RAADI KWA MUHARRAM MZIWANDA || JE WATU WA MAULIDI WATAENDA MOTONI || Muhammad Bachu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2024
  • ИгрыИгры

Комментарии • 455

  • @Bombwejr18
    @Bombwejr18 2 месяца назад +17

    @Muhammad Nassor bachu kama Utaona ujumbe huu Al Akhy sheikh wangu Naomba utoe darasa kuhusu Ibada ya swala na ilivothibiti swala zetu mtihani sheikh naomba Utuandalie darasa la kujua mambo ya swala na dhikir zake mpka swala inaisha Darasa ya swala sheikh allah akuhifadhi sheikh atuhifadhi na sisi piah 🙏🤲🤲

    • @aminahassani-jh5rp
      @aminahassani-jh5rp Месяц назад

      Swala pia inakushinda loh

    • @Bombwejr18
      @Bombwejr18 Месяц назад +1

      @@aminahassani-jh5rp tunahitaji faida kila mtu na upungufu wake ww ukijua mshukuru Allah amekupa tawfiq yakufahamu swala

  • @rahilaabdulrazzak9951
    @rahilaabdulrazzak9951 2 месяца назад +9

    Natumai Sheikh Mziwanda atakuwa amekufahamu vyema na wale wengine wote waliokuwa wakifata msimamo wake kwa kuburuzwa, watakuwa wameelimika na kuifahamu hoja hii na wataweza kuieneza na kuitetea kwa nuru yake Allah Subhaanahu wa Taala. Allah akuzidishie elimu, maarifa na nguvu za kuupeleka mbele Uislamu.

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 2 месяца назад +6

    Wallaahi napata raha sana Shekh Muhammad unapo fanya raddi kwa wazushi, kwa sbb wewe hukurupuki tu kama wanavyo kurupuka wao, wewe ni mtafiti na mpekuzi na mfatiliaji makini kwenye mambo ya kielimu kabla huja ongea.
    Maashaa Allaah.

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад +5

    Jazaaka llaahu kheir sheikh,Kwa HAKIKA tumekuelewa sana Kwa darsa LAKO,NAAMINI HATA watu wa BID'AA wameelewa ila Kwa SABABU WANAFANYA Dini kama sehemu Yao ya KUTEKELEZA MASILAHI YAO ya KIMAISHA watazidi kupinga tu

  • @othmanhaji862
    @othmanhaji862 2 месяца назад +11

    Shukran Sheikh wetu Mungu akupe umri wa Barka

  • @binhussein4411
    @binhussein4411 2 месяца назад +6

    Allah akuekee katika mizan ya hasanaat yako...cc tullabu ilmin twanufaika sanaa na kufunza wengine

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 2 месяца назад +8

    M Mungu akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu,kwa hakika unaelimisha vizuri sana sana,tena kwa lugha fasaha yenye kueleweka.M Mungu azidi kukupandisha darja wa darja

  • @user-yu9gy6dg3g
    @user-yu9gy6dg3g 2 месяца назад +10

    Barakallah unajua sana abu muhaddith yani kwa furaha hadi nimeshindwa kujizuia kukoment kwakweli hongera ibnu bachu.

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336 2 месяца назад +14

    ALLAHU akupe umri mrefu nanguvu yakuendelea kutu elimisha

  • @user-fm1ys1rt7w
    @user-fm1ys1rt7w 2 месяца назад +9

    MaashaAllah tabarakallah nakupata mubashara kutoka Lusaka Zambia ❤

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Месяц назад +2

    Maa shaa Allah baarakallahu fiyka yani bachu Allah akuthibitishe ktk haq na aendelee kukuongoza ktk sunna

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 2 месяца назад +10

    Tunatumia dalili na hadithi sio akili shukran sana sheikh wetu

  • @khadijahwanjiku
    @khadijahwanjiku 2 месяца назад +10

    Sheikh wangu kipenzi Allahamdullilah Allah akupee umri wakutuelimisha, Allahamdullilah

  • @AbdulkareemNyongoro
    @AbdulkareemNyongoro 2 месяца назад +9

    Shukran sana kijana mwenzetu allah anipe nawe ujuzi zaid katka dini hii

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 2 месяца назад +25

    Kila nikituza masikio naona ndio nakuelewa zaid. Allah akulind Muhammad bachu. nimekuelewa vizur

