SHEIKH SAID ATOA SOMO JIJINI DSM, MTOTO WA BACHU USIPOELEWA HAPA BASI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 окт 2023
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    RUclips: / @babdeomiladu

Комментарии • 536

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani7014 8 месяцев назад +12

    Huyu shekhe alinifurahisha sana siku ile kwakweli, allah amuongoze na sisi wote,! Amiin

  • @litimbaify
    @litimbaify 8 месяцев назад +8

    Jazaakallah khayran Bachu umewaweka watu bize na wewe, Allha akuzidishie zaid masufi hawalali na kusoma zaid lakin bado haijatoka hoja juu ya Barazanj na Kufur zilizopo, Sh Said mpaka ujibu hoja kwanza,
    Tunajua haujaanza wewe kutetea Maulid na haiishi, sis tumeshapita hayo itetee Marazanj kwanza!

    • @sudisalehe192
      @sudisalehe192 8 месяцев назад +2

      Hakuna kitu hapo

    • @hamisimwalimu7333
      @hamisimwalimu7333 26 дней назад

      Sheikh we hata huelewi

    • @hamisimwalimu7333
      @hamisimwalimu7333 26 дней назад

      Yani nyinyi mawahabi vita vyenu maulidi tu shida mawahabi hamjasoma wallah

    • @litimbaify
      @litimbaify 26 дней назад

      @@hamisimwalimu7333 huna hoja bora upite tu si lazima na wewe ucoment kwa elimu gani ulokuwa nayo, usishangae hata juzuu Âma haujamaliza

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 8 месяцев назад +6

    Swadakta Sheikh wangu, Allah akupe Kila Lakheri, Afya Njema, na Umri Mrefu tuzidi kustafidi. Allahumma Aamiin.

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283 8 месяцев назад +9

    Mashaallah shekh said mungu akuzdishie ilmu na akuruzu fahamu uzidi kutuilimisha shukran

  • @rashidishak3991
    @rashidishak3991 8 месяцев назад +15

    بارك الله فيك يا شيخ سعيد اطال الله عمرك ونفعناالله بك ❤❤❤❤

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 8 месяцев назад +13

    Mashallah shukran sana ustadh saidi, hiyo ilmu ulio itoa ni kubwa mno, mawahabi hawaja elewa chochote kamwe ndo wanazidi kupoteza maarifa

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 8 месяцев назад +2

      Wajua maana ya Elimu wewe au ndio huo ushabiki???

    • @user-hx8bh1jt4k
      @user-hx8bh1jt4k 8 месяцев назад

      @@abuurayaan3902 Mi nadhani ifike wakati Sasa tuitumie Ile Aya"Lakum Diinukum waliya Diin"Kwa sababu hamjataka kuketi na kuendelea kudadisi na kujifunza,bali mmevishwa misimamo ambayo hata hamjui athari yake.

    • @tahanyjaffar8321
      @tahanyjaffar8321 8 месяцев назад +1

      Ni sharti usome ndio uwe n ilmu sio mawahabi wako kama bendera hawasomiiiii wao wapinga tu

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 8 месяцев назад

      @@tahanyjaffar8321
      wewe Umeifadhi juzuu ngapi kwanza na kitabu Gani Cha Cha Hadithi Ulicho kihifadhi

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 8 месяцев назад +1

      @@tahanyjaffar8321
      Alafu naona umendandia tu
      Jubu swali unajua maana ya Elimu wewe kilugha na kisheria????

  • @AyoubAbdullrahmanAmir
    @AyoubAbdullrahmanAmir 8 месяцев назад +9

    Babdeo hii iko sawa kabisa maana ilikata kata mno...Allhamdullilah.....tumsif Mtume ...

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline 8 месяцев назад +16

    Duh... Tuwache ushabiki, tuyasikilize vizuri haya maneno.. Ni Darasa nzito. Allah akuweke habyb na akufunguliye elimu zaidi na zaidi.

    • @yusufuzuberi9884
      @yusufuzuberi9884 8 месяцев назад

      Kwaiyo tunywe tembo au

    • @user-sm1ux6nj7b
      @user-sm1ux6nj7b 8 месяцев назад

      ​@@yusufuzuberi9884ww kichwa chako cha panzi kavute bangi tu

    • @abdulhamidbakar2461
      @abdulhamidbakar2461 8 месяцев назад

      ​@@yusufuzuberi9884ufaham mdogo rejea usikilze

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 8 месяцев назад +4

      Huwezi kumlazimisha mtu Kufahamu maana ufahamu pia ni rizki.

