JazakhAllah kheir, Umetutoa Kwa Giza,Endelea kupigana Kwa njia Allah kwa Kusimamisha Tahweed na kukataza Bidhaa na shirk ndogo ndogo..Tunakuomba Sana Utuelimishe kuhusu Ziara ya makaburi kama ni Haramu au vp
Ahsantum sheikh Muhammad Bachu Allah akulipe kheri,akuhifadhi na akupe mwisho mwema,nipo pamoja nawe,nishaacha kwenda maulidini miaka mingi na kwenda kwenye arobaini
Yako mambo Allah amewafunulia mitume yake kujua lkn point ni kwamba, mtume hajui mpka ajulishwe na Allah, yy hana elimu ya lolote katika Ghaib isipokuwa yale mola wke aliyomfunulia.
Mungu akuhifadhi shekhe Muhammad bachu akuzidishiye ilmu zaidi inshaallah ..tunafaidika sana kusikiliza mawaedha yako mashaallah..Mungu akulinde na jicho lahasadi inshaallah..khadija said Nahdi mld kenya
Huyu kijana ameongea maneno yasio fahamika kwanza umesoma lugha ya kiarabu vizuri kabla yayeyote kaachini usome nahwi sio unapiga kelele mbeleya watu maana ya burda unajua? Umesoma mawili unajiona uko na elimu hio tafsiri Union toa rudi nao umetafsiri vile wee ukitaka tu muongo wee
Waambie wajue masha llah... Allah akuhifadhi na akulinde na hasad na fitna. Mwisho upate shahada.... Nakufananisha na shekh wangu.... Aboud rogo (rahimahuwwa)
Ila hajamfikia bado aboud rogo. Shekh aboud rogo anakosoa serikali na na walikuwa wanagonga mwamba ila washekh wetu wa znz mawaidha hayagus ktk serikal mana ukigusa huko wanaogopa ila aboud rogo ni next level
Masheikh siku hizi ni vijembee tu kama waimbaji wa taarab, yani kila Mtu anajiona msomi kuzidi wengine, lakin Kumbukeni Mwenyezi Mungu hapendi mwenye kujikweza, mwenyew kujifahari mbele ya wengine.
Ummah umepotezwa kwa muda mrefu sana baada ya kukosa Wana Wa chuoni walioshiba Tawhiid. Kwaio Tawhiid wengi hawaifahamu nafasi yake wanakwenda tu, kwa sbb babu yangu alikua anafanya hivi namimi nafanya!!!
Daah! sheikh Muhammad Bachu nafuatilia Sana clips zako na kwakweli nilikua nakuona mpotoshaji mkubwa kwakua unayapinga Maulid,ila kupitia clip hii nimegundua kua Maulid hayafai hata kidogo na kuanzia sasahiv naamua kuachana kabisa na Masuala ya Maulidi,Allah akupe maisha marefu yenye kheri na ww ili uzidi kutuelimisha Sheikh wetu.
Na walio andika hayo ni waumini wa kuomba kwenye makaburi ya baadhi watu wa Ukoo wa Mtume na baadhi ya Viongozibwa nchi zao. Allahumma nsurna mina Ljahiliyn!
Ndugu mtoto wa aliyekuwa sheikh Bachu nakuombea dua kwa maneno yako haya ukutane na sheikh Jafari Mtavassy simba wa fani za Lugha nilimsikia akifafanua hizi ibara, na aina za Ghayb na ile aya hii aya uliyoileta ya mambo matano na ile ya katika surat aljinni wallahi umefeli pakubwa ndugu.
Wallahi huyu shekh yuko sahihi lakn ni vyenye dini tumeitia ushabiki ndio utaona wengne wanapinga..ssa itakuwaje sifa za mungu umpe mtume mnaleta sarakasi kwenye dini tayari mnawaigiza wakristo kumpa yesu sifa za mungu tusomeni ndugu ikiwa utaitukuza siku ya mazazi ya mtume sawa lakn usilete hoja za uongo ukadhani kambae ulimwengu umeumbwa jana unatufundisha sasa uislam kivipi yani shekh bachu mungu akujaze kheri.
