Majibu ya kielimu kwa Sheikh wa mkoa wa Dar es Salam||Muhammad Bachu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wamwanzo kupata video zetu mpya

Комментарии • 630

  • @ndalusanzekassim5902
    @ndalusanzekassim5902 3 года назад +5

    Mashallah Mwenyezimungu akuzidishie elimu shekh wetu mrithi wa shekh wetu Nassoro Bachu ameen!!

  • @kingkareemtz7991
    @kingkareemtz7991 3 года назад +12

    Sub-hanallah wakati masheikh mlosimama sawa sawa mkipambana kuwalingania watu katika haqqi,
    Wapo wengine wanaojita masheikh mfano wa huyu alhad wakiwarudisha nyuma kwa kupotosha watu,
    Shukran alhabib sheikh muhammad bachu allah akuwafikishe kua macho na kutoyafumbia mambo yenye kupotosha kama haya na wapotoshaji pia,
    bila kujali nyadhifa zao

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 3 года назад +1

    Napenda sana kukusikiliza kwasababiu
    1). Huna jazba umetulia.
    2). Unajua unachokisema.
    3). Unafahamika.
    4). Umo katika kumi bora wangu.
    Maasha Allah. Mwenye Enzi Mungu akupe mwanga utuongoze vizuri tulia baba na Allah yu pamoja nawe. Tunakupenda kukusikiliza kwaajili ya Allah.

  • @aishaallahamsamehemakosaya598
    @aishaallahamsamehemakosaya598 3 года назад +3

    Huyu shekhe mm cina Imani nae tangu aliposema bwana yesu mbele za watu Ila anazid kuendeleza

    • @alimakame9215
      @alimakame9215 2 года назад +1

      Hili shehe angekuwepo mtume lishapigwa upanga

  • @ahmedesmail4488
    @ahmedesmail4488 3 года назад +4

    Subhannallah tatizo kuwapa vyeo watu wasio jijua kiakili kielimu ni msiba wallah mkubwa me naomba bakwata watenguliwe hawa viongozi wateuliwe wengine itasaidia mana ni msiba kwa hawa viongozi wa bakwata

  • @zaitunialli1223
    @zaitunialli1223 Год назад

    Mashaallah Allah ahsante kwa kituelimisha Allah akulipe na akuzidishie ilimu Amiina.

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 3 года назад +7

    Shukran jazakallahu lkhair

  • @abdutv4636
    @abdutv4636 3 года назад +5

    Sheikh wangu ukisikia mtu anajibiwa kielimu na sio kikahawa kahawa ndio huko bhana. Mw/mungu akujaalie kila la kheyr maalim nimekukubali✔👏

    • @saidaly9626
      @saidaly9626 3 года назад

      Asalam alaykum nyinyi waislam wa siku hizi hsmna hikma sio umuite pembeni umfahamishe mpaka mufahamishene hivyo sio vizuru munataka sifa hayfay

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 2 года назад +1

      @@saidaly9626 walyikum Salam akhi unaambiwa ukitoa neno hazarani lisilo faa inatakiwa utubie kwa hazarani kwakua umeshapotosha umma inatakiwa uambiwe hazarani ili dini ya Allah usiichafue

    • @musabashiruhassani
      @musabashiruhassani Год назад

      @@hasaniabdalah6148 unakili

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 2 года назад +1

    Allah akuzidishie Elimu na akupandishe daraja kwa watu kama kina al hadi wapendao sifa na mapambio ya kidunia, الله يطول عمرك شيخ

  • @miirajmohamed6352
    @miirajmohamed6352 3 года назад +6

    Huyu Alhady yupo kimaslahi ya tumbo lake anapotosha umma wazi wazi

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 3 года назад +5

    Shukran shee wang nakupenda kwa ajili ya ALLAH kw kutufikishia hili , Mungu akilinde na akulipe kheir

    • @muhammadmjara6776
      @muhammadmjara6776 3 года назад

      @@Gamba177 usenge wake nini au kwajili yakusema hali

    • @mudysaid1651
      @mudysaid1651 3 года назад +1

      Profesa lipumbu, wewe ndio mjinga lishekh lenu la mkoa linakufuru2 wataka aendelee kupotosha watu wevip, jitahidi jua uislam wako

    • @sophiaomar7034
      @sophiaomar7034 3 года назад

      Ameen

    • @tandalesse4544
      @tandalesse4544 3 года назад +1

      Kwani huyu alotukana hapa ni MUISLAM ama ni #mwana_dini_mseto(#dini_zote ni #sawa)?

