MWAIPOPO AMPASUA BACHU VIBAYA MNO "MOMBASA HUPAWEZI KUNA WASOMI KWELIKWELI, MASWALI YANGU MATATU TU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 сен 2023
  • #QiblateinOnline #QiblateinOnline #QiblateinOnline #QiblateinOnline #QiblateinOnline
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
    FACEBOOK; profile.php?...
    RUclips; / @qiblatainonline

Комментарии • 423

  • @saidessry9942
    @saidessry9942 9 месяцев назад +7

    Maneno mazuri maneno ya hikma na ninasaha tosha shukran sana ust mwaipopo

  • @did3462
    @did3462 9 месяцев назад +11

    Tushikamane na kamba ya Allah.mbora wetu ni yule anae mcha Allah subhanaallah. Walatafarakun.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 9 месяцев назад +6

    Bachu kagusa Bakwata😂😂 watakeshakuongea huku ukweri wanaujua kuwa maulidi ni. Uzushi. Shehe Bachu .Allah akulinde nawoote tusiokubaliana na uzushi wa.maulidi.Allah atylinde na maadui

    • @iddimohamed254
      @iddimohamed254 9 месяцев назад +1

      Kweli kaka hawa watu hawawezi acha maulidi washalewa kabisa Allah atuhifadhi..

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 месяца назад

      Kasome kitabu kinaitwa
      ‎الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز
      Utaona kumbe salafi inabida mpaka kwenye swala za faradhi 😂😂
      nilijuaga hamnaga bidaah

  • @abdurahmanabdallah2403
    @abdurahmanabdallah2403 9 месяцев назад +10

    MASHALLAH MUNGU AKUBARIKI SHEIKH MWAIPOPO

  • @hibohamid9663
    @hibohamid9663 8 месяцев назад +3

    Maa sha Allah Muhammad Bachu umejitahidi kutuelewesha na tumekuelewa vizuri sana so endelea kuelewesha umma very good job

  • @isihakaabdul1134
    @isihakaabdul1134 9 месяцев назад +11

    Bachu kagusa panapo hamlali, naona safari hii kila palipo na maulidi mtamzungumzia tu bila shaka .

    • @omarytobaomary7148
      @omarytobaomary7148 9 месяцев назад

      Niko nawwe isihaka

    • @AliMahmoud-tj2jb
      @AliMahmoud-tj2jb 9 месяцев назад

      Upo vzr sheikhe mwaipopo m.mungu azidi kukupa juhudi kuelemisha mana kwa kweli waislamu tuna matatizo sana kila sheikhe anajiona bora kuliko mwenzake

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 9 месяцев назад +16

    Mm sioni km Bachu anakosea isipokua nahc watu hawajazoea kuambiwa ukweli. Baada ya kushughulika na kusoma Qur-an, kuhifadhishana, kuhifadhi hadithi na kufanya dhikri, Waisilam wengi wameshughulika na maulidi, kasda mwisho wake wanaishia kwenye kuimba.

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 9 месяцев назад +2

      Haha mimi pia

    • @abdijabbarhussein2068
      @abdijabbarhussein2068 9 месяцев назад +4

      Sheikhs maipopo ndio wwe ni mmoja wa kutetea uslamu lakini kwa hili hulijui samahani sana achana na sheikh bachu hio maulid ni upotefu

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j 9 месяцев назад +1

      Wanaoimba ni upuuzi wao wenyewe tu. Sio sababu Maulidi

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j 9 месяцев назад +1

      Bachu anajazba wakati anatoa elimu au mawaidha. Huwezi kumwita Muislaam anaetoa shahada halafu ukamwita kafiri. Hayo mara nyingi anapenda kuyasema Bachu.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 9 месяцев назад

      @@user-ki4sg8yz9j. Sisemi hayo ya Bachu mana sijamsikia kwa mdomo wake akisema….Lkn nasema hli unalodai kua alietoa shahada huezi kumwita kafir.
      👉Mchawi na mganga kuku hata km wametoa shahada ni makafir mpaka watubie kwa sbbu wanayoyafanya yanawatoa kwenye uisilam.