Hapana hayuko sahihii turudi nyuma kwa nabiii Musa pale alipo sema Kama yeye hayupo anaemshinda kwa elmu mungu akamwambiya kunamjawangu nenda ukasome jeee wajuwa huo aliekuwa mwalimu alifanya nn katobowa jahazi kauwa mtoto mdogo akajenga ukuta bila kulipwa majibu yake yalikujaje katobowa jahazi kwasababu Kuna mfalme atawanyanganya kamuuwa mtoto akaseme kuwa Angelika kuwatiya moton wazeeee wake na ule ukuta Pana hazina ya mayatima alijuwaje yy
@@sharifumohamed6391 Mfano unaoutoa hauna mashiko na topic inayojadiliwa,ulichozungumza ni kweli lkn kwenye hoja hii Haina mantik, kwahiyo watu waendelee kumshirikisha M'mungu,Yani bado unaleta ligi,duu kweli nimeamini unaweza kuwa na macho na usione,masikio na usiskie pia,weka pembeni ushabiki ndugu yangu,acha mzaha
Ww shekhe mm sikukufurishi bali hayo mambo kuyajua lazima uwe nafani zisizo punguza kumi nazd nah blg srf mnt ww watafsiri lugha tu siuwafate upige goti kisawa sawa
SHUKRAN SHEKHE WE ENDELEA TU WALA USISIKILIZE MANENO YA WACHACHE ETI ( wasio waislamu watatuona tunaudhaifu) SISI NIVIUMBE DHAIFU KWELI UISLAMU HAUANGALII CHEO NIKUFATA HAKI IWEKWE WAZI . NAKATIKA HILI HAKUNA KAFIRI ATAE FURAHIA MOYONI NIKITU KINAUMIZA HIKI KUBAINISHIANA HAKI NA Dini sio ya mashekhe tu eti kawatafute mkae mmalizane mje mtuongoze HAKUNA KITU KAMA HIKO HAKI NIKWA KILA MTU AAMBIWE IMMA AFATE AU AACHE HAKUNA KUMFATA MTU KWAKE DINI NI YA ALLAAHU . NASIO YA VIONGOZI ETI SIJUI MTAFUTE. WEWE SEMA NAWAO WASEME HAKIKA WANAADAMU WANAAKILI ATAE TAKA KUIJUA HAKI ATAIFATA NASIO ETI MFATE KWAKE KWANI DINI NI MILIKI YA MTU? (USISIKILIZE MANENO YA WANOSEMA ETI KUTAFUTA KIKI) ACHANA NAO HAKI IFIKE TU POPOTE DINI HAIDHALILIKI . HII NDO RAHA YA UISLAM KUAMRISHANA MEMA KUKATAZANA MABAYA
Muhammadi bachu siyo shekhe ni mropokaji tu mana mpaka kafikiya kuwatukama viongozi wakati sisi tunakatazwa na sheriya kuwatukana watawala viongozi wetu
Shekhe aona ni fakhri kukosoa kama yy ndio amezuia funguo za pepo na elimu yote mashallah ameimiliki yy .....fikra yko na nwenzio haiwezi kuwa sawa htta sku moja killa m2 ataingia peponi kwa jambo lake
Kama kila mtu na uelewa wake basi kusingekua na haja ya kuwa na mijadala wala kuhubiri kila mtu angekua anajisomea mwenyewe na kutulia asimsumbue mwenzake hata akikosea kwa kuwa kila mtu na uelewa wake na upeo wake.
Mimi nishawaskia wakisema kua amali za waja kwanza zinapita kwake mtume kaburini alf ndio zenda kwa mungu alf tena wanasema mtume sio km binadamu wa kawaida km cc kwakweli ni mtihani mkubwa sn kwa hawa wenzetu Allah awaongoze na ni wabishiii hee
Kejeli ameanza yeye kwa Mambo ambayo yanahitaji elimu si kukurupuka kwa kiarabu chepesi..... Mambo mengine mpaka usomeshwe ili mtu aone ndani na siyo kukurupuka.
Ile aya iliyokuja katika surah al BAQARA basi imeswadiqiqa zama hizi yaan hawata ridhia mayahudi na manaswara mpaka tufuate milla zao...... umesema kweli yaaa ALLAH angalia mashekhe zetu walivyopotea leo hiii wameacha kuitana misikitini kuuhadili uislam bali warushiana maneno mitandaoni yaan hapa akipita qafir anajua mapungufu ya waislam SUB HABNA ALLAH 😰😥😰
Ndugu huna kitu chochote cha kuzungumza na huna mwisho Mwema kama baba yako huwezi kuwa zarau watu walikesha kwa ajili ya Allah ukaachwa tu na mdomo mrefu.
Si kila mwenye pengo aweza kula ugoro !kasome fanni wewe. Maneno meengi kaa chiriku nawatu wavivu wa kusoma kazi kusikiliza porojo kama hizi utawapata sana!
