WAKRISTO HAWANA UZALENDO WA NCHI YETU | UST. ILUNGA H. KAPUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 410

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala9955 12 дней назад

    Yaa Allah milie nuru katika kaburi lake Aamin yaa Rabir aalamin

    • @Hudatztv
      @Hudatztv  10 дней назад

      @@mashakabundala9955 Allahuma Aamin

  • @HansTech360
    @HansTech360 6 месяцев назад +2

    Makafiri wanatokwa na mapovu baada ya ukweli kuwachoma Allah akurehemu sheikh

  • @hasbunakhamis487
    @hasbunakhamis487 3 месяца назад +1

    Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah

  • @santonjosephmsadick3899
    @santonjosephmsadick3899 3 месяца назад +1

    Huyu ni mwalimu wa kweli ni moja ya binadamu ninao wapenda na kuwakubali ktk maisha yangu,

  • @PeragiaAlfred
    @PeragiaAlfred Год назад +3

    Peleka ujinga mnajifanyaga wacha Mungu kweli.kazi kufuga majini tu,kwendraaa.mnatetewa raslimali zenu mnaleta udini hapa

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 Год назад +1

      Kufuga majini ndo nini wewe mjinga nyinyi wakristo ndo mmejaa mapepo mnashinda mnaangukiana makanisani

    • @aminahkhuzwayo-iv1wl
      @aminahkhuzwayo-iv1wl Год назад +1

      Wewe mgaratia PUNGUZA chuki,, ZIDISHA MAARIFA!huyu mzee anaongea ukweli!
      Nyie wakristo,, ukristo kwanza nchi baadae,,ila waislam wanavyofeli nchi kwanza dini baadae kwa ujinga huu wa waislamu ndio mmekuwa jeuri ya mpaka kuitumana serikali!

    • @BoariIsmail
      @BoariIsmail 11 месяцев назад

      We yahud ayakuhusu we endelea kuabudu masanam

  • @MohamedKasalama
    @MohamedKasalama 8 месяцев назад +1

    Allah akurehem shekh wetu ujumbe umefika

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Год назад +1

    Mwenyezi mungu amrehemu alikua mwamba sana.

  • @Zainabnoor0087-ze
    @Zainabnoor0087-ze Год назад +1

    Allah akulipe mema, shk ilunga maneno yako ni hazina ya Karne kwa waislam wa Tanzania

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 Год назад

      Kweli mbumbumbu aisee

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze Год назад

      @@martinmkoba361 jibu hoja za ust ilunga mgalatia usie na akili

    • @princeshahulo2174
      @princeshahulo2174 Год назад

      @@martinmkoba361 mbumbumbu ni wewe usiyejua wakati sahihi ni upi kichwa chako kinawaza ukafiri wako ata kama unapotoka na ukweli unaona, hakika kuna watu wanamacho na hawaoni wana masikio lakini hawasikii!!!!

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 Год назад

      Hapo kaongea oja gani zaidi ya chuki makafiri wakubwa nyie

    • @presenterkabuma1646
      @presenterkabuma1646 Год назад

      @@martinmkoba361We mbwa kama huna la kusema kaa kimya,kenge wewe.

  • @qasammamachinya4448
    @qasammamachinya4448 Год назад +4

    Safi dirunga,uko sawa

  • @munic6686
    @munic6686 Год назад +2

    Allahumaghfrillahu waskaana filjanna

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 2 месяца назад

    SawA, Ubarikiwe

  • @daudimwaitebele420
    @daudimwaitebele420 Год назад +2

    Innalillah wainnaillaih raaajiuun
    Hii khutba ni ya mda mrefu sanaaa so watu hamjui huyu aneongea kana kwambia kaongea jana watu wanamtusi tu
    Huyu jamaa alikua mwiba kwa serikali Alisha ondolewa mda mrefu tu so acheni kumtukana huyu

  • @tashone7884
    @tashone7884 Год назад +3

    Hoja za shekh alizoibua serikali ilishindwa kumjibu akatamani afikishwe mahakamani aombwe ushahidi haikuwahi kutokea alisema hoja na ushahidi anaoibua ni mdogo kuliko aliouhifadhi. Tulitamani sana open kesi tupate faida.