  • @user-uf3ic8sl8c
    @user-uf3ic8sl8c 16 дней назад

    Allah akupe Kila la kheri sheikh Mwaipopo na akulinde na Kila ovu Kwa kweli upon vizuri.

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 9 месяцев назад +6

    Maashaallah baarakallah mungu akupe uzima na afya njema shekh mwaipopo

  • @miishhassn
    @miishhassn 9 месяцев назад +4

    Allah akuweke shekh Mwaipopo ❤

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u 9 месяцев назад +12

    mashehe wa mchongo bwana mjijuwe mna majukumu kwa Allah .

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 8 месяцев назад +1

    Congratulations 🎉 mwaipopo
    Uko vizur sana ALLAH MTUKUFU akujalie mwisho mwema
    ,🌹🇹🇿🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🪴🪴🪴🪴🪴🪴🌺🌺🌺🌺🌺🌺🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌱💖💖💖💖💖💖💖☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️💓💓💓💓💓💓

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 9 месяцев назад +2

    Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh!
    Ahsante sana kwa kufikisha ujumbe mkubwa mno duniani, nivizuri sisi waislam tuwe wamoja, tusidhalilishane!

  • @neemamohamed5926
    @neemamohamed5926 9 месяцев назад +10

    Naona Maulid yamewagusa sana hata yeye hawezi kwenda motoni kwa kukashif Maulidi

    • @aidarusabubakar5776
      @aidarusabubakar5776 9 месяцев назад

      Kwani Hukusikia alivyosema ama unamatatizo kuskiza.. Uwahabi una tabuu..

    • @sadofaraji5999
      @sadofaraji5999 9 месяцев назад

      Inatakiwa kufundisha siyo kukashifu,kukashifu ni dhambi.

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 9 месяцев назад +7

    Ila Mtume Muhammad SAW alishasema kwamba; "Wasomi/Ulamaa watakuja iharibu Dini na ni Miongoni mwa Ishara na Dalili za Kiama, Waislamu tutagawanyika Makundi Mengi"
    Hivyo tusishangae hayo (Masheikh/Maulamaa) Kukashifiana/Kukatana Mapande nk yasompendeza Mungu.

  • @user-ir5mv4ux4i
    @user-ir5mv4ux4i 9 месяцев назад +4

    Mashaa allah haya ndo mambo ya kuongelea kuinua uislamu wetu

  • @user-zk2ww1fr9m
    @user-zk2ww1fr9m 9 месяцев назад +5

    Mashallah Sheikh haya ndio ya kuzungumzwa na Masheikh kuliko kushindana kwa mambo yasio misingi mikuu ya dini.

  • @user-kr1rh2ij7i
    @user-kr1rh2ij7i 9 месяцев назад +1

    Mashallah Mola akuhifadhi uzidi kuongozA umma

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 9 месяцев назад +1

    Yaani Ustaadh Mwaipopo umeongea ya maana sana. Yaani hata hao waliozaliwa nao Uislaam basi hawana hekima kama hizi. Allqh akubariki sana akujaalie mwisho mwema Allah akuingize peponi. Amina

  • @AminaDodios-ml2lv
    @AminaDodios-ml2lv 9 месяцев назад +8

    Bachu anaongea kweli ila watu ndio mnamuelew vibaya! Kama ilo lakutupa kitabu ilo alifai atakuzungumziwa tena kwa sababu bachu tayari kisha omba radhi lakini kila kukicha niiloilo mnarudiliya. M/mungu kisha sema mbora wenu niyule atakae kosea naakaomba radhi.

