NUKTA 19 ALIZOTOA SH MUHAMMAD BACHU NA JINSI ZILIVYO JIBIWA NA SH SABAS ALKUBRAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 июл 2023
  • #Tafadhali_gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Комментарии • 655

  • @salimmohamed6223
    @salimmohamed6223 9 месяцев назад +5

    Assalam Aleikum shk wetu Mohamed Bachu..ulipokuja Mombasa wakakufanyia vitimbi na ujanja Masheikh wa twarika naomba utafute siku live ..uwaelimishe umma urongo ulioko kwenye barzanji

  • @mishiali1574
    @mishiali1574 11 месяцев назад +7

    Mohammad bachu shukran kwa elmu yako Allah akuzidishie

    • @muhibbualii4580
      @muhibbualii4580 10 месяцев назад

      Masikitiko watu Wanamsifu mtu anayejiita mwenda wazimu na mropokaji

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 11 месяцев назад +3

    Tumeelewa haq sheikh bashu Allah akuhifadhi, sitaki tena maulidi

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma2941 Год назад +5

    Allah akuhifadhi Muhammad Bachu

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Год назад +10

    Akika namimi nimepata kubaini kuwa Maulid ni uzushi urojaa Shiriki kwakweli Allah atuzidishie Elim ya kujua haki kuwa ni haki na atujarie kuzifuata..

  • @qhatramohamed7006
    @qhatramohamed7006 Год назад +14

    Mashaa-Allah Allah akuhifadhi sheikh Muhammad nasoor bachu

  • @user-bk8ps2vy3z
    @user-bk8ps2vy3z 11 месяцев назад +4

    Masha Allah mungu akuzidishie ilimu

  • @sameersaid5058
    @sameersaid5058 Год назад +5

    Duh Muhammed Nasor Allah akuhifadhi na Allah asinifishe mpaka nihydhurie mawaidha yako. Life. ALLAH akupe kila unachohitaji ili uzidi kutufundisha. Ameen 🤲

  • @sempaysensey6486
    @sempaysensey6486 11 месяцев назад +6

    Kuanzia Leo Allah niongoze Mimi na waislam wenzangu nimeelewa maulidi hayana mashiko

  • @fadhiliharuna3934
    @fadhiliharuna3934 Год назад +8

    Allah akuhifadhi shekh Bacho

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7w 10 месяцев назад +1

    Mashallah Allah akuhifadhi sheikh Muhammad bachu

  • @ravneetakbarkhan9534
    @ravneetakbarkhan9534 Год назад +3

    Baraka llah sheikh Mohammed bachu, umenyoosha vizuri sana.mash'allah

  • @Mina-rb8kx
    @Mina-rb8kx 10 месяцев назад +1

    Allah akuhifdh sheikh Muhammad bachu Amiin

    • @muhammadsheyba282
      @muhammadsheyba282 10 месяцев назад

      Ashaogeshwa na kijana wa ligi ya daraja la 3
      AIBU kubwa
      Na wafuasi ni watu majuha ambao hawakumaliza hata Juzuu Amma

  • @AhmedAli-ur3uc
    @AhmedAli-ur3uc Год назад +3

    Nilijuwaaaaa mwanzo hawaaa ropooooooo hawamuweziiiiiii shekhe bachuuuu uko vizuriii Mashallaah

  • @user-zu4nn5lc7f
    @user-zu4nn5lc7f 11 месяцев назад +2

    بارك الله فيك يا شيخ ابن الشيخ

  • @AishaSaidi-vv5do
    @AishaSaidi-vv5do 9 месяцев назад +1

    Nakuelewa sana shekhe bachu mungu akupe Kila hitajila moyo wako

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 Год назад +3

    Mashallah,hawa hawamuezi sheik bachu hata wakiungana....tunataka mwalimu wa sabas (diwani)atoe majibu.

