UPOTOFU WA KUNDI LA JAMAATUL-TABLIGH___ 🎙SHEIKH ABU HASHIM ABDUL-QADIR BIN HASHIM
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- UPOTOFU WA KUNDI LA JAMAATUL-TABLIGH___ 🎙SHEIKH ABU HASHIM ABDUL-QADIR BIN HASHIM💫
🛑
THIS CHANNEL IS DEALS WITH QUR-AN AND SUNNAH IN SALAFI UMMAH 💫
🛑
@dawatul-salafi129 👈👈 SUBSCRIBE
🛑
• UPOTOFU WA KUNDI LA JA...
🛑
SUPPORT THIS CHANNEL IN ORDER TO UPLOAD MORE VIDEO
🛑
• MASHIA WANAITAKIDI KUW...
🛑
USISAHAU KU SUBSCRIBE NA KUGUSA ALAMA YA KENEGELE ILI UWE WA KWANZA KILA TUNAPO ACHIA VIDEO MPYA💫
🛑
• KWA NINI DR ISLAM HAK...
SUBSCRIBE 👉👉 @dawatul-salafi129 💫
shukran sheikh kwa uwongo wakoo walah yaan ndo wtuzidishia yaqin tuendelee kufanya kaz tukufu ya mtume
Kazi zenu kuradi tu lakin mtaani kwenu unaishi na tariqu swala kama wote.
Allahumma ihdinaa fiiman hadayt.
Sijaona katika kundi chochote katika ulioyasema,
Huenda hii jamaatu tabligh basi ziko vikundi vingine pia ... Wallahy sijawahi ona wala sikia chochote katika hayo.
Allahu A'laa wa a'lam
juhud wanaifanya tabligh ni kubwaaa sana wanatufuata mtahani kwenye vijiwe vya bangi mpaka leo nimekuwa hafidh wa quran na naendelea kusoma sheria
Kulingania so shida tatizo hawakatazi maovu wanasema ni marazi ya umma tuamrishane mema tuu. Sasa hiyo aikuwa dawawa ya mtume shekhe
Allah akuongezee mzee kwa kizungumza uwongo iko siku Allah atakudhalilisha kwa kusoma kitu bila ww mwenyewe kutoka na kuhakikisha watoto zaidi ya 1000wametolea shule kuhifadhi kitabu cha kwa fadhla ya daawa mimi binafsi nimesoma sifatu swalaa yaAlbany ndani ya kundi.mpaka tukamilza
Shukran sheikhe wetu mm pia nilikuwa tablinghi hayo ni yakweli kabisa mm namshukuru Allah ameniongoza alhamdulilah
mche allah acha uwongo ndugu yangu mm nipo ndan ya tabligh ni uwongo mtup walah wabilah watalah
@@muhammadshaka8414 utablighi ni usufi na usufi ni uwenda wazimu mtupu...
@@allyjaffar7072 😄😄😄😄😄😄😄 hata mtume aliitwa mwandazimu kwa kaz tukufu ya dawaa shukran habiby
@@muhammadshaka8414 wakati anaitwa mwendawazimu alikuw katika haqqi sio baatwil Kam walivyo matabligh
@@muhammadshaka8414 wakati wanamuit mtume صلي الله عليه وسلم mwendawazimu alikuw katika haqqi sio katika baatwil Kam mlivyo matabligh
Haya umeyatoa wap,,,,nan kakwambia hivo,,,na umemuuliza tabligh yupi,,,anaejitambua au hasiyejitambua,,,
Naomba numb ya abu hashimu
Hawaa mawahabii na masalafii nikundii la kiyahudii lililojifanya uislamu kumbee ni ukafirii tu
Unaushahidi huwo baada ya kuwaambia mashia wanaotukana maswahaba ndo dini alikuja nayo Abdullah bin sabaha myahudi ndo muanzilishi wa ushia kwa kuwasema mawahabi ni mayahudi ni chuki za watu tuu kwakuwa hawataki ambiwa ukweli
Wewe mwenyeo elimu huna maana unangea porojo
Waheni chuki, uchochezi, na kupingana beina sisi kuwa sisi waislamu. Wakati huu tulio nayo si wakati wa wa Islamu kupingana tujengeni umoja wetu waislamu mungu ataridhika na sisi tutapata thawabu. Lakini ni lazima, ipatikane umoja kati ya waislamu.
Ninawasiwasi hawa wanaotunga vitabu vya kuwabomoa Matabligh na Masufi sijui kama sio Makafiri maana Makafiri siku hizi husoma dini ya kiislam kwa lengo la kuharibi maana hayo maelezo yanayotolewa hayaingii akilini.
Hatar Sana bidaa
Acha upuuzi ww lete ushahidi wa aya au hadithi swahihi inayopinga jamaat tabligh usituletee maneno ya masheikh wako hao sio kigezo chetu sisi
yaan mm hapa ndan south africa tashuhudia amir wao anafia ndani sjida na tanzania nishashudia watu wawili wa tabligh wanafia ndani msikit tena kwa kalma sasa watu gan wa bidaa wakafa kwa kalma ndan sjida
Walikuwa wanaumwa au njaa hadiwakafia msikitin
jinsi unavyozidi kuongea uwongo ndo tunazid kuwa na yaqin na tabligh yetu
Hata wale washirikin wa zama za mtume صلي الله عليه وسلم walipombiwa kuw UISLAM ndio dini ya kweli walisema mfano wa maneno yako bwna Muhammadshaka..
@@allyjaffar7072 kwamba tabligh wanasemj kusoma elim ya sheria ni elimu ya ibili duhhh kanichekesha sana uyoo muwongo wenuu
@@muhammadshaka8414 hata wale washirikina wa zama za mtume صلي الله عليه وسلم walipofikiwa na haqqi walimuona mtume wa Allaah ni muongo...hivyo sishangai Allaah akuraham
@@allyjaffar7072 ndo talbis zenu alete dalili so rai za watu 😂😂😂😂😂
@@muhammadshaka8414 ukitaka kujua wendawazimu wa matabligh jiangalie ww ulivyo
Na babake Sh. Albany alikufa na madhhabu ya hanafi ndio yuko motoni?
Kwa hiyo we wajua ghaibu kua flani yup motoni