@Muhammad Nassor bachu kama Utaona ujumbe huu Al Akhy sheikh wangu Naomba utoe darasa kuhusu Ibada ya swala na ilivothibiti swala zetu mtihani sheikh naomba Utuandalie darasa la kujua mambo ya swala na dhikir zake mpka swala inaisha Darasa ya swala sheikh allah akuhifadhi sheikh atuhifadhi na sisi piah 🙏🤲🤲
Natumai Sheikh Mziwanda atakuwa amekufahamu vyema na wale wengine wote waliokuwa wakifata msimamo wake kwa kuburuzwa, watakuwa wameelimika na kuifahamu hoja hii na wataweza kuieneza na kuitetea kwa nuru yake Allah Subhaanahu wa Taala. Allah akuzidishie elimu, maarifa na nguvu za kuupeleka mbele Uislamu.
Wallaahi napata raha sana Shekh Muhammad unapo fanya raddi kwa wazushi, kwa sbb wewe hukurupuki tu kama wanavyo kurupuka wao, wewe ni mtafiti na mpekuzi na mfatiliaji makini kwenye mambo ya kielimu kabla huja ongea. Maashaa Allaah.
Jazaaka llaahu kheir sheikh,Kwa HAKIKA tumekuelewa sana Kwa darsa LAKO,NAAMINI HATA watu wa BID'AA wameelewa ila Kwa SABABU WANAFANYA Dini kama sehemu Yao ya KUTEKELEZA MASILAHI YAO ya KIMAISHA watazidi kupinga tu
M Mungu akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu,kwa hakika unaelimisha vizuri sana sana,tena kwa lugha fasaha yenye kueleweka.M Mungu azidi kukupandisha darja wa darja
na wewe una uliza nini ambacho hujaelewa?😂😂😂 huu wa leo ni mwiba mkali sana umewachoma MAKHURAFI NA WATU WA MAULIDI😂😂😂 "eti unasema nini" 😅😅@@shadhilmakame
Kwa uelewa wako na kiwango cha elimu yako utaona unamuelewa ila sisi wengine tunamshukuru allah tunaweza kumjua anaepiga kelele na anaeongea kwa kiwango
@@imamushafiiforgoodislamict5420 vizul pia usiache kumuomba mungu akonyeshe njia sasa hii ya kumuabudu yeye.. Useje ukafika mbele ya m/mungu hiyo elmu yako na ibada zako zikawa vumbe tu...
Wewe unamuona Bachu ni mdogo kwa umri ,lakini elimu haiangalii udogo wa umri wala ukubwa , inategemea zaidi uwezo wako wa kuzingatia mambo katika kufundishwa na upeo wa ufahamu Mungu aliokunalia.
So shabiki DINI sio mpira sawa brooo "Huyo ni mwalimu wetu" sema "ww ni mwalimu wetu mzuri" Au "mm ni mwanafunzi wako namba moja" Au vyovyote vile ila usitumie shabiki asante safi sana mtu wa mwenendo kama wakwangu,, thanks🎉🎉🎉
Naomba MASHABIKI mniulizi kwa mwalimu wenu. Adhana ya kwanza ya swala ya ijumaa sio amri ya ALLAH SW wala hakusema Mtume saw. JEE SIO KHERI KWETU WALA IBADA KWASABABU MTUME SAW ALIIWACHA HAKUTUFUNZA AU MWENYEZI MUNGU SW NA MTUME WAKE HAWAKUKUMBUKA HILI MAANA ZAMA ZA MTUME SAW HAIKUWEPO?. NAOMBA JAWABU SIO MANONGWA
@@hilalalhabsi2047 MTUME ﷺ ANASEMA LAZIMIANENI NA SUNNA YANGU NA SUNNA ZA MAKHALIFA WAONGOFU : (01)ABUU BAKRI (02) UMAR (03)UTHMAAN/AMBAE ALIAMRISHA IADHINIWE ADHANA YA KWANZA SIKU YA IJUMAA (04) ALLY رضي الله عنهم
Bachu yupo anaburuza mbumbumbu wenzake. SUALI LA BACHU. 1) KAMA MAULID NI IBADA KWANINI HAJAYAAMRISHA ALLAH SW AU ALIKUWA HAJUI? 2) KAMA MTUME SAW AMETAKA ASHEHEREKEWE (AFURAHIWE) KWANINI HAKUAMRISHA MASWAHABA WAKE AU MTUME SAW HAKUJUA HIO IBADA?. JAWABU. KWASABABU KHERI YAFAA KUFANYA. SUALI LANGU, NO 1) KAMA ADHANA YA KWANZA YA SWALA YA IJUMAA NI IBADA KWANINI ALLAH SW HAKUAMRISHA AU ALIKUWA HAJUI KUWA WATU WATAONGEZEKA? 2) KAMA ADHANA YA KWANZA NI IBADA KWANI MTUME SAW ALISAHAU HATA HAKUWAITA MASWAHABA AKAWAKUSANYA DARSA AKAWAFUNZA KUWA IJUMAA NI ADHANA MBILI?. KAMA KESI NI MTUME HAKUFANYA NA ALLAH SW HAKUAMRISHA, JEE KWANINI MNACHAGUA KUYATUKANA YALE YA KUMPENDA MTUME SAW NA MAWALII?. HIVI BILA KUMPENDA MTUME SAW NA WAJA WEMA, HIO DINI INAFAIDA GANI KWAKO WEWE BACHU?