    • @kassimabdul9319
      @kassimabdul9319 9 месяцев назад +1

      Swadka

    • @allyomarysuleiman5232
      @allyomarysuleiman5232 9 месяцев назад

      Bachu hakukosea kafanya kusudi yule dogo kibri baleghe zimemvaa vibaya km alikosea asingeendelea kumkashif shekh Jaffar wakat hata nusu ya elimu yake haifikii

  • @MsomaRai-cr8eg
    @MsomaRai-cr8eg 9 месяцев назад +1

    Mashaallah ALLAH m/MUNGU ailinde Elim yko

  • @ZacariasLopez-te7sm
    @ZacariasLopez-te7sm 9 месяцев назад

    جزاك الله خيرا حفظك الله في الدنيا والآخرة

  • @user-wv2nc4tp6u
    @user-wv2nc4tp6u 9 месяцев назад

    MashaAllwah, Mwaipopo nakupenda na umenipa faida kwa mawaidha yako, Allwah akubariki

    • @user-vh5xl9zy5q
      @user-vh5xl9zy5q 9 месяцев назад

      Mungu azidi kukupa umri mrefu ili uzidi kulingania dini.hii ili ipate.nusra

  • @hamisisaid-zz2ye
    @hamisisaid-zz2ye 9 месяцев назад +1

    Mashallah Jazakallah kheir

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 9 месяцев назад +12

    Nanda kaa Chini usome dini mzeee

    • @Idri683
      @Idri683 9 месяцев назад

      Huyu mwaipopo alisimu lakin hajui din huyu , ni aende kwa mashehk wa Ahlul Sunnah akafunzwe din sahihi pamoja na Sunnah

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 месяца назад

      @@Idri683 Kasome kitabu kinaitwa
      ‎الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز
      Utaona kumbe salafi inabida mpaka kwenye swala za faradhi 😂😂
      nilijuaga hamnaga bidaah

  • @SaidAli-lw1hu
    @SaidAli-lw1hu 9 месяцев назад +1

    Shukran Shekhe umeshinda wale waliozaliwa katika uislam mawaidha yako 100% sahihi mola akujaze kila la kheri uendeleze dini hii ya haki

  • @rubbyruu7172
    @rubbyruu7172 9 месяцев назад

    MashaAllah maneno Safi kabisaa MUNGU akubariki

  • @user-zh4hv1vk9p
    @user-zh4hv1vk9p 9 месяцев назад

    MASHAALLAH unaongea vizuri sana.....may Allah bless u more ....bachu kihereheree tu...

  • @jamalomar8044
    @jamalomar8044 9 месяцев назад

    M, Mungu akujaze kheri Shekhe Mwaipopo

  • @zuuali4203
    @zuuali4203 8 месяцев назад

    Masha Allah, shukran kwa kufikisha ujumbe, baraka Allah

  • @mohamedmawinda3795
    @mohamedmawinda3795 8 дней назад

    Mohamed Bachu ana kiburi,na Hilo ni kosa,
    Kiburi ni vazi la Allah,ni muda sahihi kwake kujitathmini,
    Hana Elimu yoyote ya kumfikia Sheikh Jaafar Barzanj.

  • @hassanmambomambo8442
    @hassanmambomambo8442 9 месяцев назад +4

    jukumulako umemaliza kumwambia niyeye sasa aendelee kujifanya mjuwaji au akasome

  • @abdallahrasambih1456
    @abdallahrasambih1456 9 месяцев назад

    Yani mwenye hekma atakuelewa mungu akuzidishie ISHllah..maneno mazito mazuri

  • @MkBoneface-dl4hn
    @MkBoneface-dl4hn 9 месяцев назад

    Allah akujalie maishabora duniani Na ahera mwalimu

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 9 месяцев назад +3

    Uyu nae vipi,jibu maswali 19 yaliyo ulizwa kama we msomi usitupotezee mda...

    • @dulaali2768
      @dulaali2768 3 месяца назад

      nyi nyi ndo mnafanya dini kua ngumu

  • @mwijakaswaleh2662
    @mwijakaswaleh2662 9 месяцев назад +6

    Mwaipopo,watu hawasemi anayekula au aliyekula maulid ataenda motoni,swali ni je,haya ni sahihi au si sahihi,kwani ukisoma sana ndiyo hufanyi makosa

    • @saiddaud3855
      @saiddaud3855 9 месяцев назад +2

      Hapo hakuna ushahidi wa kufaa au kutokufaa kwa maulid maana Kila mtu miongoni mwa haya makundi mawili yote Kila mmoja anaushahidi wa Kila jambo lake na Hadith ako nazo na aya ako nazo Sasa unaeza kuupatia uharamu wa Moja kwa Moja maulid