NAONA SHEIKH BACHU BADO HUJAWEZA KUTAFSIRI , HIKI KIPANDE KINAZUNGUMZIA SIKU YA KIAMA WATU WATAMKIMBILIA MTUME SAW KUMUOMBA UOKOZI BAADA YA KUTOKA KWA WENGINE,
sasa katika elim za mtume ndo ana elim ya lauhul ma'afuudh sasa hiyo ndo siku ya kiama sindio yan mtume anaelim ya ghaibu kasome surat luquman aya ya mwisho alaf uje apa huo ni ushirikin elim hiyo anaeijua ni ALLAH pekeake alaf kuhusu mtume siku ya kiama ye anapewa amri na AALLAH wala sio yeye anaeamua hvyo
Swahihi kabisa muache atoe mishipa ya shingo tuuu hajui kitu chochote huyo na kusoma hataki kazi yake mipasho tuu hajui kama siku ya kiama watu watataka waombewe shifaa ( atuachie wenyew burda yetu na bidaa zetu alafu yeye siku ya kiama atatafuta mtume wake amuombee shifaa )
Hizi ibara unazikosea sio tafsiri zake .tumekatazwa kutafsiri kwa fikra zetu ..hii ni lugha ya mashairi inahitaji umakini wa hali ya juu ili kuelewa kilicho kusudiwa
فلاتزكوا انفسكم هو اعلم بمن التقي.kijana wa bachu na kuuliza wale wawili walokuwa wakiadhibiwa kaburrini yule namam nayule hakuwa akijihifadhi kutokana na mkojo
Huyu mpuuz2 kwanz anamjua ama ushambenga2 mwenzie qshq alikuja moto zaid yake na tukam2liza alaf hana anachojua maneno mengne ni mafumbo tafsir haij ila kwa pcha ya uzito wa cku ya qiyama ndio baadh ya makusudio ya mashair sas anatoa tafcr za kuomba pesa za vocha hahaha
Kama elimu yako ingekua na faida basi usingetumia mitandao kutufariqisha waislam bali ungewatafuta masheikh ukakaa nao mukajadili masuala ya kidini maaana uislamu una taratibu zake sio kugombana mitandaoni kama manaswara hebu masheikhe kaeni chini acheni kupenda sifa za kidunia mukubaliane na mutueke sisi waumin sehem salama
Jamani Murtalla Khamis haya mambo kwa mtu alosoma dini tawhiid ndio kiini cha dini na ndio dini yenyewe na hapa kwa mwenye kuelewa hawezi kuwaacha umma ukapotea maana hao unaowaita kuwa ni masheikh hata ibilis kasoma na anajua anapoteza na wanaopoteza ni hao wanaojua kuwa tunapoteza lakin wameweka maslahi mbele, kuna wangap wanafanya shirki na wanaamini kuwa wapo sahihi? wewe ukiona unakwazika hapa kuna weng wanaona wanapata faida kwa hiyo wewe mwenyewe kama una elimu toa comment ya kumrudi sheikh kwa dalili ya Quran au sunna sio maneno th utaonekana mshabiki katika dini lakin din haina ushabiki dhidi ya uovu. Tutaitangaza tawhiid kwa njia ya mtandao maana ndio njia ya mitume wote na hao masheikh sio wakubwa kama mitume
@@canoksancomprehensivelearn7182 Tatizo ni nikwamba wengi hawajui SHIRIKII ni nini SHIRIKII ni mlango mkubwa wataka ilimu sana, sasa tuwacheni kutumiwa ili kugawanya umma wa kislaamu. Tafauti za maoni na mitazamo zilikuwepo tangu wakati wa Maswahaba wakubwa kina OMAR, ALI na ABUBAKAR (Radhi za mola ziwafikie) lakini walikuwa wakihishimiana sio kuwitana majina ya kipotofu.
Sheikh Muhammad Nasor Bachu Shukrani sana kwa kutuelimisha. Allah akuongoze na akuongezee ilmu na akulinde na kila shari ili upate kutuelimisha zaidi.
JazakhAllah kheir, Umetutoa Kwa Giza,Endelea kupigana Kwa njia Allah kwa Kusimamisha Tahweed na kukataza Bidhaa na shirk ndogo ndogo..Tunakuomba Sana Utuelimishe kuhusu Ziara ya makaburi kama ni Haramu au vp
Maashallah sheikh muhamadi bachu Allah akulipe kheri duniani na akhra na akupe umri mrefu mwenye heri nawewe pamoja na familia yako aaamin
Sheikh nmekuelewa vzr Allah atujalie mwisho mwema !
Sheikh Bachu Allah akuhifadhi. Ila kuhusu Allah kuitwa Mungu kwa kiswahili au God kwa kiingereza nayo ni SHIRKi.