    • @yasiniselemani3917
      @yasiniselemani3917 8 месяцев назад

      ​@@yusufuzuberi9884sikiliza vizuri halafu kuwa na ufahamu uache ushabiki kwenye dini hujui kaa mbele ya mwalimu ufundishwe

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 8 месяцев назад +5

    يمضي الليل بلا قيام
    ويمر الاثنين والخميس بلا صيام ويفوتهم الفجر وهم نيام
    ويحتفلون بالمولد دون برهان
    ما هكذا كان يفعل خير الأنام

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 8 месяцев назад +11

    Kila siku inabidi kutetea maulid kila atae simama lkn bahat mbaya nikua kila anayesema Akimaliz anajikuta hajasem kitu haya mngeyajibu maswali ya Bachu mbele yake yote 19 . Kisha mkauliza sasa msingepata tabu lkn hii itawagharimu kila siku.mfano haitokei mtu kuteteA swala funga zaka n.k kwasababu nisahihi lkn hya maulid inabid uyatetee kila siku kwasababu ni uzushi

    • @elbattawy2864
      @elbattawy2864 8 месяцев назад +1

      Ibada sio tu swala, kufunga na kutoa zaka, Ibada ni nyingi sana, kuhusu khadithi ambayo bachu huitumia kupinga maulid sheikh saidi amempeleka shule vya kutosha kuhusu kula bidaa dhalala wa kula dhalala fi nnar., rudia usikilize tena na tena, bachu hawezi kuona ndani hapo

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 8 месяцев назад +1

      Nenda kasome wewe acha ushabiki kwnye dini ya mungu unaona watu wanazungumza ukafikti wanayatoa tu hawana uhakika nayo

    • @SuleimanMakame-ex2eh
      @SuleimanMakame-ex2eh 8 месяцев назад

      Swaddakta somo

    • @user-hk1jy6rl5e
      @user-hk1jy6rl5e 8 месяцев назад

      Wahab nyinyi mtatseka sna mkiona vip kunywen sum mfee. Tu lakin kama Bado mpo maulid yatasoma mwapaka uchochoron kwen mpka mue mnakwepa njia

    • @user-ug8wh1hg6r
      @user-ug8wh1hg6r Месяц назад

      Sema WWE kitu ueleweke kwnz

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 8 месяцев назад +4

    Mashaalah ostaz said jazakallahu kheir,nakushauri hutubazako uzungumze pole pole usiharakishe ukiharakisha tunashindwa kulewa tembo lachelewa kutulewesha ,wengine vichwa vyetu ni vizito,na tembo Kwa Tanzania ni pombe.tumefahamu jazakallahu kheir.

  • @user-jn4fb3mh9v
    @user-jn4fb3mh9v 8 месяцев назад +6

    Mashannlha habibi hay ñi Matunda ya mwalim wa mwalim wangu sheighe Muhammad alibiz ,,shukuran aghii

  • @allyfundi6405
    @allyfundi6405 8 месяцев назад +13

    Nimetosheka na huyu mtu wallah nilikua narudi rudi sana nyuma kwenye maulidi ila sasa kwenye maulid nitaenda kila mara

  • @user-gy8wl2jj5g
    @user-gy8wl2jj5g 8 месяцев назад +4

    Maa Shaa Allaah
    Allah akuhifadhi akulinde na akuweke tuzidi kuilimika na kufaidika IN SHAA ALLAAH

  • @qaseemayoub6758
    @qaseemayoub6758 8 месяцев назад +8

    Maa shaa Allah TabaarakaAllahu❤

  • @user-ys1kb7zk6k
    @user-ys1kb7zk6k 8 месяцев назад +5

    WALLAAHI ELIMU INARAHA SANA UKIISIKILIZA
    ALLAAH ALLAAH ALLAAH
    WALLAAHI TUSOME SANA NA ALLAAH ATUPE FAHAMU

  • @alisudiramadhan3151
    @alisudiramadhan3151 8 месяцев назад +9

    Shukran Akhii mungu akujaze kwa kurekebisha habari itawafikia

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 8 месяцев назад +12

    Ukiona comment za kupinga niza mawahabi siajabu hata mtume walimpinga.al habiib saidi allah akujaze kheri nyingi wafikishie ujumbe elimu ya fani hawana japokua wanachukia

    • @AbuuAbdillah-hb8li
      @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад +2

