𝐓𝐔𝐖𝐄𝐍𝐈 𝐌𝐀𝐊𝐈𝐍𝐈 𝐍𝐀𝐘𝐄 ____🎙️ SHEIKH ABUL FADHIL QASSIM MAFUTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 янв 2025

Комментарии • 236

  • @WakaliFashionTz
    @WakaliFashionTz 4 месяца назад +5

    Allah amuhifafhi dr Islam ana hekma na busara sana hawankina mafuta inajulikana toka zamann ni watu wakujikweza na umaaruf Allah aalam

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص 4 месяца назад

      Hivi islam ni maarufu zaidi ya mafuta??? 😂😂😂😂 your joking with your miserable life.... don't be stupid kijana 😂😂😂😂😂
      Sisi tuko mombasa na tunamjua zaidi mafuta kuliko huyo islam...

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @@مبغضالبدع-ع9ص
      Of course. DR ISLAM MUHAMMAD ni Maarufu zaidi na Elimu na Busara zaidi kushinda Ust Kassim Mafuta
      Tunapata faida nyingi sana
      Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      Kassim Mafuta yake ni kutia Fitinah na Chuki kwa Waislamu. SUBHANA'ALLAAH.
      Ndio maana amekosa adabu na heshima.
      Inafaa aombe Msamaha kwa Waislamu na kwa Allaah

    • @AbdulkarimuSwalehe
      @AbdulkarimuSwalehe 4 месяца назад

      @@مبغضالبدع-ع9ص akhy kuna haja gani kumtukana ndugu yako

  • @YassirMapoch
    @YassirMapoch 4 месяца назад +5

    Nashukuru sanaa shekh kwa ufafanusi mzuri

  • @AbdulkarimuSwalehe
    @AbdulkarimuSwalehe 4 месяца назад +1

    Allah amuhifadhi dr islamu nampenda kwaajili ya Allah

  • @RamadhaniAlly-b1c
    @RamadhaniAlly-b1c 3 месяца назад

    ALLAH akulinde na watu wa batili,Baki katika haki hata wakikukosoa.

  • @omaryally5743
    @omaryally5743 4 месяца назад +8

    Dr Islam maashaa allahu mtulivu muadilifu Hana chuki hatafuti ukubwa nufaikeni Naye msiwe na Husda Naye mkakosa mazur yake,maana hapa sheikh wangu umejiraddi mwenyewe maana cc wasikilizaji tuko makin sanaa tunatofautisha umakin WA kila mmoja Kati yenu.ila dr islam alhamdulillahi katulia sanaaaa

    • @tibaasiligreatmoment8850
      @tibaasiligreatmoment8850 4 месяца назад

      Husda Kwa Lipi?

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 4 месяца назад

      Mche Allah
      Mm namjua uyu Dr kabla hajaradiwa

    • @abuutwalha8796
      @abuutwalha8796 4 месяца назад

      Utakua makini vip na huna elimu

    • @omaryally5743
      @omaryally5743 4 месяца назад

      @@abuutwalha8796 cyo wasiklizaji wote hawajasoma.humu ndani kuna wasomi

    • @omaryally5743
      @omaryally5743 4 месяца назад

      @@abuutwalha8796 kama huna Elimu ndiyo usome sasa ndugu yangu umri unaenda hivo

  • @saidmuhama9846
    @saidmuhama9846 4 месяца назад +2

    Hasad anaweza kuwanayo yeyote, Allah atuepushe.

  • @allyhaji208
    @allyhaji208 4 месяца назад +4

    Yani wewe mafuta ALLAAH akuongoze ww na ss pia unamatatizo sana ndugu yangu mche ALLAAH

    • @mim9607
      @mim9607 4 месяца назад +2

      Ana HUSDA

  • @suhailsodeh5444
    @suhailsodeh5444 4 месяца назад +12

    Alhadulilah tuwe na shukrani kwa kumpata Abul fadhil kwa kasri yetu ya sasa hapa east africa Allah amhifadh na wenzake inshaAllah....tupe faida Abul fadhil

    • @saydsultan9499
      @saydsultan9499 4 месяца назад +3

      Amyn
      Allaah awahifadhi masheikh wetu wa kisalafy

    • @NassorHassan-no1cr
      @NassorHassan-no1cr 4 месяца назад

      Kassim ameonyesha Uhizb kwa kusema aje hapa kama hatutouana akanasihiwa kuwa kafany ukhawariji

    • @HajiDibwa-n2f
      @HajiDibwa-n2f 4 месяца назад

      Amiin

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +2

      @@NassorHassan-no1cr
      Chairman wa Ma Hiziy East Africa 🌍 ust Kassim Mafuta

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @@NassorHassan-no1cr
      Swadaqta Ust Kassim Mafuta
      Allaah ajaalie awache
      Uhizbiy na Arudi kwenye Sawa maana anatia Fitinah.
      Hatari...

  • @mim9607
    @mim9607 4 месяца назад +5

    HUYU SHEIKH MAFUTA ANA HUSDA SANA ALLAH AMUONGOZE

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +2

      @@mim9607
      Swadaqta
      Ameen JazakaAllaahu'khayr

  • @SleyoumSaid-i1z
    @SleyoumSaid-i1z 4 месяца назад +3

    Kwako mafuta kila uchao ni ukamilfu Mungu aliokujalia huna kosa

  • @abdalahhasani6855
    @abdalahhasani6855 4 месяца назад +5

    kasimu Kila shekh kwake hafai labda mamake2

  • @IddiAli-b6n
    @IddiAli-b6n 4 месяца назад +1

    Ivi mashekh mnapigania uislamu au mnashindana nani zaidi mm nahic Kila mmoja anataka afuatwe msimamo wake cyo kuupigania uislamu hapo hatutofika popote Allah atusaidie.

