MashaAllaha MashaAllaha Maalimaa Ummu Aisha Swadaqta maneno hili ndio twawauliza mukusanyike mashekhe wote wa kiwahabi kuwa yale matendo yaliyomo ndani ya Maulid kusomwa Quran kuleta Dhikri kumtaja Mwenye Ezi Mungu na kumswalia Mtume SAW Mawaidha je haya Mtume SAW na Maswahaba hawakuyafanya?ni kama vile nyinyi huko uwahabini muna Bid'aa mwafanya mashindano ya Quran au ktk Nikkah kusoma Quran au Kuswali Taraweh Rakaa 8 kwa kusoma Juzuu nzima kila siku
Yani ww ni mhabi usiye kuwa na akili soma ujue km kulikuwa na mwanamke alisoma paka akawa anabishana na maimu wakuu kina imamu maliki shafii na wenginneo kasome ww vibaya angee weka sura yake acha kufuata mkumbo soma
@@SuolFat KWANI MAWAHABI wanawake wanaokwenda kwenda kudhihirisha sauti ZAO nyororoo za kusoma quran mbele ya hadhara ya wanaume, Hilo hukuliona?!!!😂. Au choyo zinakusumbua.
@@hilalkhalfan1452 acha unafiki mbona unaongozwa na mwanamke Wala husemi kitu mbona husemi kitu kwa wadada wanaoimba taarabu na bongo fleva huu wako ni unafiki na chuki binafsi
WEWE UNAMCHQMBA HUYU DADA KWA KUTOA SAUTI MBELE YA WATU NA KUDAI NI HARAMU,JE BIBI AISHA HAKUENDA VITANI KUONGOZA WANAUME KTK VITA VYA JAMALI?AU ALIKUWA ANAONGOZA KIMYA KIMYA?HUJASIKIA KUWA AKINA MAMA WALIKUWA WAKIMUULIZA MASWALI MTUME SAWW?KUWENI NA ADABU NA HEKIMA KTK DINI
Rudi kamsikilize Shekhe Bachu hautosema tena kwan alisema Mtume ( S.A.W) Hakuitikia Salam kwasabab alihofia kumtaja Allah akiwa hayuko twahira na akasema yote ni dhikri mbona nawe unakuja kukubali then unapinga Hata jawabu pia unaijua. Then Maulid tunazofanya, sote ndio ivyo.
Utovu wa adabu munasoma kupitia kitabu gani nyinyi mawahabi, tunataka tufuatilie na sisi musitunyime, sisi tumezowea taswawwuf, sasa tunataka na huu utovu wa adabu wenu tuusome pia.
@Hamis-ks1sy Kama hutaki nyamaza wenzako watanitajia vitabu ambavyo mawahabi wanasomea utovu wa adabu, Imaam Albayhaqiy ni Imaam wetu inakuwaje Mawahabi wamfanye Ilhali wanamuhesabu ni kafiri, rudi kwenye الأسماء والصفات aliyotunga yeye utaelewa
@@salmaanfaqiih Nani kakwambia wanamfanya kafir? Hujawah kusikia wakinukuu ibara kutoka huko akhy?? Kuna vitu mnakaririshwa sana kuhusu wahabi ndio maana kuna baadhi ya masufi kutokana na akili zao fupi Ibn Taimiyyah wanamuita wahabi hali ya kuwa huyo wahabi mwenyewe Ibn Taimiyyah hamjui.
"Hii ni njia wameamua makhurafi kumtumia mwanamke ili sheikh bachu amjibu wapate hoja kuwa yuwabishana na wanawake, ila twaamini sheikh ni kijana Allah amempa hikma si wa kulifanya hilo.......ewe mume wa ukhty huyu, je huna wivu na sauti anayodhihirisha mkeo au kutaka kuhojiana na wanaume, sishangai mwanamke huyu kukosa HAYAA na kudhihirisha sauti yake kwani kwa masufi ni jambo la kawaida kuchanganyika wanaume na wanawake, na la mwisho ni kuwa Sheikh Muhammad bachu hufanya radd kwa kutumia vitabu na akatuwekea tufuatilie au tuvinunue tusome,,,,kwanini masheikh wa kikhurafi hawatumii njia kama yake ambayo ndio sahihi.
ACHA ZARAU KWA AKINA MAMA HIVI SASA MOHAMED BACHU ATAJIBIWA NA AKINA MAMA MAANA NDIYO SAIZI YAKE MO NI MZUSHI NA MUONGO ANACHUKUWA MANENO NUSU NISU ILI KUWAAMINISHA MAWAHABI WENZIWE KWAMBA AKISEMACHO NI CHAKWELI HALIYAKUWA NI MUONGO NA NI MNAFIKI KAUMBULIWA NA UKHTY MOHAMED NI MNAFIKI NA MPOTOSHAJI LENGO LA MAWAHABI NI KUWAGAWA WAISLAM ILI WAFARAKANE WAO KWA WAO HUYU MOHAMED NAHISI NI MNYAHUDI MAANA KAZI KUWAANDAMA WAISLAM WENZIWE TUU KAMA MAYAHUDI WANAVYO WAUWA WAISLAM NA MOHAMED KAZI YAKE NI KUWAFARAKANISHA WAISLAM HANA JENGINE ZAIDI YA FITINA TUU NAMUOMBA ALLAH AMUINGIZE YEYE PAMOJA NA MIMI AMIN
😂😂😂 HUYU Dada amenifurahishaaaaaaaaa!!! Yupo wapi nimtupie JAPO kilaki kimojaaaaaa. Aaah , ukioa mwanamke mwenye elimu ya Dini na Akili basi utastereheeee😂
Hivi enyi mnatuona raha kusikiza huyu mwanamke ni waislam au wakristo, hamuoni kama mnamuangamiza na anajiita motoni hamjui sheria ya uislam kwa mwanamke, au ndio mnamchukia mtu huyo bachu kiasi cha kutoona hatari inayomkuta huyu dada😢😢😢. Allah atunusuru na vizazi vyetu mumnasihi huyu binti anapotea msiwe na chuki yenye kuchupa mipaka mpaka kumtoa kafara mtu
@@hilalkhalfan1452 wenye elimu ya dini wamejistili wapo majumbani mwao wanatafuta pepo, huyu hana haya yupo huku anatafuta moto we unamshangilia so sad
Yan ningekuwa naweza kuwafungia Hawa wazush wooote ningewafungia wasionekane mtandaon maana wanatukera sana watu wanachezea din ya Allah hawana adabu kachezee mme wako huko acha kuchezea din shika adabu Yako,,,
ImranMrisho-f9u uwezo upo wa kuzifungiya lkni uwanze na kwako uwahabini kwenu kuna mabid'aa kibao pia na kuna vitabu vizima haswa vya Uzushi wa mawahabi au hujui hilo?