    • @shadhilmakame
      @shadhilmakame 2 месяца назад

      Ndo unasema nini

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official 2 месяца назад

      na wewe una uliza nini ambacho hujaelewa?😂😂😂
      huu wa leo ni mwiba mkali sana umewachoma MAKHURAFI NA WATU WA MAULIDI😂😂😂 "eti unasema nini" 😅😅​@@shadhilmakame

    • @imamushafiiforgoodislamict5420
      @imamushafiiforgoodislamict5420 2 месяца назад

      Kwa uelewa wako na kiwango cha elimu yako utaona unamuelewa ila sisi wengine tunamshukuru allah tunaweza kumjua anaepiga kelele na anaeongea kwa kiwango

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 2 месяца назад

      ​@@imamushafiiforgoodislamict5420mfumo haumo ndugu

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 2 месяца назад

      @@imamushafiiforgoodislamict5420 vizul pia usiache kumuomba mungu akonyeshe njia sasa hii ya kumuabudu yeye.. Useje ukafika mbele ya m/mungu hiyo elmu yako na ibada zako zikawa vumbe tu...

  • @QeysMaxamed-kp4fh
    @QeysMaxamed-kp4fh 2 месяца назад +6

    Allah Akuhifadhi Sheikh Muhammad/Tunaomba ile Darsa ya tawhiid Iyendelee Tunaisubiri Kwa Hamu

  • @YassanYussuf-em3lu
    @YassanYussuf-em3lu 2 месяца назад +4

    Bachu tusibabaishwe na watu bidaa Sunna ndio hiii hamna kurudi nyuma ila qiyami saa inshallah

    • @AhmedMohamed-mw3ev
      @AhmedMohamed-mw3ev Месяц назад +1

      Mashallah Muhammad tupe elimu mdogo wangu Allah atakulipa kheri

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад +8

    JAZAAKA LLAAHU KHEIR SHEKH,ALLAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI, NGUVU NA SUBRA UZIDI KUWAPA RADDI HAWA WATU WA BID'AA NA UZUSHI WAO

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 2 месяца назад

      Wewe unamuona Bachu ni mdogo kwa umri ,lakini elimu haiangalii udogo wa umri wala ukubwa , inategemea zaidi uwezo wako wa kuzingatia mambo katika kufundishwa na upeo wa ufahamu Mungu aliokunalia.

  • @mohamadmaulidngava1510
    @mohamadmaulidngava1510 2 месяца назад +5

    Mashaalwaa Shekh wangu nakupenda sana kwaajili ya Allhwa

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 2 месяца назад +4

    Tunamuomba Allaah akuweke, na akupe nguvu ya kupambana na wazushi, na ainyanyuwe hadhi yako na jina lako duniani na akhera

  • @abdullahimohamudosman3695
    @abdullahimohamudosman3695 2 месяца назад +9

    Maa shaa Allah sheikh Bachu Allah akubariki, mimi ni shabiki wako wa kindakindaki.

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 2 месяца назад +1

      So shabiki DINI sio mpira sawa brooo "Huyo ni mwalimu wetu" sema "ww ni mwalimu wetu mzuri" Au "mm ni mwanafunzi wako namba moja" Au vyovyote vile ila usitumie shabiki
      asante safi sana mtu wa mwenendo kama wakwangu,, thanks🎉🎉🎉

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 2 месяца назад

      Naomba MASHABIKI mniulizi kwa mwalimu wenu. Adhana ya kwanza ya swala ya ijumaa sio amri ya ALLAH SW wala hakusema Mtume saw. JEE SIO KHERI KWETU WALA IBADA KWASABABU MTUME SAW ALIIWACHA HAKUTUFUNZA AU MWENYEZI MUNGU SW NA MTUME WAKE HAWAKUKUMBUKA HILI MAANA ZAMA ZA MTUME SAW HAIKUWEPO?. NAOMBA JAWABU SIO MANONGWA

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 2 месяца назад

      ​​@@hilalalhabsi2047
      MTUME ﷺ ANASEMA LAZIMIANENI NA SUNNA YANGU NA SUNNA ZA MAKHALIFA WAONGOFU : (01)ABUU BAKRI (02) UMAR (03)UTHMAAN/AMBAE ALIAMRISHA IADHINIWE ADHANA YA KWANZA SIKU YA IJUMAA (04) ALLY رضي الله عنهم