  • @ahmedabdulwahab5444
    @ahmedabdulwahab5444 4 месяца назад +1

    Kassim Mafuta Itaqillah usimzingiziye urongo Dr Islam. Alikuandikia Kiilimu Andika kama unable Elimu. Kashindwa.

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 4 месяца назад +2

    ألف كما ألف الدكتور،لاتكن ثارثارا وهذيانا.

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂 ما شاء الله ألف ماذا؟؟؟ يا غبي الرجل يفر من ميدان الحرب بأسلوب رخيص!!! قل له يرد إن كان رجلا!!! وإلا فاليعلم أن لكل ميدان رجال!!! حفظ الله الشيخ أبا الفضل على ما يقدم لنا!!! وقاتل الله الحزبيين الماكرين لدعوة الحق!!!

  • @MwamediNzeyimana
    @MwamediNzeyimana 4 месяца назад +1

    Allahu ampe umri mrefu tuzidi kunufaika nae amiin amiin

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 4 месяца назад +2

    Huyu mafuta ana ujahili mwingi kichwani mwake

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @uledihassan6065
      Ndio na pia yuko na Upuuzi mwingi sana.
      Allaah Amuongoze aone haki
      Huyu ust Kassim Mafuta.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @@uledihassan6065
      Ust Mafuta ameingia Mitini na
      Yuko kando na amewaachia
      Wanafunzi wake kazi ambayo
      Hawana majibu.
      Majibu na maelezo ya Sheikh Muhammad Nassor Bachu ni Bahri
      Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah.
      Alhamdulillah.

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      Allaah Akupe Afya na furaha duniani na kesho Aakheera
      Sheikh kipenzi chetu

  • @islaminmyheart9348
    @islaminmyheart9348 4 месяца назад +5

    Allaah amhifadhi sheikh Abul fadhil

  • @HajiDibwa-n2f
    @HajiDibwa-n2f 4 месяца назад +5

    Allah akuhifadhi sheikh abul fadhil Qassimu mafuta Qassimu na akupe mwisho mwema inshaallah

    • @NassorHassan-no1cr
      @NassorHassan-no1cr 4 месяца назад

      @@HajiDibwa-n2f Amiiin maana kawatoa ktk uhizbi wengi sannnna

    • @HajiDibwa-n2f
      @HajiDibwa-n2f 4 месяца назад

      @@NassorHassan-no1cr kweli ni nguzo ya sunnah Allah amuhifadhi

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +2

      @@HajiDibwa-n2f
      Ust Kassim Mafuta wacha Fitinah na Chuki
      Maana umezidi sasa na Unapata Aibu na Izara sasa.
      Elimu yako imekuwa ni kugawanya watu wa Sunnah.
      Huna mpango na Hatari hii.

    • @HajiDibwa-n2f
      @HajiDibwa-n2f 4 месяца назад

      @@jamalsaid7475 Sio chuki ndio ukwel huo mtu akikosea lazima asemwe hili ajifunze Allah amuhifadh sheikh wetu abul fadhil Qassimu mafuta Qassimu

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @@HajiDibwa-n2f
      Subhana'Allaah
      Yaani Haji kaka yangu mbona
      Ust Kassim Mafuta anafanya Uislamu kuwa makundi makundi na Bora ajibu maswali kutoka kwa Dr Islam na Sh Muhammad Nassor Bachu.
      Allaah Amuongoze Kassim Mafuta

  • @sabrimtumweni5633
    @sabrimtumweni5633 4 месяца назад

    Mcheni Allah

  • @AliJamal-cu5lh
    @AliJamal-cu5lh 4 месяца назад +1

    Shekh Qassim mafuta Allah akuhifadhi na tunafaidika na daawa ya ki salafy Mimi na furahia ukiwa piga Raddi

  • @HusseinBakari-ge5uj
    @HusseinBakari-ge5uj 4 месяца назад +5

    Allah akuifadhi sheikh abdull fadhil khassim

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @@HusseinBakari-ge5uj
      Allaah Amuongoze Ust Kassim Mafuta maana anatia Fitinah na Chuki zake ziko wazi badala ya kuwajibu Dr Islam na Sheikh Muhammad Bachu.
      Ajibu ikiwa yeye ni Sheikh kweli!

  • @Mwanahawa-y5r
    @Mwanahawa-y5r 3 месяца назад

    Zimesalimeka ndimi za waislamu kwa mayaudi na manaswara lakini hazija salimika kwa waislamu huu nimsiba mkubwa sana

  • @mwalivanduabdul
    @mwalivanduabdul 4 месяца назад

    Mmh

  • @omarkombo3474
    @omarkombo3474 4 месяца назад +4

    mafuta bwana kwaiyo hakuna dawa yoyote saiv , isipokua shekh akitoa mawadha ww kazi yako kujibu, bahati nzuri dr islam hana uwo mda ,

    • @ausatmwangi6464
      @ausatmwangi6464 4 месяца назад +1

      Huyu kasim petroli Hana kazi ya kufanya kazi udaku tu wa darsa za wenzake ili ajipime nguvu na kila mtu 😢😢

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @@ausatmwangi6464
      Swadaqta.
      Hana mpango Ust Mafuta kwani sasa analeta upuuzi na hana Hoja.
      Aibu kubwa amepata na Majadida.