Sheikh Muhammad Allah azidi kukupa afya njema بارك الله فيك
Ameeen
mashaallah shekh muhammad bachu unatuelimisha vizuri tunafahamu ukweli , allah awape moyo mwepesi wapenda maulidi waache shirki zao
Ahsantum sheikh Muhammad Bachu Allah akulipe kheri,akuhifadhi na akupe mwisho mwema,nipo pamoja nawe,nishaacha kwenda maulidini miaka mingi na kwenda kwenye arobaini
Masha Allah. Mshukuru mungu sana akhui
عالم الغيب فلا يظهر على غيبه أحدا إلا من ارتضى من الرسول
HAKUIONA HII KATIKA MSWAHAFU WAKE ANAO TUMIA
وما هو على الغيب بضنين
@@zulfasalim8770 fungua moyo wako utafaham usahh zaidi inshaallah
نعم صدق الله العظيم
Yako mambo Allah amewafunulia mitume yake kujua lkn point ni kwamba, mtume hajui mpka ajulishwe na Allah, yy hana elimu ya lolote katika Ghaib isipokuwa yale mola wke aliyomfunulia.
Mungu akuhifadhi shekhe Muhammad bachu akuzidishiye ilmu zaidi inshaallah ..tunafaidika sana kusikiliza mawaedha yako mashaallah..Mungu akulinde na jicho lahasadi inshaallah..khadija said Nahdi mld kenya
Huyu kijana ameongea maneno yasio fahamika kwanza umesoma lugha ya kiarabu vizuri kabla yayeyote kaachini usome nahwi sio unapiga kelele mbeleya watu maana ya burda unajua? Umesoma mawili unajiona uko na elimu hio tafsiri Union toa rudi nao umetafsiri vile wee ukitaka tu muongo wee
Waambie wajue masha llah... Allah akuhifadhi na akulinde na hasad na fitna. Mwisho upate shahada.... Nakufananisha na shekh wangu.... Aboud rogo (rahimahuwwa)
Kweli kipindi hiki tunahitaji mashekhe kama aboud
Ila hajamfikia bado aboud rogo. Shekh aboud rogo anakosoa serikali na na walikuwa wanagonga mwamba ila washekh wetu wa znz mawaidha hayagus ktk serikal mana ukigusa huko wanaogopa ila aboud rogo ni next level
Shukraan Sana sheikh wangu kwa DARSA zuri Allah akubariki Sana
جزاك الله خيرا
Masheikh siku hizi ni vijembee tu kama waimbaji wa taarab, yani kila Mtu anajiona msomi kuzidi wengine, lakin Kumbukeni Mwenyezi Mungu hapendi mwenye kujikweza, mwenyew kujifahari mbele ya wengine.
Swadaktaaa yaani siku mashaikh wengi kuchongowana au dawa wamekuwa wakutibu
ukikosea lazma uelekezwe ili ucje umma wa kiislamu ukapotea
mche allah
Kasome uondoe ujinga we unaelimishwa unasema anajikweza kaa na ujinga wako na ushirikina wa maulidi
hapo wala hamna vijembe wewe msikilize vizuri tu
Dah perfect shekhe inafahamika kabisa kwa ulivo chambua masha Allah
Allāh akuhifadhi akhii Muhammad Bachu.
Mungu akujaze Kheir bro.... Kuna haja ya waislam kusoma
Ummah umepotezwa kwa muda mrefu sana baada ya kukosa Wana Wa chuoni walioshiba Tawhiid.
Kwaio Tawhiid wengi hawaifahamu nafasi yake wanakwenda tu, kwa sbb babu yangu alikua anafanya hivi namimi nafanya!!!
Kweli kabisa hilo ndugu
Mohammed Bachu ndio kajaaliwa ilmu hiyo mbele ya wenye elimu? Mna shida nyiye. Msipojua maana Basi wafuateni wenye fani zao wawafundishe.
mtikhani wallahi
Vichekesho
sasa Mohammed Bachuu ndio mwanachuoni sio?
Ahsante sheikh Allah akuhifadhi
MaashaaAllah Shekh uko sawa Na tuko pamoja
Allah akujaze kheri
Allah akufanyie wepesi inshallah ww nimwalim
MashaAllah tabarakaAllahu.mungu akuhifadhi MTT WA mwenzetu
Sheikh Muhammad mi nakushauri litumie zaidi jina la Allah kuliko Mwenyezimungu nibora zaidi.
