ANGALIA Muhammad Bachu AKIJIBU MASWALI KITAALAMU||HUWEZI KUAMINI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 280

  • @abdallahmwakasege5405
    @abdallahmwakasege5405 Год назад +7

    Huyu sheikh, naweza pata mawazisiano nae. Amenyooka sana mashallah. Nampenda kwa ajili ya dini

    • @jkifutu7936
      @jkifutu7936 9 месяцев назад

      Number zake nenda mbagala uta zipata

  • @maulidmussa8969
    @maulidmussa8969 2 года назад +10

    allah akulipe khery sheikh bachu, inshallah

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 2 года назад +5

    Ndugu yangu mwislamu. Ningependa ungelekea kwa njiya za kunufaisha binadamu na waislamu. Sisi waislamu tuna matatizo mengi sana. Siku zetu duniyani Ni chache. Kesho or baada ya wakati mfupi tutasafiri. Mola amekupa gift ya kuzungumza. MaashaaAllah. Wacha kupoteza wakati wako kwa firaq, Makundi na groups. Sote sisi Ni waislamu. Namuomba Mola akupe elimu yenye baraka

    • @saidissa8273
      @saidissa8273 Год назад

      Huna HOJA.hivi si ndio kufundisha au afundishe unayoyataka

    • @nassorkhamis6233
      @nassorkhamis6233 8 месяцев назад

      Dawa yako ni mfumo wa kiyahudi

    • @abeliever6823
      @abeliever6823 8 месяцев назад

      Ndugu. Si sawa kuapizana. Allah akupe na atupe hidaaya

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 2 года назад +3

    Wallaah ndugu zangu hizi ni zamaa mbaya sanaa Turudini kwa Allaah na tulazmiane na njia ya salaf katika Aqiyda, katka ibada mbalimbali, na muamalat mbalimbali...Allaah asiwakithirishè hawa kina muhammad bacho...

  • @djumapiliamina1139
    @djumapiliamina1139 11 месяцев назад +1

    Barakallahu fikh sheikh Muhammed bachu

  • @halimamohamed4842
    @halimamohamed4842 Год назад +2

    Shukran sn Shekh Allah akulipe khri❤

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 2 года назад +7

    MASHA'ALLAH ,Sheykh wetu Muhammad bachu

  • @ashahassan1877
    @ashahassan1877 Год назад +1

    Muhamed bachu unafahamika Kaka upo vizurii Sana MashaAllah

  • @mkude
    @mkude Год назад +1

    ALLAH Akulipe kila LA kheir sheikh mohamed Bachu

  • @fabiboy4010
    @fabiboy4010 2 года назад +1

    Mashallah, @mohammed bachu ww ni sheikh ambae unatumia hekma na elimu kwa kadri allah alivokuwezesha lkn kuna watu wengine wanaendekeza jazba kuliko elimu

  • @shafially879
    @shafially879 2 года назад +3

    Tabia nzuri ni katika uchamungu, mwenye tabia nzuri kakushinda katika dini!

  • @kassimajmus2010
    @kassimajmus2010 2 года назад +3

    Sh.Muhammad fanya kazi ukiamini Allah yukopamoja na ww

  • @midahalomwanga9328
    @midahalomwanga9328 10 месяцев назад

    Mashaallah allahumma barik alaihi

  • @user-st9yq7bl5c
    @user-st9yq7bl5c Год назад +1

    Mashallah al akhy

  • @abdulhamidbakar2461
    @abdulhamidbakar2461 2 года назад +2

    Subhana llah yaaarab naomba utusamehe mazamb yetu kwasababu wakati mwengne hatujui twazungumza nn maswali yanajibiwa kiushabik na hii haifai ktk dini tunajisahihisha ss wenyewe ameshawaona watu wasufi ni watu wa kuabudia makaburi kwavletu hawapo kwenye aliekuwepo yy kijana punguza kiburi na tuna muomba mwenyezimingu akupe hidaya umeenda mbali sana

  • @ahmadzubeir2605
    @ahmadzubeir2605 2 года назад +6

    Sheikh Mohammad! Nimekusikiliza sanaa na vizuuri,nimekupata.

