VUTA NI VUTE ILIOTOKEA WAKATI MJADALA UKIENDELEA, JANJA JANJA ZA KUKWEPA KUJIBU MASWALI. MUNAQASHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 сен 2023
  • • VUTA NI VUTE ILIOTOKEA... #KHIDMATV

Комментарии • 157

  • @user-rf9un4bi1b
    @user-rf9un4bi1b 10 месяцев назад +17

    Alhamdulilahi nimepata faida kubwa sana katika munaqasha wajana baada yakusikia mara kwa mara,kuwa kumbe barzanji ni ukweli ila ilitumika hadithi dhaifu ...lkn hakuna uwongo kwa barzanji.
    Alhamdulilahi ...

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 9 месяцев назад +16

    Hiyo ndio mombasa ya mambrui kitovu cha elimu

  • @user-mh3et6rr7j
    @user-mh3et6rr7j 9 месяцев назад +7

    bachu ni mdhaifu sana, kama angejua angemuacha sheikh said atoe ile khadith lakini akajikanyaga akasema yeye mwenyewe kwamba ni khadith dhaif sasa suali lilokuja limekuwa kubwa kwake mpaka ameharisha kwenye kiti

  • @ShamimWanjiru-bm6ve
    @ShamimWanjiru-bm6ve 2 месяца назад +5

    Mambrui hio!!!!

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs 10 месяцев назад +6

    Bachu wew ni mbabaishaji tu huwezi kujibu hata swsli moja wew ni msomi gani huna ilmu

  • @abuuzainab8581
    @abuuzainab8581 6 дней назад +1

    Maa Shaa Allah ustadh Saidi

  • @DeiraKd
    @DeiraKd 2 месяца назад +4

    Iyo ime nikosha sana kuona bachu ame kosa jibu

  • @user-hq5iy8ou2d
    @user-hq5iy8ou2d 9 месяцев назад +6

    Huyo bachu ni mbabaishaji halafu huongea sana na mtu ambaye huongea sana huwanimbabaishaji.

  • @KhamisBakar-ge4sp
    @KhamisBakar-ge4sp Месяц назад +1

    Masha Allah Ustadh Said❤❤

  • @cusmancabdullah7127
    @cusmancabdullah7127 10 месяцев назад +7

    Walahi bachu ni vitisho tu kumbe

  • @maulidmaulid2106
    @maulidmaulid2106 5 месяцев назад +2

    Muhammed bachu yupo sahihi kabisa.mtume akusherehekea siku yake ya kuzaliwa wala maswahaba awakusherehekea.maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...

  • @MuhaMago-ce3bx
    @MuhaMago-ce3bx 9 месяцев назад +3

    Asante bachu kwa ujasir kuwatow watu ujinga

  • @AbubakariGuzuye
    @AbubakariGuzuye 10 месяцев назад +6

    Bachu yupo sahihi ww shekh said toa ushahidi wa kielim so ubishi kuna watu wanakuskia wapate elimu # bachu allah akuhifadh unatoa elim hujaj kushinda nadhan nmeeleweka vzr

    • @omaryramdhani9823
      @omaryramdhani9823 10 месяцев назад

      MNAMPA MOYO TU JAMAA YENU KAGARAGAZWA

    • @user-fy4op1sw2f
      @user-fy4op1sw2f 8 месяцев назад

      Hakuna elimu kwenye mtandao acha ujinga kasome

  • @basmabasma6287
    @basmabasma6287 10 месяцев назад +5

    Sheikh bachuu Allah yahfadhak wu yitawil omrak.ameen
    You nailed it.

  • @lusitoally5623
    @lusitoally5623 2 месяца назад +2

    Wewe mwenyewe bachu hiZbi

  • @rashidsuleiman9253
    @rashidsuleiman9253 4 месяца назад

    Assalaam alaikum. Masheikh wangu nawapenda nyote kwa ajili ya ALLAH, ningetamani mkae chini wenyewe peke yenu mjadiliane haya mambo pasi na mavideo na mapicha na ndani yake pakiwa na staha kwa kila upande. mwisho mkubaliane mnayokubaliana na mkhitalifiane mnayokhitalifina na mkubali kukhitalifiana halafu uislamu usonge mbele