@@hilalalhabsi2047shida kibur na kujua sna unazungumzia azana wakat mtume (saw) alikuwepo yy ndio alikua anahaki ya kusema hili linafaa hili halifai ss yy mtume (saw) aka funga kwa kusema dini ss imekamilika kisiongezeke kitu wala kisipunguzwe kitu ss kinamziwanda wao ninani waliotuengezea ibada yy sio swahaba wala sio mtume vyenginevo kitabu na sunna ndio alivotuambia mtume (saw) tukisema tufate mawazo atamm naweza nikasema kwaumma ulivo na maasi tuengezen swala badala ya 5 ziwe 6 je ilo nikosa kwa jili ya Allah?
MAAA SHAAA ALLLAAAH SHUKRAN SANA BAARAKA LLAAHU FIYKA ILA ULIUDHI SIKU ULOKUJA TANGA UKASEMA KILLA ANAEMCHUKIA SHEIKH FLANI WA TANGA AFE NGUVU ZA KIUMI ULINIUDHI SANA ILA HUMJUI NDIO MAANA UKASEMA HIVYO.
Kingine wanapiga kelele eti ni mtoto mdogo hawajui kwamba elmu haina utoto waweza kuwa mkubwa halafu hamna kitu kwan Ibn Abbas Allah amwie radhi alkua na elimu kubwa yeye ndo alikua mkubwa sana mbele ya maswahaba! Watu hawataki kukubali ukweli
@@darajanida Nani kutukanwa. Au kumuambia mjinga kua unachokifanya ni cha kijinga sasa acha kufanya mambo ya kijahili ili uonekane mtu safi kisha mjinga huyo akaendelea kufanya ujinga wake sasa mimi nikimuita mjinga nakua nimemuita kwa sifa yake au nimemtukana. Acha Ujaahili alafu ukiitwa jaahili ndo ulalamike. Huna hoja isipokuwa ni kutetea ujinga sasa kwa usalama wako ukiendelea kutetea ujinga na wewe utakua katika wao. Maneno ya mtume ni kwamba ukijifananisha na watu na wewe ni ni katika wao
Mashaallah, Umepewa kipawa kikubwa sana cha kufanya Ufafanuzi na kum Raddi mtu mpaka anakuelewa japo Kumtoa mtu ambaye amepata mafanikio yake na Kufahamika kwake kumetoakana na Maulid ni ngumu sana ila kwa Taufiq ya Allah tu
nimejifunza kitu kua shaikh bachu حفظك الله ورعاك HII RADDI umeiandaa ukiwa umemuomba ALLAH akupe ufasaha na kueleweka kwa watu ndo mana umeweka bayana amabyo mtu yeyote wa MAULIDI na BIDAA akiskia basi ataacha bidaa na maulid ila naamini pia wapo WAZUSHI watasema 🗣️🗣️🗣️🗣️ BACHU HUNA ELIMU NENDA KASOME 😂😂 ( pumbaaaav sana atakae sema hivyo), ✍️✍️✍️ila nimalize kusema kua hii RADDI ya leo imempiga vibaya sana MAWLANA WETU MZIWANDA, sjui kama atapona(Allah amuongoze) NB 🔴 shaikh bachu, ALLAH AKUHIFADHI kwani wewe ni katika wale wanaofanya operation safisha jiji liwe safi 🏝️🏝️🏝️ بارك الله فيك وعلى والديك، وعلم "إنتَنصُرُو الله يَنصُركم ويُثَبِّت أقْدَامَكُم"🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️
Shehe wangu Allah Akulinde na husuda Natamani mwanangu Asome kwako ndio itakua kitu cha samanj na bahat aje kuelimisha watu shehe uko mjin hakika vivijin uku tuliko sis tuko mtupu watu wanakumbatia bidaa nakufanya kua ibada wakidai watapata malipo Shehe la mwisho mim mkulima mwanangu nataka asome elimu yenye manufaa nitalipia galama itayo kuwepo anamiaka 5 mim ndoto ya mwanangu ajekuwafundisha haki
Wallah huyu sheikh wanamchukia tu kwa maslahi yao binafsi ila anayoongea ni facts tupu na ana dalili za kutosha.Allah akulipe ujira mwema sheikh Muhammad Nassor Bachu.
