#masufi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • ИгрыИгры

Комментарии • 312

  • @AbdulmajidHamiss
    @AbdulmajidHamiss 5 дней назад +5

    Sheikhe wetu Muhammad Bachu Mungu akuzidishie maisha na akulinde na watu wa maulidi.

  • @nassoraliy3871
    @nassoraliy3871 6 дней назад +18

    Huyu ndie sheikh bora kijana bora. Est africa mashariki na Kati sheikh muhammad bachu allah amhifadhi

    • @VuaiAli-zt9ib
      @VuaiAli-zt9ib 5 дней назад

      Sheikh au mtukanaji?

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 5 дней назад +1

      Mi naomba kuuliza hivi kumbe Al imamu nawawawi alikuwa ni sufi au anasifu maulidi

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn 5 дней назад

      ​@@VuaiAli-zt9ibHaki huitaki ndio ukasema hivo

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn 5 дней назад +1

      Nilitaka niseme hivo kwa kweli Muhammad bachu Allah amuhifadhi maana km utamsikiliza kwa umakini moyo unafurahika sana maana anachokizungumza kinaingia akilini kidalili

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 5 дней назад

      ​@@HashimSalim-qj7znhakuna haki mtume s a w aliwatabiri kina ruweibidhwa bachu hana ilimu kuropokwa tu

  • @AbdulmajidHamiss
    @AbdulmajidHamiss 5 дней назад +3

    Mungu akuzidishie ilmu sheikhe wetu Muhammad Bachu kutoka Moçambique(Msumbiji)

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 6 дней назад +6

    wafundishe masufi hao Allah akuhifadhi shekh Muhammad bachu nadhani wataelewa Allah ndie muongowaji

    • @AbdulkarimShosi
      @AbdulkarimShosi 4 дня назад

      Amfundishe nini ibara zenyewe kuzitafsiri ni bala hata masalafi wenzake wanamkosoa kweli kweli ana udhaifu wa ilimu sana amekuwa ni mropokaji tuu akitoka kwa sheikh huyu humvamia sheikh mwengine kwa hakika huu ni msiba wa Hali ya juu

  • @KishkitvAhmad
    @KishkitvAhmad 6 дней назад +8

    Masha allah from Moçambique 🇲🇿🇲🇿 allah akupe umri mrufu wenye Baraka na manufa

    • @alf8177
      @alf8177 6 дней назад +1

      asantev lkn Allah andika kwa herufi kubwa

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
    @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri 6 дней назад +6

    Tuko pamoja kwa dalili zenye ziko wazi Asante sheikh wetu Muhammad Bachu.

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 6 дней назад +6

    Wallahi Alla kaichukuwa bakora ya mpera katuletea bakora ya mpingo nakushauri bachoo ishi na adhkari sana hawa jamaa hawako sawa unawachapa vibaya wallahi

  • @LuluAquai
    @LuluAquai 5 дней назад +3

    Wallah unazini kunishibisha,nnachokupendea we unafungua vitabu tu,maneno ya machache ya wanazuoni mengi

  • @ismailowino2866
    @ismailowino2866 6 дней назад +4

    Masha'allah tabarakallah,Sheikh Bachu Allah azza wa jal akuhifadhi na aendelee kukupa kauli thabit kupambanua baina haqq na baatwil

    • @madrasatunnajmizzaahiral-i2478
      @madrasatunnajmizzaahiral-i2478 6 дней назад

      Ummu Aaishaaaah,njoo Bachu huyu huku aendelea nayale ulo mrikibisha kule kwa Sh.Samiir.

    • @nassoraliy3871
      @nassoraliy3871 6 дней назад

      Yule dada hashuo

    • @AsampiMpili
      @AsampiMpili 5 дней назад

      ​@@madrasatunnajmizzaahiral-i2478wanaume mmeshindwa mnaomb msaada Kwa wakina mama😂😂😂masufi bna

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 2 дня назад

    Mm nimependa energy yake allah tabaraka wataala akulinde mm sehemu au mji nliopo hakuna dini na nasoma kupitia from *🇫🇷

  • @msabahkhamis5233
    @msabahkhamis5233 6 дней назад +2

    Mashallah allah akujaze kheir na baraka ww na ss na Allah akupe umri mrefu wenye kheir uzid kutufaamisha cc waislam wa chin

  • @SharafuAli
    @SharafuAli 4 дня назад

    Masha Allah shekh bachu we usijali tushibishe kwa elmu Akili kichwani Allah akuhifadhi ❤

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie2755 6 дней назад +1

    Shukran jazakallah Ustadh Muhammad kwa kututoa ktk upotofu wa kisufi.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 5 дней назад +1

    yaan mm ckupata kwaelewa masuuf na Majadiida ila kwa kufuatilia darasa za shekh ibn Bach
    Allah akuhıfadh
    Jazakum Allahu khayean

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 2 дня назад

    Mufti menk was in zanzibar preaching peace masha Allah

  • @ismailmakame7183
    @ismailmakame7183 6 дней назад +5

    Allah atufishe ktk uislamu nasunnah

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 5 дней назад

      Hivi mi naulizia al imamu nawawi ni msufi alikuwepo wakati wa maulidi au muhammadi nawawi yupi alomtaja bachu kuwa katafsiili maulidi???

