Wewe mgaratia PUNGUZA chuki,, ZIDISHA MAARIFA!huyu mzee anaongea ukweli! Nyie wakristo,, ukristo kwanza nchi baadae,,ila waislam wanavyofeli nchi kwanza dini baadae kwa ujinga huu wa waislamu ndio mmekuwa jeuri ya mpaka kuitumana serikali!
@@martinmkoba361 mbumbumbu ni wewe usiyejua wakati sahihi ni upi kichwa chako kinawaza ukafiri wako ata kama unapotoka na ukweli unaona, hakika kuna watu wanamacho na hawaoni wana masikio lakini hawasikii!!!!
Innalillah wainnaillaih raaajiuun Hii khutba ni ya mda mrefu sanaaa so watu hamjui huyu aneongea kana kwambia kaongea jana watu wanamtusi tu Huyu jamaa alikua mwiba kwa serikali Alisha ondolewa mda mrefu tu so acheni kumtukana huyu
Hoja za shekh alizoibua serikali ilishindwa kumjibu akatamani afikishwe mahakamani aombwe ushahidi haikuwahi kutokea alisema hoja na ushahidi anaoibua ni mdogo kuliko aliouhifadhi. Tulitamani sana open kesi tupate faida.
Watu wenye busara hupambana na hoja za mtu na si mwenye hoja mwenyewe. Kuzipangua kielimu imma +au- .Na sio kupayuka.Lete hoja yenye ubainifu: ndio au siyo (Burhan).Matusi yana msaada gani kama sio dalili ya kufilisika utambuzi. Marehemu shekhe Ilunga (ALLAH SUBHANAHU WATAALA Amrehemu)Hakuwahi kujibiwa hizo hoja.
Alijibiwa na Mwalimu Daniel Mwankemwa ipo hapa RUclips-Inajulikana Kama Mfumo kristo Ni Mfumo wa kifikirika tafuta hiyo ipo part 1 na part 2.Ebu jaribu kusikiliza hiyo
Huwa hamjuagi kujibu hoja mnakimbilia matusi,,,kama mgeni ndio ujue hapo Kanisa lililetwa na Wakoloni kwa maslahi yao na ndio hayo,,,kuwagawa waTanzania,,, Anglican Church, UK na Lutheran German na ndio Wakoloni,,unabisha!!???
@@maftahmusa9513 hata maneno ya shetani Bado yapo hai, alimwambia Hawa siku mkila tunda la mti huu mtafanana na mungu, je maneno ya shetani hayaishi mpaka leo ?. Kufa wote tutakufa ila ukifa unaenda wapi ?. Hilo gaidi Sasa hivi lipo jehanamu ya milele,
Inashangaza Sana ebu fikiria kwamfano wanaoomba suala la bandari lkatika uwekezaji lifanyiwe marekebisho kwavipengele katika mkataba husika,swali hivi kijiografia Ninani walio wengi katika maeneo hayo ya bandari niwaislamu au niwakristo Kama niwaislamu je, wanaopinga mkataba wauwekezaji katika maeneo hayo yabandari ni wakristo au Ni waislamu,mbona viongozi wakiislamu hatuoni mkipinga badala yake kila kukicha udini kivipi, ama kweli wenye haki watakao iona pepo niwachache kwa hapo mlipofikia mnapotea sana.
Tatizo kubwa viongozi wa chadema na viongozi wa kikristo ndio waliowafanya waislamu wautetee mkataba kwa kauli zao za kibaguzi, Kuna waloanza kusema wazanzibari wanauza bara , mara wanaleta waislamu waarabu kurudisha utumwa, mara DP world wakikusanya mapato watajenga msikiti mkubwa Mbeya , mawazo ya aina hiyo ni kuonesha uadui wazi kwa waislamu na ndipo mlipokosea. Naamini raia wengi hawajawahi hata kuuona huo mkataba ikiwemo mimi na wewe na kama ushausoma nitumie link nikauangalie
Huu ndio ukweli wakristo siwazalendo mpaka kesho wanajua wajiita waroman, waislail taifa teule niwadini sana ndio maana nchi hii inakwamishwa na hawa wadiini wenye kuinyonya nchii hii kwa maslahi ya mabwana zao.
Hutuba hii ina miaka mingi lakini inatafsiri hali ya wanayoendea kuishi nayo Waislamu nchini Tanzania dhidi ya ndugu zao Wakristo. Rejea kuhusu sakata la bandari ya Dar, kwa kuwa aliyesimamia mkataba kati ya Dubai na Tanzania ni Rais Muislamu ameelezwa katika hali inayo tisha.
