zawadi yangu kwa shekh muhammad bachu baada ya munaqasha akiwa na shekh said Allah awalipe kheri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2023
  • ИгрыИгры

Комментарии • 259

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 4 месяца назад +3

    Napenda sana nipate masheikh niwasomeshe mana weng hawajasoma, na mimi sijasoma ila kwa masheikh hawa kina huyu, saidi, shafi nowasomeshe

  • @abuuzwiin1876
    @abuuzwiin1876 9 месяцев назад +11

    Sheikh kwaivyo unatuambia tuendelee kupiga Gita na piano Kama sheikh said kwa nn nyie vijana munamuonea gera sheikh m.bachu wakati yeye Yuko kwenye msitari wa haki.

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад +1

      Tunamuonea gere?
      Yupo katika haki?
      Hem jibu maswali kisha tuone nani yupo katika haki

    • @lilotz-we7xq
      @lilotz-we7xq 9 месяцев назад +1

      Bachu Hana elimu halafu swali moja tu kajikojolea

    • @abdukhan4718
      @abdukhan4718 9 месяцев назад

      @abuuzwin1876.... Acha upinzani na ushabiki hapa hapajazungumziwa kupiga Gita.... Sikiliza Vizuri kijana anavoelezea kaka

    • @user-pu7xb6zg6w
      @user-pu7xb6zg6w 9 месяцев назад

      Ukweli unawauma!

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 9 месяцев назад

      Mwambie kukojozi aje nahiyo mada tena kama mwanaume

  • @neemamohamed5926
    @neemamohamed5926 9 месяцев назад +2

    Bado Muko na Bachu tu, kweli Bachu katufungulia mwanga wa Haki, Nuru iwe juu yake sheikh Muhammad Bachu, inshallah

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan3726 9 месяцев назад +2

    Nyie Masufi tumewachoka na uzushi wenu,mmeshindwa kujibu hoja za uzushi wa Maulid badala yake Mnamshambulia sheikh Bachu

  • @khamisali5942
    @khamisali5942 9 месяцев назад +2

    We uwo munaqasha hujauskiliza unachokiesma we na kilichosemwa kwenye munaqsha ni itu viwili tofauti na we huwezi kua mwanafunz wa bachu kama hujaacha usufi yaan bachu aache mambo ya maana ya kufany aje akujibu we wakat masufi wenzio wameshindwa

  • @awatifomar5185
    @awatifomar5185 7 месяцев назад +1

    Jitahidi kusoma iko siku Allah atakujaalia utaijua hakki ila saa hizi bado kwanza tafuta elimu

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  7 месяцев назад

      Ameen ameen yaarabal allameen 🤲❤️

  • @kusweymohamed
    @kusweymohamed 9 месяцев назад +3

    Simwiti shekh barzanji muwongo kwa sababu ya hadithi dhwaiff bali kwa maneno yake ya udhushi katika barzanji mtume aw mtumi kaingia leo tumboni kwa mamake Amina Aya ilitoka wapi aw Hadith nae bwana mtume ukotumboni wanyama wa bahari na wamsutuni wakasherekea maneno haya nikweli katoa nani maneno haya tuwateni ushaabiki sirudi Tena huko inna akramakum indallah atqaakum

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      So lazima uwe upande huu cha muhimu heshima na wale ambao hawaamini unacho amini wewe

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 9 месяцев назад

      ​@@yammuhamed736swali liko pale pale fundisheni sasa mjadala uliisha watu wa maulidi na wasiokua wa maulidi wanataka kujua jee wanyama waliongea ni kwely maana ust Saida alinyima watu elimu hilo ndio swali la msingi ilkua ust said alifafanue kwa mjadala skizeni wanyama waliongea ukwely fungua kitabu flani flani mwanachuoni flani fungua kitabu flani huna hiki hapa kwa camera lkni sio kuja kusema tu mwampenda mtume hakuna mwislamu asiempenda mtume Bali njia yenu Ina tashwishi sasa fundisheni hii story ya kumkaririsha mtu mashairi mengi mengi wachaneni nayo

  • @rushu1232
    @rushu1232 9 месяцев назад +3

    Nasikitikia sana mawahabi haya mambo ni madogo mpaka vijana wadogo ndio wanao mfundisha sheikh wenu huyu amemletea mstalahi alhadithi na yule mwengine juzi amemletea kitabu cha hadithi za wanyama kuzungumza mimba moto kuzimika bado hamukubali hiyo nitabia yakiyahudi.