  • @BashiruMteka
    @BashiruMteka 2 дня назад

    Masha Allah sheikh wetu❤

  • @RamadhaniShembilu-l1e
    @RamadhaniShembilu-l1e 5 дней назад +3

    Dah mashalaah wallaahi maulidi tena baaaaasiiiiiiii tulipotezwa sanaa😭😭😭😭😭

    • @sakinasakku8340
      @sakinasakku8340 5 дней назад

      Maskini pole sema ALHAMDHULLILLAH kwakumpata sheikh bachu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 5 дней назад

      Tutasoma maulid huyu sheikh wenu bachu mpotoshaji ilimu hana

  • @AbasiShariff
    @AbasiShariff 2 дня назад

    Sema nsufi gan alietunga kitabu ucho

  • @chinammasai9967
    @chinammasai9967 3 часа назад

    Wewe eneza ukristo wako ivo ivo lkn ipo siku Allah atakirudi insha Allah

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 5 дней назад +1

    Bila Shaka ni waongo wa Hali ya juu tena, wallahu mustaan

  • @AbasiAbasi-v9d
    @AbasiAbasi-v9d 6 дней назад +2

    Allah atuhifadhi na atuepushe na ujahili

  • @rashidwesonga7475
    @rashidwesonga7475 4 дня назад

    Allah akuzidishie Elimu nakufatilia kutoka Dubai

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 5 дней назад +1

    MAASHAA ALLAH tabarakallah sheikh

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 5 дней назад +1

    Maashallah yaa shaikhunaaa habib,,,,

  • @AbuuZalmay
    @AbuuZalmay 5 дней назад +1

    Tunapata elimu Alhamdulillah 🤗🤗🤗🤗

  • @brainzanzibar1592
    @brainzanzibar1592 6 дней назад +3

    Masheikh wacheni kupoteza muda, hizi Raddi hazituletei faida zaidi kugawanyika.
    Dini sio vilabu vya mpira, hao wanaokutieni ushabiki sio watu wema ni mafatani katika dini.
    Tumtafuteni adui wetu wa kweli.
    Dini haifundishwi kwa ugomvi.
    Ria zimekuwa nyingi kwa Masheikh.
    Mnatupotezea muda.
    Maadui wa Uislam wanafurahi sana wakitusikia tunaishi hivi.

    • @AwadhTariq
      @AwadhTariq 6 дней назад

      Lazima haki ijulikana na batwil ijulikane

    • @MattarOnlineTV
      @MattarOnlineTV 5 дней назад +1

      Kakaaaa amka, kwa mfano qur'an imebadilishwa sehem inapaswa ifundishwe ivo ivo au irekebishwe kwanza ndio iendelee kufundishwa
      Mbona mnawaza vitu vya hovyo jamani
      Sheikh Muhammad Nassor Bachu
      Daawa inawaingia twende kazi

    • @IbnuAlly-wm8il
      @IbnuAlly-wm8il 5 дней назад

      Ebu tujaalie ajitokeze muislamu mmoja adai kuwa kufunga ramadhani siwajibu na akatoa hoja zake anazoona kuwa ni hoja, jee muislamu huyo yafaa kumraddi kwa madai yake hayo na kuwaambia watu wasimfuate? ikiwa inafaa he ni kwa msingi upi

  • @MshihirDguyya
    @MshihirDguyya 2 дня назад

    Hayo at Muhammad bin Abdul wahaab alianza nasiasa

  • @MbwanaHusein
    @MbwanaHusein 6 дней назад +3

    Shekhe yule dj kwenye vitabu amnakitu au ajenagitaa

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 6 дней назад

      Angalia msijitoe muhanga!.