  • @Hassanihaji-uf9nb
    @Hassanihaji-uf9nb Месяц назад +2

    Allah akuhifadhi shekh kwa ilmu unayotupa

  • @idisaidi287
    @idisaidi287 2 месяца назад +7

    ALLAH akuhifadhi Sheikh Muhammad bachu

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 2 месяца назад +6

    جزاك الله خيرا يا غالي ❤❤❤❤

  • @AlIrshaad-j
    @AlIrshaad-j 2 месяца назад +4

    Allah akuhifadhi Muhammad bachu Nkupenda kwaajili ya Allah

  • @husnajuma-md2uj
    @husnajuma-md2uj Месяц назад +1

    Alhamdulillah maneno yenye ladha Kwa mwenye elimu ktk kuielimisha jamii shukran Sheikh

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4y 2 месяца назад +8

    Nyinyi watu wa maulidi mnaijua dini sana kuliko mtume swalallahu alihi wa salam na maswahaba radhiya llahu anhum

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 2 месяца назад +2

    Maashaa Allaah, Ahsante Mwalimu, mwaga elimu na muongozo, atakae achukuwe asietaka basi

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 2 месяца назад +18

    Unatufanya vijana tuzidi kusoma hongera mwalimu mashallah

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 2 месяца назад +1

      Bachu yupo anaburuza mbumbumbu wenzake.
      SUALI LA BACHU.
      1) KAMA MAULID NI IBADA KWANINI HAJAYAAMRISHA ALLAH SW AU ALIKUWA HAJUI?
      2) KAMA MTUME SAW AMETAKA ASHEHEREKEWE (AFURAHIWE) KWANINI HAKUAMRISHA MASWAHABA WAKE AU MTUME SAW HAKUJUA HIO IBADA?.
      JAWABU. KWASABABU KHERI YAFAA KUFANYA.
      SUALI LANGU, NO
      1) KAMA ADHANA YA KWANZA YA SWALA YA IJUMAA NI IBADA KWANINI ALLAH SW HAKUAMRISHA AU ALIKUWA HAJUI KUWA WATU WATAONGEZEKA?
      2) KAMA ADHANA YA KWANZA NI IBADA KWANI MTUME SAW ALISAHAU HATA HAKUWAITA MASWAHABA AKAWAKUSANYA DARSA AKAWAFUNZA KUWA IJUMAA NI ADHANA MBILI?.
      KAMA KESI NI MTUME HAKUFANYA NA ALLAH SW HAKUAMRISHA, JEE KWANINI MNACHAGUA KUYATUKANA YALE YA KUMPENDA MTUME SAW NA MAWALII?. HIVI BILA KUMPENDA MTUME SAW NA WAJA WEMA, HIO DINI INAFAIDA GANI KWAKO WEWE BACHU?

    • @Khatib-xp6fp
      @Khatib-xp6fp 2 месяца назад

      Hujamfaham mwalim ww upo kiushindani ndio ukatafuta Jambo ili ulinganishe msikilize vizuri
      Utapata kitu

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 2 месяца назад +1

      @@Khatib-xp6fp sio kiushindani. Mnalazimisha lile munalochagua nyie MNAONA ndio haqi NA msilolipenda MNAONA baatwil. Kwanini kitu aseme ati kwasababu haja fanya MTUME SAW ni kharamu. KIGEZO HIKO HAKUNA KWENYE UISLAMU. PILI. MAULID MTUME SAW ALIFANYA

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 2 месяца назад

      ​@@hilalalhabsi2047shida kibur na kujua sna unazungumzia azana wakat mtume (saw) alikuwepo yy ndio alikua anahaki ya kusema hili linafaa hili halifai ss yy mtume (saw) aka funga kwa kusema dini ss imekamilika kisiongezeke kitu wala kisipunguzwe kitu ss kinamziwanda wao ninani waliotuengezea ibada yy sio swahaba wala sio mtume vyenginevo kitabu na sunna ndio alivotuambia mtume (saw) tukisema tufate mawazo atamm naweza nikasema kwaumma ulivo na maasi tuengezen swala badala ya 5 ziwe 6 je ilo nikosa kwa jili ya Allah?