  • @user-zs4vo7hs1h
    @user-zs4vo7hs1h 10 месяцев назад +2

    Allah akuhifadhi

  • @bakarijuma8697
    @bakarijuma8697 Год назад +6

    MAASHAALLAH shee Muhammad Allah akuhifadhi

  • @user-xw9om3mv7y
    @user-xw9om3mv7y Год назад +13

    Muhammad bachu muonee huruma please hakuwezi uyoo kibonge majoho

    • @cholosadi4352
      @cholosadi4352 Год назад

      Majoho🤭🤣

    • @jaylan-bz4dg
      @jaylan-bz4dg Год назад

      Unafika mbali usiseme hivyo kijana Tyr umefanya Kosa jitahidi kuomba radhi endapo mwenyewe hajapitia tu comment yako tyri una kinyama mdomoni

  • @abdulhaleemrashidmarjan8607
    @abdulhaleemrashidmarjan8607 Год назад +5

    Sawasawa ustadh sabbas alkubrah mungu akupe kila la kheri

  • @mruppercut7985
    @mruppercut7985 9 месяцев назад

    Mohamed Bachu, ALLAH akuhifadhi wanangu wakudiriki wasome kupitia kinywa chako.. baaraka llahu fiika

  • @user-ce1sp6tu2m
    @user-ce1sp6tu2m Месяц назад

    Alhamdulilah shekhe nakuelewa.sana

  • @nassorokusyoka
    @nassorokusyoka Год назад +4

    Sub hanallah.
    HIYO ni bid'a

  • @kaykastro9302
    @kaykastro9302 Год назад +6

    Ustadh Mohammed bacho" Mashallah Mungu akuhifadhi na Akuzidishie elmu. Ameen.
    Sasa huyu ustadh makoja amesoma barzanji maisha yake yote sasa asema "Mush maakul" kuwa ni imposible kukishambua kitabu anakisoma na kukifata maisha yake yote 😂😂😂😂😂😂😂.
    Alhamdulillah kwa Ustadh Mohammed kufikisha ukweli sehemu nyingi duniani leo. Allah Atakulipa kwa mingi Mema. Ameen

  • @mubaarakmakiin8748
    @mubaarakmakiin8748 Год назад +5

    Mashallah kwanza niseme mimi nimeangalia video hii sio kwa ushabiki bali kupata elim zaidi Sabasi yuko vizuri katika fani ya lugha Alhamdulillah ila kwa hoja hawezi kuzipangua bila ya yeye kutoa maneno ya kujilinda zaidi na bachu nimjuzi Alhamdulillah ila ana kaujana zaidi
    Kubwa elim imefika naimani wapo wale walio kama mimi

    • @swalehemusakiluwa9405
      @swalehemusakiluwa9405 Год назад +2

      Lakini hajajibu hoja hata moja hata huo ubeti aliochambua kwa maana hiyo alioitoa bado atahitajika kutoa ushahidi ili hayo maneno yasiwe ya uongo. Nakusudia maneno yako kwamba tafsiri ya beti ni
      Ilimhudhuria mama yake usiku wa kuzaliwa kwake sharafu ya Asia na mariamu,,
      Alete dalili inayothibitisha haya

    • @abdukhan4718
      @abdukhan4718 Год назад +1

      *kaka mimi nimesikiliza na nikaona kuna vitu 2 vikubwa*
      1)Wanaotafsiri kwa kutumia Msimamo wao wa Akida basi barzanji ina uongo
      2)Wanaotafsiri kwa kutumia utalaamu wao Lugha..
      Basi barzanji haina uongo.....
      NB..
      Mashairi hayawezi kutafsiriwa kwa lugha tu yakawaida..
      KWAMFANO...
      v Hollow heads torture me with ignorance, v Blind eyes harass me with darkness, v Deaf ears tire me with silence, v Dumb voices deafen me....
      HILI SHAIRI UKILIFSIRI UNAVOTAKA WW HUTOPATA MAANA HATA SIKU MOJA...
      LAZIMA WATALAMUNWA LUGHA WAKUFAFANULIE

    • @swalehemusakiluwa9405
      @swalehemusakiluwa9405 Год назад

      @@abdukhan4718 hata ukitafsiri kwa mujibu wa kanuni za lugha kutahitajika kuleta ushahidi kuthibitisha kilichotokea wakati huo
      Kwa mfano huyo sheikh sabas hiyo beti alioitaja kakosoa kwamba kilichohudhuria ni sharafu na wala sio Asia na mariamu bado atahitajika kuleta ushahidi kuyathibitisha hayo akikosa ushahidi ndio ataambiwa huo ni uongo

