MWAIPOPO AMPASUA BACHU VIBAYA MNO "MOMBASA HUPAWEZI KUNA WASOMI KWELIKWELI, MASWALI YANGU MATATU TU"
HTML-код
- Опубликовано: 25 сен 2023
- #QiblateinOnline #QiblateinOnline #QiblateinOnline #QiblateinOnline #QiblateinOnline
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
RUclips; / @qiblatainonline
Maneno mazuri maneno ya hikma na ninasaha tosha shukran sana ust mwaipopo
Tushikamane na kamba ya Allah.mbora wetu ni yule anae mcha Allah subhanaallah. Walatafarakun.
allah wa makkah!
Bachu kagusa Bakwata😂😂 watakeshakuongea huku ukweri wanaujua kuwa maulidi ni. Uzushi. Shehe Bachu .Allah akulinde nawoote tusiokubaliana na uzushi wa.maulidi.Allah atylinde na maadui
Kweli kaka hawa watu hawawezi acha maulidi washalewa kabisa Allah atuhifadhi..
Kasome kitabu kinaitwa
الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز
Utaona kumbe salafi inabida mpaka kwenye swala za faradhi 😂😂
nilijuaga hamnaga bidaah
MASHALLAH MUNGU AKUBARIKI SHEIKH MWAIPOPO
Maa sha Allah Muhammad Bachu umejitahidi kutuelewesha na tumekuelewa vizuri sana so endelea kuelewesha umma very good job
Bachu kagusa panapo hamlali, naona safari hii kila palipo na maulidi mtamzungumzia tu bila shaka .
Niko nawwe isihaka
Upo vzr sheikhe mwaipopo m.mungu azidi kukupa juhudi kuelemisha mana kwa kweli waislamu tuna matatizo sana kila sheikhe anajiona bora kuliko mwenzake
Mm sioni km Bachu anakosea isipokua nahc watu hawajazoea kuambiwa ukweli. Baada ya kushughulika na kusoma Qur-an, kuhifadhishana, kuhifadhi hadithi na kufanya dhikri, Waisilam wengi wameshughulika na maulidi, kasda mwisho wake wanaishia kwenye kuimba.
Haha mimi pia
Sheikhs maipopo ndio wwe ni mmoja wa kutetea uslamu lakini kwa hili hulijui samahani sana achana na sheikh bachu hio maulid ni upotefu
Wanaoimba ni upuuzi wao wenyewe tu. Sio sababu Maulidi
Bachu anajazba wakati anatoa elimu au mawaidha. Huwezi kumwita Muislaam anaetoa shahada halafu ukamwita kafiri. Hayo mara nyingi anapenda kuyasema Bachu.
@@user-ki4sg8yz9j. Sisemi hayo ya Bachu mana sijamsikia kwa mdomo wake akisema….Lkn nasema hli unalodai kua alietoa shahada huezi kumwita kafir.
👉Mchawi na mganga kuku hata km wametoa shahada ni makafir mpaka watubie kwa sbbu wanayoyafanya yanawatoa kwenye uisilam.
Allah akupe Kila la kheri sheikh Mwaipopo na akulinde na Kila ovu Kwa kweli upon vizuri.
Maashaallah baarakallah mungu akupe uzima na afya njema shekh mwaipopo
Allah akuweke shekh Mwaipopo ❤
mashehe wa mchongo bwana mjijuwe mna majukumu kwa Allah .
Sana
@@HanifaOman-oo4plsana
Congratulations 🎉 mwaipopo
Uko vizur sana ALLAH MTUKUFU akujalie mwisho mwema
,🌹🇹🇿🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🪴🪴🪴🪴🪴🪴🌺🌺🌺🌺🌺🌺🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌱🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌱💖💖💖💖💖💖💖☘️☘️☘️☘️☘️☘️☘️💓💓💓💓💓💓
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh!
Ahsante sana kwa kufikisha ujumbe mkubwa mno duniani, nivizuri sisi waislam tuwe wamoja, tusidhalilishane!
Naona Maulid yamewagusa sana hata yeye hawezi kwenda motoni kwa kukashif Maulidi
Kwani Hukusikia alivyosema ama unamatatizo kuskiza.. Uwahabi una tabuu..
Inatakiwa kufundisha siyo kukashifu,kukashifu ni dhambi.
