MAJIBU KWA SHEIKH SAID ALI HASSAN | FUNGA YA ARAFA NI KUFUATA SAUDIA | Muhammad Bachu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 577

  • @ابومعاذاحمدناصر
    @ابومعاذاحمدناصر 4 месяца назад +23

    Safi sana muhammad allah akubariki na amtie peponi baba ako

  • @SamhatPandu
    @SamhatPandu 4 месяца назад +12

    ❤Mashallah Allah azidi kukupa ilimu ili utuelimishe na uwafunze wenye kupotosha watu. Allah akulipe khery Dr Muhammad bachu. Yni Leo umetumia ilimu na hekma kubwa sana ktk majibu ulomjibu uyo sheikh Allah akuhifadhi❤

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc 4 месяца назад

      Mimi KUANZIA Leo WATOTO WANGU hawataenda kwenye maulidi am a NDIO haya unayoyasema MTUME uwa anakuja kwenye maulidi !!! Sasa mbona hawayaweki bayana haya unayoyaaema.ALLAH ATUNUSURU.

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 4 месяца назад +28

    Wa kwanza kulike nipeni zawadi zangu wadau Ma Shaa Allah nipo karibu Sana na hii chanal Ma Shaa Allah

  • @fatmasuleiman2710
    @fatmasuleiman2710 4 месяца назад +4

    Sheikh okoa nafsi za watu ,watu wana masikio lkn hawssikii subhanaaAllah ,Allah akuhifadhi u r doing great job mashaaAllah.

  • @JK-um6op
    @JK-um6op 4 месяца назад +10

    جزاك الله خير الجزاء
    شيخنا الفاضل محمد باشو
    ونفع الله بك.

  • @hansimassirhassan8154
    @hansimassirhassan8154 4 месяца назад +14

    Barakallahu fiikum sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi amiin

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt 4 месяца назад +5

    Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad bachu Allah akuhifadh na akubariki sana. Ukweli mtupu ulio sema . Makhurafi hawana hoja bali bid'ah na ujuaji mwingi tu. Allah atuongoze na atuepushe na watu madhalim .

    • @ExcitedChefHat-ef5jt
      @ExcitedChefHat-ef5jt 4 месяца назад

      Sio muhimu kuwafuata watu wa Makka wakati kuna tofauti katika muandamo wa mwezi mpya. Hii ndiyo mitazamo sahihi zaidi ya wanachuoni, kwamba kila nchi ina muandamo wake inapotokea tofauti kuhusu hilo.

  • @tariksalim2659
    @tariksalim2659 4 месяца назад +6

    MashaAllah sheikh wetu,endelea kutuongoza kwa njia ya haki na Allah atakulipa kwa hili InshaAllah

  • @fatmasalim7132
    @fatmasalim7132 4 месяца назад

    Maa sha Allah! Shukran sana Sheikh Allah akulipe kheri na akuhifadhi daima.Aamin.

  • @MamaYussuf
    @MamaYussuf 4 месяца назад +3

    A alykm hii n comment yng ya mwanzo, nmefurah sana kwa kuwazndua weng Allah akulinde na akulpe kila lakher

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 4 месяца назад +36

    Anaitwa mzee wa ufasaha like father like son

    • @abdulbandari1551
      @abdulbandari1551 4 месяца назад +4

      Improved genes: more than the father.

    • @HusnaKombo
      @HusnaKombo 4 месяца назад

      Hkn kiumbe fassha alkamalu lilah

    • @Mohammedismail-x7v
      @Mohammedismail-x7v 4 месяца назад

      MashaAllah

    • @d15355
      @d15355 4 месяца назад

      @@abdulbandari1551 ndio mnavyojidanganya hivyo mawahabi?

    • @abdelazizmuombwa4714
      @abdelazizmuombwa4714 4 месяца назад

      Twamuomba Allah akuzidishie Elimu ili nasi tuweze kustafid.