Yule aliyefunga mkataba ya migodi kule mwanza ni muislamu?yule aliyepigwa risasi ni muislamu?wale waliomkimbia nchi ni waislamu? acheni mambo ya kipuuzi
Hawa wenye tabia za kutukana na kubeza watu inawezekana walishatukana hata wazee wao huko makwao. Kila mtu akiwa na mtazamo tofauti na wao wanamtusi. Sisi Waislamu tunakatazwa kuwatusi watu, hata wasiokuwa Waislamu majumbani mwetu na Misikitini. Ukiona Muislaimu katukana huyo amepinda kwa kukosa malezi.
@@sundaymsuya1433 Tamaa yetu sisi watu waielewe haki na kisha kuifuata. Sisi tunatambua vitabu vinne: 1.Zaburi, 2.Taurati,3.Injili na Quran. Na pia tunaviamini.
Mathayo.15.14 waacheni hao ni viongozi vipofu wa vipofu na kipofu akimwongoza vipofu wenzake wote wawili watatumbukia shimoni.mbona kuna mashehe wanahubiri wakristo wanaelewa wewe umetokea pande za wapi embu soma kurhani vizuri uislamu si unyenyekevu au ni ushetwani duuuuuu au kuchinja watu ,kuua,kusengenya,we vipi
Huyu ni mjinga na mchochezi apuuzwe. Wakristo si kwelu kwamba wote Wana mawazo mamoja ndo maana unaona spika ni mkristo lakin anaunga mkono bandari ibinafaishwe. Kiufupi huyu Sheikh anaakili ndogo Sana ya kupambanua mambo 😂😂😂
Kumbuka mwalimu alifuta ukabila na kwa sasa tuna amani wewe unatoa wapi hayo? Alafu wewe ni mtu wa umri tumia elimu saidizi . Udini usitegemee kwetu ila hio ipo kwako na hutatoboa uchichezi ...uelewe hakuna mungu wa kikrito na wa kiislam mungu akusaidie
HAMWEZI KUHUBIRI MAFUNDISHO YA IMANI YAKO. BILA KUTUKANA AU KUKASHIFU UKIRISTO. MIDOMONI NA MIOYO YENU IMEJAA CHUKI NA FITINA. UNALETA UBAGUZI LIZEE LISILO NA HEKIMA.
@@jafarimsigwa277Taarifa hizo watu wa usalama wanaziita: "Declassified Information". Mazungumzo haya Yana zaidi ya miaka mitano, hakuna aliyehisi kufanyika kwa vurugu. Wewe ndio unapandwa na roho mtakatifu Leo ili ufanye vurugu. Ungeelewa kilichozungumzwa ungesema kipi sio sahihi na sahihi ni kipi! Fanya vurugu utakutana na wenye kazi zao za kutuliza vurugu. Mwenyezi Mungu akujaalie ufahamu mzuri.
Shehe sijawai kuona mswahili anafanya KAZI .ni majungu Tu Ayo ni mahubiri hotba ,mafarakano,au wewe ndio mpinga Kristo muulize goliati kilichomkuta na wewe subiri .Sheria inakataa kukachifu dini ya MTU unajua hayo kwani mungu ni mwislamu au mkristo yeye ni dini gani .
Hivi nikwanini viongozi mnaendeleza mjadala wakidini kwani Hawa wanao ongea nakulalamika katika nchi hii wameutaja wapi uislaamu ,tunaomba kueni makini choko choko hizi zaudini hazina maana yoyote kwakuwa Jambo Hilo halipo,lakini inavyoonesha mnalazimisha watu waanze kuzungumzia Jambo Hilo ambalo halipo ili mpatate mahali pakuanzia kuleta chuki,hamtaweza kwakuwa hata wafuasi wenu wanawashangaa
Antony apewe bahasha kaburini nyny kwanza kila anaewaambia ukweli kapewa bahasha huyu shekh amefariki miaka mitano iliyopita na pia hajazungumzia bandar kazungumzia wakristo nchi hii hawana uzalendo na nchi yao zaidi ya kanisa kwanza sio kweli
@@mkude mm sichukiii waarabu tu ata wazungu na wachukia inchi yetu mpaka kesho ina nyonywa na wazungu siwezi kuwapenda ,na mm na simama kama chadema sio dini yoyote ile ,sisi kama chadema tulipiga kelele juu ya mikataba ilio kua ikifanywa na wazungu apa kwetu kama hukusikia pia sikulaumu Sasa amekuja muarabu tukikataa mnasema Ooooh mbona wazungu walichukua Kwaio mna lipiza sindio 😂😂😂kweli sisi watu weusi atuna akili 😂😂 ila so mbaya mungu alituumba ivo Ila nikuambie kitu mungu ndio muweza ya yote ngoja tuone mwisho ukoje na usicho kijua ni kwamba NAMPENDA SANA RAISI SAMIA kaaa ukili jua hilo na yeye ni binadamu tu kama mm akikosea ana rekebishwa😁😁
Hivi ni kweli kuwa hamwezi kuongelea dini yenu mpaka muutaje Ukristo? Na hii ni kuonyesha kuwa hoja za dini yenu ni dhaifu kwa hiyo hoja zenu zinakamilika kwa kuutaja Ukristo