Ila Mtume Muhammad SAW alishasema kwamba; "Wasomi/Ulamaa watakuja iharibu Dini na ni Miongoni mwa Ishara na Dalili za Kiama, Waislamu tutagawanyika Makundi Mengi"
Hivyo tusishangae hayo (Masheikh/Maulamaa) Kukashifiana/Kukatana Mapande nk yasompendeza Mungu.
Mashaa allah haya ndo mambo ya kuongelea kuinua uislamu wetu
Mashallah Sheikh haya ndio ya kuzungumzwa na Masheikh kuliko kushindana kwa mambo yasio misingi mikuu ya dini.
Mashallah Mola akuhifadhi uzidi kuongozA umma
Yaani Ustaadh Mwaipopo umeongea ya maana sana. Yaani hata hao waliozaliwa nao Uislaam basi hawana hekima kama hizi. Allqh akubariki sana akujaalie mwisho mwema Allah akuingize peponi. Amina
Bachu anaongea kweli ila watu ndio mnamuelew vibaya! Kama ilo lakutupa kitabu ilo alifai atakuzungumziwa tena kwa sababu bachu tayari kisha omba radhi lakini kila kukicha niiloilo mnarudiliya. M/mungu kisha sema mbora wenu niyule atakae kosea naakaomba radhi.
Swadka
Bachu hakukosea kafanya kusudi yule dogo kibri baleghe zimemvaa vibaya km alikosea asingeendelea kumkashif shekh Jaffar wakat hata nusu ya elimu yake haifikii
Mashaallah ALLAH m/MUNGU ailinde Elim yko
جزاك الله خيرا حفظك الله في الدنيا والآخرة
MashaAllwah, Mwaipopo nakupenda na umenipa faida kwa mawaidha yako, Allwah akubariki
Mungu azidi kukupa umri mrefu ili uzidi kulingania dini.hii ili ipate.nusra
Mashallah Jazakallah kheir
Nanda kaa Chini usome dini mzeee
Huyu mwaipopo alisimu lakin hajui din huyu , ni aende kwa mashehk wa Ahlul Sunnah akafunzwe din sahihi pamoja na Sunnah
@@Idri683 Kasome kitabu kinaitwa
الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز
Utaona kumbe salafi inabida mpaka kwenye swala za faradhi 😂😂
nilijuaga hamnaga bidaah
Shukran Shekhe umeshinda wale waliozaliwa katika uislam mawaidha yako 100% sahihi mola akujaze kila la kheri uendeleze dini hii ya haki
MashaAllah maneno Safi kabisaa MUNGU akubariki
MASHAALLAH unaongea vizuri sana.....may Allah bless u more ....bachu kihereheree tu...
M, Mungu akujaze kheri Shekhe Mwaipopo
Masha Allah, shukran kwa kufikisha ujumbe, baraka Allah
Mohamed Bachu ana kiburi,na Hilo ni kosa,
Kiburi ni vazi la Allah,ni muda sahihi kwake kujitathmini,
Hana Elimu yoyote ya kumfikia Sheikh Jaafar Barzanj.
jukumulako umemaliza kumwambia niyeye sasa aendelee kujifanya mjuwaji au akasome
Yani mwenye hekma atakuelewa mungu akuzidishie ISHllah..maneno mazito mazuri
Allah akujalie maishabora duniani Na ahera mwalimu
Uyu nae vipi,jibu maswali 19 yaliyo ulizwa kama we msomi usitupotezee mda...