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 9 месяцев назад +1

    Maa Shaa Allaahu
    Aaaamiiina

  • @user-yi3mt2qv7b
    @user-yi3mt2qv7b 6 месяцев назад

    wew ostadh kushakua huna cha kufanya naongea mimi abuu ahmad anzinjibaar

  • @user-vl9lf4sv5h
    @user-vl9lf4sv5h 9 месяцев назад +2

    Kwani hadithi ambazo si zaifu hakuna mpaka mtumie zaifu

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 9 месяцев назад +1

    Mashall ah ❤❤❤

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 9 месяцев назад +1

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 9 месяцев назад +2

    Namuusia Bachu aache Zarau kamzarau saidi Allah kamdhalilisha kapewa swali mzigo maishani mwake hatalisahau

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Hatofanya tena dharau kwa kipigo kile

  • @sarboko
    @sarboko 9 месяцев назад +1

    Kama maneno uloyatumia niyakumzushia mtume basi utaitwa Muongo na maneno yako yatakua yauongo.
    Na kwanini useme UONGO kufundishi watu Kwani hakuna hadithi za ukweli ukatumia.
    Hayo maulidi imekua niibada.

  • @Swalehthabit-gb9ei
    @Swalehthabit-gb9ei 9 месяцев назад

    Km hajuuiiii aseme. Kitu rahisi kwwnini awe mkaidi? Na jambo lengine la kushangaza Kuna wafuasi Wake hyu bachuu ukisema hvi wanaudhika na kujibu kwenye mitandaoni ufidhuli km Wao wako na elimu wajitojeze wao.wwjadiliane na shekh Said . Mwatukera tuu maulid maulid maulidi hamukomi tu.

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 9 месяцев назад +1

    MASHAALLAH

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu 9 месяцев назад +1

    Allah akuongoze kijana ila umekosea unge mtafuta ilo kama una la kumwambia

  • @abdallahkiwaka5948
    @abdallahkiwaka5948 8 месяцев назад +1

    usipende kuongea mitandaoni kama haujaelewa kinachojadiliwa kijana unajidhalilisha kwa wenye akili.

  • @kingahmada3873
    @kingahmada3873 4 месяца назад +1

    Dua akuombee Nani wew

  • @user-me5do6nh2d
    @user-me5do6nh2d 9 месяцев назад

    Mashallah tabarakallah

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 9 месяцев назад +1

    Tumemuelewa. Shekh said ❤❤

  • @kassamruzuru4913
    @kassamruzuru4913 9 месяцев назад +2

    Kijana nyie watu wa twariq mnamaskio mabovu kwa kwel. Maan ukimuelewa vizur sheikh Muhammad bachu hajasema barzandji nimuongo laaa wala hajasema kitabu cake nicauongo ila amesema kwamba ndani ya kitabu cha barzandji muna maneno yauongo sio kitab kizima kimebatwilishwa kuwa uongo kwa sababu zakutumia hadithi munkar kaeni chini msikilize vizur msikurupuke( aceni Kiki)

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      Naona wewe umevamia basi kwa mbele muulize kibachu topic iliyompeleka huko

  • @amiramour857
    @amiramour857 9 месяцев назад +1

    Wewe ndie hujamfahamu shekhe mohd bachu

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 9 месяцев назад

    Mashaallah sheikh mdogo.

