Sheikh kwaivyo unatuambia tuendelee kupiga Gita na piano Kama sheikh said kwa nn nyie vijana munamuonea gera sheikh m.bachu wakati yeye Yuko kwenye msitari wa haki.
We uwo munaqasha hujauskiliza unachokiesma we na kilichosemwa kwenye munaqsha ni itu viwili tofauti na we huwezi kua mwanafunz wa bachu kama hujaacha usufi yaan bachu aache mambo ya maana ya kufany aje akujibu we wakat masufi wenzio wameshindwa
Simwiti shekh barzanji muwongo kwa sababu ya hadithi dhwaiff bali kwa maneno yake ya udhushi katika barzanji mtume aw mtumi kaingia leo tumboni kwa mamake Amina Aya ilitoka wapi aw Hadith nae bwana mtume ukotumboni wanyama wa bahari na wamsutuni wakasherekea maneno haya nikweli katoa nani maneno haya tuwateni ushaabiki sirudi Tena huko inna akramakum indallah atqaakum
@@yammuhamed736swali liko pale pale fundisheni sasa mjadala uliisha watu wa maulidi na wasiokua wa maulidi wanataka kujua jee wanyama waliongea ni kwely maana ust Saida alinyima watu elimu hilo ndio swali la msingi ilkua ust said alifafanue kwa mjadala skizeni wanyama waliongea ukwely fungua kitabu flani flani mwanachuoni flani fungua kitabu flani huna hiki hapa kwa camera lkni sio kuja kusema tu mwampenda mtume hakuna mwislamu asiempenda mtume Bali njia yenu Ina tashwishi sasa fundisheni hii story ya kumkaririsha mtu mashairi mengi mengi wachaneni nayo
Nasikitikia sana mawahabi haya mambo ni madogo mpaka vijana wadogo ndio wanao mfundisha sheikh wenu huyu amemletea mstalahi alhadithi na yule mwengine juzi amemletea kitabu cha hadithi za wanyama kuzungumza mimba moto kuzimika bado hamukubali hiyo nitabia yakiyahudi.
Kama maneno uloyatumia niyakumzushia mtume basi utaitwa Muongo na maneno yako yatakua yauongo. Na kwanini useme UONGO kufundishi watu Kwani hakuna hadithi za ukweli ukatumia. Hayo maulidi imekua niibada.
Km hajuuiiii aseme. Kitu rahisi kwwnini awe mkaidi? Na jambo lengine la kushangaza Kuna wafuasi Wake hyu bachuu ukisema hvi wanaudhika na kujibu kwenye mitandaoni ufidhuli km Wao wako na elimu wajitojeze wao.wwjadiliane na shekh Said . Mwatukera tuu maulid maulid maulidi hamukomi tu.
Kijana nyie watu wa twariq mnamaskio mabovu kwa kwel. Maan ukimuelewa vizur sheikh Muhammad bachu hajasema barzandji nimuongo laaa wala hajasema kitabu cake nicauongo ila amesema kwamba ndani ya kitabu cha barzandji muna maneno yauongo sio kitab kizima kimebatwilishwa kuwa uongo kwa sababu zakutumia hadithi munkar kaeni chini msikilize vizur msikurupuke( aceni Kiki)
Wewe jibu walau nukta moja tu.wanyama wadudu wote samaki naviumbe vingine vyote ilipo tunga mimba ya mtume viumbe vyooooote vilipeana khabari kuwa mimba ya mtume imeingia je hayo niyakweli?jibu walau hilo tu
Katika usilamu tumekatazw kufanya mzah katika kweli nawew unamfanyi shee mzaha kwakujifany wampenda wew kama kwako unaona alicho kusema niuwongo au nimakosa yawache usijitafutie umarufu kwa kujipatia madhambi mola tusame
@@yammuhamed736 muhimu tunapo elekezana tujitahidi kutumia busara na tusitumie udhaifu wa mtu kumatngazia aibuzake kwa watu mimi namsifiasana sh saidi Ali hasani wa gongoni ni marachache anaingia katika mizozo isiyo ya lazima Allah atustiri tuwe na Tawadhui
Hadihti dhaifu huwezi kutumia kujengea hoja ikiwa utapingwa ktk jambo fulani kwani mtume ana mapungufu gani mpaka asiwe kwa hadithi zaifu wakati sifa anazo
Inaonesha maana ya Hadith na hukumu zake huzijui Hadith zaifu zatumika na bachu hilo alijua ndio maana akakwama kujibu suala waja wewe ama Hadith ni zaifu someni mawahabi musiwe wajinga
@@jumafaki2891nyinyi wenye elimu na ust said ilkua afundishe umma pale sio bachu atoe kitabu skizeni kitabu flani flani kinasema hivi kuhusu kuongea kwa wanyama mwanachuoni flani amesema hivi watu woote wangeelewa sio lazma bachu aelewe waskilizaji ndio walengwa kila umuulizae atakwambia zii hakuna kitu dini ya kiislamu ni dalili tu sasa wekeni darasa mufundishe umma mjadala uliisha watu wanataka kujua wanyama waliongea lilithubutu hilo kwa dakiki watu wataelewa kirahis
Huyu naona ajikoroga na anaturegesha nyuma akasikize tena munaqasha vizuri , katika makubaliano yao ni hadithi dhaifu itatumika kwa vigezo gani? Huna jipya shekhe warudiarudia wewe kashike twari upige tungojane siku ya Mahshar.
