Jazaakallah khayran Bachu umewaweka watu bize na wewe, Allha akuzidishie zaid masufi hawalali na kusoma zaid lakin bado haijatoka hoja juu ya Barazanj na Kufur zilizopo, Sh Said mpaka ujibu hoja kwanza, Tunajua haujaanza wewe kutetea Maulid na haiishi, sis tumeshapita hayo itetee Marazanj kwanza!
@@abuurayaan3902 Mi nadhani ifike wakati Sasa tuitumie Ile Aya"Lakum Diinukum waliya Diin"Kwa sababu hamjataka kuketi na kuendelea kudadisi na kujifunza,bali mmevishwa misimamo ambayo hata hamjui athari yake.
Kila siku inabidi kutetea maulid kila atae simama lkn bahat mbaya nikua kila anayesema Akimaliz anajikuta hajasem kitu haya mngeyajibu maswali ya Bachu mbele yake yote 19 . Kisha mkauliza sasa msingepata tabu lkn hii itawagharimu kila siku.mfano haitokei mtu kuteteA swala funga zaka n.k kwasababu nisahihi lkn hya maulid inabid uyatetee kila siku kwasababu ni uzushi
Ibada sio tu swala, kufunga na kutoa zaka, Ibada ni nyingi sana, kuhusu khadithi ambayo bachu huitumia kupinga maulid sheikh saidi amempeleka shule vya kutosha kuhusu kula bidaa dhalala wa kula dhalala fi nnar., rudia usikilize tena na tena, bachu hawezi kuona ndani hapo
Mashaalah ostaz said jazakallahu kheir,nakushauri hutubazako uzungumze pole pole usiharakishe ukiharakisha tunashindwa kulewa tembo lachelewa kutulewesha ,wengine vichwa vyetu ni vizito,na tembo Kwa Tanzania ni pombe.tumefahamu jazakallahu kheir.
Ukiona comment za kupinga niza mawahabi siajabu hata mtume walimpinga.al habiib saidi allah akujaze kheri nyingi wafikishie ujumbe elimu ya fani hawana japokua wanachukia
Wewe ndio upumbavu uliopandikizwa kichwani mwako kwamba mwenye kupinga maulidi kampinga mtume swalallahu aleihi wasallam soma dini ya ALLAH acha ujinga wa kuburuzwa
@@AbuuAbdillah-hb8li MASWAHABA NA MASALAF NA MASUUFI wame elewa yakuwa BIDAA ni mbili Sayidina OMAR asema نعمة البدعة BIDAA nzuri na IMAM SHAFII amezigawanya BIDAA nzuuri na mbaya SWALI kwa MAWAHABI ??? Je muna ILIMU kuwashinda hao ??? لا والله na je munamtegemeya nani katika MASWAHABA NA MASALAF yakwamba amekataa BIDAA kugawanwa ???
Kabisa ndugu yangu @abubakarymaulidi5681 hawa mawahabi ni mahasidi na hawataki kufahamu Al Ustadh Muhammad Shariff said Al Beidh alisema kitambo hawa mawahabi hata kwambiya nini hawatakubali hata kama wao wajua wana makosa hii ni tabiya yao ndiyo ukaona wengi wao ilimu yao ni ndogo sana nawale wafuai wao wasojua kitu ndiyo ma mufti wakubwa mpaka kuna mmoja hapo asema tutangiya motoni pamoja na sheikh said yaani akusuduya watu wa maulidi Wallahi sijui ninani alowapa vibali vya kuingiza watu motoni yaani waingiliya kazi ya Allah je haya ndiyo mahaba wanayo dai wampenda mtu au ndiyo Sunna hiyo? Maana mtume hakuambiya watu wewe utaingiya motoni
Hapo sijaona barnzanj ikitetewa, bali naona hadithi inayokataza uzushi ikichambuliwa kilugha. Lakini uhongo ndani ya barnzanj wabakia pale pale kua uhongo.
Naona porojo TU hapa sjaona dalkli ya kutetea maulid Bado sana hamna hoja hapo Tetea kwanza barzanji wapi wanyama walizungumshana siku ya kuingia mimba ya mtume Swalla llaahu alayhi wasallama?
Shekh sisi waislamu tunajuwa ulishindwa kuwaelimisha waumin wapenda maulidi nnabai ile siku ndio ilikuwa bora zaidi kwa yule mwenye kutaka kuelewa ila ni wazi maulidi ni bidaa kubwa tu maana huna hadithi wala ktk vitabu vya hadithi wala qur an hayapo shekh usituletee tafsiri ya nahau wakati nahau ni matumizi ya lugha tu
نحن لا نلزم أحد بشيء وإنما ننصح ونبين السنة ونحذر من البدعة شاء من شاء وأبى من أبى فمن قَبِلَ فالحمد لله ومن عاند فأمره إلى الله "كل نفس بما كسبت رهينة" توحيد الله عقيدتنا....
