Hivi islam ni maarufu zaidi ya mafuta??? 😂😂😂😂 your joking with your miserable life.... don't be stupid kijana 😂😂😂😂😂 Sisi tuko mombasa na tunamjua zaidi mafuta kuliko huyo islam...
@@مبغضالبدع-ع9ص Of course. DR ISLAM MUHAMMAD ni Maarufu zaidi na Elimu na Busara zaidi kushinda Ust Kassim Mafuta Tunapata faida nyingi sana Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah
Kassim Mafuta yake ni kutia Fitinah na Chuki kwa Waislamu. SUBHANA'ALLAAH. Ndio maana amekosa adabu na heshima. Inafaa aombe Msamaha kwa Waislamu na kwa Allaah
Dr Islam maashaa allahu mtulivu muadilifu Hana chuki hatafuti ukubwa nufaikeni Naye msiwe na Husda Naye mkakosa mazur yake,maana hapa sheikh wangu umejiraddi mwenyewe maana cc wasikilizaji tuko makin sanaa tunatofautisha umakin WA kila mmoja Kati yenu.ila dr islam alhamdulillahi katulia sanaaaa
Alhadulilah tuwe na shukrani kwa kumpata Abul fadhil kwa kasri yetu ya sasa hapa east africa Allah amhifadh na wenzake inshaAllah....tupe faida Abul fadhil
Ivi mashekh mnapigania uislamu au mnashindana nani zaidi mm nahic Kila mmoja anataka afuatwe msimamo wake cyo kuupigania uislamu hapo hatutofika popote Allah atusaidie.
😂😂😂😂😂😂 ما شاء الله ألف ماذا؟؟؟ يا غبي الرجل يفر من ميدان الحرب بأسلوب رخيص!!! قل له يرد إن كان رجلا!!! وإلا فاليعلم أن لكل ميدان رجال!!! حفظ الله الشيخ أبا الفضل على ما يقدم لنا!!! وقاتل الله الحزبيين الماكرين لدعوة الحق!!!
@@uledihassan6065 Ust Mafuta ameingia Mitini na Yuko kando na amewaachia Wanafunzi wake kazi ambayo Hawana majibu. Majibu na maelezo ya Sheikh Muhammad Nassor Bachu ni Bahri Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah. Alhamdulillah.
@@HajiDibwa-n2f Ust Kassim Mafuta wacha Fitinah na Chuki Maana umezidi sasa na Unapata Aibu na Izara sasa. Elimu yako imekuwa ni kugawanya watu wa Sunnah. Huna mpango na Hatari hii.
@@HajiDibwa-n2f Subhana'Allaah Yaani Haji kaka yangu mbona Ust Kassim Mafuta anafanya Uislamu kuwa makundi makundi na Bora ajibu maswali kutoka kwa Dr Islam na Sh Muhammad Nassor Bachu. Allaah Amuongoze Kassim Mafuta
@@HusseinBakari-ge5uj Allaah Amuongoze Ust Kassim Mafuta maana anatia Fitinah na Chuki zake ziko wazi badala ya kuwajibu Dr Islam na Sheikh Muhammad Bachu. Ajibu ikiwa yeye ni Sheikh kweli!
Wale wavaa vilemba wanafanya kazi nzuri tu kwenda mpaka vijiweni vijijini kuwalingania watu waswali hawa wengine wabakia kujionyesha tu nani zaidi.... Yaani utume ungalikuwa unaendelea wengi wangalidai nao ni mitume
@abduswaburmuhammad6625 Swadaqta Akhii. Huyu Ust Mafuta Elimu yake sasa imekuwa ni kutia Fitinah na Sio ya kuwafaidi Waislamu. Majadida wacheni Mambo ya Chama. CCM ya Pongwe Naona umekuwa ni kama Chairman wao wa Ma Hizbiy! Aaah?
WAKUWA NAE MAKINI NI QASIM MAFUTA HALAFU MAFUTA KAWAJENGA WAFUASI WAKE KUWA HAKOSEI NDO MAANA AKIKOSOLEWA MAFUTA KATKA LAZIMA WATU WAKE WAANZE KUMTETEA DAH HAKUNA SIKU MOJA WATASEMA KWELI SHEKH QASIM MAFUTA AMEKOSEA KWA SABABU AKISEMA ATATOLEWA KWELI USALAFI
Sheikh kassimu mafuta jamani mtu mwenye elimu sana ila mtukaneni chupeni mipaka zidi yake ila ashasema mktukana yeye bnafsi ajbu ng'ooo ila leteni uzushi katka dini awaachi salama nyii leteni muone
JAMANI EEH!!KAMA KILA SHEKHE HAFAI NIFATENI MIMI MISIMAMO YANGU ,LAKINI DAAWA YASASA BORA MTU ALEWE KULIKO KUWASKULIZA HAWA MAANA WANARIA NA RIA NI SHIRKI NDOGO
Uko katika mtihan mkubwa shee letu kasim mafuta usipowacha fitina hii kutoa makosa ambayo hayapo wallahi Allah atakwenda kukuchoma siku ya kiyama maana hizi unazofanya ni dhulma
Hivi anavyoongea kuhuau Dr Islam Allah amhifadh unadhan Kuna ukwel hebu kaa kitako umsikilize Dr Islam halafu uangalie anachomaanisha usimtetee kasim mafuta kwa dhulma yake anayoifany kwa maduat wakisunna wenzake sikilz radd zake nyingi kuhusu watu wa Sunna kwakuw Tu hawaamiliani naye anakataz wenzake kushirikiana na masufi watu watwariqa lakin yeye anafungsha ndoa msikit brbr ya 7 sasa nin maana yake napia msikilize Dr Islam halafu uangalie vizur bila ushabik
@@IddiNkupe sasa kufungisha ndoa ktk mskiti wa bidaa ni kuamiliana? Kisha kama anafanya dhulma mbona Dr Islam kahindwa kuleta video ya ibn uthaymeen? Kisha kwa nin Dr Islam kajibu kwa makala ya kiarabu wakat alipokuwa akifutu mamb alifutu kwa kiswahili? Sasa ww jambo la msingi taja sehem ambayo abul fadhil kamfanyia dhulma Dr Islam