nyi nyi ndo mnafanya dini kua ngumu
Mwaipopo,watu hawasemi anayekula au aliyekula maulid ataenda motoni,swali ni je,haya ni sahihi au si sahihi,kwani ukisoma sana ndiyo hufanyi makosa
Hapo hakuna ushahidi wa kufaa au kutokufaa kwa maulid maana Kila mtu miongoni mwa haya makundi mawili yote Kila mmoja anaushahidi wa Kila jambo lake na Hadith ako nazo na aya ako nazo Sasa unaeza kuupatia uharamu wa Moja kwa Moja maulid
Shida nikutompenda Mtukufu wa daradja A.S ndiyo maana mnaipinga maulidi utadjo wa Mtukufu wa daradja A.S kwa wingi
Wallahi una busara mungu akuzidishe
Sh Mwaipopo nakupenda sana Mungu akuzidishie elmu ila hapo kwenye kula maulid maulid sio chakula ni kisoma sawa na sira ya mtume s.a.w na historia yake ili tujikumbushe na tupate mapenzi juu yake
Sasa shekhe Mwaipopo. Ivi Bidaa itaishinda haki Duniani. Angalia MASAHABA walivoifata haki na sasa Ahlu-Lhawaa wanaoivamia Batili. Maulidi waanzilishi NI Shia halitaki mjadala. Mashia wamewatukana Maswahaba Top four. Kisha uwafuate Mashia wataka kwenda mjibu nini ALLAH. MASAHABA WALIBASHIRIWA PEPO HAPA2 JEE HAWAKUMPENDA MTUME S.A.W
Watu wa maulidi zingatieni hapa: IKIWA HAKUNA ANDIKO KWENYE VITABU VITAKATIFU KUTHIBITISHA SHEREHE YA KRISMASS (KUZALIWA YESU), hivyohivyo HAKUNA ANDIKO KWENYE VITABU VITAKATIFU KUTHIBITISHA SHEREHE YA MAULIDI (KUZALIWA MTUME MUHAMMAD SWALLALLAHU ALAIHI WASALLAM), Nyinyi na wakristo ni kitu kimoja Munafuata uzushi, Musiwasemange Wenzenu
Maashaa Allah
Huna kitu ww kwanza tutajie mashekhe wako walio kufundisha
Mashaallah sheik wetu
Akiliyako namtizamo wako ilakulekebishana laazima. MUHAMMAD,Bachu maashaallah uposahihimaulidi nibidaa lingania iliwatotowetu wasipotee
Usahihi wake ni upi?
Kumbe kusoma maulid ni kupotea,unapoteaje?
Kasome kitabu kinaitwa
الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز
Utaona kumbe salafi inabida mpaka kwenye swala za faradhi 😂😂
nilijuaga hamnaga bidaah
Allah akujaalie kheri.
Allahu baarik sheikh mwaipopo
Masha-allah ❤❤❤❤
Mashaallah.
Hapo sawa mwaipopo. Umeongea kila kitu.
Mungu akuhifadhi.
Hosen kihengo _waislam tujishughulishe na kusoma kwa kukosa ilmu ndo tunaharibu din ya allah mwaipopo mungu akupe afya
Vizur sheikh lkn jitahidi kuusoma zaid uislam Aqida na Tawhid
Kilamtu leo kwa msemaji wa waislam hata wasiojua kitu
Majority ya musicians ni waislamu na wameanza Bidaa ya maulidi sheikh
Huyo Marehem Bachu Allah amuhifdhadhi
hakuwa ni mtu wa maulidi
Iyo elimu inapaswa kutuenea sote waislamu mungu akupe umri mrefu wenye kheri
Shehe Muhammed Bachu mbona anaelewka sana kwhakika rabda hamja juwa maksudio yake nini
Mbna bidaa zpo nyingi tu hamshuhuliki nazo je wapi tuliambiwa mashindano ya kusoma qur An ili mtu Alipwe pesa gari Au nyumba waislam Waleo wanachokiona wao sahihi ndo wanalo litaka
Kasome kitabu kinaitwa
الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز
Utaona kumbe salafi inabida mpaka kwenye swala za faradhi 😂😂
nilijuaga hamnaga bidaah
MashaAllah hakuna muwahabi atakuwa na hikma
mashaalah
Mashall ah. Yani kahumbuka😂😂😂
Mzee kasome hata I hujamaliza
Unataka akasome nini ?
Hapo mwaipopo amehimiza mshikamano na umoja ndani ya uislam jee hilo ni kosa?
Uyu amewakumbusha mashekhe wapunguze mivutano wanawagawa waislamu
Na wanapunguza nguvu ya uislamu
Kumbuka uislam umehimiza iitiswama na sio farqu
Kasome kitabu kinaitwa
الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز
Utaona kumbe salafi inabida mpaka kwenye swala za faradhi 😂😂
nilijuaga hamnaga bidaah
Upo fasaha sana ❤❤
Kuwekan saw ktk din ya kiislam inafaa, wala bachu hajakosea, uislam, ni miongozo ya kisheria, sio rai zawatu au fikra zao,
Bachu anawaliza watu wa maulidi mpaka mnamchukia hahahaha sasa nyie ndio mnamuomba mnakasha yeye katulia pale ikifika Siku ya munakasha hamna kitu😅😅😅
Kweli sheikh mwaipopo kwa allah kukuonyesha na wewe ni mkweli sbb wewe ni muumin ulio fanya jitihada ya kuutafuta uislamu na ukaujua vizuri ushahidi wako unadhihirisha kwenye haki ni wapi..