Nilipokua mtoto nilisikia sifa za mambrui kuwa na elimu mpaka nikatamani niende nikasome huko. Alhamdullillahi wazee wangu walinipeleka na nikapata nafasi pale al ghanahu ul islamiya kwa sheikh mohamad, na wakati huo sheikh alikua bado yuko hai mwenyezi mungu amrehemu. Basi nilifaidika sana chini ya sheikh. Mwaka wa 2002 kulikua na harakati za mijadala mingi sana baina ya sisi watu wa twariqa na mawahabi. Kulipamba moto sana mpaka nikawa najiuliza kwani mawahabi nikina nani mbona wanasumbua sana waislamu. Wakati mwingine sheikh mohamad alikua akija pale madrasah baada ya kutoka kwenye mdahalo, anaema sana kwa pressure huku akasema mawahabi leo wametusumbua sana ata kama walikuwa kwenye haki lakini hoja zetu zina nguvu kutubana wametubana. Kumbe mawahabi wako kwenye haki, mpaka leo ili swali najiuliza, na twariqa wanalijua hili kua mawahabi wako kwenye haki.
Ni kweli Dadangu alienda manazilul abraar kwa ustadh abdulraheem mambrui. Watu wa sunnah wako kwenye haki siku zote. Hawa watu wa twariqa wanataka kutetea bid'aa wakitumia njia zote.
Hizo hoja zako zote zilivunjwa kitambo na sheikh Kassim mafuta alipofanya mdahalo na kina sheikh dede na kazuba kule tz mpaka sheikh dede alitaka kulia jinsi Kassim mafuta alivyowabana sawa sawa.
Hayo tushayazoea leten mengine nasim ulotumia kuangalia haya mawaidha nayoo bidaa uitupe Yan bidaa unayoo halaf unamtukana mwenzio wahab nyinyi omben mungu awape ufaham wa elim.yan mpka mnatia kinyaa mlivyohamelewagi
bachu hawezi kukanyaga tena mombasa sheikh said yuko vizuri sana, Ivi kumbe bachu hajuwi fiqhi kwa kiwango hiki? sasa ndo naelewa madhaifu ya bachu yako katika taaluma
@@abubakaromar6101😂cheki huyu alivyo muongo mada ilikua ni kuthibit au. Alafu msiwe mnabebwa na propaganda unatak kusema shekhe aloshika kiti alishika mikojo? Haiingii akilin mkojo unajulikan tu na huwez shika mkojo ilhal wajua ni najsi na unashika kwa misingi ipi na unashika bado hujui km ni mkpjo au maji eti unajiuliza.....huo ni mtego kwa wewe mtazamaj ndo utaropoka mkojo lkn kitwndo cha Shekhe kushika huo si mkojo ungekua mkojo asingeshika tazam vzr
Yan kwasasa mawahab mtaisoma namba tu kadrii mnavyotukana ndo maulid yanasomwa zaaid mwaka huu mmetukana barazanji yamesomwa mpka milangon endelen kutukana yatasoma mpka misikitin kwenye
Hilo Darsa kubwa Sana Sheikh wangu, Kuna watu hawaelewi kabisaa wanatia wenzao uharami usiokuwa na mashiko, Kisa Kuswaliwa Mtume Muhammad ( s a w). Tupaze Sauti Kila Kona waislamu wapate kuelewa na hatimaye Maulidi Yasomwe Duniani Kote. InshaAllah!
وقد بين النبي صلى الله عليه وسلم لأقرب الناس إليه أنه لا يغني عنهم من الله شيئا، كما في الأحاديث الصحيحة ، ومن ذلك ما في الصحيحين أن أبا هريرة رضي الله عنه قال قام رسول الله صلى الله عليه وسلم حين أنزل الله عز وجل (وأنذرعشيرتك الأقربين) قال: " يا معشر قريش أو كلمة نحوها اشتروا أنفسكم لا أغني عنكم من الله شيئا . يا بني عبد مناف لا أغني عنكم من الله شيئا . يا عباس بن عبد المطلب لا أغني عنك من الله شيئا . ويا صفية عمة رسول الله لا أغني عنك من الله شيئا. ويا فاطمة بنت محمد سليني ما شئت من مالي لا أغني عنك من الله شيئا ". والحاصل أن المؤمن الموحد لا يسأل إلا الله، ولا يدعو غيره، ولا يطلب الشفاعة من الشافع في الدنيا، وإنما يسأل ربه أن يجعله أهلا للشفاعة، وأن يأذن للشافع حتى يشفع له .