@@ramadhanramadhan4948 nikuulize kitu ulimsikiliza vizur Dr Islam au nikutumie mim sikia aliulizwa Hiv shekh ibn uthymeen jee inajuzu kumsikiliza Kila mtu ? Akasema ndyo inajuzu kuichukuw hakki kwa mtu yoyote awe myahud mnaswara na hata mshirikina ,ikiwa abuu huraira alimsikiliza iblis na alipoyapelek maneno Yale iblis aliyoyasema kwa mtume s.a.w akasema amesema kweli iblis ijapokuw yeye mwenyew nimuongo (jiulize kwa akili yako ndogo Tu kwann Kuna Dua inayosema Allahumma jaallna minalladhiina yastamiunalkaula wayattabiiha ahsana)jua inajuzu kuichukuw hakki kwa mtu yoyote madam hyo ni hakki ila haijuz kwenda kukaa nawo na kusoma kwao maana watakuingizen katk bid'aat zao nyingi na shubhaat zao nyingi ila kuwa sikiliza inajuzu
Labda tujue sheikh lenu limesoma wapi na nini Sheikh letu qasim Allah amuhifadhi amesoma tz kwa masheikh wa kwao Akaenda yaman akasoma Akaenda madina akasoma Ili tujue ni hasad tajeni sheikh lenu limesoma wapi na nini limesoma Kama kutangulia kidaawah sheikh qasim ameenza dawah zamani sana Uwezo wa kielimu Abulfadhly tuko ameenza kusomesha vitabu mpaka leo sio chini ya vitabu 300 amemaliza kuwasomesha waislamu Je dr!!! Wanafunzi wa Abulfadhly wapo wengi wengine ni walinganizi wakubwa sana ... leo Wanafunzi wa dr !!!! SASA KIPI HASA ABULFADHLY AMFANYIE HASAD DR MIMI WALLAH KWA DHAHIRI SIKIONI DR ANA MADRASA HATA THANAWI HAIJAFIKA UWEZO WAKE MADRASA YAKE NA NA WALA SIO MADRASA BEST HAPO MSA KWAMBA ZINAONGOZA ABULFADHLY ANA MARKAZ YA WANAFUNZI WASIOPUNGUA 1000 NA INAONGOZA KATIKA MARKAZ INATOA WANAFUNZI NA WATOTO WA KIISLAM WANASOMA SASA KIPIMO GANI MNATUMIA KUMTUPIA SH ABULFADHLY KUWA ANA HASAD AMA VILE AMEKOSOLEWA DR ISLAM ILA JE KWA UPANDE WENU SIO HASAD KUONA AKIKOSOA ABULFADHLY NYOYO ZENU HAZIPENDI MBONA MUNACHUKIZWA HIO NDIO HASAD
Kwa kweli Qassim yuazungumza kwa kutaka kumuangusha Dr Islam maana kwa swali aliulizwa muulizaji alifunganisha maswali mawili moja kutafte ilmu nakumskiza yeyote na lapili ni kutochukua chochote kwa mtu yeyote naye Dr akazijibu zote kwa pamoja vizuri lakini Qassim kama kawaida lazma atafte jinsi yakumuangusha Dr Islam.
Kwani Qasim mafuta ndio Mwenye RUHUSA ya Kuhalalisha na kuharamisha? Anaposema Tutakapo ruhusu Kufungua mlango huo,Ina MAANA Yeye kama nani Atoe RUHUSA? ACHENI ushabiki kwenye DINI
@@ramadhanramadhan4948kama wafahamu English nenda kaskize Sheikh Assim Al Hakeem ametoa video Leo Instagram utaipata pia kuhusu kujiita salafi akaelezea utajua Kina Qassim ni watu wakutenganisha Umma
@@alwiyiynmission2820nenda kamsikize Sheikh Assim Al Hakeem ametoa video Leo Instagram utaipata pia kuhusu kujiita salafi akaelezea utajua Kina Qassim ni watu wakutenganisha Umma
Huyu sheikh Qassim mafuta busara zake ni chache sana, yani yeye aonyesha michezo ya kitoto sana. Kwa kweli hata sisi ambao hatukusoma twamuheshimu lkn ndipo twamuona anakosa adabu
Hii mada si ndo mada iloelezwa na Muhammad Bachou juzi na akakifafanua vizuri kitabu Cha dor Islam .. Nahisi tutajifunza zaidi pia tukiiskiliza na Ile clip .
Ww una akili kweli? Anahujumiwa yupo na kaandika makala kama kaweza kuandika makala kwa nini hakueleza watu kwa sauti au japo akatafsiri tu makala yake? Bachu Ana kihere here kwa sababu mwenye mzozo yupo na kajibu
Hilo la kujibu swali moja wakati aliulizwa mawili ni jambo la kawaida ilitakiwa muulizaji aseme kwamba kuna nukta haijajibiwa katika swali na hiyo ndio sawa Na sioni sababu ya kumradd katika hilo. Ilitakiwa sheikh uweke taaliq kwenye majawabu yake na sio kuradd maana hata wewe yawezekana ukaulizwa maswali mawili na ukajibu moja ima kwa bahati mbaya au kwa makisudi.
Mashekhe kuweni wakweli kuhusu hii daawa. Ama Hizi raddi ni nzuri sana ndio mizani ya kuchuja. Lakini swali ni je hizi ruduud ni za ikhlas ama kuna chuki fiche ndani yake kisingizio ikawa ni radd za kielimu? Hapa munajuwa uhakika ni nyie masheikh na Allah ndio shahidi baina yenu
@@HadanaHadana-nr7xu kweli kabisa ust Kassim haja yake na nia yake sijui ni nini? Ajibu kuhusu kaka yake Muhammad Mafuta kuhusu CCM na kuhusu Sh Rabiiy kwanza.
Shk Abul Fadhil muogope Allah na usijitakase na kujiona bora sivizur kuwakosoa wanazuoni ili uonekane ww ni Alim ungewatafuta mukaongelea heshimianeni jamani
Mwanachuoni amepata wapi Uhalali wa Kuhalalisha...au kuharamisha. Wao viumbe vilipita kwa zama zao na wakafahamu kwa Uelewa WAO. Quran Imetaka TUSIKILIZE NA KUCHUKUA YALIO MAZURI(MEMA). IBN SIRIN ATAKUJA KUWAKATAA SIKU HIYO JIHADHARINI
لا أدري أأناديك باسم الشيخ يا من تسمي نفسك شيخ حميدي....punguza uhasidi na hiqdi kaka....walai shaikh kajibu vizuri saana ila wewe uhasidi wako haukuruhusu kukubali haki....🤝
Shekh kassim ww unaelimu kiasi chako lkim una unafiki mwingi sana had nashangaa shekh mkubw kam ww dah. Jamn hii dini sio yenu iheshimuno basi . Dr islm sio level yako atakunyosha yule tulia endelea na darsa zako .
