Muhammad Bachu KAMA HII SIO SHIRKI BASI TURUDINI TENA TUKASOME.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 263

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 2 года назад +7

    Sheikh Muhammad Nasor Bachu Shukrani sana kwa kutuelimisha. Allah akuongoze na akuongezee ilmu na akulinde na kila shari ili upate kutuelimisha zaidi.

  • @elumarhajj6981
    @elumarhajj6981 2 года назад +9

    JazakhAllah kheir, Umetutoa Kwa Giza,Endelea kupigana Kwa njia Allah kwa Kusimamisha Tahweed na kukataza Bidhaa na shirk ndogo ndogo..Tunakuomba Sana Utuelimishe kuhusu Ziara ya makaburi kama ni Haramu au vp

  • @mukrimhassan9448
    @mukrimhassan9448 2 года назад +3

    Maashallah sheikh muhamadi bachu Allah akulipe kheri duniani na akhra na akupe umri mrefu mwenye heri nawewe pamoja na familia yako aaamin

  • @hamidakeissy3235
    @hamidakeissy3235 2 года назад +5

    Sheikh nmekuelewa vzr Allah atujalie mwisho mwema !

  • @jamaldaudimwasha5288
    @jamaldaudimwasha5288 Год назад

    Sheikh Bachu Allah akuhifadhi. Ila kuhusu Allah kuitwa Mungu kwa kiswahili au God kwa kiingereza nayo ni SHIRKi.

  • @ahmedrehan7975
    @ahmedrehan7975 2 года назад +6

    Sheikh Muhammad Allah azidi kukupa afya njema بارك الله فيك

  • @salimsaleh9354
    @salimsaleh9354 2 года назад +9

    mashaallah shekh muhammad bachu unatuelimisha vizuri tunafahamu ukweli , allah awape moyo mwepesi wapenda maulidi waache shirki zao

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 2 года назад +6

    Ahsantum sheikh Muhammad Bachu Allah akulipe kheri,akuhifadhi na akupe mwisho mwema,nipo pamoja nawe,nishaacha kwenda maulidini miaka mingi na kwenda kwenye arobaini

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 2 года назад +1

      Masha Allah. Mshukuru mungu sana akhui

  • @muhidinn5648
    @muhidinn5648 2 года назад +17

    عالم الغيب فلا يظهر على غيبه أحدا إلا من ارتضى من الرسول

    • @zulfasalim8770
      @zulfasalim8770 2 года назад +5

      HAKUIONA HII KATIKA MSWAHAFU WAKE ANAO TUMIA

    • @ustadhshauri1773
      @ustadhshauri1773 2 года назад +2

      وما هو على الغيب بضنين

    • @abdulwahababdully3062
      @abdulwahababdully3062 2 года назад

      @@zulfasalim8770 fungua moyo wako utafaham usahh zaidi inshaallah

    • @anasmalongo3365
      @anasmalongo3365 2 года назад

      نعم صدق الله العظيم

    • @binhemed7517
      @binhemed7517 11 месяцев назад +1

      Yako mambo Allah amewafunulia mitume yake kujua lkn point ni kwamba, mtume hajui mpka ajulishwe na Allah, yy hana elimu ya lolote katika Ghaib isipokuwa yale mola wke aliyomfunulia.

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 2 года назад +1

    Mungu akuhifadhi shekhe Muhammad bachu akuzidishiye ilmu zaidi inshaallah ..tunafaidika sana kusikiliza mawaedha yako mashaallah..Mungu akulinde na jicho lahasadi inshaallah..khadija said Nahdi mld kenya

    • @aliabdullahi9200
      @aliabdullahi9200 2 года назад

      Huyu kijana ameongea maneno yasio fahamika kwanza umesoma lugha ya kiarabu vizuri kabla yayeyote kaachini usome nahwi sio unapiga kelele mbeleya watu maana ya burda unajua? Umesoma mawili unajiona uko na elimu hio tafsiri Union toa rudi nao umetafsiri vile wee ukitaka tu muongo wee