  • @godsondeo7539
    @godsondeo7539 Год назад

    Mimi ni mkristo nawapenda sana niwastarabu ..ingekuwa wanazungumza kama wewe 😊😊😊😊😊

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Год назад +5

    Watu wenye busara hupambana na hoja za mtu na si mwenye hoja mwenyewe. Kuzipangua kielimu imma +au- .Na sio kupayuka.Lete hoja yenye ubainifu: ndio au siyo (Burhan).Matusi yana msaada gani kama sio dalili ya kufilisika utambuzi. Marehemu shekhe Ilunga (ALLAH SUBHANAHU WATAALA Amrehemu)Hakuwahi kujibiwa hizo hoja.

    • @reubenbushiri1753
      @reubenbushiri1753 Год назад

      Alijibiwa na Mwalimu Daniel Mwankemwa ipo hapa RUclips-Inajulikana Kama Mfumo kristo Ni Mfumo wa kifikirika tafuta hiyo ipo part 1 na part 2.Ebu jaribu kusikiliza hiyo

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 Год назад

      @@reubenbushiri1753 Shukran Mr. Reuben ngoja niisikilize.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 11 месяцев назад +2

    Waislam ndio wazlendo wa nchi hii tunaona uzalendo wao wa kuuza nchi kwa waarabu huo ndio uzarendo

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 Месяц назад +1

    Sijawahi kumpenda mtu yeyote Tanzani kuliko SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Год назад

    Ustaadhi Ilungu ovyoooo!

    • @songombingo108
      @songombingo108 Год назад

      Ovyo mama yako. Fala wewe. Kama humpendi usimsikilize. Nyambaffff

  • @husseinmwanjela8644
    @husseinmwanjela8644 Год назад +1

    Upo sahihi

  • @mkwipunda2036
    @mkwipunda2036 Год назад +3

    Innaalillah wainnaa ilayhi rajiun Allah rahmet eylesin mekanı cennet olsun amin amin amin

  • @saidmkwabi9460
    @saidmkwabi9460 Год назад +3

    Tuelimishe baba ila machoko hawapendi

    • @camilomassao8971
      @camilomassao8971 Год назад

      Sasa nyie wenye uzalendo mmetetea nini kama si upepo fuata bendera?

  • @sesicasi1364
    @sesicasi1364 Год назад +1

    Wewe uislamu huujui. Sasa ukristu umeufahamia wapi? Pumbavu mkubwa! Eti ule mkate wao!!! Zee puuzi sana hili!!

    • @adammj6258
      @adammj6258 Год назад

      Huwa hamjuagi kujibu hoja mnakimbilia matusi,,,kama mgeni ndio ujue hapo Kanisa lililetwa na Wakoloni kwa maslahi yao na ndio hayo,,,kuwagawa waTanzania,,, Anglican Church, UK na Lutheran German na ndio Wakoloni,,unabisha!!???

  • @PeterMwita-t6p
    @PeterMwita-t6p Год назад

    Aaaaalaaaah! Maamuma! Dubai chanzo!

  • @OthmanKiroga
    @OthmanKiroga Год назад +3

    May Allah grant him jaanat Firdausi.

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Год назад +2

    Ndiyo naamini elimu ni Mkombozi wa fikra.

  • @imanimfuruki9040
    @imanimfuruki9040 Год назад +2

    Mashallah

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +1

    Tunahitaji hospital za Kanda na wilaya zijengwe kila mahali tuachane na hospital za kanisa zilipe Kodi zinakwepaa Kodi kupitia partnership

  • @SylvanusNgutse
    @SylvanusNgutse Год назад +1

    Sitaki kutoa comment yangu mpaka nitakapo fahamu academic CV yake huyo anaeongea. Simwelewi!