Mwehu pale kwenye kaaba huonagi ma raisi wanavyolindwa...hii nchi imeendelezwa na wakristo nchi zilizotawaliwa na waarabu kama maultinania mpaka leo ni watumwa wa waarabu Eritrea kadhalika somalia
@@manrectorz sio kutawala tu amechukuwa kabisa amejimilikisha Egypt ni nchi ya kiarabu?? Libya Tunisia Morocco hizi ni nchi za kiarabu?? Alietawala znz na tanganyika kabla ya mjerumani alikuwa mchina?? Mbona history zenu mwaarabu aliuwa watu weusi Egypt ilikuichukuwa na sasa hiyo history hamuitaki na mwaarabu hataki muijuwe na mashekh hawezi kuwaambia.. kwasababu msimamo wao ni kuwa waarabu ni wema duniani hakuna
Waarabu ndio waliojenga kanisa pale mkunazini zanziba. km kituo kikuu cha biashara ya utumwa? Cc tuna ushahidi wa athari za wakristo/wazungu kua wao ndio waliokua wakiwafanya watu watumwa
Sio zanzibar tu, nenda kilwa uone magofu na ujifunze walivyowanyanyasa Watanzania na kuwadhalilisha, kuwatumikisha, ni wakoloni tu kama wakoloni wengine. Nafikiri kuna haja ya kuacha kuangalia udini, tujifunze kwa Traore na Tanzania haichukui muda, time will tell!
Roho tu inawauma. Hata zikijengwa kila kijiji watu wanafuata huduma na si hospital hii ni ya nani. Acha kupoteza muda wako, zungumza ya msingi na si chuki na wivu. Eti kanisa😱
Marehemu Ilunga aliibua hoja nzito zikakosa majibu upande wa serikali na kanisa akatamani afikishwe mahakamani iwe open kesi hawakudhubutu kumfikisha eti maustadh wana elimu moja Gogo hilo mpaka anakwenda kaburini hakuna aliyemjibu.
Acha uchonganishi ustadhi. Tz sote ni ndo maana familia moja unakuta kuna waislam na wakristo. Lkn pia tumeona waislam kwa waktisto tens kwa upendo. Ondoa udini hapa ww
Wanini wakeisto wanaficha majina yao mtandaoni hii ni dalili mbaya hawa ni watu wabaya sana ukiona mtu hataki kujulikana jinalake huyo atakua habisi ,nwizi jambazi ,muuwaji hawa ni tatizo kubwa na vita walionayo ninkwenye arizi ndio wanaongoza kuleta migogoro ya arizi na ni wauwaji wakubw
Nasi Mungu hutuonesha mapema kila mnachofanya kisiri kwa nia mbovu.Huyu ustadhi na nyie wengine wote mnaoshabihiana naye mna harakati zinazosadifu nia zenu mbovu za kibinafsi za tangu zamani.
Mwizi wewe unaepokea mabilioni ya fedha za Walipa kodi wa dini zote, ukazichukua katika kanisa kupitia mikataba haramu ya kudhamini Hospitali za kimishionari? Mkataba huo wa 1992 hujawahi kuusikia? Huo sio wizi?
Yaa Allah milie nuru katika kaburi lake Aamin yaa Rabir aalamin
@@mashakabundala9955 Allahuma Aamin
Makafiri wanatokwa na mapovu baada ya ukweli kuwachoma Allah akurehemu sheikh
Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah
Huyu ni mwalimu wa kweli ni moja ya binadamu ninao wapenda na kuwakubali ktk maisha yangu,
Peleka ujinga mnajifanyaga wacha Mungu kweli.kazi kufuga majini tu,kwendraaa.mnatetewa raslimali zenu mnaleta udini hapa
Kufuga majini ndo nini wewe mjinga nyinyi wakristo ndo mmejaa mapepo mnashinda mnaangukiana makanisani
Wewe mgaratia PUNGUZA chuki,, ZIDISHA MAARIFA!huyu mzee anaongea ukweli!
Nyie wakristo,, ukristo kwanza nchi baadae,,ila waislam wanavyofeli nchi kwanza dini baadae kwa ujinga huu wa waislamu ndio mmekuwa jeuri ya mpaka kuitumana serikali!
We yahud ayakuhusu we endelea kuabudu masanam
Allah akurehem shekh wetu ujumbe umefika
Mwenyezi mungu amrehemu alikua mwamba sana.
Allah akulipe mema, shk ilunga maneno yako ni hazina ya Karne kwa waislam wa Tanzania
Kweli mbumbumbu aisee
@@martinmkoba361 jibu hoja za ust ilunga mgalatia usie na akili
@@martinmkoba361 mbumbumbu ni wewe usiyejua wakati sahihi ni upi kichwa chako kinawaza ukafiri wako ata kama unapotoka na ukweli unaona, hakika kuna watu wanamacho na hawaoni wana masikio lakini hawasikii!!!!
