JE KISHKI NDIO SULUHISHO KWENYE UKAFIRI WA HARMONIZE || MUHAMMAD BACHU || 19/4/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 янв 2025

Комментарии • 263

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 7 месяцев назад +6

    Wanamuziki mnajisahau sana, kumbukeni Allah yupo na mwisho baada ya maisha haya utaenda kuyajibu yote unayofanya!

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasir 8 месяцев назад +6

    Masha Allah.. umesema.kweli sheikh Muhammad Bachu.. tatizo kuu ni wapi mtoto wako unampeleka.kusoma.dini. wallahi kama ungelijua hata ule munakasha wa Barzanji, ungejua unaenda kufanya naye mjadala ni mpiga gita na vinanda..usingepoteza mdaa wako.

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 8 месяцев назад +10

    Maashallah, mwalimu wangu bachu, nakupenda kwa ajili ya allah.

  • @YusraynatAlly-mo7sq
    @YusraynatAlly-mo7sq 8 месяцев назад +16

    ALLAH(SW) atuhifadhi na atulinde na atuepushe na kufuru,,,,,,,,,,,,,,,mda upoo jamnani tutubuniii hakika Allah (sw) ni mwenye kusamehe,,,,,,,Allah (SW) atujaalie tupate mwisho mwema tuingie katika pepo ya firdaus amiiiin ya rabbi

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct 8 месяцев назад +7

    Muhammed bachu nafatilia sana mawaidha yako upo vizur si wote watokupenda ila wew bainisha haki Allah atakupenda hongera sana napenda mawaidha yako unazungumz vitu kwa dalili

  • @GoodluckPaul-wf9gn
    @GoodluckPaul-wf9gn 7 месяцев назад +2

    Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukupa umri mrefu wenye kheri na akujaalie mwisho mwema Inshaallah

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 8 месяцев назад +3

    Laahawl walaa quwwata illaa billaah!
    Kwakweli wazazi tunapaswa kua makini na kuchukua hatua stahiki kwa watoto wetu kupitia tukio hili.
    Pia Shekh Muhammaa kwakweli tunamuomba Allaah Azza Wajalla akupe umri mrefu wenye faida kwako na kwa ummah pia.
    Kwakweli umeongea vitu vya maana sana maashaa Allaah, wabaaraka Allaahu fiik.

  • @SaudaSeleman
    @SaudaSeleman 8 месяцев назад +3

    MashaAllah Allah akulipe kher shekh Bachu

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 8 месяцев назад +7

    Allah akulinde Mohammad bachu

  • @tz2014
    @tz2014 8 месяцев назад +3

    Allah azidi kuwahifadhi masheikh wote wenye kusimama katika haki kufundisha dini kama alivyofanya mtume, maswahaba na wema waliotangulia amiin.

  • @AllyJohn-u5c
    @AllyJohn-u5c 7 месяцев назад +1

    Shekh wangu Allah hakuifazi haku zidishie neema na baraka tele

  • @kizitofarid9414
    @kizitofarid9414 8 месяцев назад +1

    Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wangu na akuzidishie Elimu na ufaham zaidi na zaidi uzidi kuwafahamisha watu dini ipoje na sivyo wanavyofikiria Allah azidi kukufungulia ufaham wallah wataelewatu

  • @amuribazira9350
    @amuribazira9350 8 месяцев назад

    Shukran masheikh zetu kusimamia HAKI. Ila tusiumize vichwa vyetu,huyo msanii anasifa ya kuwa mfuasi wa sheitani. Anapo kufturu ndio naingia kwenye Ibada ya kisheitwani.
    Allah tunusurishe na huo upotevu.

  • @shaabansheehabdallah8770
    @shaabansheehabdallah8770 8 месяцев назад +3

    MAA SHAA ALLAH
    BarrakkAllah fiik. Ujumbe umetulia kabisa

  • @HussainMaula-tz8dh
    @HussainMaula-tz8dh 8 месяцев назад +5

    Shekhe muhamani bachu twakuombea kwa Allha akuhifazi shekhe wetu na akupe umri mrefu ili watu wazidi kuifahamu haki na kuikataa batili.