Kaanze kumfungia Imamu Malik ndio aliezusha bidaa ya kutia udhu kabla ya kusimulia hadithi za Mtume(s.a.w)... Semeni basi km Imamu Malik nae ni mzushi😅😅
KUMBEE HIO DALILI YA KUPINGA MAZAZI YA MTUME WETU ALAAA😂, SHEIKH WENU MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI NAJDI ALIPOSHINDWA HOJA AKAONA AUWE SUFI WOTE 😂. SASA NA WEWE UWA NDIO SUNNA YA SHEKH WENU.
She Muhammad nakuomba usinynyue mdomo kumjibu huyu mpumbavu endelea kuelimisha atakaeongoka ni Kwa nfsi yake n'a atakae poteya ni Kwa nfsi yake mtume yalimfika mengi mpaka akaambiwa yasikuhuznishe maneno Yao huyu mwanamke Nampa miez Sita kama laana ya alla haijampata anitafute
Hivi enyi mnatuona raha kusikiza huyu mwanamke ni waislam au wakristo, hamuoni kama mnamuangamiza na anajiita motoni hamjui sheria ya uislam kwa mwanamke, au ndio mnamchukia mtu huyo bachu kiasi cha kutoona hatari inayomkuta huyu dada😢😢😢. Allah atunusuru na vizazi vyetu mumnasihi huyu binti anapotea msiwe na chuki yenye kuchupa mipaka mpaka kumtoa kafara mtu
Daaah! Wallah usufi ni uwendawazimu haya basi muiteni huyu ukhty siku1 kwenye misikiti yenu aje atoe na khutba na kwa jinsi akili zenu zilivyo hamshindwi😀😀😀
Assalamu alaikum warahmatullah wabarakatouh....Ndugu zangu Hapa tulipo fikia nikusubiri kiyama2 kama tumefikia mda wa kuwa watu kama Muhammad bachu kuitwa masheikh hiki ni kiyama2 ...na wao wanajifahur kuitwa masheikh ndio msiba mkubwa ulipo tupata ktk dini...Tumuombe Allah atuonyeshe haki na atupe taufik ya kuifata na atuepushe na batwit na yoote anayo yachukia.
Huyu mtoto wa bachu hana adabu kabisa,sheikh mzima unamwita hurafi mwenzio,,ndio suna yenu hiyo kudharau wanavyuoni ww,suna gani hiyo,uwe na adabu basi
Hamna kitu ndugu yangu umo kasoma lakin hajaelimika hakuna mwana zuwoni amefaya ujinga unao faya yenye anauharibu uwislamu lakin anajiyona anajua waislamu Kwa waislmmu ni ndugu alafu angalia yenye anacho kifaya ni kinyume kabisa na mamrisho ya Allah
Mama Aisha allah akupe umri na atujaalie pepo kwa jitihada ya elmu yako na wazaliwe wanawake millioni kama wewe ambayo watakuja kulinusuru hili janga la mawahabi wakiyahudi..
Wanawake ni fitna kubwa sana tuwe na tahadhari nao mwanamke akifikia hatua ya kupaza sauti kwa wanaume basi huyo tuwe makini nae sana tusije kuingia ktk fitna
@@hilalkhalfan1452 HATUSHANGAI HIYO NDIO AQIDA YENU KUGEUZA MAMBO MAANA BACHU ANAWACHAPA VIZURI SANA MAKHULAFI HALAFU HUKU INAKUJA ANACHAPWA HEE JAMANI NYIE MNYONGE MNYONGE NI LAKI I HALI YAKE MPENI
Uzuri wa masufi kila mtu wa sunna ni wahabi mpka Ibn Taimiyyah Wahabi hali ya kuwa huyo Abdulwahaab hamjui na wanawakaririsha watu wao kuwa wahabi watu waovu lakini siku wakisoma wanaona usufi ni uwendawazimu wanauacha kweupeee😁😁😁😁
Km tushakubaliana kuwa kutia udhuu ni jambo zuri na tabiin wamelifanya bc mtupe hoja kuwa tabiin walifanya maulid shida ipo wp kinachofanywa kwenye maulid ni bidaa na uongo uliopo kwenye barzanji
Huyu bachu huwa anatafuta mada za watu watoa khutba ati atoe radi ili apate tu kuzungumza bila ya kutafakari kunasemwa nini hii yaonyesha kuwa hana busara
@@alf8177 dada anamtosha sana kama kaamua kufanya uhuni wakuikata vidio yake na ilikua yajieleza vzr amjibu nni ssa wakat kaitaka si ilikua awaonyeshe waislam vidio nzima mbona kachukua anachokihitaji t mengne kaacha na mumeliona hilo mbona hamsemi kumwambia aaache tabia hiyo?