  • @gammamohammed6601
    @gammamohammed6601 4 месяца назад

    Allāh amhifadhi na amchunge

  • @abasimwinyibovu3090
    @abasimwinyibovu3090 4 месяца назад

    HHuyu shekh oil hamna kitu

  • @abasimwinyibovu3090
    @abasimwinyibovu3090 4 месяца назад

    Asiyekuwa na shekhe shekhele ni shetani shekhe oil anamdharau shekhele bin Ayub tatizo lilianzia hapo

  • @KipangaAbourayy
    @KipangaAbourayy 4 месяца назад +1

    Wale wavaa vilemba wanafanya kazi nzuri tu kwenda mpaka vijiweni vijijini kuwalingania watu waswali hawa wengine wabakia kujionyesha tu nani zaidi.... Yaani utume ungalikuwa unaendelea wengi wangalidai nao ni mitume

  • @abdirahmanduke1373
    @abdirahmanduke1373 4 месяца назад

    Ata ukaongea mpa kesho wewe humfiki ilimu Dr islam mafuta wewe...😂🙌Wacha kumfika kwa elimu humkaribii ata umeze dawa....🤝

  • @iddimutua420
    @iddimutua420 4 месяца назад

    A.aleikum
    InshaAllah mwenye chuki na mwenzake Allah amdhalilishe uko mbeleni.

    • @SaadiAusi
      @SaadiAusi 4 месяца назад

      Amiiin haina aja ya marumbano katika diini

    • @SaadiAusi
      @SaadiAusi 4 месяца назад

      Allahu atawadhalilisha

  • @abduswaburmuhammad6625
    @abduswaburmuhammad6625 4 месяца назад +2

    Yan Qassim mafuta n wafasi wake ndo wanaofa kufuatwa wengine wote mahizbi acheni mchezo deni Sio yenu

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @abduswaburmuhammad6625
      Swadaqta Akhii.
      Huyu Ust Mafuta Elimu yake sasa imekuwa ni kutia Fitinah na Sio ya kuwafaidi Waislamu.
      Majadida wacheni Mambo ya Chama. CCM ya Pongwe
      Naona umekuwa ni kama Chairman wao wa Ma Hizbiy!
      Aaah?

  • @SuleimanHassan-o6f
    @SuleimanHassan-o6f 4 месяца назад +2

    Jibu vitabu kwa kiarabu
    Uone utakavyo tulewa makusa

  • @KassimMsalangi
    @KassimMsalangi 4 месяца назад

    we kassim mafuta hiki unacho kifanya si sawa halafu huwezi mwambia ati shekh kaokota maneno acha dharau dawa gani hiyo.

  • @hugfcinternational1305
    @hugfcinternational1305 4 месяца назад +1

    Majibu ya kiarabu umejibiwa wewe mwana mafuta ama pai hujui kiarabu

  • @allyallysalali
    @allyallysalali 4 месяца назад +1

    WAKUWA NAE MAKINI NI QASIM MAFUTA HALAFU MAFUTA KAWAJENGA WAFUASI WAKE KUWA HAKOSEI NDO MAANA AKIKOSOLEWA MAFUTA KATKA LAZIMA WATU WAKE WAANZE KUMTETEA DAH HAKUNA SIKU MOJA WATASEMA KWELI SHEKH QASIM MAFUTA AMEKOSEA KWA SABABU AKISEMA ATATOLEWA KWELI USALAFI

  • @HawaMohamedi-s4p
    @HawaMohamedi-s4p 2 месяца назад +1

    Sheikh kassimu mafuta jamani mtu mwenye elimu sana ila mtukaneni chupeni mipaka zidi yake ila ashasema mktukana yeye bnafsi ajbu ng'ooo ila leteni uzushi katka dini awaachi salama nyii leteni muone

  • @Pecezwell
    @Pecezwell 2 месяца назад

    JAMANI EEH!!KAMA KILA SHEKHE HAFAI NIFATENI MIMI MISIMAMO YANGU ,LAKINI DAAWA YASASA BORA MTU ALEWE KULIKO KUWASKULIZA HAWA MAANA WANARIA NA RIA NI SHIRKI NDOGO

  • @IddiNkupe
    @IddiNkupe 4 месяца назад +1

    Uko katika mtihan mkubwa shee letu kasim mafuta usipowacha fitina hii kutoa makosa ambayo hayapo wallahi Allah atakwenda kukuchoma siku ya kiyama maana hizi unazofanya ni dhulma

    • @ramadhanramadhan4948
      @ramadhanramadhan4948 4 месяца назад

      Dhulma ipo wapi?
      Onesha ushahidi usipeleke mamb kwa ALLAH ikawa yanakurudia ww

    • @IddiNkupe
      @IddiNkupe 4 месяца назад

      Hivi anavyoongea kuhuau Dr Islam Allah amhifadh unadhan Kuna ukwel hebu kaa kitako umsikilize Dr Islam halafu uangalie anachomaanisha usimtetee kasim mafuta kwa dhulma yake anayoifany kwa maduat wakisunna wenzake sikilz radd zake nyingi kuhusu watu wa Sunna kwakuw Tu hawaamiliani naye anakataz wenzake kushirikiana na masufi watu watwariqa lakin yeye anafungsha ndoa msikit brbr ya 7 sasa nin maana yake napia msikilize Dr Islam halafu uangalie vizur bila ushabik

    • @ramadhanramadhan4948
      @ramadhanramadhan4948 4 месяца назад

      @@IddiNkupe sasa kufungisha ndoa ktk mskiti wa bidaa ni kuamiliana?
      Kisha kama anafanya dhulma mbona Dr Islam kahindwa kuleta video ya ibn uthaymeen?
      Kisha kwa nin Dr Islam kajibu kwa makala ya kiarabu wakat alipokuwa akifutu mamb alifutu kwa kiswahili?
      Sasa ww jambo la msingi taja sehem ambayo abul fadhil kamfanyia dhulma Dr Islam