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223 4 месяца назад +5

    Mashallah nakuelewa sana umenizindua kwny mambo mengi wallah Allah(sw)akupe nguvu na afya njema ktk kuipigania dini yake

  • @RamaNassry
    @RamaNassry 4 месяца назад +5

    YA'ANI WE MUHAMMAD BACHU UNAJUA{ALLAHUMA BAARIK ALAYHI}🤗🤗🤗

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391 4 месяца назад

    Masha'Allah, Sheikh Muhammad Bachu Umetumia Elimu Yako Vizuri Kuelimisha Umat Muhammad 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @AmiriRashidiMajinji
    @AmiriRashidiMajinji 3 месяца назад

    A.alaykum sheikh bachu,ndg yangu pole sana,wote nyingi mnatngaza na kujifurahia makundi yenu tu(madhehebu)kama unavokariri bila haya ati wewe ni muwahabi!! Hebu tuirejee 22:78 kisha 3:103,105 na 30:32 halafu utufafanulie umeyaelewaje na ulinganishe na maneno yako uliyoyatamka ktk mada ya arafa,tafadhali tuifuate qurani ndg zanguni.

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 4 месяца назад +1

    Sheikh shukran sana Allah akubariki kwa kila Kheyr.Lkn Sheikh ningeomba kufahamishwa kitu cz mm c kusoma lkn kuna Mengine hayahitajii usomi.kuuliza Swali langu ni hilii Kabla hakujaingia Mitandao Mababu zetu waliifaidi Vipi hii Funga ya Arafaa kabla ya mitandao kuwepo chengine Fat'wa ya Said Hassan na yako zote zipo kwa hiyo Majmuul fatawa ya Sheikh Swaleh RahimahuLlahu Sasa tuelewe vipii huoni km huo ni mgonganoo Shukran sana

  • @Mahli1995
    @Mahli1995 4 месяца назад

    Ma shaa Allah Sheikh wtu Allah akuhifadhi akupe umri mrefu uzidi kutuongoza kwa njia ya sawa

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 4 месяца назад +4

    Ustadh Bachoo tumezoea unapokosoa unaelekeza kurekebisha Maneno aliyosingiziwa au ufahamu wa shekh sasa tunaomba tupate faida kweli ibnutaimia kasema maneno aliyosema huyu Shekh ahsante

  • @alwysalehmohamedalammary3507
    @alwysalehmohamedalammary3507 3 месяца назад

    Mashallah Mashallah Allah akujalie afya njema na akupe elmu.

  • @AboubakarMbwana
    @AboubakarMbwana 4 месяца назад +19

    Jamani huyu kijana anaonekana anauelewa mdogo maskini lakini ajiona amepatia kweli na inaonekana watu wengi wanaokomenti wako hivyohivyo shekh uthaimini kwahapa amezungumzia ibada ya hija kule maka yatekelezwa kwa kuzingatia mwezi wa maka ima fatwa ya funga ya arafa ameitanguliza

    • @ambarimwajuwa3870
      @ambarimwajuwa3870 4 месяца назад

      HAJAELEWA KWAMBA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI

    • @khadijaabdulrazak8008
      @khadijaabdulrazak8008 4 месяца назад +1

      Sikiliza kwa roho ya ukunjufu tufaidike sote wapita njia

    • @Jumaa-rp5ye
      @Jumaa-rp5ye 4 месяца назад

      ujinga ni mzigo

    • @zuberhamza7852
      @zuberhamza7852 4 месяца назад

      Mtihani
      Nahwu ni kitu kingine Unatakiiwa utulize akili naona bachu anaongelea tofauti

    • @omarjuma3793
      @omarjuma3793 4 месяца назад

      Mpaka msemeeeee mpaka haqqi ijulikane

  • @swafiaismail-ji1op
    @swafiaismail-ji1op 4 месяца назад +2

    Mashallah ya sheykh allah akuhifadhi akupe na umrii umma tufaidike mashallah baraka llahu fika

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
    @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri 4 месяца назад +2

    Dalili tosha ndio hio mashaAllah
    Mungu atuongoze pia wewe Bachu
    Nakupnda wallahi kwa ajili ya haqqi.