    • @mubaarakmakiin8748
      @mubaarakmakiin8748 Год назад

      @@swalehemusakiluwa9405 kwakweli inatupasa kuomba Allah atupe miyo wa kukubali ukweli pale tuusikiapo maana ningum kubadili msimamo wako ispokuwa mpaka taufiq ya allah

    • @shamisahmed4806
      @shamisahmed4806 Год назад

      ​@@abdukhan4718..Maulid ni maandiko ya kilugha zaidi kuliko akida...!!
      Lugha ya kiarabu ni bahar kubwa inataka uwe mtaalam wa kweli ndio utaweza kupiga Mbizi!!

  • @fahadtimimy9413
    @fahadtimimy9413 Год назад +3

    Sheikh bachu Allah akulinde

  • @user-sg2yj1of4t
    @user-sg2yj1of4t 11 месяцев назад +3

    Allah atuifadhi sote

  • @user-lg3iy3ee9r
    @user-lg3iy3ee9r 9 месяцев назад +1

    Mohamad nacho Allah akuhifadhi

  • @allyfundi6405
    @allyfundi6405 Год назад +1

    Sabbas Allah akulinde huwez ielewa baranji Kam Elmu ya fanni huna bachu kibri ndo linasumbua Hana kitu kichwani mchanga mtupu

    • @hajikatanje5961
      @hajikatanje5961 8 месяцев назад

      Wewe pia huelewi bacho ameuliza na maswali alio uliza dalili zake walizotoa wapi huyo shekhe wako anatoa uchambuzi wakiligha kwa hiyo wewe umelewa nini au umemuelewa katoa dalili gani kwenye hadithi au qurani

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr Год назад +3

    Shukran Sheikh Muhammad Bach nimepata elimu kutoka kwako daah sasa nimekuelewa barazanji ni kitabu mtihan sana duuuu

  • @SeaPower-pu1mq
    @SeaPower-pu1mq Год назад +5

    Shekh Muhammad Allah akulinde
    Kiukwel unatutoa matongo

  • @ramiyam-lr8bv1um2g
    @ramiyam-lr8bv1um2g 2 месяца назад

    Masha Allah il kua na hikma zaid

  • @saidjumaabdalla1789
    @saidjumaabdalla1789 Год назад +4

    Mashaallah mungu akuhifadhi sheh muhammad nassor bachu

  • @user-bm4pi8dd3o
    @user-bm4pi8dd3o Год назад +6

    MAA shaa allaah siku zote haqi itabaki kuwa juu tu vyovyote vili itakavyo kua allaah akuhifadhi Muhammad bachu

  • @MohamedMatata-iu9mm
    @MohamedMatata-iu9mm Год назад +2

    ALLAHMDULILAH BINIIMATI ELLM FI ISLAM .HII INAONYESHA HAKIKA YA UWISLAM NIDIN YA ELM NA BAYANA NA YAHOJA HAKUNA UJANJA UJANJA ALLAH AWAHIFADHI WOTE WALIO ANDAA MUNAQASHA NA WALIO SHIRIKI NA SSI ALLAH ATUONGEZEE ELIM.ALHAMDULILAH BINIIMATI ISLAAM .

    • @officialmutrahlg2484
      @officialmutrahlg2484 Год назад

      Sheikh Allah akulinde comment yako imejaa busara mashallah ❤ nimefurahi kuyasoma maneno yako mazur yalio jaa busara Allah akuongoze katika kheri

  • @user-we5se2bb6l
    @user-we5se2bb6l 9 месяцев назад +1

    Maashallah allah akudumishe hapo hapo kwenyeukweli

  • @dalilahathman5406
    @dalilahathman5406 9 месяцев назад +1

    Tungeomba sheikh bachu atuelimishe sisi. Ili tufahamu tuepukane na bidah
    Wale ambao wanahaja ya kujuwa watajuwa hawataki huwezi kuwaongoza wewe
    May Allah bless you