Bibi Aisha mke wa Mtume aliishi muda mrefu baada ya mtume kufariki lakini hakuwahi kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume je alikuwa hampendi Mtume je alikuwa hajui kuwa kuna ibada ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ? Hapana bali Bibi Aisha alitambua kuwa hakuna ibada ktk uislamu inayoitwa maulidi ya Mtume.
Mm sina ninacho kupinga ila uwislamu tunapowelekeza tunaufaya km timu za mpira ni hatari sana na ndo mana kila kukicha tunapigwa vita na wala hatusemi lolte tunatukanana wenye kwa weye tusipo amka tukawa sisi tunajitoa kwa ajil ya din kwenda sehemu tofaut kuisambaza dini basi tujue tutabeba zima kubwa km huwuwelewan walimu wetu tafuteni njia ya kuitana muwekane sw mana siai tunawapenda kwa ajil ya allah na sijengine
Mziwanda nampenda kitu kimoja huwa akipata dalili sawa sawa harudishii kwa kibri sijamuona na hilo na sidhan kama inafikia matamanio namuomba Allah amuongoze nasi atuongoze maana ni mujtahid japo yupo na watu wengine sio.
Sheih Mzwanda Allah amuongize na atuongoze na sisi na sioni kuna haja ya kumlaumu maana makosa ni waalimu alosoma kwao kuna ike misingi ya elimu ila anapenda kheri baki mazingira na elimu ya mwanzo alikopatia. Allah atunusuru na atuongoze maana ni hatari sana maneno haya na dini sio akili ya mtu kabisa akili inafuata sana matamanio (Unahokipenda ndicho akili itakupeleka) na akili zatofautiana na akili ya binaadam ni kitu dhaif sana
Kama Kuna aya inayokataza kutaja na kumsifu mungu na mtume Muhammad s.a.w ndiyo bidaa inaingia vinginevyo ukisema hasara ya ghalama za sadaka utaeleweka
Bada hajajuw vigawanywo vya ibada bachu anay kuxukuma tunazid kufahamuudhaifu wako ustadh kusoma xi kilimo cha miyez3 alaf xoma kama kulivo andikwa hauna amana ya elimu xom vizuri
Maulid si ibada ila ni mashairi tu lkn ni mashairi ambayo yanamtaja Mtume (s.a.w) kwa mujibu wa hadithi ya Mtume anapotajwa aswalie hapa ibada ni kumswalia mtume sh. Bachu
Langu ni nasiha kwenu: Sura Ar Rum: 28-37 Lakini nitagusia tu aya 32 من الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا كل حزب بما لديهم فرحون. Jama rudini kwa Qur'an badala ya vitabu vyenu أفلم يدبروا القول أم جأهم ما لم يأت أبأهم الاولين
Shkh mimi nakuuliza mtume alihutubu hutba ya ijumaa kwa lugha ngapi je ipilugha inofaa kuhutubu je kiswahili kimepokewa na nani katika hadith zamtume sahaba au
Bachu huna Kazi ya kufanya. Toa andiko ktk Quran au hadithi inayoonesha kwamba mtu akisoma maulid anaenda Motoni. Kusoma Maulid ni kitu kisichoepukika Kwa Waumini wa kweli. Tumswalieni Mtume Muhammad! "Allah hummaswali wasalim wabaarika alyh."
Nawe toa katka hadithi au aya kuwa bangi ukivuta unaenda motoni. Wacheni ushabiki dini haiendi kama unavyotaka wewe na vitu vipo wazi Aya yasema "Nani alodhalimu kamaamsingiziaye Allah uongo ..." Na kusemamaulid ni ibada ni kumsingizia Allah aliposema kuwa dini haijakamilika na Alllah asema "Leo nimeikamilisha dini yenu...." maulid ni bidaa uzushi wa kishia na maulid ni bidaa na kila bidaa ni upotevu na kila upotevu ni katka moto
Wewe umerongwa nanani kijana mungu Ashakuambia yeye Allah Anamswalia mtume Akatufundisha na sisi sasa wewe mwehu ulitaka .mtume Aseme nini tena mkundu wako sana
Sheikh ukweli wanajua kuwa wanalo lifanya halifai sema wanashindwa kubacha sasabu hizo siku wanakusanya mapesa mengi. Huo mwenye kinanda sini yule alo chaguliwa kuitetea Barzanji 😅 hadi 🎂 jamani😅
@Muhammad Nassor bachu kama Utaona ujumbe huu Al Akhy sheikh wangu Naomba utoe darasa kuhusu Ibada ya swala na ilivothibiti swala zetu mtihani sheikh naomba Utuandalie darasa la kujua mambo ya swala na dhikir zake mpka swala inaisha Darasa ya swala sheikh allah akuhifadhi sheikh atuhifadhi na sisi piah 🙏🤲🤲
Swala pia inakushinda loh
@@aminahassani-jh5rp tunahitaji faida kila mtu na upungufu wake ww ukijua mshukuru Allah amekupa tawfiq yakufahamu swala
Natumai Sheikh Mziwanda atakuwa amekufahamu vyema na wale wengine wote waliokuwa wakifata msimamo wake kwa kuburuzwa, watakuwa wameelimika na kuifahamu hoja hii na wataweza kuieneza na kuitetea kwa nuru yake Allah Subhaanahu wa Taala. Allah akuzidishie elimu, maarifa na nguvu za kuupeleka mbele Uislamu.