  • @SadatiMustafa-os8ry
    @SadatiMustafa-os8ry 9 месяцев назад +1

    Wewe jibu walau nukta moja tu.wanyama wadudu wote samaki naviumbe vingine vyote ilipo tunga mimba ya mtume viumbe vyooooote vilipeana khabari kuwa mimba ya mtume imeingia je hayo niyakweli?jibu walau hilo tu

  • @HASSANIMAFTAHA-rk1pd
    @HASSANIMAFTAHA-rk1pd 8 месяцев назад

    Jibu cumeltaja mwenyewe apo big up sana mwalimu nataka nije kusoma kwako

  • @bakarijuma8697
    @bakarijuma8697 9 месяцев назад +1

    Katika usilamu tumekatazw kufanya mzah katika kweli nawew unamfanyi shee mzaha kwakujifany wampenda wew kama kwako unaona alicho kusema niuwongo au nimakosa yawache usijitafutie umarufu kwa kujipatia madhambi mola tusame

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 9 месяцев назад

    Huyu anaonesha hasa km anapenda kuhongwa ili apotoshe Jamii.shekh ubwabwa

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu 9 месяцев назад +1

    Wewe sion kam una akili ingekua una elimu bas ingekua muelewa

  • @hajimuhidini1903
    @hajimuhidini1903 9 месяцев назад +2

    Wewe pia umekosea huwezi kusoma aya ukasema unadhania aya inasemahivo katka aya hakuna kudhania pia umekuja na surahiyohiyo ya kujitukuza

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Nilisahau kama ni wala tuzaku au fala tuzaku pia Allah atujaalie tusiwe ni wenye kujikweza

    • @hajimuhidini1903
      @hajimuhidini1903 9 месяцев назад

      @@yammuhamed736 muhimu tunapo elekezana tujitahidi kutumia busara na tusitumie udhaifu wa mtu kumatngazia aibuzake kwa watu mimi namsifiasana sh saidi Ali hasani wa gongoni ni marachache anaingia katika mizozo isiyo ya lazima Allah atustiri tuwe na Tawadhui

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 9 месяцев назад +2

    Hadihti dhaifu huwezi kutumia kujengea hoja ikiwa utapingwa ktk jambo fulani kwani mtume ana mapungufu gani mpaka asiwe kwa hadithi zaifu wakati sifa anazo

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Hatutaki jazba tunataka vitabu

    • @jumafaki2891
      @jumafaki2891 9 месяцев назад

      Inaonesha maana ya Hadith na hukumu zake huzijui Hadith zaifu zatumika na bachu hilo alijua ndio maana akakwama kujibu suala waja wewe ama Hadith ni zaifu someni mawahabi musiwe wajinga

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 9 месяцев назад

      ​@@jumafaki2891nyinyi wenye elimu na ust said ilkua afundishe umma pale sio bachu atoe kitabu skizeni kitabu flani flani kinasema hivi kuhusu kuongea kwa wanyama mwanachuoni flani amesema hivi watu woote wangeelewa sio lazma bachu aelewe waskilizaji ndio walengwa kila umuulizae atakwambia zii hakuna kitu dini ya kiislamu ni dalili tu sasa wekeni darasa mufundishe umma mjadala uliisha watu wanataka kujua wanyama waliongea lilithubutu hilo kwa dakiki watu wataelewa kirahis

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy 9 месяцев назад

    Amiiin

  • @markazzadlittaalimwalakhla355
    @markazzadlittaalimwalakhla355 9 месяцев назад

    Huyu naona ajikoroga na anaturegesha nyuma akasikize tena munaqasha vizuri , katika makubaliano yao ni hadithi dhaifu itatumika kwa vigezo gani? Huna jipya shekhe warudiarudia wewe kashike twari upige tungojane siku ya Mahshar.

  • @khamisali5942
    @khamisali5942 9 месяцев назад

    We umeuliza sawli unataka ujibiwe je ukijibiwa na we ukotayar kuulizwa na utuletee majibu usihemkwe kwa kusoma icho kitabu siku mbili ukajiona tayar unajua je utatoa ushahid wanayama waliongea kweli

  • @idarusalwi7962
    @idarusalwi7962 9 месяцев назад

    We sheikh mdogo umeelesha vizuri lkn mbonaYee Bachu hailewi.