  • @SharafuAli
    @SharafuAli 7 месяцев назад

    Allah akulinde Insh Allah uzidi kutuilimisha nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 8 месяцев назад +2

    BACHU KAMA BACHU ALLAH AKULIPE KILA LENYE KHERI SHEKHE WETU

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy 8 месяцев назад

    Waarabu hao wapiga gita eeehh Allah atupe mwisho mwema. Sheikh Muhamad Allah akuhifadh😊itikadi sahihi ni yamuhimu yaa Allah tuongoze

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 8 месяцев назад +5

    Allah atunusur atuepushe na kufuru na atujaalie mwisho mwema in Shaa Allah

  • @barakoibrahim
    @barakoibrahim 8 месяцев назад +1

    Masha Allah Sheikh, nlikua natafuta mtu ka wewe wa kuwaambia Hawa watu was Lamu ukweli. Wallah kwa kweli nakushukuru kwa upande wangu ❤❤❤

  • @halimamohamed4842
    @halimamohamed4842 8 месяцев назад

    Shukrn sanaa sheekh Allah akuhifadhi❤❤upo sahihi,,watching from kenya🇰🇪🇰🇪

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct 8 месяцев назад +5

    Hata sis tumetoka madrasa hizi za maulid na mambo mengi ila namshkuru Allah sw kwa kuijuwa haki pamoja na familia yangu namshkuru Mola kwakuniepusha na batwil na kuijuwa haki

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 8 месяцев назад +6

    Mtihani wallai kijana Kaleft Group.. watu wanaomba mwisho mwema yeye Ndo anaharibu dakika za mwisho .. mungu amrejeshe kwenye akida .. maana wale wanaosema mungu ana mtoto mbingu zinatetemeka je kauli alotoa harmonize 😢

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm 7 месяцев назад

      Kweli atubue asijibaba ishe

  • @JahyAlnadhir
    @JahyAlnadhir 8 месяцев назад +2

    Mungu akubadilishe pua ya tumbiri

  • @FreePalestineoneummah
    @FreePalestineoneummah 7 месяцев назад

    Kukufuru kukubwa uliodhahiri, Subhanallah,hyo ni bangi

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct 8 месяцев назад

    Muhammed bachu unafiks ujumbe sana Allah akuhifadh ila kuns watu wanakukejeli ila siku zote ukizungumza ukwel utachukiwa madui watakuwa wengi ilw Allah sw atawaongo endelea kutubainishia haki

  • @KhalidHashim-y4n
    @KhalidHashim-y4n 3 месяца назад

    Na Mungu siyo kiumbe hapo mwijaku katufunga Mungu kama ilivyo hajulikani kama hajulikani ni nani ila ni Mungu tunamuona Mungu kupitia ishara zangu na tunamjua kupitia ishara hizo

  • @allysalimu338
    @allysalimu338 8 месяцев назад +1

    Allaah akuhifadhiii! Shekh bachu❤

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 8 месяцев назад +2

    Nikweli Sheikh wng lkn wkt mwngn tusiwalaumu tu Wazazi
    Kuna Familia Wazazi wao hufanya Bidii ya kila namna lkn mwsh wa sku mtt akakosa Elimu au akabadilika ukubwan
    Na kuna watt wengn hata hai Wazazi hawawajui-mfano mtt analelew na Mzazi 1 tu na mwsh wa sku mtt akawa mweye juhud ktk Dini....Wallahu Aa'alam

  • @DebalzacOmari
    @DebalzacOmari 8 месяцев назад +1

    Allah umuongoze kijana wetu

  • @HarunaKhamisi
    @HarunaKhamisi 6 месяцев назад

    Atakaefahamu atafahamu laa watu kama wapo kishabiki zaidi bac ila hao wsikuvunje nguvu fanya kazi allah atawajalia iposiku w atafahamu nn unamainisha

  • @JumaHamad-n4f
    @JumaHamad-n4f 8 месяцев назад +2

    Alhaa Akubariki na Akuepush fitin za duniya

  • @cityhuntermkali2468
    @cityhuntermkali2468 8 месяцев назад

    Muhammad bachu Allah akupe uhai mrefu tuendelee kunufaika na madini yako

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 8 месяцев назад

    Subbhanna Allah, mola amuongoze kijana huyo , arudi kuwa muislam safi , Hakika kakosea sana