      Wewe ndio upumbavu uliopandikizwa kichwani mwako kwamba mwenye kupinga maulidi kampinga mtume swalallahu aleihi wasallam soma dini ya ALLAH acha ujinga wa kuburuzwa

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 8 месяцев назад +1

      @@AbuuAbdillah-hb8li wewe ndio uache ujinga munaacha kukemea maovu uzinzi ulevi kutosali n.k mwatoa povu na maulid acheni ujinga someni dini ya Allah

    • @twayibshaykhmuhammad1034
      @twayibshaykhmuhammad1034 8 месяцев назад

      ​@@AbuuAbdillah-hb8li
      MASWAHABA NA MASALAF NA MASUUFI wame elewa yakuwa BIDAA ni mbili Sayidina OMAR asema نعمة البدعة BIDAA nzuri na IMAM SHAFII amezigawanya BIDAA nzuuri na mbaya SWALI kwa MAWAHABI ??? Je muna ILIMU kuwashinda hao ??? لا والله na je munamtegemeya nani katika MASWAHABA NA MASALAF yakwamba amekataa BIDAA kugawanwa ???

    • @subirajuma5678
      @subirajuma5678 8 месяцев назад +1

      Mashia nao vipi sielewi mimi wanapinga maulidi au wanakubali

    • @tariquexplore
      @tariquexplore 8 месяцев назад

      Muongo sana uyuuu😊

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 8 месяцев назад +13

    Mara ya tatu hii video naangalia🤸‍♀️🤸‍♀️wewe kama humkubali. Saga. Chupa. Unywe ❤😂😂

    • @Amina-rr8ve
      @Amina-rr8ve 8 месяцев назад

      🎉🎉 mimi ndo naanza hapa😂

  • @uthaymaanashshiraaziyy2413
    @uthaymaanashshiraaziyy2413 8 месяцев назад +6

    ماشاء الله
    جزاك الله خيرا وبعد خير جنة النعيم
    Allah akuhifadhi Shekhe letu tuzidi kuilimika
    متعك الله طول عمرك
    صلوا على سيدنا محمد

  • @ismailhashimu6467
    @ismailhashimu6467 8 месяцев назад +1

    Allahu Akibaru ❤❤❤MashaaAllah

  • @RamadhaniMwandambo-fx9sb
    @RamadhaniMwandambo-fx9sb 8 месяцев назад +79

    Mashaallah, kuanzia Leo naanza kuhudhuria hadhara za maulidi , na nikipata uwezo ntasomesha nyumbani kwangu Kila mwaka mara Moja.

    • @rashidswalehmwanjama3404
      @rashidswalehmwanjama3404 8 месяцев назад +2

      Masha Allah

    • @user-ys1kb7zk6k
      @user-ys1kb7zk6k 8 месяцев назад +1

      صلى الله عليه وعلى آله وصحبه وسلم

    • @hemedhamdan
      @hemedhamdan 8 месяцев назад +3

      Hahahaha, yaani hii dunia ilko na vihoja. Allah atuongoze sote jamii Islaam, Aamiin🤲

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 8 месяцев назад +3

      Na motoni utaingia na huyo bwana wako
      Endelea kufanya haramu

    • @i_gabbykisalo4280
      @i_gabbykisalo4280 8 месяцев назад

      Masha'Allah...😂Allah akupe unachoitaji amiin

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 8 месяцев назад +7

    Sku zote nawaambia shkhe said anakitu cha ziada kapewa na mungu tuache hasadi tchukue elimu kwake

    • @swalehahmed6579
      @swalehahmed6579 8 месяцев назад

      Kabisa ndugu yangu @abubakarymaulidi5681 hawa mawahabi ni mahasidi na hawataki kufahamu Al Ustadh Muhammad Shariff said Al Beidh alisema kitambo hawa mawahabi hata kwambiya nini hawatakubali hata kama wao wajua wana makosa hii ni tabiya yao ndiyo ukaona wengi wao ilimu yao ni ndogo sana nawale wafuai wao wasojua kitu ndiyo ma mufti wakubwa mpaka kuna mmoja hapo asema tutangiya motoni pamoja na sheikh said yaani akusuduya watu wa maulidi Wallahi sijui ninani alowapa vibali vya kuingiza watu motoni yaani waingiliya kazi ya Allah je haya ndiyo mahaba wanayo dai wampenda mtu au ndiyo Sunna hiyo? Maana mtume hakuambiya watu wewe utaingiya motoni