  • @hyasintayusrayusra8368
    @hyasintayusrayusra8368 2 года назад +1

    Waambie wajue masha llah... Allah akuhifadhi na akulinde na hasad na fitna. Mwisho upate shahada.... Nakufananisha na shekh wangu.... Aboud rogo (rahimahuwwa)

    • @thefoodshaikh811
      @thefoodshaikh811 2 года назад

      Kweli kipindi hiki tunahitaji mashekhe kama aboud

    • @khamismohammed2582
      @khamismohammed2582 2 года назад

      Ila hajamfikia bado aboud rogo. Shekh aboud rogo anakosoa serikali na na walikuwa wanagonga mwamba ila washekh wetu wa znz mawaidha hayagus ktk serikal mana ukigusa huko wanaogopa ila aboud rogo ni next level

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 2 года назад +2

    Shukraan Sana sheikh wangu kwa DARSA zuri Allah akubariki Sana

  • @aliysaid6917
    @aliysaid6917 3 месяца назад

    جزاك الله خيرا

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 2 года назад +15

    Masheikh siku hizi ni vijembee tu kama waimbaji wa taarab, yani kila Mtu anajiona msomi kuzidi wengine, lakin Kumbukeni Mwenyezi Mungu hapendi mwenye kujikweza, mwenyew kujifahari mbele ya wengine.

    • @salimawishenga7588
      @salimawishenga7588 2 года назад

      Swadaktaaa yaani siku mashaikh wengi kuchongowana au dawa wamekuwa wakutibu

    • @jumahatibu9240
      @jumahatibu9240 2 года назад +10

      ukikosea lazma uelekezwe ili ucje umma wa kiislamu ukapotea

    • @Emedroadtocanada
      @Emedroadtocanada 2 года назад

      mche allah

    • @abdurahimnassoro1667
      @abdurahimnassoro1667 2 года назад +1

      Kasome uondoe ujinga we unaelimishwa unasema anajikweza kaa na ujinga wako na ushirikina wa maulidi

    • @abdallahmzonge4455
      @abdallahmzonge4455 2 года назад

      hapo wala hamna vijembe wewe msikilize vizuri tu

  • @haythamali7496
    @haythamali7496 2 года назад +1

    Dah perfect shekhe inafahamika kabisa kwa ulivo chambua masha Allah

  • @abutafawa
    @abutafawa 2 года назад +6

    Allāh akuhifadhi akhii Muhammad Bachu.

  • @bilalhamisi2300
    @bilalhamisi2300 2 года назад +2

    Mungu akujaze Kheir bro.... Kuna haja ya waislam kusoma

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg 2 года назад +8

    Ummah umepotezwa kwa muda mrefu sana baada ya kukosa Wana Wa chuoni walioshiba Tawhiid.
    Kwaio Tawhiid wengi hawaifahamu nafasi yake wanakwenda tu, kwa sbb babu yangu alikua anafanya hivi namimi nafanya!!!

    • @jamalraja417
      @jamalraja417 2 года назад

      Kweli kabisa hilo ndugu

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 2 года назад

      Mohammed Bachu ndio kajaaliwa ilmu hiyo mbele ya wenye elimu? Mna shida nyiye. Msipojua maana Basi wafuateni wenye fani zao wawafundishe.

    • @Emedroadtocanada
      @Emedroadtocanada 2 года назад

      mtikhani wallahi

    • @mohdhakim8216
      @mohdhakim8216 2 года назад

      Vichekesho

    • @omadal1
      @omadal1 2 года назад +1

      sasa Mohammed Bachuu ndio mwanachuoni sio?

  • @alibanomary5339
    @alibanomary5339 2 года назад +2

    Ahsante sheikh Allah akuhifadhi

  • @frankchausa1330
    @frankchausa1330 2 года назад +2

    MaashaaAllah Shekh uko sawa Na tuko pamoja

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma2941 2 года назад +3

    Allah akujaze kheri

  • @khamzampanga4074
    @khamzampanga4074 2 года назад +1

    Allah akufanyie wepesi inshallah ww nimwalim

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897
    @shukranjazzakhaallahukheir1897 2 года назад +1

    MashaAllah tabarakaAllahu.mungu akuhifadhi MTT WA mwenzetu

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 2 года назад +5

    Sheikh Muhammad mi nakushauri litumie zaidi jina la Allah kuliko Mwenyezimungu nibora zaidi.