    • @tandalesse4544
      @tandalesse4544 3 года назад

      Na #dini_mseto(#dini_zote ni #sawa) ni #ukafiri hata kama kuna baadhi ya watu #dini_mseto ni asbaab za riziki kwa baadhi ya watu.Mjuzi ni الله

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 2 года назад +3

    Tunamuomba Allah Sheikh Muhammad akulinde na kila Shari

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +1

    Shukraan Sana sheikh wetu kwa kutuelimisha maamuma Allah akulipe kila la kher Aamiin

  • @abdulazizhabib4581
    @abdulazizhabib4581 3 года назад

    Jazakallah kheir shekh Muhammad bachu kwa kuendeleza kuelimisha umma wa kiislam

  • @maimyahkassim4299
    @maimyahkassim4299 3 года назад +9

    Mashaalah nassoro bachu kaacha mtoto mwema,allah akujaalie elim zaid ameen,
    Umri mdogo ila busara uliyonayo ya khali ya juu

    • @shukurually8769
      @shukurually8769 3 года назад

      Masha Allah kumbe nimtoto wa hayat shekhe bachu?

    • @ahmednurhussein8945
      @ahmednurhussein8945 3 года назад +1

      Huyu shekhe tumemzoea kwahiyo hatupi shida

    • @ahmednurhussein8945
      @ahmednurhussein8945 3 года назад

      Mara leo naomba dua yakipekee mara haleluya lengo kuwafurahisha waupande wapili

    • @fayeezomary6563
      @fayeezomary6563 3 года назад

      @@shukurually8769 naam

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 2 года назад

      Akumbushwe kama ni wa kurejea atarejea na kama ni wa kupotea atapotea

  • @muhsininatv2092
    @muhsininatv2092 3 года назад +1

    Mungu hujakosea kuumba moto na pepo

  • @fathiyasalim3946
    @fathiyasalim3946 3 года назад +9

    Alhamdulillah Allah amraham Sheikh Nassor Bachoo kutuachia mtoto mwema.

  • @ummesaniyah
    @ummesaniyah 3 года назад +2

    SubhanAllah!. ..sheikh alhadiy strike again...Allah showed the consequences of his mistakes immediately on the spot...the mockery from the christians....he has to be responsible and accountable for this... Either he bring a concrete evidence or make tawbah in public....then he should never be given a chance to speak in public until further notice....
    Jazaakumullah khairan sheikh Bachu... May Allah increases your knowledge and sincerity....

  • @abuunajat4450
    @abuunajat4450 3 года назад +7

    Sema kweli ijapokuwa chungu maashaallah sheikh Mohammad bachu

  • @hanifasilima900
    @hanifasilima900 Год назад

    Mashallah allah akulipe kher kw kuwazindua waislam

  • @hemedmedy693
    @hemedmedy693 3 года назад +6

    A najipendekeza sana kwa wakristo

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 3 года назад +3

    sawa sawa shekhe Muhammad bacho huyu shekhe wenu..atapoteza watu hivi... lahaula subanallah lahaula khatari kubwa. shekhe Muhammad endeleya hivo hivo umti akikoseya Mrakibishe na Mungu atakuhifadh inshaallah kutoka kenya khadija said Nahdi mld

  • @abuujureyj7219
    @abuujureyj7219 3 года назад +1

    Shukrani ya shekh kwa nasaha zako ila
    Samahani nikukumbushe kidogo
    Apo ulipo sema kwamba zambi la kusema au kumsingizia allah jambo la uzushi
    Sasa apo umesema kwamba akuna zambi kubwa zaid ya kumsingizia allah yani zambi ilo linashinda adi shirki apo ningeomba ukapitie tena icho kipande
    Mana hadithi ya bwana mtume(s.a.w) alisema mambi saba yakuangamiza lakwanza kabisa ni (shirki)
    Nakuomba shekh wetu ulipitie tena ilo somo