@@ThabitThamAlharthy Ndo hapo nammi nashangaa maneno ya shekh Sameer clip nzima imejieleza ss bacho ye kachukua kakipande ndo kafanya ghushi yake Skkh ajib nni.😁
Utovu wa adabu munasoma kupitia kitabu gani nyinyi mawahabi, tunataka tufuatilie na sisi musitunyime, sisi tumezowea taswawwuf, sasa tunataka na huu utovu wa adabu wenu tuusome pia.
Sheikh Muhammad hana mda uo wa kukujibu ww m.mke usojielewa unataka sawahaba gan au Mtume mwenyewe alifanya hivyoo yaan kutia udhu. Sayyidna Bilali swahaba alikua na hio tabia ya kutia udhu mara kwa mara hivi nyie hili hamlijuiii au mnajipofua, haya Sayyidna Bilal awe ni bora wa kujitoharisha kila wakati amzidi Mtume SAW bila shaka Mtume ndie alotuzidi kila kitu bc io mibichwa yenu ifunguke maghurafiiiiiiiiiiii
NDUGU WATAFUTA HAQQI HUYO DADA KITANTARITA KIHEMKO KIFIRIMBI CHA KHULAFI AMEYAKANYAGA NA ATAJUTA KUACHA KUTUMIKIA KAZI NYUMBANI NA KUHEMKA MITANDAONI KUNA UKHTI MARYAM KITOTO CHA MIAKA TISA KINAKUJA KUKUJIBU UTAJUTA
Huyu dada kaja kutafuta umaarufu,, vipi mwnamke uje ushindani ubavu wa kielimu na mwanaume wakati kila mwezi unatoka damu, kaa na mume wako dada yangu uishuhulikie familia yako ,,
@@IbrahimuSaid-z7e mwanamke hapaswi kuskika sauti yake angewachia wenyewe wakajibizana . Yeye kaja kufanya nini huku kwenye mitandao wakat yeye anamadhaifu kibao,,,
Sheghe wangu tuwe japo nastara ktk manenoyetu iwe kwakuongea au kuandika usimtukane mtu alohifdhi maneno ya Allah kumbuka kua huyo Dada haimbi mziki ila anajishughulisha nadini tusimkejeri kunyamaza nibora zaidi kuliko kuongea kwa mihemko
Wewe mwanamke kuwa na adabu kumtaja bachu si umuite mohd wewe mwanamke huna adabu wala elimu wewe mwenye unatakiwa utubiye kwa kuleta sauti yako mitandaoni wewe una mume mpaka akakuwacha ukaja mitandaoni sauti ya mwanamke ni uchi fanya toba
Hna lolote hyo shekh said na ww pia haifai kumwit mwenzko muongo jitambue ww mwanmke khiyan unay ww na watakiw utubie pia na upof wko hun akil baad utafte mas'haf usom waanik kisaut chak hadharan upat nn
Nyinyi munaopinga haya maelezo ya haki kutoka kwa huyu ukhti pia mwaonyesha busara zenu ni ndogo,haki ni haki hata ikitolewa na asiye kuwa muislamu ni lazima ipokelewe hii kwa mujibu wa dini,walakini si walaumu maana hamuelewi haki kama vile bachu
Alafu mwajiita salafi wa kuwaita ovyo wanawake Malaya hujasikia amesoma Quran, ni malaya gani anayefundisha na kusoma Quran hvi, Natamani nikupe kubwa ngoja nikupe kubwa zaidi. Allah akuepushe na maneno machafu yenye kinyaa kwenye mdomo wako ikiwa mdomo wako huo unautumia kusoma Quran. Allahumma ameen
Muogope Allaah wewe Umemshuhudia akifanya umalaya? Jiepesheni na Madhambi 7 yenye kuangamiza Dhambi ya saba nikumsingiziaa mwanamke anaejihifadhi na maovu kwa kumtaja kwa ubayaa
Asante shekh bacho allah akuongoze inshallah una hoja za kielim kabis na ushahid wa kutosha allah akulind na wabay wnye chuk na ww
mdada hna adabu na umkosa unachokisema ni wew na mashehe wako wapotevu wamkutma usemee😮❤
Huyu allah ata muongoza na hicho kitoto cha bachu kina badilisha ukweli na kuufanya uongo
DADA MUNGU AKULINDE NA KUIUONGOZA NA WATOTO WAKO.
Na wee abdulaziz alla akuongoze na watoto
Tahadhari na laana isikuku rudia wewe mungu atunusuru na watoto wetu.
MashaAllaha MashaAllaha Maalimaa Ummu Aisha Swadaqta maneno hili ndio twawauliza mukusanyike mashekhe wote wa kiwahabi kuwa yale matendo yaliyomo ndani ya Maulid kusomwa Quran kuleta Dhikri kumtaja Mwenye Ezi Mungu na kumswalia Mtume SAW Mawaidha je haya Mtume SAW na Maswahaba hawakuyafanya?ni kama vile nyinyi huko uwahabini muna Bid'aa mwafanya mashindano ya Quran au ktk Nikkah kusoma Quran au Kuswali Taraweh Rakaa 8 kwa kusoma Juzuu nzima kila siku
Dada Aisha Allah akufanyie wepesi inshaallah usivunjwe moyo na maneno yawatu wenye mihemko
Mashallah, nakuelewa vizuri ukhti.