Somo na nusu ... حمياه .. daaah Allah akuhifadhi ustadh said .. watu wataka kufasiri vitabu kwa ilimu hizi zetu za vyumo jamaaa walotunga walikua waarabu jamaaa
Mawahabi wachaneni uhasadi hamulazimishwi kabisa musome au muhudhurie maulid nasisi tunahuja zetu tuwacheni tutahukumiwa na Allah na amal zetu na nia zetu.
Maulidi ni ibada ? Na kama ni ibada mfumo wake ulisahauliwa kwenye kurani na hadithi ? Acheni kuunganisha unganisha ili muhalalishe ni badaaa hiyo haipo katika dini😅😅😅😅
Hii kheri ya maulid, aliijua ama hakuijua mtume swalallahu alayhi wasalam? Naam au la… na ukisema la ushaanguka kwenye msiba. Kama ndio, je alifundisha? Kama jibu ni ndio, nipe dalili… kama hakufundisha ushamtuhumu kwa khiyana …. Audhubillah! Allah aniweke mbali na kizazi changu na ushirikina na bidaa… na maulid.na atuongoze sote… na atujaalie aqeedah swahihi.
Subhana Llah Hii hali tukiendelea nayo kuna michezo mingi itazuka kwan kupitia Maulid hakuna mtu anajali na kupata mazingatio maku wa juu ya dini na ndio maana tokea 2021 kumuundwa Mtume Cup kabla ya Maulid jee na ili mnakubaliana nalo? Na je ndio Mafindisho ya Maulid pamoja Dufu, Vinanda na Vinara. Tumcheni Allah na tusifanye Mas-hara katika dini.
MASWAHABA NA MASALAF NA MASUUFI wame elewa yakuwa BIDAA ni mbili Sayidina OMAR asema نعمة البدعة BIDAA nzuri na IMAM SHAFII amezigawanya BIDAA nzuuri na mbaya SWALI kwa MAWAHABI ??? Je muna ILIMU kuwashinda hao ??? لا والله na je munamtegemeya nani katika MASWAHABA NA MASALAF yakwamba amekataa BIDAA kugawanwa ???
Maulidi muta yatetea kwa kujenga hoja zenu za kiali tuu lkn Hamto soma Aya Wala hadithi za Mtume swahihi kuonyesha kuwa Ni ibada poleni sana Tuna kusubirini kwa Allah kuhusu Ibadahiyo
mche mola wako, ulete istighfar huo si ushahid nenda usome dini yako wacha kubabaishwa na fani za kiarabu, maswahaba wote hawqkusoma maulidi kama ingalikua ni dini, wangalifanya maswahaba wa mtume saw....wacha kubabaishwaa na watu wa elimu za shairii yale ambayo hayakua dini wakat ule katu hayawez kua dinii wakat , dini ilikamilika bila maulid wala khitmaa.
maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...
Huyu shekhe alinifurahisha sana siku ile kwakweli, allah amuongoze na sisi wote,! Amiin
Jazaakallah khayran Bachu umewaweka watu bize na wewe, Allha akuzidishie zaid masufi hawalali na kusoma zaid lakin bado haijatoka hoja juu ya Barazanj na Kufur zilizopo, Sh Said mpaka ujibu hoja kwanza,
Tunajua haujaanza wewe kutetea Maulid na haiishi, sis tumeshapita hayo itetee Marazanj kwanza!
Hakuna kitu hapo
Sheikh we hata huelewi
Yani nyinyi mawahabi vita vyenu maulidi tu shida mawahabi hamjasoma wallah
@@hamisimwalimu7333 huna hoja bora upite tu si lazima na wewe ucoment kwa elimu gani ulokuwa nayo, usishangae hata juzuu Âma haujamaliza
Swadakta Sheikh wangu, Allah akupe Kila Lakheri, Afya Njema, na Umri Mrefu tuzidi kustafidi. Allahumma Aamiin.
Mashaallah shekh said mungu akuzdishie ilmu na akuruzu fahamu uzidi kutuilimisha shukran
بارك الله فيك يا شيخ سعيد اطال الله عمرك ونفعناالله بك ❤❤❤❤
Mashallah shukran sana ustadh saidi, hiyo ilmu ulio itoa ni kubwa mno, mawahabi hawaja elewa chochote kamwe ndo wanazidi kupoteza maarifa
Wajua maana ya Elimu wewe au ndio huo ushabiki???
