no!

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  3 года назад

      Asante kwa maoni,tunaomba na mapendekezo tuandikeje?

    • @Wahito67
      @Wahito67 2 года назад

      True

  • @mercykwame1436
    @mercykwame1436 2 года назад +2

    Bwana yesu asifiwe na hongera Sana🙏

  • @gregmifugotanzania1429
    @gregmifugotanzania1429 2 года назад +1

    Number zake za SIMU please

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 года назад

      ruclips.net/p/PLXTmPgeqbJ0k_kXzVjSKZuXF-6ZpAUGsk
      Amezitaja hapo, sehemu ya mwisho

  • @mahomamahoma775
    @mahomamahoma775 3 года назад +1

    Mifupa ya Albino na Mzungu wanaipataje?

  • @tabithajeremiah2657
    @tabithajeremiah2657 3 года назад +4

    .hongera kwa uamuzi mzuri ulioufanya .Mungu na akutumie kwa utukufu wake.

  • @jovinjones4777
    @jovinjones4777 3 года назад +2

    Ushuhuda huu utaokoa watu wengi. Ubarikiwe sana kwa jina jina la Yesu Kristu.

  • @yasintaraphael8334
    @yasintaraphael8334 3 года назад

    Asante YESU ubalikiwe mtumishi wa .MUNGU kwa shuhuda hii nimejifunza mengi

  • @salehlubunga1892
    @salehlubunga1892 3 года назад +1

    Ubarikiwe Mchungaji

  • @janeawino7798
    @janeawino7798 3 года назад

    Mungu azidi kupewa sifa na utukufu wote ni wake Jehova. Mtumishi Leonard Mungu azidi kukutumia kwa utukufu wake kwa kubadilisha maisha ya wengi waliopotea ubarikiwe sana.🙏🏿🙏🏿🙏🏿❤️

  • @joelmutie2149
    @joelmutie2149 Год назад

    Usilie MUNGU akulinde Sana

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 3 года назад +1

    Asante yesu kuja kutukomboa sisi, ona umemuokoa na huyu

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 3 года назад +1

    Aise!

  • @sharonwalubengo7628
    @sharonwalubengo7628 2 года назад

    Natamani sana kuokoka lakini sijui kama nitaweza wokovu, kila mara shuhuda hizi zina nipa motisha natamani yesu

    • @dorisgesare7707
      @dorisgesare7707 Год назад

      Utaweza kupitia damu ya yesu na jina la yesu

  • @stephenkajerelo3529
    @stephenkajerelo3529 3 года назад

    Pole Sana ndugu na hongera Sana Sana

  • @salehlubunga1892
    @salehlubunga1892 3 года назад +1

    Amina sana Mchungaji wangu

  • @hekimazaustaadhmashaka9724
    @hekimazaustaadhmashaka9724 3 года назад

    Naomba namba ya huyo bwana

  • @joelmutie2149
    @joelmutie2149 Год назад

    Pole

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 3 года назад

    Naam sahihi sana. Wanawake wana mtihani sana wa ushirikina na kwenda kwa waganga.

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 3 года назад +1

    Glory, to Jesus Christ.

  • @upendojimmy872
    @upendojimmy872 3 года назад

    Mungu wetu ni mkuu sanaa amen