Wallahi Masufi hawana Wivu
Naomba tena kwa mara ya pili Niozesheni huyu aje apate stara ya uwakika ili aache haya mambo uislam umekataza.
Yani ww ni mhabi usiye kuwa na akili soma ujue km kulikuwa na mwanamke alisoma paka akawa anabishana na maimu wakuu kina imamu maliki shafii na wenginneo kasome ww vibaya angee weka sura yake acha kufuata mkumbo soma
Ukiozeshwa utatoa harufu
Masufi mmekosa hojja sas mmeanza mipasho 😊😊.
Maulid ni uzushi tu.
Ukishika udhu ni ibada
Mawahabi hamna elimu
Mawahabi mnafikiria kuwa jazba na mihemko ndio dini
swahilitherapytv3846 na kusoma Quran kuleta Dhikri kumtaja Mwenye Ezi Mungu na kumswalia Mtume SAW ktk Maulid pia ni Ibada vile vile
@@swahilitherapytv3846 Wapi Mtume na maswahaba walitia udhu kabla ya kusimulia hadithi... Au wao walikua hawajui km udhu ni Ibada?
@@HemedAbdullaSuleiman mawahabi wamesahau walipo sema Dini ilikamilika na kulikuwa Sio Dini wakati wa Mtume saw basi haliwezi kuwa Dini Leo
Wewe ummu aisha umepata wapi kibali cha dhihirisha sauti yako kwa wanaume...??
Ila haanza yeye kudhihirisha sauti elewa ktk nchi yako unaongozwa na mwanamke
@@SuolFat KWANI MAWAHABI wanawake wanaokwenda kwenda kudhihirisha sauti ZAO nyororoo za kusoma quran mbele ya hadhara ya wanaume, Hilo hukuliona?!!!😂. Au choyo zinakusumbua.
@@hilalkhalfan1452 acha unafiki mbona unaongozwa na mwanamke Wala husemi kitu mbona husemi kitu kwa wadada wanaoimba taarabu na bongo fleva huu wako ni unafiki na chuki binafsi
WEWE UNAMCHQMBA HUYU DADA KWA KUTOA SAUTI MBELE YA WATU NA KUDAI NI HARAMU,JE BIBI AISHA HAKUENDA VITANI KUONGOZA WANAUME KTK VITA VYA JAMALI?AU ALIKUWA ANAONGOZA KIMYA KIMYA?HUJASIKIA KUWA AKINA MAMA WALIKUWA WAKIMUULIZA MASWALI MTUME SAWW?KUWENI NA ADABU NA HEKIMA KTK DINI
Hivi mm niulize kwn saut ya mwanamke nayo ni utupu?
Rudi kamsikilize Shekhe Bachu hautosema tena kwan alisema Mtume ( S.A.W) Hakuitikia Salam kwasabab alihofia kumtaja Allah akiwa hayuko twahira na akasema yote ni dhikri mbona nawe unakuja kukubali then unapinga Hata jawabu pia unaijua.
Then Maulid tunazofanya, sote ndio ivyo.
baaraka llahu bachu si zani kama Huwa anafahamu anacho kisema Kwa nilikwiaha sema Sheria za dini hasa bachu hazijui
Kabisaaa
Sasa ndo darsa muhim kapewa na ukhty aisha mola amhifadh
Mashallah tunaomba atoe ingne kumrekebisha😂
Hakuna lolote hapo kaolewe kwanza ndo uje,Na huyu dada anaongea asichokijua
@@shabanihugo8332 na hutomuelewa tuy
Sasa atamjibu nini wakati huo ndio ukweli.
Mashaalaah m/mungu akuweke mama yetu kwa ufasahaa wa kumjibu huyu mtt wa bachu
Hongera dada .tunakufaham sasa ALLAH AKUSITIRI WEWE NA WATOTO WAKO.
Sauti ya dada tumeipenda ❤❤ hatuskiliz maudhui tunajaribu kumfikiria dada huyu kwa saut yake maashaaallah 🥰🥰
Baada ya wanaume kushindwa kutetea hoja saivi wamemuomba Dayuthi mmoja mkewe aje kupiga kelele😁😁😁
Utovu wa adabu munasoma kupitia kitabu gani nyinyi mawahabi, tunataka tufuatilie na sisi musitunyime, sisi tumezowea taswawwuf, sasa tunataka na huu utovu wa adabu wenu tuusome pia.
@@salmaanfaqiih Aanza kwanza kusoma manaaqibshaafi ya Imaam Baihaq imam alivyozungumza kuhusu usufi kisha usome vitabu vya mawahabi
@@Hamis-ks1sy Unajua kwamba sitaki utumie uongo, kwani unashindwa nini kuniambia?!
@Hamis-ks1sy Kama hutaki nyamaza wenzako watanitajia vitabu ambavyo mawahabi wanasomea utovu wa adabu, Imaam Albayhaqiy ni Imaam wetu inakuwaje Mawahabi wamfanye Ilhali wanamuhesabu ni kafiri, rudi kwenye الأسماء والصفات aliyotunga yeye utaelewa
@@salmaanfaqiih Nani kakwambia wanamfanya kafir? Hujawah kusikia wakinukuu ibara kutoka huko akhy?? Kuna vitu mnakaririshwa sana kuhusu wahabi ndio maana kuna baadhi ya masufi kutokana na akili zao fupi Ibn Taimiyyah wanamuita wahabi hali ya kuwa huyo wahabi mwenyewe Ibn Taimiyyah hamjui.