@@abuurayaan3902 Mi nadhani ifike wakati Sasa tuitumie Ile Aya"Lakum Diinukum waliya Diin"Kwa sababu hamjataka kuketi na kuendelea kudadisi na kujifunza,bali mmevishwa misimamo ambayo hata hamjui athari yake.
Ni sharti usome ndio uwe n ilmu sio mawahabi wako kama bendera hawasomiiiii wao wapinga tu
@@tahanyjaffar8321
wewe Umeifadhi juzuu ngapi kwanza na kitabu Gani Cha Cha Hadithi Ulicho kihifadhi
@@tahanyjaffar8321
Alafu naona umendandia tu
Jubu swali unajua maana ya Elimu wewe kilugha na kisheria????
Babdeo hii iko sawa kabisa maana ilikata kata mno...Allhamdullilah.....tumsif Mtume ...
اللهم صل وسلم عليه
Duh... Tuwache ushabiki, tuyasikilize vizuri haya maneno.. Ni Darasa nzito. Allah akuweke habyb na akufunguliye elimu zaidi na zaidi.
Kwaiyo tunywe tembo au
@@yusufuzuberi9884ww kichwa chako cha panzi kavute bangi tu
@@yusufuzuberi9884ufaham mdogo rejea usikilze
Huwezi kumlazimisha mtu Kufahamu maana ufahamu pia ni rizki.
@@yusufuzuberi9884sikiliza vizuri halafu kuwa na ufahamu uache ushabiki kwenye dini hujui kaa mbele ya mwalimu ufundishwe
يمضي الليل بلا قيام
ويمر الاثنين والخميس بلا صيام ويفوتهم الفجر وهم نيام
ويحتفلون بالمولد دون برهان
ما هكذا كان يفعل خير الأنام
Kila siku inabidi kutetea maulid kila atae simama lkn bahat mbaya nikua kila anayesema Akimaliz anajikuta hajasem kitu haya mngeyajibu maswali ya Bachu mbele yake yote 19 . Kisha mkauliza sasa msingepata tabu lkn hii itawagharimu kila siku.mfano haitokei mtu kuteteA swala funga zaka n.k kwasababu nisahihi lkn hya maulid inabid uyatetee kila siku kwasababu ni uzushi
Ibada sio tu swala, kufunga na kutoa zaka, Ibada ni nyingi sana, kuhusu khadithi ambayo bachu huitumia kupinga maulid sheikh saidi amempeleka shule vya kutosha kuhusu kula bidaa dhalala wa kula dhalala fi nnar., rudia usikilize tena na tena, bachu hawezi kuona ndani hapo
Nenda kasome wewe acha ushabiki kwnye dini ya mungu unaona watu wanazungumza ukafikti wanayatoa tu hawana uhakika nayo
Swaddakta somo
Wahab nyinyi mtatseka sna mkiona vip kunywen sum mfee. Tu lakin kama Bado mpo maulid yatasoma mwapaka uchochoron kwen mpka mue mnakwepa njia
Sema WWE kitu ueleweke kwnz
Mashaalah ostaz said jazakallahu kheir,nakushauri hutubazako uzungumze pole pole usiharakishe ukiharakisha tunashindwa kulewa tembo lachelewa kutulewesha ,wengine vichwa vyetu ni vizito,na tembo Kwa Tanzania ni pombe.tumefahamu jazakallahu kheir.
Mashannlha habibi hay ñi Matunda ya mwalim wa mwalim wangu sheighe Muhammad alibiz ,,shukuran aghii
Nimetosheka na huyu mtu wallah nilikua narudi rudi sana nyuma kwenye maulidi ila sasa kwenye maulid nitaenda kila mara
❤pqg
som kijan acha kufuata mkumbo
Masha Allah mkono kwa mkono hadi peponi
endelea kupotea tu
Maa Shaa Allaah
Allah akuhifadhi akulinde na akuweke tuzidi kuilimika na kufaidika IN SHAA ALLAAH
Maa shaa Allah TabaarakaAllahu❤
WALLAAHI ELIMU INARAHA SANA UKIISIKILIZA
ALLAAH ALLAAH ALLAAH
WALLAAHI TUSOME SANA NA ALLAAH ATUPE FAHAMU
Shukran Akhii mungu akujaze kwa kurekebisha habari itawafikia
Ukiona comment za kupinga niza mawahabi siajabu hata mtume walimpinga.al habiib saidi allah akujaze kheri nyingi wafikishie ujumbe elimu ya fani hawana japokua wanachukia
Wewe ndio upumbavu uliopandikizwa kichwani mwako kwamba mwenye kupinga maulidi kampinga mtume swalallahu aleihi wasallam soma dini ya ALLAH acha ujinga wa kuburuzwa
@@AbuuAbdillah-hb8li wewe ndio uache ujinga munaacha kukemea maovu uzinzi ulevi kutosali n.k mwatoa povu na maulid acheni ujinga someni dini ya Allah
@@AbuuAbdillah-hb8li
MASWAHABA NA MASALAF NA MASUUFI wame elewa yakuwa BIDAA ni mbili Sayidina OMAR asema نعمة البدعة BIDAA nzuri na IMAM SHAFII amezigawanya BIDAA nzuuri na mbaya SWALI kwa MAWAHABI ??? Je muna ILIMU kuwashinda hao ??? لا والله na je munamtegemeya nani katika MASWAHABA NA MASALAF yakwamba amekataa BIDAA kugawanwa ???