@@jamalsaid7475alikuwa ampigie cm ila kaandika makala ili anaejua kiarabu ndo aelewe nyinyi na mm ambao hatujui tusielewe Mwambieni akifanyie tarjama kwa kiswahili
Mpaka sasa Nasikia Sheikh fulan amesema hivi,fauzan kasema vile. Kwani hii Dini inachukuliwa kwa masheikh ama wao Wamejitahidi kwenye ufahamu wao tu. Lkn lugha ya kusema mwenzako Ameokotaokota huko,kumbe Inathibitisha Masalaf mumezoea kuokota okota.
Ni kama nyinyi munapinga tu maneno ya abulfadhly kwa chuki ni hio ndio hasad na warongo hakuna siku mliomsikilza abulfadhly Basi kila siku tu yy ndio mwenye hasad kwani huo dr si aliwahi kumzungumza mbaraka awesu mbona ham hamkusema Hio ni hasad
Sasa anaehujumiwa yupo na kajibu kwa makala sasa huyu aliejibu mbona hakutoa audio kueleza ? Bachu ni kiherehere kwa sababu muulizwaji kajibu na cc hatuna mda na bachu cc tunamtaka Dr
Nasaha yangu usijibu kwa chuki wala kwadharau wala kwa ufahamu wako tu wewe Mafuta) wajipigakifua sana kama ambaye hakuna Msomi kama weweليس هكذا تورد الإبل
Yan Qassim mafuta unataka usikizwe ww Na izi radd zenu za kila siku Alf mwisho Wa siku mm niteanda kulingania Jama zangu Na radd zenu hizi zenye hazina maana yoyote ufala mtupu 2 yan mtu kama haswali kwenu ayuko Chibi yenu bs huyo hizbi acheni mchezo Dini Sio yenu
Na munamaanisha dr hakosei basi akirekebishwa tu hio ni hasad mbona Mbona bhc anavyomtukana sheikh qasim na hamjib mbona hamusemi ni hasad Changeni hasad isje ikawa kwenu nyinyi kwa masalafi Na haqq itabainishwa mpende msipende Sisi wajibu wetu kubainishisha sio kusikiliza msemayo mkitia pamba tieni tu sio jukumu letu Ila msiwasingizie masalafy kuwa wana hasad kisa munaliziba kosa la sheikh wenu
SheikhBachu ashakujibu neno HAKI na ILMI lkn wapindisha tu wajitetea tu na sheikh Bachu humjongelei kabbbisa wamuogopa الحكمة ضالة المؤمن أينما وجدها أخذها kitabu tumekisoma kiko sawa Dr Islam ,usiandike Maqala Bachu ashamjibu huyu nichuki tu Dr yuko juu yako kiilmu,فالكتاب واضح جدا فوائدها كثيرة أقول اكتب كما كتب الدكتور إسلام مقالة علمية
Masalafi Jadida Hawatakiwi Kumtumia Akili, inatosha kwao Akili ya sheikh wao. Sasa Muulizaji Ulimtuma wewe!?mpaka Udai Hajajibiwa Ipasavyo. ZAMAN TULIAMBIWA KUSOMA NI KUONDOA UJINGA ILA SASA NI TOFAUTI
Qassim mafuta kwa mantiki yake haifai hata yy kumskiliza maana hakuna cha maana zaid ya matusi kejeli hasad dhidi ya waislam wenzake yaani ata mtoto wako kumpeleka kwake eti ndo ampe elimu bc atarudi na zero ya elimu na degree ya matusi
ياأخي قاسم!! الدكتور اسلام على الصواب أجب كما أجاب فضيلة الشيخ باشوا بالأدلة والبرهان فعليك أن تتبع أسلوب الشيخ باشوا في الردود أما هذا الذي عندك ثارثار والبغض والحسد والكراهية فحسب وليس علم السلف كما تزعمون ولغة الدكتور إ سلام فصيحة جدا الحسد الحسد!!فكلٌ يفهم كلام الشيخ إلا الحاقد الحاسد..
Eti sisi hatujasema MANENO hayo kwani wewe ni Nani,alafu unasema huyo muulizaji kaongopa kwani wewe ndio muulizaji au huyo shekh unamfaham?! Acha kibri ewe mafuta,alafu unasema watu hawaelewi kiarabu ,yaan kiarabu umesoma wewe tu
Wamekasirika Ndugu hawapo kwa ajili ya haki walizani kile kiarabu nd ukubwa wa Elimu haya waje wayapindue maneno ya Sheikh wasilete mipasho Mola anawashuhudia @@MB-yq3ty
Unamparamia dr ilam humuwezi unjisumbua kutwa unakaa kumsilkiliza dr islam kwa chuki wapi kakosea umkosoe unajisumbua dr amekuzidi sana chuki na kibri kinakusumbua
Mimi sijaona faida ya Waislamu kufanya raddi wao kwa wao, ispokua hii ni ajenda ya ibliis ya kuwafarikisha Waislamu, Badala ya kusomesha vitabu vya dini kila siku raddi tu.
WATU hawasomeshwi ELIMU Bali wanajengewa Misimamo ya kimakundi...hasa Salafi jadida,Unaweza kuhudhuria Mwez mzima Usijue kinachoongelewa zaidi ya kujengewa Utovu wa Adabu kwa MASHEIKH WENGINE tu,na kebehi kama kwamba WAO Wanateremshiwa wahyi
Kiarabu watu tunajua sio wewe tu mafuta kosa la dr islamu Yuko saws tyu ila mafuta anachotaka awe yeye tuh akijitokeza mungine atamshusha ajibu kwa mfumo unaotaka wewe wewe nani mafuta?
@@hugfcinternational1305 Ust Mafuta hana Elimu ya kujibu Kiarabu kwani atapata Aibu na Izara. Tuko makini na chonjo wakati huu.Subutu ajaribu kujibu Aone! Wee.. Amepata Izara Kassim Mafuta
Allah amuhifafhi dr Islam ana hekma na busara sana hawankina mafuta inajulikana toka zamann ni watu wakujikweza na umaaruf Allah aalam
Hivi islam ni maarufu zaidi ya mafuta??? 😂😂😂😂 your joking with your miserable life.... don't be stupid kijana 😂😂😂😂😂
Sisi tuko mombasa na tunamjua zaidi mafuta kuliko huyo islam...
@@مبغضالبدع-ع9ص
Of course. DR ISLAM MUHAMMAD ni Maarufu zaidi na Elimu na Busara zaidi kushinda Ust Kassim Mafuta
Tunapata faida nyingi sana
Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah
Kassim Mafuta yake ni kutia Fitinah na Chuki kwa Waislamu. SUBHANA'ALLAAH.