Yaaa Allah tupe Elimu yenye manufaaa, Ili iweze kuikomboa jamii kutok kweny ushirikina na kuw na itikad sahihi...
mm huwa najifunza sana nıkimsikliza huyu shekh
cjui ni 7 b labda n shekh kijaba mwenzangu????
Allah akujaze kher fii dunya wal'akherah,
Amiin
وقل جاءالحق وزهق الباطل ان الباطل كان زهوقا
Shukan sana Sheikh Mohammed bacho
Wambie watu wa bidah
Allah akuhifadhi na killa shari
Mimi nakukubari Sana shekh ,M,mungu akuongezeee hikma
احبك في الله
Masha Allah
TabarakAllah
Daah! sheikh Muhammad Bachu nafuatilia Sana clips zako na kwakweli nilikua nakuona mpotoshaji mkubwa kwakua unayapinga Maulid,ila kupitia clip hii nimegundua kua Maulid hayafai hata kidogo na kuanzia sasahiv naamua kuachana kabisa na Masuala ya Maulidi,Allah akupe maisha marefu yenye kheri na ww ili uzidi kutuelimisha Sheikh wetu.
ماشاء الله
Masha Allah,muumini wa kweli ni yule mwenye kutambua ukweli na akaufuata.
Allah akubarik
Mashaallah Allah azid kutuongoa sote
Hilo ndio linalotakiwa, ukishaelewa , ifuate hali. Allah atuongoze sote
Simba huyo ACHA aungurume
Shukran yaa sheikh muhamed
Usiache kuyazungumzia haya masaala, Allah barik 🙏🏾❤️
bachu allah akupe elimu pana zaid ya hiyo ili tuweze kunufaika inshallah
Na walio andika hayo ni waumini wa kuomba kwenye makaburi ya baadhi watu wa Ukoo wa Mtume na baadhi ya Viongozibwa nchi zao. Allahumma nsurna mina Ljahiliyn!
Hahahahahahahaha, walio athirika na ushirikina wana mtihani sana, Allaah awatowe kwenye genge la washirikina
Kazi kubwa inahitajika kuwatanabahisha waislam watoke kwenye giza. In sha Allaah tusichoke kukumbusha hakika ukumbusha utamfaa tuu mwenye kuamini
ماشاء الله يا محمد ♥♥♥♥♥
Sheikh kwa kila anae leta yasiyo fahamika na uzushi chapa elimu
Huyu mshenzi ni ktk wale walioletwa wakasomeshwa kuja kuuvunja uislamu lkn laana za mungu zinamtembelea uyu kama alivopata laana yussuf hamza
Allah amhifadhi shiekh wetu 😍 Muhammad bachu , Allah akulipe kheri
mashallah, watu wa bidaa wanakuelewa sana illa kwa viburi vyao ndio sababu wanakupinga
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Ndugu mtoto wa aliyekuwa sheikh Bachu nakuombea dua kwa maneno yako haya ukutane na sheikh Jafari Mtavassy simba wa fani za Lugha nilimsikia akifafanua hizi ibara, na aina za Ghayb na ile aya hii aya uliyoileta ya mambo matano na ile ya katika surat aljinni wallahi umefeli pakubwa ndugu.
Wallahi huyu shekh yuko sahihi lakn ni vyenye dini tumeitia ushabiki ndio utaona wengne wanapinga..ssa itakuwaje sifa za mungu umpe mtume mnaleta sarakasi kwenye dini tayari mnawaigiza wakristo kumpa yesu sifa za mungu tusomeni ndugu ikiwa utaitukuza siku ya mazazi ya mtume sawa lakn usilete hoja za uongo ukadhani kambae ulimwengu umeumbwa jana unatufundisha sasa uislam kivipi yani shekh bachu mungu akujaze kheri.
Umeongea ukweli mtupu akhi
Hapana hayuko sahihii turudi nyuma kwa nabiii Musa pale alipo sema Kama yeye hayupo anaemshinda kwa elmu mungu akamwambiya kunamjawangu nenda ukasome jeee wajuwa huo aliekuwa mwalimu alifanya nn katobowa jahazi kauwa mtoto mdogo akajenga ukuta bila kulipwa majibu yake yalikujaje katobowa jahazi kwasababu Kuna mfalme atawanyanganya kamuuwa mtoto akaseme kuwa Angelika kuwatiya moton wazeeee wake na ule ukuta Pana hazina ya mayatima alijuwaje yy
@@sharifumohamed6391 Mfano unaoutoa hauna mashiko na topic inayojadiliwa,ulichozungumza ni kweli lkn kwenye hoja hii Haina mantik, kwahiyo watu waendelee kumshirikisha M'mungu,Yani bado unaleta ligi,duu kweli nimeamini unaweza kuwa na macho na usione,masikio na usiskie pia,weka pembeni ushabiki ndugu yangu,acha mzaha
Kasome kwanza maana yeye kasema tu hapo kuna elimu nyingi hazijui ndugu sheikh huyu
Hakika Allah ndio anaeijua ghaibu yeye tu pekee..