Mashia nao vipi sielewi mimi wanapinga maulidi au wanakubali
Muongo sana uyuuu😊
Mara ya tatu hii video naangalia🤸♀️🤸♀️wewe kama humkubali. Saga. Chupa. Unywe ❤😂😂
🎉🎉 mimi ndo naanza hapa😂
ماشاء الله
جزاك الله خيرا وبعد خير جنة النعيم
Allah akuhifadhi Shekhe letu tuzidi kuilimika
متعك الله طول عمرك
صلوا على سيدنا محمد
Allahu Akibaru ❤❤❤MashaaAllah
Mashaallah, kuanzia Leo naanza kuhudhuria hadhara za maulidi , na nikipata uwezo ntasomesha nyumbani kwangu Kila mwaka mara Moja.
Masha Allah
صلى الله عليه وعلى آله وصحبه وسلم
Hahahaha, yaani hii dunia ilko na vihoja. Allah atuongoze sote jamii Islaam, Aamiin🤲
Na motoni utaingia na huyo bwana wako
Endelea kufanya haramu
Masha'Allah...😂Allah akupe unachoitaji amiin
Sku zote nawaambia shkhe said anakitu cha ziada kapewa na mungu tuache hasadi tchukue elimu kwake
Kabisa ndugu yangu @abubakarymaulidi5681 hawa mawahabi ni mahasidi na hawataki kufahamu Al Ustadh Muhammad Shariff said Al Beidh alisema kitambo hawa mawahabi hata kwambiya nini hawatakubali hata kama wao wajua wana makosa hii ni tabiya yao ndiyo ukaona wengi wao ilimu yao ni ndogo sana nawale wafuai wao wasojua kitu ndiyo ma mufti wakubwa mpaka kuna mmoja hapo asema tutangiya motoni pamoja na sheikh said yaani akusuduya watu wa maulidi Wallahi sijui ninani alowapa vibali vya kuingiza watu motoni yaani waingiliya kazi ya Allah je haya ndiyo mahaba wanayo dai wampenda mtu au ndiyo Sunna hiyo? Maana mtume hakuambiya watu wewe utaingiya motoni
Hata elimu yakupiga Gita navinanda nayo nielim
ما شاء الله تبارك الله
❤❤❤❤Nakupend hadi naumwa 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
May Allah (SWT) protect you
WALLAH umetufurahisha habiib BAARAKALLAHU FIIKUM
Wallwaahi umezungumza kwa uchache Laakin Elimu uliyoitoa ni kubwa saana Habeeb
حفظك الله ورعاك
Shukran babdeo tv❤❤
Hapo sijaona barnzanj ikitetewa, bali naona hadithi inayokataza uzushi ikichambuliwa kilugha. Lakini uhongo ndani ya barnzanj wabakia pale pale kua uhongo.
Bacho sio wakuenda mamburui kufundishwa niwakumtafuta ustadh said amfundishe
Swadakta 😂😂😂😂
Hakika
Barakallah feek shekh Said
Naona porojo TU hapa sjaona dalkli ya kutetea maulid Bado sana hamna hoja hapo
Tetea kwanza barzanji wapi wanyama walizungumshana siku ya kuingia mimba ya mtume Swalla llaahu alayhi wasallama?