Wallaahi napata raha sana Shekh Muhammad unapo fanya raddi kwa wazushi, kwa sbb wewe hukurupuki tu kama wanavyo kurupuka wao, wewe ni mtafiti na mpekuzi na mfatiliaji makini kwenye mambo ya kielimu kabla huja ongea.
Maashaa Allaah.
Jazaaka llaahu kheir sheikh,Kwa HAKIKA tumekuelewa sana Kwa darsa LAKO,NAAMINI HATA watu wa BID'AA wameelewa ila Kwa SABABU WANAFANYA Dini kama sehemu Yao ya KUTEKELEZA MASILAHI YAO ya KIMAISHA watazidi kupinga tu
Shukran Sheikh wetu Mungu akupe umri wa Barka
Allah akuekee katika mizan ya hasanaat yako...cc tullabu ilmin twanufaika sanaa na kufunza wengine
M Mungu akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu,kwa hakika unaelimisha vizuri sana sana,tena kwa lugha fasaha yenye kueleweka.M Mungu azidi kukupandisha darja wa darja
Barakallah unajua sana abu muhaddith yani kwa furaha hadi nimeshindwa kujizuia kukoment kwakweli hongera ibnu bachu.
ALLAHU akupe umri mrefu nanguvu yakuendelea kutu elimisha
MaashaAllah tabarakallah nakupata mubashara kutoka Lusaka Zambia ❤
Maa shaa Allah baarakallahu fiyka yani bachu Allah akuthibitishe ktk haq na aendelee kukuongoza ktk sunna
Tunatumia dalili na hadithi sio akili shukran sana sheikh wetu
Sheikh wangu kipenzi Allahamdullilah Allah akupee umri wakutuelimisha, Allahamdullilah
Aameen
Shukran sana kijana mwenzetu allah anipe nawe ujuzi zaid katka dini hii
Kila nikituza masikio naona ndio nakuelewa zaid. Allah akulind Muhammad bachu. nimekuelewa vizur
Ndo unasema nini
na wewe una uliza nini ambacho hujaelewa?😂😂😂
huu wa leo ni mwiba mkali sana umewachoma MAKHURAFI NA WATU WA MAULIDI😂😂😂 "eti unasema nini" 😅😅@@shadhilmakame
Kwa uelewa wako na kiwango cha elimu yako utaona unamuelewa ila sisi wengine tunamshukuru allah tunaweza kumjua anaepiga kelele na anaeongea kwa kiwango
@@imamushafiiforgoodislamict5420mfumo haumo ndugu
@@imamushafiiforgoodislamict5420 vizul pia usiache kumuomba mungu akonyeshe njia sasa hii ya kumuabudu yeye.. Useje ukafika mbele ya m/mungu hiyo elmu yako na ibada zako zikawa vumbe tu...
Allah Akuhifadhi Sheikh Muhammad/Tunaomba ile Darsa ya tawhiid Iyendelee Tunaisubiri Kwa Hamu
Bachu tusibabaishwe na watu bidaa Sunna ndio hiii hamna kurudi nyuma ila qiyami saa inshallah
Mashallah Muhammad tupe elimu mdogo wangu Allah atakulipa kheri
JAZAAKA LLAAHU KHEIR SHEKH,ALLAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI, NGUVU NA SUBRA UZIDI KUWAPA RADDI HAWA WATU WA BID'AA NA UZUSHI WAO
Wewe unamuona Bachu ni mdogo kwa umri ,lakini elimu haiangalii udogo wa umri wala ukubwa , inategemea zaidi uwezo wako wa kuzingatia mambo katika kufundishwa na upeo wa ufahamu Mungu aliokunalia.
Mashaalwaa Shekh wangu nakupenda sana kwaajili ya Allhwa
Tunamuomba Allaah akuweke, na akupe nguvu ya kupambana na wazushi, na ainyanyuwe hadhi yako na jina lako duniani na akhera
Maa shaa Allah sheikh Bachu Allah akubariki, mimi ni shabiki wako wa kindakindaki.