Asante sana kwakumuweka wazi
"Hii ni njia wameamua makhurafi kumtumia mwanamke ili sheikh bachu amjibu wapate hoja kuwa yuwabishana na wanawake, ila twaamini sheikh ni kijana Allah amempa hikma si wa kulifanya hilo.......ewe mume wa ukhty huyu, je huna wivu na sauti anayodhihirisha mkeo au kutaka kuhojiana na wanaume, sishangai mwanamke huyu kukosa HAYAA na kudhihirisha sauti yake kwani kwa masufi ni jambo la kawaida kuchanganyika wanaume na wanawake, na la mwisho ni kuwa Sheikh Muhammad bachu hufanya radd kwa kutumia vitabu na akatuwekea tufuatilie au tuvinunue tusome,,,,kwanini masheikh wa kikhurafi hawatumii njia kama yake ambayo ndio sahihi.
ACHA ZARAU KWA AKINA MAMA
HIVI SASA MOHAMED BACHU ATAJIBIWA NA AKINA MAMA MAANA NDIYO SAIZI YAKE
MO NI MZUSHI NA MUONGO ANACHUKUWA MANENO NUSU NISU ILI KUWAAMINISHA MAWAHABI WENZIWE KWAMBA AKISEMACHO NI CHAKWELI HALIYAKUWA NI MUONGO NA NI MNAFIKI KAUMBULIWA NA UKHTY
MOHAMED NI MNAFIKI NA MPOTOSHAJI LENGO LA MAWAHABI NI KUWAGAWA WAISLAM ILI WAFARAKANE WAO KWA WAO HUYU MOHAMED NAHISI NI MNYAHUDI MAANA KAZI KUWAANDAMA WAISLAM WENZIWE TUU KAMA MAYAHUDI WANAVYO WAUWA WAISLAM NA MOHAMED KAZI YAKE NI KUWAFARAKANISHA WAISLAM HANA JENGINE ZAIDI YA FITINA TUU
NAMUOMBA ALLAH AMUINGIZE YEYE PAMOJA NA MIMI AMIN
Kumbe hujui hats kisemwacho Nini innaa lillaah
Hongera sana dada kwa kumchakaza hichi kijamaa
😂😂😂 HUYU Dada amenifurahishaaaaaaaaa!!! Yupo wapi nimtupie JAPO kilaki kimojaaaaaa. Aaah , ukioa mwanamke mwenye elimu ya Dini na Akili basi utastereheeee😂
Hivi enyi mnatuona raha kusikiza huyu mwanamke ni waislam au wakristo, hamuoni kama mnamuangamiza na anajiita motoni hamjui sheria ya uislam kwa mwanamke, au ndio mnamchukia mtu huyo bachu kiasi cha kutoona hatari inayomkuta huyu dada😢😢😢.
Allah atunusuru na vizazi vyetu mumnasihi huyu binti anapotea msiwe na chuki yenye kuchupa mipaka mpaka kumtoa kafara mtu
Sio dini hiyoo Lakin ndugu yang tazama,,, unless mutaingia motoni nyote kwa uzush
@@hilalkhalfan1452 wenye elimu ya dini wamejistili wapo majumbani mwao wanatafuta pepo, huyu hana haya yupo huku anatafuta moto we unamshangilia so sad
@@mobilespecialschool4216 imekuchomaaaa, jibuni hoja mawahabi
Muhammad Bachu kwa tabia hii ni mnafiki dhahiri shahiri.
"Tahadharini na dunia na wanawake" amesema Mtume rehma na amani zimuendee yeye.
اللهم صل على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم
MASWAHABA رضوان الله عليهم WALIKUA NA WUDHU MDA WOTE, NA WAKIUTENGUA WUDHU, HUTIA TENA WIDHU
@@dhwahiqudumila3894 hata Mtume saw hakuwa hivyo licha ya maswahaba. Acha kudanganya watu.
Maashaallah
Yan ningekuwa naweza kuwafungia Hawa wazush wooote ningewafungia wasionekane mtandaon maana wanatukera sana watu wanachezea din ya Allah hawana adabu kachezee mme wako huko acha kuchezea din shika adabu Yako,,,
Uwezo upo
ImranMrisho-f9u uwezo upo wa kuzifungiya lkni uwanze na kwako uwahabini kwenu kuna mabid'aa kibao pia na kuna vitabu vizima haswa vya Uzushi wa mawahabi au hujui hilo?
Kaanze kumfungia Imamu Malik ndio aliezusha bidaa ya kutia udhu kabla ya kusimulia hadithi za Mtume(s.a.w)... Semeni basi km Imamu Malik nae ni mzushi😅😅
KUMBEE HIO DALILI YA KUPINGA MAZAZI YA MTUME WETU ALAAA😂, SHEIKH WENU MUHAMMAD IBN ABDUL WAHABI NAJDI ALIPOSHINDWA HOJA AKAONA AUWE SUFI WOTE 😂. SASA NA WEWE UWA NDIO SUNNA YA SHEKH WENU.
@@HemedAbdullaSuleiman Yaani mawahabi wanatupiga changa la macho kweupeeeee 😂. Imam Malik kaja kutimiza Dini ila wengine Ni wazushi 😂😂😂
Kunakauli unaitoa unasema twita matarumbeta kwanza mm skusamehe hapa dunian na mpaka akhera
Mwenye kusamehe mungu humpeda jee hutaki kupendwa na mungu? Usikereke kasome ilmu na uwe mkweli na muaminifu
She Muhammad nakuomba usinynyue mdomo kumjibu huyu mpumbavu endelea kuelimisha atakaeongoka ni Kwa nfsi yake n'a atakae poteya ni Kwa nfsi yake mtume yalimfika mengi mpaka akaambiwa yasikuhuznishe maneno Yao huyu mwanamke Nampa miez Sita kama laana ya alla haijampata anitafute
Hivi enyi mnatuona raha kusikiza huyu mwanamke ni waislam au wakristo, hamuoni kama mnamuangamiza na anajiita motoni hamjui sheria ya uislam kwa mwanamke, au ndio mnamchukia mtu huyo bachu kiasi cha kutoona hatari inayomkuta huyu dada😢😢😢.