We umeuliza sawli unataka ujibiwe je ukijibiwa na we ukotayar kuulizwa na utuletee majibu usihemkwe kwa kusoma icho kitabu siku mbili ukajiona tayar unajua je utatoa ushahid wanayama waliongea kweli
Kabisa wape wape hao wenye akili kama hata hatujui tuzifananishe na nini akili zao na ilmu zao kumbe hawana ilmu kabsaa waLLAH mawahabi chembelecho yuauf siwani mambumbumbu😂 Matango pori
Hadithi ili ìingie kwenye kundi la hadithi lazima alieihadithia awe muhadithina wa hadithi na dini haina imekamilika usiz ue kitu ukakiingiza kwenye dini, kitaleta migogoro , barzanji sio kitabu miongoni mwa vitabu vya hadithi
hujaambiwa barazanji ni kitabu cha hadeeth bali ni kitabu cha kumsifu mtume ambapo ndani yake kuna kipande kina msifu mtume kua wanyama walizungumza kwa kuzaliwa kwake ambayo maneno hayo si ya jafar barazanji kayatunga bali kayatoa kwenye hadeeth ambayo ni dhaifu ndomana akauliza kutumia hadeeth thaifu kwenye kitabu chako ndo tayari kitabu chako ni cha uwongo?
Wacha kupotosha mada ust said alinyima watu elimu kama yy alikuja na risasi mbona alishindwa kuthibitisha wanyama kweky waliongea hilo ndilo swali la kwanza ilkua azame kwa vitabu leo nataka watu woote waskie hili kitabu flani flani chasema hivi na hivi mwanachuoni huyu ywasema hivi ilimshinda watu walitegea kuskia wanyama waliongea
hujui ata nn unazungumza apo hakujachambuliwa kitabu chote ni jambo moja tuu huwez kutoa hukmu ya kitabu kizima kwn kwny barzanji hakuna mambo ya kweli? linalotakiwa kujua hakuna mtu wala kitabu kilichokamilika ispokua Qur an peke yke kuna tatizo gani kutoa makosa ya kitabu husiku. musiitukuze barzanji mpk mukaiweka darja ya qur-an. Oh! Allah tusaidie
Maali unasoma bc endelea kusoma, m nakuombea kw Allah akuongowe na akuongoze mn yy ndo muongofu ila kijana acha kutafuta umaarufu kwa kupitia majina ya watu we ulitaka Sheikh Mohammad akup jawab gan au nia yenu nd mlitaka aseme hajui 😂 il museme hajui wakati swali, aliloulizwa halimo ktk kitabu, n maulamaa hawajaongelea suala la mtu alietumia hadith zaifu bali wao wamehukumu hadith yenyew na so mtu, nakushaur kakae tena kauskiliz munaqash vizr huwend ukapata kitu ila pia achana na mambo ya upenz bali kaa katika hakki.
Hajauliza ivyo shekhe Rudi ukaangalia ila Munakash ila uwe unasema ukweli kwa swali aliloulizwa. Itaq Llah swali halikuulizwa hivyo aliuliza la Mtu TU wala sio kitabu.