Maa shaa ALLAH. Ustadh Said. MUNGU akuzidishie ilimu nnaafi3
Shukrani sheikh wajazaka Allah khairah
Maashaallaah❤❤❤
Shekh sisi waislamu tunajuwa ulishindwa kuwaelimisha waumin wapenda maulidi nnabai ile siku ndio ilikuwa bora zaidi kwa yule mwenye kutaka kuelewa ila ni wazi maulidi ni bidaa kubwa tu maana huna hadithi wala ktk vitabu vya hadithi wala qur an hayapo shekh usituletee tafsiri ya nahau wakati nahau ni matumizi ya lugha tu
Sasa alishindwa kujibu bachu hadithi munkar haijui wanazuoni wasemaje kuhusu hadithi munkar bad badili kusema hajui asema hajaona alafu kitu chengine nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume tawhed tatu mumezitoa wapi mtume hajafundisha wala maswahaba hawazijui tawhed tatu hio hujaona kama bidaa
نحن لا نلزم أحد بشيء وإنما ننصح ونبين السنة ونحذر من البدعة شاء من شاء وأبى من أبى فمن قَبِلَ فالحمد لله ومن عاند فأمره إلى الله
"كل نفس بما كسبت رهينة"
توحيد الله عقيدتنا....
ما شاء الله كن حيث أنت 😊
لا تجمجم
دع ما يريبك إلى ما لا يريبك
كلنا أمرنا إلى الله ،وكل مسلم توحيد الله عقيدته
انت جاهل مركب.بل نرجو انتفهموا شيٸا فشيٸا ان شاٸﷲ
ماشاء الله
الله يحفظك يا شيخ سعيد ❤
إن كذبا علي ليس ككذب على أحد، من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار
Allah akuhifadhi sheikh wangu
Nilipokua mtoto nilisikia sifa za mambrui kuwa na elimu mpaka nikatamani niende nikasome huko. Alhamdullillahi wazee wangu walinipeleka na nikapata nafasi pale al ghanahu ul islamiya kwa sheikh mohamad, na wakati huo sheikh alikua bado yuko hai mwenyezi mungu amrehemu. Basi nilifaidika sana chini ya sheikh. Mwaka wa 2002 kulikua na harakati za mijadala mingi sana baina ya sisi watu wa twariqa na mawahabi. Kulipamba moto sana mpaka nikawa najiuliza kwani mawahabi nikina nani mbona wanasumbua sana waislamu. Wakati mwingine sheikh mohamad alikua akija pale madrasah baada ya kutoka kwenye mdahalo, anaema sana kwa pressure huku akasema mawahabi leo wametusumbua sana ata kama walikuwa kwenye haki lakini hoja zetu zina nguvu kutubana wametubana. Kumbe mawahabi wako kwenye haki, mpaka leo ili swali najiuliza, na twariqa wanalijua hili kua mawahabi wako kwenye haki.
Ni kweli Dadangu alienda manazilul abraar kwa ustadh abdulraheem mambrui. Watu wa sunnah wako kwenye haki siku zote. Hawa watu wa twariqa wanataka kutetea bid'aa wakitumia njia zote.
Mashallah Allah akuhifadhi na hasadi Inshaĺah
Allah akuhifadhi us uzidi kuwaelimisha wasiolewa: na akulinde na macho yamahasidi
Allah azidi kukubariki elimu Kijana waliokusomesha ni Wazi Allah Aliwatunuku
Hafidhwakallah shaikh
Maasha allah
Hizo hoja zako zote zilivunjwa kitambo na sheikh Kassim mafuta alipofanya mdahalo na kina sheikh dede na kazuba kule tz mpaka sheikh dede alitaka kulia jinsi Kassim mafuta alivyowabana sawa sawa.
Salute.. kwa hii bahri.. Allah akuzidishie ilm ust. Said.
Mashallah Allah akujaze kila la kheri uzidi kuzindua watu kutoka kwa akili za kijahil
sahihi kabsa jaxakallahw elim
kumbe kias umwambie barabarani angie kwenye kiti
جزاك الله خيرا على هذا الموضوع
Kwanza salam tu ameshaweka bida'a halafu mnajitapa kwenye batwil mko wengi sana
Hayo tushayazoea leten mengine nasim ulotumia kuangalia haya mawaidha nayoo bidaa uitupe Yan bidaa unayoo halaf unamtukana mwenzio wahab nyinyi omben mungu awape ufaham wa elim.yan mpka mnatia kinyaa mlivyohamelewagi
Allah awahifadhi mashekh wetu inshaallah na awape umrr inshaallah