  • @amazing_ERA
    @amazing_ERA 4 месяца назад +4

    Jazakumullahu kheir fii dunia Wal akhera

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui
    @Ibunmaulanashirazy-sn5ui 4 месяца назад +7

    UNGESEMA YALE MANENO SIYAKE IBUN UTHAIMIN UMEMSINGIZIA KAMA NIYAKWELI BASI ACHA WATU WAFUATE

  • @Yasminaslamaslam
    @Yasminaslamaslam 4 месяца назад +1

    Simba Mohamed Nassor Bacho,Allah akuzidishie ilmu na hekma na ubusara

  • @ابومعاذاحمدناصر
    @ابومعاذاحمدناصر 4 месяца назад +8

    Safi sana muhammad allah akuhifadhi

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003 4 месяца назад +2

    Mashaallah Allah amuhifadhi sheikh wetu

  • @abuuaisha6110
    @abuuaisha6110 4 месяца назад +1

    MashaAllah, jazaka Allahu kheira, umetoa faida kubwa

  • @FathiSaid-j6v
    @FathiSaid-j6v 4 месяца назад

    Mashallah Shekh wetu Muhamad Bachu

  • @Imranosman-n9h
    @Imranosman-n9h 4 месяца назад +6

    الله يزيده الإخلاص والمتابعة ، بارك الله فيك يا شيخ

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 4 месяца назад +11

    ALLAH ATUONGOZE KTK NJIA ILIYO ONGOKA AMEEN

  • @JazairAbedy
    @JazairAbedy 4 месяца назад +15

    Sijawahi kucoment ila leo niseme2 حفظك الله

  • @Superbasil-h3x
    @Superbasil-h3x 4 месяца назад +9

    Kwahiyo qarne 14 watu waliokuwa wakifunga kwa muandamo wao akiwemo mtume SAW ilikuwa saumu yao sio sahihi ?

    • @Nusrat_Khalifa
      @Nusrat_Khalifa 4 месяца назад

      Hapo sasa…?! Manake social media haikuwepo wakati wa mtume alafu sheikh asema miji ya kiarabu ama?

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n 4 месяца назад +1

      Hao wanapewa udhuru,hukmu itazingatiwa baada ya kujua kila kinachoendelea hapo Makkah

    • @Superbasil-h3x
      @Superbasil-h3x 4 месяца назад

      @@Muharram-c5n
      Na mtume SAW alikuwa akifunga kwa muandamo wake kwahiyo na yeye apewa udhru ?
      Kisha hebu tuambie mtume alikuwa akifanya ibada za siku kumi za dhu alhija kabla ya kufaradhiwa hija , sasa alikuwa ikifanya kwa mujubu wa hija gani ?

  • @SurprisedCurling-si9yr
    @SurprisedCurling-si9yr 4 месяца назад +3

    Allah akuhifadhi sheikh nassor ... shukran

  • @DarlinKuchage
    @DarlinKuchage 4 месяца назад +9

    Allah akulipe Kila lakheri tuna stafid kutoka huku moshi kilima njaro

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 4 месяца назад

      Tumewapa Uthmaan Maalim wakatupa Muhammad Bachu....watanzania hawajui walicho kipoteza

  • @yussufsule4793
    @yussufsule4793 3 месяца назад

    Alhamdu lillah kwa kuujua ukweli zamani tu na sina shaka na Arafa moja tu tena ipo makkah

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu 4 месяца назад +4

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 4 месяца назад +6

    Kijana wallah bado sana kweli afu tena aona anajuwa

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 4 месяца назад

      Wewe ndo Bado sana shehe zenu wanatumia sana uongo kama anamfatilia bin uthaymeen kwanin asione hayo maneno hapo kuhusu hija na ayanukuu tofaut na maneno yanayohusu ramadhan? Shehe bacho kumuomba vizur tu Kwa heshima kwamba akasome tena hiyo miatar Wala hamna tusi hapo

    • @abuuaidh6500
      @abuuaidh6500 4 месяца назад

      Kijana huyu bado Sasa ww ulokuwa Tayari yapinge hayo kihoja.