  • @isaack100
    @isaack100 2 дня назад

    Nakumbuka kitambo khutbah za kishki na Athman maalim Wallahzimejenga Imani yangu.lakini hizi raddi ni kutafuta umaarufu Bali hayatujengi kiimani wallah

  • @solomomadej
    @solomomadej 4 дня назад

    Ushauri wangu ikwa mwafanya mambo hayo kwa ikhilasw na kuitengeneza dini bas ni vyema ila kama ni kuoneshana elimu tahadharini na riya na kibri

  • @wamsalsuyuwtwiy9229
    @wamsalsuyuwtwiy9229 6 дней назад

    A/alaykum wa rahmatullah. Ooh Kwahiy hayo aliyosema yapo kwenye kitabu cha Ibn Kathir kumbe sio kwel eti ust Muhammad. @ Muhammad Nassor Bachu

  • @RashidAbuu-b3z
    @RashidAbuu-b3z 3 дня назад

    Maneno ya ibn kathiri mbona hujayapinga ???

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj 5 дней назад +1

    Baraka za mtume s a w ziko mpaka kesho na sisi tusomao twajua faida yake ww mpotoshaji hutwambi kitu

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 5 дней назад

      Allah akishaupiga mhuri moyo wa mtu basi hamna wakuuongoza ila yeye mmwenyewe Allah akuongoe

  • @Mbarkakombo
    @Mbarkakombo 5 дней назад +2

    muhammad hajamjibu sheikh maana sheikh maneno aliyo yasema kamnukuu lbnu kathiir nahajayatunga yeye

    • @sadikimgaza5998
      @sadikimgaza5998 4 дня назад

      Swadakta

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 4 дня назад

      Kama umeshaelezwa chanzo cha uanzishwaji wa maulidi bado wataka nini zaidi? Kama uanzishwaji ni mushkeri je kinachoendelea mbele juu ya jambo hili litakua sawa.

    • @sirluuamaze4853
      @sirluuamaze4853 4 дня назад

      Nimeangalia kwenye kitabu cha albidaaya wa nnihaaya mj13 uk 121...hakuna maneno hayo...(how i wish naeza screenshot hyo page muone)

  • @AnubakarAli
    @AnubakarAli 4 дня назад

    Wewe hufahamu kuazisha sihoja hoja waliazisha vipi kitendo ndo kibaya mifumo mtume amesema mwenyekuazisja jambozuri atalipwa uzuri na mwenyekuazisha baya atalipea baya kamawao wliazisha ubaya weziwao niazao nzuri jambololote lahitajinia umesomesha nananiwewe

  • @mustaphamkali7476
    @mustaphamkali7476 6 дней назад

    Assalaamu alaykum muhammad bachu, swali langu aliyo yasema yamesemwa kweli na ibnu kathiir kwenye bidaayatu wannihaaya ama si sahihi???

  • @Yussuphmm
    @Yussuphmm 6 дней назад +1

    Tufundishe kupekua izo link za vitabu tafadhali

  • @suleimanmohd6759
    @suleimanmohd6759 6 дней назад +4

    Mie ningekushauri achana nae uyo DJ kwa sbb si mtu wa dini.

  • @ramadhanikimweri1240
    @ramadhanikimweri1240 4 дня назад

    Bachu tujua ninyi kiongozi wenu nimyahudi waishio suudia

  • @cfffff2740
    @cfffff2740 6 дней назад +1

    Assalaamu alaykum warahmatullah
    Sheikh Muhammad Maa shaa allah, nina shida na ww hata kama ni wasap, kuna maswali kadhaa nataka kukuuliza ili itulizane roho yangu.
    Maa shaa allah,
    Naomba namba yako ya wasap shekh

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 4 дня назад

    Hajajibu abidaya wal nihaya .muongo bachu

  • @AnubakarAli
    @AnubakarAli 4 дня назад

    Nini bidaa hayo mnayoyafanya ni bidaa hamuoni kama mnafanya uzushi mungu mtakwenda kumwambianini kilasiku mnashajihisha watu waache bidaa mcheni mungu mnaifanyia isthzai dini muogopeni mungu

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 5 дней назад +1

    Wewe bachu ulishashindwa mpaka ukajikojolea, Sasa naona unataka kujinyea.

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 2 дня назад +1

    Makhurafi Ni lugha ya utambulisho, saguro au tusi!!!!?