  • @ahmadiibrahimahmadi3513
    @ahmadiibrahimahmadi3513 2 года назад +4

    Yaaa Allah tupe Elimu yenye manufaaa, Ili iweze kuikomboa jamii kutok kweny ushirikina na kuw na itikad sahihi...

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 года назад +4

    mm huwa najifunza sana nıkimsikliza huyu shekh
    cjui ni 7 b labda n shekh kijaba mwenzangu????
    Allah akujaze kher fii dunya wal'akherah,
    Amiin

  • @khamishamad5264
    @khamishamad5264 2 года назад +9

    وقل جاءالحق وزهق الباطل ان الباطل كان زهوقا

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 2 года назад +4

    Shukan sana Sheikh Mohammed bacho
    Wambie watu wa bidah

  • @awadhsaleh3929
    @awadhsaleh3929 Год назад

    Allah akuhifadhi na killa shari

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад +2

    Mimi nakukubari Sana shekh ,M,mungu akuongezeee hikma

  • @awadhsaleh3929
    @awadhsaleh3929 Год назад

    احبك في الله

  • @sein.208
    @sein.208 2 года назад +3

    Masha Allah
    TabarakAllah

  • @haydarhamad6532
    @haydarhamad6532 2 года назад +11

    Daah! sheikh Muhammad Bachu nafuatilia Sana clips zako na kwakweli nilikua nakuona mpotoshaji mkubwa kwakua unayapinga Maulid,ila kupitia clip hii nimegundua kua Maulid hayafai hata kidogo na kuanzia sasahiv naamua kuachana kabisa na Masuala ya Maulidi,Allah akupe maisha marefu yenye kheri na ww ili uzidi kutuelimisha Sheikh wetu.

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 Месяц назад +1

    Simba huyo ACHA aungurume

  • @jumamahmoud9271
    @jumamahmoud9271 2 года назад +1

    Shukran yaa sheikh muhamed

  • @eastzooadmin6416
    @eastzooadmin6416 2 года назад +2

    Usiache kuyazungumzia haya masaala, Allah barik 🙏🏾❤️

  • @hanafhamad2801
    @hanafhamad2801 2 года назад

    bachu allah akupe elimu pana zaid ya hiyo ili tuweze kunufaika inshallah

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q 2 года назад +1

    Na walio andika hayo ni waumini wa kuomba kwenye makaburi ya baadhi watu wa Ukoo wa Mtume na baadhi ya Viongozibwa nchi zao. Allahumma nsurna mina Ljahiliyn!

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg 2 года назад +3

    Hahahahahahahaha, walio athirika na ushirikina wana mtihani sana, Allaah awatowe kwenye genge la washirikina

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 2 года назад +2

    Kazi kubwa inahitajika kuwatanabahisha waislam watoke kwenye giza. In sha Allaah tusichoke kukumbusha hakika ukumbusha utamfaa tuu mwenye kuamini

  • @موسعلی-ه8ث
    @موسعلی-ه8ث 2 года назад +2

    ماشاء الله يا محمد ♥♥♥♥♥

  • @abdulhafidhkilimbi3939
    @abdulhafidhkilimbi3939 2 года назад +1

    Sheikh kwa kila anae leta yasiyo fahamika na uzushi chapa elimu

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Год назад

    Huyu mshenzi ni ktk wale walioletwa wakasomeshwa kuja kuuvunja uislamu lkn laana za mungu zinamtembelea uyu kama alivopata laana yussuf hamza

  • @babu2274
    @babu2274 2 года назад

    Allah amhifadhi shiekh wetu 😍 Muhammad bachu , Allah akulipe kheri

  • @abdallahmzonge4455
    @abdallahmzonge4455 2 года назад +3

    mashallah, watu wa bidaa wanakuelewa sana illa kwa viburi vyao ndio sababu wanakupinga

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 2 года назад +1

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @duniaduaratv1216
    @duniaduaratv1216 Год назад

    Ndugu mtoto wa aliyekuwa sheikh Bachu nakuombea dua kwa maneno yako haya ukutane na sheikh Jafari Mtavassy simba wa fani za Lugha nilimsikia akifafanua hizi ibara, na aina za Ghayb na ile aya hii aya uliyoileta ya mambo matano na ile ya katika surat aljinni wallahi umefeli pakubwa ndugu.