  • @williammwanganya550
    @williammwanganya550 Год назад

    Naomba niwaweke sawa kumbukumbu kutokana na baadhi ya comment hii clip ni ya muda sana shekh ilunga ashafariki zaidi ya miaka mitatu imepita

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino 6 месяцев назад +2

    Tuishukru Bakwata kwa kuwa na viongozi wa elewa sana,

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 Год назад +3

    sawa kabisa shekh

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Год назад

      Kisha kufa huyo, hayupo duniani

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 Год назад

      @@romanamassawe814 Maneno yake bado yako hai na yataendelea kua hai

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Год назад

      @@maftahmusa9513 hata maneno ya shetani Bado yapo hai, alimwambia Hawa siku mkila tunda la mti huu mtafanana na mungu, je maneno ya shetani hayaishi mpaka leo ?. Kufa wote tutakufa ila ukifa unaenda wapi ?. Hilo gaidi Sasa hivi lipo jehanamu ya milele,

    • @petermasanilo732
      @petermasanilo732 Год назад

      Serikali wachukue hatua Kwa hiyo mchonganishi

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Год назад +1

    Haya Ni maajabu ya dunia kweli walio nauelewa wa Mambo niwachache😅😅

  • @zeelamipango
    @zeelamipango Год назад

    Msenge mmoja hv asiyejielewa

    • @MaryamKudra-gf8zs
      @MaryamKudra-gf8zs Год назад +1

      mtukane ujue utakuja mlipa kwa gharama kubwa mbele ya Allah

    • @adammj6258
      @adammj6258 Год назад

      Ndio ushajibu hoja hapo!!?? Mbona Maaskofu wenu wanayajua na hawabishi!!? Anzia hapo kujifunza,,,nyie ni maAgent wa Wakoloni

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Год назад

    Inashangaza Sana ebu fikiria kwamfano wanaoomba suala la bandari lkatika uwekezaji lifanyiwe marekebisho kwavipengele katika mkataba husika,swali hivi kijiografia Ninani walio wengi katika maeneo hayo ya bandari niwaislamu au niwakristo Kama niwaislamu je, wanaopinga mkataba wauwekezaji katika maeneo hayo yabandari ni wakristo au Ni waislamu,mbona viongozi wakiislamu hatuoni mkipinga badala yake kila kukicha udini kivipi, ama kweli wenye haki watakao iona pepo niwachache kwa hapo mlipofikia mnapotea sana.

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 Год назад

      Tatizo kubwa viongozi wa chadema na viongozi wa kikristo ndio waliowafanya waislamu wautetee mkataba kwa kauli zao za kibaguzi, Kuna waloanza kusema wazanzibari wanauza bara , mara wanaleta waislamu waarabu kurudisha utumwa, mara DP world wakikusanya mapato watajenga msikiti mkubwa Mbeya , mawazo ya aina hiyo ni kuonesha uadui wazi kwa waislamu na ndipo mlipokosea. Naamini raia wengi hawajawahi hata kuuona huo mkataba ikiwemo mimi na wewe na kama ushausoma nitumie link nikauangalie

  • @MaryamKudra-gf8zs
    @MaryamKudra-gf8zs Год назад +1

    Huu ndio ukweli wakristo siwazalendo mpaka kesho wanajua wajiita waroman, waislail taifa teule niwadini sana ndio maana nchi hii inakwamishwa na hawa wadiini wenye kuinyonya nchii hii kwa maslahi ya mabwana zao.

  • @awadhially
    @awadhially 4 месяца назад +2

    Mtu wa maana kabisa huyu

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Год назад +2

    Hutuba hii ina miaka mingi lakini inatafsiri hali ya wanayoendea kuishi nayo Waislamu nchini Tanzania dhidi ya ndugu zao Wakristo. Rejea kuhusu sakata la bandari ya Dar, kwa kuwa aliyesimamia mkataba kati ya Dubai na Tanzania ni Rais Muislamu ameelezwa katika hali inayo tisha.

    • @geofreyndambo8635
      @geofreyndambo8635 Год назад

      Yule aliyefunga mkataba ya migodi kule mwanza ni muislamu?yule aliyepigwa risasi ni muislamu?wale waliomkimbia nchi ni waislamu? acheni mambo ya kipuuzi

  • @nancyaloys8392
    @nancyaloys8392 Год назад +1

    MUNGU Yuko wapi apo? Unaubiri nn ushetan .

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 Год назад +1

    CCM Hii mbinu ni mbinu ovu. Swala hapa siyo Uislamu na Ukristo SAMIA SULUHU HASSAN. Swala ni limkataba la ajabu jamani.