    • @uwesundembo5147
      @uwesundembo5147 8 месяцев назад

      Hata elimu yakupiga Gita navinanda nayo nielim

  • @rashidishak3991
    @rashidishak3991 8 месяцев назад +5

    ما شاء الله تبارك الله

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 8 месяцев назад +12

    ❤❤❤❤Nakupend hadi naumwa 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @jumamukoko6662
    @jumamukoko6662 2 дня назад

    May Allah (SWT) protect you

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 8 месяцев назад +9

    WALLAH umetufurahisha habiib BAARAKALLAHU FIIKUM

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 8 месяцев назад +7

    Wallwaahi umezungumza kwa uchache Laakin Elimu uliyoitoa ni kubwa saana Habeeb
    حفظك الله ورعاك

  • @rashidishak3991
    @rashidishak3991 8 месяцев назад +2

    Shukran babdeo tv❤❤

  • @subirajuma5678
    @subirajuma5678 8 месяцев назад +2

    Hapo sijaona barnzanj ikitetewa, bali naona hadithi inayokataza uzushi ikichambuliwa kilugha. Lakini uhongo ndani ya barnzanj wabakia pale pale kua uhongo.

  • @iddswalehomar1323
    @iddswalehomar1323 8 месяцев назад +8

    Bacho sio wakuenda mamburui kufundishwa niwakumtafuta ustadh said amfundishe

  • @BriXGuru
    @BriXGuru 8 месяцев назад +3

    Barakallah feek shekh Said

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 8 месяцев назад +9

    Naona porojo TU hapa sjaona dalkli ya kutetea maulid Bado sana hamna hoja hapo
    Tetea kwanza barzanji wapi wanyama walizungumshana siku ya kuingia mimba ya mtume Swalla llaahu alayhi wasallama?

  • @suuahmed71
    @suuahmed71 8 месяцев назад

    Maa shaa ALLAH. Ustadh Said. MUNGU akuzidishie ilimu nnaafi3

  • @user-rk8gk5xw4f
    @user-rk8gk5xw4f 8 месяцев назад +2

    Shukrani sheikh wajazaka Allah khairah

  • @travellertraveller4505
    @travellertraveller4505 8 месяцев назад +3

    Maashaallaah❤❤❤

  • @hajikatanje5961
    @hajikatanje5961 8 месяцев назад +5

    Shekh sisi waislamu tunajuwa ulishindwa kuwaelimisha waumin wapenda maulidi nnabai ile siku ndio ilikuwa bora zaidi kwa yule mwenye kutaka kuelewa ila ni wazi maulidi ni bidaa kubwa tu maana huna hadithi wala ktk vitabu vya hadithi wala qur an hayapo shekh usituletee tafsiri ya nahau wakati nahau ni matumizi ya lugha tu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 22 дня назад

      Sasa alishindwa kujibu bachu hadithi munkar haijui wanazuoni wasemaje kuhusu hadithi munkar bad badili kusema hajui asema hajaona alafu kitu chengine nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume tawhed tatu mumezitoa wapi mtume hajafundisha wala maswahaba hawazijui tawhed tatu hio hujaona kama bidaa

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 8 месяцев назад +5

    نحن لا نلزم أحد بشيء وإنما ننصح ونبين السنة ونحذر من البدعة شاء من شاء وأبى من أبى فمن قَبِلَ فالحمد لله ومن عاند فأمره إلى الله
    "كل نفس بما كسبت رهينة"
    توحيد الله عقيدتنا....

    • @zahorokombo6881
      @zahorokombo6881 8 месяцев назад +2

      ما شاء الله كن حيث أنت 😊

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi 8 месяцев назад

      لا تجمجم

    • @ABUUMARYAMA
      @ABUUMARYAMA 8 месяцев назад

      دع ما يريبك إلى ما لا يريبك

    • @ABUUMARYAMA
      @ABUUMARYAMA 8 месяцев назад +1

      كلنا أمرنا إلى الله ،وكل مسلم توحيد الله عقيدته

    • @swahibually8349
      @swahibually8349 8 месяцев назад

      انت جاهل مركب.بل نرجو انتفهموا شيٸا فشيٸا ان شاٸﷲ

  • @adamkilembwe.
    @adamkilembwe. 8 месяцев назад +4

    ماشاء الله

  • @zainabusadi6469
    @zainabusadi6469 8 месяцев назад +4

    الله يحفظك يا شيخ سعيد ❤

  • @AishahMuigu
    @AishahMuigu 8 месяцев назад +1

    إن كذبا علي ليس ككذب على أحد، من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار

  • @abdurazaqiamisi1463
    @abdurazaqiamisi1463 3 месяца назад

    Allah akuhifadhi sheikh wangu

  • @subirajuma5678
    @subirajuma5678 8 месяцев назад +1

    Nilipokua mtoto nilisikia sifa za mambrui kuwa na elimu mpaka nikatamani niende nikasome huko. Alhamdullillahi wazee wangu walinipeleka na nikapata nafasi pale al ghanahu ul islamiya kwa sheikh mohamad, na wakati huo sheikh alikua bado yuko hai mwenyezi mungu amrehemu. Basi nilifaidika sana chini ya sheikh. Mwaka wa 2002 kulikua na harakati za mijadala mingi sana baina ya sisi watu wa twariqa na mawahabi. Kulipamba moto sana mpaka nikawa najiuliza kwani mawahabi nikina nani mbona wanasumbua sana waislamu. Wakati mwingine sheikh mohamad alikua akija pale madrasah baada ya kutoka kwenye mdahalo, anaema sana kwa pressure huku akasema mawahabi leo wametusumbua sana ata kama walikuwa kwenye haki lakini hoja zetu zina nguvu kutubana wametubana. Kumbe mawahabi wako kwenye haki, mpaka leo ili swali najiuliza, na twariqa wanalijua hili kua mawahabi wako kwenye haki.

    • @thefoodshaikh811
      @thefoodshaikh811 8 месяцев назад

      Ni kweli Dadangu alienda manazilul abraar kwa ustadh abdulraheem mambrui. Watu wa sunnah wako kwenye haki siku zote. Hawa watu wa twariqa wanataka kutetea bid'aa wakitumia njia zote.

  • @user-on1vh9nf9k
    @user-on1vh9nf9k 8 месяцев назад +1

    Mashallah Allah akuhifadhi na hasadi Inshaĺah

  • @user-mk7ts6ss9d
    @user-mk7ts6ss9d 8 месяцев назад +1

    Allah akuhifadhi us uzidi kuwaelimisha wasiolewa: na akulinde na macho yamahasidi

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 8 месяцев назад +2

    Allah azidi kukubariki elimu Kijana waliokusomesha ni Wazi Allah Aliwatunuku

  • @infocontentchannel
    @infocontentchannel 8 месяцев назад +4

    Hafidhwakallah shaikh

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 8 месяцев назад +2

    Maasha allah

  • @subirajuma5678
    @subirajuma5678 8 месяцев назад +2

    Hizo hoja zako zote zilivunjwa kitambo na sheikh Kassim mafuta alipofanya mdahalo na kina sheikh dede na kazuba kule tz mpaka sheikh dede alitaka kulia jinsi Kassim mafuta alivyowabana sawa sawa.

  • @ibrahimnoordin3420
    @ibrahimnoordin3420 8 месяцев назад

    Salute.. kwa hii bahri.. Allah akuzidishie ilm ust. Said.

  • @elmahestro6242
    @elmahestro6242 8 месяцев назад +1

    Mashallah Allah akujaze kila la kheri uzidi kuzindua watu kutoka kwa akili za kijahil

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd 8 месяцев назад +2

    sahihi kabsa jaxakallahw elim
    kumbe kias umwambie barabarani angie kwenye kiti

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 8 месяцев назад

    جزاك الله خيرا على هذا الموضوع

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 8 месяцев назад +4

    Kwanza salam tu ameshaweka bida'a halafu mnajitapa kwenye batwil mko wengi sana

    • @user-hk1jy6rl5e
      @user-hk1jy6rl5e 8 месяцев назад

      Hayo tushayazoea leten mengine nasim ulotumia kuangalia haya mawaidha nayoo bidaa uitupe Yan bidaa unayoo halaf unamtukana mwenzio wahab nyinyi omben mungu awape ufaham wa elim.yan mpka mnatia kinyaa mlivyohamelewagi

  • @salmaali7080
    @salmaali7080 8 месяцев назад +1

    Allah awahifadhi mashekh wetu inshaallah na awape umrr inshaallah

    • @khadijashee9105
      @khadijashee9105 8 месяцев назад

      Lazima wakusifu sababu tunajua tzn waongoza kwa usanii huyo said huku kwetu ni msanii