Ndio maana mawahabii wanapiga kelele bachu aliposema.hamjadili kitabu akalizwa je kitabu pia n uwongo alishindwa Kwa sababu bachu alikua anasema n uwongo Rai yke lkn siku ya munaqasha alishkwa. ..hebu n ww Anglia vizuri munaqasha uone hilo
Said jafar barzanji ni muongo na kitabu chake cha barzanji ni uongo kipindi wanyama wanaongea lugha fasaha alikuwepo ebu punguza kula mirungi utamuelewa vizuri Sheikh Mohammad Bachu
@@yammuhamed736 mimi naw natk munaqsh wa akil ya fikra man naona wew akil yk haiwez hat kufkr bas dah kwa namn hiy wallah ikiwa unakaid wa kijinga huna salama mbele ya Allah kbc wakt ndg yak muslm anakufahmsh kwa waz na sir huelw unakaidi unakuw na kibr wallh huna salama mbel ya Allah
@@yammuhamed736 tatiz lak umekurupuka saaaana unajuwa Allah sw anavokasirk namn amby anavodhlw uwong kipenz chak unajuw!!unajuw!! ni namn gan Allah anaghazibika unajuwa!!! unajw!!!!!!!
Hawa wrote humsikiliza mmoja akisha kusema mmojatu hawajali kama kapatia au kakosea nawao huingia kundini mmemsikiahapo anasema anadhania aya inasema hajuwi katika kufikishia watu huwezi kusema unadhania dhanayako ukainasibisha na wahay pia hadithi munkar kama alivosema ni dhaifu bali kitabu alichoonyesha Taysir Amesema ni dhaifusana na anasema Hadith dhaifu maulamaa wamekubaliana kutumia ktka fadhailil aamali kwaufupi hakuna makubaliyano ya matumizi ya hadithi dhaifu wapo wameonahivo na wapo hawakubalihivo mwisho anaempenda mtume ni yule anaemfuwata mtumeصلى الله عليه وسلم
Kejeli pelaka kwa mzazi wako kama hakufunza... Hii mijitu yatoka wapi? Ungetowa video ya kutatuwa shirk na kufuru kwa barazambiiiii ungefanya la maana.Bure kabisa.
Hhhhh hawa jamaa akili zao c barabbara yani nyie hao mnaowambia wasisome maulid ndio kwanza raha mustarehe na habari hawpati ndio wanzidi kumsalia mtume.
Nani kaipokea? Tambua sio barazanji na watu wa elimu ya hadeeth wanaikubali kuwa ni hadeeth na daraja lake ni dhaifu hadeeth Ya kutungwa huitwa maudhui na haijaitwa hivyo hivyo nakushauri kasome hicho kitabu nachotaka kumpa bachu zawadi ili usiseme sems majambo ambayo hayapo
lazima niw na hasr kwnn munamzulia mtume muhammad saw kwnn half wew kam wew unapinga hak unakubal batil why thibitsh bas hoja ni wakt mimba ya mtume saw wanyama na viube wot walipeana habr hem thibitsh bas nipat faid
@imsimbe cha msing msomi akiwa msom yupo tyr kufahmsh umma kuhus jamb muhim ktk din, ikiwa maulid si uzsh kwnn toka miez kadhaa hoja 19 hat moja isijbw kwann kwann!!! half bas tufany sis tusio juwa kwann hatufahmsh je wanyama walipeana habr wakt mimba ya mtum (saw) inangy??? kam wew unafhm nifahmsh bas kwa ushd wa quran na hadth sahih
NENDA KAPIGE VITA UBAKAJI KATIKA VYUO VYENU VYA MADUFU ACHA KUJITAFTIA UMAARURU NA KUJIFANYA MJUAJI YAKO MAMBO YA MSINGI WAISLAM KUYAKEMEA BADO WEWE UNA TAKA TAKA AKILI TU
Napenda sana nipate masheikh niwasomeshe mana weng hawajasoma, na mimi sijasoma ila kwa masheikh hawa kina huyu, saidi, shafi nowasomeshe
Sheikh kwaivyo unatuambia tuendelee kupiga Gita na piano Kama sheikh said kwa nn nyie vijana munamuonea gera sheikh m.bachu wakati yeye Yuko kwenye msitari wa haki.
Tunamuonea gere?
Yupo katika haki?
Hem jibu maswali kisha tuone nani yupo katika haki
Bachu Hana elimu halafu swali moja tu kajikojolea
@abuuzwin1876.... Acha upinzani na ushabiki hapa hapajazungumziwa kupiga Gita.... Sikiliza Vizuri kijana anavoelezea kaka
Ukweli unawauma!
