MAKOSA YA ABU HASHIM NA ABDALLAH HUMEID KWENYE LUGHA || Muhammad Bachu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 541

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949 8 дней назад

    Shukran sana Sheikh Muhammad Bachoo.
    Allah akulipe bighair l'hisabi
    Amin

  • @abdulkassimtariq8724
    @abdulkassimtariq8724 Месяц назад +1

    Mashallah Allah akuhifadh sheikh bachu vizur sana kuwaumbua Hawa watu maana wamekosa hikma hujiona wao ndio watu wa pepon na wengine wote wamepotea . Mtihan sana Hawa watu Allah awape dini inshaallah!

  • @omarmuhamud3302
    @omarmuhamud3302 Год назад +5

    Masha allah sheikh mohamed mungu akuhifadhi na killa sharri za dunya. Aaaameeen

  • @Raissaabdoul
    @Raissaabdoul 4 месяца назад +2

    Sheikh Allah akuifazi akulinde na bitu bibaya byote Allah akuifazi

  • @mtawasimbonde4562
    @mtawasimbonde4562 2 года назад +5

    Maashaallah Al marhum shkh Nassoro Bachu ametuachia mbadala wke.Maashaallah

  • @UsamaBiladeni
    @UsamaBiladeni Месяц назад +2

    Assalamu aleikum watu sikuhizi daawa ni kuiita watu kwake yeye sii kuita watu kwa ALLAH s.w

  • @mussamtupa
    @mussamtupa 2 года назад +4

    Sawa sawa hawa wanajifanya wao wamemaliza kilakitu
    Tena wanafika mbali zaidi
    Na kusema mtu akikosea huyo sio Shekhe
    Wanaunganisha picha za Mashekh mbalimbali
    Na kutaka kuwaaminisha watu hao sio Mashekh
    Mungu mkubwa leo mmekutana na kiboko Chenu
    Allah ampe nguvu Shekhe Mohammad Bachu
    Na aendelee kuwafichua hawa wanao jifanya wao wamemaliza
    Pia namuombea kwa Allah marehemu SHEKHE Nasoro
    Bachu Allah amrehem SHEKHE wetu.
    Usiwaache hawa mpaka wakome kutukana watu.
    Allah akupe nguvu
    Allah akupe nguvu
    Allah akupe nguvu
    Allah akupe nguvu
    Allah akupe nguvu SHEKHE Muhammad Bacho.

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 2 года назад +6

    Asante sheikh wetu kwa kutufundisha, Allah akuhifadh, baaraka llahu fik

  • @thedon8467
    @thedon8467 4 месяца назад +2

    ALLAH AKUHIFAZI MASHAALLAH TABARAKALLAH

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 2 года назад +1

    Allah akuhifadhi sheikh Muhammad Bachu.
    Nimeamini sasa kwamba hawa wengi wanaojiita masalafy wengi wao ni majahili

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 года назад +10

    Allah akuhifadh Sheikh Muhammad Machu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 года назад +1

    Asante shekh muhammad bachu
    Uteteeeee huu umma

    • @abuurayyaan4306
      @abuurayyaan4306 2 года назад +1

      Kwa lipi hapo alilo tetea
      هو ما زال علب ......
      إذا كبر سيترك الطفولية .........

    • @saidimadzumba2266
      @saidimadzumba2266 Год назад

      Kiboko chao!

    • @allycomm1553
      @allycomm1553 Год назад

      Hujielew ww

  • @mohammedsalim974
    @mohammedsalim974 2 года назад +4

    Kwa yoyote anaetafuta haqqi bas ma sha Allah all hamdulillah haki tunaiyona kwa kijana wetu Muhammad bachu... Mpaka watakaa sawa hawa majadida

  • @AbuRumeysa-yz6xt
    @AbuRumeysa-yz6xt 5 месяцев назад +1

    Jazaaka'llahu khayran

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 2 года назад +1

    Asante sheikh wetu kwakuweka wazi makosa hata mimi nimeshuhudia makosa kutokana na ilimu yangu ya nahwi na

  • @abdul8378
    @abdul8378 3 месяца назад +1

    Allahumma baarik❤

  • @SalehKhamic
    @SalehKhamic 3 месяца назад +1

    Shek Allah akuzidishie elmu na ujuzi zaidi uzidi kutufundisha

  • @jumamahmoud9271
    @jumamahmoud9271 2 года назад +1

    Shukran sana yaa sheikh,ujumbe huu umfikie sheikh hanein maana alisema hujui ata kutaja jina la masheikh.