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 8 месяцев назад +6

    MARHABAN HABIIB KAMA HII HAIKATI SAUTI BC AHLAN WASAHLAN

  • @jumamwarabu9307
    @jumamwarabu9307 8 месяцев назад +4

    MAULIDI YATA ZIDI ::NA NYUMA HAYATA RUDI;;:WAUM IE MAWA HABI:::NA NYINGI ZAO LAWAM

  • @elbattawy2864
    @elbattawy2864 8 месяцев назад +2

    bachu hawezi kukanyaga tena mombasa sheikh said yuko vizuri sana, Ivi kumbe bachu hajuwi fiqhi kwa kiwango hiki? sasa ndo naelewa madhaifu ya bachu yako katika taaluma

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 8 месяцев назад +1

    يذهب الصوفية للقبور متبركين بمن يزعمون أنهم أولياء
    ولكن الله تعالى يأمرنا أن نقول :
    قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy 8 месяцев назад

    Maashaalah ustadh said

  • @fahadbabuy
    @fahadbabuy 8 месяцев назад +7

    Simple mathematic😂😂😂MAULID HAIJATHIBITI MIONGO YOTE MITATU ALIYOSEMA MTUME (s.a.w) sasa we jichanganye ujifanye mjuwaji🔋😂

    • @samirharun7993
      @samirharun7993 8 месяцев назад +1

      we bado umelala jitaidi kasome elim ni bahari acha kubaki apo kama maji yalio tuwam na yakatoa harufu mbaya

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 8 месяцев назад +3

      Wewe unayo Dalili kuwa Maulid hayakuthibiti alishindwa shekhe lako mpaka kajikojolea kitini

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 8 месяцев назад +1

      ​@@abubakaromar6101😂cheki huyu alivyo muongo mada ilikua ni kuthibit au. Alafu msiwe mnabebwa na propaganda unatak kusema shekhe aloshika kiti alishika mikojo? Haiingii akilin mkojo unajulikan tu na huwez shika mkojo ilhal wajua ni najsi na unashika kwa misingi ipi na unashika bado hujui km ni mkpjo au maji eti unajiuliza.....huo ni mtego kwa wewe mtazamaj ndo utaropoka mkojo lkn kitwndo cha Shekhe kushika huo si mkojo ungekua mkojo asingeshika tazam vzr

    • @elbattawy2864
      @elbattawy2864 8 месяцев назад +1

      Ile amri iliyotoka katika Quran kumsalia Mtume s.a.w je unaikubali? Je ni dhambi kujua Sira ya bwana mtume s.a.w? chakarika ulete fatwa hapa

    • @user-hk1jy6rl5e
      @user-hk1jy6rl5e 8 месяцев назад

      Yan kwasasa mawahab mtaisoma namba tu kadrii mnavyotukana ndo maulid yanasomwa zaaid mwaka huu mmetukana barazanji yamesomwa mpka milangon endelen kutukana yatasoma mpka misikitin kwenye

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 8 месяцев назад +2

    Hilo Darsa kubwa Sana Sheikh wangu, Kuna watu hawaelewi kabisaa wanatia wenzao uharami usiokuwa na mashiko, Kisa Kuswaliwa Mtume Muhammad ( s a w). Tupaze Sauti Kila Kona waislamu wapate kuelewa na hatimaye Maulidi Yasomwe Duniani Kote. InshaAllah!

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 8 месяцев назад

    Mwenyezi Mungu akuhifadhi kijana chetu uzid kutupa elm

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 8 месяцев назад +1

    Enyi masheh mungu anawanaa Mungu atuongoze

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 8 месяцев назад +5

    MAWAHABI UFAHAMU WAO NI MDOGO KAMA BACHU

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 8 месяцев назад +2

    MashaAllah

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe 8 месяцев назад +1

    Mashaallah

  • @user-iv3ou4qg4d
    @user-iv3ou4qg4d 8 месяцев назад +2

    Kweli alifanya kazi kubwa ya kumzulia Mtume S.A.W.

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 8 месяцев назад +1

    وقد بين النبي صلى الله عليه وسلم لأقرب الناس إليه أنه لا يغني عنهم من الله شيئا، كما في الأحاديث الصحيحة ، ومن ذلك ما في الصحيحين أن أبا هريرة رضي الله عنه قال قام رسول الله صلى الله عليه وسلم حين أنزل الله عز وجل (وأنذرعشيرتك الأقربين) قال: " يا معشر قريش أو كلمة نحوها اشتروا أنفسكم لا أغني عنكم من الله شيئا . يا بني عبد مناف لا أغني عنكم من الله شيئا . يا عباس بن عبد المطلب لا أغني عنك من الله شيئا . ويا صفية عمة رسول الله لا أغني عنك من الله شيئا. ويا فاطمة بنت محمد سليني ما شئت من مالي لا أغني عنك من الله شيئا ".
    والحاصل أن المؤمن الموحد لا يسأل إلا الله، ولا يدعو غيره، ولا يطلب الشفاعة من الشافع في الدنيا، وإنما يسأل ربه أن يجعله أهلا للشفاعة، وأن يأذن للشافع حتى يشفع له .