  • @AwadhTariq
    @AwadhTariq 6 дней назад

    Wallah kila nikisoma comments za wenzetu hawa kwel unaona kuwa hawa ikhlas ya kutumia mdomo sheikh ameleta vitabu iweje utukane ALLAH ATUONGOZE KTK NJIA ILIYO YA SAWA KWA SOTE ni huzuni😢

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 5 дней назад

      Sasa yy alikua anukuu yale maneno ya sheikh kusoma mbona bachu wafanya watu wajinga

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 5 дней назад

      Ati sadaka ilianzia hapo duh bachu mtupu kweli mtume s a w alihimiza watu watoe sadaka alafu ww ulikua unukuu yale maneno ya sheikh kusoma umerukia kitabu chengine

    • @AwadhTariq
      @AwadhTariq 5 дней назад

      @@saba-gv3mj ukisikiliza tena kwa umakini utaelewa. Sheikh bachu amemaanisha kuwa vp maulid yalivyoaanza na jinsi watu walikuwa wakichinja mbuzi wengi kutokana na hadithi za uongo za wanawa zuoni. Hakuongelea sadaka ilianza vp ila maulid yalianza vp. Jazzallahu kheir

  • @ShaibmbaroukHemed-mi5rf
    @ShaibmbaroukHemed-mi5rf День назад

    Shk muhammad twajua wapigwa vita sana nawapenda maulidi lkn usikhofu waelimishetu wao wameyafanya maulidi ndio dini hii nihatari sana nachuki yaokubwa namatusi makubwa wanakuelekezea wwe maana ndio daktari wao kuyapinga ayo wapendayo usiwaachie wape ukweli Allah atakuhifadhi nambinuzao

  • @DiniMwambashi
    @DiniMwambashi 5 дней назад

    Shehe hizinguvu nyingi mnazo tumia kulumbana kunawatu waivunja dini ya mungu tumalizane nao hawakwanza kama mazinge anavyo pambana

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 5 дней назад

      Kila sheikh na acheze part yake wengine waeke watu wa kawaida sawa wengine wawaeke watu wanaojinasibisha na uislamu sawa mana wakiachiwa pia watapotoa watu. FAHAMTU

  • @abdulkhaliqmuhammed456
    @abdulkhaliqmuhammed456 4 дня назад

    Bachu hayo mambo yaache tu kwa sababu kwenye Niqaash ulishashindwa, endelea kufundisha watu ibada zao achana na mambo ambayo ni مختلف فيها

  • @BinmuhamadSuwayd
    @BinmuhamadSuwayd 6 дней назад +3

    Tandika masufy wapotevu😂

  • @tawheedmedia-watamu
    @tawheedmedia-watamu 6 дней назад +1

    Sakna zimekwa nyingi sana يا سدوق

  • @MirajinyasukaMirajinyasuka
    @MirajinyasukaMirajinyasuka 5 дней назад +4

    Kwa mtu ambae hajakaa darasani atapotezwa na usemaji wa huyu mtoto lakini huyu mtoto Bado hajabalee kwenye elimu😂😂hata kitabu anacho nukuu hajui sisi masufi tunakichukuliaje.uhabi ni gonjwaa kwenye akili😂😂😂

    • @AmerinhoAmour
      @AmerinhoAmour 3 дня назад

      Tatizo unakichukua peke yako na km una wenxako tuletee raddi ya hiko kitabu

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 6 дней назад

    Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @الشيخحسين-ف3ش
    @الشيخحسين-ف3ش 6 дней назад +2

    Sawa sheikh langu

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 6 дней назад +2

    Huku kwa masufi wakaange2 lakini usiwaseme vibya Salfy akhy Muhammad.

    • @alijabu6226
      @alijabu6226 6 дней назад

      Kwaiy upo kiushabik ww kumbee eeh huokutaka kujua hakki uko wp

    • @IbrahimRamadhan-h8t
      @IbrahimRamadhan-h8t 6 дней назад

      Dini ni kusema kweli haijalishi Sufi au salafi shida uislam kwenda mbele kwani anakosea Sufi na salf pia so penye kosa pasemwe Allah akubaark akhiy

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 6 дней назад

      @@alijabu6226 vitu vingi anavyowasema Salafy huwa havina mashiko akhy.

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 6 дней назад

      Atamkaanga nani kamshindwa MUHABI MWENZAKE Kasim Mafuta,sasa anababaika kutafuta umaaruf.

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 6 дней назад

      @@IsmailSanga Ushawah msikia Qassim Mafuta anamjibu Bachu?

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 5 дней назад

    Mpaka wengine wanakimbia mijadala kama dj said wa Mombasa hataki kumsikia sheikh Muhammad bachu

  • @MattarOnlineTV
    @MattarOnlineTV 6 дней назад +2

    Nimekubali kifungio cha hii RADDI😅😅😅

  • @AbdulmajidHamiss
    @AbdulmajidHamiss 5 дней назад

    Wapenda kula

  • @Twariqabaalwy
    @Twariqabaalwy 4 дня назад

    Bachu uko tayari kwa mjadala na ustadh kusoma?tukuandalie mjadala?