Ndio maana amekosa adabu na heshima.
Inafaa aombe Msamaha kwa Waislamu na kwa Allaah
@@مبغضالبدع-ع9ص akhy kuna haja gani kumtukana ndugu yako
Nashukuru sanaa shekh kwa ufafanusi mzuri
Allah amuhifadhi dr islamu nampenda kwaajili ya Allah
ALLAH akulinde na watu wa batili,Baki katika haki hata wakikukosoa.
Dr Islam maashaa allahu mtulivu muadilifu Hana chuki hatafuti ukubwa nufaikeni Naye msiwe na Husda Naye mkakosa mazur yake,maana hapa sheikh wangu umejiraddi mwenyewe maana cc wasikilizaji tuko makin sanaa tunatofautisha umakin WA kila mmoja Kati yenu.ila dr islam alhamdulillahi katulia sanaaaa
Husda Kwa Lipi?
Mche Allah
Mm namjua uyu Dr kabla hajaradiwa
Utakua makini vip na huna elimu
@@abuutwalha8796 cyo wasiklizaji wote hawajasoma.humu ndani kuna wasomi
@@abuutwalha8796 kama huna Elimu ndiyo usome sasa ndugu yangu umri unaenda hivo
Hasad anaweza kuwanayo yeyote, Allah atuepushe.
Amiin
Yani wewe mafuta ALLAAH akuongoze ww na ss pia unamatatizo sana ndugu yangu mche ALLAAH
Ana HUSDA
Alhadulilah tuwe na shukrani kwa kumpata Abul fadhil kwa kasri yetu ya sasa hapa east africa Allah amhifadh na wenzake inshaAllah....tupe faida Abul fadhil
Amyn
Allaah awahifadhi masheikh wetu wa kisalafy
Kassim ameonyesha Uhizb kwa kusema aje hapa kama hatutouana akanasihiwa kuwa kafany ukhawariji
Amiin
@@NassorHassan-no1cr
Chairman wa Ma Hiziy East Africa 🌍 ust Kassim Mafuta
@@NassorHassan-no1cr
Swadaqta Ust Kassim Mafuta
Allaah ajaalie awache
Uhizbiy na Arudi kwenye Sawa maana anatia Fitinah.
Hatari...
HUYU SHEIKH MAFUTA ANA HUSDA SANA ALLAH AMUONGOZE
@@mim9607
Swadaqta
Ameen JazakaAllaahu'khayr
Kwako mafuta kila uchao ni ukamilfu Mungu aliokujalia huna kosa
kasimu Kila shekh kwake hafai labda mamake2
Ivi mashekh mnapigania uislamu au mnashindana nani zaidi mm nahic Kila mmoja anataka afuatwe msimamo wake cyo kuupigania uislamu hapo hatutofika popote Allah atusaidie.
Kassim Mafuta Itaqillah usimzingiziye urongo Dr Islam. Alikuandikia Kiilimu Andika kama unable Elimu. Kashindwa.
ألف كما ألف الدكتور،لاتكن ثارثارا وهذيانا.
😂😂😂😂😂😂 ما شاء الله ألف ماذا؟؟؟ يا غبي الرجل يفر من ميدان الحرب بأسلوب رخيص!!! قل له يرد إن كان رجلا!!! وإلا فاليعلم أن لكل ميدان رجال!!! حفظ الله الشيخ أبا الفضل على ما يقدم لنا!!! وقاتل الله الحزبيين الماكرين لدعوة الحق!!!
Allahu ampe umri mrefu tuzidi kunufaika nae amiin amiin
Huyu mafuta ana ujahili mwingi kichwani mwake
@uledihassan6065
Ndio na pia yuko na Upuuzi mwingi sana.
Allaah Amuongoze aone haki
Huyu ust Kassim Mafuta.
@@uledihassan6065
Ust Mafuta ameingia Mitini na
Yuko kando na amewaachia
Wanafunzi wake kazi ambayo
Hawana majibu.
Majibu na maelezo ya Sheikh Muhammad Nassor Bachu ni Bahri
Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah.
Alhamdulillah.
Allaah Akupe Afya na furaha duniani na kesho Aakheera
Sheikh kipenzi chetu
Allaah amhifadhi sheikh Abul fadhil
Ameonyesha uhizb kassim pale aliposema tutauana hapa aje kama hajanya
Ahifadhiwe na nn 😢😢
Amin
@ausatmwangi6464 allah akuongoze
@@AbdulRahmanAliy-sr7gw
Mafuta anatia Fitinah
Kiboko yao ni Sheikh Muhammad Nassor Bachu.
Allah akuhifadhi sheikh abul fadhil Qassimu mafuta Qassimu na akupe mwisho mwema inshaallah
@@HajiDibwa-n2f Amiiin maana kawatoa ktk uhizbi wengi sannnna
@@NassorHassan-no1cr kweli ni nguzo ya sunnah Allah amuhifadhi
@@HajiDibwa-n2f
Ust Kassim Mafuta wacha Fitinah na Chuki
Maana umezidi sasa na Unapata Aibu na Izara sasa.
Elimu yako imekuwa ni kugawanya watu wa Sunnah.
Huna mpango na Hatari hii.
@@jamalsaid7475 Sio chuki ndio ukwel huo mtu akikosea lazima asemwe hili ajifunze Allah amuhifadh sheikh wetu abul fadhil Qassimu mafuta Qassimu
@@HajiDibwa-n2f
Subhana'Allaah
Yaani Haji kaka yangu mbona
Ust Kassim Mafuta anafanya Uislamu kuwa makundi makundi na Bora ajibu maswali kutoka kwa Dr Islam na Sh Muhammad Nassor Bachu.
Allaah Amuongoze Kassim Mafuta
Mcheni Allah
Shekh Qassim mafuta Allah akuhifadhi na tunafaidika na daawa ya ki salafy Mimi na furahia ukiwa piga Raddi
Allah akuifadhi sheikh abdull fadhil khassim
@@HusseinBakari-ge5uj
Allaah Amuongoze Ust Kassim Mafuta maana anatia Fitinah na Chuki zake ziko wazi badala ya kuwajibu Dr Islam na Sheikh Muhammad Bachu.
Ajibu ikiwa yeye ni Sheikh kweli!