  • @user-ov7pj3sm7x
    @user-ov7pj3sm7x Год назад

    Allah atuifadhii jamn haki mwenye macho aiyone

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 Год назад +4

    Sabas na nduguye hawataweza kujibu abadan maswali hayo zaidi yabkusema majazi na majahazi na hapo wapo kiubishi tu. Ni kama yule jamaa alikuwa mbishi sana na alipokuwa na mwenzie wakaona kitu kinatingisha mti. Mwenzake mwenye elimu akasema yule ni kunguru. Yule mbishi kama akina Sabas akasema huyo ni mbuzi mara mwenye elimu akamwambia twende mpaka karibu aakamuona ni kunguru lakin mbishi huyo akasema bado ni mbuzi. Mwemye elimu akasema tazama narusha jiwe halafu utaona anapaa aliposhika jiwe tu kunguru akapaa. Mbishi akasema "hata kama kapaa ni mbuzi tu" na hasa ndio Sabas na Yuusuf na hapa umedhihiri kabisa ubishi wao ambao hauna mashiko anawababaisha wasojua mudhwaafu, jarri na mengineyo kujifanya wanajua kiarabu ili kuzuga

  • @fardosfardosmohamedhallim6985
    @fardosfardosmohamedhallim6985 Год назад +3

    Mashallah Ibnu bachu

  • @selemanealmasse6276
    @selemanealmasse6276 Год назад +4

    yale yale!
    wenzeto pia huwaga wanakimbilia kusema, ''uwelewa au imani ndgo'' wakishindwa kutetea hoja zao. utasikia, ''hawezi kuelewa mpaka uwe na roho ntakatifu'' kkkkkkk. ukweli ukifika uongo wajitenga. allah akuhifadhi sheikh Muhammad Bacho.

  • @hamisimwagarashi9501
    @hamisimwagarashi9501 Год назад +5

    ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA

  • @arifashur5313
    @arifashur5313 11 месяцев назад +2

    Masha Allah
    ❤❤❤❤

  • @abuhafs4774
    @abuhafs4774 Год назад +4

    Kitu nlicho kisoma hapa kwa masufi au watetezi wa maulidi ya baraza la nje nikua SABASI amekuja kujionesha ujuzi wake wa lugha kwenye fani ya nahau na balagha lkn ELIMU IMANI NA AKIDA na KUJIBU HOJA hana kitu ni mtupu wallaahi

  • @athmandaba1420
    @athmandaba1420 11 месяцев назад

    Maa sha ALLAH....ndio wengine wamepata taarifa kuhusu kupinga kwako barzanji,wanakutaka kwa munaa qasha!...ukweli upo waje wajitetee nasi tujuwe haqq!!!!

  • @anwarahmed3267
    @anwarahmed3267 10 месяцев назад

    Tarehe 24/9/23 Msa kenya.wale wote wanatilia maulid nabii shaka na kupotosha ummah kwa chuki zao zakibinafsi dhidi ya Bwana mtumi Muhammad(S.W) inshaAllah hio siku hakki itasimama kwa uwezo wa Allah aingushe hii ngome ya upotovu na imani zao za kugawanya waisilamu,inshaAllah kila mmoja atashuhudia ili iwe manufaa kwa waislamu wote.

  • @nasraabdallah
    @nasraabdallah Год назад +5

    Mwamba uyuapaa bachu mtoto🦁🦁🦁

  • @user-ng4pr2zo8i
    @user-ng4pr2zo8i Год назад +3

    شكرا

    • @DawsonKiwia-qt6zf
      @DawsonKiwia-qt6zf Год назад

      Mtume saw amesema nimekuachieni vitu 2 qur'ani na khadithi mkishikamana navyo hamtapotea. Je wapi kasema pia watu wa sheria?

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 Год назад +36

    Binafsi sio mfuasi wa mambo ya maulid, lkn kuna vitu nahisi havikuwa sawa katika huu munaqasha
    1. Muda nahisi ulikuwa finyu japo watu walitamani Uwe mwingi
    2. Baranji ni kitabu chá fani Za ushairi hivyo wahusika wote ingependeza kuwa na maarifa katika fani Za aarudhwi
    3. Wahusika wamekuwa na muono usiofanana kwenye kijadili jambo hili mmoja anatumia kanuni za kiaqida na mwengine anatumia kanuni za lugha zaidi kufafanua makusudio ya muandishi wa barazanji..
    Ushauri wangu: Niqash ismamiwe na watu waliokusanya fani nyingi ikiwemo Za kilugha na kisheria na muda uongezwe kwa wakati mwengine