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o 2 года назад +1

    ماشا ء الله ماشا ء الله أمين يا رب العالمين 🤲ansante sana

  • @user-gt5hx7cz1d
    @user-gt5hx7cz1d 11 месяцев назад +2

    Mashallah 🙏🏿

  • @iddimkulu2791
    @iddimkulu2791 2 года назад +3

    بارك الله فيك

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 2 года назад +3

    Assalaam Alaykum
    Very sad. Extremely sad. We waste energy on fighting each other. We are filled with arrogance. It is as if we are guaranteed to enter Janna. We look down upon anyone with different views. Subhaanallaah. May Allah guide us. I wish we could use our energy into what benefit our fellow Muslims. Instead of fighting each other. Very sad wallahi.

    • @abdallahmgaya7521
      @abdallahmgaya7521 Год назад

      They are not fighting each other, but they debate and from their debate we get Islamic knowledges, so don't worry @A Believer

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Год назад

      Sisi ni waswahili kiingereza hakina sababu hapa

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 2 года назад +2

    Barakh Allah Khair sheikh

  • @ibrahimramadhan6076
    @ibrahimramadhan6076 2 года назад +1

    جزاك الله خيرا يا اخي

  • @hassanbakar9278
    @hassanbakar9278 2 года назад +4

    Baaraq Allah Sheikh
    Allah akulipe Ujira Stahili

  • @omarbakaralit1087
    @omarbakaralit1087 2 года назад +1

    Allah akulipe kher

  • @omarysalum6754
    @omarysalum6754 2 года назад +1

    Mashallah Allah akuhifadhi kw kufuata nyayo za baba

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 2 года назад

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 2 года назад +1

    Mashaallah shekhe wetu Muhammad bachu Mungu akuzishiye ilmu zaidi inshaallah kutoka kenya khadija said Nahdi mld

  • @asifznz
    @asifznz 2 года назад +5

    Barak Allahu alayk

  • @alves_photo5346
    @alves_photo5346 2 года назад +2

    Maashallah

  • @sarahhashim6298
    @sarahhashim6298 2 года назад +1

    mungu akulipe heli wambie aho tumekuelewa sana mr yani usiache

  • @abuudhilqarnayn5180
    @abuudhilqarnayn5180 2 года назад +3

    Akh punguza Riyaa, halafu umejawah na kutaka umaarufu na baba ako hakuwa hivo, MCHE ALLAH

    • @Muhammad_Nassor_Bachu_.
      @Muhammad_Nassor_Bachu_.  2 года назад +2

      Ikiwa mtu anaweza kuiona Riyaa ya mtu basi watu wataiona kwako, maana hii comment yako huenda ni Riyaa😎

    • @ibrahimpande7052
      @ibrahimpande7052 2 года назад

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. Swadaqta Akhy

    • @sadatlucas4045
      @sadatlucas4045 2 года назад

      Allah amuongoze huyu jamaa

    • @abuudhilqarnayn5180
      @abuudhilqarnayn5180 2 года назад

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. Una mtihan sana, wewe kiboko yako ni al akh Abul Abbas Muhammad Rashid, NDIE ANAKUTWANGA TWANGA NYUNDO

    • @abdulkareemseif1892
      @abdulkareemseif1892 2 года назад

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. wewe huna isipokua riaa tu ..mm naamini sh bachu ingekuepo engekutwanga makofi kwa upuuxi wako huu

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 2 года назад +3

    Ni kweli hatupaswi kabisa kuhukumiana kwa maneno maana mtu anaweza akasema kitu kwa nia nzur lakin kwa jazba zetu tukapokea kivingine, na kiukweli manhaj ya sunnah waljamaa ndio pekee ya kufuatwa na masuala ya jazba na kukatana na kudhalilishana kwenye mitandao ni mabaya sana na ndio yaloenea sana.