Zimesalimeka ndimi za waislamu kwa mayaudi na manaswara lakini hazija salimika kwa waislamu huu nimsiba mkubwa sana
Mmh
mafuta bwana kwaiyo hakuna dawa yoyote saiv , isipokua shekh akitoa mawadha ww kazi yako kujibu, bahati nzuri dr islam hana uwo mda ,
Huyu kasim petroli Hana kazi ya kufanya kazi udaku tu wa darsa za wenzake ili ajipime nguvu na kila mtu 😢😢
@@ausatmwangi6464
Swadaqta.
Hana mpango Ust Mafuta kwani sasa analeta upuuzi na hana Hoja.
Aibu kubwa amepata na Majadida.
Allāh amhifadhi na amchunge
HHuyu shekh oil hamna kitu
Asiyekuwa na shekhe shekhele ni shetani shekhe oil anamdharau shekhele bin Ayub tatizo lilianzia hapo
Wale wavaa vilemba wanafanya kazi nzuri tu kwenda mpaka vijiweni vijijini kuwalingania watu waswali hawa wengine wabakia kujionyesha tu nani zaidi.... Yaani utume ungalikuwa unaendelea wengi wangalidai nao ni mitume
Ata ukaongea mpa kesho wewe humfiki ilimu Dr islam mafuta wewe...😂🙌Wacha kumfika kwa elimu humkaribii ata umeze dawa....🤝
A.aleikum
InshaAllah mwenye chuki na mwenzake Allah amdhalilishe uko mbeleni.
Amiiin haina aja ya marumbano katika diini
Allahu atawadhalilisha
Yan Qassim mafuta n wafasi wake ndo wanaofa kufuatwa wengine wote mahizbi acheni mchezo deni Sio yenu
@abduswaburmuhammad6625
Swadaqta Akhii.
Huyu Ust Mafuta Elimu yake sasa imekuwa ni kutia Fitinah na Sio ya kuwafaidi Waislamu.
Majadida wacheni Mambo ya Chama. CCM ya Pongwe
Naona umekuwa ni kama Chairman wao wa Ma Hizbiy!
Aaah?
Jibu vitabu kwa kiarabu
Uone utakavyo tulewa makusa
we kassim mafuta hiki unacho kifanya si sawa halafu huwezi mwambia ati shekh kaokota maneno acha dharau dawa gani hiyo.
Majibu ya kiarabu umejibiwa wewe mwana mafuta ama pai hujui kiarabu
WAKUWA NAE MAKINI NI QASIM MAFUTA HALAFU MAFUTA KAWAJENGA WAFUASI WAKE KUWA HAKOSEI NDO MAANA AKIKOSOLEWA MAFUTA KATKA LAZIMA WATU WAKE WAANZE KUMTETEA DAH HAKUNA SIKU MOJA WATASEMA KWELI SHEKH QASIM MAFUTA AMEKOSEA KWA SABABU AKISEMA ATATOLEWA KWELI USALAFI
Sheikh kassimu mafuta jamani mtu mwenye elimu sana ila mtukaneni chupeni mipaka zidi yake ila ashasema mktukana yeye bnafsi ajbu ng'ooo ila leteni uzushi katka dini awaachi salama nyii leteni muone
JAMANI EEH!!KAMA KILA SHEKHE HAFAI NIFATENI MIMI MISIMAMO YANGU ,LAKINI DAAWA YASASA BORA MTU ALEWE KULIKO KUWASKULIZA HAWA MAANA WANARIA NA RIA NI SHIRKI NDOGO
Uko katika mtihan mkubwa shee letu kasim mafuta usipowacha fitina hii kutoa makosa ambayo hayapo wallahi Allah atakwenda kukuchoma siku ya kiyama maana hizi unazofanya ni dhulma
Dhulma ipo wapi?
Onesha ushahidi usipeleke mamb kwa ALLAH ikawa yanakurudia ww
Hivi anavyoongea kuhuau Dr Islam Allah amhifadh unadhan Kuna ukwel hebu kaa kitako umsikilize Dr Islam halafu uangalie anachomaanisha usimtetee kasim mafuta kwa dhulma yake anayoifany kwa maduat wakisunna wenzake sikilz radd zake nyingi kuhusu watu wa Sunna kwakuw Tu hawaamiliani naye anakataz wenzake kushirikiana na masufi watu watwariqa lakin yeye anafungsha ndoa msikit brbr ya 7 sasa nin maana yake napia msikilize Dr Islam halafu uangalie vizur bila ushabik
@@IddiNkupe sasa kufungisha ndoa ktk mskiti wa bidaa ni kuamiliana?
Kisha kama anafanya dhulma mbona Dr Islam kahindwa kuleta video ya ibn uthaymeen?
Kisha kwa nin Dr Islam kajibu kwa makala ya kiarabu wakat alipokuwa akifutu mamb alifutu kwa kiswahili?
Sasa ww jambo la msingi taja sehem ambayo abul fadhil kamfanyia dhulma Dr Islam
@@ramadhanramadhan4948 nikuulize kitu ulimsikiliza vizur Dr Islam au nikutumie mim sikia aliulizwa Hiv shekh ibn uthymeen jee inajuzu kumsikiliza Kila mtu ? Akasema ndyo inajuzu kuichukuw hakki kwa mtu yoyote awe myahud mnaswara na hata mshirikina ,ikiwa abuu huraira alimsikiliza iblis na alipoyapelek maneno Yale iblis aliyoyasema kwa mtume s.a.w akasema amesema kweli iblis ijapokuw yeye mwenyew nimuongo (jiulize kwa akili yako ndogo Tu kwann Kuna Dua inayosema Allahumma jaallna minalladhiina yastamiunalkaula wayattabiiha ahsana)jua inajuzu kuichukuw hakki kwa mtu yoyote madam hyo ni hakki ila haijuz kwenda kukaa nawo na kusoma kwao maana watakuingizen katk bid'aat zao nyingi na shubhaat zao nyingi ila kuwa sikiliza inajuzu
@@ramadhanramadhan4948
Hawa wana mpenda Dr Islam tu baada yakumuombea dua allah amuongoze wao wanata kumtetea tu
Labda tujue sheikh lenu limesoma wapi na nini
Sheikh letu qasim Allah amuhifadhi amesoma tz kwa masheikh wa kwao
Akaenda yaman akasoma
Akaenda madina akasoma
Ili tujue ni hasad tajeni sheikh lenu limesoma wapi na nini limesoma
Kama kutangulia kidaawah sheikh qasim ameenza dawah zamani sana
Uwezo wa kielimu
Abulfadhly tuko ameenza kusomesha vitabu mpaka leo sio chini ya vitabu 300 amemaliza kuwasomesha waislamu
Je dr!!!