Mashallah❤❤
Wewe mwaipopo surat lfat-ha hujui kusoma vizuli! Leo uje uzungumzie ilmu ambayo huijui nenda kasome kwanza Wacha kuropoka ropoka umesilimu lakini hujielewi unatafuta kiki tu kama umesilimu utafute kiki endelea ila kama umefuata dini basi mche Allah.
Yaani mawahaby ata mwaskitisha , mtu anakosoa mpka ma imam na kuwafanya waongo lkn bado mwamuona bachu yuko sawa . Yaani mwamfanya bachu ndio Bora kwenu kuliko hao maimamu wote innalillahi wainna ileyhi rajiun
Elim ni kubwa kikubwa ni kuheshimiana na kuvumiliana.
Anakiburi sheikh Bachu
Bachu alitaka kumburuza Ustadh Said vile anavyotaka yeye, lakini alikuwa na msimamo. Ajibu ili waendelee.
Kwahio alitetea uzushi wa maulid
@@abuuaidh6500dj said hana alichokitetea ni utoto tu aliofanya ,,bachu Alipiga pointi moja ambayo dj said hakuweza kuijibu na tanga sabas alkubra alipewa dozi kubwa pointi 19 hakujibu hata moja ,,,sasa nashangaa ATI wanajidai matwarika wameshinda
@@yussuphsaleh767waambie wasikie....kawaida mijitu mijahili hua haijazoea kuambiwa ukweli
Bidaa ni katika ma.wmbo ambayo mtume s.a.w ameyakemea sana na kuhazarisha sana kwaiyo lazma watu waekane sawa iİi tuende kwa m/mungu tukiwa salama
Asalam alaykum
dawa inaitwaje sheikh
Sheikh uko sahihi
Maashaallah shukran mwaipopo
We mwaipopo ! Bacho akija kukupiga raddi useme anakutukana
Mwaipopo hajaongea baya cjui kama umemuelewa
Ameongea baya sana anaegemea upande moja
@@firdausswaleh5299ameongea sawa kabisa bachu hawezi kuwafanya wanazuoni waongo ataitaje hadith dhaif ni uwongo. Na maimamu wote wametumia Hadith dhaif kwahiyo hao ni waongo?. Mcheni mungu bachu hajielewi.
@@yassirswaleh7127usiwasingizie Maimamu mumemzulia mtume mkafaanya maulidi hata mtume na maswahaba hayajafanya Sasa unaenda kwa maulamaa unasema maulamaa wote wanatumia hadith dhwaifu muogope Allah Hao mashekhe unawatetea na uzushi wao wamaulidi watazikwa peke yao na wewe peke yako itete haki alokuja nayo mtume kutumia hadith sahih
Nakupenda kwa Ajili ya Allah
Mungu akupe mazuri
Miaka ya bikhadija sio 40 alpo olewa alikua na miaka 28
Kasome sira wewe bi Khadija alikuwa na miaka 40
Watu ni vzr watanabahishwe mambo ya uzushi au yenye utata! Watu wengi sana wanapoteza pesa zao na wkt kwa kufanya mambo ya uzushi na wkt pengine hayatowafalia chchte akhera. Kwann wasifumbuliwe macho kila mmoja akatafakkar na wakatumia pesa zao na wkt wao kwenye ibada zenye uhakika??? Mm sioni ttzo ila mttzo wanayasabbisha wasiotaka kubadilika au kusoma.
BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI NA KUKIMBIA SUALI 😂
Shukran sana sheykh mwaipopo
Sheikh Moipopo wewe ni mtu mwenye ilmu,
Iblis asikughuri.
Wewe tupe andiko kwa bibilia, Yesu asema yeye sio mtoto wa Mungu.
Hili ndilo swali linalo fanana na swali aliloulizwa Bachu.
Mwaipopo hajui hatakusoma aya nyingi za quran kiusahihi kwa hiyo hapaswi kuzungumzia mambo ya kielimu
Na ww hujui
@@abdulhamidbakar2461 هل تعرفني حتى تقول أنا لا
أعرف أم عندك علم الغيب
أنصحك أن تتعلم قبل أن تتكلم
Wewe Mwaipopo hukusoma please acha kuchafuwa Dini ya Allah.