  • @user-ch2zh8sd2u
    @user-ch2zh8sd2u 8 месяцев назад +1

    Mashaa allah

  • @khalifaahmed5232
    @khalifaahmed5232 8 месяцев назад +2

    Asantaaaaaa Sanaa sheikh said walai kusoma Rahaaaaaa sanaaaaaaaa

  • @latifaayoub6126
    @latifaayoub6126 8 месяцев назад +1

    Somo na nusu ... حمياه .. daaah Allah akuhifadhi ustadh said .. watu wataka kufasiri vitabu kwa ilimu hizi zetu za vyumo jamaaa walotunga walikua waarabu jamaaa

  • @AliMuhammad-hs8ds
    @AliMuhammad-hs8ds 8 месяцев назад +3

    Hapa mawahabi hawaelewi kitu waeza pandisha marohani wakiskia maneno haya 😅😅

  • @dodokibbah3513
    @dodokibbah3513 8 месяцев назад +3

    Leo tunawafunzaa lugha kwanza,maashaAllah😊

  • @rushu1232
    @rushu1232 8 месяцев назад +2

    Mawahabi wachaneni uhasadi hamulazimishwi kabisa musome au muhudhurie maulid nasisi tunahuja zetu tuwacheni tutahukumiwa na Allah na amal zetu na nia zetu.

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha9670 8 месяцев назад +3

    Maulidi ni ibada ? Na kama ni ibada mfumo wake ulisahauliwa kwenye kurani na hadithi ? Acheni kuunganisha unganisha ili muhalalishe ni badaaa hiyo haipo katika dini😅😅😅😅

  • @kingofshorts6824
    @kingofshorts6824 8 месяцев назад

    Mashalah sheikh wetu👑 🇰🇪

  • @user-yr5bo2pd4r
    @user-yr5bo2pd4r 8 месяцев назад

    allah akuifadhi mwalimu wangu❤❤❤

  • @user-je6qh6it5w
    @user-je6qh6it5w 8 месяцев назад +1

    Mashallah

  • @AishahMuigu
    @AishahMuigu 8 месяцев назад +2

    Hii kheri ya maulid, aliijua ama hakuijua mtume swalallahu alayhi wasalam? Naam au la… na ukisema la ushaanguka kwenye msiba. Kama ndio, je alifundisha? Kama jibu ni ndio, nipe dalili… kama hakufundisha ushamtuhumu kwa khiyana …. Audhubillah! Allah aniweke mbali na kizazi changu na ushirikina na bidaa… na maulid.na atuongoze sote… na atujaalie aqeedah swahihi.

  • @mudhihirinjonjolo5620
    @mudhihirinjonjolo5620 8 месяцев назад +1

    Allahu Akbar.Swallu alaa Nnabiy.

  • @binfarhan879
    @binfarhan879 8 месяцев назад +2

    Subhana Llah
    Hii hali tukiendelea nayo kuna michezo mingi itazuka kwan kupitia Maulid hakuna mtu anajali na kupata mazingatio maku wa juu ya dini na ndio maana tokea 2021 kumuundwa Mtume Cup kabla ya Maulid jee na ili mnakubaliana nalo?
    Na je ndio Mafindisho ya Maulid pamoja Dufu, Vinanda na Vinara.
    Tumcheni Allah na tusifanye Mas-hara katika dini.

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 8 месяцев назад +2

      Ukibadilisha malengo ya kusikiliza, ukiondoa ushabiki, ukiondoa chuki, hasadi, bughdhwa,
      NDIO SIKU ITAKAYOBADILI MAISHA YAKO....