So shabiki DINI sio mpira sawa brooo "Huyo ni mwalimu wetu" sema "ww ni mwalimu wetu mzuri" Au "mm ni mwanafunzi wako namba moja" Au vyovyote vile ila usitumie shabiki
asante safi sana mtu wa mwenendo kama wakwangu,, thanks🎉🎉🎉
Naomba MASHABIKI mniulizi kwa mwalimu wenu. Adhana ya kwanza ya swala ya ijumaa sio amri ya ALLAH SW wala hakusema Mtume saw. JEE SIO KHERI KWETU WALA IBADA KWASABABU MTUME SAW ALIIWACHA HAKUTUFUNZA AU MWENYEZI MUNGU SW NA MTUME WAKE HAWAKUKUMBUKA HILI MAANA ZAMA ZA MTUME SAW HAIKUWEPO?. NAOMBA JAWABU SIO MANONGWA
@@hilalalhabsi2047
MTUME ﷺ ANASEMA LAZIMIANENI NA SUNNA YANGU NA SUNNA ZA MAKHALIFA WAONGOFU : (01)ABUU BAKRI (02) UMAR (03)UTHMAAN/AMBAE ALIAMRISHA IADHINIWE ADHANA YA KWANZA SIKU YA IJUMAA (04) ALLY رضي الله عنهم
Allah akuhifadhi shekh kwa ilmu unayotupa
ALLAH akuhifadhi Sheikh Muhammad bachu
جزاك الله خيرا يا غالي ❤❤❤❤
Allah akuhifadhi Muhammad bachu Nkupenda kwaajili ya Allah
Alhamdulillah maneno yenye ladha Kwa mwenye elimu ktk kuielimisha jamii shukran Sheikh
Nyinyi watu wa maulidi mnaijua dini sana kuliko mtume swalallahu alihi wa salam na maswahaba radhiya llahu anhum
Maashaa Allaah, Ahsante Mwalimu, mwaga elimu na muongozo, atakae achukuwe asietaka basi
Unatufanya vijana tuzidi kusoma hongera mwalimu mashallah
Bachu yupo anaburuza mbumbumbu wenzake.
SUALI LA BACHU.
1) KAMA MAULID NI IBADA KWANINI HAJAYAAMRISHA ALLAH SW AU ALIKUWA HAJUI?
2) KAMA MTUME SAW AMETAKA ASHEHEREKEWE (AFURAHIWE) KWANINI HAKUAMRISHA MASWAHABA WAKE AU MTUME SAW HAKUJUA HIO IBADA?.
JAWABU. KWASABABU KHERI YAFAA KUFANYA.
SUALI LANGU, NO
1) KAMA ADHANA YA KWANZA YA SWALA YA IJUMAA NI IBADA KWANINI ALLAH SW HAKUAMRISHA AU ALIKUWA HAJUI KUWA WATU WATAONGEZEKA?
2) KAMA ADHANA YA KWANZA NI IBADA KWANI MTUME SAW ALISAHAU HATA HAKUWAITA MASWAHABA AKAWAKUSANYA DARSA AKAWAFUNZA KUWA IJUMAA NI ADHANA MBILI?.
KAMA KESI NI MTUME HAKUFANYA NA ALLAH SW HAKUAMRISHA, JEE KWANINI MNACHAGUA KUYATUKANA YALE YA KUMPENDA MTUME SAW NA MAWALII?. HIVI BILA KUMPENDA MTUME SAW NA WAJA WEMA, HIO DINI INAFAIDA GANI KWAKO WEWE BACHU?
Hujamfaham mwalim ww upo kiushindani ndio ukatafuta Jambo ili ulinganishe msikilize vizuri
Utapata kitu
@@Khatib-xp6fp sio kiushindani. Mnalazimisha lile munalochagua nyie MNAONA ndio haqi NA msilolipenda MNAONA baatwil. Kwanini kitu aseme ati kwasababu haja fanya MTUME SAW ni kharamu. KIGEZO HIKO HAKUNA KWENYE UISLAMU. PILI. MAULID MTUME SAW ALIFANYA
@@hilalalhabsi2047shida kibur na kujua sna unazungumzia azana wakat mtume (saw) alikuwepo yy ndio alikua anahaki ya kusema hili linafaa hili halifai ss yy mtume (saw) aka funga kwa kusema dini ss imekamilika kisiongezeke kitu wala kisipunguzwe kitu ss kinamziwanda wao ninani waliotuengezea ibada yy sio swahaba wala sio mtume vyenginevo kitabu na sunna ndio alivotuambia mtume (saw) tukisema tufate mawazo atamm naweza nikasema kwaumma ulivo na maasi tuengezen swala badala ya 5 ziwe 6 je ilo nikosa kwa jili ya Allah?
@@hilalalhabsi2047ushaur wang achakibur soma uelew ukielew huwez kuja na izo hoja
جزاك الله خيرا في الدنيا والأخرة شيخنا محمد بن ناصر
آمين، وأنت مع جميع المسلمين
Mziwanda kama anajua haqi basi hawezi kubisha.
Hii ilimu ya Sheikh Muhamad Bachou iko juu.