  • @user-od1et5ii1k
    @user-od1et5ii1k 9 месяцев назад

    Hawezi kujibi huyo bachu mandonga keshazoweya kijisifu huyo huyo ni sawa na mandonga tu hata akishindwa basi anaesema kashinda

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 9 месяцев назад +2

    Qruani ni mazingatio ya wenye akili,

  • @user-di8me2wb7p
    @user-di8me2wb7p 9 месяцев назад +2

    Kabisa wape wape hao wenye akili kama hata hatujui tuzifananishe na nini akili zao na ilmu zao kumbe hawana ilmu kabsaa waLLAH mawahabi chembelecho yuauf siwani mambumbumbu😂
    Matango pori

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Ni ndugu zetu usiwape maneno makali ivyo😁

  • @jafarijande
    @jafarijande 9 месяцев назад

    Hadithi ili ìingie kwenye kundi la hadithi lazima alieihadithia awe muhadithina wa hadithi na dini haina imekamilika usiz ue kitu ukakiingiza kwenye dini, kitaleta migogoro , barzanji sio kitabu miongoni mwa vitabu vya hadithi

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      hujaambiwa barazanji ni kitabu cha hadeeth bali ni kitabu cha kumsifu mtume ambapo ndani yake kuna kipande kina msifu mtume kua wanyama walizungumza kwa kuzaliwa kwake ambayo maneno hayo si ya jafar barazanji kayatunga bali kayatoa kwenye hadeeth ambayo ni dhaifu ndomana akauliza kutumia hadeeth thaifu kwenye kitabu chako ndo tayari kitabu chako ni cha uwongo?

  • @ShaibmbaroukHemed-mi5rf
    @ShaibmbaroukHemed-mi5rf 9 месяцев назад

    Wwe katafute mashiawenzako usimpelekee bachu kitabu wape hao mashi walokutuma huna lako jambo katafute uyo mpiga gitaa ust said mukapige gitaa pamoja

  • @user-bg2yc4kw9k
    @user-bg2yc4kw9k 9 месяцев назад +1

    Umeniharibia mb zengu ugekua karibu nige kupiga wali

  • @mkubwamasoud2776
    @mkubwamasoud2776 8 месяцев назад

    Allah akuongoze unatafuta umaarufu ushauoara

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 9 месяцев назад

    Wacha kupotosha mada ust said alinyima watu elimu kama yy alikuja na risasi mbona alishindwa kuthibitisha wanyama kweky waliongea hilo ndilo swali la kwanza ilkua azame kwa vitabu leo nataka watu woote waskie hili kitabu flani flani chasema hivi na hivi mwanachuoni huyu ywasema hivi ilimshinda watu walitegea kuskia wanyama waliongea

  • @rumaythaseif5613
    @rumaythaseif5613 9 месяцев назад

    hujui ata nn unazungumza apo hakujachambuliwa kitabu chote ni jambo moja tuu huwez kutoa hukmu ya kitabu kizima kwn kwny barzanji hakuna mambo ya kweli? linalotakiwa kujua hakuna mtu wala kitabu kilichokamilika ispokua Qur an peke yke kuna tatizo gani kutoa makosa ya kitabu husiku. musiitukuze barzanji mpk mukaiweka darja ya qur-an. Oh! Allah tusaidie

  • @user-iv3ou4qg4d
    @user-iv3ou4qg4d 9 месяцев назад +1

    Umeshaonekana na ww ili usifiwe upate kuongeza kibri.

    • @mohdhilaly7900
      @mohdhilaly7900 9 месяцев назад

      First eleven ina maana gani kumuambia mwenzio ?