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 2 года назад +6

    Wallahi huyu shekh yuko sahihi lakn ni vyenye dini tumeitia ushabiki ndio utaona wengne wanapinga..ssa itakuwaje sifa za mungu umpe mtume mnaleta sarakasi kwenye dini tayari mnawaigiza wakristo kumpa yesu sifa za mungu tusomeni ndugu ikiwa utaitukuza siku ya mazazi ya mtume sawa lakn usilete hoja za uongo ukadhani kambae ulimwengu umeumbwa jana unatufundisha sasa uislam kivipi yani shekh bachu mungu akujaze kheri.

    • @mwaramimwarami1479
      @mwaramimwarami1479 Год назад

      Umeongea ukweli mtupu akhi

    • @sharifumohamed6391
      @sharifumohamed6391 Год назад

      Hapana hayuko sahihii turudi nyuma kwa nabiii Musa pale alipo sema Kama yeye hayupo anaemshinda kwa elmu mungu akamwambiya kunamjawangu nenda ukasome jeee wajuwa huo aliekuwa mwalimu alifanya nn katobowa jahazi kauwa mtoto mdogo akajenga ukuta bila kulipwa majibu yake yalikujaje katobowa jahazi kwasababu Kuna mfalme atawanyanganya kamuuwa mtoto akaseme kuwa Angelika kuwatiya moton wazeeee wake na ule ukuta Pana hazina ya mayatima alijuwaje yy

    • @mwaramimwarami1479
      @mwaramimwarami1479 Год назад

      @@sharifumohamed6391 Mfano unaoutoa hauna mashiko na topic inayojadiliwa,ulichozungumza ni kweli lkn kwenye hoja hii Haina mantik, kwahiyo watu waendelee kumshirikisha M'mungu,Yani bado unaleta ligi,duu kweli nimeamini unaweza kuwa na macho na usione,masikio na usiskie pia,weka pembeni ushabiki ndugu yangu,acha mzaha

    • @duniaduaratv1216
      @duniaduaratv1216 Год назад

      Kasome kwanza maana yeye kasema tu hapo kuna elimu nyingi hazijui ndugu sheikh huyu

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi871 2 года назад +2

    Hakika Allah ndio anaeijua ghaibu yeye tu pekee..

  • @angleangle8193
    @angleangle8193 2 года назад

    Hapa mwisho Kuna Shubha ya معية الله rekebish bba

  • @jamalraja417
    @jamalraja417 2 года назад

    Swadakh shekh nime elew mifano yako ya taudi

  • @BintAlly-k5r
    @BintAlly-k5r 22 дня назад

    Shukrani

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 Год назад

    Baaraka llahu fik

  • @musarashidy9308
    @musarashidy9308 2 года назад +1

    Ww shekhe mm sikukufurishi bali hayo mambo kuyajua lazima uwe nafani zisizo punguza kumi nazd nah blg srf mnt ww watafsiri lugha tu siuwafate upige goti kisawa sawa

  • @ibrahimjumakhamis3012
    @ibrahimjumakhamis3012 2 года назад +2

    Bachu mdogo Mashallah

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 2 года назад +1

    SHUKRAN SHEKHE WE ENDELEA TU WALA USISIKILIZE MANENO YA WACHACHE ETI ( wasio waislamu watatuona tunaudhaifu) SISI NIVIUMBE DHAIFU KWELI UISLAMU HAUANGALII CHEO NIKUFATA HAKI IWEKWE WAZI . NAKATIKA HILI HAKUNA KAFIRI ATAE FURAHIA MOYONI NIKITU KINAUMIZA HIKI KUBAINISHIANA HAKI
    NA Dini sio ya mashekhe tu eti kawatafute mkae mmalizane mje mtuongoze HAKUNA KITU KAMA HIKO HAKI NIKWA KILA MTU AAMBIWE IMMA AFATE AU AACHE HAKUNA KUMFATA MTU KWAKE DINI NI YA ALLAAHU . NASIO YA VIONGOZI ETI SIJUI MTAFUTE.
    WEWE SEMA NAWAO WASEME HAKIKA WANAADAMU WANAAKILI ATAE TAKA KUIJUA HAKI ATAIFATA NASIO ETI MFATE KWAKE KWANI DINI NI MILIKI YA MTU?
    (USISIKILIZE MANENO YA WANOSEMA ETI KUTAFUTA KIKI) ACHANA NAO HAKI IFIKE TU POPOTE DINI HAIDHALILIKI . HII NDO RAHA YA UISLAM KUAMRISHANA MEMA KUKATAZANA MABAYA