Hapo kaongea oja gani zaidi ya chuki makafiri wakubwa nyie
@@martinmkoba361We mbwa kama huna la kusema kaa kimya,kenge wewe.
Safi dirunga,uko sawa
Allahumaghfrillahu waskaana filjanna
SawA, Ubarikiwe
Innalillah wainnaillaih raaajiuun
Hii khutba ni ya mda mrefu sanaaa so watu hamjui huyu aneongea kana kwambia kaongea jana watu wanamtusi tu
Huyu jamaa alikua mwiba kwa serikali Alisha ondolewa mda mrefu tu so acheni kumtukana huyu
Hoja za shekh alizoibua serikali ilishindwa kumjibu akatamani afikishwe mahakamani aombwe ushahidi haikuwahi kutokea alisema hoja na ushahidi anaoibua ni mdogo kuliko aliouhifadhi. Tulitamani sana open kesi tupate faida.
Mimi ni mkristo nawapenda sana niwastarabu ..ingekuwa wanazungumza kama wewe 😊😊😊😊😊
Watu wenye busara hupambana na hoja za mtu na si mwenye hoja mwenyewe. Kuzipangua kielimu imma +au- .Na sio kupayuka.Lete hoja yenye ubainifu: ndio au siyo (Burhan).Matusi yana msaada gani kama sio dalili ya kufilisika utambuzi. Marehemu shekhe Ilunga (ALLAH SUBHANAHU WATAALA Amrehemu)Hakuwahi kujibiwa hizo hoja.
Alijibiwa na Mwalimu Daniel Mwankemwa ipo hapa RUclips-Inajulikana Kama Mfumo kristo Ni Mfumo wa kifikirika tafuta hiyo ipo part 1 na part 2.Ebu jaribu kusikiliza hiyo
@@reubenbushiri1753 Shukran Mr. Reuben ngoja niisikilize.
Waislam ndio wazlendo wa nchi hii tunaona uzalendo wao wa kuuza nchi kwa waarabu huo ndio uzarendo
Sijawahi kumpenda mtu yeyote Tanzani kuliko SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU
Ustaadhi Ilungu ovyoooo!
Ovyo mama yako. Fala wewe. Kama humpendi usimsikilize. Nyambaffff
Upo sahihi
Innaalillah wainnaa ilayhi rajiun Allah rahmet eylesin mekanı cennet olsun amin amin amin
Tuelimishe baba ila machoko hawapendi
Sasa nyie wenye uzalendo mmetetea nini kama si upepo fuata bendera?
Wewe uislamu huujui. Sasa ukristu umeufahamia wapi? Pumbavu mkubwa! Eti ule mkate wao!!! Zee puuzi sana hili!!
Huwa hamjuagi kujibu hoja mnakimbilia matusi,,,kama mgeni ndio ujue hapo Kanisa lililetwa na Wakoloni kwa maslahi yao na ndio hayo,,,kuwagawa waTanzania,,, Anglican Church, UK na Lutheran German na ndio Wakoloni,,unabisha!!???
Aaaaalaaaah! Maamuma! Dubai chanzo!
May Allah grant him jaanat Firdausi.
Aamin
Amin
Amin
Ndiyo naamini elimu ni Mkombozi wa fikra.
Mashallah
Tunahitaji hospital za Kanda na wilaya zijengwe kila mahali tuachane na hospital za kanisa zilipe Kodi zinakwepaa Kodi kupitia partnership
Sitaki kutoa comment yangu mpaka nitakapo fahamu academic CV yake huyo anaeongea. Simwelewi!
Naomba niwaweke sawa kumbukumbu kutokana na baadhi ya comment hii clip ni ya muda sana shekh ilunga ashafariki zaidi ya miaka mitatu imepita
Sante mkuu kwakutuweka sawa
lakini maneno yake yako sawa.