Mwambie kukojozi aje nahiyo mada tena kama mwanaume
Bado Muko na Bachu tu, kweli Bachu katufungulia mwanga wa Haki, Nuru iwe juu yake sheikh Muhammad Bachu, inshallah
Nyie Masufi tumewachoka na uzushi wenu,mmeshindwa kujibu hoja za uzushi wa Maulid badala yake Mnamshambulia sheikh Bachu
We uwo munaqasha hujauskiliza unachokiesma we na kilichosemwa kwenye munaqsha ni itu viwili tofauti na we huwezi kua mwanafunz wa bachu kama hujaacha usufi yaan bachu aache mambo ya maana ya kufany aje akujibu we wakat masufi wenzio wameshindwa
Jitahidi kusoma iko siku Allah atakujaalia utaijua hakki ila saa hizi bado kwanza tafuta elimu
Ameen ameen yaarabal allameen 🤲❤️
Simwiti shekh barzanji muwongo kwa sababu ya hadithi dhwaiff bali kwa maneno yake ya udhushi katika barzanji mtume aw mtumi kaingia leo tumboni kwa mamake Amina Aya ilitoka wapi aw Hadith nae bwana mtume ukotumboni wanyama wa bahari na wamsutuni wakasherekea maneno haya nikweli katoa nani maneno haya tuwateni ushaabiki sirudi Tena huko inna akramakum indallah atqaakum
So lazima uwe upande huu cha muhimu heshima na wale ambao hawaamini unacho amini wewe
@@yammuhamed736swali liko pale pale fundisheni sasa mjadala uliisha watu wa maulidi na wasiokua wa maulidi wanataka kujua jee wanyama waliongea ni kwely maana ust Saida alinyima watu elimu hilo ndio swali la msingi ilkua ust said alifafanue kwa mjadala skizeni wanyama waliongea ukwely fungua kitabu flani flani mwanachuoni flani fungua kitabu flani huna hiki hapa kwa camera lkni sio kuja kusema tu mwampenda mtume hakuna mwislamu asiempenda mtume Bali njia yenu Ina tashwishi sasa fundisheni hii story ya kumkaririsha mtu mashairi mengi mengi wachaneni nayo
Nasikitikia sana mawahabi haya mambo ni madogo mpaka vijana wadogo ndio wanao mfundisha sheikh wenu huyu amemletea mstalahi alhadithi na yule mwengine juzi amemletea kitabu cha hadithi za wanyama kuzungumza mimba moto kuzimika bado hamukubali hiyo nitabia yakiyahudi.
Maa Shaa Allaahu
Aaaamiiina
wew ostadh kushakua huna cha kufanya naongea mimi abuu ahmad anzinjibaar
Kwani hadithi ambazo si zaifu hakuna mpaka mtumie zaifu
Mashall ah ❤❤❤
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
Namuusia Bachu aache Zarau kamzarau saidi Allah kamdhalilisha kapewa swali mzigo maishani mwake hatalisahau
Hatofanya tena dharau kwa kipigo kile
Kama maneno uloyatumia niyakumzushia mtume basi utaitwa Muongo na maneno yako yatakua yauongo.
Na kwanini useme UONGO kufundishi watu Kwani hakuna hadithi za ukweli ukatumia.
Hayo maulidi imekua niibada.
Km hajuuiiii aseme. Kitu rahisi kwwnini awe mkaidi? Na jambo lengine la kushangaza Kuna wafuasi Wake hyu bachuu ukisema hvi wanaudhika na kujibu kwenye mitandaoni ufidhuli km Wao wako na elimu wajitojeze wao.wwjadiliane na shekh Said . Mwatukera tuu maulid maulid maulidi hamukomi tu.
MASHAALLAH
Allah akuongoze kijana ila umekosea unge mtafuta ilo kama una la kumwambia
usipende kuongea mitandaoni kama haujaelewa kinachojadiliwa kijana unajidhalilisha kwa wenye akili.
Dua akuombee Nani wew
Mashallah tabarakallah
Tumemuelewa. Shekh said ❤❤
Sanaaa
Kijana nyie watu wa twariq mnamaskio mabovu kwa kwel. Maan ukimuelewa vizur sheikh Muhammad bachu hajasema barzandji nimuongo laaa wala hajasema kitabu cake nicauongo ila amesema kwamba ndani ya kitabu cha barzandji muna maneno yauongo sio kitab kizima kimebatwilishwa kuwa uongo kwa sababu zakutumia hadithi munkar kaeni chini msikilize vizur msikurupuke( aceni Kiki)
Naona wewe umevamia basi kwa mbele muulize kibachu topic iliyompeleka huko
Wewe ndie hujamfahamu shekhe mohd bachu
Mashaallah sheikh mdogo.