    • @IddiNkupe
      @IddiNkupe 4 месяца назад

      @@ramadhanramadhan4948 nikuulize kitu ulimsikiliza vizur Dr Islam au nikutumie mim sikia aliulizwa Hiv shekh ibn uthymeen jee inajuzu kumsikiliza Kila mtu ? Akasema ndyo inajuzu kuichukuw hakki kwa mtu yoyote awe myahud mnaswara na hata mshirikina ,ikiwa abuu huraira alimsikiliza iblis na alipoyapelek maneno Yale iblis aliyoyasema kwa mtume s.a.w akasema amesema kweli iblis ijapokuw yeye mwenyew nimuongo (jiulize kwa akili yako ndogo Tu kwann Kuna Dua inayosema Allahumma jaallna minalladhiina yastamiunalkaula wayattabiiha ahsana)jua inajuzu kuichukuw hakki kwa mtu yoyote madam hyo ni hakki ila haijuz kwenda kukaa nawo na kusoma kwao maana watakuingizen katk bid'aat zao nyingi na shubhaat zao nyingi ila kuwa sikiliza inajuzu

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 4 месяца назад

      ​@@ramadhanramadhan4948
      Hawa wana mpenda Dr Islam tu baada yakumuombea dua allah amuongoze wao wanata kumtetea tu

  • @sabrimtumweni5633
    @sabrimtumweni5633 4 месяца назад +2

    Labda tujue sheikh lenu limesoma wapi na nini
    Sheikh letu qasim Allah amuhifadhi amesoma tz kwa masheikh wa kwao
    Akaenda yaman akasoma
    Akaenda madina akasoma
    Ili tujue ni hasad tajeni sheikh lenu limesoma wapi na nini limesoma
    Kama kutangulia kidaawah sheikh qasim ameenza dawah zamani sana
    Uwezo wa kielimu
    Abulfadhly tuko ameenza kusomesha vitabu mpaka leo sio chini ya vitabu 300 amemaliza kuwasomesha waislamu
    Je dr!!!
    Wanafunzi wa Abulfadhly wapo wengi wengine ni walinganizi wakubwa sana ... leo
    Wanafunzi wa dr !!!!
    SASA KIPI HASA ABULFADHLY AMFANYIE HASAD DR MIMI WALLAH KWA DHAHIRI SIKIONI
    DR ANA MADRASA HATA THANAWI HAIJAFIKA UWEZO WAKE MADRASA YAKE NA NA WALA SIO MADRASA BEST HAPO MSA KWAMBA ZINAONGOZA
    ABULFADHLY ANA MARKAZ YA WANAFUNZI WASIOPUNGUA 1000 NA INAONGOZA KATIKA MARKAZ INATOA WANAFUNZI NA WATOTO WA KIISLAM WANASOMA
    SASA KIPIMO GANI MNATUMIA KUMTUPIA SH ABULFADHLY KUWA ANA HASAD AMA VILE AMEKOSOLEWA DR ISLAM
    ILA JE KWA UPANDE WENU SIO HASAD KUONA AKIKOSOA ABULFADHLY NYOYO ZENU HAZIPENDI MBONA MUNACHUKIZWA HIO NDIO HASAD

  • @kyle-j4d9m
    @kyle-j4d9m 4 месяца назад +3

    Ukchukuw sheikh kassim na Yale y Dr Unajfunz ktu

    • @ausatmwangi6464
      @ausatmwangi6464 4 месяца назад

      Kwa duktur najifunza na kwa kasimu yy ni mropokwaji tu

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 4 месяца назад

      ​@@ausatmwangi6464
      Ww unachuki Allah akuongoze

  • @husseinshariff3903
    @husseinshariff3903 4 месяца назад +1

    Kwa kweli Qassim yuazungumza kwa kutaka kumuangusha Dr Islam maana kwa swali aliulizwa muulizaji alifunganisha maswali mawili moja kutafte ilmu nakumskiza yeyote na lapili ni kutochukua chochote kwa mtu yeyote naye Dr akazijibu zote kwa pamoja vizuri lakini Qassim kama kawaida lazma atafte jinsi yakumuangusha Dr Islam.

    • @ramadhanramadhan4948
      @ramadhanramadhan4948 4 месяца назад

      Ww hukusikiliza kwa kutafta haqqi bali umeongea kwa ushabiki ebu kasikilize tena maswali na majibu

    • @alwiyiynmission2820
      @alwiyiynmission2820 4 месяца назад

      Kwani Qasim mafuta ndio Mwenye RUHUSA ya Kuhalalisha na kuharamisha?
      Anaposema Tutakapo ruhusu Kufungua mlango huo,Ina MAANA Yeye kama nani Atoe RUHUSA?
      ACHENI ushabiki kwenye DINI

    • @husseinshariff3903
      @husseinshariff3903 4 месяца назад

      ​@@ramadhanramadhan4948kama wafahamu English nenda kaskize Sheikh Assim Al Hakeem ametoa video Leo Instagram utaipata pia kuhusu kujiita salafi akaelezea utajua Kina Qassim ni watu wakutenganisha Umma

    • @husseinshariff3903
      @husseinshariff3903 4 месяца назад

      ​@@alwiyiynmission2820nenda kamsikize Sheikh Assim Al Hakeem ametoa video Leo Instagram utaipata pia kuhusu kujiita salafi akaelezea utajua Kina Qassim ni watu wakutenganisha Umma

  • @gammamohammed6601
    @gammamohammed6601 4 месяца назад

    Sheikh Abul fadhal

  • @Vuyaa-v6w
    @Vuyaa-v6w 4 месяца назад +1

    Huyu sheikh Qassim mafuta busara zake ni chache sana, yani yeye aonyesha michezo ya kitoto sana. Kwa kweli hata sisi ambao hatukusoma twamuheshimu lkn ndipo twamuona anakosa adabu

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @Vuyaa-v6w
      Swadaqta
      Maneno yake ya Upuuzi ni mengi sana na Analeta Fitinah na Chuki kwa Waislamu. HATARI HII.