  • @user-jq5vo6pi2v
    @user-jq5vo6pi2v 10 месяцев назад +3

    Tumeelewa kuwa maulid si ibada ni maslahi yawatu kwaajili yanjaa tu

  • @ZaujiyatSuhfi-rl8sr
    @ZaujiyatSuhfi-rl8sr 10 месяцев назад +3

    Ama kwa hakika uislam hauna ujanja ujanja wala kupindisha mambo yote yamekamilika na ukileta ujanja utaumbuka tu

  • @user-de4yj3oc1g
    @user-de4yj3oc1g 10 месяцев назад +5

    Bachu jibu swali

  • @user-rz9dg5um7x
    @user-rz9dg5um7x 2 месяца назад

    Masheikh mnazililisha dini ya uislam ilitakiwa mkae chini peke yenu mrekebishane na sio kwenye mitandao ivi mnawapa picha gani wasiokuwa waislam Allah awaongoze

  • @ahmedmattar4661
    @ahmedmattar4661 9 месяцев назад +1

    Bachoro leo umepata Aibu unatukana watu leo mungu kadhihirisha kua wew unazoea matusi tu leo umepata mvwamba

  • @abdullaseifkhamis4277
    @abdullaseifkhamis4277 10 месяцев назад +1

    Mashekhe mwatia Aibu Jambo hilo tu ndilo lawatoa mishipa wakati kuna mengi yadonwa na kuku. Nyote mwatakiwa Musome na Hekma

  • @saidsobongo912
    @saidsobongo912 10 месяцев назад +4

    Sufi ukimpeleka kwa dalili hajibu hata siku moja😅😅

  • @thefoodshaikh811
    @thefoodshaikh811 9 месяцев назад +2

    Uhai wangu wote sikudhani bachu atashinda home and away. Yaani Tanga ni majazi na mombasa ni munkar = uzushi wa maulidi.

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 9 месяцев назад

      Jaahili, unadharau majazi, had kwenye kuran majaz inatumik sana tu, km hujui ndgu yngu ulie jahili hukusoma shule Wala madrasa upo kiushabiki,
      Lugha ya mashairi km kilivyo kitabu Cha barzanji au kitabu chcht za barzanji lazima "majaz" kasome japo kidg Ili ucje kufa na ujinga wako ndg

  • @abdulkarimukusaga3617
    @abdulkarimukusaga3617 10 месяцев назад +5

    Sawa we said bachu kasema nyie niwazushi tuambie kama sio uowongo tuendelee na maulidi ukisindwa leo tunaacha maulidi

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 9 месяцев назад

      Usifanye punguani km mlitaka kujibiwa hoja zenu mlitakiwa kujibu mlichoulizwa alafu na hoja zenu c mngepata kujibiwa ttzo lenu nyny mnajiona nyny tu ndo mna Haki ya kuulizwa, kwani walokimbia ni akina nani pale, suali b. Km mngejibu shkh saidi angeondoka pale?
      Nyny mnataka mumtawale mtu mumuulize nyny tu masuala alafu la kwake kauliza mwanzo mnjifanya hakuna jibu kumbe hamjui chcht zaid ya kuropoka ropoka uhuni tu

    • @moringesokoine4614
      @moringesokoine4614 8 месяцев назад

      Ni bora ya makafir kuliko hawa mawahabb kina bachu

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 10 месяцев назад +3

    Hii niqash kiufup hakuna majibu ya kuwa barzanj maneno yake si uhongo, na hakuna hadith ya kuonyesha kuwa maneno ya barzanj ni ukwel, watu wa twarik wanakwep maswal, aisee namshukur Allah kunitoa ktk bidaa ya kukat viono

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 10 месяцев назад +1

    "It is difficult to bring a fool into sense" - (Issa bun Maryam, Peace be Upon Him)

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498 Месяц назад +1

    Backu kazidiwa

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 2 месяца назад

    kiukweli kama ukimfuatilia jafar barazanji huwezi kumuita mzushi...utakuwa bado huna elimu na hukumfahamu...uwe umesoma mda gani ikawa unaelimu zaidi...soma zaidi elimu ni pana

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 10 месяцев назад +1

    Mm ninacho kiona nikwamba kila mmoja ashike upande wake sisi wanadamu hatuwezi kuzuiya haya ispokua Kwa uwezo wa mungu

    • @Kalaharidesertstorm
      @Kalaharidesertstorm 10 месяцев назад +1

      Mambo ibainishwe kisha kila mtu ashike yake hakuna makosa wala hatulazimishi hata kurani ndio ina yo sema bainis há MAMBO na hicho ndicho bachu alicho dai thibitisha riwaya usiseme inaweza tumika 2 natayari mnajua ní munkar hadith