Wewe jibu walau nukta moja tu.wanyama wadudu wote samaki naviumbe vingine vyote ilipo tunga mimba ya mtume viumbe vyooooote vilipeana khabari kuwa mimba ya mtume imeingia je hayo niyakweli?jibu walau hilo tu
Jibu cumeltaja mwenyewe apo big up sana mwalimu nataka nije kusoma kwako
Katika usilamu tumekatazw kufanya mzah katika kweli nawew unamfanyi shee mzaha kwakujifany wampenda wew kama kwako unaona alicho kusema niuwongo au nimakosa yawache usijitafutie umarufu kwa kujipatia madhambi mola tusame
Shehe mwenyewe ndio huyo Bachu ?
Huyu anaonesha hasa km anapenda kuhongwa ili apotoshe Jamii.shekh ubwabwa
Wewe sion kam una akili ingekua una elimu bas ingekua muelewa
Wewe pia umekosea huwezi kusoma aya ukasema unadhania aya inasemahivo katka aya hakuna kudhania pia umekuja na surahiyohiyo ya kujitukuza
Nilisahau kama ni wala tuzaku au fala tuzaku pia Allah atujaalie tusiwe ni wenye kujikweza
@@yammuhamed736 muhimu tunapo elekezana tujitahidi kutumia busara na tusitumie udhaifu wa mtu kumatngazia aibuzake kwa watu mimi namsifiasana sh saidi Ali hasani wa gongoni ni marachache anaingia katika mizozo isiyo ya lazima Allah atustiri tuwe na Tawadhui
Hadihti dhaifu huwezi kutumia kujengea hoja ikiwa utapingwa ktk jambo fulani kwani mtume ana mapungufu gani mpaka asiwe kwa hadithi zaifu wakati sifa anazo
Hatutaki jazba tunataka vitabu
Inaonesha maana ya Hadith na hukumu zake huzijui Hadith zaifu zatumika na bachu hilo alijua ndio maana akakwama kujibu suala waja wewe ama Hadith ni zaifu someni mawahabi musiwe wajinga
@@jumafaki2891nyinyi wenye elimu na ust said ilkua afundishe umma pale sio bachu atoe kitabu skizeni kitabu flani flani kinasema hivi kuhusu kuongea kwa wanyama mwanachuoni flani amesema hivi watu woote wangeelewa sio lazma bachu aelewe waskilizaji ndio walengwa kila umuulizae atakwambia zii hakuna kitu dini ya kiislamu ni dalili tu sasa wekeni darasa mufundishe umma mjadala uliisha watu wanataka kujua wanyama waliongea lilithubutu hilo kwa dakiki watu wataelewa kirahis
Amiiin
Huyu naona ajikoroga na anaturegesha nyuma akasikize tena munaqasha vizuri , katika makubaliano yao ni hadithi dhaifu itatumika kwa vigezo gani? Huna jipya shekhe warudiarudia wewe kashike twari upige tungojane siku ya Mahshar.
We umeuliza sawli unataka ujibiwe je ukijibiwa na we ukotayar kuulizwa na utuletee majibu usihemkwe kwa kusoma icho kitabu siku mbili ukajiona tayar unajua je utatoa ushahid wanayama waliongea kweli
We sheikh mdogo umeelesha vizuri lkn mbonaYee Bachu hailewi.
Anajuwa bachu Ni mtego hawezi kujibu
Hawezi kujibi huyo bachu mandonga keshazoweya kijisifu huyo huyo ni sawa na mandonga tu hata akishindwa basi anaesema kashinda
Qruani ni mazingatio ya wenye akili,
Kabisa wape wape hao wenye akili kama hata hatujui tuzifananishe na nini akili zao na ilmu zao kumbe hawana ilmu kabsaa waLLAH mawahabi chembelecho yuauf siwani mambumbumbu😂
Matango pori
Ni ndugu zetu usiwape maneno makali ivyo😁
Hadithi ili ìingie kwenye kundi la hadithi lazima alieihadithia awe muhadithina wa hadithi na dini haina imekamilika usiz ue kitu ukakiingiza kwenye dini, kitaleta migogoro , barzanji sio kitabu miongoni mwa vitabu vya hadithi
hujaambiwa barazanji ni kitabu cha hadeeth bali ni kitabu cha kumsifu mtume ambapo ndani yake kuna kipande kina msifu mtume kua wanyama walizungumza kwa kuzaliwa kwake ambayo maneno hayo si ya jafar barazanji kayatunga bali kayatoa kwenye hadeeth ambayo ni dhaifu ndomana akauliza kutumia hadeeth thaifu kwenye kitabu chako ndo tayari kitabu chako ni cha uwongo?