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 2 месяца назад

      ​@@hilalalhabsi2047ushaur wang achakibur soma uelew ukielew huwez kuja na izo hoja

  • @user-db6pg7tx1h
    @user-db6pg7tx1h 2 месяца назад +4

    جزاك الله خيرا في الدنيا والأخرة شيخنا محمد بن ناصر

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 2 месяца назад

      آمين، وأنت مع جميع المسلمين

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949 2 месяца назад +5

    Mziwanda kama anajua haqi basi hawezi kubisha.
    Hii ilimu ya Sheikh Muhamad Bachou iko juu.
    Ameweka wazi na usawa kila kitu

  • @IsmailKhamis-fh8nh
    @IsmailKhamis-fh8nh 2 месяца назад +2

    Mashaallah allah akuzidishe ufahamu wa kielimu tuzini kusoma kwako inshaallah

  • @user-ye3fy9kk6r
    @user-ye3fy9kk6r 2 месяца назад +3

    Baaraka llahu fik,umebarikiwa sheikh

  • @user-rp4eb5xw1z
    @user-rp4eb5xw1z 2 месяца назад +5

    Qweli ukiwe qwenye upotevu huwezi jua mpka ukae mbali ndo utajua.....sheh wangu Allah akupe muongoz nauzid kutunufaisha naallah atakulipa kila la kher

  • @samorajama8833
    @samorajama8833 2 месяца назад +1

    MAAA SHAAA ALLLAAAH
    SHUKRAN SANA BAARAKA LLAAHU FIYKA
    ILA ULIUDHI SIKU ULOKUJA TANGA
    UKASEMA
    KILLA ANAEMCHUKIA SHEIKH FLANI WA TANGA AFE NGUVU ZA KIUMI
    ULINIUDHI SANA
    ILA HUMJUI NDIO MAANA UKASEMA HIVYO.

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 2 месяца назад +17

    😂😂😂ni ukweli usio pingika kua masufi wote Africa mashariki wanamjua bachu vizur
    ndo mana wote WANAMCHUKIA

    • @user-zj6uz6dt9j
      @user-zj6uz6dt9j 2 месяца назад +1

      Sahihi kabisa, akhy

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 2 месяца назад +2

      Kingine wanapiga kelele eti ni mtoto mdogo hawajui kwamba elmu haina utoto waweza kuwa mkubwa halafu hamna kitu kwan Ibn Abbas Allah amwie radhi alkua na elimu kubwa yeye ndo alikua mkubwa sana mbele ya maswahaba! Watu hawataki kukubali ukweli

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 2 месяца назад

      ​@@Hamis-ks1sy
      Watu wa Bidaa huenda hawajui kua hata Wajinga pia hua wanazeeka.

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 2 месяца назад

      @@darajanida
      Makhurafi mna mambo ya ajabu sana

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 2 месяца назад

      @@darajanida
      Nani kutukanwa.
      Au kumuambia mjinga kua unachokifanya ni cha kijinga sasa acha kufanya mambo ya kijahili ili uonekane mtu safi kisha mjinga huyo akaendelea kufanya ujinga wake sasa mimi nikimuita mjinga nakua nimemuita kwa sifa yake au nimemtukana.
      Acha Ujaahili alafu ukiitwa jaahili ndo ulalamike.
      Huna hoja isipokuwa ni kutetea ujinga sasa kwa usalama wako ukiendelea kutetea ujinga na wewe utakua katika wao.
      Maneno ya mtume ni kwamba ukijifananisha na watu na wewe ni ni katika wao

  • @manrectorz
    @manrectorz 2 месяца назад +7

    Mashaallah, Umepewa kipawa kikubwa sana cha kufanya Ufafanuzi na kum Raddi mtu mpaka anakuelewa japo Kumtoa mtu ambaye amepata mafanikio yake na Kufahamika kwake kumetoakana na Maulid ni ngumu sana ila kwa Taufiq ya Allah tu

  • @algakire
    @algakire 2 месяца назад +5

    معاكم عثمان من رواندا 🇷🇼. الله يحفظكم جميعا 🤲

  • @AliJabal-fx8pd
    @AliJabal-fx8pd 2 месяца назад +4

    Jazaaka Allah kheir tume faidika.