  • @KomboHussein
    @KomboHussein 8 месяцев назад

    Allah akuhifadhi shekh Mohammad Bachu,

  • @ShamuniShamun
    @ShamuniShamun 6 месяцев назад

    Allah hakuifadh. Na kila baya

  • @bakarihote
    @bakarihote 8 месяцев назад

    Allah amlinde shekhe bachu 6:32

  • @slimdaszwagaza2202
    @slimdaszwagaza2202 8 месяцев назад

    Watching from ethiopia kenya border mashAllah sheikh mungu akujazie kheir na akuongoze kwa njia kamili ya Tawhid

    • @SaidAli-f6c
      @SaidAli-f6c 8 месяцев назад

      Sheikh huyo msaa nii jashakiri kama amemkosea Allah

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 8 месяцев назад +1

    Muombeeni Duah!!❤

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 6 месяцев назад

    Amefanyaa makosa makubwa mungu ampea mazingatio atubiea AMEEN YA RABII

  • @omarmwabege
    @omarmwabege 8 месяцев назад +1

    Maa shaa Allah,أحبك في الله يا أخي

  • @ArunaDjumapili
    @ArunaDjumapili 8 месяцев назад

    Mwenyezi Mungu asamehe na amuongoze

  • @NaimaMm-d3k
    @NaimaMm-d3k 8 месяцев назад +1

    Shekha Allah akulipe nimekuelewa

  • @leilakhamis983
    @leilakhamis983 8 месяцев назад

    Muhammad bachu Allah akuhifaz aamin

  • @AdamhassanSheikh
    @AdamhassanSheikh 8 месяцев назад

    Asc ,,,Maa,SHaa,Allah,,Allahuma,Ahfith,,kullu Sheikh,,Allmusliiin☝️👍

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 8 месяцев назад +5

    Naukiangalia. Wanamuziki wote wametokea madrasa za madufu. Mtiihani. Allah atuongoze hawamashehe ubwabwa mtuhani.madufuni muzikitu .. zambi zilezile

    • @mzalendohasa
      @mzalendohasa 8 месяцев назад

      Kwa hiyo na wanaziki wanao imba nyimbo zinazo itwa nashidi wametoka kwenye madrasa za dufu tuache chuki zisizo za maana ndugu

    • @cityhuntermkali2468
      @cityhuntermkali2468 8 месяцев назад

      ​@@mzalendohasahuo ukweli wala hakuna mjadala

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 месяцев назад

      @@mzalendohasa kwani anashidi ni halali zone ni bidaa sugu hizo hazitakiwi ni walewaletu

  • @HamisMtonnya
    @HamisMtonnya 7 месяцев назад

    Maneno ya kweli kabisa ,mashaallah

  • @SeaPower-pu1mq
    @SeaPower-pu1mq 8 месяцев назад +1

    Upo Sahihi shekh langu

  • @JumaMdiesa
    @JumaMdiesa 7 месяцев назад

    Ndo mana Allah kasema tusimfikirie san yupoje tutamkufuru ndo hivy sasa

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 8 месяцев назад +1

    Barakh Allah Kher sheikh

  • @kheirjuma931
    @kheirjuma931 8 месяцев назад

    Uko vyema sheh masha allah

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu 8 месяцев назад

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @SbOm-b7k
    @SbOm-b7k 8 месяцев назад

    Alhamdulillah, umetufunza na nimepata kitu kupitia video yako hii, Alhamdulillah

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 7 месяцев назад

    Allah ti abençoe irmao insha-Allah 🙏

  • @sarahabdullatif8556
    @sarahabdullatif8556 8 месяцев назад

    Mungu hapiganiwi kwa Yesu Raha anajuwa sio mungu wa kweli ndio mana anafanya hivyo hebu hayo naayafanye kwa Yesu