@@nassorsharifu9837 sawa Gani huyu mbwa sahivi anaungua huko jehanam
Uukweli unauma kwa wenye fikra finyu na ubinafc
Tuishukru Bakwata kwa kuwa na viongozi wa elewa sana,
mmmh
sawa kabisa shekh
Kisha kufa huyo, hayupo duniani
@@romanamassawe814 Maneno yake bado yako hai na yataendelea kua hai
@@maftahmusa9513 hata maneno ya shetani Bado yapo hai, alimwambia Hawa siku mkila tunda la mti huu mtafanana na mungu, je maneno ya shetani hayaishi mpaka leo ?. Kufa wote tutakufa ila ukifa unaenda wapi ?. Hilo gaidi Sasa hivi lipo jehanamu ya milele,
Serikali wachukue hatua Kwa hiyo mchonganishi
Haya Ni maajabu ya dunia kweli walio nauelewa wa Mambo niwachache😅😅
Msenge mmoja hv asiyejielewa
mtukane ujue utakuja mlipa kwa gharama kubwa mbele ya Allah
Ndio ushajibu hoja hapo!!?? Mbona Maaskofu wenu wanayajua na hawabishi!!? Anzia hapo kujifunza,,,nyie ni maAgent wa Wakoloni
Inashangaza Sana ebu fikiria kwamfano wanaoomba suala la bandari lkatika uwekezaji lifanyiwe marekebisho kwavipengele katika mkataba husika,swali hivi kijiografia Ninani walio wengi katika maeneo hayo ya bandari niwaislamu au niwakristo Kama niwaislamu je, wanaopinga mkataba wauwekezaji katika maeneo hayo yabandari ni wakristo au Ni waislamu,mbona viongozi wakiislamu hatuoni mkipinga badala yake kila kukicha udini kivipi, ama kweli wenye haki watakao iona pepo niwachache kwa hapo mlipofikia mnapotea sana.
Tatizo kubwa viongozi wa chadema na viongozi wa kikristo ndio waliowafanya waislamu wautetee mkataba kwa kauli zao za kibaguzi, Kuna waloanza kusema wazanzibari wanauza bara , mara wanaleta waislamu waarabu kurudisha utumwa, mara DP world wakikusanya mapato watajenga msikiti mkubwa Mbeya , mawazo ya aina hiyo ni kuonesha uadui wazi kwa waislamu na ndipo mlipokosea. Naamini raia wengi hawajawahi hata kuuona huo mkataba ikiwemo mimi na wewe na kama ushausoma nitumie link nikauangalie
Huu ndio ukweli wakristo siwazalendo mpaka kesho wanajua wajiita waroman, waislail taifa teule niwadini sana ndio maana nchi hii inakwamishwa na hawa wadiini wenye kuinyonya nchii hii kwa maslahi ya mabwana zao.
Elezea jinsi nchi inavyonyonywa, tetea hoja yako, bado ina hang!
Wenye uelewe wasaidieni hawa
Mtu wa maana kabisa huyu
Hutuba hii ina miaka mingi lakini inatafsiri hali ya wanayoendea kuishi nayo Waislamu nchini Tanzania dhidi ya ndugu zao Wakristo. Rejea kuhusu sakata la bandari ya Dar, kwa kuwa aliyesimamia mkataba kati ya Dubai na Tanzania ni Rais Muislamu ameelezwa katika hali inayo tisha.
Yule aliyefunga mkataba ya migodi kule mwanza ni muislamu?yule aliyepigwa risasi ni muislamu?wale waliomkimbia nchi ni waislamu? acheni mambo ya kipuuzi
MUNGU Yuko wapi apo? Unaubiri nn ushetan .
CCM Hii mbinu ni mbinu ovu. Swala hapa siyo Uislamu na Ukristo SAMIA SULUHU HASSAN. Swala ni limkataba la ajabu jamani.
Unatengeneza uongo tu
Hawa wenye tabia za kutukana na kubeza watu inawezekana walishatukana hata wazee wao huko makwao. Kila mtu akiwa na mtazamo tofauti na wao wanamtusi. Sisi Waislamu tunakatazwa kuwatusi watu, hata wasiokuwa Waislamu majumbani mwetu na Misikitini. Ukiona Muislaimu katukana huyo amepinda kwa kukosa malezi.
Kuna wa2 wabaguzi km waislam hum tz
@@sundaymsuya1433 Tamaa yetu sisi watu waielewe haki na kisha kuifuata. Sisi tunatambua vitabu vinne: 1.Zaburi, 2.Taurati,3.Injili na Quran. Na pia tunaviamini.
ilunga wape vidonge vyao hawajielewi hao
Na lazima mjue uchaguzi unaokuja utakuwa na udini sana kwani ndio mipangoyao na baada ya uchaguzi waislamu watateseka sanaa
Mathayo.15.14 waacheni hao ni viongozi vipofu wa vipofu na kipofu akimwongoza vipofu wenzake wote wawili watatumbukia shimoni.mbona kuna mashehe wanahubiri wakristo wanaelewa wewe umetokea pande za wapi embu soma kurhani vizuri uislamu si unyenyekevu au ni ushetwani duuuuuu au kuchinja watu ,kuua,kusengenya,we vipi
Huyu mchawi katoka wapi?.
Mchawi babaako
@@presenterkabuma1646 mama yako.
Nasikia alishadanja
@@happinessmwaipopo7426 eti nasikia alishadanja! na ww ipo cku utaelekea hko taka uctake
@@DONALDMTOWE-u9gMchawi wakubwa nyie.