Apo mwaipopo kakosea nini Ambacho wewe umeona ajasoma na ana haki ya kuchangia?
Kumbuka mwaipopo amehimiza mshikamano kwa waislamu
Na Qur'ani imehimiza umoja
Imehimiza tusifariqiane tutavunja nguvu zetu
Sasa hapo kakosea wapi?
swadakta sheikh umenena la ukweli jazakallaahu kheyr
Wanazuoni wa shirki vipi
Ukweli udhiri batwili ipingwe maneno ya mungu
Bachu hana uwezo wakufanya mijadala hata kwa dakika 10
Haha alifanya tanga mbona na akashinda tu kwasababu kule tanga walijadiliana kielimu huku watu wanazunguka mara swali halieleweki mtu ashaambiwa swali si lakielimu yuko hapo hapo jamaa ilimradi munaqasha usiendelee ameona anashindana na majahil ukishindana na jahil utapoteza mda tu
We love Bachu! ❤❤❤ Allah amzidishie Zaid ya hapo he is hero
Njoo uchukue maua yako mwaipopo sawa naomba namba yako ya sim bas nikutumie tigo pesa
Nitumie mm
Atakae ona munkar, auzuiye kwa mkono wake, kama hawezi basi ulimi, kama hawezi basi achukie. Na huko kuchukia ni imani nyonge. Sasa Bachu asiseme kwa sababu ya kuogopa watu. Kwa kifupi mimi nilijua kwenye munaakasha kwamba hadithi zitumikazo ni dhaifu. Nitakacho fanya sasa nitamsoma Barzanji kama baba wa maulidi.
Sasa mtu kama alikiri makosa ama kama wewe tuzungumze yako kabla ya uislamu
Nawe shehe soma kwanza dini weweni mwanafuzi ujui kitu katika fani zadini baki na wakirito usije ukakufuru
Upo sahihi. Yaan hatutakiwi waislam wenyewe kwa wenyewe kupigana vita.
Ww mwaipopo kwanza kaaa katako usome dini ujifunze gur-an kuisoma vizuri kisha uje uongeee haya unayoongea ww unaona ni kitu kidogo sana
Hao mawahaby ndio wanafaa wasome Sana. Juzi tu wakaibika mtu kufanya Aya ya quran ni hadith msiba huu
Mawahabbi hapa watakulaumu sanaaa
Bachu anapepea jamani kila mtu bachu bachu na maswali yake hamjibu bachuuuuuu weeeeeeeeeee oyeeeeeeeeeeeeeee
Hilo la kutupa barzanje aliomba msamaha ,tatizo mmeguswa
Nilichojifunza kwa huyu ana ujinga mwingi hajui mengi ya dini lkn anajifanya anajua kumbe hamna kitu anaongea vilivyomo na ambavyo havipo
Wewe inaonekana huna ELIMU pole sana
Ww ndie wale wale waso na elimu na hekma kasome kisha ukoment
Ni kweli watu wa maulid watu wa hovyo
Ukweli unauma
Wewe inaonesha SI Muislamu
Assalam aleykum sheikh mwapopo.
Question.
Maulidi ni shirki au sio shirki?
Na kama ni shirki kiasi gani anashirikishwa Mtume wa M/MUNGU.
Kabisaa
Tatizo la huyo Mwaipopo hajasoma lakini pia anasumbuliwa na njaa kujipendekeza kwa mama samia sasa wewe Mwaipopo lazima unywe mtume wetu hakumuingiza swakhaba yoyote kwa kutumia biblia kwahio kuwa na adabu sheikh mukhamad baco si sawa yako kuwa na adabu
Mwaipopo kasome kwanza kabla ya kujibu kadhia hio
Toka hapo mwaipopo huna huna ufahamu wa maandiko yoyote wala huwez kushindana na viongozi wa kikristo ndio maana wakakuouuza maana wakristo tunajua wewe umechanganyikiwa baada ya kum u acha Yesu ukachanganyikiwa ,hivyo wakristo na viongozi tunakuona umevamiwa na pepo ,wewe endelea hukohuko kuwapanga mashekhe na waislamu huko lakini sisi huku tulisha kufukuza