    • @MunezeroHabiba-td3mv
      @MunezeroHabiba-td3mv 9 месяцев назад

      Shida nikutompenda Mtukufu wa daradja A.S ndiyo maana mnaipinga maulidi utadjo wa Mtukufu wa daradja A.S kwa wingi

  • @firqatulabraar7451
    @firqatulabraar7451 9 месяцев назад +1

    Wallahi una busara mungu akuzidishe

  • @amouralriyamy9282
    @amouralriyamy9282 9 месяцев назад

    Sh Mwaipopo nakupenda sana Mungu akuzidishie elmu ila hapo kwenye kula maulid maulid sio chakula ni kisoma sawa na sira ya mtume s.a.w na historia yake ili tujikumbushe na tupate mapenzi juu yake

  • @kitosio
    @kitosio 9 месяцев назад +1

    Sasa shekhe Mwaipopo. Ivi Bidaa itaishinda haki Duniani. Angalia MASAHABA walivoifata haki na sasa Ahlu-Lhawaa wanaoivamia Batili. Maulidi waanzilishi NI Shia halitaki mjadala. Mashia wamewatukana Maswahaba Top four. Kisha uwafuate Mashia wataka kwenda mjibu nini ALLAH. MASAHABA WALIBASHIRIWA PEPO HAPA2 JEE HAWAKUMPENDA MTUME S.A.W

  • @abuutamiimattanzaaniy8676
    @abuutamiimattanzaaniy8676 9 месяцев назад

    Watu wa maulidi zingatieni hapa: IKIWA HAKUNA ANDIKO KWENYE VITABU VITAKATIFU KUTHIBITISHA SHEREHE YA KRISMASS (KUZALIWA YESU), hivyohivyo HAKUNA ANDIKO KWENYE VITABU VITAKATIFU KUTHIBITISHA SHEREHE YA MAULIDI (KUZALIWA MTUME MUHAMMAD SWALLALLAHU ALAIHI WASALLAM), Nyinyi na wakristo ni kitu kimoja Munafuata uzushi, Musiwasemange Wenzenu

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 9 месяцев назад +1

    Maashaa Allah

  • @urariymwasahala2516
    @urariymwasahala2516 9 месяцев назад +3

    Huna kitu ww kwanza tutajie mashekhe wako walio kufundisha

  • @musano8040
    @musano8040 9 месяцев назад

    Mashaallah sheik wetu

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 9 месяцев назад +3

    Akiliyako namtizamo wako ilakulekebishana laazima. MUHAMMAD,Bachu maashaallah uposahihimaulidi nibidaa lingania iliwatotowetu wasipotee

    • @user-hz3fv8fd1c
      @user-hz3fv8fd1c 9 месяцев назад

      Usahihi wake ni upi?

    • @sadofaraji5999
      @sadofaraji5999 9 месяцев назад

      Kumbe kusoma maulid ni kupotea,unapoteaje?

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 месяца назад

      Kasome kitabu kinaitwa
      ‎الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز
      Utaona kumbe salafi inabida mpaka kwenye swala za faradhi 😂😂
      nilijuaga hamnaga bidaah

  • @saadaluvanga7024
    @saadaluvanga7024 9 месяцев назад +1

    Allah akujaalie kheri.

  • @user-gj7by1nr2x
    @user-gj7by1nr2x 9 месяцев назад

    Allahu baarik sheikh mwaipopo

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 9 месяцев назад

    Masha-allah ❤❤❤❤

  • @hassanabdalla9688
    @hassanabdalla9688 9 месяцев назад +1

    Mashaallah.

  • @yasinabdulkadir1925
    @yasinabdulkadir1925 9 месяцев назад +1

    Hapo sawa mwaipopo. Umeongea kila kitu.
    Mungu akuhifadhi.