    • @mohamedlali4229
      @mohamedlali4229 8 месяцев назад

      1 Samweli. 15: 2-3 soma humo utaona kama Mungu wako anataka apiganiwe au vipi

  • @safiaMsellem
    @safiaMsellem 7 месяцев назад

    Mashallah shekh

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 8 месяцев назад +1

    Muhammad bachu ❤❤❤

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 8 месяцев назад +2

    Masha Allah

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 8 месяцев назад

    Mm ningefurah ungemwita ukammkanya 🤝

  • @ali_ford
    @ali_ford 8 месяцев назад

    Mungu=miungu shirki
    Mwenyezimungu sahihi

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 8 месяцев назад

    Shukran Sheikh wangu

  • @abdulkadirhaji3947
    @abdulkadirhaji3947 8 месяцев назад +1

    Shk Mohamed bachu uko miskiti gani nataka kuja kusikiliza kudba zako wallahi kwajili ya allah

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 8 месяцев назад

      Hua yuko Migadini sana sana,

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 8 месяцев назад +1

      ​@@habibasalim3092upo Kenya?

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 8 месяцев назад

      @@tztanzania2262 yes

    • @abuubakaramer7782
      @abuubakaramer7782 8 месяцев назад

      kwani zanzibar hayupo tena au

    • @musakibindo6345
      @musakibindo6345 8 месяцев назад

      Mmojawapo ya watu ambao haifai kuchukuliwa dini kwao ni wewe. Maana unatumia nguvu nyingi, siasa nyingi na propaganda tele kuwanasa, na kuwavuta watu upande wako. Hivi siku zote hamjawahi kuuona dharura ya kuwazungumzia wanamziki ambao ni waislamu waache kuimba mziki wa kishaitwan. Nyinyi Mashekhe mchongo bin propaganda Allah anawaona. Yaani siku zote Harmonize alikuwa mwema mpaka hivi majuzi ndio akaanza kufru hapo mbeleni hakuwa na kufru yoyote? Mungu anawaona.

  • @LivelLonger
    @LivelLonger 8 месяцев назад

    Mashallah , mawaidha mazuri

  • @Saidally-ih6jd
    @Saidally-ih6jd 8 месяцев назад

    Allah amuongoze

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi 8 месяцев назад +3

    Mashallah mashallah,,shekh,,,pia nurudin kishik Allah amlipe,,kwaa Kaz nzr yake,, anayoyafanya kwenye din hi Allah amlipe,,popote alpo

    • @yusufathman2478
      @yusufathman2478 8 месяцев назад

      Aaaamin..
      Nampenda sheikh kishki kwa ajili ya Allah

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 8 месяцев назад

      Aamiin

    • @amrikimbede
      @amrikimbede 8 месяцев назад

      Na mimi pia nampenda Sheikh Nurdin Kishki kwa ajili ya ALLAH

  • @sofiaadamugi1650
    @sofiaadamugi1650 5 месяцев назад

    Subhanaallah,porque tanto shirk😢

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 8 месяцев назад +3

    Wanamiziki wa east Africa wanaodai kuwa ni waislamu wote ni wanafunzi wa masufi, masufi hufundishwa uimbaji kuanzia madrasa.

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 8 месяцев назад +1

      Ndio maana wengi masufi hupenda migoma

    • @mbarakomarmbarak5863
      @mbarakomarmbarak5863 8 месяцев назад

      bachu alishindwa kwa elimu si kwa Gita

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 8 месяцев назад

      Acha zako Sikiliza yalio hapa uyafuate acha kusema watu bila ⁷bu et masufi kule madrsa hawafundishwi mzik bali kumsifu Allah na Mtume wake

    • @faisalmohamed727
      @faisalmohamed727 8 месяцев назад

      @@jamilashabani8580 Ulionapi mtu wa sunnah muwaitao (mawahabi) kiwa mwanamziki au mpiga ramli mganga? Hao hupatikana kwa masufi tuu, waganga wapiga ramli waimbaji na wanaoabudu masharifu na makaburi yao.

