Je nikweli Sheikh Nassor Bachu Aliwahi kuwa SHIA??Ukweli ni huu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 82

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 3 года назад +14

    MASHAALLAH, hakuna binadamu asiyekuwa na kasoro lakini ALHAMDULLILAH amejitahidi Allah alivyomuwezesha tumejifunza mengi ALHAMDULLILAH alichokosea Allah amsamehe

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 3 года назад +15

    Allah Amrehem Sheikh Nassor Bachu, Allahumma Amin ya Rabb 🤲

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Год назад +6

    ALLAH amtilie nuru kaburini mwake sheikh wetu wa ki sunnah , na amlipe pepo ya juu kabisa amiin

  • @faisalmohamed727
    @faisalmohamed727 3 года назад +8

    ALLAH amuhifadhi amrehemu sheikh wetu.

  • @sabihamakami3720
    @sabihamakami3720 3 года назад +13

    Allah akurehemu shekhe nassor bachu 😪😪😪😪

  • @omysule7118
    @omysule7118 Год назад +3

    Alhamdulillah. Allah akusamehe makosa yako na akulipe kila la kher, sheikh wangu mpendwa namba 1. Tuunashkuru pia kwa kutuachia dhahabu ambae ni mwanao

  • @chulululicious6061
    @chulululicious6061 2 года назад +3

    Tulipoteza sheikh mkubwa sanaa ..nmejifunza mingi sheikh wangu ..Allah akurehemu sheikha nassor bachu

  • @suhel5209
    @suhel5209 3 года назад +5

    Allah akuweke salama ulipo ustadh al marhum Bachu.

  • @salmaalisalim2462
    @salmaalisalim2462 2 года назад +3

    MashaaAllah alikuwa shujaa sheikh nassor Allah amrahamu

  • @maseledotto8490
    @maseledotto8490 3 года назад +7

    Allah amjaalie kila la kheir huko akhera alipo

  • @salimmbwana6926
    @salimmbwana6926 Год назад +2

    Allah amrehemu na amsamehe sheikh wetu .

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 3 года назад +3

    Yoyote anaemuabudu asiekua Mwenyezi Mungu mmoja Subhanahu Wataala atakua si muislam, na yoyote anaemshirikisha Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala na yoyote katika ibada zake, dua zake na ufalme wake huyo pia atakua sio muislam

  • @kombomakame7547
    @kombomakame7547 Год назад +3

    Allahumma ghufirlahu warhamhu filnannah

  • @ramadhanomar8093
    @ramadhanomar8093 3 года назад +5

    Sijaona kama sheikh nassor bachu east Africa...eee mola mrahamu sheikh wetu

  • @tigersterling5417
    @tigersterling5417 3 года назад +8

    Ya Rabbi murehemu sheikh wetu na wanachooni wetu wote.

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 3 года назад +5

    Mungu amrehemu Sheikh wetu

  • @kitosio
    @kitosio 3 месяца назад

    Mtumaji. ALLAH AKULIPE KILA KHERI

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 3 года назад +8

    Allah amrehem shekhe wetu kipenz salafi wa Zanzibar

    • @ramadanismail3052
      @ramadanismail3052 Год назад +1

      Ameen Yarab

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 11 месяцев назад

      Xio xalafi Sunna

    • @ALIKHAMIS-un4fv
      @ALIKHAMIS-un4fv 3 месяца назад

      ​@@hamicpina1151ni salafi sheikh nassor

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 3 месяца назад

      @@ALIKHAMIS-un4fv sio salafi mjomba maana hakuwa na mambo yakubishana yeye ilikuwa anatowa daawa na sifa ya salafi ni kushindana mambo ya hoja weeee adi kazi ya mtume kzi ya kumtangazia ALLAH kwa wasio mjuwa na kulingania wasiomuabudu ALLAH kwa salafi haipo wao mambo ya hoja tuuu kwa shekh nassoro hakuwa mtu wa ivi yeye ni daawa tuu na kuufundisha umma misingi ya dini bx