Hapa mwisho Kuna Shubha ya معية الله rekebish bba
Swadakh shekh nime elew mifano yako ya taudi
Shukrani
Baaraka llahu fik
Ww shekhe mm sikukufurishi bali hayo mambo kuyajua lazima uwe nafani zisizo punguza kumi nazd nah blg srf mnt ww watafsiri lugha tu siuwafate upige goti kisawa sawa
Bachu mdogo Mashallah
SHUKRAN SHEKHE WE ENDELEA TU WALA USISIKILIZE MANENO YA WACHACHE ETI ( wasio waislamu watatuona tunaudhaifu) SISI NIVIUMBE DHAIFU KWELI UISLAMU HAUANGALII CHEO NIKUFATA HAKI IWEKWE WAZI . NAKATIKA HILI HAKUNA KAFIRI ATAE FURAHIA MOYONI NIKITU KINAUMIZA HIKI KUBAINISHIANA HAKI
NA Dini sio ya mashekhe tu eti kawatafute mkae mmalizane mje mtuongoze HAKUNA KITU KAMA HIKO HAKI NIKWA KILA MTU AAMBIWE IMMA AFATE AU AACHE HAKUNA KUMFATA MTU KWAKE DINI NI YA ALLAAHU . NASIO YA VIONGOZI ETI SIJUI MTAFUTE.
WEWE SEMA NAWAO WASEME HAKIKA WANAADAMU WANAAKILI ATAE TAKA KUIJUA HAKI ATAIFATA NASIO ETI MFATE KWAKE KWANI DINI NI MILIKI YA MTU?
(USISIKILIZE MANENO YA WANOSEMA ETI KUTAFUTA KIKI) ACHANA NAO HAKI IFIKE TU POPOTE DINI HAIDHALILIKI . HII NDO RAHA YA UISLAM KUAMRISHANA MEMA KUKATAZANA MABAYA
Shekhe bachu maneno aliosema ni wazi
Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah
Maalim hivi wapata nini kufarakanisha Waislam?
Muhammadi bachu siyo shekhe ni mropokaji tu mana mpaka kafikiya kuwatukama viongozi wakati sisi tunakatazwa na sheriya kuwatukana watawala viongozi wetu
Lugha iliyotumika mafahimu yake si hivyo sheikhe umetafsiri masawaa
MashALLAH
Nakupenda kwa ajili ya Allah
Shekhe aona ni fakhri kukosoa kama yy ndio amezuia funguo za pepo na elimu yote mashallah ameimiliki yy .....fikra yko na nwenzio haiwezi kuwa sawa htta sku moja killa m2 ataingia peponi kwa jambo lake
Kama kila mtu na uelewa wake basi kusingekua na haja ya kuwa na mijadala wala kuhubiri kila mtu angekua anajisomea mwenyewe na kutulia asimsumbue mwenzake hata akikosea kwa kuwa kila mtu na uelewa wake na upeo wake.
@@tugabiz4286 UELEWA KATIKA KUFAHAMU MAANA.YAANI KWA MFANO,"NDEGE IKARUKA"MWINGINE ANAAMINI NI MNYAMA,NA MWINGINE NI NDEGE EQUIPMENT AU AEROPLANE.
duh
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂Jamani tusome kabsa,
Mimi nishawaskia wakisema kua amali za waja kwanza zinapita kwake mtume kaburini alf ndio zenda kwa mungu alf tena wanasema mtume sio km binadamu wa kawaida km cc kwakweli ni mtihani mkubwa sn kwa hawa wenzetu Allah awaongoze na ni wabishiii hee
Mashallaha
Kawaida,wtu wa bidaa hawapendi wtu kma hawa,wache wampinge bt kiama ndo finally
Kasome Bachu weeeee. Fani za lugha Zina wenyewe. Kawaambiye wakusomeshe hao masheikh usikurupuke. Huna macho ya kuona humo. .
Angeshughulika na mengine tuu.
Wewe ambaye unajua fani za lugha tueleze .... Manake Bora sikukejeli Bora ni kueleze unavyofahamu
Kejeli ameanza yeye kwa Mambo ambayo yanahitaji elimu si kukurupuka kwa kiarabu chepesi.....