    • @swalehemusakiluwa9405
      @swalehemusakiluwa9405 Год назад +3

      Yani hata tukikubaliana na sabas bado atahitajika kuleta dalili juu ya huko kuhudhuriwa na sharafu hiyo

    • @maulidmnukwa3171
      @maulidmnukwa3171 Год назад +5

      @@swalehemusakiluwa9405 ndio hilo nnalolisema ndio maana mtu Kama Sheikh qaasim mafuta katika minaqasha Kama hii huwa anafaida nyingi saana kwasababu amekusanya fani nyingi kiasi ambacho anaweza kuyaswarif mambo hata kwa mujibu wa hizo fununu na watu wa lugha Waka kaa chini

    • @swalehemusakiluwa9405
      @swalehemusakiluwa9405 Год назад +1

      @@maulidmnukwa3171 hakika Qasim mafuta katika fani yupo vizuri mno

    • @SaidshariffShariff
      @SaidshariffShariff Год назад

      Ndio mana haeleweki walikuwa wakitungie pluuz wapige na piano watutumbuize

    • @user-ur4sf5dz1x
      @user-ur4sf5dz1x Год назад +4

      We nan umkosoe mwanawachuoni huo
      Kajitaidi kwa uwezo wake mpka anatunga kitabu cha mashairi ambacho ni hicho barazanj
      Tunga chako japo cha karatasi 10 ndo mkijadili bhanaa acheni izo na makafiri nao wafanye nn jamaniii😭😭😭

  • @halimaosmanmahando7793
    @halimaosmanmahando7793 Год назад +6

    Ukweli nimeusikia sitaki moulidi tena 🙏

  • @abdulshah918
    @abdulshah918 Год назад +5

    Bachu mimi mbona nimekuelewa? Allhamdulliah mungu akulinde

  • @abdilahijuma3373
    @abdilahijuma3373 11 месяцев назад +2

    Tatizo nimekuja kugundua humu watu wengi mmejibu bila kuwa na elimu mko kishabiki sasa watu tupige goti tusome lugha sanaaah Insha’Allah

  • @yussufykhamis5845
    @yussufykhamis5845 Год назад

    Nassor Bachu ana porojo. Kiarabu hajui vizuri anatafsiri km mtu wa kawaida sio km mtu mwenye elimu. Baranzi kimesheheni elimu ya lugha

  • @RamadhanMakame-ke4cf
    @RamadhanMakame-ke4cf Год назад

    Waislam barazanji haitafsiriwi kwa maoni ya ushabiki tu hata wakristo hujenga hoja kwenye kuraan jee nao tutawafuata ni vyema tukashikamana kuliko kuubomoa uislam wetu nyinyi mashekhe mtaenda kujibu mbele ya mungu kwa mifarakano mnayoileta kwa waislamu

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Год назад

      Mfarakano gani huounaouzungumzia hujuwi haya mambo yametugharimu maisha kuwa magumu kwa sababu ya michango ya maulidi huko vijiji watu wanalazimishwa kutoa kwa ajili ya kusoma maulidi 😅😅😅

  • @user-ig2td7kk6c
    @user-ig2td7kk6c 13 дней назад

    شكرن جزيرا

  • @user-lz3cc1pe6x
    @user-lz3cc1pe6x Год назад +36

    toka leo sitaki maulidi tena kweli mtoto wa bachu

  • @alawiashrack8482
    @alawiashrack8482 Год назад

    Marhabaaa shekh sabbas uyo sw sw na ziro hn ilmu huyoo anajua hamluu maana yke ni kuzaa nakwambieni umoo hmn kituuu

  • @user-sk3rl9wh6n
    @user-sk3rl9wh6n Год назад

    Mashaa allah shekhe sabas amezama Sana Allah amuifadh

  • @babinhoelninho5416
    @babinhoelninho5416 Год назад +5

    Wacheni hoja kama makristo kusema Isa ni mwana wa mungu au mungu.sabas hakujibu hoja

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Год назад

      Wewe majini yamekupanda kichwa hunaingizaje wakristo hapo kwenye matakataka yenu?