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 3 года назад +5

    Mashallah Allah akulinde shekhe wetu maana kunaviongozi wadini wengine wapenda ubwabwa

    • @hassanidha3744
      @hassanidha3744 3 года назад

      ruclips.net/video/pstYZAfX2NY/видео.html

    • @kapondamsita476
      @kapondamsita476 3 года назад +1

      @@adamhashim3352 wewe umeelewaje kwan

  • @seremenikibwene8633
    @seremenikibwene8633 3 года назад +6

    Huyu Alhad msa salum Tangu Cku Alipokurupuka ktk Mikutano ya Kampeni Akaomba Dua Kwa Jina la Yesu, Tangu hapo mie Nishamuona Hajitambui, Pamoja na Elimu Aliyonayo,, Ukisikia Wanachuoni Waovu Huyu Yumo.

    • @tahiyaahmed5330
      @tahiyaahmed5330 3 года назад +1

      bro kibwene ni pesa hazina adabu.

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 года назад

      Mmm hata kama sielewi hivyo Sasa acheni husuda za kujifitini kwani kwa kiisilam kuomba Katika Jina la Isa ni haramu? Uni jibu kwani Isa na Muhammad na Musa na wengine hawakutumiwa na mungu kwa mujibu wa Dini yenu ya ki Islam? Mbona mambo ya msingi ham HOJI mnaenda kuhoki kwanini shehe aliomba kwa Jina la yesu mbona hamuhoji huyo mama anaye funika nywele vizuri na kushika msahafu na kuapa kwamba hata toa siri za serkali Kisha Ana zitoa mbona lilo HAMUONI haramu?

    • @twahamohammed5135
      @twahamohammed5135 3 года назад

      Haitakiwi kuomba kwa jina la kiumbe

    • @salehemustaph5487
      @salehemustaph5487 3 года назад

      Uyo ni mfanya biashara na aombe msamaha

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 2 года назад

      @@jenyyusuph4973 usilete hoja isioingia hata akilini suala la dini ni Jambo kubwa Sana dini ni njia iko kwenye masharti yake na dini ya uisilam sio kama dini nyingine unazojua wewe kwamba ikionekana kipengele flani ima kama kinawabughuzi watu wanauwezo wa kubadilisha uisilam umekamilika huuhitaji shekh yeyote aongeze kitu au apunguze

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 3 года назад +1

    Mohammad banchu Allah akuzidishie maarifa na elim kubwa kama ya baba yako Allah amrehem

  • @gweh3144
    @gweh3144 3 года назад +5

    جزاك الله خيراً أخي العزيز الله يحفظك ويبارك فيك وينفع بك
    نسأل الله لنا ولك الثبات

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 3 года назад

    Mashaallah upo sahihi sheikh wetu Muhammad Allah akuhifadh...

  • @Binahmed1234
    @Binahmed1234 3 года назад +3

    Baraka Allahu fiik ammi

  • @maisarahamisimadi2259
    @maisarahamisimadi2259 3 года назад +3

    Shukran Allah awalipeni kwa elimu hi.

  • @mashakalukinda2350
    @mashakalukinda2350 Год назад

    Ahsante shekh nimekuelewa vizuri huyu beans wamkoa inawezekana anajua ila jaa yake ikotumboni katika hayo maneno yake panakitu kidongo huenda dshekh

  • @zahorsuleyman3429
    @zahorsuleyman3429 3 года назад +4

    Jazakallah khayran Akhy

    • @sheykhrocket8702
      @sheykhrocket8702 3 года назад

      Sheykh ametumia hikma ya kutoa watu katika ukafiri .hajasema aleluya ni aya wala hadithi . tatizo liko wape chunga sana ktk ilmu yako .cdini ya ufakhari hii .wanayo sema masheykh nimengi kama una uchamngu katika ilimu yako mbona hupongezi mazuri wanayo yafanya?