Mambo mengine mpaka usomeshwe ili mtu aone ndani na siyo kukurupuka.
Sisi hatuwalazimishi kuifuata haqqi kaeni na bid,a zenu watu wa maulidi nyie waburuza makanzu
Mm simkubali zana huyu dogo mana bado yupo chini sana kielimu halafu anajifanya mjuaji sana.huna lolote,kasome kwanza
Ile aya iliyokuja katika surah al BAQARA basi imeswadiqiqa zama hizi yaan hawata ridhia mayahudi na manaswara mpaka tufuate milla zao...... umesema kweli yaaa ALLAH angalia mashekhe zetu walivyopotea leo hiii wameacha kuitana misikitini kuuhadili uislam bali warushiana maneno mitandaoni yaan hapa akipita qafir anajua mapungufu ya waislam SUB HABNA ALLAH 😰😥😰
Safisana kwaelim
Ndugu huna kitu chochote cha kuzungumza na huna mwisho Mwema kama baba yako huwezi kuwa zarau watu walikesha kwa ajili ya Allah ukaachwa tu na mdomo mrefu.
Baba yake kaingiaje hapa?
Si kila mwenye pengo aweza kula ugoro !kasome fanni wewe. Maneno meengi kaa chiriku nawatu wavivu wa kusoma kazi kusikiliza porojo kama hizi utawapata sana!
Mashaallah
Kwani elimu ya muhammad bachu una elimu zaidi ya abuuswiri?
Unajua tatizo nini? Unawagusa!
Tasawwuf Ina wenyewe. Wewe utakufurisha watu kwa elimu yako ndogo.
Wewe ni chizi namba moja kuliko machizi wote sijui hao wafuasi wako
Ukisoma utajua kasome kwanza
NAONA SHEIKH BACHU BADO HUJAWEZA KUTAFSIRI , HIKI KIPANDE KINAZUNGUMZIA SIKU YA KIAMA WATU WATAMKIMBILIA MTUME SAW KUMUOMBA UOKOZI BAADA YA KUTOKA KWA WENGINE,
sasa katika elim za mtume ndo ana elim ya lauhul ma'afuudh sasa hiyo ndo siku ya kiama sindio yan mtume anaelim ya ghaibu kasome surat luquman aya ya mwisho alaf uje apa huo ni ushirikin elim hiyo anaeijua ni ALLAH pekeake alaf kuhusu mtume siku ya kiama ye anapewa amri na AALLAH wala sio yeye anaeamua hvyo
Assalam aleikum sheikh bado hujasema kitu na kuomba ukasome zaidi LUGHA na BALAGHA
Swahihi kabisa muache atoe mishipa ya shingo tuuu hajui kitu chochote huyo na kusoma hataki kazi yake mipasho tuu hajui kama siku ya kiama watu watataka waombewe shifaa ( atuachie wenyew burda yetu na bidaa zetu alafu yeye siku ya kiama atatafuta mtume wake amuombee shifaa )
Kuna kijana akwambia hujui lugha mbona humjibu shekhe?
Hizi ibara unazikosea sio tafsiri zake .tumekatazwa kutafsiri kwa fikra zetu ..hii ni lugha ya mashairi inahitaji umakini wa hali ya juu ili kuelewa kilicho kusudiwa
Tatizo munatafsiri kitabu wakati hamuna ilmu,bachu twakujua ww Bana,
Shida ya mashkh wao hawawatafsirii haliyomo katika vitabu vyao vya maulidi wawaimbisha tu kama wachungaji kanisani kwa kondoo wao
Una uhakika na hayo maneno yko coz utakj kuulzwa coz tunafndshwa
We jieshimu haunaheshima unanyoshea kidole kitabu cha mowlid unajua maana yamowlid ama unaongea tu
Nyie ndio mjiheshimu washirikina wakubwa mnafuata matamanio ya nafsi zenu kusoma hamtaki
Tukasome ukasome,,, wewe ndo usojua kitu,,, ukasome baleghe na ujana wakusumbua
Acha taasub fuata hqi usipingane na qur-an akhy
Wanaongea matope wamesikiliza khutba mwanzo hadi mwisho kweli??? Ama ni kuropoka tu
فلاتزكوا انفسكم هو اعلم بمن التقي.kijana wa bachu na kuuliza wale wawili walokuwa wakiadhibiwa kaburrini yule namam nayule hakuwa akijihifadhi kutokana na mkojo
Alijuaje kuwa wana adhibiwa?