  • @khamisali5942
    @khamisali5942 2 месяца назад +7

    Me nakuelewa sana kabla sijamaliza kuiangalia na kuskiliza

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama1542 27 дней назад

    Mimi binafsi namuelewa sana huyu shaikh Muhammad Bachu maana ni mwepesi mno wakufafanua vitu

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rp Месяц назад

    Eheheeeeeee😂 wallah nakupenda sana Mwalimu yetu yaani umenyoosha maelezo mno

  • @lubuva708
    @lubuva708 Месяц назад +1

    Makkah tunakupata vizur Ustadh Muhammad usikate tamaa zidisha kuelimisha na asihangaike na wanao taka kukushusha kwasababu ndio ubinadamu

  • @MwajumaRamadhan-qi4wi
    @MwajumaRamadhan-qi4wi Месяц назад +1

    mashaallah unanitoa ukungu kwenye masikio yangu

  • @hassanmohamedlaizer569
    @hassanmohamedlaizer569 2 месяца назад +7

    Sheikh mziwanda tatizo ukweli hataki kukubali

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 2 месяца назад +8

    nimejifunza kitu kua
    shaikh bachu حفظك الله ورعاك HII RADDI umeiandaa ukiwa umemuomba ALLAH akupe ufasaha na kueleweka kwa watu
    ndo mana umeweka bayana amabyo mtu yeyote wa MAULIDI na BIDAA akiskia basi ataacha bidaa na maulid
    ila naamini pia wapo WAZUSHI watasema 🗣️🗣️🗣️🗣️ BACHU HUNA ELIMU NENDA KASOME 😂😂 ( pumbaaaav sana atakae sema hivyo),
    ✍️✍️✍️ila nimalize kusema kua hii RADDI ya leo imempiga vibaya sana MAWLANA WETU MZIWANDA, sjui kama atapona(Allah amuongoze)
    NB 🔴 shaikh bachu, ALLAH AKUHIFADHI kwani wewe ni katika wale wanaofanya operation safisha jiji liwe safi
    🏝️🏝️🏝️ بارك الله فيك وعلى والديك، وعلم "إنتَنصُرُو الله يَنصُركم ويُثَبِّت أقْدَامَكُم"🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️🏝️

    • @user-kh2hn8in1s
      @user-kh2hn8in1s 2 месяца назад +1

      Allaahu amrehemu babaako, ampanulie kaburi lake na alinawirishe,

  • @suraiyarashid4568
    @suraiyarashid4568 Месяц назад

    Mashallah Allah akupe umri mrefu

  • @user-fo9xs1sc2c
    @user-fo9xs1sc2c 2 месяца назад +5

    Shehe wangu Allah Akulinde na husuda Natamani mwanangu Asome kwako ndio itakua kitu cha samanj na bahat aje kuelimisha watu shehe uko mjin hakika vivijin uku tuliko sis tuko mtupu watu wanakumbatia bidaa nakufanya kua ibada wakidai watapata malipo Shehe la mwisho mim mkulima mwanangu nataka asome elimu yenye manufaa nitalipia galama itayo kuwepo anamiaka 5 mim ndoto ya mwanangu ajekuwafundisha haki

  • @IsmailKhamis-fh8nh
    @IsmailKhamis-fh8nh 2 месяца назад

    جزاك الله خير

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Месяц назад +1

    Wachape tu masufi hao Allah Awaongoze ktk haq

  • @defantasticacomedy6366
    @defantasticacomedy6366 27 дней назад

    Wallah huyu sheikh wanamchukia tu kwa maslahi yao binafsi ila anayoongea ni facts tupu na ana dalili za kutosha.Allah akulipe ujira mwema sheikh Muhammad Nassor Bachu.

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 2 месяца назад +9

    Masufi bhana ni tatizo kubwa sana aisee pambana sheikh wangu Muhammad bachu

    • @ramygichero1016
      @ramygichero1016 2 месяца назад

      Hamna kitu huyo ubwa

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official 2 месяца назад +3

      ​@@ramygichero1016😂😂😂Lkn c umeelewa? au bado utaenda maulidi??
      yan kama utaenda basi wewe ni KONKI SUFI

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 2 месяца назад

      Endelea na sherehe zako utakipata mbele ya Allah ​@@ramygichero1016

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o 2 месяца назад +4

    Allah bariki❤ message sent

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 2 месяца назад

      Truly have been clarity,,,,,, May Allah guide all inventors to straight way? Ameen