Lazima wakusifu sababu tunajua tzn waongoza kwa usanii huyo said huku kwetu ni msanii
MARHABAN HABIIB KAMA HII HAIKATI SAUTI BC AHLAN WASAHLAN
MAULIDI YATA ZIDI ::NA NYUMA HAYATA RUDI;;:WAUM IE MAWA HABI:::NA NYINGI ZAO LAWAM
bachu hawezi kukanyaga tena mombasa sheikh said yuko vizuri sana, Ivi kumbe bachu hajuwi fiqhi kwa kiwango hiki? sasa ndo naelewa madhaifu ya bachu yako katika taaluma
يذهب الصوفية للقبور متبركين بمن يزعمون أنهم أولياء
ولكن الله تعالى يأمرنا أن نقول :
قُلْ أَغَيْرَ اللَّهِ أَتَّخِذُ وَلِيًّا فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَهُوَ يُطْعِمُ وَلَا يُطْعَمُ ۗ
Maashaalah ustadh said
Simple mathematic😂😂😂MAULID HAIJATHIBITI MIONGO YOTE MITATU ALIYOSEMA MTUME (s.a.w) sasa we jichanganye ujifanye mjuwaji🔋😂
we bado umelala jitaidi kasome elim ni bahari acha kubaki apo kama maji yalio tuwam na yakatoa harufu mbaya
Wewe unayo Dalili kuwa Maulid hayakuthibiti alishindwa shekhe lako mpaka kajikojolea kitini
@@abubakaromar6101😂cheki huyu alivyo muongo mada ilikua ni kuthibit au. Alafu msiwe mnabebwa na propaganda unatak kusema shekhe aloshika kiti alishika mikojo? Haiingii akilin mkojo unajulikan tu na huwez shika mkojo ilhal wajua ni najsi na unashika kwa misingi ipi na unashika bado hujui km ni mkpjo au maji eti unajiuliza.....huo ni mtego kwa wewe mtazamaj ndo utaropoka mkojo lkn kitwndo cha Shekhe kushika huo si mkojo ungekua mkojo asingeshika tazam vzr
Ile amri iliyotoka katika Quran kumsalia Mtume s.a.w je unaikubali? Je ni dhambi kujua Sira ya bwana mtume s.a.w? chakarika ulete fatwa hapa
Yan kwasasa mawahab mtaisoma namba tu kadrii mnavyotukana ndo maulid yanasomwa zaaid mwaka huu mmetukana barazanji yamesomwa mpka milangon endelen kutukana yatasoma mpka misikitin kwenye
Hilo Darsa kubwa Sana Sheikh wangu, Kuna watu hawaelewi kabisaa wanatia wenzao uharami usiokuwa na mashiko, Kisa Kuswaliwa Mtume Muhammad ( s a w). Tupaze Sauti Kila Kona waislamu wapate kuelewa na hatimaye Maulidi Yasomwe Duniani Kote. InshaAllah!
Allahumma aamin
Mwenyezi Mungu akuhifadhi kijana chetu uzid kutupa elm
Enyi masheh mungu anawanaa Mungu atuongoze
MAWAHABI UFAHAMU WAO NI MDOGO KAMA BACHU
MashaAllah
Mashaallah
Kweli alifanya kazi kubwa ya kumzulia Mtume S.A.W.
وقد بين النبي صلى الله عليه وسلم لأقرب الناس إليه أنه لا يغني عنهم من الله شيئا، كما في الأحاديث الصحيحة ، ومن ذلك ما في الصحيحين أن أبا هريرة رضي الله عنه قال قام رسول الله صلى الله عليه وسلم حين أنزل الله عز وجل (وأنذرعشيرتك الأقربين) قال: " يا معشر قريش أو كلمة نحوها اشتروا أنفسكم لا أغني عنكم من الله شيئا . يا بني عبد مناف لا أغني عنكم من الله شيئا . يا عباس بن عبد المطلب لا أغني عنك من الله شيئا . ويا صفية عمة رسول الله لا أغني عنك من الله شيئا. ويا فاطمة بنت محمد سليني ما شئت من مالي لا أغني عنك من الله شيئا ".
والحاصل أن المؤمن الموحد لا يسأل إلا الله، ولا يدعو غيره، ولا يطلب الشفاعة من الشافع في الدنيا، وإنما يسأل ربه أن يجعله أهلا للشفاعة، وأن يأذن للشافع حتى يشفع له .
Mashaa allah
Asantaaaaaa Sanaa sheikh said walai kusoma Rahaaaaaa sanaaaaaaaa
Somo na nusu ... حمياه .. daaah Allah akuhifadhi ustadh said .. watu wataka kufasiri vitabu kwa ilimu hizi zetu za vyumo jamaaa walotunga walikua waarabu jamaaa
Hapa mawahabi hawaelewi kitu waeza pandisha marohani wakiskia maneno haya 😅😅
Leo tunawafunzaa lugha kwanza,maashaAllah😊
Mawahabi wachaneni uhasadi hamulazimishwi kabisa musome au muhudhurie maulid nasisi tunahuja zetu tuwacheni tutahukumiwa na Allah na amal zetu na nia zetu.