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 9 месяцев назад +3

    Kaa kimya shuhulikia masomo yako

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 9 месяцев назад

      Ww unayo ilimu pambana nae Kwak dalili na ushahidi

  • @khamismwalim5604
    @khamismwalim5604 9 месяцев назад +1

    Kama unazawad kwel usinge tangaaza mitandaoni

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 9 месяцев назад

    KISWAHILI hujui kwanza

  • @AbdulmajidHyder
    @AbdulmajidHyder 9 месяцев назад

    Ni Vibaraka vya Mayahudi. Huenda wanajitambua ama hata bila ya kujitambua.

  • @princeabuu8297
    @princeabuu8297 9 месяцев назад

    Maliza kusoma kwanza alafu ndo umtafute Bhachu kakangu

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 9 месяцев назад +1

    Acha riyaa Wewe kijana

  • @user-zo6wx9zt3p
    @user-zo6wx9zt3p 7 месяцев назад

    huyu ndiowle wanaotafuta umaarufu mitandaoni nenda kasome kwanza

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 6 месяцев назад

    Kwan kuna hadithi dhaifu au MUNKAR !!!?????

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 9 месяцев назад +1

    Toka apaa kimberley nyimbo uko ndo fani yako

  • @omarchaijefwa729
    @omarchaijefwa729 9 месяцев назад

    Si hata naona umepiga picha na kish ki? Kish ki nimkata viuno?

  • @allydaud117
    @allydaud117 9 месяцев назад

    Maali unasoma bc endelea kusoma, m nakuombea kw Allah akuongowe na akuongoze mn yy ndo muongofu ila kijana acha kutafuta umaarufu kwa kupitia majina ya watu we ulitaka Sheikh Mohammad akup jawab gan au nia yenu nd mlitaka aseme hajui 😂 il museme hajui wakati swali, aliloulizwa halimo ktk kitabu, n maulamaa hawajaongelea suala la mtu alietumia hadith zaifu bali wao wamehukumu hadith yenyew na so mtu, nakushaur kakae tena kauskiliz munaqash vizr huwend ukapata kitu ila pia achana na mambo ya upenz bali kaa katika hakki.

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      Kama yeye ndo muongofu ilikua kwanza uombe wewe akuongoe acheni kasumba الجزاء من جنس العمل

  • @neemamohamed5926
    @neemamohamed5926 9 месяцев назад

    Jibuni Hoja kwanza!

  • @makamekombo-qy6dx
    @makamekombo-qy6dx 9 месяцев назад +1

    hiindio hatari ya watu wa bidaa
    Vijana Kama huyu allh amuongoze
    mtu akesha ingia ktk bidaa hawezi kutubia kwani ahisi ndio dini
    bidaa yake hiyo

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      Bidaa ni uwahabi maana haukuwepo wakati wa Mtume(S.A.W) mnasahau upesi tokeni katika uwahabi ndo bid.a kubwa yenu

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe8121 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 Bhachu kuenda mombasa kumevurumua mambo mengi

  • @RashidAli-ft2om
    @RashidAli-ft2om 8 месяцев назад +1

    Kasome kwanza umalize
    Acha ujinga

  • @mohammedhassan8922
    @mohammedhassan8922 9 месяцев назад +1

    Soma kwanza ujue

  • @binfarhan879
    @binfarhan879 9 месяцев назад

    Hajauliza ivyo shekhe Rudi ukaangalia ila Munakash ila uwe unasema ukweli kwa swali aliloulizwa. Itaq Llah swali halikuulizwa hivyo aliuliza la Mtu TU wala sio kitabu.