Wwe katafute mashiawenzako usimpelekee bachu kitabu wape hao mashi walokutuma huna lako jambo katafute uyo mpiga gitaa ust said mukapige gitaa pamoja
Umeniharibia mb zengu ugekua karibu nige kupiga wali
Allah akuongoze unatafuta umaarufu ushauoara
Wacha kupotosha mada ust said alinyima watu elimu kama yy alikuja na risasi mbona alishindwa kuthibitisha wanyama kweky waliongea hilo ndilo swali la kwanza ilkua azame kwa vitabu leo nataka watu woote waskie hili kitabu flani flani chasema hivi na hivi mwanachuoni huyu ywasema hivi ilimshinda watu walitegea kuskia wanyama waliongea
hujui ata nn unazungumza apo hakujachambuliwa kitabu chote ni jambo moja tuu huwez kutoa hukmu ya kitabu kizima kwn kwny barzanji hakuna mambo ya kweli? linalotakiwa kujua hakuna mtu wala kitabu kilichokamilika ispokua Qur an peke yke kuna tatizo gani kutoa makosa ya kitabu husiku. musiitukuze barzanji mpk mukaiweka darja ya qur-an. Oh! Allah tusaidie
Umeshaonekana na ww ili usifiwe upate kuongeza kibri.
First eleven ina maana gani kumuambia mwenzio ?
Kaa kimya shuhulikia masomo yako
Ww unayo ilimu pambana nae Kwak dalili na ushahidi
Kama unazawad kwel usinge tangaaza mitandaoni
KISWAHILI hujui kwanza
Ni Vibaraka vya Mayahudi. Huenda wanajitambua ama hata bila ya kujitambua.
Maliza kusoma kwanza alafu ndo umtafute Bhachu kakangu
Acha riyaa Wewe kijana
Sawa
huyu ndiowle wanaotafuta umaarufu mitandaoni nenda kasome kwanza
Kwan kuna hadithi dhaifu au MUNKAR !!!?????
Toka apaa kimberley nyimbo uko ndo fani yako
Si hata naona umepiga picha na kish ki? Kish ki nimkata viuno?
Maali unasoma bc endelea kusoma, m nakuombea kw Allah akuongowe na akuongoze mn yy ndo muongofu ila kijana acha kutafuta umaarufu kwa kupitia majina ya watu we ulitaka Sheikh Mohammad akup jawab gan au nia yenu nd mlitaka aseme hajui 😂 il museme hajui wakati swali, aliloulizwa halimo ktk kitabu, n maulamaa hawajaongelea suala la mtu alietumia hadith zaifu bali wao wamehukumu hadith yenyew na so mtu, nakushaur kakae tena kauskiliz munaqash vizr huwend ukapata kitu ila pia achana na mambo ya upenz bali kaa katika hakki.
Kama yeye ndo muongofu ilikua kwanza uombe wewe akuongoe acheni kasumba الجزاء من جنس العمل
Jibuni Hoja kwanza!
hiindio hatari ya watu wa bidaa
Vijana Kama huyu allh amuongoze
mtu akesha ingia ktk bidaa hawezi kutubia kwani ahisi ndio dini
bidaa yake hiyo
Bidaa ni uwahabi maana haukuwepo wakati wa Mtume(S.A.W) mnasahau upesi tokeni katika uwahabi ndo bid.a kubwa yenu
😂😂😂😂😂 Bhachu kuenda mombasa kumevurumua mambo mengi
Kasome kwanza umalize
Acha ujinga
Sawa
Soma kwanza ujue
Hajauliza ivyo shekhe Rudi ukaangalia ila Munakash ila uwe unasema ukweli kwa swali aliloulizwa. Itaq Llah swali halikuulizwa hivyo aliuliza la Mtu TU wala sio kitabu.