  • @SaidiMbega-j4n
    @SaidiMbega-j4n 4 месяца назад

    Qaasimu mafuta hanalolote nimhalifutu simtu wakushikwa maneno yake nimtufaasiki

  • @MOHAMEDNJAMA-m5i
    @MOHAMEDNJAMA-m5i 4 месяца назад +1

    Assalam alykum warahmatullah wabarakatuh naam ustadh na VP kusikiliza darsa ya ahlulbidai na kuwafanyia ruduud ,naswali kwako .

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 4 месяца назад

      Hata hilo hujui kweli?

    • @AthumanAthuman-b6q
      @AthumanAthuman-b6q 4 месяца назад

      Ndomana likawa swali,​@@MB-yq3ty

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 4 месяца назад +2

    Hii mada si ndo mada iloelezwa na Muhammad Bachou juzi na akakifafanua vizuri kitabu Cha dor Islam ..
    Nahisi tutajifunza zaidi pia tukiiskiliza na Ile clip .

    • @ramadhanramadhan4948
      @ramadhanramadhan4948 4 месяца назад

      Ww una akili kweli?
      Anahujumiwa yupo na kaandika makala kama kaweza kuandika makala kwa nini hakueleza watu kwa sauti au japo akatafsiri tu makala yake?
      Bachu Ana kihere here kwa sababu mwenye mzozo yupo na kajibu

    • @Mwanahawa-y5r
      @Mwanahawa-y5r 3 месяца назад

      ​@@ramadhanramadhan4948mtu mwenye akili siraisi kupayuka

  • @swalehemusakiluwa9405
    @swalehemusakiluwa9405 4 месяца назад

    Hilo la kujibu swali moja wakati aliulizwa mawili ni jambo la kawaida ilitakiwa muulizaji aseme kwamba kuna nukta haijajibiwa katika swali na hiyo ndio sawa
    Na sioni sababu ya kumradd katika hilo. Ilitakiwa sheikh uweke taaliq kwenye majawabu yake na sio kuradd maana hata wewe yawezekana ukaulizwa maswali mawili na ukajibu moja ima kwa bahati mbaya au kwa makisudi.

    • @nasilukilawaga2021
      @nasilukilawaga2021 4 месяца назад

      Hapana si hivyo sikiliza vizuri,Dr.Islam kaunganisha jibu Moja kwa maswali mawili.yaani maswali hayo kayapa jibu Moja.

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 4 месяца назад +3

    Jmn picha ni haraaam kwa nn umempost shkh

  • @suleymanislam4015
    @suleymanislam4015 4 месяца назад +1

    Mashekhe kuweni wakweli kuhusu hii daawa. Ama Hizi raddi ni nzuri sana ndio mizani ya kuchuja. Lakini swali ni je hizi ruduud ni za ikhlas ama kuna chuki fiche ndani yake kisingizio ikawa ni radd za kielimu? Hapa munajuwa uhakika ni nyie masheikh na Allah ndio shahidi baina yenu

  • @HadanaHadana-nr7xu
    @HadanaHadana-nr7xu 4 месяца назад +1

    Kasimu usije kuwa sababu watu wakakukosea adabu kilasiku unazidi kujizalilishaa

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @@HadanaHadana-nr7xu kweli kabisa ust Kassim haja yake na nia yake sijui ni nini?
      Ajibu kuhusu kaka yake Muhammad Mafuta kuhusu CCM na kuhusu Sh Rabiiy kwanza.

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 4 месяца назад +2

    Mafuta ww uli takiwa umjibu bachu. Ili. Tujue ukweli

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @@hamadsaburi3569 Ndio maana yake brother lakini ameingia Mitini Ust Mafuta.
      Ukweli ukidhiri ,Uongo Hujitenga..

  • @fadhilimatano3213
    @fadhilimatano3213 4 месяца назад +1

    Shk Abul Fadhil muogope Allah na usijitakase na kujiona bora sivizur kuwakosoa wanazuoni ili uonekane ww ni Alim ungewatafuta mukaongelea heshimianeni jamani

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 4 месяца назад

      Una uhakika km hakumfata?

    • @bukhanmohd456
      @bukhanmohd456 3 месяца назад

      Bora nimsikilize m'mbwa akibweka kuliko kulisikiliza shenzi hili potoshaji sana na katishaji tamaa Sana linajiona linajua kuliko mtume

  • @sharifsayyid
    @sharifsayyid 4 месяца назад +1

    Mafuta hana ilmu yakutosha kabisaaa acha kuropoka

    • @AbuuFawzaani
      @AbuuFawzaani 4 месяца назад

      umejuaje au umetumia kipimo gani kujua qaasimu mafuta hana elimu

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @@sharifsayyid
      Swadaqta
      Sheikh Muhammad Nassor Bachu ameleta ushahidi wa kutosha Alhamdulillah
      Kazi kwa Majadida.

  • @SultaniHaruna
    @SultaniHaruna 4 месяца назад +2

    We mafuta YA taa ACHA unafiki

  • @SleyoumSaid-i1z
    @SleyoumSaid-i1z 4 месяца назад

    Hata haya unayoyafanya hao watu walifanya hivyo

  • @SuleimanKahangwa-oj9eh
    @SuleimanKahangwa-oj9eh 4 месяца назад +3

    Mafuta nyamaza bwana una kitu

  • @WakaliFashionTz
    @WakaliFashionTz 4 месяца назад +1

    Kumbe wewe unachukia kuandika kiaarabu alaf hicho kiaarabu sikuwa anamjibu mwenye elm au we huna elm

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 4 месяца назад

      Amjibu yy vp na wao ni waalimu wana wanafunzi wengi mpk wasio jua kiarabu

  • @jumamusa6783
    @jumamusa6783 4 месяца назад

    Huyu Qassim mafuta ni hasidi . Sijui ni mafuta ya nini huyu

  • @markazabihurairah5211
    @markazabihurairah5211 4 месяца назад +1

    Huna lolote wewe mpaka mafuta unapokea wahyi wa shetani

  • @abuurayyanimliuka
    @abuurayyanimliuka 4 месяца назад +2

    Mbna mwanzo Al akhy kassimu mafuta ulisema akuna kaul ya mwana wachuoni yoyote alieluusu kuchukua elimu Sasa ckaleta dalili?