Allah atunusuru na vizazi vyetu mumnasihi huyu binti anapotea msiwe na chuki yenye kuchupa mipaka mpaka kumtoa kafara mtu
Jina lake Ummu Aisha fikilia jina Aisha aliyekua na elimu nenda kamsome.
Kukosoa tuuu ila kusoma aaha
Nenda kasome
Angalieni fatwa za sheh farsy alisema vitu hivo vimetngwa na jafary barazanji alishiba akatunga mashairy leo iweje mfanye maulid ibada
Daaah! Wallah usufi ni uwendawazimu haya basi muiteni huyu ukhty siku1 kwenye misikiti yenu aje atoe na khutba na kwa jinsi akili zenu zilivyo hamshindwi😀😀😀
Assalamu alaikum warahmatullah wabarakatouh....Ndugu zangu Hapa tulipo fikia nikusubiri kiyama2 kama tumefikia mda wa kuwa watu kama Muhammad bachu kuitwa masheikh hiki ni kiyama2 ...na wao wanajifahur kuitwa masheikh ndio msiba mkubwa ulipo tupata ktk dini...Tumuombe Allah atuonyeshe haki na atupe taufik ya kuifata na atuepushe na batwit na yoote anayo yachukia.
🎉 wewe ukhut mche allah
MASHA ALLAH 💚
Kutoka kwa mwanamke kwa mwingine, naomba uitoe hii sauti mtandaoni. Inna lillahi wa inna ilayhi raajiuun
Huyu mtoto wa bachu hana adabu kabisa,sheikh mzima unamwita hurafi mwenzio,,ndio suna yenu hiyo kudharau wanavyuoni ww,suna gani hiyo,uwe na adabu basi
Mohmd bachu Kama Sio wazazi wake Basi Ni walimu wake hawajumfunza adabu au yeye mwenyewe tuu kaamua kuwa Na adabu mbaya. Allah atuongoze sote amiin.
Hamna kitu ndugu yangu umo kasoma lakin hajaelimika hakuna mwana zuwoni amefaya ujinga unao faya yenye anauharibu uwislamu lakin anajiyona anajua waislamu Kwa waislmmu ni ndugu alafu angalia yenye anacho kifaya ni kinyume kabisa na mamrisho ya Allah
@@fakijechayeye swahaba anayoyafanya😂. Yaani dada kamfichua mnafiki kweupeeeee
Daaahh ukiskia siasa za makundi ndohizi bwana Kila Mmoja yy ndo yupo sahihi na mwezie hafai kazi kuparanganya uma tu
Wewe ni mjinga hujitambuwi Mwanamke mpuuzi unaepaza sauti yako kwenye mitandao
Acheniii ufinyuu wa elimuuuuu usuli mtaelewaa unaptakaaa kutoaa hukumu unazingatiaaa nin
Mama Aisha allah akupe umri na atujaalie pepo kwa jitihada ya elmu yako na wazaliwe wanawake millioni kama wewe ambayo watakuja kulinusuru hili janga la mawahabi wakiyahudi..
Kuna watu kibao wanahitaji kufikishiwa dini ya kiislam hamuendi huko kazi kushambuliana nyinyi kwa waislamu
MWAMBIE HUYO UST SAMEER KUOMBA MAITI INAFAA ATAKWAMBIA INAFAA
we mama acha mbwe mbwe na ucchache wako wa ufahamu ndio mana watu hawakujibu mana nikama unaleta fitna shindana na mabanati wenzako.
Huu mke hata kuoga janaba au hedhi hajui anashindana na sh Mohamed
Ww umeruhusiwa na sheria gani kuwaradi mashekh
Wanawake ni fitna kubwa sana tuwe na tahadhari nao mwanamke akifikia hatua ya kupaza sauti kwa wanaume basi huyo tuwe makini nae sana tusije kuingia ktk fitna
Masufi hawana hoja ni viburi tu ndovyawasumbua
Dada piga nakuelewa sana
Nyinyi masufi labda shirki ndizo mnazozijuwa unajuwa shekhe abdallah salehe farsy aliyaelezea vizuri sana maulid wacha shirki alisema yana kufru kabisa
Kanyooosha maelekezo ukhty.
YUPO sawaaaaaa, katuliaaa hana pupaaaaa😂
NA YEYE ATANYOOSHWA
@@moralist6100 mihemko ya bachu inaenda mrama, hawez kunyoosha mtu. Kila pahala anachapwa yeye
@@hilalkhalfan1452 HATUSHANGAI HIYO NDIO AQIDA YENU KUGEUZA MAMBO MAANA BACHU ANAWACHAPA VIZURI SANA MAKHULAFI HALAFU HUKU INAKUJA ANACHAPWA HEE JAMANI NYIE MNYONGE MNYONGE NI LAKI I HALI YAKE MPENI
Yaani haki itabaki kuwa haki kucheza hio ni Ngoma
Uzuri wa masufi kila mtu wa sunna ni wahabi mpka Ibn Taimiyyah Wahabi hali ya kuwa huyo Abdulwahaab hamjui na wanawakaririsha watu wao kuwa wahabi watu waovu lakini siku wakisoma wanaona usufi ni uwendawazimu wanauacha kweupeee😁😁😁😁
Km tushakubaliana kuwa kutia udhuu ni jambo zuri na tabiin wamelifanya bc mtupe hoja kuwa tabiin walifanya maulid shida ipo wp kinachofanywa kwenye maulid ni bidaa na uongo uliopo kwenye barzanji
dadayangu asante sana bachoo ni muongo sana
Hivi unamume kweli wew au unatafuta maana wenye mume wapo majumbani kwao
Huyu bachu huwa anatafuta mada za watu watoa khutba ati atoe radi ili apate tu kuzungumza bila ya kutafakari kunasemwa nini hii yaonyesha kuwa hana busara
MIMI NAMJUA SANA HUYU UST SAMEER HAWEZI MJADALA NA HATOTHUBUTU KUJIBU NA NDO MANA WANATUMWA KINA DADA. WANAUME WAMESHNDWA KUJA NA HOJA
@@alf8177 Nahana huo muda wakumjibu mtu ambae anaacha vidio kamili nakuchukua kakipande kwamba naww hujaona ??? Kiongoz?