    • @osmanmanbile9327
      @osmanmanbile9327 7 месяцев назад

      Ndio maana mawahabii wanapiga kelele bachu aliposema.hamjadili kitabu akalizwa je kitabu pia n uwongo alishindwa Kwa sababu bachu alikua anasema n uwongo Rai yke lkn siku ya munaqasha alishkwa. ..hebu n ww Anglia vizuri munaqasha uone hilo

  • @Yousouf-wn1qz
    @Yousouf-wn1qz 9 месяцев назад

    Ww unajitia kumbembele unaisi atakujibu nyinyi siolazima mumewe lewe tukimuelewa sisitu inatosha sisi tushajuwa yakwamba maulidi siktk dini rabdautua mbyenimila apotutakufaham.Mahizzibi hiyyi hauzushi

  • @shazyahya4121
    @shazyahya4121 7 месяцев назад

    Said jafar barzanji ni muongo na kitabu chake cha barzanji ni uongo kipindi wanyama wanaongea lugha fasaha alikuwepo ebu punguza kula mirungi utamuelewa vizuri Sheikh Mohammad Bachu

  • @abubakarykivo7366
    @abubakarykivo7366 7 месяцев назад

    Sasa kama adithi tayar ni dhwaifu kwann tuendelee kuitumia

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 9 месяцев назад +1

    Mpo kwa ajili ya makulaji

  • @fayeezabdallah2217
    @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад +1

    wallah Allah hawez kukusamh wakt unatetea uwong bil chenga chunga manen yk juha mkubwa we

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Msamaha anae toa ni Allah si jazba zako

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад

      @@yammuhamed736 ushawah kumuona mt anamdhly mtum muhammad saw half akwa salama!!!!

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад

      @@yammuhamed736 mimi naw natk munaqsh wa akil ya fikra man naona wew akil yk haiwez hat kufkr bas dah kwa namn hiy wallah ikiwa unakaid wa kijinga huna salama mbele ya Allah kbc wakt ndg yak muslm anakufahmsh kwa waz na sir huelw unakaidi unakuw na kibr wallh huna salama mbel ya Allah

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      @@fayeezabdallah2217 do kaka Tumefika pabaya kwani tatizo nini

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад

      @@yammuhamed736 tatiz lak umekurupuka saaaana unajuwa Allah sw anavokasirk namn amby anavodhlw uwong kipenz chak unajuw!!unajuw!! ni namn gan Allah anaghazibika unajuwa!!! unajw!!!!!!!

  • @thefoodshaikh811
    @thefoodshaikh811 9 месяцев назад

    Wewe sokwe acha ushirikina, barzanji limejaa shirk.

  • @user-ik6sf8lh9m
    @user-ik6sf8lh9m 9 месяцев назад +1

    Ushakua maarufu jitashid hiyo mitusi munayo watukana watu wa sunna siku ya qiama mutajibu

    • @HajiJuma-dc2ev
      @HajiJuma-dc2ev 9 месяцев назад

      Matusi anayowatukana mashekh wetu yeye ataendapeponi????

    • @HajiJuma-dc2ev
      @HajiJuma-dc2ev 9 месяцев назад

      Kama kuingia motoni bachu sijui itakuwaje

  • @rajabdanga8590
    @rajabdanga8590 9 месяцев назад

    Unatafuta kiki kupitiam.Bacho kaendelee kusoma

  • @ramadhanisulemani9016
    @ramadhanisulemani9016 9 месяцев назад

    Huyu nae mweupeee subhaaana llah kasome umekariri ya mtu www...toa ya kwako

    • @hajimuhidini1903
      @hajimuhidini1903 9 месяцев назад

      Hawa wrote humsikiliza mmoja akisha kusema mmojatu hawajali kama kapatia au kakosea nawao huingia kundini mmemsikiahapo anasema anadhania aya inasema hajuwi katika kufikishia watu huwezi kusema unadhania dhanayako ukainasibisha na wahay pia hadithi munkar kama alivosema ni dhaifu bali kitabu alichoonyesha Taysir Amesema ni dhaifusana na anasema Hadith dhaifu maulamaa wamekubaliana kutumia ktka fadhailil aamali kwaufupi hakuna makubaliyano ya matumizi ya hadithi dhaifu wapo wameonahivo na wapo hawakubalihivo mwisho anaempenda mtume ni yule anaemfuwata mtumeصلى الله عليه وسلم

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 9 месяцев назад +1

    Sheikh hauna elim

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 9 месяцев назад +2

    Dogo hujavuta bangi lakn ???😅

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Tumefika huku kaka wakati mi natoa zawad

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      Hajavuta kajikojolea

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 9 месяцев назад +3

    Kejeli pelaka kwa mzazi wako kama hakufunza...
    Hii mijitu yatoka wapi?
    Ungetowa video ya kutatuwa shirk na kufuru kwa barazambiiiii ungefanya la maana.Bure kabisa.