Huyu ni mjinga na mchochezi apuuzwe. Wakristo si kwelu kwamba wote Wana mawazo mamoja ndo maana unaona spika ni mkristo lakin anaunga mkono bandari ibinafaishwe. Kiufupi huyu Sheikh anaakili ndogo Sana ya kupambanua mambo 😂😂😂
Upo sahihi ila jambo labandali likopalepele hatumtaki dpwold
Mnafikiliza taarifa za mwendawazimu.
Ina maana ww hotuba ile ya nyerere hukuisikia
Wewe ndo mzalendo. Acha izo
KWA MUNGU. HAKUNA. MADHEHEBU KUNA. IMANI. HIVYO. KILA. DHEHEBU IHESHIMU NYINGINE KINYUME. NA. HIVYO. NIDHAMBI. NA NI. UBATILI. MTUPU.
Kumbuka mwalimu alifuta ukabila na kwa sasa tuna amani wewe unatoa wapi hayo? Alafu wewe ni mtu wa umri tumia elimu saidizi . Udini usitegemee kwetu ila hio ipo kwako na hutatoboa uchichezi ...uelewe hakuna mungu wa kikrito na wa kiislam mungu akusaidie
Waisiram niwazito wakuerewa wakijua tutapata misaada jitumeni fanyeni kaazi acheni uchonganisha
wazito kuelewa ni wadini wakristo wanao inyonya nchii hii
Kweli wewe taahira hata kiswahili hujui
Eti waisram,kuerewa,ndio nini hii?
HAMWEZI KUHUBIRI MAFUNDISHO YA IMANI YAKO. BILA KUTUKANA AU KUKASHIFU UKIRISTO. MIDOMONI NA MIOYO YENU IMEJAA CHUKI NA FITINA. UNALETA UBAGUZI LIZEE LISILO NA HEKIMA.
Unahamasisha vurugu tuache na amani yetu umetumwa na nani?
@@jafarimsigwa277Taarifa hizo watu wa usalama wanaziita: "Declassified Information".
Mazungumzo haya Yana zaidi ya miaka mitano, hakuna aliyehisi kufanyika kwa vurugu.
Wewe ndio unapandwa na roho mtakatifu Leo ili ufanye vurugu.
Ungeelewa kilichozungumzwa ungesema kipi sio sahihi na sahihi ni kipi!
Fanya vurugu utakutana na wenye kazi zao za kutuliza vurugu.
Mwenyezi Mungu akujaalie ufahamu mzuri.
Allah Akbar!
Shehe sijawai kuona mswahili anafanya KAZI .ni majungu Tu Ayo ni mahubiri hotba ,mafarakano,au wewe ndio mpinga Kristo muulize goliati kilichomkuta na wewe subiri .Sheria inakataa kukachifu dini ya MTU unajua hayo kwani mungu ni mwislamu au mkristo yeye ni dini gani .
Kanisa limeomba radhi kwa kufanya biashara ya WATUMWA na kuua ZANZIBAR, Waislamu wametulia. Hii ndio sifa ya Waislamu unaowaita Waswahili wanaoi
Huyu marehemu amefufuka na kutoa wrong history asiyoijua.
Makafiri wanatukana hawajibu hoja
Namashaka na huyu mzee kama hakua mchawi basi ni mfuga majini
Acha chuki zakijinga mbona anaongea ukweli mtupuuu?pamoja nachuki zako ukweli utabaki tuuu.
Ukweli mchungu 😅😅😅
Hivi nikwanini viongozi mnaendeleza mjadala wakidini kwani Hawa wanao ongea nakulalamika katika nchi hii wameutaja wapi uislaamu ,tunaomba kueni makini choko choko hizi zaudini hazina maana yoyote kwakuwa Jambo Hilo halipo,lakini inavyoonesha mnalazimisha watu waanze kuzungumzia Jambo Hilo ambalo halipo ili mpatate mahali pakuanzia kuleta chuki,hamtaweza kwakuwa hata wafuasi wenu wanawashangaa
Ungeanza na wa makanisa maana wao kwanza hawaitakii mema nchi wanalinda maslahi ya Wakoloni,huyo anajibu hoja
Daah ukiisoma dini ukaielewa kupitiliza haya ndo madhara yake ipo haja ya kutoa elimu ya kujitambua na kuyatambua mambo elim sifuri kabisa
Umepewa kiasi gani na CCM?
