UPOTOFU WA KUNDI LA JAMAATUL-TABLIGH___ 🎙SHEIKH ABU HASHIM ABDUL-QADIR BIN HASHIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • UPOTOFU WA KUNDI LA JAMAATUL-TABLIGH___ 🎙SHEIKH ABU HASHIM ABDUL-QADIR BIN HASHIM💫
    🛑
    THIS CHANNEL IS DEALS WITH QUR-AN AND SUNNAH IN SALAFI UMMAH 💫
    🛑
    ‪@dawatul-salafi129‬ 👈👈 SUBSCRIBE
    🛑
    • UPOTOFU WA KUNDI LA JA...
    🛑
    SUPPORT THIS CHANNEL IN ORDER TO UPLOAD MORE VIDEO
    🛑
    • MASHIA WANAITAKIDI KUW...
    🛑
    USISAHAU KU SUBSCRIBE NA KUGUSA ALAMA YA KENEGELE ILI UWE WA KWANZA KILA TUNAPO ACHIA VIDEO MPYA💫
    🛑
    • KWA NINI DR ISLAM HAK...
    SUBSCRIBE 👉👉 ‪@dawatul-salafi129‬ 💫

Комментарии • 36

  • @muhammadshaka8414
    @muhammadshaka8414 8 месяцев назад +2

    shukran sheikh kwa uwongo wakoo walah yaan ndo wtuzidishia yaqin tuendelee kufanya kaz tukufu ya mtume

  • @AbdullahLugendo
    @AbdullahLugendo 4 месяца назад +1

    Kazi zenu kuradi tu lakin mtaani kwenu unaishi na tariqu swala kama wote.

  • @ibnukhatwib2969
    @ibnukhatwib2969 8 месяцев назад

    Allahumma ihdinaa fiiman hadayt.
    Sijaona katika kundi chochote katika ulioyasema,
    Huenda hii jamaatu tabligh basi ziko vikundi vingine pia ... Wallahy sijawahi ona wala sikia chochote katika hayo.
    Allahu A'laa wa a'lam

  • @muhammadshaka8414
    @muhammadshaka8414 8 месяцев назад

    juhud wanaifanya tabligh ni kubwaaa sana wanatufuata mtahani kwenye vijiwe vya bangi mpaka leo nimekuwa hafidh wa quran na naendelea kusoma sheria

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 5 месяцев назад

      Kulingania so shida tatizo hawakatazi maovu wanasema ni marazi ya umma tuamrishane mema tuu. Sasa hiyo aikuwa dawawa ya mtume shekhe

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed4849 8 месяцев назад

    Allah akuongezee mzee kwa kizungumza uwongo iko siku Allah atakudhalilisha kwa kusoma kitu bila ww mwenyewe kutoka na kuhakikisha watoto zaidi ya 1000wametolea shule kuhifadhi kitabu cha kwa fadhla ya daawa mimi binafsi nimesoma sifatu swalaa yaAlbany ndani ya kundi.mpaka tukamilza

  • @RamadhanHamad-s3w
    @RamadhanHamad-s3w 8 месяцев назад +1

    Shukran sheikhe wetu mm pia nilikuwa tablinghi hayo ni yakweli kabisa mm namshukuru Allah ameniongoza alhamdulilah

    • @muhammadshaka8414
      @muhammadshaka8414 8 месяцев назад

      mche allah acha uwongo ndugu yangu mm nipo ndan ya tabligh ni uwongo mtup walah wabilah watalah

    • @allyjaffar7072
      @allyjaffar7072 8 месяцев назад +1

      @@muhammadshaka8414 utablighi ni usufi na usufi ni uwenda wazimu mtupu...

    • @muhammadshaka8414
      @muhammadshaka8414 8 месяцев назад +2

      @@allyjaffar7072 😄😄😄😄😄😄😄 hata mtume aliitwa mwandazimu kwa kaz tukufu ya dawaa shukran habiby

    • @allyjaffar7072
      @allyjaffar7072 8 месяцев назад

      @@muhammadshaka8414 wakati anaitwa mwendawazimu alikuw katika haqqi sio baatwil Kam walivyo matabligh

    • @allyjaffar7072
      @allyjaffar7072 8 месяцев назад

      @@muhammadshaka8414 wakati wanamuit mtume صلي الله عليه وسلم mwendawazimu alikuw katika haqqi sio katika baatwil Kam mlivyo matabligh