Ameweka wazi na usawa kila kitu
Mashaallah allah akuzidishe ufahamu wa kielimu tuzini kusoma kwako inshaallah
Baaraka llahu fik,umebarikiwa sheikh
Qweli ukiwe qwenye upotevu huwezi jua mpka ukae mbali ndo utajua.....sheh wangu Allah akupe muongoz nauzid kutunufaisha naallah atakulipa kila la kher
MAAA SHAAA ALLLAAAH
SHUKRAN SANA BAARAKA LLAAHU FIYKA
ILA ULIUDHI SIKU ULOKUJA TANGA
UKASEMA
KILLA ANAEMCHUKIA SHEIKH FLANI WA TANGA AFE NGUVU ZA KIUMI
ULINIUDHI SANA
ILA HUMJUI NDIO MAANA UKASEMA HIVYO.
😂😂😂ni ukweli usio pingika kua masufi wote Africa mashariki wanamjua bachu vizur
ndo mana wote WANAMCHUKIA
Sahihi kabisa, akhy
Kingine wanapiga kelele eti ni mtoto mdogo hawajui kwamba elmu haina utoto waweza kuwa mkubwa halafu hamna kitu kwan Ibn Abbas Allah amwie radhi alkua na elimu kubwa yeye ndo alikua mkubwa sana mbele ya maswahaba! Watu hawataki kukubali ukweli
@@Hamis-ks1sy
Watu wa Bidaa huenda hawajui kua hata Wajinga pia hua wanazeeka.
@@darajanida
Makhurafi mna mambo ya ajabu sana
@@darajanida
Nani kutukanwa.
Au kumuambia mjinga kua unachokifanya ni cha kijinga sasa acha kufanya mambo ya kijahili ili uonekane mtu safi kisha mjinga huyo akaendelea kufanya ujinga wake sasa mimi nikimuita mjinga nakua nimemuita kwa sifa yake au nimemtukana.
Acha Ujaahili alafu ukiitwa jaahili ndo ulalamike.
Huna hoja isipokuwa ni kutetea ujinga sasa kwa usalama wako ukiendelea kutetea ujinga na wewe utakua katika wao.
Maneno ya mtume ni kwamba ukijifananisha na watu na wewe ni ni katika wao
Mashaallah, Umepewa kipawa kikubwa sana cha kufanya Ufafanuzi na kum Raddi mtu mpaka anakuelewa japo Kumtoa mtu ambaye amepata mafanikio yake na Kufahamika kwake kumetoakana na Maulid ni ngumu sana ila kwa Taufiq ya Allah tu
معاكم عثمان من رواندا 🇷🇼. الله يحفظكم جميعا 🤲
آمين
و إياكم
Jazaaka Allah kheir tume faidika.
Me nakuelewa sana kabla sijamaliza kuiangalia na kuskiliza
Mimi binafsi namuelewa sana huyu shaikh Muhammad Bachu maana ni mwepesi mno wakufafanua vitu
Eheheeeeeee😂 wallah nakupenda sana Mwalimu yetu yaani umenyoosha maelezo mno
Makkah tunakupata vizur Ustadh Muhammad usikate tamaa zidisha kuelimisha na asihangaike na wanao taka kukushusha kwasababu ndio ubinadamu
mashaallah unanitoa ukungu kwenye masikio yangu
Sheikh mziwanda tatizo ukweli hataki kukubali
nimejifunza kitu kua
shaikh bachu حفظك الله ورعاك HII RADDI umeiandaa ukiwa umemuomba ALLAH akupe ufasaha na kueleweka kwa watu
ndo mana umeweka bayana amabyo mtu yeyote wa MAULIDI na BIDAA akiskia basi ataacha bidaa na maulid
ila naamini pia wapo WAZUSHI watasema 🗣️🗣️🗣️🗣️ BACHU HUNA ELIMU NENDA KASOME 😂😂 ( pumbaaaav sana atakae sema hivyo),
✍️✍️✍️ila nimalize kusema kua hii RADDI ya leo imempiga vibaya sana MAWLANA WETU MZIWANDA, sjui kama atapona(Allah amuongoze)
NB 🔴 shaikh bachu, ALLAH AKUHIFADHI kwani wewe ni katika wale wanaofanya operation safisha jiji liwe safi
🏝️🏝️🏝️ بارك الله فيك وعلى والديك، وعلم "إنتَنصُرُو الله يَنصُركم ويُثَبِّت أقْدَامَكُم"🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️
Allaahu amrehemu babaako, ampanulie kaburi lake na alinawirishe,
Mashallah Allah akupe umri mrefu
Shehe wangu Allah Akulinde na husuda Natamani mwanangu Asome kwako ndio itakua kitu cha samanj na bahat aje kuelimisha watu shehe uko mjin hakika vivijin uku tuliko sis tuko mtupu watu wanakumbatia bidaa nakufanya kua ibada wakidai watapata malipo Shehe la mwisho mim mkulima mwanangu nataka asome elimu yenye manufaa nitalipia galama itayo kuwepo anamiaka 5 mim ndoto ya mwanangu ajekuwafundisha haki
جزاك الله خير
Wachape tu masufi hao Allah Awaongoze ktk haq
Wallah huyu sheikh wanamchukia tu kwa maslahi yao binafsi ila anayoongea ni facts tupu na ana dalili za kutosha.Allah akulipe ujira mwema sheikh Muhammad Nassor Bachu.