  • @kalumboukororo5505
    @kalumboukororo5505 2 года назад +2

    Ninachokijua mimi mtume wetu akuwa shia wala sarafi wala suni ninachojua alikua muislamu tu hayo ni mambo yenu tu Allah atujaalie umoja amina nakama kunayeyote anajua. Mtume wetu alikua sarafi au shia au sarafi anambie aliacha sunna wajukuu zake hassani na hussen na uislamu salama kbsa

  • @hamadibausi9543
    @hamadibausi9543 11 месяцев назад

    Nilichokigundua kutoka kwa huyu sheikh Bachu ni kwamba:
    1. Ni mtu wa kujifakharisha
    2. Ni mtu wa ria ktk elimu
    3. Anaongozwa na kibri
    4. Ni mtu mwenye dharau sana.
    Namuombea kwa ALLAH amuondoshee hiv vitu basi atakuwa mtu mzuri sana wa da'awa km alivyo sheikh Kishki

  • @fawaaidzakielimu4858
    @fawaaidzakielimu4858 Год назад

    Usiseme kitaalamu Bali SEMA Kielmu, Hvo

    • @TawfiqHaji
      @TawfiqHaji 5 месяцев назад

      Kitaalamu na kielimu si ndo hivohivo kaka angu,mbona unamkosoa bure ilhali yuko sawa,taalamu maana kiujuzi ,kiufundi,kielimu zaidi,elimu ndo hivohivo ni neno la kiarabu tuu,usikosowe km hujui na muangalie nani unamkosowa insha,allah.🙏🤫🤫🤐

  • @abuusalafy7956
    @abuusalafy7956 2 года назад +2

    We Ni mgonjwa

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 2 года назад +3

    Sheikh Mohammmad Bachu nakuelewa sana kwa uwazi wako na ukweli. Ndio maana hawakupendi.

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 11 месяцев назад

      Huyu ni fitina wa kugawa watu oogomvi ugomvi kila. Siku hana hata ilimu ya kuwafahamisha

  • @Zanzibar-LandOfBlacks
    @Zanzibar-LandOfBlacks 2 года назад +5

    Nimetatizika kuona uwepo wa ndimi mbili. naomba ufafanuzi.
    vipi kuhusu maneno ya Shaykh Albusiri aliposema katika shairi lake qaswida burdah aliposema mathalan
    " sina wa kumkimbilia ispokuwa ww(Nabii Muhammad (s.a.w), wakati wa kutokezea matatizo makubwa" tukisema kwa mfano wa matatizo hayo makubwa ni kule kuhitaji kufanyiwa hisabu siku ya kiyama baada ya kusubiri mda mrefu katika uwanja wa hesabu kama alivyojaribu kutoa maana hiyo sheikh shaarani, basi hatutokuta shirki katika maneno hayo, bilashaka tutakimbilia kuleta maana hiyo kwa kuwa tunamfahamu Albusiri alkuwa ni katika ahlusunna wala hatukuti popote alipoandika maneno ya wazi ya shirki kiasi kwamba tuilazimishe kauli kama hii kuwa ni ya shiriki ifinane na hiyo!
    nilichokifahamu, ili iletwe maana yenye shirki katika baadhi ya mistari ya shairi la shaykh Al busiri, imma kwa kuulizwa yeye mwenyewe albusuri amekusudia maana gani katika maneno hayo au paletwe ushahidi kwamba aliwahi kusema maneno ya wazi yenye shirki yanayofanana na hayo.
    Swali.
    Ikiwa vitakosekana vyote viwili hivyo, ni kwann tunakimbilia kutoa maana yenye shirki katika maneno ya albusiri?
    N.B: sikuwa nalijua hilo shairi la albusiri mpaka nilpokusikia wwe ukisema kuna shirki ndani yake. nimelipitia, sijakuta isipokuwa mistari yenye utata, ambayo mwenye kutaka maana isiyo na shirki atapata, bali na mwenye kutaka maana yenye shirki atapata.
    Assalaam alaikum.