  • @user-er2ku2fs8y
    @user-er2ku2fs8y 2 месяца назад

    Jazzakallahu khaira sheikh Mohammed

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 2 месяца назад +2

    Maa shaa Allah,jazaakallahu khayran

  • @user-ir5ec5jn3w
    @user-ir5ec5jn3w 2 месяца назад +2

    Sheikh weka muhadhara InshaAllah uwakabili Mashia na Bida'a zao

  • @YussufMohd-fc1dj
    @YussufMohd-fc1dj 2 месяца назад +6

    Bachu we unajua hadi unakera

    • @user-yu9gy6dg3g
      @user-yu9gy6dg3g 2 месяца назад +3

      sema barakallah au mashallah waislamu tukisifiana tunapaswa tuseme hivyo yakhe

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 2 месяца назад +2

      ​@@user-yu9gy6dg3g ww ni mzenji au? Naona yakheee. But nice

    • @user-yu9gy6dg3g
      @user-yu9gy6dg3g 2 месяца назад +1

      @@KhalfanMassoud hapana niko bara napenda tu kusema hivo

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 2 месяца назад +2

      @@user-yu9gy6dg3g ahaa basi mzuri hio.

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 Месяц назад

      Kweli

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu 2 месяца назад +1

    Allah akuhifadhi sheikh letu

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 2 месяца назад +3

    Bibi Aisha mke wa Mtume aliishi muda mrefu baada ya mtume kufariki lakini hakuwahi kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume je alikuwa hampendi Mtume je alikuwa hajui kuwa kuna ibada ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtume ? Hapana bali Bibi Aisha alitambua kuwa hakuna ibada ktk uislamu inayoitwa maulidi ya Mtume.

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376 2 месяца назад

    Jazaqallahu khaira Sheikh Allah akuongezee Umri Aamin

  • @seifhamid8329
    @seifhamid8329 2 месяца назад +1

    Allah akuhifadhi

  • @fakijecha
    @fakijecha 2 месяца назад +1

    Mm sina ninacho kupinga ila uwislamu tunapowelekeza tunaufaya km timu za mpira ni hatari sana na ndo mana kila kukicha tunapigwa vita na wala hatusemi lolte tunatukanana wenye kwa weye tusipo amka tukawa sisi tunajitoa kwa ajil ya din kwenda sehemu tofaut kuisambaza dini basi tujue tutabeba zima kubwa km huwuwelewan walimu wetu tafuteni njia ya kuitana muwekane sw mana siai tunawapenda kwa ajil ya allah na sijengine

  • @isaack100
    @isaack100 Месяц назад

    SubhanaAllah yaani unamanisha qiyas itangulie Qur'an Sunna na Ijmaa?

  • @badrudinsalum3139
    @badrudinsalum3139 2 месяца назад +1

    Barakallahu fiyka

  • @KassimMuslih
    @KassimMuslih 21 день назад

    Akhy kunywa maji ntalipia.. جزاك الله خيرا

  • @user-wk5ju8kd3u
    @user-wk5ju8kd3u Месяц назад

    Maneno safi sana endelea kutuilimisha

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 2 месяца назад +2

    May Allah guide them before it is too late

  • @muhamadyabubakary6750
    @muhamadyabubakary6750 2 месяца назад

    mashaaah jazaka lahu khayra

  • @hassanadam6272
    @hassanadam6272 2 месяца назад +1

    اللهم بارك

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 Месяц назад

    Mziwanda nampenda kitu kimoja huwa akipata dalili sawa sawa harudishii kwa kibri sijamuona na hilo na sidhan kama inafikia matamanio namuomba Allah amuongoze nasi atuongoze maana ni mujtahid japo yupo na watu wengine sio.

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 2 месяца назад +1

    Bacho hujamuelewa Shekh Muharram Allah amhifadh,lakini kingine umezungumzia vitu vingi kaa mahala mamoja

    • @user-ye3fy9kk6r
      @user-ye3fy9kk6r 2 месяца назад

      Huyo mwalimu lkn spite kwenye kila engo ili ahakikishe umepata uelewa,lkn anzie deep,ww tu ndo unashida,tumia akili

  • @iddimutua420
    @iddimutua420 2 месяца назад +2

    Watu wa matwalaga ni vipofu na viziwi hawaoni haki wala hawaisikii pia,usichoke sheikh wetu malipo yako yapo kwa Allah.