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 10 месяцев назад +2

    Bachu yupo vizuri tu lakn huyo said hamna kitu 😄😄😄

    • @farijalaidd-sv8zb
      @farijalaidd-sv8zb 10 месяцев назад

      labda na wewe usogee kati na vipeperush vyenu

    • @hassanhussein2422
      @hassanhussein2422 9 месяцев назад

      Bachu haja Fika kuwango YA niqash Na sh said sh said m.a

  • @aliabdallah5183
    @aliabdallah5183 10 месяцев назад +1

    Hamnakili mnaweka zogotu

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f 10 месяцев назад +4

    Bachu na ujanja wako wote leo ume pata janjaure
    Zile hoja zako za kupotosha wajinga leo hazipo tena
    Ume ulizwa swali dogo lime kushinda kujibu
    Shida yako ni little knowledge bro kasome mamburui

    • @safiasaidi3280
      @safiasaidi3280 9 месяцев назад

      Mjinga huy nd amsomeshe bachu au? Mhh mwana wenu kaangukia pua

  • @abduljecha7779
    @abduljecha7779 9 месяцев назад +1

    Hapa kuna wengine wana utoto

  • @Salimsaid-nk1qv
    @Salimsaid-nk1qv 4 месяца назад +1

    Mashaallah sheikh bachuu kwa kuamua kuondoka maana anaofanya nao munakasha hawelewi huenda elimu ndio tatizo

    • @abdiazizmohamed444
      @abdiazizmohamed444 2 месяца назад

      Swali ni dogo sana
      Je ukinukuu riwaya dhaifu kwenye kitabu chako kinaitwa utaitwa muongo?

  • @Habib_Swaleh
    @Habib_Swaleh 9 месяцев назад

    USIKOSE KUTAZAMA KHUTBAH YA JUM'AH YA SHEIKH BACHU NA JUMANNE ATAKUWA LIVE KUELEZA KITABU CHA BARZANJI MUNKAR YAKE KWA KITABU YAANI MAOVU YKE KUPITIA ALHAJAR TV AU UTAZIPATA BAADAE KWA CHANEL YA SHEIKH BACHU MPAKA KIELEWEKE NA WAELEWE UNASOMA NINI KATKA MAWLID MAANA WENGI HAWAJUI WANACHOKISEMA KWA MAWLID WALA TAFSIRI ZKE ABADAN.

  • @user-mq2jv9du6t
    @user-mq2jv9du6t 8 месяцев назад

    Sasa

  • @mohamedrashid7864
    @mohamedrashid7864 10 месяцев назад

    Moh bhachu kaangukia pua jmn doooo aibuuuuu .hodari kuuliza .yeye leo kaulizwa swali moja hoi taabani

  • @AbubakarShundi-og8ce
    @AbubakarShundi-og8ce 9 месяцев назад

    Swala la منكر hakukulisema شيخ سعيد kalisema huyo kijana anayejikweza dhidi ya Sheykh wa barazanji yeye Sheykh saidi alithibitisha tu alilo sema bachu alafu Sheykh said akauliza

  • @AbubakariGuzuye
    @AbubakariGuzuye 10 месяцев назад +2

    Kama n swali ameshindw bachu kujibu bas lijibu ww tupate elimu kama unajuw hatutak kushindan tunatak elimu

    • @khaliphaabubakar9466
      @khaliphaabubakar9466 10 месяцев назад

      Bachi ndio anasema siku zote kuwa Barzanji ni muongo.Sasa ajibu hilo suala. Ndio au Hapana?

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 9 месяцев назад

    Hapa tu nimejifunza kwamaba kwemye usilam kuna baadhi ya watu wametia maneno yao na mawazo yao ili kuharibu Uislam na haya ndio yanatokea leo na mijadala mijadala isio na suluhisho

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 9 месяцев назад

    Halaf nichokiona kwamba huu mjadala pia hamupo kutafauta ukweli mupo kwenye kushindana tu na kitu chengine kwamba lugha munazozitumia hazipendezi katika kufahamishana tukumbuke sisi ni waislam

  • @khadijacassim151
    @khadijacassim151 9 месяцев назад

    Kwanini nyinyi watu wa bidah kumbe mmefahamu kwamba wanyama hawakuzungumza lakini mwawadanganya watu siku za maulidi kwamba wanyama walizunguza

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 10 месяцев назад

    HAO MAKHURSFI WANAJIFANYA HAWANAZO!!NA WAJINGA WENZAO WAWAUNGA MKONO WAJINGA WENZAO!!
    ACHENENI NA HAO MASUFI!!