  • @starvista823
    @starvista823 Год назад +1

    Unatengeneza uongo tu

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Год назад +1

    Hawa wenye tabia za kutukana na kubeza watu inawezekana walishatukana hata wazee wao huko makwao. Kila mtu akiwa na mtazamo tofauti na wao wanamtusi. Sisi Waislamu tunakatazwa kuwatusi watu, hata wasiokuwa Waislamu majumbani mwetu na Misikitini. Ukiona Muislaimu katukana huyo amepinda kwa kukosa malezi.

    • @sundaymsuya1433
      @sundaymsuya1433 Год назад

      Kuna wa2 wabaguzi km waislam hum tz

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 Год назад

      @@sundaymsuya1433 Tamaa yetu sisi watu waielewe haki na kisha kuifuata. Sisi tunatambua vitabu vinne: 1.Zaburi, 2.Taurati,3.Injili na Quran. Na pia tunaviamini.

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Год назад +1

    ilunga wape vidonge vyao hawajielewi hao

  • @uwezotv
    @uwezotv Год назад

    Na lazima mjue uchaguzi unaokuja utakuwa na udini sana kwani ndio mipangoyao na baada ya uchaguzi waislamu watateseka sanaa

  • @petrokishe
    @petrokishe Месяц назад

    Mathayo.15.14 waacheni hao ni viongozi vipofu wa vipofu na kipofu akimwongoza vipofu wenzake wote wawili watatumbukia shimoni.mbona kuna mashehe wanahubiri wakristo wanaelewa wewe umetokea pande za wapi embu soma kurhani vizuri uislamu si unyenyekevu au ni ushetwani duuuuuu au kuchinja watu ,kuua,kusengenya,we vipi

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g Год назад +2

    Huyu mchawi katoka wapi?.

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Год назад

    Huyu ni mjinga na mchochezi apuuzwe. Wakristo si kwelu kwamba wote Wana mawazo mamoja ndo maana unaona spika ni mkristo lakin anaunga mkono bandari ibinafaishwe. Kiufupi huyu Sheikh anaakili ndogo Sana ya kupambanua mambo 😂😂😂

    • @AshrafuJonny-sz4gs
      @AshrafuJonny-sz4gs Год назад

      Upo sahihi ila jambo labandali likopalepele hatumtaki dpwold

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Год назад

    Mnafikiliza taarifa za mwendawazimu.

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 Год назад +1

      Ina maana ww hotuba ile ya nyerere hukuisikia

  • @PeterMwita-t6p
    @PeterMwita-t6p Год назад +1

    Wewe ndo mzalendo. Acha izo

  • @jamesbayo1910
    @jamesbayo1910 Год назад +1

    KWA MUNGU. HAKUNA. MADHEHEBU KUNA. IMANI. HIVYO. KILA. DHEHEBU IHESHIMU NYINGINE KINYUME. NA. HIVYO. NIDHAMBI. NA NI. UBATILI. MTUPU.

  • @godsondeo7539
    @godsondeo7539 Год назад

    Kumbuka mwalimu alifuta ukabila na kwa sasa tuna amani wewe unatoa wapi hayo? Alafu wewe ni mtu wa umri tumia elimu saidizi . Udini usitegemee kwetu ila hio ipo kwako na hutatoboa uchichezi ...uelewe hakuna mungu wa kikrito na wa kiislam mungu akusaidie

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Год назад +1

    Waisiram niwazito wakuerewa wakijua tutapata misaada jitumeni fanyeni kaazi acheni uchonganisha

    • @MaryamKudra-gf8zs
      @MaryamKudra-gf8zs Год назад

      wazito kuelewa ni wadini wakristo wanao inyonya nchii hii

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Год назад

      Kweli wewe taahira hata kiswahili hujui
      Eti waisram,kuerewa,ndio nini hii?

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 Год назад

    HAMWEZI KUHUBIRI MAFUNDISHO YA IMANI YAKO. BILA KUTUKANA AU KUKASHIFU UKIRISTO. MIDOMONI NA MIOYO YENU IMEJAA CHUKI NA FITINA. UNALETA UBAGUZI LIZEE LISILO NA HEKIMA.

  • @jafarimsigwa277
    @jafarimsigwa277 Месяц назад

    Unahamasisha vurugu tuache na amani yetu umetumwa na nani?