    • @jumakingambe4323
      @jumakingambe4323 11 месяцев назад

      KAMA KUNA USHAHIDI WA HADITHI KAMA SIKU YA QIAMA KUNA WATU WATAMFUATA MTUME AWASAIDIE NA ATAWASAIDIA HILO LITAKUWA SI SHIRKI. ILA KAMA HAKUNA HII NI SHIRKI

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 года назад

    Duh mtihani

  • @abuuabdillahsalafimhapa3839
    @abuuabdillahsalafimhapa3839 2 года назад +2

    huyu kijana kapinda vibaya allah amuongoze

  • @abuuqatada9791
    @abuuqatada9791 2 года назад +4

    Ujidanganya nafc kaka wwe wew ni hizb tu

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 2 года назад +3

    Nimependa wallahi majibu yako

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Год назад

    Allah amesema Waislam sote ni ndugu lkn Leo tunabaguana kwa usalaf na madheheb mengine wakat sote ni laailaha illa llah Muhammad rasoulullah bado tunaitaj jitihada sana ktk kusoma Dini .

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 года назад +3

    Kwani kuna ulazima wa kuendelea kujadili masaala ya ikhtilafah hamuoni mnaikuza fitnaaa

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv Год назад

    Makafiri

  • @AbdlyhajLuhondo-id7zi
    @AbdlyhajLuhondo-id7zi 10 месяцев назад

    Hamnakazi nyinyi kwa nyinyi

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 11 месяцев назад

    Wapi Bwana MTUME alipanda azam marine

  • @azizabakari5137
    @azizabakari5137 2 года назад

    Hakik shekh bachu upo vzr

  • @godfreywasike1687
    @godfreywasike1687 2 года назад +1

    Ustadh Njoo Kenya Nairobi Kuna baadh ya mitaa Majadida wamejaa

  • @jamalsalum8726
    @jamalsalum8726 2 года назад

    Mawahabi shida sana,mbona wanaoenda kuwaombea dua maiti makaburini mnawalazimisha kuwa wanawaomba maiti,bila ya kuwauliza na mkasikiliza ukweli wao au uwahabi ndio kuwazushia watu tu.

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 11 месяцев назад +1

    Suala unasema maulidi hayakuwepo Enzi za Bwana MTUME wala MASAHABA..JE UROJO ULIKUWEPO Tunaula sio bidaa.

  • @abdallahjuma4397
    @abdallahjuma4397 2 года назад

    Ama kweli Allah humuongoza amtakae pamoja na baba yake kuwa katuka haq lakin Allah hajamkadiria ndugu yetu yapasa tumubee.. Sasa hata ukimsikiliza hupat maelezo ya kielimu..Nasaha zangu Soma ndugu Yangu mambo ya kutafsri kiarabu sio Dini ya akhy..Waarabu wanajua kiarabu lakin pia wanasoma soma ndugu bado kijana mdogo soma soma soma soma
    Allah akuongoze katika haq

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 года назад +5

    Majadida hawana hekma ktika kulingalia Da3wa.

    • @mohdaliothman174
      @mohdaliothman174 2 года назад

      Nini maana ya hekima

    • @mkude
      @mkude Год назад

      Kweli kabisa hawana hekma wala adabu,wallahi wanakauli chafu sanaaaa.

  • @shekhmansoor5421
    @shekhmansoor5421 2 года назад +2

    Ila shekh mimi ninge furahi saana ungekuja huku kwetu kenya kambini Turkana count.
    Japo kwa siku chache

  • @shekhmansoor5421
    @shekhmansoor5421 2 года назад +6

    Mimi hatakama iwe nini sisomi kwa jadida yeyote wataniambukiza chuki zao

    • @thulaniduku3218
      @thulaniduku3218 2 года назад

      Kweli kabisa akhy
      Majadih wana chuki sana

    • @mkude
      @mkude Год назад

      Kweli kabisa hawana adabu na wanakauli chafu sanaaaa

  • @abuurayyaan4306
    @abuurayyaan4306 2 года назад +1

    Unatumia nguvu kubwa sana kutetetea baathwil

    • @allybobsaith
      @allybobsaith 11 месяцев назад

      Mbona hueleweki kutetea haki au batil 😕😕😕😕

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 2 года назад

    Ndio utaalamu huu au utumbo

  • @ramadhanmakame1328
    @ramadhanmakame1328 2 года назад +2

    Makundi ni bid'a, kumbe nyinyi mna taasisi, ilikuwa sijawaelewa

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 года назад +2

    Km huyu ingeeishika sunna kweli Basi wengi wengekubeza

  • @ahmadzubeir2605
    @ahmadzubeir2605 2 года назад

    Tobbaaaaa

  • @sadatlucas4045
    @sadatlucas4045 2 года назад

    Unatakiw kuwa Humble Bachu...