  • @YaziduIddy-u7p
    @YaziduIddy-u7p 5 дней назад

    Katika vijana wa hovyo wew ni mojawapo sasa hapo unapinga hoja ya ibn kathir au unaelezea historia ya maulidi ?mbona kama hujitambui

  • @MuhammadsalmudadMuhammad-rq2qz
    @MuhammadsalmudadMuhammad-rq2qz 5 дней назад

    If like religion itself, you insult each other on the internet, no one will enter the paradise of ALLAH, hakuna atakae ingia peponi Kama nikudharauliana na kutukanana huku! Jameni mtume wetu aliwahi kumtukana mtu? Mbona masheikh wa mitandaoni hawa ni mabwabwa hakuna sunna hapo, From mocambique 🇲🇿😭😭😭 huruma waislam WA zamahizi

  • @AliKhamiss-r5k
    @AliKhamiss-r5k 5 дней назад

    ACHA KIBURI WEEE JAMAAA KALINGANIE WAKIRISTO ACHA UTOTO WA MIJADALA IYO IMEPITA NA WAKATI BADILIKENI NYIE SALAFI

  • @salmaanfaqiih
    @salmaanfaqiih 5 дней назад

    Tuache yote: ila huyu Kijana Muhamedi Bachu ni Mtu Mwenye adabu sana, ukimuona tu utajua kuwa ni Mtu wa heshima na adabu, hata anavyotikisika unaona pamoja na anavyocheza cheza

  • @NoorAli-vj4gn
    @NoorAli-vj4gn 6 дней назад +1

    Asalaam alaylum warahmatullahi wabarakatu

  • @Mbarkakombo
    @Mbarkakombo 5 дней назад

    maulid nihakki nahayawezi kuanguka bali yanazidi kukuwa nakuenea

  • @Salmeen912
    @Salmeen912 6 дней назад

    Mashallah

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 6 дней назад +1

    Roho za watu wa bidaa zipo motoni kabla ya moto mkubwa, allah amegonga mihuri katika nafsi zao hawataki hakki na kwakuwa wwmetaka upotevu wenyewe allah akawwgeuzia kule watakako wao na ibilis raaana tullah akawaweka mbali na hakki na kuwatia nguvu, kwasabu alikula kiapo cha kuwapoteza watu katika njia ya sawa, hivi mtu anakuambia usiku wa maulidi ni bora kuliko usiku wa lailatu lkadiri akati anaona kabisa allah kausifia usiku huo na kuutukuza kwa kuteremsha sura lakini kwakuwa wameipa mgongo hakki mtu anaona ni sawa ttuuh, hajui anampinga mwenyezi mungu wazi wazi ili kuhrarisha maulidi unadhani wwtu kama hawa allah kawita madhalimu utamuongoza mtu kama huyooo😂😂 shekh muhammadi unajithidi sana kuwafundisha kesho kiama utakuwa shahidi juuu yao madamu umefikisha atae pinga ainge lakini nafsi yake inamtfuna hiii ni hakki naikataa live wanawwfata watu so hakki

    • @AsiaBakari-b8d
      @AsiaBakari-b8d 5 дней назад

      Astaghfirullah ww unapata wapi nguvu ya kumuingiza mtu motoni ambaye ni muislam mwenzako? Hata kama anakosea

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 5 дней назад

      @@AsiaBakari-b8dso mimi kuna mwanazuoni kasema vzr tuuh, kulubu ahlibidai ljahim kabla ljahim lkubra kuwa rohooo za watu wa bidaah zipoo motoni kabla ya moto mkubwa,, yani saivi kwaule upotevu wao roho zao zipo motoni kabla hazijaukumiwa moto mkubwa, Arafu unaposema kuingiza muislamu motoni kwani hawapo waislamu wataingizwa motoni mtume mbona kawatia motoni wazushi aliposema wakulu bidat dhwalala kila bidaa ni upotevu wakulu dhwalala finnari na upotevu ni motoni kwani alowakusudia kina nani si waislamu watakaozusha mambo katika dinni sasa kama mtume mwenyewe kawatia motoni wazushi je huyo mwanazuoni nani yeye si ananukuu vitabu

  • @AlhajiMswaki-de3kb
    @AlhajiMswaki-de3kb 6 дней назад

    Nyie mawahabi mtihan bachu utapata tabu xn

    • @bukhariznz
      @bukhariznz 6 дней назад

      tabu mtapt nyiny kwa upotev wenu yye anachikifny ni kuwaelez. haqqi tu

    • @mudrickbachan2442
      @mudrickbachan2442 6 дней назад

      Kwni si kitabu kataja mwende mkasome​@@bukhariznz

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 5 дней назад

      Tafuta haki wacha upumbavu huo,,,,, wacha ushabiki angalia haki na ifuate wala usiseme "tumekusikia na tunakupinga" utakua hauna tofauti na makafiri wa banii Israel