    • @Hudatztv
      @Hudatztv  Месяц назад +1

      @@jafarimsigwa277Taarifa hizo watu wa usalama wanaziita: "Declassified Information".
      Mazungumzo haya Yana zaidi ya miaka mitano, hakuna aliyehisi kufanyika kwa vurugu.
      Wewe ndio unapandwa na roho mtakatifu Leo ili ufanye vurugu.
      Ungeelewa kilichozungumzwa ungesema kipi sio sahihi na sahihi ni kipi!
      Fanya vurugu utakutana na wenye kazi zao za kutuliza vurugu.
      Mwenyezi Mungu akujaalie ufahamu mzuri.

  • @jafumnyupe5250
    @jafumnyupe5250 Год назад +1

    Allah Akbar!

  • @petrokishe
    @petrokishe Месяц назад

    Shehe sijawai kuona mswahili anafanya KAZI .ni majungu Tu Ayo ni mahubiri hotba ,mafarakano,au wewe ndio mpinga Kristo muulize goliati kilichomkuta na wewe subiri .Sheria inakataa kukachifu dini ya MTU unajua hayo kwani mungu ni mwislamu au mkristo yeye ni dini gani .

    • @Hudatztv
      @Hudatztv  Месяц назад

      Kanisa limeomba radhi kwa kufanya biashara ya WATUMWA na kuua ZANZIBAR, Waislamu wametulia. Hii ndio sifa ya Waislamu unaowaita Waswahili wanaoi

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Год назад +1

    Huyu marehemu amefufuka na kutoa wrong history asiyoijua.

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Год назад +3

    Makafiri wanatukana hawajibu hoja

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 9 месяцев назад +2

    Namashaka na huyu mzee kama hakua mchawi basi ni mfuga majini

    • @hamisimlala4700
      @hamisimlala4700 9 месяцев назад

      Acha chuki zakijinga mbona anaongea ukweli mtupuuu?pamoja nachuki zako ukweli utabaki tuuu.

    • @KhamisHaroub-uj5ci
      @KhamisHaroub-uj5ci Месяц назад

      Ukweli mchungu 😅😅😅

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Год назад

    Hivi nikwanini viongozi mnaendeleza mjadala wakidini kwani Hawa wanao ongea nakulalamika katika nchi hii wameutaja wapi uislaamu ,tunaomba kueni makini choko choko hizi zaudini hazina maana yoyote kwakuwa Jambo Hilo halipo,lakini inavyoonesha mnalazimisha watu waanze kuzungumzia Jambo Hilo ambalo halipo ili mpatate mahali pakuanzia kuleta chuki,hamtaweza kwakuwa hata wafuasi wenu wanawashangaa

    • @adammj6258
      @adammj6258 Год назад

      Ungeanza na wa makanisa maana wao kwanza hawaitakii mema nchi wanalinda maslahi ya Wakoloni,huyo anajibu hoja

  • @Asamtz360
    @Asamtz360 Год назад

    Daah ukiisoma dini ukaielewa kupitiliza haya ndo madhara yake ipo haja ya kutoa elimu ya kujitambua na kuyatambua mambo elim sifuri kabisa

  • @barnabasmsagamasi611
    @barnabasmsagamasi611 Год назад

    Umepewa kiasi gani na CCM?

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 Год назад

      Unaropoka tu hii clips ina zaidi ya miaka 20 bilashaka wewe ulikua bado unachezea michanga. kipindi CCM wakidi CUF ni chama cha waislam

  • @frank01tz
    @frank01tz Год назад +1

    Upimwe akili. Mtu mzima hovyo

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 Год назад

      umepewa bahasha umezeka hadk akili

    • @mohdkhamis1031
      @mohdkhamis1031 Год назад

      Antony apewe bahasha kaburini nyny kwanza kila anaewaambia ukweli kapewa bahasha huyu shekh amefariki miaka mitano iliyopita na pia hajazungumzia bandar kazungumzia wakristo nchi hii hawana uzalendo na nchi yao zaidi ya kanisa kwanza sio kweli