  • @allysalimu338
    @allysalimu338 8 месяцев назад

    Kwahaki ulionayonna unayo wapa watu sikilq mmoja atakupenda wako wenye husdaa ilaa toa haq sheikh wangu mpka itapokufika yakin😢

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 7 месяцев назад

    TAFADHALINI MASHEKHE NAWAOMBA MUNATOKA KATIKA MALENGO YA DINI WAKATI TULIONAO SASA NIKUWAOKOWA UMMAH NA MOTO WA ALLAH AWE MUHUNI MCHAWI MZINZI MALAYA NAWENGINEO ZAMA ZILISEMWA ELIMU WASOMI KUTAKA UMARUFU NA SIFA SIO KULINGANIYA WATU WAIPENDE NAKUINGIA KWA DINI SHETANI AMEWAZIDI NGUVU DIAMOND KONDE BOY NA ALI KIBA SABABU YA MAISHA NA ANASA MASHEKHE HAMTUMII HEKMA YA QURAN NA HADITH ALLAH AWAPE TAWFIQ WARUDI KWA MUONGOZO KUMBUKA WANAMUZIKI WANAFILM WACHEZA MIPIRA WANATUMIYA KUANGAMIZA JAMII NA MWISHO WAKICHOKA WANAULIWA MFANO MINGI BOB MARLEY WHITENY HOUSTON CELINE DEON NAWENGI MAMBO YAKO WAZI SHUKRAN

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 8 месяцев назад

    Walahawla walaquwwata illa-billaah, inakuwaje wazungu sasa hivi wanaukumbatia uislamu wakiwemo ma priests, khasara hii ya harmonize

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 8 месяцев назад

    Allah akulinde

  • @SwahibAjamy
    @SwahibAjamy 8 месяцев назад

    Jivute kwa Allah upate radhi za Allah

  • @ZulfahMuhammad
    @ZulfahMuhammad 8 месяцев назад

    Bangi ni mbaya kwakweli 😢😢😢
    Allaah azidi kutuongoza kwa Neema zake sababu huyu ni msiba mkumbwa sana kufuru kama hiii Daah

  • @hajiamiri1658
    @hajiamiri1658 8 месяцев назад

    Jazaakhallah kher

  • @UlamaaWaUlamaa
    @UlamaaWaUlamaa 8 месяцев назад

    Mashallah huyu namfuatilia yeye na baba yake Shekh Nassoro Bachu

  • @AbdillahHabib-c9z
    @AbdillahHabib-c9z 8 месяцев назад

    Ni kosa mpiga gita kumwita sheikh.

  • @kassimsalim6160
    @kassimsalim6160 8 месяцев назад

    سبحان الله الله أكبر 😭😭😭😭💔💔💔 الله المستعان والله العظيم 🤲😭💔

  • @AbdurkarimMzeedone
    @AbdurkarimMzeedone 8 месяцев назад

    Shekh nauwakika wengi wanachukia mawaidha yako2 lakin wengi wanapenda mawaidha yako ila mungu akipende zaid akulipe janna insha Allah

  • @mwaminianasi
    @mwaminianasi 8 месяцев назад

    Allah akuhifadhi , akupe Umri mrefu wenye kheiri na Barka 🤲

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 8 месяцев назад +2

    Masufi wapiga madufu mtihani. Allah atuongoze atujaalie mwishomwema atuepushe na shilki

    • @MWAMBAZanzibar
      @MWAMBAZanzibar 8 месяцев назад

      Wao ndio wanao sema hivyo ?

    • @HarunaRugusha
      @HarunaRugusha 8 месяцев назад

      Tatizo vijana kashfa nyingi kwa walimu wa mwanzo fanyeni subra kwani Wew unapata fursa ya kumjua bachu kuna wengine ata kanzu hawaijui acheni zalau kwa ndugu zenu

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 8 месяцев назад

      @@HarunaRugusha kwani kanxu ndiyo kujia Dini. aundiyo. Kufata haki kanxu mavazitu

  • @IdrisaHamad-w1b
    @IdrisaHamad-w1b 6 месяцев назад

    Dj said mwalim mkuu wa madrasa

    • @SuolFat
      @SuolFat 6 месяцев назад

      Acha chuki

  • @SalehKhatib-ey6ct
    @SalehKhatib-ey6ct 8 месяцев назад

    Bachu endelea kusambaza dawa sisi tunakupenda kwa ajili ya Allah endelea kuwanyoshaa na waepukane na batili waje kwenye haki inshaallah Allah atawajalia kuijuwa haki