  • @yusufahmed6840
    @yusufahmed6840 8 месяцев назад

    Haya umeyatoa wap,,,,nan kakwambia hivo,,,na umemuuliza tabligh yupi,,,anaejitambua au hasiyejitambua,,,

  • @ShaftMwiinga
    @ShaftMwiinga 8 месяцев назад

    Naomba numb ya abu hashimu

  • @meksd2418
    @meksd2418 8 месяцев назад +1

    Hawaa mawahabii na masalafii nikundii la kiyahudii lililojifanya uislamu kumbee ni ukafirii tu

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 5 месяцев назад

      Unaushahidi huwo baada ya kuwaambia mashia wanaotukana maswahaba ndo dini alikuja nayo Abdullah bin sabaha myahudi ndo muanzilishi wa ushia kwa kuwasema mawahabi ni mayahudi ni chuki za watu tuu kwakuwa hawataki ambiwa ukweli

  • @OthmanAbdallah-y4v
    @OthmanAbdallah-y4v 7 месяцев назад

    Wewe mwenyeo elimu huna maana unangea porojo

  • @nureinimohamed449
    @nureinimohamed449 8 месяцев назад +2

    Waheni chuki, uchochezi, na kupingana beina sisi kuwa sisi waislamu. Wakati huu tulio nayo si wakati wa wa Islamu kupingana tujengeni umoja wetu waislamu mungu ataridhika na sisi tutapata thawabu. Lakini ni lazima, ipatikane umoja kati ya waislamu.

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c 7 месяцев назад

    Ninawasiwasi hawa wanaotunga vitabu vya kuwabomoa Matabligh na Masufi sijui kama sio Makafiri maana Makafiri siku hizi husoma dini ya kiislam kwa lengo la kuharibi maana hayo maelezo yanayotolewa hayaingii akilini.

  • @user-ls3yu3oz4whgfxzzz
    @user-ls3yu3oz4whgfxzzz 8 месяцев назад

    Hatar Sana bidaa

  • @MunaiyaabdallahAbdallah
    @MunaiyaabdallahAbdallah 8 месяцев назад

    Acha upuuzi ww lete ushahidi wa aya au hadithi swahihi inayopinga jamaat tabligh usituletee maneno ya masheikh wako hao sio kigezo chetu sisi

  • @muhammadshaka8414
    @muhammadshaka8414 8 месяцев назад +2

    yaan mm hapa ndan south africa tashuhudia amir wao anafia ndani sjida na tanzania nishashudia watu wawili wa tabligh wanafia ndani msikit tena kwa kalma sasa watu gan wa bidaa wakafa kwa kalma ndan sjida

    • @mohamednkupe4225
      @mohamednkupe4225 8 месяцев назад

      Walikuwa wanaumwa au njaa hadiwakafia msikitin

  • @muhammadshaka8414
    @muhammadshaka8414 8 месяцев назад +1

    jinsi unavyozidi kuongea uwongo ndo tunazid kuwa na yaqin na tabligh yetu

    • @allyjaffar7072
      @allyjaffar7072 8 месяцев назад

      Hata wale washirikin wa zama za mtume صلي الله عليه وسلم walipombiwa kuw UISLAM ndio dini ya kweli walisema mfano wa maneno yako bwna Muhammadshaka..

    • @muhammadshaka8414
      @muhammadshaka8414 8 месяцев назад

      @@allyjaffar7072 kwamba tabligh wanasemj kusoma elim ya sheria ni elimu ya ibili duhhh kanichekesha sana uyoo muwongo wenuu

    • @allyjaffar7072
      @allyjaffar7072 8 месяцев назад

      @@muhammadshaka8414 hata wale washirikina wa zama za mtume صلي الله عليه وسلم walipofikiwa na haqqi walimuona mtume wa Allaah ni muongo...hivyo sishangai Allaah akuraham

    • @muhammadshaka8414
      @muhammadshaka8414 8 месяцев назад

      ​@@allyjaffar7072 ndo talbis zenu alete dalili so rai za watu 😂😂😂😂😂

    • @allyjaffar7072
      @allyjaffar7072 8 месяцев назад

      @@muhammadshaka8414 ukitaka kujua wendawazimu wa matabligh jiangalie ww ulivyo

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed4849 8 месяцев назад

    Na babake Sh. Albany alikufa na madhhabu ya hanafi ndio yuko motoni?

    • @misrusaidi3627
      @misrusaidi3627 8 месяцев назад

      Kwa hiyo we wajua ghaibu kua flani yup motoni