  • @ashrafkhamis6746
    @ashrafkhamis6746 Месяц назад

    Yaani vitu vya msingi, vya kutuweka pamoja mmesahau. Mmesahau hata wachamungu wa zamani kuna itirafuu hazikuwafanya wavunjiane heshima.

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ci 2 месяца назад +3

    Shukran Simba wa Allah ❤️❤️❤️

    • @ShabanHassan-td3lx
      @ShabanHassan-td3lx 2 месяца назад

      Hahahahahh! Simba wa Allah wko msituni uko, hawpo kwny udahyya, huyu muhammad bachu.

    • @ShabanHassan-td3lx
      @ShabanHassan-td3lx 2 месяца назад

      Akhiy khamis huo ni utani tu nimeipenda comment yko sn.

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 2 месяца назад +1

    وَعَلَيْكُمُ السَّلَامْ وَرَحْمَةُ اللهِ وَبَرَكاتُهُ‎🤝

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 Месяц назад

    Sheih Mzwanda Allah amuongize na atuongoze na sisi na sioni kuna haja ya kumlaumu maana makosa ni waalimu alosoma kwao kuna ike misingi ya elimu ila anapenda kheri baki mazingira na elimu ya mwanzo alikopatia. Allah atunusuru na atuongoze maana ni hatari sana maneno haya na dini sio akili ya mtu kabisa akili inafuata sana matamanio (Unahokipenda ndicho akili itakupeleka) na akili zatofautiana na akili ya binaadam ni kitu dhaif sana

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango9088 2 месяца назад

    Kama Kuna aya inayokataza kutaja na kumsifu mungu na mtume Muhammad s.a.w ndiyo bidaa inaingia vinginevyo ukisema hasara ya ghalama za sadaka utaeleweka

    • @binismail8527
      @binismail8527 2 месяца назад

      Namna yakutukuza na kumsifu imebainishwa Sasa ww mwenye mapito haya ya mkusanyiko na ubwabwa mmeitoa wapi???????????

  • @AmanYusufu
    @AmanYusufu 2 месяца назад

    Bada hajajuw vigawanywo vya ibada bachu anay kuxukuma tunazid kufahamuudhaifu wako ustadh kusoma xi kilimo cha miyez3 alaf xoma kama kulivo andikwa hauna amana ya elimu xom vizuri

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 2 месяца назад +1

    Muhammad bachu wewe ni mwanazuoni na hao wengine ni wapotoshaji

  • @AbdallahSalim-tf1ee
    @AbdallahSalim-tf1ee 2 месяца назад

    Mwanzo Bachu fataha na kasiri umeshajua kuweka pahali kwake mana twakujua ukipewa kitabu hakina mayaka kwako mtihani

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 Месяц назад

      Fuata dalili acha na makasira na mafataha hayo

  • @stanleykipingu228
    @stanleykipingu228 2 месяца назад

    Mashaallah nakuelewa vyema

  • @abdulkhaliqmuhammed456
    @abdulkhaliqmuhammed456 2 месяца назад

    Bachu anajiona hapo ktk hyo video kazungumza kiakili saaana 😂😂😂

  • @user-do7ui5wi3n
    @user-do7ui5wi3n 2 месяца назад

    Maulid si ibada ila ni mashairi tu lkn ni mashairi ambayo yanamtaja Mtume (s.a.w) kwa mujibu wa hadithi ya Mtume anapotajwa aswalie hapa ibada ni kumswalia mtume sh. Bachu

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el 2 месяца назад

    Langu ni nasiha kwenu:
    Sura Ar Rum: 28-37
    Lakini nitagusia tu aya 32
    من الذين فرقوا دينهم وكانوا شيعا كل حزب بما لديهم فرحون.
    Jama rudini kwa Qur'an badala ya vitabu vyenu
    أفلم يدبروا القول أم جأهم ما لم يأت أبأهم الاولين

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад

    INA MAANA NYIE MASUFI AU MATWARIQA MNA AKILI NYINGI KUMZIDI MTUME MUHAMMAD S.A.W NA MASWAHABA ZAKE??