    • @yussufsule4793
      @yussufsule4793 3 месяца назад +1

      Humjui wewe huyu Like lion kwa watu wa bidaa

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 3 месяца назад

      @@yussufsule4793 kkkk kakimia kamezesho mate mombassa na kutoroka hadharani nAni hakuoba

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 3 месяца назад

      Yaani ni kweli BADO SANAAAAA

  • @salumtakao9828
    @salumtakao9828 4 месяца назад +3

    Mashallah .dhekh muhammad ww ni kiboko yao. Wabkishe ukaidi tu ila kauli zipo waz wazi hizo. Watu wa twarika waache ubishi na kupotosha

  • @SalumNyumba
    @SalumNyumba 4 месяца назад

    Ostadh Bachu allah akuhifadh

  • @OthmanKhamis-p5d
    @OthmanKhamis-p5d 4 месяца назад

    Shekh Muhammad bachu Allah akuhifadhi uzidi kuwelimisha umma

  • @timermedia3509
    @timermedia3509 4 месяца назад +3

    Hapo ndo ujuwe pia uwahabi ni chombo cha kuwapeleka watu motoni. Kumbe ramadhani shekh wao kasema wafate kwenye mji walo kuwemo ndani ila wafuasi hawajiulizi wanakazi ya kuwatukana masufi mtachelewa sana minyoo ya saudia.

  • @khadijaabdulrazak8008
    @khadijaabdulrazak8008 4 месяца назад

    Mashallah tabarakallah jazakallah kheir Allah atuongoze cc na vizazi vyetu amiin

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 месяца назад +13

    Nmeamin kweli masuufi n masifa tu virembaa😢 vikuubwaaa uelewa ni punje ya mchele!
    Alaf masufi ni wavivu kusoma !!!

    • @binaamour318
      @binaamour318 4 месяца назад +1

      Huo ndio ushabik wko ulivofikia badala kujua kwamba suala hili Lina ihtilaf kauli nyingi unaanza kushtumu masufi ?

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 4 месяца назад

      Hakuna ikhtilaf wowote ya suufi jaahil, utakosa fadhiila ya arafa na kukosesha ummah pia. Unajifurahisha na ikhtilaf na kupotosha watu​@@binaamour318

    • @jamalijamali6820
      @jamalijamali6820 4 месяца назад

      Acha kuwatetea masufi​@@binaamour318

    • @swalehbakari2667
      @swalehbakari2667 4 месяца назад

      😂😂😂 kabisa

    • @amisafaraji5796
      @amisafaraji5796 4 месяца назад

      Unapotea ilihali ni muislamu. Badala ufatwe nyia sahihi unaleta ushabiki kweny dini

  • @SalumNyumba
    @SalumNyumba 4 месяца назад

    Watu wa muridi (twariqa) wanaharibu dini ,Allah awaongoze ktk haq

  • @MariamAsudi
    @MariamAsudi 4 месяца назад

    MashaAllah MashaAllah may Allah guide us all

  • @swalehahmad8947
    @swalehahmad8947 4 месяца назад +2

    DR ALI JUMUAH SIO MWANACHUONI WAKISHAFII NDIO MAANA HAKUTOWA FATWA KUTEGEMEA MADH'HAB YA AL IMAAM SHAAFI3YY KWA HIVYO HATUMTEGEMEI KATIKA SWAUM YA ARAFA HATA KAMA NI WETU WA TWARIQA ...
    SI NYINYI PIA MUMEMUWACHA MKONO IBNU UTHEYMIIN KATIKA MUANDAMO WA RAMADHANI !!!!!
    KIELEWEKE..