Wanafunzi wa Abulfadhly wapo wengi wengine ni walinganizi wakubwa sana ... leo
Wanafunzi wa dr !!!!
SASA KIPI HASA ABULFADHLY AMFANYIE HASAD DR MIMI WALLAH KWA DHAHIRI SIKIONI
DR ANA MADRASA HATA THANAWI HAIJAFIKA UWEZO WAKE MADRASA YAKE NA NA WALA SIO MADRASA BEST HAPO MSA KWAMBA ZINAONGOZA
ABULFADHLY ANA MARKAZ YA WANAFUNZI WASIOPUNGUA 1000 NA INAONGOZA KATIKA MARKAZ INATOA WANAFUNZI NA WATOTO WA KIISLAM WANASOMA
SASA KIPIMO GANI MNATUMIA KUMTUPIA SH ABULFADHLY KUWA ANA HASAD AMA VILE AMEKOSOLEWA DR ISLAM
ILA JE KWA UPANDE WENU SIO HASAD KUONA AKIKOSOA ABULFADHLY NYOYO ZENU HAZIPENDI MBONA MUNACHUKIZWA HIO NDIO HASAD
Ukchukuw sheikh kassim na Yale y Dr Unajfunz ktu
Kwa duktur najifunza na kwa kasimu yy ni mropokwaji tu
@@ausatmwangi6464
Ww unachuki Allah akuongoze
Kwa kweli Qassim yuazungumza kwa kutaka kumuangusha Dr Islam maana kwa swali aliulizwa muulizaji alifunganisha maswali mawili moja kutafte ilmu nakumskiza yeyote na lapili ni kutochukua chochote kwa mtu yeyote naye Dr akazijibu zote kwa pamoja vizuri lakini Qassim kama kawaida lazma atafte jinsi yakumuangusha Dr Islam.
Ww hukusikiliza kwa kutafta haqqi bali umeongea kwa ushabiki ebu kasikilize tena maswali na majibu
Kwani Qasim mafuta ndio Mwenye RUHUSA ya Kuhalalisha na kuharamisha?
Anaposema Tutakapo ruhusu Kufungua mlango huo,Ina MAANA Yeye kama nani Atoe RUHUSA?
ACHENI ushabiki kwenye DINI
@@ramadhanramadhan4948kama wafahamu English nenda kaskize Sheikh Assim Al Hakeem ametoa video Leo Instagram utaipata pia kuhusu kujiita salafi akaelezea utajua Kina Qassim ni watu wakutenganisha Umma
@@alwiyiynmission2820nenda kamsikize Sheikh Assim Al Hakeem ametoa video Leo Instagram utaipata pia kuhusu kujiita salafi akaelezea utajua Kina Qassim ni watu wakutenganisha Umma
Sheikh Abul fadhal
Huyu sheikh Qassim mafuta busara zake ni chache sana, yani yeye aonyesha michezo ya kitoto sana. Kwa kweli hata sisi ambao hatukusoma twamuheshimu lkn ndipo twamuona anakosa adabu
@Vuyaa-v6w
Swadaqta
Maneno yake ya Upuuzi ni mengi sana na Analeta Fitinah na Chuki kwa Waislamu. HATARI HII.
Qaasimu mafuta hanalolote nimhalifutu simtu wakushikwa maneno yake nimtufaasiki
Assalam alykum warahmatullah wabarakatuh naam ustadh na VP kusikiliza darsa ya ahlulbidai na kuwafanyia ruduud ,naswali kwako .
Hata hilo hujui kweli?
Ndomana likawa swali,@@MB-yq3ty
Hii mada si ndo mada iloelezwa na Muhammad Bachou juzi na akakifafanua vizuri kitabu Cha dor Islam ..
Nahisi tutajifunza zaidi pia tukiiskiliza na Ile clip .
Ww una akili kweli?
Anahujumiwa yupo na kaandika makala kama kaweza kuandika makala kwa nini hakueleza watu kwa sauti au japo akatafsiri tu makala yake?
Bachu Ana kihere here kwa sababu mwenye mzozo yupo na kajibu
@@ramadhanramadhan4948mtu mwenye akili siraisi kupayuka
Hilo la kujibu swali moja wakati aliulizwa mawili ni jambo la kawaida ilitakiwa muulizaji aseme kwamba kuna nukta haijajibiwa katika swali na hiyo ndio sawa
Na sioni sababu ya kumradd katika hilo. Ilitakiwa sheikh uweke taaliq kwenye majawabu yake na sio kuradd maana hata wewe yawezekana ukaulizwa maswali mawili na ukajibu moja ima kwa bahati mbaya au kwa makisudi.
Hapana si hivyo sikiliza vizuri,Dr.Islam kaunganisha jibu Moja kwa maswali mawili.yaani maswali hayo kayapa jibu Moja.
Jmn picha ni haraaam kwa nn umempost shkh
Mashekhe kuweni wakweli kuhusu hii daawa. Ama Hizi raddi ni nzuri sana ndio mizani ya kuchuja. Lakini swali ni je hizi ruduud ni za ikhlas ama kuna chuki fiche ndani yake kisingizio ikawa ni radd za kielimu? Hapa munajuwa uhakika ni nyie masheikh na Allah ndio shahidi baina yenu
Kasimu usije kuwa sababu watu wakakukosea adabu kilasiku unazidi kujizalilishaa
@@HadanaHadana-nr7xu kweli kabisa ust Kassim haja yake na nia yake sijui ni nini?
Ajibu kuhusu kaka yake Muhammad Mafuta kuhusu CCM na kuhusu Sh Rabiiy kwanza.
Mafuta ww uli takiwa umjibu bachu. Ili. Tujue ukweli
@@hamadsaburi3569 Ndio maana yake brother lakini ameingia Mitini Ust Mafuta.
Ukweli ukidhiri ,Uongo Hujitenga..
Shk Abul Fadhil muogope Allah na usijitakase na kujiona bora sivizur kuwakosoa wanazuoni ili uonekane ww ni Alim ungewatafuta mukaongelea heshimianeni jamani
Una uhakika km hakumfata?
Bora nimsikilize m'mbwa akibweka kuliko kulisikiliza shenzi hili potoshaji sana na katishaji tamaa Sana linajiona linajua kuliko mtume
Mafuta hana ilmu yakutosha kabisaaa acha kuropoka
umejuaje au umetumia kipimo gani kujua qaasimu mafuta hana elimu
@@sharifsayyid
Swadaqta
Sheikh Muhammad Nassor Bachu ameleta ushahidi wa kutosha Alhamdulillah
Kazi kwa Majadida.