Maulidi ni ibada ? Na kama ni ibada mfumo wake ulisahauliwa kwenye kurani na hadithi ? Acheni kuunganisha unganisha ili muhalalishe ni badaaa hiyo haipo katika dini😅😅😅😅
Mashalah sheikh wetu👑 🇰🇪
allah akuifadhi mwalimu wangu❤❤❤
Mashallah
Hii kheri ya maulid, aliijua ama hakuijua mtume swalallahu alayhi wasalam? Naam au la… na ukisema la ushaanguka kwenye msiba. Kama ndio, je alifundisha? Kama jibu ni ndio, nipe dalili… kama hakufundisha ushamtuhumu kwa khiyana …. Audhubillah! Allah aniweke mbali na kizazi changu na ushirikina na bidaa… na maulid.na atuongoze sote… na atujaalie aqeedah swahihi.
Allahu Akbar.Swallu alaa Nnabiy.
اللهم صل وسلم عليه
Subhana Llah
Hii hali tukiendelea nayo kuna michezo mingi itazuka kwan kupitia Maulid hakuna mtu anajali na kupata mazingatio maku wa juu ya dini na ndio maana tokea 2021 kumuundwa Mtume Cup kabla ya Maulid jee na ili mnakubaliana nalo?
Na je ndio Mafindisho ya Maulid pamoja Dufu, Vinanda na Vinara.
Tumcheni Allah na tusifanye Mas-hara katika dini.
Ukibadilisha malengo ya kusikiliza, ukiondoa ushabiki, ukiondoa chuki, hasadi, bughdhwa,
NDIO SIKU ITAKAYOBADILI MAISHA YAKO....
Tatizo hamutaki kusoma mwasikiza tuu ndio mwapotea hamuelewi
Kaa kimya hujui kitu
wewe ndio bado umelala elewa kinachozungumzwa
MASWAHABA NA MASALAF NA MASUUFI wame elewa yakuwa BIDAA ni mbili Sayidina OMAR asema نعمة البدعة BIDAA nzuri na IMAM SHAFII amezigawanya BIDAA nzuuri na mbaya SWALI kwa MAWAHABI ??? Je muna ILIMU kuwashinda hao ??? لا والله na je munamtegemeya nani katika MASWAHABA NA MASALAF yakwamba amekataa BIDAA kugawanwa ???
ماشاءالله
Maulidi muta yatetea kwa kujenga hoja zenu za kiali tuu
lkn Hamto soma Aya Wala hadithi
za Mtume swahihi kuonyesha kuwa Ni ibada poleni sana
Tuna kusubirini kwa Allah kuhusu Ibadahiyo
Mashallah barakallah
Kichwa hiki bachu hapa ame achwa mbali hata elewa kitu
برك الله فيك
Mashalah Waa,Allah Yaalaamu
Kilichoandikwa ndani ya maulidi ndio tunataka ajibiwe bachu, ,,zile hoja 19 zijibiwe kwanza, ,na pale Mombasa lile suala moja limekugandisha anaona kajibu kumbe bachu ndie alieshinda, ,,matwarika jibuni hoja za bachu kwanza, ,msipige porojo
Bachu kiukweli na huyu mwamba ni mbingu na ardhi. Bachu ni mtoto mno kielimu na Shekh Said
swadakta
Kwanza hakuna ushahidi wowote kama Mtume amezaliwa mfunguo sita!na ikiwa kuna mtu ana ushahidi huo atuletee ili tufahsmu tusichokijuwa!
Ogopa matapeli. Kiufupi waislamu tusomeni tuepuke kutapeliwa
❤❤❤❤❤
Bado hajatupa hoja ya msingi ya uhalali wa maulidi poleni Allah awape fahamu za kuelewa
Mawahabi na majaahili sana wallah maulid ntasoma inshaallah mpaka naingia kaburini
Kaa usome dini acha kusema maneno yako
mche mola wako, ulete istighfar huo si ushahid nenda usome dini yako wacha kubabaishwa na fani za kiarabu, maswahaba wote hawqkusoma maulidi kama ingalikua ni dini, wangalifanya maswahaba wa mtume saw....wacha kubabaishwaa na watu wa elimu za shairii yale ambayo hayakua dini wakat ule katu hayawez kua dinii wakat , dini ilikamilika bila maulid wala khitmaa.
Swahaba gani kafahamu ivo
Bibi yako
wewe
Waislam wacheni mambo Ya kutiliana pesa kwenye kofia Mpe mkononi mwaacheni maalim afundishe msimshughulishe
maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...
Mawahabi mmeelea. Ila munaona. Aibu kusema asanty simba 😂😂
Siku hizi kila sheikh ana wafwasi wake kama machester na arsenal... Subhana Allah