    • @dil8566
      @dil8566 11 месяцев назад

      @@prochesernest5439 nyie kwani mnafata ushahidi zaidi kila mtu ananyiamulia kufanya basina kuzingatia maneno ya m.mungu na mtume

  • @fathiyamohame6919
    @fathiyamohame6919 Год назад +3

    Mash allah keykh bachu

  • @allylongochy5204
    @allylongochy5204 11 месяцев назад

    Allah akbar

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 Год назад +9

    Sabbas nenda ukasome kwa dogo huyoo, atakuumbua. Humuweziiii abadan. Cc tuliokuwa hatujasoma tumeelewa vya kutoshaa. Jafar ameyapata wapi maneno hayo??? Au ndio majazy???

  • @abdulmapunda156
    @abdulmapunda156 Год назад +2

    Sheikh Bachu umewanyosha vizuri ,hakuna hoja iliyojibiwa ni ujanja ujanja tu

  • @selemanisalumusalumumarko1274
    @selemanisalumusalumumarko1274 Год назад +5

    Jamani kuanzia leo nimekoma staki tena maulid maana du tumedhalilika leo hatujajibu hoja ya bacho ila bacho punguza kidogo ujana

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 9 месяцев назад

    Kwa kweli barzanji ni elimu bahari imetumika. Mpaka uwe msomi sana utaelewa

  • @maimunashariffathman2073
    @maimunashariffathman2073 9 месяцев назад

    Bachu usittumiwe kwa kua una ujasiri
    Nenda nasome zaidi , maana ujasiri plus ilmu ya kisawa sawa hua jambo jema sana
    Ndugu yetu katika uislam tunakusihi sana urudi ukasome zaidi

  • @JumaOmar-lj9yh
    @JumaOmar-lj9yh Год назад +6

    Mtihani mkubwa huu Yeye Jafary barazanji aliambiwa na nani hayo

  • @HarunaHeri-rl6yn
    @HarunaHeri-rl6yn Год назад +1

    Nimekubali mhamad bach

    • @shamisahmed4806
      @shamisahmed4806 Год назад

      Umemuelewa Bachu kwa sbb yeye katafsiri tu kiarabu cha mashairi ya Barzanji lkn huyu Sabas yeye anafafanua kwa fani ya lugha ndio mana humuelewi!!
      Mfano wake ni kama kumpa Paper ya mtihani wa chuo kikuu mtoto wa darasa la pili...ndio mana humuelewi!

  • @MwamediMahobela
    @MwamediMahobela Год назад +3

    Kwakweli shekhe sabasi mm natoka kigoma umetuabisha ukujibu hata hoja moja unatoa maelezo ambayo hayana dalili sijui kwa nn nawakati ww ulisema utazitafuna hoja Kama njogu imekua kinyume sasa unajikanyaga

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai1357 Год назад

    Mtt Wa bachu bado sn uje nikusomeshe barzanji ni mufti huwez kushinda na hoja zke hajakosea Huna elimu ya kumrekebisha Barzanji ht sku moja km muongo tunga ht karatas moja tu tukuon km Utaweza Allah atakuongoza huwez kuwa walii km humpend mtum saw

  • @bishingwemaxime3655
    @bishingwemaxime3655 Год назад +2

    Huyu sheikh sabas alkubra yuko vizuri mashallah

    • @grexrabon9938
      @grexrabon9938 Год назад +2

      Sabasi anakimbilia kuporoja kwenye lugha wakati vitu viko wazii

    • @amuraneibrahim2776
      @amuraneibrahim2776 Год назад

      Sabasi nini jameni kua Muhammad bachu huyu sabas mtu wad a tu

  • @abubakarmwasumilwe7070
    @abubakarmwasumilwe7070 Год назад

    Bachu wallah mie npo Mkowa wa mbeya ila nakuelewaga vzr ustadhi wng

  • @LailatSleyoum-ex6rb
    @LailatSleyoum-ex6rb 10 месяцев назад

    Mnataka kukosowa lakini elimu na hekma ya ufundishaji hamna nimesikia neno uongo mara mia na jazba nyingi hiki ndio tunachowazidi sisi mnaotuita suhfi maana tumejaaliwa busara na hekma nyinyi endeleeni na jazba na matusi Mungu pekee ndio anajuwa alie sahihi ila jazba hazituingii sisi tuliosomeshwa na wenye busara