Ndio maana mawahabii wanapiga kelele bachu aliposema.hamjadili kitabu akalizwa je kitabu pia n uwongo alishindwa Kwa sababu bachu alikua anasema n uwongo Rai yke lkn siku ya munaqasha alishkwa. ..hebu n ww Anglia vizuri munaqasha uone hilo
Ww unajitia kumbembele unaisi atakujibu nyinyi siolazima mumewe lewe tukimuelewa sisitu inatosha sisi tushajuwa yakwamba maulidi siktk dini rabdautua mbyenimila apotutakufaham.Mahizzibi hiyyi hauzushi
Uwahabi je ni dini
Said jafar barzanji ni muongo na kitabu chake cha barzanji ni uongo kipindi wanyama wanaongea lugha fasaha alikuwepo ebu punguza kula mirungi utamuelewa vizuri Sheikh Mohammad Bachu
Sasa kama adithi tayar ni dhwaifu kwann tuendelee kuitumia
Mpo kwa ajili ya makulaji
wallah Allah hawez kukusamh wakt unatetea uwong bil chenga chunga manen yk juha mkubwa we
Msamaha anae toa ni Allah si jazba zako
@@yammuhamed736 ushawah kumuona mt anamdhly mtum muhammad saw half akwa salama!!!!
@@yammuhamed736 mimi naw natk munaqsh wa akil ya fikra man naona wew akil yk haiwez hat kufkr bas dah kwa namn hiy wallah ikiwa unakaid wa kijinga huna salama mbele ya Allah kbc wakt ndg yak muslm anakufahmsh kwa waz na sir huelw unakaidi unakuw na kibr wallh huna salama mbel ya Allah
@@fayeezabdallah2217 do kaka Tumefika pabaya kwani tatizo nini
@@yammuhamed736 tatiz lak umekurupuka saaaana unajuwa Allah sw anavokasirk namn amby anavodhlw uwong kipenz chak unajuw!!unajuw!! ni namn gan Allah anaghazibika unajuwa!!! unajw!!!!!!!
Wewe sokwe acha ushirikina, barzanji limejaa shirk.
Sawa MBWA eshasikia
Ushakua maarufu jitashid hiyo mitusi munayo watukana watu wa sunna siku ya qiama mutajibu
Matusi anayowatukana mashekh wetu yeye ataendapeponi????
Kama kuingia motoni bachu sijui itakuwaje
Unatafuta kiki kupitiam.Bacho kaendelee kusoma
Huyu nae mweupeee subhaaana llah kasome umekariri ya mtu www...toa ya kwako
Hawa wrote humsikiliza mmoja akisha kusema mmojatu hawajali kama kapatia au kakosea nawao huingia kundini mmemsikiahapo anasema anadhania aya inasema hajuwi katika kufikishia watu huwezi kusema unadhania dhanayako ukainasibisha na wahay pia hadithi munkar kama alivosema ni dhaifu bali kitabu alichoonyesha Taysir Amesema ni dhaifusana na anasema Hadith dhaifu maulamaa wamekubaliana kutumia ktka fadhailil aamali kwaufupi hakuna makubaliyano ya matumizi ya hadithi dhaifu wapo wameonahivo na wapo hawakubalihivo mwisho anaempenda mtume ni yule anaemfuwata mtumeصلى الله عليه وسلم
Sheikh hauna elim
Dogo hujavuta bangi lakn ???😅
Tumefika huku kaka wakati mi natoa zawad
Hajavuta kajikojolea
Kejeli pelaka kwa mzazi wako kama hakufunza...
Hii mijitu yatoka wapi?
Ungetowa video ya kutatuwa shirk na kufuru kwa barazambiiiii ungefanya la maana.Bure kabisa.
Usiende kwenye vita ya. Bunduki na visu ndo somo la leo
Ni kheri mukafute mikojo kwenye kiti Cha watu
Kila mtu aseme mpaka wewe ??? Duh
Ni kwasababu mie ni msomaji mzuri wa barazanji hivyo limenigusa tena kaanza mlango ambao nikiusoma natunzwa mpaka nauli
@@yammuhamed736 subhnllh wallah Allah akuongz kwny haki
@@fayeezabdallah2217 sote kwa ujumla
@@yammuhamed736 usisem sot kwa jumla sema mim kwa ujumla
@@fayeezabdallah2217hujaongozwa wewe!
Kwani bachu si anaitaji kujua kuhusu wanyama na wadudu kuongea baada ya mimba ya mtume kuingia? mpeni dalili
Dalili kapewa kwani we husikii au??