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Usiende kwenye vita ya. Bunduki na visu ndo somo la leo

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      Ni kheri mukafute mikojo kwenye kiti Cha watu

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 9 месяцев назад +2

    Kila mtu aseme mpaka wewe ??? Duh

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Ni kwasababu mie ni msomaji mzuri wa barazanji hivyo limenigusa tena kaanza mlango ambao nikiusoma natunzwa mpaka nauli

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад

      @@yammuhamed736 subhnllh wallah Allah akuongz kwny haki

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      @@fayeezabdallah2217 sote kwa ujumla

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад

      @@yammuhamed736 usisem sot kwa jumla sema mim kwa ujumla

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      ​@@fayeezabdallah2217hujaongozwa wewe!

  • @HalidiMbonde-jn4hi
    @HalidiMbonde-jn4hi 9 месяцев назад

    Kwani bachu si anaitaji kujua kuhusu wanyama na wadudu kuongea baada ya mimba ya mtume kuingia? mpeni dalili

    • @abuuSwalhatun98
      @abuuSwalhatun98 9 месяцев назад

      Dalili kapewa kwani we husikii au??

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      Dalili alitoa mwenye we Kisha akajitia ufundi wa kutega hatimae kijasho Cha makalio mchana kwaupe

  • @JumaKhamis-cw8ec
    @JumaKhamis-cw8ec 9 месяцев назад

    Wewe hupo mbali na bachu bali upo mbali na haki

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 9 месяцев назад

    Hhhhh hawa jamaa akili zao c barabbara yani nyie hao mnaowambia wasisome maulid ndio kwanza raha mustarehe na habari hawpati ndio wanzidi kumsalia mtume.

  • @user-hh1ol2tr5w
    @user-hh1ol2tr5w 9 месяцев назад

    bado huna elimu kasome kwanza au kama unatafuta umaarufu na ww poa tutakufollo

  • @humudhemed7177
    @humudhemed7177 9 месяцев назад +2

    Mche Allah Kuna siku utakufa

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Allah atupe vifo vyema

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 9 месяцев назад

      Kwahiyo ww hutakufa

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад

      @@mhusinigau3231 tumia akil bas

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 9 месяцев назад +1

      Ona ulivo tahira.nani kasema hafi .Unaelewa maudhui? Yaani nyie mawahabi ni majaahil sana

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад

      @@husseinally5550 wew juha wa 2 dunia hii toka Allah kaumb

  • @zahraomar8095
    @zahraomar8095 9 месяцев назад

    Sasa nyie mnaemtukana huyu shekh nyie mmesomaaaaa au maneno mengi tuuuu

  • @daudyussuf8180
    @daudyussuf8180 9 месяцев назад

    Mtu yoyote wataka kuwa marufu mpaka amutaje Mohamed bacho dio haonekane marufu wengi wajulikani sasa huu atayulikana

  • @jumamahmoud9271
    @jumamahmoud9271 9 месяцев назад

    sheikh muhamed amesema ndani ya kitabu cha barzanji kuna maneno ya uongo mbona nyny vichwa vyenu vibovu.