  • @AbdalahAlly-nc8xs
    @AbdalahAlly-nc8xs 8 месяцев назад

    Kijana wape hao alllaah anapenda watu kama hao

  • @YossofShamal
    @YossofShamal 3 месяца назад

    Mashaalaa

  • @issambamba9236
    @issambamba9236 8 месяцев назад

    Kiukweli hakuna mwenye kumjua Allah kiuhakika ya dhati yake,kikubwatu tuamini uwepo wa Mungu muumbaji wetu.

  • @LivelLonger
    @LivelLonger 8 месяцев назад

    Subhanallah! Hawo wenye wako kwenye makaburi na dufu ni wapi? Msiba

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 8 месяцев назад +1

    Alaaaa dj said bwana

  • @anthonykariuki2438
    @anthonykariuki2438 7 месяцев назад

    Ali iga hayo maneno kutoka kwa mwanamuziki mwenye asili ya kimarekani anayejulikana kama Shaggy katika ule wimbo wake strength of a woman.

  • @HusseinMussa-t7u
    @HusseinMussa-t7u 8 месяцев назад +1

    Harmonize laanatullah

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe 8 месяцев назад +2

    shekh bachu natka unipe dalili ya uharamu wa kuomba dua ya pamoja baada ya swala ya faradh

    • @amourshadhil2005
      @amourshadhil2005 8 месяцев назад +1

      Suala zuri. Cku akikujibu na mm tafadhali nitumie hata inbox

    • @rafiimkufya1173
      @rafiimkufya1173 8 месяцев назад +1

      Hakuna uharamu wowote sema mtume hajafundsha hvyo na mtume ndio kiigzo chetu kwenye kila jambo la dini

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 8 месяцев назад

      MTUME HAKUFANYA HILO JAMBO SHEKHE

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 8 месяцев назад

      @@niffonlinetz7214 sawa mwalimu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 8 месяцев назад

    Kitu cha kwanza ninachompendea bachu simnafiki na haogopi kuchukiwa kwa ajili ya allahh

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 8 месяцев назад

    Kwa wenyw akili watafahamu hongera😊

  • @bashishimrisa
    @bashishimrisa 8 месяцев назад

    man was created from the dust and in the dust you will return

  • @husseinmongolare3417
    @husseinmongolare3417 8 месяцев назад

    Shukran

  • @AthumaniSwarehe-tj8sf
    @AthumaniSwarehe-tj8sf 8 месяцев назад

    Yaarabi tupe mwisho mwema

  • @ThabitisalumJuma-o9l
    @ThabitisalumJuma-o9l 29 дней назад

    Ah ujue kuna mambo ni mtihani sana tena ni mazito sana kuyafanya katika dini japokua tuanayaona wanayafanya baadhi ya mashekh
    Mfano kama hilo la kupiga dufu makaburini na kulia makaburini

  • @MuhammadRasuulllahi
    @MuhammadRasuulllahi 8 месяцев назад

    Subhaanallah

  • @Mswahili-12
    @Mswahili-12 8 месяцев назад

    Huyu angelikuwa huku Saudi Arabia bila shaka angelishachinjwa mapema sana, ila kwa Tanzania hatofanywa chochote na yeyote atakayejitokeza kumfanya chochote kwenye mwili wake atafungwa,
    Cha kufanya basi TUMSH'TAKIE KWA ALLAH.

  • @HashimOmaro-s3p
    @HashimOmaro-s3p 4 месяца назад

    AsamuAlyim

  • @RichardLibuma
    @RichardLibuma 8 месяцев назад

    Kwa maana hii basi ata kwenda hija maka pia ni upuuzi katika uislamu, kwa sababu wanokwenda kule ni kwenda kudhulu kaburi pale maka. Ndugu Zangu waislam tutafute ukweli sisi wenyewe tusipelekwe kama bendera inavyopelekwa na upepo.