  • @shehemrefu283
    @shehemrefu283 2 года назад +5

    Baraka allah fika ya sheikh usitusahau tuendelee na darsa yetu ya lugha nahwu itatusaidia sana miezi imepita bila bila

  • @adenifuyuush4991
    @adenifuyuush4991 2 года назад

    HAO MASHEKH WATAJE UNAVYOWEZA MUHMD BICHWA ILA JIHADI YAO KUPAMBANA NA UHIZB NA KUWACHARAZA WALOPINDA. UMMA WA KISALAF EAST AFRICA ALHAMDULILLAH WANAWAELEWA

  • @tamatama1136
    @tamatama1136 2 года назад +3

    Alhamdulillah. Sheikh Mohammed bachu basi inatosha kiukweli unawavua nguo masalaf jadida wasamehe niwaislam wenzako hao

  • @fatumajamali2757
    @fatumajamali2757 2 года назад +3

    Allah Akuhifadhi Al Akh Muhammad Nassor Bacho, juhudi kubwa, mola akukinge na Shari za Majadida na Vitimbwi vyao.

  • @SalehKhamic
    @SalehKhamic 3 месяца назад +1

    Hakika Allah ametuletea mbadala wa shek Nasor bachu Allah awape kheri nyingi

  • @jamaldineali3228
    @jamaldineali3228 2 года назад +3

    Wallahi daima nakuombea sheikh wango Allah akupe umry mrefo....wallahi natamani nikuone sheikh wango ili nipate kunufaika na elimo alie kujaalia Allah

  • @magrammagreens3873
    @magrammagreens3873 Год назад +1

    Shukran sheikh Muhammed mwenye akili ataelewa tu darsa.

  • @sulaimaanunda2840
    @sulaimaanunda2840 Год назад +3

    maashaAllaah kaka yetu... hawa wanaojinasibisha na ufuasi huwa wanajidai kujipa ukamilifu kisha wakakosoa hata ahli sunna waljamaa'a.... sasa ona Allah anavyowafedhehesha kwenye mim'bar na ujuaji wao huo.... Allaah akubariki sana kaketu kwa faida hizi.... aamiyn

  • @OmarAli-lm9sf
    @OmarAli-lm9sf 2 года назад +4

    MashaAllah Allah Akuhifadhi Nakila Lashari Nakukupa Umri Twawili Wenye twaa Namwisho Mwema

  • @allymshamu5109
    @allymshamu5109 2 года назад +4

    Shekh Muhammad ,,ahsant sana kwa kutujenga waislaam ,,Allah azid kukupa umri mref tupate kustafiid insha Allah,,nakupenda sana kwa ajir ya Allah,,

  • @captainissa1356
    @captainissa1356 2 года назад +4

    Ma sha Allah huyu kijana mwingi sana na anajua kujenga hoja.
    Allah amzidishie elimu

    • @saidimadzumba2266
      @saidimadzumba2266 Год назад

      Kijana yupo sawa hata amenisisimua sana! Ukweli uko uchungu,mwenye kibri hawezi kukubali kukokosolewa! Allah amlinde insha Allah!

  • @Naam807
    @Naam807 2 года назад +2

    Allaah akuzidishie Elmu sheikh Muhammad Bachu, Tunakupenda kwa Ajili ya Allaah

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 2 года назад +4

    Shekhe upo makini sana mungu akulipe kila lenye kheri

  • @kassimajmus2010
    @kassimajmus2010 2 года назад +1

    Sh.Muhammad nakuomba usisitishe somo la nahwu tunavunjika moyo kiukweli kadhalika na fighi almuyassaru

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 2 года назад +1

    Huu ni ugomvi ambao mimi siuungi mkono na wala siufurahii, kwa sababu nyote nyie ni walimu wangu.
    Lakini hapa umenisomesha, umenipa elimu, Alhamdulillah Rabbil Al'Aalamiyn.
    Namuomba Allah Subhaanahu waTaala akubarikini nyote.

  • @Jumahally
    @Jumahally 10 месяцев назад

    Allah akulipe khery🎉🎉

  • @ZaituniAli-c2b
    @ZaituniAli-c2b 9 месяцев назад +1

    Maasha llah

  • @zebusdaughter8158
    @zebusdaughter8158 2 года назад +1

    Ndo hapo unakaa mwenyewe unasomewa Rukya na shehe anakosea Quran namna hiyo jmn.
    Nyie kina mama jueni mashart ya Rukya. ni bora mtu urudi kwa Allah kwanza.
    The most important thing is your 5 daily prayer first .
    Hii imenifungua macho.
    Mwenyezi Mungu akupe ulinzi Mwalim na
    Tuache ushabiki inabidi tuelewe tu haina jins.
    Wanaokasirika ni mashabiki hatari sana. Yaani uko tayari makosa yaendelee ili tu uwe comfortable duuh. hapana.
    Subhanallah.