@@alf8177 dada anamtosha sana kama kaamua kufanya uhuni wakuikata vidio yake na ilikua yajieleza vzr amjibu nni ssa wakat kaitaka si ilikua awaonyeshe waislam vidio nzima mbona kachukua anachokihitaji t mengne kaacha na mumeliona hilo mbona hamsemi kumwambia aaache tabia hiyo?
Sasa unataka ajibu nini.. na maneno yake yapo wazi kwa mwenye kuelewa.. sio kila mtu anajibu tu.😂😮
@@ThabitThamAlharthy Ndo hapo nammi nashangaa maneno ya shekh Sameer clip nzima imejieleza ss bacho ye kachukua kakipande ndo kafanya ghushi yake Skkh ajib nni.😁
Sh Saamir ni mtu anae jielewa sidhan kama anaweza kukaa kuradi upuuz wa bachu
bachu hajafkia levle y sameer nd man kajbiw nademu maan yke levle y bachu nd kwnz ipo sw na demu tu bad hajafkia elim za wanaume 😅
Utovu wa adabu munasoma kupitia kitabu gani nyinyi mawahabi, tunataka tufuatilie na sisi musitunyime, sisi tumezowea taswawwuf, sasa tunataka na huu utovu wa adabu wenu tuusome pia.
Sheikh Muhammad hana mda uo wa kukujibu ww m.mke usojielewa unataka sawahaba gan au Mtume mwenyewe alifanya hivyoo yaan kutia udhu. Sayyidna Bilali swahaba alikua na hio tabia ya kutia udhu mara kwa mara hivi nyie hili hamlijuiii au mnajipofua, haya Sayyidna Bilal awe ni bora wa kujitoharisha kila wakati amzidi Mtume SAW bila shaka Mtume ndie alotuzidi kila kitu bc io mibichwa yenu ifunguke maghurafiiiiiiiiiiii
Assalamu alaykum warahmatullah wabarakaatuh,dada kutawadha lilifanywa na swahaba,je kuna athari ya maulidi Kwa maswahaba?shukran
Maswahaba hawakuwa wakitawadha walipokuwa wakisimulia hadithi za Mtume. Maulidi walifanya maswahaba ilikuwa wanatunga shairi na kumsifia Mtume
kumbe sheikh samir amemjibu bachuu
Maulidi yangekua ni dini basi mayahudi wangekua washa yapiga vita zamani sana
NDUGU WATAFUTA HAQQI HUYO DADA KITANTARITA KIHEMKO KIFIRIMBI CHA KHULAFI AMEYAKANYAGA NA ATAJUTA KUACHA KUTUMIKIA KAZI NYUMBANI NA KUHEMKA MITANDAONI KUNA UKHTI MARYAM KITOTO CHA MIAKA TISA KINAKUJA KUKUJIBU UTAJUTA
Huyu dada kaja kutafuta umaarufu,, vipi mwnamke uje ushindani ubavu wa kielimu na mwanaume wakati kila mwezi unatoka damu, kaa na mume wako dada yangu uishuhulikie familia yako ,,
Kujua mwezi mtu anatokwa damu tuuu ila maneno ya aliyoyarekebisha aahaa
Fuatilia usikurupuke
@@IbrahimuSaid-z7e mwanamke hapaswi kuskika sauti yake angewachia wenyewe wakajibizana . Yeye kaja kufanya nini huku kwenye mitandao wakat yeye anamadhaifu kibao,,,
Ww muddy bachu unaakili kwel et
Tarumbeta la mawahabi limetoboka😂😂😂😂
Hhah ili toto la bachu limeghushi na kashaghushiwa na ukhty mara hii atajinyea badala ya kujikojokea😂
Hakuna kusherekea mkuzaliwa mtume
Mutaelewa tu
Jamaa naomba me nipeleke kwao huyu demu nikamfanyie nusra
Maana nyege
Nyege mbaya sana
Sheghe wangu tuwe japo nastara ktk manenoyetu iwe kwakuongea au kuandika usimtukane mtu alohifdhi maneno ya Allah kumbuka kua huyo Dada haimbi mziki ila anajishughulisha nadini tusimkejeri kunyamaza nibora zaidi kuliko kuongea kwa mihemko
Dada msomeshe hicho kitotochabacho
Wewe mwanamke kuwa na adabu kumtaja bachu si umuite mohd wewe mwanamke huna adabu wala elimu wewe mwenye unatakiwa utubiye kwa kuleta sauti yako mitandaoni wewe una mume mpaka akakuwacha ukaja mitandaoni sauti ya mwanamke ni uchi fanya toba
Mukiambiwa maulidi bidaa mwakasirika Kwa sababu Muna maslahi yenu na ww dada utabaku dadatu hunajipya
Mhhh.. Kumbeeee
Hna lolote hyo shekh said na ww pia haifai kumwit mwenzko muongo jitambue ww mwanmke khiyan unay ww na watakiw utubie pia na upof wko hun akil baad utafte mas'haf usom waanik kisaut chak hadharan upat nn
Wee mwanamke huna haya Hivyo fanya utakalo.