    • @bukhariznz
      @bukhariznz 5 дней назад

      sawa

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 5 дней назад

      @@bukhariznz nimemjibu uyo suffiy hapo juu usijeona wewe,,,

  • @HassanAlbasry-nm3dl
    @HassanAlbasry-nm3dl 2 дня назад

    We mwenyewe una njaa kupitiliza ndio maana ukawa tarumbeta la mawahabi 😂😂😂 Rudi ukasoma tena jinga kabisaa😂😂😂😂

  • @swabirattwas.12
    @swabirattwas.12 6 дней назад +2

    Hhh Bachu Eti Utoe Maalumati😅😂

    • @bukhariznz
      @bukhariznz 6 дней назад

      ni vitabu tu vinaongea

  • @MadinaBilos
    @MadinaBilos 5 дней назад

    Hawa walisha potea mda Sana

  • @AlhajiMswaki-de3kb
    @AlhajiMswaki-de3kb 6 дней назад

    Nyie wapuuz mawahabi

    • @bukhariznz
      @bukhariznz 6 дней назад

      basi wapuuz ni weny vitabu kwasababu yye ananukuu tu

    • @swadaamiri8109
      @swadaamiri8109 6 дней назад

      Nsawa utalipwa namungu

    • @bukhariznz
      @bukhariznz 6 дней назад

      ahsant

  • @YarmanAljahhdiry
    @YarmanAljahhdiry 5 дней назад

    Yajulika kuwa maulidi yameazishwa na shia ila kama mtayafichua nimingi hata sufi wahabi ibadh wote yapo walozusha ila nyote kuweni wadilifu kuweni katika njia ya sawa nyote mnaupotevu ila njia nikurudi kwa Allah na mtume S. A. W

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 2 дня назад

    Lakin wakianzisha bilisi jambo zur yafaa kufuata

  • @Mbarkakombo
    @Mbarkakombo 5 дней назад

    Jamani msitekwe akili na shk muhammad bachu kila mtu atalipwa na nia yake wengine hawaindi kwa ajili ya kula

  • @AbdillahChande-c4q
    @AbdillahChande-c4q 5 дней назад

    khatar Sana hawez hata kutafsif tamko فنهضت analifasir kwa matakwa yake

  • @mustaphaomary114
    @mustaphaomary114 5 дней назад

    أن الطفل كريم
    Anna twiflu kariimi
    Tia irabu kama kweli mwanaume
    Na nyinyi wapambe msaidieni tuone

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 6 дней назад

    Shekh Muhammad Wallaahi masufi wanakuombea ufe haraka, kwa sbb una wafedhehesha kwa uongo wao na mauvu yao wayafanyayo na uzushi wao, na uwezo wa kukujibu hawana, ispokua wawafanyie watu khadaa na talbiis.
    Kwaio sisi tunakuombea umri mrefu wenye kheri na barka nyingi, ili uzidi kuwazindua walio zamishwa kwenye dimbwi la uzushi na urongo, na hali wao hawajui yalio fichikana.
    Huku nje wanaambiwa ni mapenzi ya Mtume, na uhakika ulivyo kumbe watu wanajitengenezea pesa na misosi ili kuvimbisha matumbo yao.
    Kwaio masufi niwaongo na niwazushi kama walivyo mabwana zao marawaafidh-mashia.
    Waislamu wezeni njaa zenu na dhibitini matamanio yenu, achaneni na uovu wa maulid na uongo wa wasimamiaji wa maulid muitakase Dini yenu....

  • @JailanRamadhan
    @JailanRamadhan 5 дней назад

    We ni mjinga sana sasa hiv hizo habar zimeshapitwa na wakati watu wanaoongelea kuhusu ghaza na Israel achana na ujinga

  • @AllyKiduka
    @AllyKiduka 6 дней назад

    Huyu mtoto anataka akakojoe kwenye kiti tena?