  • @biddii1972
    @biddii1972 Год назад

    Hapo kunapambaniwa bandari iende na waaarabu mungu tusaidie

    • @youssefsanje8743
      @youssefsanje8743 Год назад +1

      Bandari ya babaako

    • @mkude
      @mkude Год назад +1

      NYINYI MNAWACHUKIA WARABU KWASABABU YA CHUKI TU.Wangepewa wazungu mnge kaa kimya

    • @biddii1972
      @biddii1972 Год назад

      @@youssefsanje8743 😂😂😂😂

    • @biddii1972
      @biddii1972 Год назад

      @@mkude mm sichukiii waarabu tu ata wazungu na wachukia inchi yetu mpaka kesho ina nyonywa na wazungu siwezi kuwapenda ,na mm na simama kama chadema sio dini yoyote ile ,sisi kama chadema tulipiga kelele juu ya mikataba ilio kua ikifanywa na wazungu apa kwetu kama hukusikia pia sikulaumu
      Sasa amekuja muarabu tukikataa mnasema
      Ooooh mbona wazungu walichukua
      Kwaio mna lipiza sindio 😂😂😂kweli sisi watu weusi atuna akili 😂😂 ila so mbaya mungu alituumba ivo
      Ila nikuambie kitu mungu ndio muweza ya yote ngoja tuone mwisho ukoje na usicho kijua ni kwamba NAMPENDA SANA RAISI SAMIA kaaa ukili jua hilo na yeye ni binadamu tu kama mm akikosea ana rekebishwa😁😁

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 Год назад +1

      Acha ubwege kumbuka waarabu ndo wanajenga bwawa la Nyerere na reli ya umeme au hujui😀😀

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala4540 Год назад +1

    Hawa ndo wanaongoza Kwa upotoshajii,hawana na muda wa kuhubiri upendo au mambo yakoo

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 Год назад

      Una hoja au matamanio ya nafsi kuwa muadilifu kijana.

  • @princemahamba242
    @princemahamba242 Год назад

    Udini utaanzia kwenye utawala huu

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Год назад +1

    Huna akili

    • @ussiussi3413
      @ussiussi3413 Год назад

      Ww unazo lakini zina ulemavu katika ufahamu.

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Год назад

    Sasa wameanza kujifichua Quran 5;51) Quran 9;29

  • @nancyaloys8392
    @nancyaloys8392 Год назад

    Jamani mtaturetea hatari Nyinyi ninilakin?

  • @gulalakitinya7615
    @gulalakitinya7615 Год назад

    Kwahiyo Waarabu nao waliacha uzalendo katika nchi zao.

  • @mwinjilistiaristidesmeja1834
    @mwinjilistiaristidesmeja1834 Год назад

    Hivi ni kweli kuwa hamwezi kuongelea dini yenu mpaka muutaje Ukristo? Na hii ni kuonyesha kuwa hoja za dini yenu ni dhaifu kwa hiyo hoja zenu zinakamilika kwa kuutaja Ukristo

    • @luchinguawadh3647
      @luchinguawadh3647 Год назад +1

      makafili hamna akili ndo maana mnauziwa hadi mchanga na mafuta ya alizeti na mwamposa

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo6095 Год назад

    Hawana uzalendo je nikweli au ni kupotosha kristo ataleta kiyama kwenu itakuwaje ?

  • @faustinbyendeye138
    @faustinbyendeye138 Год назад

    Hawa jamaa ni watu tuu walislimu
    Kama vile tuu wakristo na ukristo .

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Год назад

    Mwehu pale kwenye kaaba huonagi ma raisi wanavyolindwa...hii nchi imeendelezwa na wakristo nchi zilizotawaliwa na waarabu kama maultinania mpaka leo ni watumwa wa waarabu Eritrea kadhalika somalia

    • @manrectorz
      @manrectorz Год назад +1

      WEWE NI MPUMBAVU, MWARABU HAJAWAHI KUTAWALA NCHI YOYOTE AFRICA. BAADA YA UKOLONI KUTANGAZWA AFRICA, BAADA YA BERLIN CONFERENCE 1884.

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 Год назад

      @@manrectorz sio kutawala tu amechukuwa kabisa amejimilikisha Egypt ni nchi ya kiarabu?? Libya Tunisia Morocco hizi ni nchi za kiarabu?? Alietawala znz na tanganyika kabla ya mjerumani alikuwa mchina?? Mbona history zenu mwaarabu aliuwa watu weusi Egypt ilikuichukuwa na sasa hiyo history hamuitaki na mwaarabu hataki muijuwe na mashekh hawezi kuwaambia.. kwasababu msimamo wao ni kuwa waarabu ni wema duniani hakuna

    • @presenterkabuma1646
      @presenterkabuma1646 Год назад

      Nyie kweli ndo wasenge mnaropoka tu wala hamjui lolote,kazi kudanganywa tu na wapumbavu wenu huko.