  • @awadhsaleh3929
    @awadhsaleh3929 Год назад

    Shekhe bachu maneno aliosema ni wazi

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 2 года назад +1

    Sheikh nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @mwadinbakar9553
    @mwadinbakar9553 2 года назад +1

    Maalim hivi wapata nini kufarakanisha Waislam?

  • @dktabdurahim3896
    @dktabdurahim3896 2 года назад

    Muhammadi bachu siyo shekhe ni mropokaji tu mana mpaka kafikiya kuwatukama viongozi wakati sisi tunakatazwa na sheriya kuwatukana watawala viongozi wetu

  • @MuhamediswaleeMjenga-yn8oc
    @MuhamediswaleeMjenga-yn8oc 7 месяцев назад +1

    Lugha iliyotumika mafahimu yake si hivyo sheikhe umetafsiri masawaa

  • @niyakhalid5650
    @niyakhalid5650 2 года назад +2

    MashALLAH

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 2 года назад +2

    Nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @yussufhajj4129
    @yussufhajj4129 2 года назад

    Shekhe aona ni fakhri kukosoa kama yy ndio amezuia funguo za pepo na elimu yote mashallah ameimiliki yy .....fikra yko na nwenzio haiwezi kuwa sawa htta sku moja killa m2 ataingia peponi kwa jambo lake

    • @tugabiz4286
      @tugabiz4286 2 года назад

      Kama kila mtu na uelewa wake basi kusingekua na haja ya kuwa na mijadala wala kuhubiri kila mtu angekua anajisomea mwenyewe na kutulia asimsumbue mwenzake hata akikosea kwa kuwa kila mtu na uelewa wake na upeo wake.

    • @HawaOmary-fb6wo
      @HawaOmary-fb6wo Год назад

      @@tugabiz4286 UELEWA KATIKA KUFAHAMU MAANA.YAANI KWA MFANO,"NDEGE IKARUKA"MWINGINE ANAAMINI NI MNYAMA,NA MWINGINE NI NDEGE EQUIPMENT AU AEROPLANE.

  • @moshmlos7715
    @moshmlos7715 Год назад

    duh

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 2 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂Jamani tusome kabsa,

  • @salmafaraj6544
    @salmafaraj6544 5 месяцев назад

    Mimi nishawaskia wakisema kua amali za waja kwanza zinapita kwake mtume kaburini alf ndio zenda kwa mungu alf tena wanasema mtume sio km binadamu wa kawaida km cc kwakweli ni mtihani mkubwa sn kwa hawa wenzetu Allah awaongoze na ni wabishiii hee

  • @pandumakame6421
    @pandumakame6421 Год назад

    Mashallaha

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 Год назад

    Kawaida,wtu wa bidaa hawapendi wtu kma hawa,wache wampinge bt kiama ndo finally

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline 2 года назад +1

    Kasome Bachu weeeee. Fani za lugha Zina wenyewe. Kawaambiye wakusomeshe hao masheikh usikurupuke. Huna macho ya kuona humo. .

    • @mohdhakim8216
      @mohdhakim8216 2 года назад

      Angeshughulika na mengine tuu.

    • @abdulrahmanabubakar5127
      @abdulrahmanabubakar5127 2 года назад

      Wewe ambaye unajua fani za lugha tueleze .... Manake Bora sikukejeli Bora ni kueleze unavyofahamu

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 2 года назад

      Kejeli ameanza yeye kwa Mambo ambayo yanahitaji elimu si kukurupuka kwa kiarabu chepesi.....
      Mambo mengine mpaka usomeshwe ili mtu aone ndani na siyo kukurupuka.