  • @AminaAmina-pc5ke
    @AminaAmina-pc5ke 9 месяцев назад

    Huyo

  • @MbwanaMakamba
    @MbwanaMakamba 29 дней назад

    Tatizo la wahabi mwafata mkumbo bila elimu halafu pia hamuwasikilizi mashekh zenu

  • @user-de4yj3oc1g
    @user-de4yj3oc1g 10 месяцев назад +2

    Bachu anategemea coment za wafuasi wake ili wamtie nguvu lakin safar hii umefeheka sanaaa janjajanja yooooote kwishaaa

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 10 месяцев назад +1

      We Mjing nn

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 10 месяцев назад

      Ushawaion bbak akicoment apa shenz kbx mtu anatia qauli z wanazuwon unalemba umalaya wako

    • @mkude
      @mkude 10 месяцев назад

      Bachu amedhihirisha Dunia kama yaliyomo kwenye kitabu Cha barzanji ni uzushi kwahiyo kwenye maulidi yanasomwa maneno yasiyokuwa sahihi na wamaulidi wakakubali ila wakaanza kuzungusha zungusha amjadili mtu yeye kasema hajadiliwi mtu tunajadili uzushi kwenye kitabu Cha barzanji

    • @iddimohamed254
      @iddimohamed254 9 месяцев назад

      Mwenye kuelewa ashaelewa kka bachu ametufungua maskio...ni msomi kabsaaa

  • @user-mw2rn7pp4y
    @user-mw2rn7pp4y 9 месяцев назад

    Bachu elimu yakupiga chenga halafu ubishi umeuweka mbele wasubua wtu2 kwnza kasome kaka halafu ndo uje mombasa heee?

  • @ShaabaniAyyubu
    @ShaabaniAyyubu 10 месяцев назад +2

    Twarika hamna kitu kwanza kanuni ya mjadala walikubalian kujibu kwa dalili zenye thabit mbna alikubali kuwa hadithi yake ni dhaifu hapo kwanza kwenye kanuni ya makubaliano saidi yupo nje alaf mbona shekh said mbna kajibiwa alaf na kam sio sawa alivyojibiwa mbna hajatuambia yeye sisi tulitaka faida lkn bado

  • @tahaddath
    @tahaddath 10 месяцев назад +1

    Hahaha bachu umefeli wewe huna elimu yeyote na mawahabi wenzako unaleta mambo ya ng'ombe fala w

  • @swalehmohamed1590
    @swalehmohamed1590 10 месяцев назад +1

    BACHO AJUA KUSOMA KITABU NA KUFASIRI LAKINI HAELEWI MAANA NA UNDANI WA ANACHOKISOMA

    • @user-fy4op1sw2f
      @user-fy4op1sw2f 10 месяцев назад

      Swadakta bro wewe ume elewa vizuri sana

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 4 месяца назад

    Mashekhe wote muliopo hapo ktk mdahalo murudi kwa allwah
    mumlaani shetani
    Hapo nimegundua mumejawa na shetani kwenye nafsi zenu
    "Ushindani" na" kibri "
    Kila mtu kati yenu anataka awe bingwa
    Kwahiyo mumesahau ata malengo yaliyowaleta hapo

  • @adamrajabu231
    @adamrajabu231 8 месяцев назад

    WATU WATETEA UGALI WAO😂😂

  • @rashidsimba3680
    @rashidsimba3680 10 месяцев назад +1

    Bachu amepanic sana

  • @Salimsaid-nk1qv
    @Salimsaid-nk1qv 4 месяца назад

    Nyie mashekhe wote hapo hamna elimu kama barzanji kaandika maneno ya uwongo si muongo?ina maana hadithi ndio inafanya maneno ya barzanji kuwa kweli? Acheni upuuzi wenu kuwadanganya waislamu

  • @youmoha8200
    @youmoha8200 9 месяцев назад

    ngombe ina vichwa 3 n 5

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 10 месяцев назад +2

    Leo nimeamin watu wa bidaa hawapendi kusoma, dj side kaulizwa swali naye anauliza kabla ya kujibu