  • @Maresca368
    @Maresca368 4 месяца назад +5

    Shukran sana sheikh Bachu!

    • @gelamuyombo6783
      @gelamuyombo6783 4 месяца назад

      Kila mwama nyie ni watu wa mashaka juu ya ibada ya funga majibu mnayopewa na viongozi wenu huwa mnayatilia shaka

    • @amisafaraji5796
      @amisafaraji5796 4 месяца назад

      ​@@gelamuyombo6783hatuyatilii shaka tunaekana sawa tu

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 4 месяца назад +1

    Barakh Allah Kher sheikh

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 4 месяца назад

    Allah azidi kukupa Afya na faham Alhamdulillah...

  • @ishakakhalid
    @ishakakhalid 4 месяца назад +5

    am the first one .
    Gonga like

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 4 месяца назад

    Allah akulipe kheri Shekh..

  • @AliJabal-fx8pd
    @AliJabal-fx8pd 4 месяца назад +2

    بارك الله فيك ويزيد لك في علمك.

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ci 4 месяца назад

    Simba wa Allah ❤️❤️❤️ unajuwa mpaka unajuwa tena Allah akulinde

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 4 месяца назад

    Masufi hua wanaumia wakimskia bachu anawaharibia sahani zao za kulia wanashtuka sana bachu is here to stay Bi Idhnilaah

  • @suleiphwaupendo1030
    @suleiphwaupendo1030 4 месяца назад +1

    Asalam alaykum sheikh Allah akulipe kheri na akuhifadhi lkin tukitizam hiz clip matangazo yanakuwa mengi hususwa ya kuchukuwa mkopo wa riba jitahidi kuyaondowa Allah akulipe heri

  • @SuleKhamisi
    @SuleKhamisi 4 месяца назад

    Je nyinyi mngalikua mitume shekh Muhammad ukawa mtume wa das na haji upepo ukawa mtume wa Zanzibar c mngatifautiana jee mitume iliopita ilitofautiana?

  • @zuberhamza7852
    @zuberhamza7852 4 месяца назад +1

    SHEKH BACHU NUKUU VIZUR ALOYASEMA SHEKH MIMI BINAFSI SJASKIA KAMA KASEMA ANAMFATILIA SANA ANAMSOMA SANA LAA KASEMA ALIPOENDA ARAFA KAKAA KWENYE DARSA YAKE MPAKA IKAMALIZA NA AKAENDA KUMSALMIA

  • @YarmanAljahhdiry
    @YarmanAljahhdiry 4 месяца назад +1

    Shekh allah akuhifadhi ila unapozunguza jaribu kuwa nauwangalifu na unachokisema

  • @alivuai9949
    @alivuai9949 4 месяца назад

    Sheikh, enzi zile ambapo hakukuwa na simu za kileo wala tv watu wakifunga vipi??

  • @mukhlisukamugisha9956
    @mukhlisukamugisha9956 4 месяца назад

    🎉🎉🎉 Allah akuthibitishe shekh wetu

  • @SuleKhamisi
    @SuleKhamisi 4 месяца назад

    Shekh Muhammad bin bachu na shekh said na ust haji bin upepo nyinyi iwapo mtakutana katika basi Moja c mtatiana ngumi nyinyi?

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 4 месяца назад +6

    Wananukuu yale wanayotaka wao tuu ila ALLAH anawajua zaid nafsi zao

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs 4 месяца назад

    Maaashaaallah sheikh bachu Allah akuhifadhi kwkwel

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 4 месяца назад +3

    IBADA YA ALLAH NI MIEZI MIANDAMO TU.

