Haifai kusoma Quran makaburini||Dr Islam Muhammad

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 103

  • @mbotembote944
    @mbotembote944 Год назад +3

    Mimi ninavyoelewa ni kuwa mtume sallalahu alle wasalamu alimaanisha ya kwamba waliokufa hawawezi tena kuisoma quran lakini walio hai basi wasome quran majumbani mwao

    • @swalehahmad8947
      @swalehahmad8947 Год назад

      BAARAKALLAAH FYK...

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 5 месяцев назад

      Na Qur'an hasomewi Mtu aliekufa bali husomewa alie hai maana aliekufa haimfai kwa Chochte na ndo Maana Allah(S.W) akasema"Na inaposomwa Qur'an iskilizeni na mnyamaze ili mpate kurehemewa"

  • @alkhalilmussa5633
    @alkhalilmussa5633 3 года назад +6

    Huna hojaaa madhbutiiii kikanzuuu ww

    • @hamadfaki2503
      @hamadfaki2503 3 года назад +1

      Ww uliyenahoja tupatie

    • @hamoudslim3622
      @hamoudslim3622 3 года назад

      ruclips.net/video/i6hsmJD1cts/видео.html
      *👆MOHD BACHU USIAMSHE FITNA ILIYO LALA KAMA WAFICHA MAKUCHA TUTAYAFICHUA...*

  • @fahadtimimi9335
    @fahadtimimi9335 2 года назад

    Allah akuhifadhj sheikh wetu Dr Muhamad Islam .....Akuhifadhi na kila aina ya balaah ..

  • @cassimshearer7916
    @cassimshearer7916 Год назад +3

    Huu ni ufahamu wako shekhe na hatulazimikiwi kuwa na ufahamu sawa na wako.

    • @justinabdi9353
      @justinabdi9353 9 месяцев назад

      Ufahamu wake vipi ndugu yangu,ausikie dalili anazozitumiya??ni maneno yake??umche Allah,acha ushabiki

  • @raqmaanu466
    @raqmaanu466 3 года назад +4

    Dini imehifazika nikuamua kuifuta hakki allah atuongoze

  • @abduliabdallah9197
    @abduliabdallah9197 Год назад

    Mwenyezimungu azidi kukupa afya njema kwani tunajifunza uisilamu kwa juhudi zako za kutufundisha yanayotakiwa na Allah

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 Год назад +2

    ELIMU kama hii huipati kamwe kwa Masheikh wa BAKWATA

  • @bintshariffmuhammad620
    @bintshariffmuhammad620 Год назад +2

    Tupe pahali haswaa palipo sema kuwa haifai kusoma qur`ani maqaburini

  • @hamisisalum4434
    @hamisisalum4434 3 года назад +8

    Afu kingine Naomba hadithi inayo sema kusoma qur ani makaburin ni dhambi mm stak upigie kiyaswi

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 3 года назад +1

      Tatzo watu kujiona wamesoma na wanatoa fatwa ktk kila jamb

    • @hamoudslim3622
      @hamoudslim3622 3 года назад

      ruclips.net/video/i6hsmJD1cts/видео.html
      *👆MOHD BACHU USIAMSHE FITNA ILIYO LALA KAMA WAFICHA MAKUCHA TUTAYAFICHUA...*

    • @omarally6819
      @omarally6819 Год назад

      Kusha wahi kuomba dalili inayo halalisha kula pilau?!!!😂😂😂
      Mi nipe dalili inayosema kula biriani ni halali😅😅😅

  • @user-uj7yv1ch6y
    @user-uj7yv1ch6y 6 месяцев назад

    Sheikh unaelimu ndogo Sana nilijua unaelimu kubwa kumbe 0

  • @husenisiraji9960
    @husenisiraji9960 3 года назад +1

    Allah amhifadhi shekh wetu huyu anatupatiaa yaliyo memaa na mazurii ya yetu dini

    • @hamoudslim3622
      @hamoudslim3622 3 года назад

      ruclips.net/video/i6hsmJD1cts/видео.html
      *👆MOHD BACHU USIAMSHE FITNA ILIYO LALA KAMA WAFICHA MAKUCHA TUTAYAFICHUA...*

    • @omartsangari2041
      @omartsangari2041 3 года назад

      @@hamoudslim3622
      Subhanallah Allah unaonaje siku ya Malipo ukisimamishwa Mbele ya Allah alafu uambiwe kuwa ulieneza fitna kwa Ummah wa kiisilamu
      Kama Mohammed bachu amekosea mbona usimsitiri ueneze Makosa yake muogope Allah ndugu yangu kila unaloliandika utaenda kuulizwa siku ya mwisho

  • @yusuphsaad4349
    @yusuphsaad4349 3 года назад +7

    Sheikh ktk ile hadithi inayosema Mtume s.a.w alipoenda kuzika kisha akawaambia mtakieni msamaha mwenzenu maana kwa ss anaulizwa maswali...je msamaha tumtakia vp na duaa unatufundisha haijuzu makaburini...na ikiwa mtume s.a.w alikosea?