  • @user-ek9rg6fg9l
    @user-ek9rg6fg9l 6 месяцев назад

    Hosen kihengo _waislam tujishughulishe na kusoma kwa kukosa ilmu ndo tunaharibu din ya allah mwaipopo mungu akupe afya

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 21 день назад +1

    Vizur sheikh lkn jitahidi kuusoma zaid uislam Aqida na Tawhid

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini1903 9 месяцев назад +6

    Kilamtu leo kwa msemaji wa waislam hata wasiojua kitu

  • @mwinyihajihassan9299
    @mwinyihajihassan9299 9 месяцев назад +3

    Majority ya musicians ni waislamu na wameanza Bidaa ya maulidi sheikh

  • @user-ns4lc3yg2c
    @user-ns4lc3yg2c Месяц назад

    Huyo Marehem Bachu Allah amuhifdhadhi
    hakuwa ni mtu wa maulidi

  • @user-cq9ke3yy5h
    @user-cq9ke3yy5h 9 месяцев назад

    Iyo elimu inapaswa kutuenea sote waislamu mungu akupe umri mrefu wenye kheri

  • @Yousouf-wn1qz
    @Yousouf-wn1qz 9 месяцев назад +2

    Shehe Muhammed Bachu mbona anaelewka sana kwhakika rabda hamja juwa maksudio yake nini

    • @user-mf1zq4vz1c
      @user-mf1zq4vz1c 9 месяцев назад

      Mbna bidaa zpo nyingi tu hamshuhuliki nazo je wapi tuliambiwa mashindano ya kusoma qur An ili mtu Alipwe pesa gari Au nyumba waislam Waleo wanachokiona wao sahihi ndo wanalo litaka

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 месяца назад

      Kasome kitabu kinaitwa
      ‎الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز
      Utaona kumbe salafi inabida mpaka kwenye swala za faradhi 😂😂
      nilijuaga hamnaga bidaah

  • @KomoraMohamed
    @KomoraMohamed Месяц назад

    MashaAllah hakuna muwahabi atakuwa na hikma

  • @kamalmukaddam1521
    @kamalmukaddam1521 9 месяцев назад

    mashaalah

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 9 месяцев назад

    Mashall ah. Yani kahumbuka😂😂😂

  • @ummy-vo6sp
    @ummy-vo6sp 9 месяцев назад +4

    Mzee kasome hata I hujamaliza

    • @rajabungatanda630
      @rajabungatanda630 4 месяца назад

      Unataka akasome nini ?
      Hapo mwaipopo amehimiza mshikamano na umoja ndani ya uislam jee hilo ni kosa?
      Uyu amewakumbusha mashekhe wapunguze mivutano wanawagawa waislamu
      Na wanapunguza nguvu ya uislamu
      Kumbuka uislam umehimiza iitiswama na sio farqu

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 месяца назад

      Kasome kitabu kinaitwa
      ‎الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز
      Utaona kumbe salafi inabida mpaka kwenye swala za faradhi 😂😂
      nilijuaga hamnaga bidaah

  • @abiiajmi2399
    @abiiajmi2399 9 месяцев назад +1

    Upo fasaha sana ❤❤

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 9 месяцев назад +1

    Kuwekan saw ktk din ya kiislam inafaa, wala bachu hajakosea, uislam, ni miongozo ya kisheria, sio rai zawatu au fikra zao,

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha9670 9 месяцев назад +4

    Bachu anawaliza watu wa maulidi mpaka mnamchukia hahahaha sasa nyie ndio mnamuomba mnakasha yeye katulia pale ikifika Siku ya munakasha hamna kitu😅😅😅

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w 9 месяцев назад

    Kweli sheikh mwaipopo kwa allah kukuonyesha na wewe ni mkweli sbb wewe ni muumin ulio fanya jitihada ya kuutafuta uislamu na ukaujua vizuri ushahidi wako unadhihirisha kwenye haki ni wapi..

  • @saadaliy3979
    @saadaliy3979 9 месяцев назад

    Mashallah❤❤

  • @abubakarally3413
    @abubakarally3413 9 месяцев назад +1

    Wewe mwaipopo surat lfat-ha hujui kusoma vizuli! Leo uje uzungumzie ilmu ambayo huijui nenda kasome kwanza Wacha kuropoka ropoka umesilimu lakini hujielewi unatafuta kiki tu kama umesilimu utafute kiki endelea ila kama umefuata dini basi mche Allah.