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 10 месяцев назад

    حيت سئلوا
    wanapoulizwa au walipoulizwa

  • @masudbasra566
    @masudbasra566 3 месяца назад

    Hamuna elimu yoyote munatafu sifa tuu

  • @hosinali8164
    @hosinali8164 9 месяцев назад

    Nyamaza huna lakusema ulishindwa kujibu uskut

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 9 месяцев назад

    Mtume s,w,a ameondoka ametuachia kitabu na sunna sasa bachu yupo vema Bali huyo mwingine ni mtu wamaulid nandio hao Wenda wazee wao walikiwa wajiita mashariff.

  • @hidayaramadhani1833
    @hidayaramadhani1833 2 месяца назад

    Mwana wabachu ajielewi kabisa mawahabi someni mwatutia aibu

  • @aliabdallah5183
    @aliabdallah5183 10 месяцев назад +1

    Nyote hamnaakili

  • @AminaAmina-pc5ke
    @AminaAmina-pc5ke 9 месяцев назад

    We festi lvn nashidwa nhwu

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs 10 месяцев назад

    Mawahabi hawafahamu kitu

  • @BILALKASSIM-ol6kk
    @BILALKASSIM-ol6kk 10 месяцев назад +1

    Bachu hujui kbxasssaaa elim yko niya sifa kabxaaaa ostz said ni faqih mkubw xn

  • @hindamir2008
    @hindamir2008 10 месяцев назад

    Kalale umeshindwa kujibu waleta stori z kuku nabngombe

  • @hafidhsalum-jp2mw
    @hafidhsalum-jp2mw 10 месяцев назад +1

    Ata na mie ningeshindwa sio bachu tu kwa kutumia hadithi za uongo kua ni ushahidi ndugu zenu mashia pia wanayoyasema wanatoa hadithi za uongo na kama itakua hivo basi hii dini kila mtu atatunga hadithi yake itumike kwrnye dini

    • @abubakarhussein2186
      @abubakarhussein2186 10 месяцев назад

      Sio hadithi ya uongo ile ndugu ingekuwa ya uongo ingeitwa hadithi maidhuu

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 10 месяцев назад

      Alhamdulillahi haqqi imeshazihir kuwa Bacho ameshindwa .
      Bacho alidai kuwa : katika barazanji kuna uwongo.
      Na dalili alioisimamia ni kwamba " hadithi iliotumika ktk kitabu ni (( munkar ))
      Akaulizwa : Jee kutumia hadithi munkar katika kitabu inapelekea kuitwa menye kitabu ni ((Muongo )).
      Au maneno hayo yatazingatiwa kuwa ni uwongo ??
      Lakin Bacho hakuweza kujibu mpaka mwisho wa mjadala . Alikuwa anakwepa kwepa .
      Leo imedhihiri : Ukosefu wa dalili kwa Bacho na kumsingizia lmam barazanj kuwa ni muongo. Amesema maneno hayo bacho bila ya dalili yoyote . bali ni kumtuhumu tu mwanachuoni .

  • @khamismwalim5604
    @khamismwalim5604 10 месяцев назад +1

    Mjadala wa Ahlu Twariqa vs Mawahabi 1-0

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 10 месяцев назад +1

    Athibitishe wanyama

    • @user-fy4op1sw2f
      @user-fy4op1sw2f 8 месяцев назад

      Kasome afa kuskiliza munakasha kapekue vitabu usomeshwe usiwe kama mjinga

  • @asifznz
    @asifznz 10 месяцев назад

    Jamma wa tarika said yeye hajali kwamba kitabu cha barzanji ndani munauwongo yeye anataka tu barzanji asiitwe murongo au muongo 😂😂😂😂😂sasa kitabu kime jaa uongo shirki kibao he doesn't mind what his people are reading is inauthentic he doesn't mind at all 😂😂😂😂😂people are going astray from the right path he doesn't mind 😂😂he wants people to not call jaffer barzanji a liar, kumekucha!!!!waafuasi wake wacha waende mtoni kwakufanya shirki lakini BARZANJI asiitwe MUONGO 😂😂😂yeye KASHINDWA kabisaaaaa kuitete kila kitabu cha BARZANJI Dahhhhh what loss,halafu anarukaruka eti kashinda,hoja hata moja haijajibiwa ,na yule jamma alova miwani anapokea simu za watu wakati mjadala unaendelea mwambie ashikilie hapo hapo😂😂😂😂😂halafu saidi anazugumza kalegeza mikono ,WEEEEEWE,😂😂😂😂😂Eti kashinda😂😂😂😂

  • @hamishijja4574
    @hamishijja4574 10 месяцев назад +1

    Mmmh ostadhibachu yukovizury sana tenanamkubali

  • @saidinusura109
    @saidinusura109 9 месяцев назад

    Maalim na wajina wangu Said kwa bahati mbaya anafanya mjadala wa kitoto sana.