    • @omarsaid8633
      @omarsaid8633 3 года назад +2

      ruclips.net/video/UleD8yKXRCU/видео.html

    • @omarsaid8633
      @omarsaid8633 3 года назад +2

      Ckiliza hyo utapata faida

    • @hamoudslim3622
      @hamoudslim3622 3 года назад

      ruclips.net/video/i6hsmJD1cts/видео.html
      *👆MOHD BACHU USIAMSHE FITNA ILIYO LALA KAMA WAFICHA MAKUCHA TUTAYAFICHUA...*

    • @abdallahmgaya7521
      @abdallahmgaya7521 Год назад

      Yusuph Saad hujaelewa SoMo, Kilichokatazwa kusoma makaburi ni Qurani sio Dua. Bakwata wagumu kuelewa

    • @ibrahimpesa30
      @ibrahimpesa30 Год назад

      Kwani wewe hujaelewa

  • @fahadtimimi9335
    @fahadtimimi9335 2 года назад

    Pamoja na sheikh wetu nassor bachu

  • @husenisiraji9960
    @husenisiraji9960 3 года назад +3

    حفظك الله من كل مكر وسوء

    • @hamoudslim3622
      @hamoudslim3622 3 года назад

      ruclips.net/video/i6hsmJD1cts/видео.html
      *👆MOHD BACHU USIAMSHE FITNA ILIYO LALA KAMA WAFICHA MAKUCHA TUTAYAFICHUA...*

    • @ibrahimjuma9709
      @ibrahimjuma9709 Год назад

      @@hamoudslim3622 maelezo yko wazi msifanye nyumba zenu makabur SIYO msisome qur'an makaburini maana tusikae muda mrefu bila kusoma qur'an nyumbani kama muda unaotupita bila kwenda makaburini juu kaburini utaenda tu ima unandugu au jamaa unaenda kumzika atuingii kila muda kama nyumba zetu.kama tungekuwa kila siku tunaingia kaburini kama tunavyo ingia nyumba zetu mtume s.aw.lazima angetueelekeza ALLAH ATUNUSURU KWA KWELI

  • @abdulmbaruku9177
    @abdulmbaruku9177 Год назад +3

    we mchaw kabisa dalil unazo kuanzia macho mpaka videlo vyote

    • @mirajiwenge
      @mirajiwenge Год назад

      Huyu ni doctor wacheni polojo

  • @shikivokochabunu8011
    @shikivokochabunu8011 3 года назад +3

    Sheikh rafiki yangu kila baada ya kifo cha mamake yeye alilitiya kaburi alama iliajuwe kuwa mamake kazikwa hapo kila baada ya siku kadha huenda mpaka kwa hilo kaburi kuomuombea dua mamake sio kusoma Quran nikumuombea jee yafaa ama haifai

    • @hamoudslim3622
      @hamoudslim3622 3 года назад

      ruclips.net/video/i6hsmJD1cts/видео.html
      *👆MOHD BACHU USIAMSHE FITNA ILIYO LALA KAMA WAFICHA MAKUCHA TUTAYAFICHUA...*

    • @azizaziz7644
      @azizaziz7644 3 года назад

      YAFAAAAAA 100 KWA 100

    • @shikivokochabunu8011
      @shikivokochabunu8011 3 года назад

      @@azizaziz7644 shuran

    • @abdallahmgaya7521
      @abdallahmgaya7521 Год назад

      Ndugu Shikivoko Chabunu. Huyo kijana ANAFANYA jambo zuri, lakini lililo zuri zaidi ni Kumuomba Dua mzazi wake akiwa mahala popote na wakati wote wote bila ya kwenda kaburini, kwani Dua zake zitafika tu hakuna haja ya kuzipeleka

  • @machinjashabani
    @machinjashabani Год назад +1

    Huyu jamaa Ina bidi asomeshwe tena

    • @mirajiwenge
      @mirajiwenge Год назад

      Huyu ni doctor si kiwango cha watoto kama wewe

    • @abdallahshomari793
      @abdallahshomari793 6 месяцев назад

      Huyo ana kiwango cha ilmu ya marhala ya duktur hakuna sheikh wako yoyote hata mmoja mwenye ilmu kama ya huyo unayemuona kwahiyo uwe na adabu