WALLAH wengi mnaokosoa maneno ya Al imaam albuswiiry hamjafikia kufaham hta robo ya maneno yake
Maneno ya ALLAH yameweza kueleweka...yeye nani ashindwe kueleweka
Hujataka kuyafah ikihitaj lkn utafaham . Allah akuongoze
Huyu mpuuz2 kwanz anamjua ama ushambenga2 mwenzie qshq alikuja moto zaid yake na tukam2liza alaf hana anachojua maneno mengne ni mafumbo tafsir haij ila kwa pcha ya uzito wa cku ya qiyama ndio baadh ya makusudio ya mashair sas anatoa tafcr za kuomba pesa za vocha hahaha
Kaka huyu Wala hatayafahamu, mwache atoke kipovu.
Kama elimu yako ingekua na faida basi usingetumia mitandao kutufariqisha waislam bali ungewatafuta masheikh ukakaa nao mukajadili masuala ya kidini maaana uislamu una taratibu zake sio kugombana mitandaoni kama manaswara hebu masheikhe kaeni chini acheni kupenda sifa za kidunia mukubaliane na mutueke sisi waumin sehem salama
Jamani Murtalla Khamis haya mambo kwa mtu alosoma dini tawhiid ndio kiini cha dini na ndio dini yenyewe na hapa kwa mwenye kuelewa hawezi kuwaacha umma ukapotea maana hao unaowaita kuwa ni masheikh hata ibilis kasoma na anajua anapoteza na wanaopoteza ni hao wanaojua kuwa tunapoteza lakin wameweka maslahi mbele, kuna wangap wanafanya shirki na wanaamini kuwa wapo sahihi? wewe ukiona unakwazika hapa kuna weng wanaona wanapata faida kwa hiyo wewe mwenyewe kama una elimu toa comment ya kumrudi sheikh kwa dalili ya Quran au sunna sio maneno th utaonekana mshabiki katika dini lakin din haina ushabiki dhidi ya uovu. Tutaitangaza tawhiid kwa njia ya mtandao maana ndio njia ya mitume wote na hao masheikh sio wakubwa kama mitume
Acha kumkosoa shekh kwani anachokisema nihaki
@@canoksancomprehensivelearn7182 Tatizo ni nikwamba wengi hawajui SHIRIKII ni nini SHIRIKII ni mlango mkubwa wataka ilimu sana, sasa tuwacheni kutumiwa ili kugawanya umma wa kislaamu. Tafauti za maoni na mitazamo zilikuwepo tangu wakati wa Maswahaba wakubwa kina OMAR, ALI na ABUBAKAR (Radhi za mola ziwafikie) lakini walikuwa wakihishimiana sio kuwitana majina ya kipotofu.
Masuala ya kuwachanganya maswahaba na hizi shirk zenu mgeacha tu maana maswahaba wenyewe hawakufanya maulidi eti nyie leo ndo mmeifanya imekuwa dini
Mashia kwako ni Waislam. Lakini Waislam wengine unawatia ushirikina kisa Maulid. Unawapa pepo uwatakao na moto uwatakao. Muogope Allah. Ni lini da'waa yako itawaita makafiri kusilimu badala ya kuwachambua Waislam wenzako?
Msuudi na wafuasi wake maisha wataendelea kuwachukia watu wanaoitwa masufi.
Kwani wanao soma maulidi wote ni masufi?
Watu wa Allah.
Akuna Dini ya kweli chini ya juwa zote ni zauongo kwani
zote zipo kwa mapenzi ya ibilisi ndo yupo nyuma ya Dini zote.
Huna akili wewe
We kafiri haya ni ya waislamu yanakuhusu nini?
Dogo ufahamu wake mdogo,Ivo alivyosifiwa Mtume s.a.w. haimaanishwi kuwa yupo daraja moja na Allah.
Wewe utakufa avipaya ndomana baba yako aliota anakimbizwa namtume nyinyi ni vibaraka wa marekan wewe hujasoma lugha njoo tukufundishe lugha
Hawa wanajiita waislamu halafu wanamtusi shekhe???
Kwani albosiri hakosi
Nenda kasome kijana bado hutoshi kabisa uwelewa wako ndio ndogo na mbovu
Mbona ambayo alioyajua ya ghaybu huyasemi ?we nimuongo tu
HUYU KIJANA NI JAHIL
Rudi ktk sherhe za BURDA ..
Bado lugha yako la kiarabu ni changa saaana .
UKITAKA KUJUA HILO ANGALIA
Masange tv
Ustadh Shafi.
Najua unamuelekeza aangalie vitabu
sheikh bachu yuko vizuri kwa lugha kaka