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 9 месяцев назад +1

      Bachu kakiri barzanji katumia Hadith munkar kakiri mwenyewe maanake kukiri maanake sanadi anaijua swali limeulizwa kama umekiri Hadith ya barzanji imetoka kwenye Hadith munkar swali jee Hadith munkar ikitumika kwenye sira jee wanazuoni wa Hadith wamekubaliana ikiwa Hadith munkar kaitumia jee mtu huyo ni muongo? Swali simple lkn bachu anajua akikubali au akikataa swali linalokujaa ni gumu zaidi ndio maana hakutaka kujibu sio hajui hakutaka kujibu makusudi anazungukaa lkn swali hajibu 😊 kakwama kabanwa vibaya😊

    • @youmoha8200
      @youmoha8200 9 месяцев назад +1

      angelijibu angetolewa mahadithi nyingi ya dhaifu katika vitabu vya wanazuoni wakubwa..akina ahmad bn hambal na tirmidi na ibn majah na nisai..natija ingelikuwa hao pia na waringo?

  • @mohamedimcheni2068
    @mohamedimcheni2068 9 месяцев назад

    Bachu kasome

  • @MuhaMago-ce3bx
    @MuhaMago-ce3bx 9 месяцев назад

    Anaejuw ajibu ilitujuwe tusiojuw

  • @abdallhabinmkasibayyat6657
    @abdallhabinmkasibayyat6657 10 месяцев назад +1

    Leo umeaibika mno ndugu yangu bacho

  • @jumajuma1324
    @jumajuma1324 9 месяцев назад

    Ukishikamana na upuuzi wa barazenji unajitayaishia njia ya kwenda motoni mana unamzulia Mtume s.A.w na Mtume kasema atakae mzulia atayarishe makaalio yake na moto

    • @SaidaFankupi
      @SaidaFankupi 9 месяцев назад

      Hkna urongo wowoteee nyinyi hamna kitu😅😅

  • @AhmedSaid-mk7qs
    @AhmedSaid-mk7qs 10 месяцев назад

    Yaani huyu bachoro hajui hata kutamka maneno ya kiarabu hajui tafsiri hajuilkani anasema nini wala anakusudia nini

  • @AbubakarShundi-og8ce
    @AbubakarShundi-og8ce 9 месяцев назад

    Dogo kibri cha kutukana wanachuoni wacha kitakupeleka pabaya huna unacho kijua tafadhali wacha kutukana vipenzi vya Allah utalanika

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 9 месяцев назад

      Eti wanalalamika kadhalilishwa bachu km hatoacha kuwatukana wenye elimu zao ataendelea kudhalilika bdo hajadhalilika aswa, ata thumni ya adab alokua nayo baba ake yy hana

  • @swalehmohamed1590
    @swalehmohamed1590 10 месяцев назад +1

    BACHU AMEULIZA SWALI KISHA AKALIJIBU MWENYEWE KWA RIWAYA YA ABU NUEIM AKAULIZWA SWALI NA SAID JUU YA RIWAYA AKAKWEPA NA HUKU ATETEWA NA ABU AHMAD..

    • @mkude
      @mkude 10 месяцев назад

      Wewe itakuwa unatabu ya uelewa sanaa.bachu amedhihirisha kitabu Cha barzanji kina munakari dhaifu.hao wanazungusha zungusha wanataka Bachu athibitishe uongo sheikh Bachu amesema hatumjadili mtu tunajadili kilichomo kwenye kitabu Cha barzanji

    • @swalehmohamed1590
      @swalehmohamed1590 10 месяцев назад

      @@mkude hhhhhhhhhhhh KILICHOMO NDANI YA BARZANJI KIMEANDIKWA NA MTU, UKITAJA KITU KINA ALOKIANDIKA UKISEMA NI CHA UONGO NA YULE ALOKIANDIKA PIA NI MUONGO, BACHU NDO ALOZUNGUSHA WATU NA PIA YEYE NA WENZAKE HAWANA UELEWA..AYA NI ZA MUNGU, HADITHI NI ZA MTUMI S. A. W MANENO YA BARZANJI NI YA NANI, HHHHHHHH, MBONA HAMUELEWI.