    • @zahorsuleyman3429
      @zahorsuleyman3429 3 года назад

      @@sheykhrocket8702 mtetee vizur ebu kaka kasema Mtume aliwakaribisha ktk msikiti wake kw mjadala wakasema halliluu halliluu ndio haleluya ambayo yeye kasema maana yake Laailaha illallah sasa hapo ndio penye maneno atakiwa athibitishe hayo maneno tuache ushabiki tusome haya mambo ya kielimu si mchezo leo mtu kuzuliwa mamaake mkewe au mtu wake wakarib atasema na atalalamika wakat mwengine atamuendea mzushi amtukane ila Mtu akimzulia Mtume Sala na salaam ziwe juu yake watu kimyaa na wakat mwengine wachangie ktk huo uzush tuwe makini

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 2 года назад

      @@sheykhrocket8702 usmtetee kabisa anamengi magumu yasiyo mafundishoni kwetu islam religion

  • @abubakarothmanmbalamwezi3566
    @abubakarothmanmbalamwezi3566 Год назад

    Shekh allah akuzidishie elim na akupe istiqam

  • @tigersterling5417
    @tigersterling5417 3 года назад +1

    Allah akuhifadhi zidi ya watu waovu, tunashukr sana kwa kutupa muaangaza na muelekeyo sahihi. Huyu sheikh wa mkoa wa Dar anapotosha waumini.

    • @tahiyaahmed5330
      @tahiyaahmed5330 3 года назад

      hii noma zaidi ati halleluya ina maanisha laa illaah illa llah. pesa hazina adabu.

  • @kudrahalfan5767
    @kudrahalfan5767 3 года назад

    Mtihani Sana yani Hawa bakwata Hawa.

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 3 года назад +2

    Sheikh upon sawa kabisa, endelea na kazi yako nzuri ya kutuelimisha, hakuna mambo ya kubembelezana katika haki, anae kwenda kimakosa akiwa ni kioo kwa jamii ya ummah wa kiisilamu basi sheikh mporomoshee RADDI ya nguvu.

    • @njiasalamatv4794
      @njiasalamatv4794 3 года назад

      MBONA IKO AYA INAWATAKA WAISLAM KUSEMA MUNGU WENU WAISLAM NA WETU NI MMOJA...
      HILO MBONA NI ZITO KULIKO LA HALLELUYA ? CHUNGUZA KWANZA ACHA CHUKI

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp 3 года назад

      @@njiasalamatv4794 umetoa wap hiy Aya inayosema hivy

    • @lacroquetalacroqueta6813
      @lacroquetalacroqueta6813 3 года назад

      @@njiasalamatv4794 je umesoma ulicho kiandika😄 elimu ni muangaza😍

  • @oman7710
    @oman7710 3 года назад +1

    Shukran sheikh kwa darsa

  • @alisonso4194
    @alisonso4194 3 года назад +1

    Maashaallah Allah akulinde na husda za walimweng🙏🙏🙏

  • @sultansalehe4494
    @sultansalehe4494 3 года назад

    Allah akujaze kila la kheri shekh muhamad bachu uendelee kubainisha haqq na batwil

  • @mgondakisimbo9099
    @mgondakisimbo9099 3 года назад +3

    Hapo tayari anawapa wenzeke mzigo mwingine tena inaa lilaah wainaylah rajiun

  • @faridabdulrahim84
    @faridabdulrahim84 3 года назад +1

    Shekhe Mohammad bhachu umemuelewa VP huyo bwana!wajuwa huyo bwana amewasilimisha makafiri wangapi.nahakusema haleluya MAANA yake ni lailahailla ALLAH BT amesema wakisema haleluya wao watakiwa waseme lailahailla ALLAH.

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 3 года назад

    Mashallah ALLAH BARIIK always my brother

  • @kashaijakana7salum404
    @kashaijakana7salum404 3 года назад +2

    Allah akulinde na akuongoze kjana wetu (Bachu)

    • @ramygichero1016
      @ramygichero1016 3 года назад

      Bachu anakurupuka

    • @kashaijakana7salum404
      @kashaijakana7salum404 3 года назад +1

      @@ramygichero1016 ww ndouna kurupuka kwa kuwa hujui ulisemalo hta

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 2 года назад

      @@ramygichero1016 wewe tunajua unamaslahi na huyo unae msifu lakini kwetu waislamu tunajua kama hatotubia tutaelewa sio mwenzetu ktk dini bali kubwa anamalengo yake anayafanyia kazi