  • @jardiniddy3205
    @jardiniddy3205 3 года назад +3

    Allah amrehemu .Allahuma thabit'hu bi qauli tthabit

  • @mohammedsalim7051
    @mohammedsalim7051 3 года назад +2

    ALLAH AMREHEMU SHEIKH NASOR BUCH

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 года назад +6

    Hata MI nisha fundishwa na nina hakika wengi tumesha kaa mbele ya ma ustadh wa bid'a. Ila kwa kudra za Allah akatufunulia elimu zaidi yaku tofautisha Kati ya hawa washirikana na watu wa Sunna

  • @husseinfunga3272
    @husseinfunga3272 2 года назад +2

    Rahmahullah Sheikhe Nasoro Bachu

  • @jumaomar7602
    @jumaomar7602 2 года назад +1

    Alla akurehemu akusamehe dhambi zako

  • @eaduruus8896
    @eaduruus8896 3 года назад +5

    Assalamu Alaikum. Sheikh Muhammad, tunaomba utuwekee duruus za Tamaamul Minnah zilizofundishwa na Sheikh Bachu Allah amrehemu, ili tuweze kustafidi kielimu, baarakallahu feekum.

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 3 года назад +3

    Allahumma Amin ya Rabb 🤲

  • @ayubumagumu4386
    @ayubumagumu4386 3 года назад +3

    Allah amrehemu sheikh

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 3 года назад +4

    Hakuna alieweza kuwazungumza vizuri mashia km shekh qasim allah amuhifadhi

    • @vitalcool9266
      @vitalcool9266 3 года назад +3

      Sababu wewe ndivyo ulivyokaririshwa

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 3 года назад

      @@vitalcool9266 hapna huo ndo ukweli hao wengine wote KAZI Yao ni matusi tu

    • @habibuchipeka7934
      @habibuchipeka7934 3 года назад +1

      We nawe una matatizo

    • @khalidmussa3769
      @khalidmussa3769 3 года назад +2

      Wewe umeanza kusikika mada za mashia kwa qasimu lkn kuna kina sheikh Saalim barahiyani wamezungumzia sana kuhusu mashia

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 3 года назад

      @@khalidmussa3769 barahiyan nae ni shekh 🤣

  • @safinahighschool2179
    @safinahighschool2179 3 года назад +2

    Mungu amrahamu shekhe Nassor na amjaalie kizazi chake kuwa katika kundi la wafuasi (Shia) wa Mtume s.a.w na ahlulbayt na swahaba zao wema. Amin

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 3 года назад +7

    Allah amraham sheikh bachu

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад +1

      Amiin mzee mwenye busara zake ila huyo mtoto kisunzi😄😄

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 года назад +1

      @@rehemasalim4590 umeonaee yani anabusara japo tulikua wadogo akifariki ila clip zake zipo kwa sasa RUclips tunamfatilia

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 года назад +1

      @@omaar5693 😀😀😀😀

  • @abdillahbakar9850
    @abdillahbakar9850 3 года назад +6

    Allah amrehemu akhera aliko

  • @bizuwena623
    @bizuwena623 3 года назад +2

    ALLAH AKULIPE KHERI KILA ULIPOPATIA.NA AKUSAMEHE ULIPOKOSEA KWA JUHDI YAKO.

  • @wailusebea3511
    @wailusebea3511 2 года назад +1

    Allh amrehemu shkh nasoro bacho na amsamehe

  • @idrisaaly3557
    @idrisaaly3557 3 года назад +6

    Kaka usichoke kurusha video za sheik wetu marehem Nassor bachu Allah akulipe kila la kheri na nichukue na fursa hii kumuombea dua sheik Nassor bachu Allah amlaze mahali pema peponi (amin)

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 3 года назад +2

    Shukran

  • @aliabdallah452
    @aliabdallah452 3 года назад +5

    Allah amsamehe na ampe rehma zake , lakini weka mpaka mwisho ili tufaidike

  • @suleimanjuma4443
    @suleimanjuma4443 3 года назад +5

    Assalamu Alaikum. sheikh naomba uiweke yote na sheikh ukipata nafas hebu tuelezee na kusihana madhehebu ya salafii.Allah amrehemu sheikh wetu nassor bachu