  • @mustayoo
    @mustayoo 3 года назад +3

    Assalam alaykum .tumfuate mtume tutafaulu sio uzushi

  • @machinjashabani
    @machinjashabani Год назад +1

    Wewe ni SHEHE uchara

  • @hamisisalum4434
    @hamisisalum4434 3 года назад +4

    Asalamwalaika shekhe mm Naomba maelekezo nkienda kzru makabr nisome dua gan

    • @omarsaid8633
      @omarsaid8633 3 года назад +1

      ruclips.net/video/UleD8yKXRCU/видео.html

    • @omarsaid8633
      @omarsaid8633 3 года назад

      Ckiliza hyo utapata faida kubwa sanaa

    • @hamoudslim3622
      @hamoudslim3622 3 года назад

      ruclips.net/video/i6hsmJD1cts/видео.html
      *👆MOHD BACHU USIAMSHE FITNA ILIYO LALA KAMA WAFICHA MAKUCHA TUTAYAFICHUA...*

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Год назад

      Tofautisha Katia Dua na Qur'an utakiwi kusoma Qur'an kwenye makaburi Dua Hakuna Shida

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 3 года назад

    Baarakallahufiyka...

  • @hamisisalum4434
    @hamisisalum4434 3 года назад +2

    Afu kingine itakua vzr sana muwe nnaweka na namba zenu ili tuwe tunauliza

  • @kassimjigge4727
    @kassimjigge4727 3 года назад +2

    Hali hii ndiyo inawafanya wakristo waibuke na makanisa mapya kila kukicha, kila mtu anakuja na tafsiri yake! sasa hili la kutosoma al quran makaburini manake pale pana najisi! pili ina maana marhum wetu tukawabwage tu na kurudi? sioni hikma pamoja na kwamba umejitahidi kuwanukuu mujtahid maarufu

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 3 года назад +2

    asalaam alaykum.
    kuna dua gani utaisoma utapo zuru makaburi ambayo haitakua na AYYATUL QURAAN ? tunaomba maelezo . na tuondoke wala tusidhu makaburi na na kuzika na kuondoka wala tusipite tena kwana hata ukisoma bismilahi ni MOJA YA AYYATUL QURAAN .

  • @hassanutoto7869
    @hassanutoto7869 2 года назад +1

    Dogo unatumika vibaya hii nidini ya kweli ukiifanya kua ngumu itakushinda ww

  • @mpajiseif1489
    @mpajiseif1489 Год назад +1

    Jamani mie simuwelewi huyu shehee kwani watu wanaswali ndini yamakaburi jee ukiswali husomi quruan

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Год назад

      Jalibu kuwa Muelewa Basi nasio kuleta Ubakwata Basi Amekuwambia kabrini utakiwi kusoma Qur'an Ila Dua inaruhusiwa Ssa Tofautisha Katia Dua na Qur'an Amajui Dua Ni ipi na Qur'an Ni ipi

  • @bahashachembea6922
    @bahashachembea6922 3 года назад +3

    Dr Islam je kunayo hadhiti inayo kataza au kuharamisha?

    • @fikirinijr6807
      @fikirinijr6807 3 года назад +1

      HADITHI ALIYOISOMA MWANZO KABISA KAMA UMESIKILIZA VIZURI IMEHARAMISHA NA KUKATAZA SWALA HILO

    • @mohammedally2289
      @mohammedally2289 3 года назад +3

      @@fikirinijr6807 imeharamisha wapi acha uongo wewe hakuna hadithi inayosem لا ثقرءو القرآن في المقابر hakuna

    • @hamoudslim3622
      @hamoudslim3622 3 года назад

      ruclips.net/video/i6hsmJD1cts/видео.html
      *👆MOHD BACHU USIAMSHE FITNA ILIYO LALA KAMA WAFICHA MAKUCHA TUTAYAFICHUA...*

    • @bahashachembea6922
      @bahashachembea6922 3 года назад

      @@fikirinijr6807 (Amekataza au Ameharamisha) nataka hadithi inayo anza na haya maneno 2

    • @omartsangari2041
      @omartsangari2041 3 года назад +1

      @@bahashachembea6922
      Alaaaaa yani hadithi itaje vile unataka wewe dini haiendi hivyo ndugu yangu mpendwa
      nasaha yangu kwako ndugu yangufungua akili na tia Nia ya kuitafuta haki in sha Allah Allah atakuongoza
      Allah atuongoze sote kwa Rahma zake Aaamin

  • @abdulmbaruku9177
    @abdulmbaruku9177 Год назад +1

    alaaf we mchaw dalili zote unazo toka zako

    • @mirajiwenge
      @mirajiwenge Год назад

      Huyu ni doctor sio kiwango chenu usitie mdomo hapo

  • @zawadiramadhan6181
    @zawadiramadhan6181 Год назад

    Aslm alyk. Shekhe ninaswali:
    1. kaburi ni nini?
    2.nyumba kwa sisi tulio bado hai tunaingia(ndani) na hata kutoja(nje)n tunajua mazingira husika ya majumba yetu, vipi ya huko kaburini yanaingilika?
    3. Kwa nini Allah ataje kaburi, kuna hekma gani?