  • @AbdulRama-u7d
    @AbdulRama-u7d 4 месяца назад

    Uko vizuri ALLAAH akulipe kheri

  • @Hawwamajidy
    @Hawwamajidy 4 месяца назад +2

    Umejichanganya sana bachu
    Acha nikusaidie hyo fatwa ulotoa ww
    HAPO IBNI UTHAEMEEN ANAKATAZA MAKKA KUFUATA MIANDAMO YA NCHI NYENGINE
    YAAANI MAKKA ITAZAME TU MUANDAMO WA SAUDIA ILA SIO PENGINE
    leo bachu nimeona kumbe wasoma sana ila huelewi ulichosoma
    Na NDIO MAANA MAKKA HAWAFUATI MUANDAMO POPOTE DUNIANI

    • @bashirusalumbigapsana673
      @bashirusalumbigapsana673 4 месяца назад

      Huo ndo ukweli

    • @mohamedlamimu
      @mohamedlamimu 4 месяца назад

      Halafu kwa makusudi baada tu ya kusoma hicho kipengele badala ya kutafakari kwa kina majibu ya sheikh Uthymin anakurupukia kwenye mada zingine, hii ni dalili ya mtu mdanganyifu!

  • @NurBaalawy
    @NurBaalawy 4 месяца назад +1

    Barakallahu fik sh Muhammad bachu

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 4 месяца назад

    WALLAHI BILLAHI TALLAHI KAMA MUTAMUANGALIA KWA UTULIVU SANA HUYU BACHU MUTAKUTIA NI MNAFIKI NA SURA YAKE NI YA KINAFIKI .

  • @AliJussa
    @AliJussa 4 месяца назад

    Sasa duniani kuna mashekh wetu na mashekh wenu😢 Subhanalla, kumbe mnashindana kwa mashekh na sio dini yetu ya Uislam,

  • @faridijuma6020
    @faridijuma6020 4 месяца назад

    Good job 👏

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376 4 месяца назад

    Maa sha Allah Jazaqallahu khaira

  • @shabanbisaki
    @shabanbisaki 4 месяца назад

    Allah akuhifadhi tuzidi kunufaika

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 4 месяца назад

    Well said. Shukran

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 4 месяца назад +1

    Bachu Allah ti abençoe ❤❤❤

  • @HijaMussa-v5r
    @HijaMussa-v5r 4 месяца назад +2

    Kama waislamu wa sasa wanakoseswa kufunga arafa na masufi, hao waliofunga zamani vip wote waliipatia au dini inabadilika badilika kama kinyonga. naomba elimu katika hili.

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 4 месяца назад +4

    Ndugu yangu Bachuu kasome tena kasome tena kasome kumjibu Sheikh said Ali Hassan. Hata ukucha wake huupati.

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 4 месяца назад

      Nyie ndo vichwa mboga waambien mashehe zenu waache uongo huyo shehe wako katoa dalili kwenye kitabu Kwa kukata kata vipande mwambie asome maelezo kama alivonukuu Muhammad bacho mana kitabu ni hiko hiko😂

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 4 месяца назад

      Halafu video inavianza mwanzo tu inaanza na video ya shehe wenu wa kisufi mkubwa tu anaitwa shehe jumaaa anasema Arafat ni Moja siku wakisimama wahujaji na ramadhan watafuata Kila mtu mwez wao Sasa sheikh wenu Saidi na huyu sheikh jumaa mkubwa nan kielimu? Au hujaona hapo iyo video

    • @misbahukhalifa3216
      @misbahukhalifa3216 4 месяца назад

      Sasa tuko kwenye maudhui ya Arafa umeruka kwenye Burdah. Al hamdulillah ​@@saidimkwinzu9106

    • @misbahukhalifa3216
      @misbahukhalifa3216 4 месяца назад

      ​@@saidimkwinzu9106Ninge kujibu nanikutukane lakini Mtumi hatukani sawa sisi ni mboga lakini one day you will recover soon inshaAllah

    • @hadiyamohamed594
      @hadiyamohamed594 4 месяца назад

      Wewe na hio akili yako timamu unavyoona ni sawa arafaa jumapili kweli . Ulimwengu mzima wako makkah sasa basi watu wenge simama kila mmjoja na siku yake alivyotaka

  • @EdhaOmar-jd6os
    @EdhaOmar-jd6os 4 месяца назад

    mashekhe wetu hamuwakubali wenu mwawakubali

  • @alivuai9949
    @alivuai9949 4 месяца назад

    Watu ambao wanaishi mbali na Makka (yaani nchi za mashariki ya mbali na magharibi ya mbali ) je, wao hawaipati swaumu ya arafa kila mwaka??