  • @LinusMsimbano-uq1kg
    @LinusMsimbano-uq1kg 5 месяцев назад

    Ila waraabu dahhhhhhh mungu mwenyewe ndio anajua ila ipo siku mpinga kristu atajihidhihilisha

  • @issakhams6995
    @issakhams6995 3 года назад +2

    MASH ALLAH TUPO PAMOJ SHEH WANGU

  • @tandalesse4544
    @tandalesse4544 3 года назад +3

    Huyu #Mwana wa #Sheikh_Bachu(rahimahuLLAH) ni #Sheikh(#Mtu wa #elimu) na #si_mropokaji kama wanavyodai #Salafy_uchwara.

    • @thulaniduku3218
      @thulaniduku3218 2 года назад

      masalafiya jadidah ni vipofu kama alivyo kuwa uyo munafiq anaejiita Sheikh wa mkowa

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah7825 3 года назад +4

    Innalillah wainna ilah rajiuun huyu sheikh ni mtihan sana

  • @mohamedjabirimrisho3587
    @mohamedjabirimrisho3587 3 года назад +4

    Shukran kwa elmu hii. Allah akuhifadh

  • @suleimanmustapha101
    @suleimanmustapha101 3 года назад +1

    Qiul udu3u Allah awi udu3u Arrahman ayya maa tad3u falahu al-asmaau al-husna.

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 3 года назад +1

    Subuhanallaaa ,ao wenyewe makafiri wanamshangaa

  • @ywconline2817
    @ywconline2817 3 года назад +3

    ninachojua mimi Aleluya ukiitafsiri kwa Lugha ya kiirabu ni "alhamd lilah" الحمد لله ayo mengine Mtihani sana penye haki shetwani upavizia saaana labda aojiwe yeye ili tujue alikuwa analenga nini

    • @ummunusaybah1496
      @ummunusaybah1496 3 года назад +1

      Lete ushahid kuwa unalolisema kuwa (haleluya) - ni al hamdulillah

    • @ywconline2817
      @ywconline2817 3 года назад +1

      @@ummunusaybah1496 Kwanza usijekuwa umenielewa vibaya nimesema hivi Aleluya ukiitafsiri kwa Lugha ya kiirabu ni "alhamd lilah" الحمد لله (Kilugha) Si kisheria katika dini ya Kiislam mfano mmoja nakupa katika Uislam Sheria zote zinafatwa kwa Lugha ya Kiarabu lakini ninachotaka ujue si katika Lugha ya kiarabu tu bali katika Lugha ya kiarabu cha Sheria ya Dini ya ALLAH (ndio maana wakati Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) ana telemshiwa Wayhi wapo walisema ni mwenda wazimu, kwa kuwa ALLAH anayajua wanayosema akawataka walete mfano wa kitabu hicho japo Aya 1 lakini walishindwa hali ya kuwa lugha ilikuwa kama yao ya kiarabu (Jibu ni kwamba walishindwa kwasababu maneno ya ALLAH yako katika Lugha ya Kisheria.. Ndio maana nisema Uenda yeye Aleluya aliitafsiri kilugha na si kisheria katika Lugha maana ikitafsiriwa kisheria basi woooote tunakubaliana kuwa anayetaili kuimidiwa ni ALLAH wala si mwinginewe.

    • @farheenmasoudchannel2495
      @farheenmasoudchannel2495 Год назад

      Acha kuketa ukafiri wako maneno yenu ya ukafiri msichanganye na dini yetu nyinyi na sisi n maji na mafuta ya taa kwanza hamna elimu ya lugha ya kiarabu mpaka mkaweza kufananisha ALHAMDULILLAH na neno la kumuasi ALLAH SUBHANAHU WATAALA

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 3 года назад +2

    Naomba profesa mazinge , hebu tuweke sawa haleluya maana yake nn? Huyu shehe wa bakwata anatuzingua. Tumbo bana hatari sana

  • @mohameddossora3926
    @mohameddossora3926 3 года назад +5

    sheikh wangu upo sahih kabisa na Allah atakulipa juu ya elim yako inshaallah lakn tatizo la viongoz wetu ni njaa na tamaa za kidunia mpaka wanajisahau kama kuna moto siku ya kiamah