    • @abdurahimnassoro1667
      @abdurahimnassoro1667 2 года назад

      Sisi hatuwalazimishi kuifuata haqqi kaeni na bid,a zenu watu wa maulidi nyie waburuza makanzu

  • @kheirameir6284
    @kheirameir6284 Год назад

    Mm simkubali zana huyu dogo mana bado yupo chini sana kielimu halafu anajifanya mjuaji sana.huna lolote,kasome kwanza

  • @murtalla6290
    @murtalla6290 2 года назад +1

    Ile aya iliyokuja katika surah al BAQARA basi imeswadiqiqa zama hizi yaan hawata ridhia mayahudi na manaswara mpaka tufuate milla zao...... umesema kweli yaaa ALLAH angalia mashekhe zetu walivyopotea leo hiii wameacha kuitana misikitini kuuhadili uislam bali warushiana maneno mitandaoni yaan hapa akipita qafir anajua mapungufu ya waislam SUB HABNA ALLAH 😰😥😰

  • @ilagiladatani
    @ilagiladatani 9 месяцев назад

    Safisana kwaelim

  • @allyal-sharawymwadini3111
    @allyal-sharawymwadini3111 2 года назад

    Ndugu huna kitu chochote cha kuzungumza na huna mwisho Mwema kama baba yako huwezi kuwa zarau watu walikesha kwa ajili ya Allah ukaachwa tu na mdomo mrefu.

    • @maalimjobe7636
      @maalimjobe7636 2 года назад

      Baba yake kaingiaje hapa?

    • @MuhammadYusuf-rh7ur
      @MuhammadYusuf-rh7ur 2 года назад

      Si kila mwenye pengo aweza kula ugoro !kasome fanni wewe. Maneno meengi kaa chiriku nawatu wavivu wa kusoma kazi kusikiliza porojo kama hizi utawapata sana!

  • @ibrahimugama9635
    @ibrahimugama9635 2 года назад

    Mashaallah

  • @hilalalhabsi2047
    @hilalalhabsi2047 2 года назад

    Kwani elimu ya muhammad bachu una elimu zaidi ya abuuswiri?

  • @pakashume725
    @pakashume725 2 года назад +1

    Unajua tatizo nini? Unawagusa!

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline 2 года назад +1

    Tasawwuf Ina wenyewe. Wewe utakufurisha watu kwa elimu yako ndogo.

  • @zamdinikilala5454
    @zamdinikilala5454 2 года назад

    Wewe ni chizi namba moja kuliko machizi wote sijui hao wafuasi wako

  • @ElMafunzoTv770
    @ElMafunzoTv770 Год назад

    Ukisoma utajua kasome kwanza

  • @yahashim
    @yahashim 2 года назад +1

    NAONA SHEIKH BACHU BADO HUJAWEZA KUTAFSIRI , HIKI KIPANDE KINAZUNGUMZIA SIKU YA KIAMA WATU WATAMKIMBILIA MTUME SAW KUMUOMBA UOKOZI BAADA YA KUTOKA KWA WENGINE,

    • @Ramadhan12623
      @Ramadhan12623 2 года назад +1

      sasa katika elim za mtume ndo ana elim ya lauhul ma'afuudh sasa hiyo ndo siku ya kiama sindio yan mtume anaelim ya ghaibu kasome surat luquman aya ya mwisho alaf uje apa huo ni ushirikin elim hiyo anaeijua ni ALLAH pekeake alaf kuhusu mtume siku ya kiama ye anapewa amri na AALLAH wala sio yeye anaeamua hvyo

    • @omarabubakar1517
      @omarabubakar1517 2 года назад

      Assalam aleikum sheikh bado hujasema kitu na kuomba ukasome zaidi LUGHA na BALAGHA

    • @mudrickbachan2442
      @mudrickbachan2442 2 года назад

      Swahihi kabisa muache atoe mishipa ya shingo tuuu hajui kitu chochote huyo na kusoma hataki kazi yake mipasho tuu hajui kama siku ya kiama watu watataka waombewe shifaa ( atuachie wenyew burda yetu na bidaa zetu alafu yeye siku ya kiama atatafuta mtume wake amuombee shifaa )

  • @RamadhaniShembillu
    @RamadhaniShembillu Год назад

    Kuna kijana akwambia hujui lugha mbona humjibu shekhe?