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k 2 месяца назад +1

    Maulid ni bidah na itaendelea kuwa bidah
    Lakini usitusikilizishe hivi vinanda wanao piga hawa waimba tarabu
    Waonyeshe tu hawa waimba tarabu bila sauti

  • @AnubakarAli
    @AnubakarAli Месяц назад

    Shkh mimi nakuuliza mtume alihutubu hutba ya ijumaa kwa lugha ngapi je ipilugha inofaa kuhutubu je kiswahili kimepokewa na nani katika hadith zamtume sahaba au

  • @bigemagomabigemagoma6312
    @bigemagomabigemagoma6312 Месяц назад

    Huyo mpiga kinanda na gita ndio walidai amekushinda kwenye ule munakasha!
    Matwarika hawajielewi

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 2 месяца назад +1

    Watu wa maulidi washakufa wameoza hawawezi badilika coz wanadai n ibada ...bachu endelea ivyo ivyo kaka.

  • @Khamismwtn
    @Khamismwtn Месяц назад

    Mashallah mwalimu wang

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 Месяц назад

    Bachu huna Kazi ya kufanya.
    Toa andiko ktk Quran au hadithi inayoonesha kwamba mtu akisoma maulid anaenda Motoni.
    Kusoma Maulid ni kitu kisichoepukika Kwa Waumini wa kweli.
    Tumswalieni Mtume Muhammad!
    "Allah hummaswali wasalim wabaarika alyh."

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Месяц назад

      Nawe toa katka hadithi au aya kuwa bangi ukivuta unaenda motoni. Wacheni ushabiki dini haiendi kama unavyotaka wewe na vitu vipo
      wazi
      Aya yasema "Nani alodhalimu kamaamsingiziaye Allah uongo ..." Na kusemamaulid ni ibada ni kumsingizia Allah aliposema kuwa dini haijakamilika na Alllah asema "Leo nimeikamilisha dini yenu...." maulid ni bidaa uzushi wa kishia na maulid ni bidaa na kila bidaa ni upotevu na kila upotevu ni katka moto

  • @shadhilmakame
    @shadhilmakame 2 месяца назад

    Bhana hamna kitu hapaaaaa Bachu hem Achia watu wafanye yao na weye fanya yako

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂😂TUMIA AKILI

    • @hassanmohamedlaizer569
      @hassanmohamedlaizer569 2 месяца назад

      ​@@Nuru_ya_sunnah.officialtumieni akili😂😂

    • @ShabanHassan-td3lx
      @ShabanHassan-td3lx 2 месяца назад

      Watu wa maulidi tumieni akili, hahahahahh ah.

    • @ShabanHassan-td3lx
      @ShabanHassan-td3lx 2 месяца назад

      Watu wa maulidi tumieni akili hahahahahh

    • @binfarhan879
      @binfarhan879 Месяц назад

      Kama we ni Muislam ndug yangu hio sio dini, walio pita walilaaniwa kwa ndimi za Mitume Yao sababu hawakatazani maov wanayoyafanya.

  • @user-kh2hn8in1s
    @user-kh2hn8in1s 2 месяца назад +1

    حياكم اللّٰه يابني

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 2 месяца назад

      آمين، بارك الله في شيخنا محمد الباشو وفيك وفي جميع المسلمين

  • @Jumasalumumembajumasalumumemba
    @Jumasalumumembajumasalumumemba Месяц назад

    Wewe umerongwa nanani kijana mungu Ashakuambia yeye Allah Anamswalia mtume Akatufundisha na sisi sasa wewe mwehu ulitaka .mtume Aseme nini tena mkundu wako sana

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 2 месяца назад +1

    Sheikh ukweli wanajua kuwa wanalo lifanya halifai sema wanashindwa kubacha sasabu hizo siku wanakusanya mapesa mengi. Huo mwenye kinanda sini yule alo chaguliwa kuitetea Barzanji 😅 hadi 🎂 jamani😅

  • @MrRavini
    @MrRavini Месяц назад

    Tunaomba RADDI kwa watu wanao sikiliza makaswida shekhe

  • @jumamukoko6662
    @jumamukoko6662 18 дней назад

    Nanyiyi ndiyo mko na njaa, mziwanda hana njaa

  • @jumamukoko6662
    @jumamukoko6662 18 дней назад

    Anaye jua nani yuko ni Allah pekee tu

  • @hassankwaiyondevundiodiniw2902
    @hassankwaiyondevundiodiniw2902 Месяц назад

    Atakama walipwa bachu punguza tena uache kabsaa mana elimu huna kelele tu

  • @MwanaishaAuma-th4ed
    @MwanaishaAuma-th4ed 2 месяца назад

    Alhamdulilah