  • @abdulomar9776
    @abdulomar9776 2 года назад

    شكر ىا شيخ.فتح الله عليك يا ابن باشو

  • @julietmusimbi4388
    @julietmusimbi4388 3 года назад

    Samahani kwa upande wangu mm naona Wakristo na waislamic ni dini za dunia .inafaa tuangalia roho zetu penye zitaenda sisi sote ni wana wa mungu

  • @tahiyaahmed5330
    @tahiyaahmed5330 3 года назад +1

    Allah amuhifadhi mtoto wa bachu rahimahullaahu.

    • @ramathedon4001
      @ramathedon4001 3 года назад +1

      ishalah Allah amuifadhi kwa kila jambo

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад

    Jazakallah hailla.... Kwa kutuelimisha

  • @moasitymemo9894
    @moasitymemo9894 3 года назад +3

    Mashaa Allah tabaraqllah uko sahihi shekhe nakupenda kwa ajili ya الله

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 года назад

    Allah anisamehe wallah uyu Shekhe Alhadi Musa anitia dhambi sana maana namchukia tangu siku ile ya uchanguzi mkuu 2020. Sijui nani kampa uongozi uyu baba.

  • @alqurankareem5151
    @alqurankareem5151 3 года назад +1

    SubhanaAllah SubhanaAllah

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 3 года назад +3

    Asalam Alaikum. MashaaAllah. Fajazakumullah khairan

  • @enuelabunimkali9529
    @enuelabunimkali9529 3 года назад +2

    Halilu halilu jina la bwana mungu lihimidiwe!!!

  • @raymondsaliboko8435
    @raymondsaliboko8435 Год назад

    Shehe wew muongo, usichukie dini zingine,mungu nimmoja,, nisawa kwamba unatuma luga mbimbi,kiarabu na kiwahili ndokusema mungu usipoongea kialabu mungu hayupo,au apokei Dua?

  • @asimirimubarackademba4624
    @asimirimubarackademba4624 2 года назад

    Subuhana Allah
    😭😭😭 Uyu nimkosevu
    anafanya ivi iriawe karibuna manaswala
    Wakristo wakiwa kanisani wanaimba hareruya hareruya ukuwakipiga magoma yao kwaiyo sahii kumtaja Allah ukumagoma yakipigwa?
    Uyu shekhena afai atakurumagia

  • @zubedasoud9204
    @zubedasoud9204 3 года назад +5

    Uyo shekh wa mkoa ndo tabia yake imekuwa nakumbuka aliwahi kuapa kwa JINA LA YESU. Mie sina imani nae uyo shekh.

    • @thulaniduku3218
      @thulaniduku3218 2 года назад

      Utakuwa na imani na murtad Kweli awezi kuwa na imani na murtad

  • @AbuMuhammad
    @AbuMuhammad 3 года назад +1

    Uchambuzi wa hali ya juu...safi kabisa...raadi yenye adhabu

  • @bagokashaidu5431
    @bagokashaidu5431 2 года назад

    Shukran.Umefikisha kadri ya uwezo wako

  • @khalifakatobo4184
    @khalifakatobo4184 3 года назад +3

    Mashaallah, MUNGU akulinde, wew ni shekh mkubwaa saaanaaaa

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Год назад

    Uyu shekhe wa mkoa kidudu mtu mgombanishi fitna mfitinishi, c zani ata kama Mwenyezi mungu mwingi wa Rehma ameeka pepo kwa mashekhe kama awa

  • @king-uw8ju
    @king-uw8ju 3 года назад +1

    Inallillah wainaillah rajiouna

  • @yoramabubakar8012
    @yoramabubakar8012 2 года назад

    Allah akuhifathi shekh

  • @khamisptrany9393
    @khamisptrany9393 3 года назад +3

    Redi na jawabi la kielimu litatoka kwa mwenye elimu sio watu wa fitna kama wewe na wenzako mawahabi