  • @challengepcn7982
    @challengepcn7982 4 месяца назад

    Hiyo Sauti ambayo umekwa siwo sauti ya Sheikh. Imeweka sauté on top of the video -

  • @sheikh_abdulkarim
    @sheikh_abdulkarim 4 месяца назад +4

    Sasa mbona hapo sheikh bn ghuthaymin ajataja swaumu ya arafa hapo yeye kazungumzia mundamo na ibada ya hija unasoma na huku huoni

  • @JazairAbedy
    @JazairAbedy 4 месяца назад +2

    Kingine shekh kama una telegram naomba Link kama huna fanya uwenayo sheikh ili kizazi kijacho kije kinufaike

  • @NdarukeJuma
    @NdarukeJuma 4 месяца назад

    Shukrani sheihewetu

  • @AliJussa
    @AliJussa 4 месяца назад

    Binafsi Mungu ataenda kuniuliza kuwa kanipa ufahamu kutofauti zuri na baya , duniani kuna kukosea na kupatia,, binafsi Mambo ya Ki sunna hayawezi kunitoa kwenye mstari , Kuna Hijja na Kufunga ni ibada mbili tofauti, Alio Hijja hawafungi basi tunaofunga ni sisi tusio hijja😢 sasa sioni haja ya watu kuwa wakali kiasi hiki

  • @AdinaniNdyengu
    @AdinaniNdyengu 4 месяца назад +4

    Wewe Bachu ndio hujaelewa hapo unatusaidia Sisi kumuelewa zaidi Shekhe Uthaimin

  • @MaalimKhatib
    @MaalimKhatib 4 месяца назад +4

    Wallahi bachu huna hoja unaporoja tu hufai hata kusikilizwa habari ya maulidi inatokea wp hiyo mada ilikukokojoza na ukakimbia

    • @fatumajuma592
      @fatumajuma592 4 месяца назад +1

      Allah hapendi hivyo

    • @husseinislamicmediatv4376
      @husseinislamicmediatv4376 4 месяца назад

      hauna adabu wewe wala hautomfikia bachu hadi utakapo ingizwa kaburini

    • @Bombwejr18
      @Bombwejr18 4 месяца назад

      Kazungumzia Arafa ilivyo halfu akagusia mambo Ya sheikh ibn uthaimin kaongelea mambo Ya akida mbona amuyafatilii kama sheikh anamfatilia sheikh mwenzie

    • @cheapunderage8228
      @cheapunderage8228 3 месяца назад

      Acheni hujail nyinyi na chuki za kidin ktk madhheb

  • @masoud744
    @masoud744 4 месяца назад

    Mashallah.. allah akuhifadhi

  • @allyjuma9669
    @allyjuma9669 4 месяца назад

    ماشاء لله بارك لله فيك

  • @maktab3679
    @maktab3679 4 месяца назад

    Yaani bado hamujaona huyu kazi yake si kuendeleza ilimu bali nikupinga ma shekhe. Yaani akae tu kuskiza wengine awakosoe. Hii tabia c nzuri . Mungu atuongoze yaraby .

  • @takwatakwa-on3si
    @takwatakwa-on3si 4 месяца назад

    very wise answer from sh.Mohd Bachu to the khurafi said ali hassan..
    Very sad they are trying to divert the truth but Allah has provided
    answer from a very young wise student of knowledge.. Subhana Allah
    said hassan will never have an answer for Bachu junior hafidhahu Allah.. Allah Akbar

  • @maktab3679
    @maktab3679 4 месяца назад +3

    Sasa basi tuambieni miaka 50 iliopita wakati wa babu zetu hakuna simu wala tv walijuaje watu kule wako arafa??? Jiulize hilo halafu zingatieni. Au walikua hawali eid? Au walikua hawafungi arafa??