    • @alisudiramadhan3151
      @alisudiramadhan3151 8 месяцев назад +1

      Tatizo hamutaki kusoma mwasikiza tuu ndio mwapotea hamuelewi

    • @rjqaasam4587
      @rjqaasam4587 8 месяцев назад +1

      Kaa kimya hujui kitu

    • @samirharun7993
      @samirharun7993 8 месяцев назад +1

      wewe ndio bado umelala elewa kinachozungumzwa

    • @twayibshaykhmuhammad1034
      @twayibshaykhmuhammad1034 8 месяцев назад

      MASWAHABA NA MASALAF NA MASUUFI wame elewa yakuwa BIDAA ni mbili Sayidina OMAR asema نعمة البدعة BIDAA nzuri na IMAM SHAFII amezigawanya BIDAA nzuuri na mbaya SWALI kwa MAWAHABI ??? Je muna ILIMU kuwashinda hao ??? لا والله na je munamtegemeya nani katika MASWAHABA NA MASALAF yakwamba amekataa BIDAA kugawanwa ???

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 8 месяцев назад +1

    ماشاءالله

  • @makamekombo-qy6dx
    @makamekombo-qy6dx 8 месяцев назад +1

    Maulidi muta yatetea kwa kujenga hoja zenu za kiali tuu
    lkn Hamto soma Aya Wala hadithi
    za Mtume swahihi kuonyesha kuwa Ni ibada poleni sana
    Tuna kusubirini kwa Allah kuhusu Ibadahiyo

  • @aljahuur
    @aljahuur 8 месяцев назад

    Mashallah barakallah

  • @abdiabdu7179
    @abdiabdu7179 8 месяцев назад +2

    Kichwa hiki bachu hapa ame achwa mbali hata elewa kitu

  • @jumahory859
    @jumahory859 8 месяцев назад

    برك الله فيك

  • @khalfanidriss8931
    @khalfanidriss8931 8 месяцев назад

    Mashalah Waa,Allah Yaalaamu

  • @user-ry1pe3tu5s
    @user-ry1pe3tu5s 8 месяцев назад +1

    Kilichoandikwa ndani ya maulidi ndio tunataka ajibiwe bachu, ,,zile hoja 19 zijibiwe kwanza, ,na pale Mombasa lile suala moja limekugandisha anaona kajibu kumbe bachu ndie alieshinda, ,,matwarika jibuni hoja za bachu kwanza, ,msipige porojo

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 8 месяцев назад +3

    Bachu kiukweli na huyu mwamba ni mbingu na ardhi. Bachu ni mtoto mno kielimu na Shekh Said

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 8 месяцев назад +1

    Kwanza hakuna ushahidi wowote kama Mtume amezaliwa mfunguo sita!na ikiwa kuna mtu ana ushahidi huo atuletee ili tufahsmu tusichokijuwa!

  • @Masouds21
    @Masouds21 8 месяцев назад +2

    Ogopa matapeli. Kiufupi waislamu tusomeni tuepuke kutapeliwa

  • @Jamalhusen7025
    @Jamalhusen7025 8 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @blazeking2331
    @blazeking2331 8 месяцев назад +1

    Bado hajatupa hoja ya msingi ya uhalali wa maulidi poleni Allah awape fahamu za kuelewa

  • @user-qb5ok6uy3i
    @user-qb5ok6uy3i 8 месяцев назад +2

    Mawahabi na majaahili sana wallah maulid ntasoma inshaallah mpaka naingia kaburini

    • @abdulykahera4273
      @abdulykahera4273 8 месяцев назад

      Kaa usome dini acha kusema maneno yako

    • @halimakassimngare4873
      @halimakassimngare4873 8 месяцев назад

      mche mola wako, ulete istighfar huo si ushahid nenda usome dini yako wacha kubabaishwa na fani za kiarabu, maswahaba wote hawqkusoma maulidi kama ingalikua ni dini, wangalifanya maswahaba wa mtume saw....wacha kubabaishwaa na watu wa elimu za shairii yale ambayo hayakua dini wakat ule katu hayawez kua dinii wakat , dini ilikamilika bila maulid wala khitmaa.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 8 месяцев назад +4

    Swahaba gani kafahamu ivo

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 8 месяцев назад +1

    Waislam wacheni mambo Ya kutiliana pesa kwenye kofia Mpe mkononi mwaacheni maalim afundishe msimshughulishe

  • @maulidmaulid2106
    @maulidmaulid2106 5 месяцев назад +1

    maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 8 месяцев назад +2

    Mawahabi mmeelea. Ila munaona. Aibu kusema asanty simba 😂😂

  • @abdulaisha4145
    @abdulaisha4145 Месяц назад

    Siku hizi kila sheikh ana wafwasi wake kama machester na arsenal... Subhana Allah