Dalili alitoa mwenye we Kisha akajitia ufundi wa kutega hatimae kijasho Cha makalio mchana kwaupe
Wewe hupo mbali na bachu bali upo mbali na haki
Hhhhh hawa jamaa akili zao c barabbara yani nyie hao mnaowambia wasisome maulid ndio kwanza raha mustarehe na habari hawpati ndio wanzidi kumsalia mtume.
bado huna elimu kasome kwanza au kama unatafuta umaarufu na ww poa tutakufollo
Mche Allah Kuna siku utakufa
Allah atupe vifo vyema
Kwahiyo ww hutakufa
@@mhusinigau3231 tumia akil bas
Ona ulivo tahira.nani kasema hafi .Unaelewa maudhui? Yaani nyie mawahabi ni majaahil sana
@@husseinally5550 wew juha wa 2 dunia hii toka Allah kaumb
Sasa nyie mnaemtukana huyu shekh nyie mmesomaaaaa au maneno mengi tuuuu
Mtu yoyote wataka kuwa marufu mpaka amutaje Mohamed bacho dio haonekane marufu wengi wajulikani sasa huu atayulikana
sheikh muhamed amesema ndani ya kitabu cha barzanji kuna maneno ya uongo mbona nyny vichwa vyenu vibovu.
Unaposema kitu uongo unatakiwa uthibitishe kwa Aya na Hadith bachu Hana hata maneno bandia
Linaropoka tuuuuuuuuu
Shekh tafuteni watu muwafundishe acheni kutafuta umaarufu usokua na maana basi kilamtu anataka aoneshe alicho kisoma upumbavu mtupu
Hakuna mantiki yeyote ktk maneno Yako
yaan ww mtu akikuona kma chpe ila upo vizur
Ndugu upo upo lakini hujielewi
Nenda kasoma,mwkt kasema"
Insha Allah Allah atakupa ilimu insha Allah na utafaulu
Ameen ameen yaarabal allameen ❤️🤲
Nawe pia
Toa upuzi mtadaoni
Hadith hiyo ni dwaif kweli, je imepokelewa na nani? au imeokotwa? Hiyo Hadith amepokolewa na mtu ambaye si mpokezi wa Hadith, kaaeni mutete madhambi
Nani kaipokea? Tambua sio barazanji na watu wa elimu ya hadeeth wanaikubali kuwa ni hadeeth na daraja lake ni dhaifu hadeeth Ya kutungwa huitwa maudhui na haijaitwa hivyo hivyo nakushauri kasome hicho kitabu nachotaka kumpa bachu zawadi ili usiseme sems majambo ambayo hayapo
@imsimbe kinaitwa mustalah al hadeeth pia kwakua bado mpya mpya kwenye dini nakushauri mfwatilie sana othman maalim
Wajichanganya
Hamna kitu hapo
hakik wew ni juha wa mwanz dunia hii
Brother unahasira sana
lazima niw na hasr kwnn munamzulia mtume muhammad saw kwnn half wew kam wew unapinga hak unakubal batil why thibitsh bas hoja ni wakt mimba ya mtume saw wanyama na viube wot walipeana habr hem thibitsh bas nipat faid
nd man nikasm wew ni juha wa kwanz dunia hii man kun mamb unatakw kutmy akil ya kuzaliwa sio akil ya ujuwaj fikr kwa makin
@imsimbe cha msing msomi akiwa msom yupo tyr kufahmsh umma kuhus jamb muhim ktk din, ikiwa maulid si uzsh kwnn toka miez kadhaa hoja 19 hat moja isijbw kwann kwann!!! half bas tufany sis tusio juwa kwann hatufahmsh je wanyama walipeana habr wakt mimba ya mtum (saw) inangy??? kam wew unafhm nifahmsh bas kwa ushd wa quran na hadth sahih
@@yammuhamed736msameheni kwa pengine ana mimba
Hawajasema kitu
Uyu kijana wa kisufi anatapika nini
Wewe ume zizima kwa usufi na bidah
Wewe hujielewi ume fyetuka
Allah akuepushe na kutetea baatil
NENDA KAPIGE VITA UBAKAJI KATIKA VYUO VYENU VYA MADUFU ACHA KUJITAFTIA UMAARURU NA KUJIFANYA MJUAJI YAKO MAMBO YA MSINGI WAISLAM KUYAKEMEA BADO WEWE UNA TAKA TAKA AKILI TU
Mtupa kitabu bachu nae mlisihi nini
Unataka kusema kua jambo la msingi ni kujikojolea?