Ibn ‘Abbaas (رضي الله عنهما) amehadithia kwamba: Jibriyl (عليه السلام) alipokuwa na Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) alisikia sauti kutoka juu. Jibriyl (عليه السلام) akatazama juu akasema: “Huu mlango wa mbinguni umefunguliwa na haujapatapo kufunguliwa isipokuwa leo.” Malaika akateremka humo akasema: “Huyu Malaika ameteremka ardhini, hajapatapo kuteremka kamwe isipokuwa leo.” Akasalimia kisha akasema: “Pokea bishara ya nuru mbili ulizopewa ambazo hakuna Nabiy aliyepewa kabla yako; Ufunguo wa Kitabu (Al-Faatihah), na Aayah (mbili) za mwisho wa Suwratul-Baqarah. Hutosoma herufi humo ila utapewa barakah zake zilizomo.” [Muslim]
Ma sha allah sheikh wetu Allah akubariki na akuhifadhi Allah akujaalie umri mrefu wenye taqwa na baraka ndani ili waja wa Allah wanufaike na ilmu yako Allah akuruzuku pepo pamoja wazazi wako na familia yk na ss wengine amiin yaa rabb
QUR'AN TUKUFU ni zawadi Kubwa mno kwetu WANAADAMU ila wachache mno ndio waliowafikishwa KULITAMBUA hili.
😭😭Yaa ALLAH tujaalie kuwa miongoni mwao
Ameeen bro
Aamiyn
Ibn ‘Abbaas (رضي الله عنهما) amehadithia kwamba: Jibriyl (عليه السلام) alipokuwa na Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) alisikia sauti kutoka juu. Jibriyl (عليه السلام) akatazama juu akasema: “Huu mlango wa mbinguni umefunguliwa na haujapatapo kufunguliwa isipokuwa leo.” Malaika akateremka humo akasema: “Huyu Malaika ameteremka ardhini, hajapatapo kuteremka kamwe isipokuwa leo.” Akasalimia kisha akasema: “Pokea bishara ya nuru mbili ulizopewa ambazo hakuna Nabiy aliyepewa kabla yako; Ufunguo wa Kitabu (Al-Faatihah), na Aayah (mbili) za mwisho wa Suwratul-Baqarah. Hutosoma herufi humo ila utapewa barakah zake zilizomo.” [Muslim]
Jazaka llahu L kheir
Shukran akhy
Allah atupe baraka zake
Mash allah Shukran sana ahmed hujambo akhui
Masha Allah
Shukrani Aheme Albaity mungu akupe shifaa
Huyu ndio aalim tunaojivunia kuwa nae Allah amhifaadhi
ALLAHUMMA SWALLI A'LAL MUSTWAFWA HABIBINA MUHAMMAD ALAYHI SSALAAM
Mashaallah , Tumswalieni mtume waislamu
Allah Subhaanahu Wataala
Akulipe kheir nyingi hapa dunian na akhera
Allah akuzidishie umri utupe elmu cc na watoto wetu.
aamin
Allah akujaalie afya yenye kheri tuzidi kunufaika katika mafundisho akupe umri wenye kheri tuzidi kunufaika.
Aamina inshaallah
Maa Shaa Allah, Allah akuzdshie na akueka uzidi kutupa faida ktk dini yetu,na Allah akulipe mizani ktk hasanat zako...amin Amin amin
Allahumma Swali Alaa Habibi Muhammad Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Masha Allah shekhe Muhammad nasor umenifunua kwa ndani kabisa kiimani"" Allah akuongoze ktk kheer duniani na kheraa
Mashaallah nakpenda san kwaajil ya llah na inshaallah akuongoze k atka kuyatend Yale yanayomridhia
May Allah give your parents jannah and bless all your family members
SubhanaAllah.Allah atusamehe madhambi yetu
Ma sha allah sheikh wetu
Allah akubariki na akuhifadhi
Allah akujaalie umri mrefu wenye taqwa na baraka ndani ili waja wa Allah wanufaike na ilmu yako
Allah akuruzuku pepo pamoja wazazi wako na familia yk na ss wengine amiin yaa rabb
LA ILAHA ILLALAH MUHAMMADUN RASULAALLAH
Shukran wajazaka llahu heri inshallah
Alhamdulillah wakati wengine wakifedheheshana bado kuna wengine wanafaidisha watu
Maashaallah Allah akulipe Kheyr nyingi
Saana, maana mashekhe wa uongo na wa kweli wanajulikana na wanaonekana ndugu yangu
'Khamis Mkanga'
Mbona hayo majina no ya asili ktk familia yangu ww wa wapi?