Acheni makasiriko
Kama Hana mume na aje huku
Mbona mna mihemko kama mnamuweza huyu dada mjibuni mnalialia nini
Dalil za qiyama hizi Masuf mna mambo mazito Hamujielew
Hajitambui bachu n zaid kukosa adabu kw wanaxuoni ndio fani aliyonayo ila elimu hamna zaid y kudapia masheh nakuaibishwa akakimbia 😂
Nyinyi munaopinga haya maelezo ya haki kutoka kwa huyu ukhti pia mwaonyesha busara zenu ni ndogo,haki ni haki hata ikitolewa na asiye kuwa muislamu ni lazima ipokelewe hii kwa mujibu wa dini,walakini si walaumu maana hamuelewi haki kama vile bachu
Kaolewe kwanza
Nenda ukamsitiri
Acha kutafuta umaarufu hunaelimu yoyote zidi ya umalaya
Alafu mwajiita salafi wa kuwaita ovyo wanawake Malaya hujasikia amesoma Quran, ni malaya gani anayefundisha na kusoma Quran hvi,
Natamani nikupe kubwa ngoja nikupe kubwa zaidi.
Allah akuepushe na maneno machafu yenye kinyaa kwenye mdomo wako ikiwa mdomo wako huo unautumia kusoma Quran.
Allahumma ameen
Muogope Allaah wewe Umemshuhudia akifanya umalaya? Jiepesheni na Madhambi 7 yenye kuangamiza
Dhambi ya saba nikumsingiziaa mwanamke anaejihifadhi na maovu kwa kumtaja kwa ubayaa
Km tungekuw na dola ya kiislam basi tungekupiga bakora 80 viboko kwend mbele ?
Wewe ndio malaya mwehu mkubwa, wewe na Bachu na mawahabi ndio malaya wakubwa
Wewe nimalaya mwenzie mana utakua mwalimuu wake
Ww km unaelemi waelimishe wanawake wenzako nasio kuja mitandaoni eti uambiwe umesoma hatujapokea hadithi yyt kuwa fatma bint rasul akiwaradi mashwahaba wengine
Sheikh Mohammed bachu uyo mwanamke anatafuta mchumba lakini anaona tabu kusema ukweli .Muowe ili umuondoe kwenye giza
Jibuni hoja
Huyu dada hawez kuolewa na kafiri na WANAFIKI. Tupo wengi wenye ADABU ZETU tumemkosa, 😂 . Basi jibuni hoja huyo ana mwenyewe.
Dadake haji upepo uyo
@@hilalkhalfan1452 kumbe ana mwenyewe uyo mwenye hana wivu saut kama iyoo inayowachemua رجال
Mashaallah dada kiboko huyo
Wewe Binti unatumiwa shauriyako
Inalilah waina ilah rajion msiba mzito waislam kwa waislam wanatukanana hadharani ndio uislamu unavyotufundisha?
Huyu dada anaushabiki hii ni dini dada yangu sio genge la wana siasa kua makini na kila unacho kiongea
We mkumbavu San wew kazi yak ni kukog
Naona bachu kawakaa kooni naonamwiba bado umewaganda nyinyitowen saut yachumbani maulid hayafai upige dufu usipoge hayana ushahid wake kwenye kuan wala hadisi
Bachu ajiandae Wanawake wakimaliza kumraddi twaja sisi Watoto wa Ibtidaaiyyah na sisi tutabarruk😂😂😂
Vip demu kishaolewa ???? Nataka maana sio kwa saut iyooo
Ukiingia katika usufi asubuh mchana utakuw mpumbavu
Kwanza aende akamjibu sheikh said ikisha ndio aje na upuuzi wake tena hapa
Mbona kama bacho anaanza kukubali maulidi
Hahahaaaaaaa umeonaeeee
Mm naona ww ndo tarumbeta hujui ulitendalo maana mmeambiwa mchunge saut zenu lakin ww huichungi
Huyo kamrekebisha mwanamke mwenzake hana makosa huyo mwanamke asilaumiwa kabisa
Wew kweli hujasoma umekaririswa
MAWAHABI baadhi yao Niwahuni! Sheik alishasema Kuna mambo hayafai kwenye maulid,Alafu eti bachu anasema eti sheik akatoe kauli tena!!!
Kwaaanza,,, kwa majibu ya kwanza,,, hukubainisha chochote… maskini….
Ma swahaba unataka kutuambia walisikliza saut tu za wakeze mtume sio elimu
Mwanamke huna aibu kwani mbona unajinsibisha na mtume ila unachamba sio adabu nzuri mama huna mume wewe??
mjinga kweli huyu mwanamke heb katafuje jiko upikee pumbavu ww
Ikifikia unaradiwa na mwanamke jitafakari jua umeonekana kichwa kitupu .aibu
Mwanamke mpumbavu kweli
Sasa wasifanye wakati ndo wanavofanya na huyu kadada kaja na mipasho ktk dini watu wanafanya fikira kuwatoa watu ktk uwovu yeye anakuja na mipasho
Hiv huku kucheza,,hakjawahi patikan,,wkti wa mtume,,nae akishudia kabisa,,,haikuwepo,,u mwajitoa akili,,,