Masufi bhana ni tatizo kubwa sana aisee pambana sheikh wangu Muhammad bachu
Hamna kitu huyo ubwa
@@ramygichero1016😂😂😂Lkn c umeelewa? au bado utaenda maulidi??
yan kama utaenda basi wewe ni KONKI SUFI
Endelea na sherehe zako utakipata mbele ya Allah @@ramygichero1016
Allah bariki❤ message sent
Truly have been clarity,,,,,, May Allah guide all inventors to straight way? Ameen
Jazzakallahu khaira sheikh Mohammed
Maa shaa Allah,jazaakallahu khayran
Sheikh weka muhadhara InshaAllah uwakabili Mashia na Bida'a zao
Bachu we unajua hadi unakera
sema barakallah au mashallah waislamu tukisifiana tunapaswa tuseme hivyo yakhe
@@user-yu9gy6dg3g ww ni mzenji au? Naona yakheee. But nice
@@KhalfanMassoud hapana niko bara napenda tu kusema hivo
@@user-yu9gy6dg3g ahaa basi mzuri hio.
Kweli
Allah akuhifadhi sheikh letu
Bibi Aisha mke wa Mtume aliishi muda mrefu baada ya mtume kufariki lakini hakuwahi kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume je alikuwa hampendi Mtume je alikuwa hajui kuwa kuna ibada ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ? Hapana bali Bibi Aisha alitambua kuwa hakuna ibada ktk uislamu inayoitwa maulidi ya Mtume.
Jazaqallahu khaira Sheikh Allah akuongezee Umri Aamin
Allah akuhifadhi
Mm sina ninacho kupinga ila uwislamu tunapowelekeza tunaufaya km timu za mpira ni hatari sana na ndo mana kila kukicha tunapigwa vita na wala hatusemi lolte tunatukanana wenye kwa weye tusipo amka tukawa sisi tunajitoa kwa ajil ya din kwenda sehemu tofaut kuisambaza dini basi tujue tutabeba zima kubwa km huwuwelewan walimu wetu tafuteni njia ya kuitana muwekane sw mana siai tunawapenda kwa ajil ya allah na sijengine
SubhanaAllah yaani unamanisha qiyas itangulie Qur'an Sunna na Ijmaa?
Barakallahu fiyka
Akhy kunywa maji ntalipia.. جزاك الله خيرا
Maneno safi sana endelea kutuilimisha
May Allah guide them before it is too late
Ameen, before hereafter day
mashaaah jazaka lahu khayra
اللهم بارك
Mziwanda nampenda kitu kimoja huwa akipata dalili sawa sawa harudishii kwa kibri sijamuona na hilo na sidhan kama inafikia matamanio namuomba Allah amuongoze nasi atuongoze maana ni mujtahid japo yupo na watu wengine sio.
Bacho hujamuelewa Shekh Muharram Allah amhifadh,lakini kingine umezungumzia vitu vingi kaa mahala mamoja
Huyo mwalimu lkn spite kwenye kila engo ili ahakikishe umepata uelewa,lkn anzie deep,ww tu ndo unashida,tumia akili
Watu wa matwalaga ni vipofu na viziwi hawaoni haki wala hawaisikii pia,usichoke sheikh wetu malipo yako yapo kwa Allah.
Yaani vitu vya msingi, vya kutuweka pamoja mmesahau. Mmesahau hata wachamungu wa zamani kuna itirafuu hazikuwafanya wavunjiane heshima.
Shukran Simba wa Allah ❤️❤️❤️
Hahahahahh! Simba wa Allah wko msituni uko, hawpo kwny udahyya, huyu muhammad bachu.
Akhiy khamis huo ni utani tu nimeipenda comment yko sn.
وَعَلَيْكُمُ السَّلَامْ وَرَحْمَةُ اللهِ وَبَرَكاتُهُ🤝
Sheih Mzwanda Allah amuongize na atuongoze na sisi na sioni kuna haja ya kumlaumu maana makosa ni waalimu alosoma kwao kuna ike misingi ya elimu ila anapenda kheri baki mazingira na elimu ya mwanzo alikopatia. Allah atunusuru na atuongoze maana ni hatari sana maneno haya na dini sio akili ya mtu kabisa akili inafuata sana matamanio (Unahokipenda ndicho akili itakupeleka) na akili zatofautiana na akili ya binaadam ni kitu dhaif sana
Kama Kuna aya inayokataza kutaja na kumsifu mungu na mtume Muhammad s.a.w ndiyo bidaa inaingia vinginevyo ukisema hasara ya ghalama za sadaka utaeleweka
Namna yakutukuza na kumsifu imebainishwa Sasa ww mwenye mapito haya ya mkusanyiko na ubwabwa mmeitoa wapi???????????