  • @salumkikambaa1767
    @salumkikambaa1767 3 года назад

    Jazakallah khair

  • @moanamohammed1406
    @moanamohammed1406 3 года назад

    Masha Allah sheikh wetu jazakallahu khaiyra

  • @SHOLLAH804
    @SHOLLAH804 3 года назад

    Fact sahihi صاحيح

  • @shekheshabanipembe9564
    @shekheshabanipembe9564 3 года назад

    Mdogo wangu Muhammad bachu umevamia ushekhe kwa pupa sana.kila darasa zako unazotoa unakosoa mashekhe na kutafuta wapi wanakosea.
    Wewe ni fresh from school kwaiyo wacha mihemko katika dini. Usitafute umaarufu kupitia makosa ya wengine. Makosa uliyonayo wewe kwenye elimu nimakubwa mno. Ukitaka watu waanze kukuchambua utakuwa umedhalilika .acha kuchafua brand za mashekhe

    • @mikidadihussein5152
      @mikidadihussein5152 3 года назад

      Mtume alisha SEMA zitakuja zama ambazo mtu atakae simamia haqi katk elimu ataonekana hafai kwanin shekhe alhad Musa awaambie watu swala ambolo halijathiti kwamjibu wasuna wa aya ya Qur'an

    • @salmaiddi1527
      @salmaiddi1527 3 года назад

      Yani wewe ndio walewale huna lolote haja kurupuka huyo amesoma na mtoto wa shehe ni shehe wewe unaona hapo ni sawa hamtuburuzi tena na kutudanganya allah amuweke na amlinde na husda za watu kama nyie amiin

  • @yasertaleb4162
    @yasertaleb4162 3 года назад

    Haleluya Ni Ki ibrania Maana Yake Ni (Yaaa Ilahii Au Laillah illah ) Sheikh unatutia Aibu sasa ujuaji uwoo ( Soma Sana sheikh kabla ya kuzungumza)

    • @mohamedmaulid6011
      @mohamedmaulid6011 2 года назад

      Iyo sio maana yake usifate mkumbo haya mambo ya kielimu

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 3 года назад +2

    Salallahu Alaihi Wasalam

  • @hemedmedy693
    @hemedmedy693 3 года назад +1

    Anapenda kuonekana mwema kwa wakristo

  • @aminadima5530
    @aminadima5530 3 года назад +5

    Nakupenda kwa ajili ya allah allah akuhifadhi

  • @momatv2019
    @momatv2019 3 года назад +2

    Huyu jamaa wakati wa kampeni aliomba dua kwa jina la YESU

  • @minaniramazani6974
    @minaniramazani6974 3 года назад +10

    ALLAH akujaliye kaka yangu uweunazidi kukosowa wajinga uyo mkuwamkowa ni mnafiki sijuwi a nataka kurizicha namfsi yanani magufuli kicha tanguliya mbeleyahaki yani nimjinga kweli kweli

    • @fey-oq4ro
      @fey-oq4ro 3 года назад +1

      Hasbiyallahu waneemal wakeel Gaidi mama yako Na mutakwenda kunyea Jahannama sio ndoo ya duniani iweje sote tutakufa Na chuki zenu dhidi ya waislamu zitakuponzeni mbele ya Allah ngojeni mufe ndio mtajua kwa yakini

    • @ramathedon4001
      @ramathedon4001 3 года назад +1

      @@fey-oq4ro swadacta

    • @ummunusaybah1496
      @ummunusaybah1496 3 года назад

      @@Gamba177 we akili yako iko wapi?

    • @fayeezomary6563
      @fayeezomary6563 3 года назад

      @@Gamba177 huyu ni mt mwem

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 3 года назад

    Ajabu sana wallahi huyu Sheikh ywapnda sana kuwafurahisha manasara

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 3 года назад +1

    Mashallah simama hakki

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 3 года назад +1

    Subbhana Allah , hii hatari sana ,

  • @yusufbaraka7762
    @yusufbaraka7762 Год назад

    Tutaskia mengi, yaaani munguanawaona nakeshotutarudikwake mtaulizwa mnavoidhalilisha diniyake

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 3 года назад +1

    Waalaikum msalam Warahmatullah Wabarakatuh

  • @husseinkakanga4082
    @husseinkakanga4082 3 года назад +1

    Hata Mimi si mjuzi saana lakini nilijua shekhe wetu wa mkoa alikosea.