  • @saidharun7162
    @saidharun7162 3 года назад +5

    Weeee likowapi katazo ktk hadithi mbonahufahamiki .

    • @hamoudslim3622
      @hamoudslim3622 3 года назад +1

      ruclips.net/video/i6hsmJD1cts/видео.html
      *👆MOHD BACHU USIAMSHE FITNA ILIYO LALA KAMA WAFICHA MAKUCHA TUTAYAFICHUA...*

    • @issaali7669
      @issaali7669 3 года назад +4

      Wewe ndo hufaham.

  • @latifaayoub6126
    @latifaayoub6126 Год назад

    Kwa mfano nikisema mtume kasema hivo kwaajili waliomo makaburini hawana uwezo wa kufanya ibada wala kusoma qur an ... ndo maana tukaambiwa hivo .. nitakua sawa cz naona tunaenda kwa qiyaas hapa

  • @sadikinyanzowa9107
    @sadikinyanzowa9107 3 года назад +1

    Nh huyu mtata

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 3 года назад

    Sheikh umesema kukisomwa surah al bagarah shetwani haingii, je'ikiwa waskiliza surah al bagarah pia shetwani haingii au mpaka uisome?

    • @azizaziz7644
      @azizaziz7644 3 года назад

      Kwa hiyo ikisomwa Suratu Imran shetani huingia????? TOBA Mola mtukufu tusamehe, tuepushe mbali na fitna hiii ya NAJID - AMEEN 🤲🤲🤲🤲

    • @abdallahmgaya7521
      @abdallahmgaya7521 Год назад +1

      Ndugu Madhuru, unaweza kusoma we mwenyewe, au nduguyo au mtu yeyote na hata kwa kuitumia redio sauti ikasikika ndani mwako shetani haingii. Mlipe ustaadhi awe anasoma kwako Kila siku kama una kazi nyingi na muda unakubana

  • @binabeidsalim6380
    @binabeidsalim6380 Год назад

    Umeweka mike tatu na kichupa cha maji 😂😂😂😂

  • @magufulitanzanian9941
    @magufulitanzanian9941 Год назад

    Ama kweli Akili ni nywele. Hivi kweli akili zenu zimeishia hapo..?

  • @binabeidsalim6380
    @binabeidsalim6380 Год назад +1

    Huna hojja wewe kikanzukila kitu you mekuwa ni bidaa Basi zifaya za sauti mtume alizitumia ??

  • @sssp1230
    @sssp1230 3 года назад

    وَاتَّقُوا اللَّهَ وَيُعَلِّمُكُمُ اللَّهُ ... Wacheni ubishi enyi waja, hamjuikisha mnabishana.. Sasa ninyi dalili yenu ipo wapi hapo mnapopashikilia? Maneno ya Dr. Yanaendana na ukweli.

  • @ramadhanimbulu6716
    @ramadhanimbulu6716 2 года назад +1

    Huyu jamaa ni muongo na mzushi sana, kuna hadithi inasema wasomeeni Surat yasin marehemu wenu, sasa tuwasomee wapi, acha uwongo, rudi ukasome upya huna uelewa.

    • @edyamir1257
      @edyamir1257 2 года назад

      Usituletee hadithi dhaifu wee kima

    • @husseinmwiti2801
      @husseinmwiti2801 Год назад

      Wewe ndo muongo waleta hadithi dhwaifu njoo kwa usalafi tukufunze wachana na masufi wazushi

    • @abdillahmussa4813
      @abdillahmussa4813 Год назад

      Tupe isnaad ya hiyo hadith

  • @ommyommmy-yo5yk
    @ommyommmy-yo5yk Год назад

    Watoto wako wewe ukifa yatakiwa wafanye nini juu yako

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Год назад

    *Sheikh unaleta hadith TOFAUTI namafuhum yake maana ilokusudiwa TOFAUTI na fasili yako maana TUSIYAFANYE majumba yetu nimakabuli haina maana kuwa tusiisome QUR AN makabulini laaaa yaani tusizifanye majumba yetu nimakabuli bimaana TUSIACHE kumtaja Allah kma wale waloacha majumba yao (wafu) nyumba isotajwa jina laallah ni SAWA nakabuli AU maiti.......*