  • @swalehahmad8947
    @swalehahmad8947 Год назад

    MASKINI MUHAMMAD BACHU SHARTI ULOIWEKA YA KUTAKA NA KULAZIMISHA HADITHI SWAHIHI KATIKA MAMBO YA SEERA NA MAGHAAZY NA MANAAQIB UMEJIFEDHEHESHA UJINGA WAKO UMEJITOKEZA DHAAHIR SHAAHIR

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587 Год назад +3

    Majoh yabure2 umeva aybu

  • @mabubakar1076
    @mabubakar1076 Год назад +2

    AMR ya ALLAH ISHAKUJA???.

  • @Chalazatz
    @Chalazatz Год назад

    Al ilm nuur pepo ni ya Yule alotamka kalma ya laila ailallah muhammad rassulullah

  • @SonySony-ns3ix
    @SonySony-ns3ix Год назад +1

    Duh apo ngoma ni mzito mmoja anauliza maswali kwa kile kilichopo mwengine anajibu undaniwake zaid lile swali yaan apo ilikua wapange itumike njia 1 tu ya kuuliza na kujibu kwasbb shk sabas anachambua zaid kwa kutumia majazi ila ss ambao hatujui hatumuelewi tunamuona kama hatoi majawabu kumbe ni mambo ya wakubwa yaan mashk wabobezi

    • @yazidurashidi8443
      @yazidurashidi8443 Год назад

      Hakuja jambo la wakubwa pale hvyo ulivyo ona ndo ilivyo hajajibu swali .kaambiwa lete hoja ya kuja kwa asia na maryam yeye akasema alokuja sio asia na maryam. Umekuja utukufu wao. Sawa umekuja utukufu wao hiyo dalili ya kuja utukufu wao iko wapi maana angesema unaokuja ni utukufu wao kwa dalili fulani tungesema naam lakini hakuna dalili zaidi ya kuzunguka tu na baadhi ya wajinga wakiona anazunguka sana na mudhwaafu ndo wanaona anatoa vitu .ndugu yangu akili ya kuambiwa changanya na yako

  • @MurshiduSiajabu-vo4zo
    @MurshiduSiajabu-vo4zo Год назад +2

    Mashallah

  • @athumanmtavangu4411
    @athumanmtavangu4411 Год назад +1

    Majoho Hana zaidi ya kanuni za nahau

    • @ShafiAthmani-bu6hq
      @ShafiAthmani-bu6hq Год назад

      Nikweli watu nivipofu hata jua munaita nyota Saba's acha porojo kupoteza waja wa Allah bachu Yuko vizuri ktk kutetea haki

  • @user-lg3iy3ee9r
    @user-lg3iy3ee9r 9 месяцев назад +1

    Hiyo ndo kawaida ya masufi kujifanya wanajua sana lugha ili walete kubabaisha lakin haki iko wazi

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 11 месяцев назад +1

    Shaykhu Sabasi mtume anasema kuizumzia elimu kwa watu wasinayo (wasio ijua) nikupoteza elimu bure tu fani hizo hawataki kusoma ila wasomi wanakuelewa

  • @user-bm7bq5xl2u
    @user-bm7bq5xl2u 11 месяцев назад

    Swadakta ya sheiku muhamad nasoro bachu kikogo wa ahlusuna

  • @nasarsulaiman9549
    @nasarsulaiman9549 Год назад +1

    ukisikiliza kwa makini sabas umechanganyikiwa kielimu hapo hamna majaaz sikiliza barzanji vizuru

  • @shaurmachano47
    @shaurmachano47 Год назад

    WAISLAMU TUACHENI MAMBO HAYA TUTAZIDI KUVUNJA UMOJA WETU

  • @zawiaissa8912
    @zawiaissa8912 Год назад +6

    sabas hapo huna unjanja unakataa nawakati kitabu kakisoma hapo acheni maulidi hamtaki mnapenda kula sana