  • @hajikhamisi4087
    @hajikhamisi4087 17 дней назад

    Hizi ibara unazikosea sio tafsiri zake .tumekatazwa kutafsiri kwa fikra zetu ..hii ni lugha ya mashairi inahitaji umakini wa hali ya juu ili kuelewa kilicho kusudiwa

  • @loganpoul
    @loganpoul 2 года назад

    Tatizo munatafsiri kitabu wakati hamuna ilmu,bachu twakujua ww Bana,

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 2 года назад +2

    Shida ya mashkh wao hawawatafsirii haliyomo katika vitabu vyao vya maulidi wawaimbisha tu kama wachungaji kanisani kwa kondoo wao

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 2 года назад

      Una uhakika na hayo maneno yko coz utakj kuulzwa coz tunafndshwa

    • @aliabdullahi9200
      @aliabdullahi9200 2 года назад

      We jieshimu haunaheshima unanyoshea kidole kitabu cha mowlid unajua maana yamowlid ama unaongea tu

    • @abdurahimnassoro1667
      @abdurahimnassoro1667 2 года назад

      Nyie ndio mjiheshimu washirikina wakubwa mnafuata matamanio ya nafsi zenu kusoma hamtaki

  • @abdulmussa5686
    @abdulmussa5686 2 года назад +1

    Tukasome ukasome,,, wewe ndo usojua kitu,,, ukasome baleghe na ujana wakusumbua

    • @m-baroukjuma7164
      @m-baroukjuma7164 2 года назад

      Acha taasub fuata hqi usipingane na qur-an akhy

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 2 года назад +1

    Wanaongea matope wamesikiliza khutba mwanzo hadi mwisho kweli??? Ama ni kuropoka tu

  • @isaack100
    @isaack100 Год назад

    فلاتزكوا انفسكم هو اعلم بمن التقي.kijana wa bachu na kuuliza wale wawili walokuwa wakiadhibiwa kaburrini yule namam nayule hakuwa akijihifadhi kutokana na mkojo

    • @isaack100
      @isaack100 Год назад

      Alijuaje kuwa wana adhibiwa?

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 2 года назад +4

    WALLAH wengi mnaokosoa maneno ya Al imaam albuswiiry hamjafikia kufaham hta robo ya maneno yake

    • @musseleng.2124
      @musseleng.2124 2 года назад +1

      Maneno ya ALLAH yameweza kueleweka...yeye nani ashindwe kueleweka

    • @alibanomary5339
      @alibanomary5339 2 года назад

      Hujataka kuyafah ikihitaj lkn utafaham . Allah akuongoze

    • @كريملو
      @كريملو 2 года назад

      Huyu mpuuz2 kwanz anamjua ama ushambenga2 mwenzie qshq alikuja moto zaid yake na tukam2liza alaf hana anachojua maneno mengne ni mafumbo tafsir haij ila kwa pcha ya uzito wa cku ya qiyama ndio baadh ya makusudio ya mashair sas anatoa tafcr za kuomba pesa za vocha hahaha

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 2 года назад

      Kaka huyu Wala hatayafahamu, mwache atoke kipovu.

  • @murtalla6290
    @murtalla6290 2 года назад +6

    Kama elimu yako ingekua na faida basi usingetumia mitandao kutufariqisha waislam bali ungewatafuta masheikh ukakaa nao mukajadili masuala ya kidini maaana uislamu una taratibu zake sio kugombana mitandaoni kama manaswara hebu masheikhe kaeni chini acheni kupenda sifa za kidunia mukubaliane na mutueke sisi waumin sehem salama