    • @alwiyiynmission2820
      @alwiyiynmission2820 4 месяца назад

      Mwanachuoni amepata wapi Uhalali wa Kuhalalisha...au kuharamisha.
      Wao viumbe vilipita kwa zama zao na wakafahamu kwa Uelewa WAO.
      Quran Imetaka TUSIKILIZE NA KUCHUKUA YALIO MAZURI(MEMA).
      IBN SIRIN ATAKUJA KUWAKATAA SIKU HIYO JIHADHARINI

    • @nasilukilawaga2021
      @nasilukilawaga2021 4 месяца назад

      ​@@alwiyiynmission2820Quran imetaka katika sura gani

  • @abdirahmanduke1373
    @abdirahmanduke1373 4 месяца назад

    لا أدري أأناديك باسم الشيخ يا من تسمي نفسك شيخ حميدي....punguza uhasidi na hiqdi kaka....walai shaikh kajibu vizuri saana ila wewe uhasidi wako haukuruhusu kukubali haki....🤝

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 4 месяца назад +1

    Ona ulivokuwa na chuki unashindwa hata kukisoma hicho kitbu chake cha kiarabu wewe una hasad sana

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 4 месяца назад +2

    wewe una maradhi ya Hasad

  • @Abuhunaiya
    @Abuhunaiya 4 месяца назад +4

    Watu tufuate haki tuache hawwa y nafsi

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      Swadaqta
      Salafiyyah Jadiday wacheni Fitinah

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      Kiboko yenu Pamoja na Sheikh Muhammad Nassor Bachu
      Alhamdulillah

    • @nasilukilawaga2021
      @nasilukilawaga2021 4 месяца назад

      ​@@jamalsaid7475duh

  • @AbuuRayyan-j8x
    @AbuuRayyan-j8x 4 месяца назад

    Ndio Hizbi yyte atakae chomoza kama ana athari lazma Abul Fadhil ata mjeruhi tu mtu kama akigongwa Shekh wake anaumia acha afe .

  • @salumtakao9828
    @salumtakao9828 4 месяца назад

    Shekh kassim ww unaelimu kiasi chako lkim una unafiki mwingi sana had nashangaa shekh mkubw kam ww dah. Jamn hii dini sio yenu iheshimuno basi . Dr islm sio level yako atakunyosha yule tulia endelea na darsa zako .

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 4 месяца назад

      Bado hujajua unacho kisema ebu fuatilia kuanzia mwanzo wa mgogoro ndy utaelewa

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 4 месяца назад +3

    Dr alikuwa anakujibu wewe ndo maana kaandika kiarabu ....acha ubishi

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      Swadaqta huyu Ust Mafuta hana Hoja kabisa

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +2

      Mafuta wacha Chuki na fitnah
      Dr Islam yuko sawa kabisa

    • @ramadhanramadhan4948
      @ramadhanramadhan4948 4 месяца назад

      ​@@jamalsaid7475alikuwa ampigie cm ila kaandika makala ili anaejua kiarabu ndo aelewe nyinyi na mm ambao hatujui tusielewe
      Mwambieni akifanyie tarjama kwa kiswahili

  • @abdiosman6031
    @abdiosman6031 4 месяца назад +1

    We shekhe nyamaza bwana wa aibika sasa wa ongea tu ovyo ovyo

  • @daudaathman8229
    @daudaathman8229 4 месяца назад

    Wewe mbona hukubali kukosolewa?

  • @SleyoumSaid-i1z
    @SleyoumSaid-i1z 4 месяца назад

    Kwani wewe hakuna kheri ispokuwa kutafuts farka

  • @markazabihurairah5211
    @markazabihurairah5211 4 месяца назад

    Hakika wewe kasim mafuta unapokea wahyi wa shetani

  • @alwiyiynmission2820
    @alwiyiynmission2820 4 месяца назад

    Mpaka sasa Nasikia Sheikh fulan amesema hivi,fauzan kasema vile.
    Kwani hii Dini inachukuliwa kwa masheikh ama wao Wamejitahidi kwenye ufahamu wao tu.
    Lkn lugha ya kusema mwenzako Ameokotaokota huko,kumbe Inathibitisha Masalaf mumezoea kuokota okota.

    • @AbuuFawzaani
      @AbuuFawzaani 4 месяца назад

      fawzaani ni nani katika uislamu

  • @sabrimtumweni5633
    @sabrimtumweni5633 4 месяца назад

    Ni kama nyinyi munapinga tu maneno ya abulfadhly kwa chuki ni hio ndio hasad na warongo hakuna siku mliomsikilza abulfadhly
    Basi kila siku tu yy ndio mwenye hasad kwani huo dr si aliwahi kumzungumza mbaraka awesu mbona ham hamkusema
    Hio ni hasad

  • @saidali9255
    @saidali9255 4 месяца назад +1

    Sheikh wapiga kelele!..Bachu amefafanua vyema sana! Twaona unapata tabu sana mpaka kuleta vikaseti visivyosikika!..Hasad mbona inakuunguza hivyo?..punguza Ustadh unadhalilika bure..