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      Unaposema kitu uongo unatakiwa uthibitishe kwa Aya na Hadith bachu Hana hata maneno bandia

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      Linaropoka tuuuuuuuuu

  • @ommymkasa9575
    @ommymkasa9575 9 месяцев назад

    Shekh tafuteni watu muwafundishe acheni kutafuta umaarufu usokua na maana basi kilamtu anataka aoneshe alicho kisoma upumbavu mtupu

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft 9 месяцев назад

    Hakuna mantiki yeyote ktk maneno Yako

  • @omarlee3297
    @omarlee3297 9 месяцев назад

    yaan ww mtu akikuona kma chpe ila upo vizur

  • @mohammedhassan8922
    @mohammedhassan8922 9 месяцев назад

    Ndugu upo upo lakini hujielewi

  • @AbdallahMpemba
    @AbdallahMpemba 9 месяцев назад

    Nenda kasoma,mwkt kasema"

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj 9 месяцев назад +2

    Insha Allah Allah atakupa ilimu insha Allah na utafaulu

  • @dredboy
    @dredboy 9 месяцев назад +1

    Toa upuzi mtadaoni

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 9 месяцев назад +1

    Hadith hiyo ni dwaif kweli, je imepokelewa na nani? au imeokotwa? Hiyo Hadith amepokolewa na mtu ambaye si mpokezi wa Hadith, kaaeni mutete madhambi

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Nani kaipokea? Tambua sio barazanji na watu wa elimu ya hadeeth wanaikubali kuwa ni hadeeth na daraja lake ni dhaifu hadeeth Ya kutungwa huitwa maudhui na haijaitwa hivyo hivyo nakushauri kasome hicho kitabu nachotaka kumpa bachu zawadi ili usiseme sems majambo ambayo hayapo

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      @imsimbe kinaitwa mustalah al hadeeth pia kwakua bado mpya mpya kwenye dini nakushauri mfwatilie sana othman maalim

  • @rashidandayi5514
    @rashidandayi5514 9 месяцев назад

    Wajichanganya

  • @zahorsuleyman3429
    @zahorsuleyman3429 4 месяца назад

    Hamna kitu hapo

  • @fayeezabdallah2217
    @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад +1

    hakik wew ni juha wa mwanz dunia hii

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Brother unahasira sana

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад +1

      lazima niw na hasr kwnn munamzulia mtume muhammad saw kwnn half wew kam wew unapinga hak unakubal batil why thibitsh bas hoja ni wakt mimba ya mtume saw wanyama na viube wot walipeana habr hem thibitsh bas nipat faid

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад

      nd man nikasm wew ni juha wa kwanz dunia hii man kun mamb unatakw kutmy akil ya kuzaliwa sio akil ya ujuwaj fikr kwa makin

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 9 месяцев назад

      @imsimbe cha msing msomi akiwa msom yupo tyr kufahmsh umma kuhus jamb muhim ktk din, ikiwa maulid si uzsh kwnn toka miez kadhaa hoja 19 hat moja isijbw kwann kwann!!! half bas tufany sis tusio juwa kwann hatufahmsh je wanyama walipeana habr wakt mimba ya mtum (saw) inangy??? kam wew unafhm nifahmsh bas kwa ushd wa quran na hadth sahih

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      ​@@yammuhamed736msameheni kwa pengine ana mimba

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina6718 9 месяцев назад

    Hawajasema kitu

  • @user-jk7sm1dl7p
    @user-jk7sm1dl7p 7 месяцев назад

    Uyu kijana wa kisufi anatapika nini
    Wewe ume zizima kwa usufi na bidah

  • @alaminbahero3604
    @alaminbahero3604 9 месяцев назад

    Wewe hujielewi ume fyetuka

  • @jambojomba9042
    @jambojomba9042 9 месяцев назад +2

    Allah akuepushe na kutetea baatil

  • @MassodAbdalla
    @MassodAbdalla 9 месяцев назад +1

    NENDA KAPIGE VITA UBAKAJI KATIKA VYUO VYENU VYA MADUFU ACHA KUJITAFTIA UMAARURU NA KUJIFANYA MJUAJI YAKO MAMBO YA MSINGI WAISLAM KUYAKEMEA BADO WEWE UNA TAKA TAKA AKILI TU

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736  9 месяцев назад

      Mtupa kitabu bachu nae mlisihi nini

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 9 месяцев назад

      Unataka kusema kua jambo la msingi ni kujikojolea?