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 2 года назад

      Jamani Murtalla Khamis haya mambo kwa mtu alosoma dini tawhiid ndio kiini cha dini na ndio dini yenyewe na hapa kwa mwenye kuelewa hawezi kuwaacha umma ukapotea maana hao unaowaita kuwa ni masheikh hata ibilis kasoma na anajua anapoteza na wanaopoteza ni hao wanaojua kuwa tunapoteza lakin wameweka maslahi mbele, kuna wangap wanafanya shirki na wanaamini kuwa wapo sahihi? wewe ukiona unakwazika hapa kuna weng wanaona wanapata faida kwa hiyo wewe mwenyewe kama una elimu toa comment ya kumrudi sheikh kwa dalili ya Quran au sunna sio maneno th utaonekana mshabiki katika dini lakin din haina ushabiki dhidi ya uovu. Tutaitangaza tawhiid kwa njia ya mtandao maana ndio njia ya mitume wote na hao masheikh sio wakubwa kama mitume

    • @hamisimuhammad6225
      @hamisimuhammad6225 2 года назад +1

      Acha kumkosoa shekh kwani anachokisema nihaki

    • @omadal1
      @omadal1 2 года назад

      @@canoksancomprehensivelearn7182 Tatizo ni nikwamba wengi hawajui SHIRIKII ni nini SHIRIKII ni mlango mkubwa wataka ilimu sana, sasa tuwacheni kutumiwa ili kugawanya umma wa kislaamu. Tafauti za maoni na mitazamo zilikuwepo tangu wakati wa Maswahaba wakubwa kina OMAR, ALI na ABUBAKAR (Radhi za mola ziwafikie) lakini walikuwa wakihishimiana sio kuwitana majina ya kipotofu.

    • @abdurahimnassoro1667
      @abdurahimnassoro1667 2 года назад

      Masuala ya kuwachanganya maswahaba na hizi shirk zenu mgeacha tu maana maswahaba wenyewe hawakufanya maulidi eti nyie leo ndo mmeifanya imekuwa dini

  • @allymahaba3425
    @allymahaba3425 Год назад

    Mashia kwako ni Waislam. Lakini Waislam wengine unawatia ushirikina kisa Maulid. Unawapa pepo uwatakao na moto uwatakao. Muogope Allah. Ni lini da'waa yako itawaita makafiri kusilimu badala ya kuwachambua Waislam wenzako?

  • @ahmadzubeir2605
    @ahmadzubeir2605 2 года назад

    Msuudi na wafuasi wake maisha wataendelea kuwachukia watu wanaoitwa masufi.

  • @thomasthomas0212
    @thomasthomas0212 2 года назад

    Akuna Dini ya kweli chini ya juwa zote ni zauongo kwani
    zote zipo kwa mapenzi ya ibilisi ndo yupo nyuma ya Dini zote.

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 2 года назад

    Dogo ufahamu wake mdogo,Ivo alivyosifiwa Mtume s.a.w. haimaanishwi kuwa yupo daraja moja na Allah.

  • @abdallahkawambwa2666
    @abdallahkawambwa2666 2 года назад +1

    Wewe utakufa avipaya ndomana baba yako aliota anakimbizwa namtume nyinyi ni vibaraka wa marekan wewe hujasoma lugha njoo tukufundishe lugha

  • @awadhsaleh3929
    @awadhsaleh3929 Год назад

    Hawa wanajiita waislamu halafu wanamtusi shekhe???

  • @awadhsaleh3929
    @awadhsaleh3929 Год назад

    Kwani albosiri hakosi

  • @musapoli4276
    @musapoli4276 2 года назад

    Nenda kasome kijana bado hutoshi kabisa uwelewa wako ndio ndogo na mbovu

  • @yaziduhamisi4096
    @yaziduhamisi4096 2 года назад

    Mbona ambayo alioyajua ya ghaybu huyasemi ?we nimuongo tu

  • @saidihaji3739
    @saidihaji3739 2 года назад +1

    HUYU KIJANA NI JAHIL
    Rudi ktk sherhe za BURDA ..
    Bado lugha yako la kiarabu ni changa saaana .
    UKITAKA KUJUA HILO ANGALIA
    Masange tv
    Ustadh Shafi.

    • @maalimjobe7636
      @maalimjobe7636 2 года назад

      Najua unamuelekeza aangalie vitabu

    • @Ismailishatri
      @Ismailishatri 14 дней назад

      sheikh bachu yuko vizuri kwa lugha kaka