  • @khamismachu9612
    @khamismachu9612 3 года назад +4

    Mashaallah mungu amrehem

  • @adamtawete5865
    @adamtawete5865 2 года назад +1

    Allahmdullilah ala manhaj Sarafi

  • @hannanshekale5574
    @hannanshekale5574 3 года назад +2

    Ni babako huyu sheikh muhammad

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 3 года назад +3

    Nani ana mzushia ushia shekhe wetu

  • @allysalimsalim4965
    @allysalimsalim4965 3 года назад +2

    Huyu sheikh Allah angempa pumzi paka SAS hv kwa uwezo wa Allah tungefaidika Sana ila Allah ndo mjuzi zaid ya hilo

    • @abdallahomarabdallah4244
      @abdallahomarabdallah4244 3 года назад

      Allah anafanya mambo yake kwa mipango alimuondoa Nassor Bachu akamleta Muhammad Nassor Bachu nae huyo amefuata nyenendo za baba yake Allah amuhifadhi na amueke anapo stahiki sheikh Bachu.

  • @sultannassor4868
    @sultannassor4868 3 года назад +4

    Tunahitaji muendelezo

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 7 месяцев назад

    ushia ndio ukweli

  • @meekman654
    @meekman654 3 года назад +4

    Tupeni muendelezo

  • @bilalihaji8431
    @bilalihaji8431 3 года назад +1

    Hajanikinaisha kabsa yannnnnn

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 Год назад +1

    Kwani nikulize wewe Muhammad bin bachu Una sumbuka naninii?
    Pia ikiwa ushaudhihirishiaa UMMA kwamba hii ndio batili na ipi ndio HAKKI usibabike na hao wanao watoa watu na kuwakufurisha watu.
    #Usibabike#

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 года назад +2

    Shia ni muslamu au ni nani.naomba ijibu?allah atulinde waisalmu wite duniani atupe mwisho mwema.

    • @rashidyusuphmwatebela8802
      @rashidyusuphmwatebela8802 3 года назад

      Shia so muuslamu,
      Wao hawamuamini ALLAH ambaye tunamuamini sisi, ALLAH ambaye Mtume wake wa mwisho Ni Muhammad na khalifa baada ya Mtume huyu Ni Abubakar.
      Bali wao wanaamini maimamu wao 12, wanasifa za kiungu, na Kujua ghaibu n.k
      Hakika kwa hayo na mengi, wao so waislamu. Bali wanadai ya kuwa ni waislamu ...na madai pasina uhakika si lolote so chochote

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 3 года назад

      Yoyote anaemuabudu asiekua Mwenyezi Mungu mmoja Subhanahu Wataala si muislam, na yoyote anemshirikishwa Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala na yoyote katika ibada zake, dua zake na ufalme wake huyo sio muislam

    • @khamisissa252
      @khamisissa252 3 года назад

      @@rashidyusuphmwatebela8802 sahih.

    • @sittacharlesmaendeleo778
      @sittacharlesmaendeleo778 Год назад

      Shia ni kafiri

  • @abdillahbakar9850
    @abdillahbakar9850 3 года назад

    Shekh muhammad bachu nakuuliza nasikia chichi amebadilika amekua shia hivi ni kweli

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 10 месяцев назад

    Mashia ni waislam halisi wa nyumbani kwa mtume

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 10 месяцев назад

    Mashia ni waislam halisi

  • @khaliddaud5352
    @khaliddaud5352 3 года назад

    Acha kupotosha waitu wee hujui chochote unasababusha waislam kuuwana huna ilmui

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 2 года назад

    Nguruwe za mashia ni makafiri wa waazi

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 10 месяцев назад

    Bachu kafiri huyu anayetukana masheikh

  • @bilalihaji8431
    @bilalihaji8431 3 года назад

    Inshaallwaa...ushia utashinda....hahaha