    • @khalidmziwanda9024
      @khalidmziwanda9024 4 месяца назад

      Hapo sasa tatizo watu hawataki kusoma wanafuata mihemko tu 😂

  • @MaryamRashid-yw1wx
    @MaryamRashid-yw1wx 4 месяца назад +5

    Umejichanganya leo

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336 4 месяца назад +4

    JAZAKALLAHU LKHAYRY

  • @isaack100
    @isaack100 4 месяца назад +1

    Lakini bhachu weee ,ywezekanaje ukaona mwezi leo alfajiri,kesho asubuhi ipotee alafu bado jioni iandame tenaa Allahu akbar

  • @shabanbisaki
    @shabanbisaki 4 месяца назад

    Shakh bachu naomba namba yako kwa mawasiliano

  • @maktab3679
    @maktab3679 4 месяца назад +1

    Watu zamani wakitoka misri morocco ma ngamia wakienda hajji kabla kwa miezi 3 waliobaki nyuma waliangalia siku ya arafa vipi na eid vipi?? Nijibuni tu hili swali

    • @seifabdi9248
      @seifabdi9248 4 месяца назад

      Ndungu yangu mwislamu, kutokana na hikmah ya Allah ni kweli usemacho lakini kulingana na MDA unavyo enda na wakati binadamu kutokana na hima na maarifa Allah amempa ameweza kutengeza chombo tofauti za usafiri ili kufupisha safari na mwendo kama vile baiskeli, gari, na hata pia ndege kumwezesha kupaa angani na kuweza kupunguza MDA WA usafiri wao kutoka pembe zote za ulimwengu kwenda makaa.
      Binadamu kitambo alikuwa anatumia jua na hata pia kivuli chake kujua saa zinavyoenda lakini MDA unavyo songa akavumbua saa ya mkononi kurahisisha mambo
      Waislamu kitambo walikuwa Wanapanda kwenye minara kuadhini na kuita watu waje kuswali lakini MDA unavyo songa wakavumbua speaker na microphone kuadhini ili wale wako mbali pia wasikie na waje kuswali.
      Jinsi technologia inavyo songa miaka 100 ijayo mambo yatakuwa yamebadilika kiasi yakuwa watakuwa wanatushangaa vile Sisi tulikwa washamba na hakika miaka 150 ijayo sidhani Mimi na wewe mambo yatakavyo kuwa ispikuwa Allah.
      Kwa sasa technology inakuwezesha kuona mambo tofauti yanavyo tokea pembe zote za dunia moja kwa moja kupitia television na hata kupitia kwenye simu mkononi na hivyo ndivyo mambo yanakwenda kwa Kasi ya wakati.
      Kwa hivyo dungu yangu mwislamu kumbuka Allah alivyo muamrisha nabii Ibrahim baada ya kuijenga kaaba akawaite watu kutoka pembe zote za dunia kisha Ibrahim akamjibu Allah kuwa haoni watu na akajibiwa kuwa KAZI Yake ni kuita na kisha hui mwito Allah ataufikisha na watu watakuja kutoka kila pembe ya dunia. Naomba msamaha kama nimekosea.

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502 4 месяца назад +3

    Kweli Hali Ni mbaya leo Masufi ndio wakutangulizwa mbele ya kina Fawzan na Masheikh was SaudiArabia.

  • @sultanmohammed4157
    @sultanmohammed4157 4 месяца назад

    Mohamed Bachu hana ilimu yakotosha na hashimu mashekh wengine.

  • @zaiboris9696
    @zaiboris9696 4 месяца назад

    Mashallah

  • @ahmedbadi5822
    @ahmedbadi5822 4 месяца назад

    SASA TUFUATE MSIMAMO WA SHEIKH WA TWARIQA AMA WA UTHEIMEEN??