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 Год назад

      @@presenterkabuma1646 wewe huyo hakudanganyi??

  • @gracemsalila7735
    @gracemsalila7735 Год назад

    Hovyoooo mtu mzima hovyoooooo

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 Год назад +2

    Hili gaidi ndio maana lilidanja

  • @ritchiemuta1092
    @ritchiemuta1092 Год назад

    Duuuyuhhhh

  • @kanoa645
    @kanoa645 Год назад

    Hudatv bravo

  • @georgechiwango7381
    @georgechiwango7381 Год назад

    Umesahau historia mzee. Tafuta kitabu kinaitwa uhuru wa watumwa. Uone jinsi waarabu walichowafanyia babu zetu na bibi zetu.

    • @AmerinhoAmour
      @AmerinhoAmour 3 месяца назад

      Waarabu ndio waliojenga kanisa pale mkunazini zanziba.
      km kituo kikuu cha biashara ya utumwa?
      Cc tuna ushahidi wa athari za wakristo/wazungu kua wao ndio waliokua wakiwafanya watu watumwa

  • @HildaPaul-hm4jk
    @HildaPaul-hm4jk 5 месяцев назад +1

    Tusamee shekhe inatosha

    • @Hudatztv
      @Hudatztv  5 месяцев назад

      Mko vizuri kwa kweli

  • @tindatinda7330
    @tindatinda7330 Год назад

    Ilunga ulikotokea Rudi ukajitafakari maana ulileta machafuko kuhusu kuchinja ktk utawala WA Kikwete.

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Год назад +1

    Waarabu waliacha magofu ya Watumwa Zanzibar.

    • @camilomassao8971
      @camilomassao8971 Год назад

      Sio zanzibar tu, nenda kilwa uone magofu na ujifunze walivyowanyanyasa Watanzania na kuwadhalilisha, kuwatumikisha, ni wakoloni tu kama wakoloni wengine. Nafikiri kuna haja ya kuacha kuangalia udini, tujifunze kwa Traore na Tanzania haichukui muda, time will tell!

    • @KhamisHaroub-uj5ci
      @KhamisHaroub-uj5ci Месяц назад

      Usisahau sio magofu tu peke yake na wao ndo sababu ya Uislam kwaio juwa tu sisi tunajivuniya UISLAM

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 Год назад

    Msituletee mambo ya udini hapa, hatutaki kabisa mambo hayo

    • @dadihemedi2884
      @dadihemedi2884 11 месяцев назад

      Hujui jambo lolote kaa kimya

    • @KhamisHaroub-uj5ci
      @KhamisHaroub-uj5ci Месяц назад

      Unataka habari za iblis subiri utakutana nae motoni mjinga mkubwa wewe

  • @sabathmnubi5033
    @sabathmnubi5033 Год назад +1

    Uzalendo ni kuwaachia waarabu watwae mali zote?

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Год назад

    Roho tu inawauma. Hata zikijengwa kila kijiji watu wanafuata huduma na si hospital hii ni ya nani. Acha kupoteza muda wako, zungumza ya msingi na si chuki na wivu. Eti kanisa😱

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 Год назад

    CCM MNAKOTUPELEKA, TUTAJUTA WATANZANIA. NAHISI MPO WACHACHE WAKUU WA JUU AMBAO MNAJUA MNAO USALAMA KAMILI NINYI NA FAMILIA ZENU.

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala4540 Год назад +1

    Yan majitu mengine yanakurupukaga tuu kuongea,madhara ya kusomea dini pekee wanasahau hata philosophy

    • @kiongadecoration7793
      @kiongadecoration7793 Год назад +1

      Kwatarifayako ilunga alikua naelimu kubwa mno kwasasa hatunaye amekufa nilichogundua wengine Muna comment vitu msivyofahamu imewajaa miemko naupungufu wa akili.