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 2 года назад

    kwa vigezo vya shehe hao waisilamu wa pongwe ni kama mahawarij hamna tofauti kabisa.

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV 2 года назад

      Inaonekana waislamu wengi uwezo wetu ni mdogo Sana wa kufikiri ukweli tubadilike tumebeba chuki Sana kuliko uhalisia

  • @haidaribakari6817
    @haidaribakari6817 2 года назад +3

    Kama nihivyo mbona unawaradi mashekh wenzio wanapo kosea bila kuwauliza makusdio ?

  • @ibrahimseif7859
    @ibrahimseif7859 Год назад

    Mashee wenge wanapenda sana pesa ndio maana wanazalishana

  • @issahrashid6319
    @issahrashid6319 2 года назад +4

    Shekh apo ulisema Uvundo umekosea ucseme maneno km hayo tumia hekma na waombe radhi km waislam wenzako

    • @MohammedSaid-qr1zn
      @MohammedSaid-qr1zn Год назад +1

      Allah amrehem shekhe nasoro Bachu bado tunapata manfaa kupia yeye kwa rehma za Allah.

    • @hassanjuma869
      @hassanjuma869 Год назад

      Kwanini aombe radhi

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 Год назад

    Ktk siku nilizuelewa shkh mhmd Bach basi nikupitia hii kalma

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv Год назад

    Usifabye upu mbavu

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg 2 года назад

    Hahahahahahaha
    Maashaa Allaah

  • @jaffersimba8566
    @jaffersimba8566 9 месяцев назад +1

    Bachu ulishawahi kumfuata Sheikh wa Kisufi ukamuuliza kama anaabudu kaburi akakujibu nfio anaabudu Mkaburi...!!?

  • @user-uv6en7xu6c
    @user-uv6en7xu6c Год назад

    shekhe google uyo

  • @abuutamliikhaothmaan7244
    @abuutamliikhaothmaan7244 2 года назад

    Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu hii tunaomba itengenezwe short clip ili ienee kweny magroup yawasap

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 2 года назад +2

    Innallilah wainna ilaih rajiun watu wanaofuata manhaj salaf anawaita uvundo je ww je unawasema wezako hawana nidhamu je wewe una nidhamu Allah akuongoze katika kufuata sunnah japo nakuona kama una Sifa fulani ivi

    • @ZuhraMiraji
      @ZuhraMiraji Год назад

      Allah akuongoze hujui unachokifanya uvundo mwenyew
      Najivunia kuwa salaf swaleh

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv Год назад

    Wewe ni mgonjwa

  • @abuusamuhath487
    @abuusamuhath487 2 года назад

    Asalam alaikum, sheikh naomba ni. Yako

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 2 года назад

    kwamba kuna jitihad ya taasisi..na jitihadi za nurdin kishki...sasa Allaahul mustaanu ...jithd gan ndio raajih kwako kulingana na dalili wabanishie watu kwan haiwezkn haqq zikawa mbili ... ihurumie nafsi yko

  • @SaidimaulidiMaulidi-lf9de
    @SaidimaulidiMaulidi-lf9de Год назад

    Huna elimu yoyote umejawa kibuli na huna adabu kwa wakubwa zako,kwa usheh wako ni bora niikose hiyo elimu,huna adabu huna hekima Tanzania mzima hupendwi kwa tabia zako mbaya,unakokwenda kubaya...

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 года назад

    Anao wenzake anawaondosha njiani

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 9 месяцев назад +1

    Tafuteni elimu ......msiwe watu wamalumbano bachu elimu ni BAHARI elewa hilo ...