  • @jambojambosafaris
    @jambojambosafaris 9 месяцев назад

    ruclips.net/video/2iljhLEqQyw/видео.htmlfeature=shared
    Ujanja wa bachu wajulikana

  • @swalehmohamed1590
    @swalehmohamed1590 10 месяцев назад +1

    BACHO HAJUI TAKHRIIJ WALA NATIJA YA TAKHRIIJ,

    • @youmoha8200
      @youmoha8200 9 месяцев назад

      kusema kweli hana elimu kabisa...kasoma muqarar tu..yote yaonesha umuhimu wa kusomeshwa na ustadh

  • @mkude
    @mkude 10 месяцев назад +6

    Sheikh Bachu amedhihirisha uzushi uliomo kwenye kitabu Cha barzanji.hao wakaanza kuzungusha zungusha lakini imeeleweka vizuri sanaa

    • @mohdhilaly7900
      @mohdhilaly7900 9 месяцев назад

      Ila uongo huo upo kwenye hadith sio barazanji waliosema wamenukuu hadithi dhaifu ila hadithi dhaifu ulamaaa ngani anasema ni uongo ? Ajibu bachu asilete ujanja

    • @Habib_Swaleh
      @Habib_Swaleh 9 месяцев назад

      ​@@mohdhilaly7900SAID KAULIZA SWALI AMBALO KWAMBA BARZANJI SI MPOKEZI WA HADITH KWAN ULAMAA WA HADITHI WANAMUHUKUMU MPOKEZI AU MATNI AU ISNAD YAANI CHENI KUANZIA ILIPOPOKELEWA LKN IMAM BARZANJI SI MPOKEZI WA HADITHI AMENUKUU AKAANDIKA NA KUSIMULIA KWA MASHAIRI.😇😇😇

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 8 месяцев назад

      @@mohdhilaly7900 Ahal Al Bidaa

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 8 месяцев назад

      Amedhihirisha kutia kasri akitia haraka amekanyagwa.ashaonekana elimu changa

    • @abdull_hafidh
      @abdull_hafidh 4 месяца назад +2

      Bachu yupo sahihi sana

  • @user-ve3wu5jn1l
    @user-ve3wu5jn1l 9 месяцев назад

    Bachu kunywa maji shehe

  • @AbubakarShundi-og8ce
    @AbubakarShundi-og8ce 9 месяцев назад

    Basi mjibu wacha kibri dogo

  • @MbwanaMakamba
    @MbwanaMakamba 29 дней назад

    Wahabi nyie endeleeni kupiga kelele kazi yenu ubishi tu ila hamna elimu kaeni chini mfundishwe msikurupuke mtaumbuka Sana inshaallah kwasabab pia mnaubinafsi ndani yake

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 9 месяцев назад

    BACHU KATUMWA NA MUNGU.

  • @AbubakarShundi-og8ce
    @AbubakarShundi-og8ce 9 месяцев назад

    Wewe ni ktk wajinga nakuusia wacharia wacha kutukana wanachuoni wacha ilo swala

  • @MUBKAM-th3ln
    @MUBKAM-th3ln 10 месяцев назад +2

    Hili jamaa jinga kweli Analeta mambo ya tarabu .... kwenye Mambo ya Elimu... Funny yako kuimba kaswida

  • @HuzaimaRamadhan-kb1wz
    @HuzaimaRamadhan-kb1wz 10 месяцев назад

    Bachu tutajie mwanawazuoni alie thibitisha hojazako

    • @mkude
      @mkude 10 месяцев назад

      A.edhibitisha munakari dhaifu kwenye kitabu Cha barzanji kwahiyo mnasoma kitabu kwenye maulidi ambayo ni urongo ambayo hayajadhibiti Kwa mtume s a w