Unaropoka tu hii clips ina zaidi ya miaka 20 bilashaka wewe ulikua bado unachezea michanga. kipindi CCM wakidi CUF ni chama cha waislam
Upimwe akili. Mtu mzima hovyo
umepewa bahasha umezeka hadk akili
Antony apewe bahasha kaburini nyny kwanza kila anaewaambia ukweli kapewa bahasha huyu shekh amefariki miaka mitano iliyopita na pia hajazungumzia bandar kazungumzia wakristo nchi hii hawana uzalendo na nchi yao zaidi ya kanisa kwanza sio kweli
Hapo kunapambaniwa bandari iende na waaarabu mungu tusaidie
Bandari ya babaako
NYINYI MNAWACHUKIA WARABU KWASABABU YA CHUKI TU.Wangepewa wazungu mnge kaa kimya
@@youssefsanje8743 😂😂😂😂
@@mkude mm sichukiii waarabu tu ata wazungu na wachukia inchi yetu mpaka kesho ina nyonywa na wazungu siwezi kuwapenda ,na mm na simama kama chadema sio dini yoyote ile ,sisi kama chadema tulipiga kelele juu ya mikataba ilio kua ikifanywa na wazungu apa kwetu kama hukusikia pia sikulaumu
Sasa amekuja muarabu tukikataa mnasema
Ooooh mbona wazungu walichukua
Kwaio mna lipiza sindio 😂😂😂kweli sisi watu weusi atuna akili 😂😂 ila so mbaya mungu alituumba ivo
Ila nikuambie kitu mungu ndio muweza ya yote ngoja tuone mwisho ukoje na usicho kijua ni kwamba NAMPENDA SANA RAISI SAMIA kaaa ukili jua hilo na yeye ni binadamu tu kama mm akikosea ana rekebishwa😁😁
Acha ubwege kumbuka waarabu ndo wanajenga bwawa la Nyerere na reli ya umeme au hujui😀😀
Hawa ndo wanaongoza Kwa upotoshajii,hawana na muda wa kuhubiri upendo au mambo yakoo
Una hoja au matamanio ya nafsi kuwa muadilifu kijana.
Udini utaanzia kwenye utawala huu
Huna akili
Ww unazo lakini zina ulemavu katika ufahamu.
Sasa wameanza kujifichua Quran 5;51) Quran 9;29
Jamani mtaturetea hatari Nyinyi ninilakin?
Kwahiyo Waarabu nao waliacha uzalendo katika nchi zao.
Hivi ni kweli kuwa hamwezi kuongelea dini yenu mpaka muutaje Ukristo? Na hii ni kuonyesha kuwa hoja za dini yenu ni dhaifu kwa hiyo hoja zenu zinakamilika kwa kuutaja Ukristo
makafili hamna akili ndo maana mnauziwa hadi mchanga na mafuta ya alizeti na mwamposa
Hawana uzalendo je nikweli au ni kupotosha kristo ataleta kiyama kwenu itakuwaje ?
Hawa jamaa ni watu tuu walislimu
Kama vile tuu wakristo na ukristo .
Mwehu pale kwenye kaaba huonagi ma raisi wanavyolindwa...hii nchi imeendelezwa na wakristo nchi zilizotawaliwa na waarabu kama maultinania mpaka leo ni watumwa wa waarabu Eritrea kadhalika somalia
WEWE NI MPUMBAVU, MWARABU HAJAWAHI KUTAWALA NCHI YOYOTE AFRICA. BAADA YA UKOLONI KUTANGAZWA AFRICA, BAADA YA BERLIN CONFERENCE 1884.
@@manrectorz sio kutawala tu amechukuwa kabisa amejimilikisha Egypt ni nchi ya kiarabu?? Libya Tunisia Morocco hizi ni nchi za kiarabu?? Alietawala znz na tanganyika kabla ya mjerumani alikuwa mchina?? Mbona history zenu mwaarabu aliuwa watu weusi Egypt ilikuichukuwa na sasa hiyo history hamuitaki na mwaarabu hataki muijuwe na mashekh hawezi kuwaambia.. kwasababu msimamo wao ni kuwa waarabu ni wema duniani hakuna
Nyie kweli ndo wasenge mnaropoka tu wala hamjui lolote,kazi kudanganywa tu na wapumbavu wenu huko.
@@presenterkabuma1646 wewe huyo hakudanganyi??
Hovyoooo mtu mzima hovyoooooo
Hili gaidi ndio maana lilidanja
Gaidi babaako
@@presenterkabuma1646 heheheh magaidi yote
Kwa hyo waliyodanja wote ni magaidi? hyo ni njia ya wote na ww upo kwnye folen
@@mlawayusuph8842 na wewe pia
Ww uco gaidi utaishi milele...
Duuuyuhhhh
Hudatv bravo
Umesahau historia mzee. Tafuta kitabu kinaitwa uhuru wa watumwa. Uone jinsi waarabu walichowafanyia babu zetu na bibi zetu.
Waarabu ndio waliojenga kanisa pale mkunazini zanziba.
km kituo kikuu cha biashara ya utumwa?
Cc tuna ushahidi wa athari za wakristo/wazungu kua wao ndio waliokua wakiwafanya watu watumwa
Tusamee shekhe inatosha
Mko vizuri kwa kweli
Ilunga ulikotokea Rudi ukajitafakari maana ulileta machafuko kuhusu kuchinja ktk utawala WA Kikwete.