  • @yasirkhan_tz
    @yasirkhan_tz Год назад +1

    Shekhe ww niwamchongo hujuwe unacho kisema swali majibu nivitu viweli tafauti

  • @mohamedmnango3660
    @mohamedmnango3660 2 года назад +1

    Fasiri uliyotoa kuhusu Ahlusunna Waljamaa inapatikana kitabu gani

  • @user-iu1dt1xg3k
    @user-iu1dt1xg3k 11 месяцев назад

    Mbona kama wame edit

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 года назад +2

    Misufi kwwli inauzi maana hapa mtaani wapo kila siku wanaswali swala za tasbihi na mania

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 года назад +2

    Uyu jamaaa muongo huyu Yani kusema Ivo tu imam ndo ukaacha hao masalafy hili Ni vundo kweli

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv Год назад

    Sasa wafundisha kitu gan

  • @seanmurray6516
    @seanmurray6516 Год назад

    Huyu mtoto wa bachu hana hikma zaidi ya utovu wa adabu

  • @HudaOnlinetv
    @HudaOnlinetv Год назад

    Wewe unaumwa towa mawaidha acha hayo hasidiyi kitu katika uwisilamu

  • @abuumaryam7970
    @abuumaryam7970 2 года назад +1

    Wewe ulikua HAJAWIRA hujawahi kua SALAFI baada ya kukushinda uhajawira ukaamua kurudi kwenye uhizbi

  • @HanifaSheha-wm7dn
    @HanifaSheha-wm7dn Год назад

    O

  • @abdallahbahry6583
    @abdallahbahry6583 2 года назад +1

    Huyu kijaana kwa kutafta umaarufu tu mejitahid amefanikiwa

  • @ramadhanmakame1328
    @ramadhanmakame1328 2 года назад +5

    Dah, dini mnaifanya ushabiki, kuingizana na kutoana kwenye sunna na usalafi kwa matakwa yenu.hahahah

    • @user-qk8bs3sz3h
      @user-qk8bs3sz3h 10 месяцев назад

      Vita ni vyema tuambiiane ukweli maulidi ni bidhaa uzushi ulio wazi

  • @mabrezunited3573
    @mabrezunited3573 2 года назад +1

    Ulikuja kenya na ujaenda kwa abdallah humeid.

    • @husnamohamed9448
      @husnamohamed9448 2 года назад

      Huyo umtajae ni mtume ama ni huko kumtukuza na ujinga mwingi

    • @mabrezunited3573
      @mabrezunited3573 2 года назад

      @@husnamohamed9448.

    • @mabrezunited3573
      @mabrezunited3573 2 года назад

      Huyo ana muinea wivu sheikh abdallah humied . allah amuhifadhi.

  • @AllyAbdallah-kw3yf
    @AllyAbdallah-kw3yf Год назад

    Duuh, huyu kijana inaonekana haijui manhaji inatakiwa amtafute mwalim akasome tena,maana sijui haya majibu anayyajibu kwa ufaham wa nain katika wanawachuon

  • @sadikisemwali4516
    @sadikisemwali4516 2 года назад

    We hujitambui bado ama unafanya kibri wala bado huujui usalafi

  • @user-xt6jf9um4s
    @user-xt6jf9um4s 5 месяцев назад

    Sema inalazimu sio inalazimiana

  • @ibrahimseif7859
    @ibrahimseif7859 Год назад

    Na tatizo Tanzania akuna amili kila mtu anasematu

  • @user-hw5zu2vc3m
    @user-hw5zu2vc3m Год назад

    kwani al imaam Ahmad alipoulizwa kuhusu husain Alkaraabisy alisemaje ?

  • @AliyibrahimKhamis
    @AliyibrahimKhamis 3 месяца назад

    Kaka ntk kjfund kwko

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 2 года назад

    hamna salafi mwenye kuuwezakuwaelezea mashia kwakuwa hata ushia ithnaashari hawajausoma na kuuelewa

  • @swalehemusakiluwa9405
    @swalehemusakiluwa9405 2 года назад

    Duh yani ukimuuliza mtu tu akikubali unamkufurisha ni mwanachuoni gani alisema hivyo ,,
    Kuna kitu kinaitwa موانع التكفير sasa chunga sana usikurupuke

  • @lyzoel-suleiman6746
    @lyzoel-suleiman6746 2 года назад

    shekh nan amsema swarf na nahwu haidhuru katika aqida ?