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 9 месяцев назад

      Yaani mawahaby ata mwaskitisha , mtu anakosoa mpka ma imam na kuwafanya waongo lkn bado mwamuona bachu yuko sawa . Yaani mwamfanya bachu ndio Bora kwenu kuliko hao maimamu wote innalillahi wainna ileyhi rajiun

    • @issambamba9236
      @issambamba9236 9 месяцев назад

      Elim ni kubwa kikubwa ni kuheshimiana na kuvumiliana.

  • @mtumwasamaki
    @mtumwasamaki 9 месяцев назад

    Anakiburi sheikh Bachu

  • @AmCool_
    @AmCool_ 9 месяцев назад +2

    Bachu alitaka kumburuza Ustadh Said vile anavyotaka yeye, lakini alikuwa na msimamo. Ajibu ili waendelee.

    • @abuuaidh6500
      @abuuaidh6500 9 месяцев назад

      Kwahio alitetea uzushi wa maulid

    • @yussuphsaleh767
      @yussuphsaleh767 9 месяцев назад

      ​@@abuuaidh6500dj said hana alichokitetea ni utoto tu aliofanya ,,bachu Alipiga pointi moja ambayo dj said hakuweza kuijibu na tanga sabas alkubra alipewa dozi kubwa pointi 19 hakujibu hata moja ,,,sasa nashangaa ATI wanajidai matwarika wameshinda

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 9 месяцев назад

      ​@@yussuphsaleh767waambie wasikie....kawaida mijitu mijahili hua haijazoea kuambiwa ukweli

  • @abasijuma6989
    @abasijuma6989 9 месяцев назад

    Bidaa ni katika ma.wmbo ambayo mtume s.a.w ameyakemea sana na kuhazarisha sana kwaiyo lazma watu waekane sawa iİi tuende kwa m/mungu tukiwa salama

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 9 месяцев назад

    Asalam alaykum
    dawa inaitwaje sheikh

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 9 месяцев назад

    Sheikh uko sahihi

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 9 месяцев назад +1

    Maashaallah shukran mwaipopo

  • @almarwazyahaythamy4905
    @almarwazyahaythamy4905 9 месяцев назад +4

    We mwaipopo ! Bacho akija kukupiga raddi useme anakutukana

    • @mohamedhozi8110
      @mohamedhozi8110 9 месяцев назад

      Mwaipopo hajaongea baya cjui kama umemuelewa

    • @firdausswaleh5299
      @firdausswaleh5299 9 месяцев назад +1

      Ameongea baya sana anaegemea upande moja

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 9 месяцев назад

      ​@@firdausswaleh5299ameongea sawa kabisa bachu hawezi kuwafanya wanazuoni waongo ataitaje hadith dhaif ni uwongo. Na maimamu wote wametumia Hadith dhaif kwahiyo hao ni waongo?. Mcheni mungu bachu hajielewi.

    • @ayman4-cf7xd
      @ayman4-cf7xd 9 месяцев назад

      ​@@yassirswaleh7127usiwasingizie Maimamu mumemzulia mtume mkafaanya maulidi hata mtume na maswahaba hayajafanya Sasa unaenda kwa maulamaa unasema maulamaa wote wanatumia hadith dhwaifu muogope Allah Hao mashekhe unawatetea na uzushi wao wamaulidi watazikwa peke yao na wewe peke yako itete haki alokuja nayo mtume kutumia hadith sahih

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 9 месяцев назад

    Nakupenda kwa Ajili ya Allah

  • @firqatulabraar7451
    @firqatulabraar7451 9 месяцев назад +2

    Mungu akupe mazuri

  • @AliKhatib-vy1oj
    @AliKhatib-vy1oj 9 месяцев назад +1

    Miaka ya bikhadija sio 40 alpo olewa alikua na miaka 28

    • @user-ek9rg6fg9l
      @user-ek9rg6fg9l 6 месяцев назад

      Kasome sira wewe bi Khadija alikuwa na miaka 40

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 9 месяцев назад +3

    Watu ni vzr watanabahishwe mambo ya uzushi au yenye utata! Watu wengi sana wanapoteza pesa zao na wkt kwa kufanya mambo ya uzushi na wkt pengine hayatowafalia chchte akhera. Kwann wasifumbuliwe macho kila mmoja akatafakkar na wakatumia pesa zao na wkt wao kwenye ibada zenye uhakika??? Mm sioni ttzo ila mttzo wanayasabbisha wasiotaka kubadilika au kusoma.