Waarabu waliacha magofu ya Watumwa Zanzibar.
Sio zanzibar tu, nenda kilwa uone magofu na ujifunze walivyowanyanyasa Watanzania na kuwadhalilisha, kuwatumikisha, ni wakoloni tu kama wakoloni wengine. Nafikiri kuna haja ya kuacha kuangalia udini, tujifunze kwa Traore na Tanzania haichukui muda, time will tell!
Usisahau sio magofu tu peke yake na wao ndo sababu ya Uislam kwaio juwa tu sisi tunajivuniya UISLAM
Msituletee mambo ya udini hapa, hatutaki kabisa mambo hayo
Hujui jambo lolote kaa kimya
Unataka habari za iblis subiri utakutana nae motoni mjinga mkubwa wewe
Uzalendo ni kuwaachia waarabu watwae mali zote?
Roho tu inawauma. Hata zikijengwa kila kijiji watu wanafuata huduma na si hospital hii ni ya nani. Acha kupoteza muda wako, zungumza ya msingi na si chuki na wivu. Eti kanisa😱
CCM MNAKOTUPELEKA, TUTAJUTA WATANZANIA. NAHISI MPO WACHACHE WAKUU WA JUU AMBAO MNAJUA MNAO USALAMA KAMILI NINYI NA FAMILIA ZENU.
Yan majitu mengine yanakurupukaga tuu kuongea,madhara ya kusomea dini pekee wanasahau hata philosophy
Kwatarifayako ilunga alikua naelimu kubwa mno kwasasa hatunaye amekufa nilichogundua wengine Muna comment vitu msivyofahamu imewajaa miemko naupungufu wa akili.
Marehemu Ilunga aliibua hoja nzito zikakosa majibu upande wa serikali na kanisa akatamani afikishwe mahakamani iwe open kesi hawakudhubutu kumfikisha eti maustadh wana elimu moja Gogo hilo mpaka anakwenda kaburini hakuna aliyemjibu.
Acha uchonganishi ustadhi.
Tz sote ni ndo maana familia moja unakuta kuna waislam na wakristo.
Lkn pia tumeona waislam kwa waktisto tens kwa upendo.
Ondoa udini hapa ww
Sheikh wetu ulikuwepo wapi mashallah❤
Umepotea siku nyingi mkufuli alikuficha nini 😂
Inalillah waina ilayh rajioun shekh amefariki miaka mingi imepita
@@tashone7884 innallilah waina illaina rajoun, Allah ampe weoesi na amlinde na adhabu ya kaburi
@@ukweliunauma4570allauma aamini
waliosaini miataba huu ndio wanaoleta haya!
Hadidu rejea
Bwege huyo!!! Achana naye. Usipoteze muda wako.
We are not Arabs and never can we. Tumerogwa dini imefumba watu macho.
Marehemu aliyekufa amefufuka
Hizo ndio fikra zinazoishi
Uzalendo wa bandari haupo
Y
Unaelewa unachokisema?, usipotoshe watu , unafahamu madhara ya kuyasema hayo nyakati hizi?,wewe kweli ni kiongozi mcha Mungu au kiongozi mcha dini?,
Wanini wakeisto wanaficha majina yao mtandaoni hii ni dalili mbaya hawa ni watu wabaya sana ukiona mtu hataki kujulikana jinalake huyo atakua habisi ,nwizi jambazi ,muuwaji hawa ni tatizo kubwa na vita walionayo ninkwenye arizi ndio wanaongoza kuleta migogoro ya arizi na ni wauwaji wakubw
Waambie hao wanaowafanya wakristo ndio washirika wao. Mungu katuonesha nia zao dhidi ya waislam
Umoja kwenye uwizi nyie waislam wezi tu kama serikali ya ccm kuwa raia ni kuuza bandari?
Huu ndio UKWELI , huyo ni mtaalamu wapi kasema uwongo?
Nasi Mungu hutuonesha mapema kila mnachofanya kisiri kwa nia mbovu.Huyu ustadhi na nyie wengine wote mnaoshabihiana naye mna harakati zinazosadifu nia zenu mbovu za kibinafsi za tangu zamani.
@@edwardntamaboko3414 kuna jambo gani baya dhidi ya wakristo alolisema, hapo kafichua ubaya wenu makafiri tu, au ulitaka anyamaze tusiyajue
Mwizi wewe unaepokea mabilioni ya fedha za Walipa kodi wa dini zote, ukazichukua katika kanisa kupitia mikataba haramu ya kudhamini Hospitali za kimishionari? Mkataba huo wa 1992 hujawahi kuusikia? Huo sio wizi?
Hiyo vita unayoianzisha ianzie kwako iishie kwako we vuruga tu
Mwongo wewe ulikuwepo?