    • @JumaOmar-ku6cr
      @JumaOmar-ku6cr 6 дней назад

      Kwani bachoo anasoma nini nawasome vitabu nawao watushibishe hii dini acheni upumbavu

  • @AdamChogo
    @AdamChogo 5 дней назад

    Mnaomfuata Bachu dah mmepotea sana nendeni mkasome acheni ushabiki km n matajiri pia women mtume mtukufu Muhammad s a w anawazungumziaj matajiri huyo Bachu hana jpy kusoma hakusoma km alimkosoa dingi yake itakuwa mtu wa mbali

  • @الحَمْدُِلله-ص8م9ش
    @الحَمْدُِلله-ص8م9ش 5 дней назад

    shekh kuweka hivo vitab hapo vinamaanisha nin

  • @swabirattwas.12
    @swabirattwas.12 6 дней назад +1

    Tuwachie Uchafu Wako Kazi Kuteuka Kama Chura😅😂

  • @JailanRamadhan
    @JailanRamadhan 5 дней назад

    Upumbavu tu we ni mpambuvu sana hizi zilipendwa ongelea yanayoendelea Dunia sasa hiv

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 5 дней назад

      Vita vya Palestine haya nenda ukapigane sasa

  • @maalimhamad1297
    @maalimhamad1297 6 дней назад +8

    KWANI UNAZANI HAWAJUI WALLAHI NAAPA WANAYAJUA HAYO YOTE ILA KIBRI TU

    • @ayubahmed9490
      @ayubahmed9490 6 дней назад

      kweli kabisa Akhy

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 6 дней назад +2

      Kibri wanacho mawahabi, Kwanza hawana heshima, Alafu wengi wao niwaongo kama huyo bachu nimuongo sana.

    • @AwadhTariq
      @AwadhTariq 6 дней назад +2

      Sio kibri ndugu yng ni maslahi

    • @bakariomari24omar21
      @bakariomari24omar21 5 дней назад +1

      Ni maslahi ya tumbo

    • @bwagizoselemani8434
      @bwagizoselemani8434 5 дней назад

      Kaka wewe usipende kujib bila ya elimu maana wewe huna elimu yoyote​@@IsmailSanga

  • @khitamcaptainveca5045
    @khitamcaptainveca5045 5 дней назад

    Kisha umenda kufanya tafiti mpya kisha unakuja kujifanya umejuwa .
    Kisha unajiona umejaa naujuzi .
    Coz una furaha kwa uso .
    Sijui umejaza nini kwa kichwa

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 6 дней назад +1

    Kazi Yao uroho Tu mbuzi kuku ndicho wanachojua wao

    • @VuaiAli-zt9ib
      @VuaiAli-zt9ib 5 дней назад

      @@ameirameir4349 Hata kama unashabikia toa hoja za kielimu.

  • @wahabishabani9100
    @wahabishabani9100 3 дня назад

    Ama hakika wewe unaesema eti haka kabachu ni kijana bora,, kwa kweli wewe hujui kilicho bora na hujui ubora,, kuwatukan watu ndio ubora wa kijana huyu!!! Duh" ama hakika ujinga ni mtondoo

  • @Mbarkakombo
    @Mbarkakombo 5 дней назад

    mimi sitorudi nyuma kusoma maulidi nitasoma hadi kufa kwangu maana naijuwa nia yangu

    • @kasimubangu1875
      @kasimubangu1875 5 дней назад

      Kibri hicho

    • @Mbarkakombo
      @Mbarkakombo 5 дней назад

      @@kasimubangu1875 sio kibri tatizo nyinyi mmefumbwa macho na mawahabi shekh KUSOMA kanukuu maneno ya mwanazuoni IBNU KATHIIR

    • @Mbarkakombo
      @Mbarkakombo 5 дней назад

      @@kasimubangu1875 namimi nilikuwa wahabi nikaacha kwamaneno hayahaya

    • @Mbarkakombo
      @Mbarkakombo 5 дней назад

      @@kasimubangu1875 kwani hakuna wanazuoni waliojuzisha maulidi ?

    • @Mbarkakombo
      @Mbarkakombo 5 дней назад

      @@kasimubangu1875 nihivyo tu samahani sio kibri maulidi nihakki

  • @MshihirDguyya
    @MshihirDguyya 2 дня назад

    Hakuna dalili apo ,kasomea kwanza

  • @HamisiKassimhamisi
    @HamisiKassimhamisi 3 дня назад

    Ata ukatoa tarehe waloanzisha maulid ni wakristo sisi tutafata kwa nn ametajwa mtumi

  • @habibali00
    @habibali00 4 дня назад

    Kwa hivyo mola kumswifu mtume saw kwenye quran amewafwata mashia

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 4 дня назад

      Kwanini misifate hiyo ya kwenye Quran maana Mola amemsifu Mtume bila ya kujichinja mbuzi 5000 wala 10 Wala kupiga madufu.

    • @habibali00
      @habibali00 18 часов назад

      @@rogertuga007 mola amenusuru nabi ismail kuto chinjwa na babake ibrahim tukimchinjia mtume saw hata mbuzi elfu moja inakuuma nini wewe kwanza wewe ni muislamu

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 15 часов назад

      @@habibali00 Nabii Ibrahim alipewa maelekezo na Mwenyezi Mungu kuhusu kumchinja mwanae na baadae akaletewa mnyama. Na nyie mmepewa lini maelekezo na Mwenyezi Mungu ya kuchinja kwa ajili ya Mtume na maelekezo yalikua ni kuchinja kwa ajili ya mwenyezi Mungu?