  • @rashidichuri1149
    @rashidichuri1149 10 месяцев назад

    haya mmbo yanajeka chuki tu

  • @ayauii
    @ayauii 10 месяцев назад +3

    Watu wa twarika wababaishaji hawakujibu suala waloulizwa barazanji imeandikwa mimba ya mtume ilipiingia wantama walizungumza.wamebabaisha wametoka kwenye mada kisha.wameinuka wamemaliza.kwa sababu hawana jawab.( bachu ametufungua macho hatusimi tena maulidi wamezua tu Hawa

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 9 месяцев назад +1

      Muongo ww husomi maulidi Toka zamani ni mnafiki tu

    • @user-qu6eh5gu6t
      @user-qu6eh5gu6t 9 месяцев назад

      Sema wapi ni uongo. Wanqchopinga apo ni nadharia ni vip viumbe wa Allah kama ndeng, samaki n.k wanaweza kuzungumza. Na wakat huo huo wamesahau nabbing suleiman alikuwa anaongea na wanyama na pya nabii suleiman alisimamisha msafara wake kisa alisikia sisimiz akiwaambia wenzake watoke barabaran kuwa jesh la nabii suleiman litawakanyaga

    • @user-qu6eh5gu6t
      @user-qu6eh5gu6t 9 месяцев назад

      Na pya nabii nuhu aliwasikia chewa wakimsabihi mola wao

    • @SaidaFankupi
      @SaidaFankupi 9 месяцев назад

      Urongo we mnafik husomi maulid kisha Leo ndio wasema hivo

  • @hassanmambomambo8442
    @hassanmambomambo8442 10 месяцев назад +3

    leo bachu umeaibika ukome siku nyengine kutukana mashekh ona sasa ulivyo fedheheka watu wanaakili wewe si umemuita BARAZANJE kuwa ni muongo wewe? na video zako zipo leo wakataa ngoja zitaletwe ili watu wakujue kuwa wewe nikinyonga kujibadilisha rangi naleo umemuita Imamu albarazanje na Dua umemuombea ukome siku nyengine

  • @MbwanaMakamba
    @MbwanaMakamba 29 дней назад

    Subhaanallah nyie wahabi hamna lolote mnakurupuka Sana Allah awasamehe Sana

  • @abdallhabinmkasibayyat6657
    @abdallhabinmkasibayyat6657 10 месяцев назад

    Unaleta ujanja wako wa hovyo

    • @AthumaniMahmoud
      @AthumaniMahmoud 10 месяцев назад

      Bacho kua na hekma pia pole sana kaka

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 9 месяцев назад +1

    😅Hawa ashabul ubwabwa
    Wabish na utoto mwinqi,
    Wameshindwa kuthibitisha
    Walichoambiwa badala yake nao wanauliza suali.
    Elimu ndoqo na ubishi tu.
    Kiufup wamejitekenya wenyew na kucheka wenyew.

  • @SALEHKK864
    @SALEHKK864 10 месяцев назад +2

    Mtoto wa bach ka shindwa kujibu tena arudu akasome

    • @bwagizoselemani8434
      @bwagizoselemani8434 10 месяцев назад +1

      Hajashindwa kujibu sema kila mmoja anatetea hoja Yake bachu yupo sahihi sema tu hawez kuwabadilisha ispokua Kwa uwezo wa mungu Tu

    • @HassanKhamis-pz5hy
      @HassanKhamis-pz5hy 10 месяцев назад

      Shekh Bach achakuwasumbua watu

  • @user-de4yj3oc1g
    @user-de4yj3oc1g 10 месяцев назад +3

    Bachuuuu chaliiiii ukome kuwatukana wanazuoni

  • @hafidhsalum-jp2mw
    @hafidhsalum-jp2mw 10 месяцев назад +2

    Asa kuna mjadala wa nini apo wakati mtu anajibu hoja kwa hadithi zaifu

    • @issambamba9236
      @issambamba9236 10 месяцев назад

      Tofautisha dhaifu na uwongo.

    • @abubakarhussein2186
      @abubakarhussein2186 10 месяцев назад +1

      Dhaifu bachu kaulizwa wanawachuoni gani wamesema ni hadithi dhaifu ni ya uongo bachu kakimbia kiti wewe ni nan mpka unasema hayo

    • @zigzag4487
      @zigzag4487 10 месяцев назад

      ​@@abubakarhussein2186tafsiri ya kitu dhaifu kinafaa kutumika au hakifai

  • @hosinali8164
    @hosinali8164 9 месяцев назад

    Wewe bachu huna ilmu wa heshima huna