Bada hajajuw vigawanywo vya ibada bachu anay kuxukuma tunazid kufahamuudhaifu wako ustadh kusoma xi kilimo cha miyez3 alaf xoma kama kulivo andikwa hauna amana ya elimu xom vizuri
Muhammad bachu wewe ni mwanazuoni na hao wengine ni wapotoshaji
Mwanzo Bachu fataha na kasiri umeshajua kuweka pahali kwake mana twakujua ukipewa kitabu hakina mayaka kwako mtihani
Fuata dalili acha na makasira na mafataha hayo
Mashaallah nakuelewa vyema
Bachu anajiona hapo ktk hyo video kazungumza kiakili saaana 😂😂😂
Maulid si ibada ila ni mashairi tu lkn ni mashairi ambayo yanamtaja Mtume (s.a.w) kwa mujibu wa hadithi ya Mtume anapotajwa aswalie hapa ibada ni kumswalia mtume sh. Bachu
Langu ni nasiha kwenu:
Sura Ar Rum: 28-37
Lakini nitagusia tu aya 32
من الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا كل حزب بما لديهم فرحون.
Jama rudini kwa Qur'an badala ya vitabu vyenu
أفلم يدبروا القول أم جأهم ما لم يأت أبأهم الاولين
INA MAANA NYIE MASUFI AU MATWARIQA MNA AKILI NYINGI KUMZIDI MTUME MUHAMMAD S.A.W NA MASWAHABA ZAKE??
Maulid ni bidah na itaendelea kuwa bidah
Lakini usitusikilizishe hivi vinanda wanao piga hawa waimba tarabu
Waonyeshe tu hawa waimba tarabu bila sauti
Shkh mimi nakuuliza mtume alihutubu hutba ya ijumaa kwa lugha ngapi je ipilugha inofaa kuhutubu je kiswahili kimepokewa na nani katika hadith zamtume sahaba au
Huyo mpiga kinanda na gita ndio walidai amekushinda kwenye ule munakasha!
Matwarika hawajielewi
Watu wa maulidi washakufa wameoza hawawezi badilika coz wanadai n ibada ...bachu endelea ivyo ivyo kaka.
Mashallah mwalimu wang
Bachu huna Kazi ya kufanya.
Toa andiko ktk Quran au hadithi inayoonesha kwamba mtu akisoma maulid anaenda Motoni.
Kusoma Maulid ni kitu kisichoepukika Kwa Waumini wa kweli.
Tumswalieni Mtume Muhammad!
"Allah hummaswali wasalim wabaarika alyh."
Nawe toa katka hadithi au aya kuwa bangi ukivuta unaenda motoni. Wacheni ushabiki dini haiendi kama unavyotaka wewe na vitu vipo
wazi
Aya yasema "Nani alodhalimu kamaamsingiziaye Allah uongo ..." Na kusemamaulid ni ibada ni kumsingizia Allah aliposema kuwa dini haijakamilika na Alllah asema "Leo nimeikamilisha dini yenu...." maulid ni bidaa uzushi wa kishia na maulid ni bidaa na kila bidaa ni upotevu na kila upotevu ni katka moto
Bhana hamna kitu hapaaaaa Bachu hem Achia watu wafanye yao na weye fanya yako
😂😂😂😂😂😂TUMIA AKILI
@@Nuru_ya_sunnah.officialtumieni akili😂😂
Watu wa maulidi tumieni akili, hahahahahh ah.
Watu wa maulidi tumieni akili hahahahahh
Kama we ni Muislam ndug yangu hio sio dini, walio pita walilaaniwa kwa ndimi za Mitume Yao sababu hawakatazani maov wanayoyafanya.
حياكم اللّٰه يابني
آمين، بارك الله في شيخنا محمد الباشو وفيك وفي جميع المسلمين
Wewe umerongwa nanani kijana mungu Ashakuambia yeye Allah Anamswalia mtume Akatufundisha na sisi sasa wewe mwehu ulitaka .mtume Aseme nini tena mkundu wako sana
Sheikh ukweli wanajua kuwa wanalo lifanya halifai sema wanashindwa kubacha sasabu hizo siku wanakusanya mapesa mengi. Huo mwenye kinanda sini yule alo chaguliwa kuitetea Barzanji 😅 hadi 🎂 jamani😅
Tunaomba RADDI kwa watu wanao sikiliza makaswida shekhe
Nanyiyi ndiyo mko na njaa, mziwanda hana njaa
Anaye jua nani yuko ni Allah pekee tu
Atakama walipwa bachu punguza tena uache kabsaa mana elimu huna kelele tu
Alhamdulilah