Allah akupe kila ulotaka
Maa shaa Allah nampenda sheikh wetu Dr. ISLAM MUHAMMAD namkubali sana
Masha Allah inaeleweka vyema ata ww pia una nuru.
Aslm alkm ww.... Masha Allah!!!! Allah akulinde, akupe furaha na afya njema. Jazakallah kheir 🙏
Man shaa Allah . Shukran sheikh
@@mosesthuram4853maa, sio man
maashaallah kheri
Maashaallaah mungu akuzidishie elimu na baraka nyngi ktk kaz zako akuepushie nahadad na vijicho inshaallaah
❤
Barakkallahu fika🙏🙏🙏
Mashallah Skh unaleta vizuri kabisa hadithi hizi. Allah akubarik. Aameen
Allah akuhifadhi akhiyl kareem
Mashallah jazaka llahu khayra
Mashaallah allah akulipe kil la kheir na mwisho mwema .Ameen
Masha Allah Tabaraka Allah Yaa Sheikh alf shukran kwa kutupa ilmu Wa Jazaka Allah Kheir
Mashallllah mashalllah
Manshaallah shekhe ALLAH akupe kila ra kher🙏
Ma sha Allah! Sheikh jazakAllah kher barakaAllah fiqh..
Shkrn jazakaAllaah khayrn
MashaALLAH Sheikh ni Khalid kutoka Kenya
Mashaalah jazakllah khair sheikh
Jazzaka Allah kheir
Jazakallah khayran ustadha kwa mafundisho Haya yenye manufaa mengi
AmekoseA ni ustadh
Lakini umeelewa kama amekusudia ustadh
MashaaAllah
Masha allah
Jazaka Allah kheir
Ma Sha Allah
جزك اللہ خير يا اخي الكريم محمد
Mashaa Allah jaazakallah kheri
Mashallah alhmdulliah tumepata faida kubwa. الله يحفظك
Sub han Allah. Jazaak Allahul kheir
Subhanallah Allah atupe wepesi ktk kheir
Masha Allah !💐
Shekh ALLAH akulipe na akuzidishie kheri zake.
Jazakallahu Khair
Shekh 2nakuelw Vzr
allah akupe umri mrefu shekh ww na familia yako
Aamina inshaallah
Jazzakallah khaira
MASHAALLAH.
Jazak Allah khair mashaa Allah tabarakallah
MashaAllah ndio wazee wetu wapenda kutia fatha watu wote wakasoma suratul fatiha kisha ndio wakasoma Dua
Maa Shaa Allah!
Mwenyeenzi mungu akujaalie kauli njema kila siku za maisha yako shukran kwa naswiha njema na nzuri
Mm nataka niulize suali naweza kuuliza hapa au
SubhanaAllaah
Masha Allah Shukran Sheikh.
Jazakaallahu khairan inshaallah
Mashaallah
JazakAllah kheir
MaashaAllah jazaka Allah khair
Mashalla shukran sheikh
jazakallah kher
مشاء الله بارك الله فيك وجزاك الله خيرا
Masha Allah Mwenye Mungu akupe kila la kheri.ktk elm jazaka Allahu Khayr.
Allahumma salli alaa rasul Muhammad waalihi wasallam
Maashaallah
shukran sheikh kwaelimu hii
Shukran allahakuzidishiye ilmu
Masha Allah allahibarik
MA SHA ALLAH ❤
mashalwah allhwa akupe umri mrefu wenye kher na wewe ishwalwah
Masha Allah sheikh Islam Mohammed proud of Munawarah and Tahdhib Muslim school Mwembe Tanganyika
Jazak allah khyra
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh.shukran sana SHEKH wangu ALLAH akulipe kheri kutuweka karibu sana na mola wetu mlezi .
Masha Allah
Jazaakallahu khayr
Swadacta kweli malim allaah akupe umeimrefu Isha allaah
Mashallah tabaraka allah
Allhamdulillah kwa faida hii nitilie dua pia ww Allah aniondeshee dhiki
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH. Allah Atupe Taufiq Ya Rabb. Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin
ruclips.net/video/0TtuuMjFvNo/видео.html
Aamina,insha Allah
Mashaa Allah.
BAARAKA LLAHU FIYKA YAA SHEKH
Allah akulipe kwa kazi kubwa unayo ifanya
Shukran kwa elmu yako umetufaidisha pakubwa sana.
Mashallah
Mashallah Allha
Allha amjaalie
Shukran
MashaAllah
Manshaalah
Allah akuhifadhi Shekh watu
خيرا
Mashllh
Aslm Aleykum 🤲
MashaAllah tabarakallah.. shukran . naweza kupata namba yako sheikh.
mashalwah
جزاكم الله
ماشاءالله