    • @tashone7884
      @tashone7884 Год назад +1

      Marehemu Ilunga aliibua hoja nzito zikakosa majibu upande wa serikali na kanisa akatamani afikishwe mahakamani iwe open kesi hawakudhubutu kumfikisha eti maustadh wana elimu moja Gogo hilo mpaka anakwenda kaburini hakuna aliyemjibu.

  • @castrocastro9615
    @castrocastro9615 Год назад

    Acha uchonganishi ustadhi.
    Tz sote ni ndo maana familia moja unakuta kuna waislam na wakristo.
    Lkn pia tumeona waislam kwa waktisto tens kwa upendo.
    Ondoa udini hapa ww

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 Год назад

    Sheikh wetu ulikuwepo wapi mashallah❤
    Umepotea siku nyingi mkufuli alikuficha nini 😂

    • @tashone7884
      @tashone7884 Год назад

      Inalillah waina ilayh rajioun shekh amefariki miaka mingi imepita

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Год назад +1

      @@tashone7884 innallilah waina illaina rajoun, Allah ampe weoesi na amlinde na adhabu ya kaburi

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Год назад

      ​@@ukweliunauma4570allauma aamini

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 Год назад

    waliosaini miataba huu ndio wanaoleta haya!

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Год назад

    Hadidu rejea

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Год назад +1

    Bwege huyo!!! Achana naye. Usipoteze muda wako.

  • @praygodmawalla7884
    @praygodmawalla7884 Год назад

    We are not Arabs and never can we. Tumerogwa dini imefumba watu macho.

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier1377 Год назад +1

    Marehemu aliyekufa amefufuka

    • @mzulwa2006
      @mzulwa2006 Год назад

      Hizo ndio fikra zinazoishi

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Год назад

    Uzalendo wa bandari haupo

  • @barazamwaja3868
    @barazamwaja3868 Год назад

    Y

  • @yaronaWilliam
    @yaronaWilliam Год назад

    Unaelewa unachokisema?, usipotoshe watu , unafahamu madhara ya kuyasema hayo nyakati hizi?,wewe kweli ni kiongozi mcha Mungu au kiongozi mcha dini?,

  • @uwezotv
    @uwezotv Год назад

    Wanini wakeisto wanaficha majina yao mtandaoni hii ni dalili mbaya hawa ni watu wabaya sana ukiona mtu hataki kujulikana jinalake huyo atakua habisi ,nwizi jambazi ,muuwaji hawa ni tatizo kubwa na vita walionayo ninkwenye arizi ndio wanaongoza kuleta migogoro ya arizi na ni wauwaji wakubw

  • @salma0000
    @salma0000 Год назад +2

    Waambie hao wanaowafanya wakristo ndio washirika wao. Mungu katuonesha nia zao dhidi ya waislam

    • @johnmahu5060
      @johnmahu5060 Год назад

      Umoja kwenye uwizi nyie waislam wezi tu kama serikali ya ccm kuwa raia ni kuuza bandari?

    • @kanoa645
      @kanoa645 Год назад

      Huu ndio UKWELI , huyo ni mtaalamu wapi kasema uwongo?

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Год назад

      Nasi Mungu hutuonesha mapema kila mnachofanya kisiri kwa nia mbovu.Huyu ustadhi na nyie wengine wote mnaoshabihiana naye mna harakati zinazosadifu nia zenu mbovu za kibinafsi za tangu zamani.

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад

      @@edwardntamaboko3414 kuna jambo gani baya dhidi ya wakristo alolisema, hapo kafichua ubaya wenu makafiri tu, au ulitaka anyamaze tusiyajue

    • @rashadymuhamad6293
      @rashadymuhamad6293 Год назад +1

      M​wizi wewe unaepokea mabilioni ya fedha za Walipa kodi wa dini zote, ukazichukua katika kanisa kupitia mikataba haramu ya kudhamini Hospitali za kimishionari? Mkataba huo wa 1992 hujawahi kuusikia? Huo sio wizi?

  • @josephzacharia3116
    @josephzacharia3116 Год назад

    Hiyo vita unayoianzisha ianzie kwako iishie kwako we vuruga tu

  • @celestinshayo7295
    @celestinshayo7295 Год назад +1

    Mwongo wewe ulikuwepo?