    • @ramadhanramadhan4948
      @ramadhanramadhan4948 4 месяца назад

      Sasa anaehujumiwa yupo na kajibu kwa makala sasa huyu aliejibu mbona hakutoa audio kueleza ?
      Bachu ni kiherehere kwa sababu muulizwaji kajibu na cc hatuna mda na bachu cc tunamtaka Dr

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад

      @@saidali9255
      Swadaqta
      Alhamdulillah
      Ahsante sana
      Maa Shaa Allaah

  • @MussaMnkea
    @MussaMnkea 4 месяца назад

    Kwani kiarabu wewe na genge lako hamkijui?ACHA husda Kwa mashekhe wenzio wewee!

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 4 месяца назад

    Nasaha yangu usijibu kwa chuki wala kwadharau wala kwa ufahamu wako tu wewe Mafuta) wajipigakifua sana kama ambaye hakuna Msomi kama weweليس هكذا تورد الإبل

  • @sultanmohammed4157
    @sultanmohammed4157 4 месяца назад

    Wewe mbabe wako Muhamsd bachu weweilimu yako nindogo watu wote wakufahamu.

  • @abduswaburmuhammad6625
    @abduswaburmuhammad6625 4 месяца назад

    Yan Qassim mafuta unataka usikizwe ww Na izi radd zenu za kila siku Alf mwisho Wa siku mm niteanda kulingania Jama zangu Na radd zenu hizi zenye hazina maana yoyote ufala mtupu 2 yan mtu kama haswali kwenu ayuko Chibi yenu bs huyo hizbi acheni mchezo Dini Sio yenu

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 4 месяца назад

    Kijeli wacha mpaka jina hamiiti ati huyu Mtu dharau kweli hiyo sunnah huo ndio usalafi jamani Sheikh (Bachu )alikumaliza kabbbisa.

  • @EmaadAlly
    @EmaadAlly 4 месяца назад

    Kassim mafuta analalamika

  • @FarahJey
    @FarahJey 4 месяца назад

    Adrawned man catch a straw
    Mfa maji hawati kutapatapa
    Mafuta wewe huwezi kuogelea,basi tapatapa tuu watu wakuona upo majini nawewe

  • @sabrimtumweni5633
    @sabrimtumweni5633 4 месяца назад

    Na munamaanisha dr hakosei basi akirekebishwa tu hio ni hasad mbona
    Mbona bhc anavyomtukana sheikh qasim na hamjib mbona hamusemi ni hasad
    Changeni hasad isje ikawa kwenu nyinyi kwa masalafi
    Na haqq itabainishwa mpende msipende
    Sisi wajibu wetu kubainishisha sio kusikiliza msemayo mkitia pamba tieni tu sio jukumu letu
    Ila msiwasingizie masalafy kuwa wana hasad kisa munaliziba kosa la sheikh wenu

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 4 месяца назад

    SheikhBachu ashakujibu neno HAKI na ILMI lkn wapindisha tu wajitetea tu na sheikh Bachu humjongelei kabbbisa wamuogopa الحكمة ضالة المؤمن أينما وجدها أخذها kitabu tumekisoma kiko sawa Dr Islam ,usiandike Maqala Bachu ashamjibu huyu nichuki tu Dr yuko juu yako kiilmu,فالكتاب واضح جدا فوائدها كثيرة أقول اكتب كما كتب الدكتور إسلام مقالة علمية

  • @abuurayyanimliuka
    @abuurayyanimliuka 4 месяца назад

    Napia sheikh kassimu mafuta haki unaichukuaje kama kama hujaisikiliza?

    • @alwiyiynmission2820
      @alwiyiynmission2820 4 месяца назад

      Masalafi Jadida Hawatakiwi Kumtumia Akili, inatosha kwao Akili ya sheikh wao.
      Sasa Muulizaji Ulimtuma wewe!?mpaka Udai Hajajibiwa Ipasavyo.
      ZAMAN TULIAMBIWA KUSOMA NI KUONDOA UJINGA ILA SASA NI TOFAUTI

  • @LASSUH4947
    @LASSUH4947 2 месяца назад

    Qassim mafuta kwa mantiki yake haifai hata yy kumskiliza maana hakuna cha maana zaid ya matusi kejeli hasad dhidi ya waislam wenzake yaani ata mtoto wako kumpeleka kwake eti ndo ampe elimu bc atarudi na zero ya elimu na degree ya matusi

  • @Sunnahchannelkenya
    @Sunnahchannelkenya 4 месяца назад +1

    ruclips.net/video/u1hppHfgkkw/видео.htmlsi=BO2MUvb8WnONUbWq
    Kama ni mume kweli mwambie ajibu hiii RADD

  • @UB40X1
    @UB40X1 4 месяца назад +1

    Duktur kafanya ujanja karukia kiarabu kuwakoroga mashabiki wake wasiojielewa. 😂

    • @NassorHassan-no1cr
      @NassorHassan-no1cr 4 месяца назад +1

      na yey kassim atunge chake cha kidigo shida nin

    • @allyhaji208
      @allyhaji208 4 месяца назад

      Sasa mbn mwlm wako anaruka ruka hata anachokiongea pumba tu

    • @AbdulkareemNyongoro
      @AbdulkareemNyongoro 4 месяца назад

      Kumbe ninyi mwwifanya dini kama mpira kwani kaul yaki ina màana wewe ni mshabiki wa mafuta

  • @AhmedHaji-l3u
    @AhmedHaji-l3u 4 месяца назад +1

    Shekhe, si umesoma?!?? Leo hii kiarabu hukielewi au?!??? Na duktur haongei na watu, anaongea na wewe, amekujibu wewe!?!!!!!

    • @ShamsudeenOmary
      @ShamsudeenOmary 4 месяца назад

      Hawa watu wana tabu wallahu musta'an

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 4 месяца назад

    Hawa si wale watumishi wa CCM salaf wahab yahud

  • @MshihirDguyya
    @MshihirDguyya 4 месяца назад

    Abiifadhuli wachaujinga yaani uache hadithi sahihi ufuate ushabiki wako ww kasim nihasidi mkubwa ghawaariji wazamahizi,hadithi ipi inasema usisome kwa watu wewe kasimu umesoma wapi??