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 9 месяцев назад

      BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI NA KUKIMBIA SUALI 😂

  • @ustadhayub8733
    @ustadhayub8733 9 месяцев назад

    Shukran sana sheykh mwaipopo

  • @zuheirtammam5532
    @zuheirtammam5532 9 месяцев назад +1

    Sheikh Moipopo wewe ni mtu mwenye ilmu,
    Iblis asikughuri.
    Wewe tupe andiko kwa bibilia, Yesu asema yeye sio mtoto wa Mungu.
    Hili ndilo swali linalo fanana na swali aliloulizwa Bachu.

  • @kichachu6391
    @kichachu6391 9 месяцев назад +3

    Mwaipopo hajui hatakusoma aya nyingi za quran kiusahihi kwa hiyo hapaswi kuzungumzia mambo ya kielimu

    • @abdulhamidbakar2461
      @abdulhamidbakar2461 9 месяцев назад

      Na ww hujui

    • @kichachu6391
      @kichachu6391 9 месяцев назад

      @@abdulhamidbakar2461 هل تعرفني حتى تقول أنا لا
      أعرف أم عندك علم الغيب
      أنصحك أن تتعلم قبل أن تتكلم

  • @assalaafiiabuusalafi
    @assalaafiiabuusalafi 9 месяцев назад +3

    Wewe Mwaipopo hukusoma please acha kuchafuwa Dini ya Allah.

    • @rajabungatanda630
      @rajabungatanda630 4 месяца назад

      Apo mwaipopo kakosea nini Ambacho wewe umeona ajasoma na ana haki ya kuchangia?
      Kumbuka mwaipopo amehimiza mshikamano kwa waislamu
      Na Qur'ani imehimiza umoja
      Imehimiza tusifariqiane tutavunja nguvu zetu
      Sasa hapo kakosea wapi?

  • @farjallahubeydabdulrahman4845
    @farjallahubeydabdulrahman4845 9 месяцев назад +1

    swadakta sheikh umenena la ukweli jazakallaahu kheyr

  • @hometownke.9658
    @hometownke.9658 9 месяцев назад +1

    Wanazuoni wa shirki vipi

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy 9 месяцев назад +1

    Ukweli udhiri batwili ipingwe maneno ya mungu

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se 9 месяцев назад +1

    Bachu hana uwezo wakufanya mijadala hata kwa dakika 10

    • @ayman4-cf7xd
      @ayman4-cf7xd 9 месяцев назад +3

      Haha alifanya tanga mbona na akashinda tu kwasababu kule tanga walijadiliana kielimu huku watu wanazunguka mara swali halieleweki mtu ashaambiwa swali si lakielimu yuko hapo hapo jamaa ilimradi munaqasha usiendelee ameona anashindana na majahil ukishindana na jahil utapoteza mda tu

    • @neemamohamed5926
      @neemamohamed5926 9 месяцев назад +3

      We love Bachu! ❤❤❤ Allah amzidishie Zaid ya hapo he is hero

  • @khamisiiddi2470
    @khamisiiddi2470 9 месяцев назад +2

    Njoo uchukue maua yako mwaipopo sawa naomba namba yako ya sim bas nikutumie tigo pesa

  • @abduljecha7779
    @abduljecha7779 9 месяцев назад

    Atakae ona munkar, auzuiye kwa mkono wake, kama hawezi basi ulimi, kama hawezi basi achukie. Na huko kuchukia ni imani nyonge. Sasa Bachu asiseme kwa sababu ya kuogopa watu. Kwa kifupi mimi nilijua kwenye munaakasha kwamba hadithi zitumikazo ni dhaifu. Nitakacho fanya sasa nitamsoma Barzanji kama baba wa maulidi.