  • @mrishokalamba
    @mrishokalamba 3 года назад +1

    Innalilah wa Innalilah Raajiuni

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 3 года назад +2

    Sheikh umeongea vizuri sana wenye Akili tumekuelewa sana. Yaliyosemwa ni makosa Makubwa mbele ya ALLAH na hata ktk Umma wa kiisilam lbd kwa wasiojitambua. Shukuran kwa kurekebisha na kuelimisha Umma wa kiisilam. M'mungu akuzidishie kheri nyingi inshaAllah.

    • @sarachondoma5773
      @sarachondoma5773 3 года назад

      Mipovu inawatoka , mtakufa midomo wazi na mipovu yenu mdomoni maamuma ninyi

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 2 года назад

      @@sarachondoma5773 tunawajuwa tushaelezwa na allaah kuhusu kutorizia haya ya haki mpaka mfuatwe kwenye mila yenu kama shikh wenu mnaempenda na anewaridhisha nyinyi badala amridhishe mola wake

  • @adnanidarous3117
    @adnanidarous3117 3 года назад +4

    Subhaana allah dah mpuuzi sana uyu mdaresalama nd hana hadhi ya kuitwa Sheikh 🤬

    • @mohammedhamad5297
      @mohammedhamad5297 Год назад

      Hyu ndio kiongozi mashallah ndio mtoto washekh Marhum Bachu uko vizur mashaallaah

  • @ywconline2817
    @ywconline2817 3 года назад +4

    Alafu kingine waislam tunakuwa wanafiki yaani wewe shekh kila siku unaamka unaswali na makanisa yametuzunguka tunawasikia kila siku makanisani wanafanya kufuru Je ushaenda kuwaambia hao wakristu kuwa wafanya kufuru???????????? Lakini subhaanallah Leo wakitokea wakufanya jambo hilo basi nyie mwasubiri makosa tu!!!!!!?

    • @sadamuunyayo2195
      @sadamuunyayo2195 3 года назад

      Kwani wao c wanajulikana kua wamepotea tu sasa hapo anaeelimishwa muislam acwaige hao maana atapotea nae na kuwapoteza wengine.

  • @moodyhassany8928
    @moodyhassany8928 3 года назад

    Mtihani sana shekhe wa mkoa dini anaichukulia kma huyaudi

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 3 года назад +3

    Shukrn sheikh Mohd nassor Bach. Kw darsa...
    Huo ndio ukweli

  • @shekhally5741
    @shekhally5741 3 года назад +10

    Huyo shekh kashazoea kupotosha umma akipewa nafasi kwenye mikusanyiko ya kikanisa na akirekebishwa huwambisha lkn Allah anamuona anavyo ichezea dini yake

    • @hassanidha3744
      @hassanidha3744 3 года назад

      ruclips.net/video/pstYZAfX2NY/видео.html

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 3 года назад +1

      Kweli na hana sifa ya kua mufti hyo kwli mufti miongoni mwa mufti nawapa pole wenye mufti huyo

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 3 года назад +6

    Shekhe kazinguwa kwann isiundwe timu ya kumchunguza huwenda akawa siomwenzetu nakumbuka alishasemaga bwanayesu asifiwe isijekuwa tunaongozwa na kirusi

  • @masterdolphinclub7996
    @masterdolphinclub7996 3 года назад +3

    Mjadali ulikuwa mzuri lakini sheik mkuu wa mkowa ndio aliharibu kwa maneno yake yasiokuwa na elimu,Tumegunduwa kuwa yeye ni mchache wa elimu ,hafai kuwa kiongozi, afadhali mtoto mdogo ni Bora kuliko yeye

  • @ahmedmalick2862
    @ahmedmalick2862 3 года назад +1

    Mashallah sheikh allah akuhifadhi uzidi kuitetea dini ya Allah

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed3437 3 года назад +2

    Huenda pia atakanushwa na wakristo wenyewe hiyo haleluya kuwa ni laa ilaha ila llah.
    Ngoja tusikilizie

  • @minahadi2190
    @minahadi2190 3 года назад

    barakAllahu fiyk sheykh