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 4 месяца назад

    ياأخي قاسم!! الدكتور اسلام على الصواب أجب كما أجاب فضيلة الشيخ باشوا بالأدلة والبرهان فعليك أن تتبع أسلوب الشيخ باشوا في الردود أما هذا الذي عندك ثارثار والبغض والحسد والكراهية فحسب وليس علم السلف كما تزعمون ولغة الدكتور إ سلام فصيحة جدا الحسد الحسد!!فكلٌ يفهم كلام الشيخ إلا الحاقد الحاسد..

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 4 месяца назад +1

    Eti sisi hatujasema MANENO hayo kwani wewe ni Nani,alafu unasema huyo muulizaji kaongopa kwani wewe ndio muulizaji au huyo shekh unamfaham?! Acha kibri ewe mafuta,alafu unasema watu hawaelewi kiarabu ,yaan kiarabu umesoma wewe tu

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 4 месяца назад +2

      Unafura nini sasa

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 4 месяца назад

      Wamekasirika Ndugu hawapo kwa ajili ya haki walizani kile kiarabu nd ukubwa wa Elimu haya waje wayapindue maneno ya Sheikh wasilete mipasho Mola anawashuhudia ​@@MB-yq3ty

    • @kingahmada3873
      @kingahmada3873 4 месяца назад +1

      Acha chuki wew huna elimu ya kumkosoa mafuta

    • @saidirashid7552
      @saidirashid7552 4 месяца назад

      Mafuta anaelimu ya kawida tu kama anelimu kubwa suyutwi vipi

    • @saidirashid7552
      @saidirashid7552 4 месяца назад

      Unamparamia dr ilam humuwezi unjisumbua kutwa unakaa kumsilkiliza dr islam kwa chuki wapi kakosea umkosoe unajisumbua dr amekuzidi sana chuki na kibri kinakusumbua

  • @FarahJey
    @FarahJey 4 месяца назад

    Kassimu mafuta ni mvundifu wa dini,
    هادم الدين وليس بخادم الدين

    • @TheZuhdy
      @TheZuhdy 4 месяца назад

      ruclips.net/video/NnQ_uM9NfnA/видео.htmlsi=w6tsgLM7IK6mhmxz
      Tofautisha hapo

  • @HijaMussa-v5r
    @HijaMussa-v5r 4 месяца назад

    Mimi sijaona faida ya Waislamu kufanya raddi wao kwa wao, ispokua hii ni ajenda ya ibliis ya kuwafarikisha Waislamu,
    Badala ya kusomesha vitabu vya dini kila siku raddi tu.

    • @alwiyiynmission2820
      @alwiyiynmission2820 4 месяца назад

      WATU hawasomeshwi ELIMU Bali wanajengewa Misimamo ya kimakundi...hasa Salafi jadida,Unaweza kuhudhuria Mwez mzima Usijue kinachoongelewa zaidi ya kujengewa Utovu wa Adabu kwa MASHEIKH WENGINE tu,na kebehi kama kwamba WAO Wanateremshiwa wahyi

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 4 месяца назад

      ​@@alwiyiynmission2820
      Allah akuongoze
      Ulicho andika sio cha kweli

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 4 месяца назад

      Ww Nani kwenye hii dini yaani una nafadi gani mpaka ww utake dini ifuate rai yko
      Radd ni msingi uliopo kutoka kwenye Qur an ss ww jitahid kusoma

    • @HabibOthmani-n8c
      @HabibOthmani-n8c 4 месяца назад

      Ww shekhe una chuki hasadi takabburi ww kwani ktk dini hii Hadi rai yako ifatwe ww nani

    • @HijaMussa-v5r
      @HijaMussa-v5r 4 месяца назад

      Nawaheshimu mashekhe wetu, wao ndo warithi wa mitume, Allah atuongoze ktk njia ya sawa..

  • @TariqAlhaj-r1p
    @TariqAlhaj-r1p 4 месяца назад

    Mdogo wako ni mwanachama wa CCM vipi hapo?. Mbona husemi mafuta wewe kazi na dct islam tu alafu nawewe ni hizbiy Sema mjanja tu mdigo wewe

  • @ArabiMuchande
    @ArabiMuchande 4 месяца назад +1

    Kiarabu watu tunajua sio wewe tu mafuta kosa la dr islamu Yuko saws tyu ila mafuta anachotaka awe yeye tuh akijitokeza mungine atamshusha ajibu kwa mfumo unaotaka wewe wewe nani mafuta?

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 4 месяца назад

      Elimu nd inayotaka usimsingizie

    • @AllyKiduka
      @AllyKiduka 4 месяца назад

      Mafutawewe ni mjinga sana kila siku rududi kwani wewe hukosei?

    • @ramadhanramadhan4948
      @ramadhanramadhan4948 4 месяца назад

      ​@@AllyKidukasawa ni mjinga ila leteni video ya ibn uthaymeen kama ni wakweli
      Ila msiongelee msiyoyajua

  • @hugfcinternational1305
    @hugfcinternational1305 4 месяца назад +1

    Majibu ya kiarabu umejibiwa wewe mwana mafuta ama pai hujui kiarabu

    • @jamalsaid7475
      @jamalsaid7475 4 месяца назад +1

      @@hugfcinternational1305
      Ust Mafuta hana Elimu ya kujibu Kiarabu kwani atapata Aibu na Izara.
      Tuko makini na chonjo wakati huu.Subutu ajaribu kujibu Aone!
      Wee.. Amepata Izara Kassim Mafuta

  • @abuurayyanimliuka
    @abuurayyanimliuka 4 месяца назад

    Napia sheikh kassimu mafuta haki unaichukuaje kama kama hujaisikiliza?