  • @mwinyihajihassan9299
    @mwinyihajihassan9299 9 месяцев назад +2

    Sasa mtu kama alikiri makosa ama kama wewe tuzungumze yako kabla ya uislamu

  • @maallimumusa6085
    @maallimumusa6085 9 месяцев назад +1

    Nawe shehe soma kwanza dini weweni mwanafuzi ujui kitu katika fani zadini baki na wakirito usije ukakufuru

  • @mudimaalim217
    @mudimaalim217 9 месяцев назад

    Upo sahihi. Yaan hatutakiwi waislam wenyewe kwa wenyewe kupigana vita.

  • @nassiryahya
    @nassiryahya 9 месяцев назад +2

    Ww mwaipopo kwanza kaaa katako usome dini ujifunze gur-an kuisoma vizuri kisha uje uongeee haya unayoongea ww unaona ni kitu kidogo sana

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 9 месяцев назад

      Hao mawahaby ndio wanafaa wasome Sana. Juzi tu wakaibika mtu kufanya Aya ya quran ni hadith msiba huu

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se 9 месяцев назад

    Mawahabbi hapa watakulaumu sanaaa

  • @ummy-vo6sp
    @ummy-vo6sp 9 месяцев назад +6

    Bachu anapepea jamani kila mtu bachu bachu na maswali yake hamjibu bachuuuuuu weeeeeeeeeee oyeeeeeeeeeeeeeee

  • @mosule9262
    @mosule9262 9 месяцев назад +1

    Hilo la kutupa barzanje aliomba msamaha ,tatizo mmeguswa

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li 9 месяцев назад +8

    Nilichojifunza kwa huyu ana ujinga mwingi hajui mengi ya dini lkn anajifanya anajua kumbe hamna kitu anaongea vilivyomo na ambavyo havipo

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 9 месяцев назад

      Wewe inaonekana huna ELIMU pole sana

    • @fakihassani3
      @fakihassani3 9 месяцев назад

      Ww ndie wale wale waso na elimu na hekma kasome kisha ukoment

    • @user-hg1lv9ur2d
      @user-hg1lv9ur2d 9 месяцев назад +1

      Ni kweli watu wa maulid watu wa hovyo

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 9 месяцев назад

      Ukweli unauma

    • @kombomakame9541
      @kombomakame9541 9 месяцев назад

      Wewe inaonesha SI Muislamu

  • @mubariekabrahams2650
    @mubariekabrahams2650 9 месяцев назад

    Assalam aleykum sheikh mwapopo.
    Question.
    Maulidi ni shirki au sio shirki?
    Na kama ni shirki kiasi gani anashirikishwa Mtume wa M/MUNGU.

  • @ummuwalid779
    @ummuwalid779 9 месяцев назад

    Kabisaa

  • @user-hf4pb7wi1j
    @user-hf4pb7wi1j 9 месяцев назад

    Tatizo la huyo Mwaipopo hajasoma lakini pia anasumbuliwa na njaa kujipendekeza kwa mama samia sasa wewe Mwaipopo lazima unywe mtume wetu hakumuingiza swakhaba yoyote kwa kutumia biblia kwahio kuwa na adabu sheikh mukhamad baco si sawa yako kuwa na adabu

  • @HassanKatumbi-hr5lg
    @HassanKatumbi-hr5lg 9 месяцев назад +1

    Mwaipopo kasome kwanza kabla ya kujibu kadhia hio

  • @andrewkissavah8272
    @andrewkissavah8272 9 месяцев назад

    Toka hapo mwaipopo huna huna ufahamu wa maandiko yoyote wala huwez kushindana na viongozi wa kikristo ndio maana wakakuouuza maana wakristo tunajua wewe umechanganyikiwa baada ya kum u acha Yesu ukachanganyikiwa ,hivyo wakristo na viongozi tunakuona umevamiwa na pepo ,wewe endelea hukohuko kuwapanga mashekhe na waislamu huko lakini sisi huku tulisha kufukuza