  • @AishaHamisi-tl9ek
    @AishaHamisi-tl9ek Год назад +6

    Mzee wa majazi na majahazi

    • @SaidiNkhomee
      @SaidiNkhomee 11 месяцев назад

      Assalam alaykum warahmatullah

    • @SaidiNkhomee
      @SaidiNkhomee 11 месяцев назад

      Mzm ukhty Aisha

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Год назад

    Bachu mm nakukubali sana ila haya mambo yanahitaji elimu kubwa kwasababu maulidi ni shairi na shairi ilinakua linamafumbo mengi ili kulichambua elimu itumike# mm Bado cjaamini kama maulid ni Haram cjapata hija za kutosha #

  • @muhidinmawe-vz7dh
    @muhidinmawe-vz7dh 10 месяцев назад

    Mmmh tumefikia pakubwa sana waslam

  • @ginyarisaid1201
    @ginyarisaid1201 Год назад

    Midahalo ya kidini ya kiislamu, huu ni upuuzi - kuna mambo yakufanya yakulingania katika dini na sio vita hii

  • @khalfanmaabick6795
    @khalfanmaabick6795 Год назад +1

    NIMEKUBALI SABASI NI BONGE LA SHEIKH NAMPENDA SN KUANZIA LEO HUYU SHEIKH ANAONGEA ANALOLIFAHAMU

    • @yazidurashidi8443
      @yazidurashidi8443 Год назад

      Sasa umemkubali kwa lipi ikiwa hata swali aliloulizwa hajajibu au nyie mkionq mtu anataja vinahwu pale ndo mnamwona anajua sana kaambiwa lete dalili ya kuja kwa asia na maryam yeye anasema ulokuja ni utukufu sio asia na maryam .sawa ulokuja ni utukufu wa asia na maryam .hiyo dalili ya kuja utufu wa asia na maryam iko wapi sasa kwasababu hata kama ulokuja ni utukufu bado swali liko palepale. Akili za kuambiwa changanya na zako

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 Год назад +1

    Mwangalieni mfano mzuri km mazinge dr. Sule wanavyofanya midahalo km hiyo ndio inayotakiwa kufanywa na waumini kuwatoa watu katika giza na kuwaketa ktk nuru. Acheni upuuzi huo.

    • @NyimboAli
      @NyimboAli Год назад

      Upuuzi kwako wewe cc hapa tunatafuta elimu. Hao kina mazinge wanafanya midahalo Huku wakikusanya Hela tu.

  • @BuruhaniKitomozi-gb7fb
    @BuruhaniKitomozi-gb7fb 11 месяцев назад

    Bilaya kuwachinjamashekhe kamahuyu Mzee alieteteamaulidi kwamanenomeeengii uislam hauwezikwendambele nawaislamu kamwe hawawezikuungana maana anawavutiawatumotoniwazi saabbaas muogope Allah waislamuwakipatanguvu lazima uchinjwewewe mzee

  • @NassorTwahiru-kf8fo
    @NassorTwahiru-kf8fo Год назад

    Marehem sheikh rogo alisema pia kuhusu maulid na alichambua kwenye hiyo barzanj yaan kuna kufuru za ajabu

  • @MwamediMahobela
    @MwamediMahobela Год назад +1

    Maulidi hatutaki tenaaaaaaaaaaaaaa hamna hoja

    • @muhamadyabubakary6750
      @muhamadyabubakary6750 Год назад

      Maulid na ukafiri wawazi siku ya maulidi ndo mabinti weng utiwa mimba maan maulid zenyewe usiku kwa nn hafanyi mchana?? Maulidi ni njia ya kumua hasi Allah

  • @complex7582
    @complex7582 Год назад

    Masufi na mashia hawana tofauti sana

  • @issaibrahim8796
    @issaibrahim8796 Год назад +3

    Ndivyo walivyo watu wa Bida'a kujitia ujuaji wa lugha na kuacha kuhudhuridha dalili

  • @pakashume725
    @pakashume725 Год назад +4

    Dyu! Nmaaibika! Bora mungeikwepa hii niqashi

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 9 месяцев назад +1

    Kiukweli Nimecheka sana lkn ninalia sana watu wanaichezea DINI ambayo watu waliipatia shida. Dalili ya maneno hayo ya MAULID ipo wapi!????