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 15 часов назад

      @@habibali00 swala kubwa maelekezo mmeyatoa wapi ya kufanya mnayoyafanya?

  • @khitamcaptainveca5045
    @khitamcaptainveca5045 5 дней назад

    Vile ulileta kelele nilijuwa tu umenda kujuwa mwanzo wa mawildi alafu ndio nakuja kujifanya umejuwa mawulidi

  • @MudiMshindo
    @MudiMshindo 4 дня назад

    Hata useme nini hatuwezi acha maulidi,sisi na mtume,mtume na sisi mpaka kiama,naona mawaidha yenu kila siku maulidi tu 😂

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 6 дней назад

    Naihii ndoipo hadi sasa ndomaana serikali imeingia kwenye tabligh imeingia kwenye maulid kwenye mwaka mpya nk

  • @mibnabubakr
    @mibnabubakr День назад

    Uzushi wa Mawlidi: Sh Muhammad Sharif
    ruclips.net/video/gsJ3Wc-K_q0/видео.html

  • @SaidMadai
    @SaidMadai 6 дней назад

    Ufaham ni risk 😂 nao utadhalilika cn kjn bachu

    • @bukhariznz
      @bukhariznz 6 дней назад

      biidhnllah hadhaliliki kwa weny akili ya sawa

  • @SheikhYussuf-iv6lo
    @SheikhYussuf-iv6lo 6 дней назад

    SHEKH IYO MADA HAWEZ KUJA ATA SKU MOJA

  • @RayaAli-y9j
    @RayaAli-y9j 5 дней назад

    She huyo Kasema ni ibinikthir mbona wababaisha

  • @maalimhamad1297
    @maalimhamad1297 6 дней назад +2

    HAWAWATU SIOKAMA HAWAJUI HUU USUFI YAKUA NIUJINGA MTUPU HAYA MANENO YA WANACHUONI NA NI IMAMSHAFU HUYU KISHA WANASINGIZIA ETIWAO NI MADHEHEBU YA SHA LABDA HUYU SHAFI WAKISHIA WA TANZANIA
    قال الامام الشافعىلو أن رجلا تصوف أول النهار ، لا يأتي الظهر حتى يصير أحمق " ANASEMA IMAMAAM SHAFI LAUKAMA MTU ATAJIUNGA NA MADHEHEBU YA KISUFU MWANZONI MWA MCHANA BASI HAITAFIKA ADHUHURI KASHAKUA CHIZI . وعنه أيضا أنه قال : " ما لزم أحد الصوفية أربعين يوما ، فعاد عقله إليه أبدا NA AKASEMA TENA IMAM SHAFI ALLAH AMREHEMU HAKUNA ALIEKAA KATIKA USUFI ZIKAFIKA SU ARUBAINI NA AKILIZAKE ZIKARUDI KUA SAWAHATASIKUMOJA" . وقال يونس بن عبد الأعلى تلميذ الشافعي : " صحبت الصوفية ثلاثين سنة ، ما رأيت فيهم عاقلا ، NA AKASEMA YUUNUS IBN ABDILAALA AMBAE NI MWANAFUNZI WA IMAM SHAFY NILIKAA NA MASUFU MIAKA MITATU SIKUONA HAMMOJA MIONGONINWAO MWENYE AKILI ILIOSALIMIKA " .
    قال الإمام أبو بكر الطرطوشي المالكي: "مذهب الصوفية بطالة وجهالة وضلالة، وما الإسلام إلا كتاب الله وسنة رسوله ﷺ، ANASEMA SHEKH ABUUBAR ATWARTUUSIY MADHEHEBU YA KISUFI NI BAATILI NA UJINGA NA UPOTEVU NA HAIKUA UISLAM ISIPOKUA NI KITABU CHA ALLAH NA SUNNA ZA MTUME S. A.W

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 6 дней назад

      We nae wahovyo kweli hata hujui tafsir yahayo maneno,Tafuta sheik akutasrie hayo maneno nini maana yake.
      Umeshalishwa matango pori hujui hata Imam shefi alikua anamaana gani!

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 6 дней назад

      Usufi Na UWAHABI ulionzishwa Na YAHUDI ni yupi aliekua sawa

    • @AsampiMpili
      @AsampiMpili 5 дней назад

      ​@@IsmailSangaYusuf Diwani? 😂😂😂Ambae yeye anajua lugha kuliko maulamaa wake