We mafuta YA taa ACHA unafiki
Mafuta wacha Fitinah
😂😂😂 mafuta ya Petro
😂😂😂😂😂 mafuta yashawachoma mahizby... 😅😅😅
Hata haya unayoyafanya hao watu walifanya hivyo
Mafuta nyamaza bwana una kitu
Kumbe wewe unachukia kuandika kiaarabu alaf hicho kiaarabu sikuwa anamjibu mwenye elm au we huna elm
Amjibu yy vp na wao ni waalimu wana wanafunzi wengi mpk wasio jua kiarabu
Huyu Qassim mafuta ni hasidi . Sijui ni mafuta ya nini huyu
Huna lolote wewe mpaka mafuta unapokea wahyi wa shetani
Mbna mwanzo Al akhy kassimu mafuta ulisema akuna kaul ya mwana wachuoni yoyote alieluusu kuchukua elimu Sasa ckaleta dalili?
Mwanachuoni amepata wapi Uhalali wa Kuhalalisha...au kuharamisha.
Wao viumbe vilipita kwa zama zao na wakafahamu kwa Uelewa WAO.
Quran Imetaka TUSIKILIZE NA KUCHUKUA YALIO MAZURI(MEMA).
IBN SIRIN ATAKUJA KUWAKATAA SIKU HIYO JIHADHARINI
@@alwiyiynmission2820Quran imetaka katika sura gani
لا أدري أأناديك باسم الشيخ يا من تسمي نفسك شيخ حميدي....punguza uhasidi na hiqdi kaka....walai shaikh kajibu vizuri saana ila wewe uhasidi wako haukuruhusu kukubali haki....🤝
Ona ulivokuwa na chuki unashindwa hata kukisoma hicho kitbu chake cha kiarabu wewe una hasad sana
wewe una maradhi ya Hasad
Watu tufuate haki tuache hawwa y nafsi
Swadaqta
Salafiyyah Jadiday wacheni Fitinah
Kiboko yenu Pamoja na Sheikh Muhammad Nassor Bachu
Alhamdulillah
@@jamalsaid7475duh
Ndio Hizbi yyte atakae chomoza kama ana athari lazma Abul Fadhil ata mjeruhi tu mtu kama akigongwa Shekh wake anaumia acha afe .
Shekh kassim ww unaelimu kiasi chako lkim una unafiki mwingi sana had nashangaa shekh mkubw kam ww dah. Jamn hii dini sio yenu iheshimuno basi . Dr islm sio level yako atakunyosha yule tulia endelea na darsa zako .
Bado hujajua unacho kisema ebu fuatilia kuanzia mwanzo wa mgogoro ndy utaelewa
Dr alikuwa anakujibu wewe ndo maana kaandika kiarabu ....acha ubishi
Swadaqta huyu Ust Mafuta hana Hoja kabisa
Mafuta wacha Chuki na fitnah
Dr Islam yuko sawa kabisa
@@jamalsaid7475alikuwa ampigie cm ila kaandika makala ili anaejua kiarabu ndo aelewe nyinyi na mm ambao hatujui tusielewe
Mwambieni akifanyie tarjama kwa kiswahili
We shekhe nyamaza bwana wa aibika sasa wa ongea tu ovyo ovyo
Nadhan ww hujuw kinacho endelea
Wewe mbona hukubali kukosolewa?
Kwani wewe hakuna kheri ispokuwa kutafuts farka
Hakika wewe kasim mafuta unapokea wahyi wa shetani
Mpaka sasa Nasikia Sheikh fulan amesema hivi,fauzan kasema vile.
Kwani hii Dini inachukuliwa kwa masheikh ama wao Wamejitahidi kwenye ufahamu wao tu.
Lkn lugha ya kusema mwenzako Ameokotaokota huko,kumbe Inathibitisha Masalaf mumezoea kuokota okota.
fawzaani ni nani katika uislamu
Ni kama nyinyi munapinga tu maneno ya abulfadhly kwa chuki ni hio ndio hasad na warongo hakuna siku mliomsikilza abulfadhly
Basi kila siku tu yy ndio mwenye hasad kwani huo dr si aliwahi kumzungumza mbaraka awesu mbona ham hamkusema
Hio ni hasad
Sheikh wapiga kelele!..Bachu amefafanua vyema sana! Twaona unapata tabu sana mpaka kuleta vikaseti visivyosikika!..Hasad mbona inakuunguza hivyo?..punguza Ustadh unadhalilika bure..
Sasa anaehujumiwa yupo na kajibu kwa makala sasa huyu aliejibu mbona hakutoa audio kueleza ?
Bachu ni kiherehere kwa sababu muulizwaji kajibu na cc hatuna mda na bachu cc tunamtaka Dr
@@saidali9255
Swadaqta
Alhamdulillah
Ahsante sana
Maa Shaa Allaah
Kwani kiarabu wewe na genge lako hamkijui?ACHA husda Kwa mashekhe wenzio wewee!
Nasaha yangu usijibu kwa chuki wala kwadharau wala kwa ufahamu wako tu wewe Mafuta) wajipigakifua sana kama ambaye hakuna Msomi kama weweليس هكذا تورد الإبل
Wewe mbabe wako Muhamsd bachu weweilimu yako nindogo watu wote wakufahamu.
Yan Qassim mafuta unataka usikizwe ww Na izi radd zenu za kila siku Alf mwisho Wa siku mm niteanda kulingania Jama zangu Na radd zenu hizi zenye hazina maana yoyote ufala mtupu 2 yan mtu kama haswali kwenu ayuko Chibi yenu bs huyo hizbi acheni mchezo Dini Sio yenu
Kijeli wacha mpaka jina hamiiti ati huyu Mtu dharau kweli hiyo sunnah huo ndio usalafi jamani Sheikh (Bachu )alikumaliza kabbbisa.
Kassim mafuta analalamika
Adrawned man catch a straw
Mfa maji hawati kutapatapa
Mafuta wewe huwezi kuogelea,basi tapatapa tuu watu wakuona upo majini nawewe
Na munamaanisha dr hakosei basi akirekebishwa tu hio ni hasad mbona
Mbona bhc anavyomtukana sheikh qasim na hamjib mbona hamusemi ni hasad
Changeni hasad isje ikawa kwenu nyinyi kwa masalafi
Na haqq itabainishwa mpende msipende
Sisi wajibu wetu kubainishisha sio kusikiliza msemayo mkitia pamba tieni tu sio jukumu letu
Ila msiwasingizie masalafy kuwa wana hasad kisa munaliziba kosa la sheikh wenu
SheikhBachu ashakujibu neno HAKI na ILMI lkn wapindisha tu wajitetea tu na sheikh Bachu humjongelei kabbbisa wamuogopa الحكمة ضالة المؤمن أينما وجدها أخذها kitabu tumekisoma kiko sawa Dr Islam ,usiandike Maqala Bachu ashamjibu huyu nichuki tu Dr yuko juu yako kiilmu,فالكتاب واضح جدا فوائدها كثيرة أقول اكتب كما كتب الدكتور إسلام مقالة علمية
Napia sheikh kassimu mafuta haki unaichukuaje kama kama hujaisikiliza?
Masalafi Jadida Hawatakiwi Kumtumia Akili, inatosha kwao Akili ya sheikh wao.
Sasa Muulizaji Ulimtuma wewe!?mpaka Udai Hajajibiwa Ipasavyo.
ZAMAN TULIAMBIWA KUSOMA NI KUONDOA UJINGA ILA SASA NI TOFAUTI
Qassim mafuta kwa mantiki yake haifai hata yy kumskiliza maana hakuna cha maana zaid ya matusi kejeli hasad dhidi ya waislam wenzake yaani ata mtoto wako kumpeleka kwake eti ndo ampe elimu bc atarudi na zero ya elimu na degree ya matusi
ruclips.net/video/u1hppHfgkkw/видео.htmlsi=BO2MUvb8WnONUbWq
Kama ni mume kweli mwambie ajibu hiii RADD
Uyu Muhammad bachu humjuw ww
Duktur kafanya ujanja karukia kiarabu kuwakoroga mashabiki wake wasiojielewa. 😂
na yey kassim atunge chake cha kidigo shida nin
Sasa mbn mwlm wako anaruka ruka hata anachokiongea pumba tu
Kumbe ninyi mwwifanya dini kama mpira kwani kaul yaki ina màana wewe ni mshabiki wa mafuta
Shekhe, si umesoma?!?? Leo hii kiarabu hukielewi au?!??? Na duktur haongei na watu, anaongea na wewe, amekujibu wewe!?!!!!!
Hawa watu wana tabu wallahu musta'an
Hawa si wale watumishi wa CCM salaf wahab yahud
Abiifadhuli wachaujinga yaani uache hadithi sahihi ufuate ushabiki wako ww kasim nihasidi mkubwa ghawaariji wazamahizi,hadithi ipi inasema usisome kwa watu wewe kasimu umesoma wapi??
ياأخي قاسم!! الدكتور اسلام على الصواب أجب كما أجاب فضيلة الشيخ باشوا بالأدلة والبرهان فعليك أن تتبع أسلوب الشيخ باشوا في الردود أما هذا الذي عندك ثارثار والبغض والحسد والكراهية فحسب وليس علم السلف كما تزعمون ولغة الدكتور إ سلام فصيحة جدا الحسد الحسد!!فكلٌ يفهم كلام الشيخ إلا الحاقد الحاسد..
Eti sisi hatujasema MANENO hayo kwani wewe ni Nani,alafu unasema huyo muulizaji kaongopa kwani wewe ndio muulizaji au huyo shekh unamfaham?! Acha kibri ewe mafuta,alafu unasema watu hawaelewi kiarabu ,yaan kiarabu umesoma wewe tu
Unafura nini sasa
Wamekasirika Ndugu hawapo kwa ajili ya haki walizani kile kiarabu nd ukubwa wa Elimu haya waje wayapindue maneno ya Sheikh wasilete mipasho Mola anawashuhudia @@MB-yq3ty
Acha chuki wew huna elimu ya kumkosoa mafuta
Mafuta anaelimu ya kawida tu kama anelimu kubwa suyutwi vipi
Unamparamia dr ilam humuwezi unjisumbua kutwa unakaa kumsilkiliza dr islam kwa chuki wapi kakosea umkosoe unajisumbua dr amekuzidi sana chuki na kibri kinakusumbua
Kassimu mafuta ni mvundifu wa dini,
هادم الدين وليس بخادم الدين
ruclips.net/video/NnQ_uM9NfnA/видео.htmlsi=w6tsgLM7IK6mhmxz
Tofautisha hapo
Mimi sijaona faida ya Waislamu kufanya raddi wao kwa wao, ispokua hii ni ajenda ya ibliis ya kuwafarikisha Waislamu,
Badala ya kusomesha vitabu vya dini kila siku raddi tu.
WATU hawasomeshwi ELIMU Bali wanajengewa Misimamo ya kimakundi...hasa Salafi jadida,Unaweza kuhudhuria Mwez mzima Usijue kinachoongelewa zaidi ya kujengewa Utovu wa Adabu kwa MASHEIKH WENGINE tu,na kebehi kama kwamba WAO Wanateremshiwa wahyi
@@alwiyiynmission2820
Allah akuongoze
Ulicho andika sio cha kweli
Ww Nani kwenye hii dini yaani una nafadi gani mpaka ww utake dini ifuate rai yko
Radd ni msingi uliopo kutoka kwenye Qur an ss ww jitahid kusoma
Ww shekhe una chuki hasadi takabburi ww kwani ktk dini hii Hadi rai yako ifatwe ww nani
Nawaheshimu mashekhe wetu, wao ndo warithi wa mitume, Allah atuongoze ktk njia ya sawa..
Mdogo wako ni mwanachama wa CCM vipi hapo?. Mbona husemi mafuta wewe kazi na dct islam tu alafu nawewe ni hizbiy Sema mjanja tu mdigo wewe
Unahamisha mada
Kiarabu watu tunajua sio wewe tu mafuta kosa la dr islamu Yuko saws tyu ila mafuta anachotaka awe yeye tuh akijitokeza mungine atamshusha ajibu kwa mfumo unaotaka wewe wewe nani mafuta?
Elimu nd inayotaka usimsingizie
Mafutawewe ni mjinga sana kila siku rududi kwani wewe hukosei?
@@AllyKidukasawa ni mjinga ila leteni video ya ibn uthaymeen kama ni wakweli
Ila msiongelee msiyoyajua
Majibu ya kiarabu umejibiwa wewe mwana mafuta ama pai hujui kiarabu
@@hugfcinternational1305
Ust Mafuta hana Elimu ya kujibu Kiarabu kwani atapata Aibu na Izara.
Tuko makini na chonjo wakati huu.Subutu ajaribu kujibu Aone!
Wee.. Amepata Izara Kassim Mafuta
Napia sheikh kassimu mafuta haki unaichukuaje kama kama hujaisikiliza?
Kuna tofauti kati ya kusikia na kusikiliza