  • @hashimiddi4789
    @hashimiddi4789 2 года назад +1

    Mashallah Allah akupe afya uzidi kutufahamisha

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 2 года назад +3

    Allah akuhifadhi jazaaka llahu kher

  • @shamsuddin4582
    @shamsuddin4582 2 года назад +2

    Nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh Allah akuzidishie i'lmu

  • @masanjachekatv7311
    @masanjachekatv7311 2 года назад +2

    Makosa katika qr an hayatakiwi kufumbiw macho shekh mohamed baraka llah fik

  • @daudsalafiy3004
    @daudsalafiy3004 Год назад

    Mbona humalizi sauti ewe muhammad bachu

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty 6 месяцев назад +1

    Sheghe bachu hawa ndugu zetu wanao jiita Masalafi ni mtihani sana kwa umma kazi yao kuwatukana wanawachuoni kuwa tukana waislamu wenzio kuwaritadisha ni mtihani mkubwa

    • @AbubakaliShabani
      @AbubakaliShabani 5 месяцев назад +1

      nataman nipate namb ya bacho nampenda sana

  • @abuuyunusnassor446
    @abuuyunusnassor446 Год назад +1

    Nimepata faida kwa hii video Alhamdulillah

  • @ibrahimseif7742
    @ibrahimseif7742 2 года назад +5

    Nakupenda shekh kwaajili ya allah

  • @khalidsuleiman2374
    @khalidsuleiman2374 2 года назад

    Muhammad bachu mche Allah umumeita Abu umeir Abu firiun na mmeandika hivo firiauni

  • @wafaumelikolinji7151
    @wafaumelikolinji7151 2 года назад

    shekh M bachu Allah akuhfadh,
    Kazi ya daghwa inachangamoto kubwa ndaniake, ila acha nikufariji kwamaneno yafuatayo,
    AKH ww si pesa kwamba kila mtu atakupenda, lkn pia vlvl ww si kinyesi kua kila mtu atakuchukia.
    hujasimm ktk hoja illa kwadall.
    Kunafaida nyingi tunazipata matullab kupitia kwako

  • @BrotherMasoud
    @BrotherMasoud Год назад

    Mashaa Allah kukosea kupo Allah akulinde na akusamehe pale unapokosea lakini ukwel lazima usemwe

  • @ahmedmalick2862
    @ahmedmalick2862 2 года назад +4

    Mashallah

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 2 года назад +3

    Huyu kijana anawasumbua sana majadida. Kiboko ya majadida Muhammad Bachu

    • @sudikisebengo8414
      @sudikisebengo8414 2 года назад

      na abdallah umeid alipomwita mpubavu kipozeo suf ili ujaliona mbona mxhabiki ww kipozeo sio mkubwa kwake pia ili ataulizwa na Allah

    • @sudikisebengo8414
      @sudikisebengo8414 2 года назад

      au kipozeo akumzdi umri

  • @talibabdalla5684
    @talibabdalla5684 2 года назад +2

    Wew Simba wa salafi ALLAH akuhifadhi.sahihisha Ivo Ivo kwa hikma

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 2 года назад +2

    Hakika upo sahihi japo kuna watu hawawezi kuelewa kama kukosea kwa ulimi kupo na niudhaifu wetu. Kimsingi kurekebisha hoja nasio viherufi .shukran

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi871 2 года назад +1

    shukran sheikh

  • @mtawasimbonde4562
    @mtawasimbonde4562 2 года назад +3

    Maashaallah mambo ya Nahwu.

  • @أممحمد-ز8غ1ق
    @أممحمد-ز8غ1ق 2 года назад

    Muhammad waskitisha sana. Mumekua mwashindana badali ya kufundishana mema.

    • @KhalifabinOmar
      @KhalifabinOmar 9 месяцев назад

      Mm mwenyew mtu wa sunna lkn hpa mbn ypo shh

  • @abdullahaji8421
    @abdullahaji8421 2 года назад +3

    اللهم ارنا الحق حقا ورزقنا التباعة

  • @shabankabarisa8785
    @shabankabarisa8785 Год назад +1

    Naomba jamani nambaza shehe bacyu tumpeda kwa ajiliya ALLAH. SABABU HABABAISHI.

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 2 года назад +3

    Baaraka llahu fik

  • @MB-yq3ty
    @MB-yq3ty 2 года назад +1

    Nakushangaa sana Muhammad Bachu hivi rad zipo ngapi unaperuzi ambazo umeulizwa maswali hujibu ukija unakuja na jambo jipya. Huu ni mwendo wa Malumbano.

    • @abuuluqmaantv
      @abuuluqmaantv 2 года назад +2

      Hajielewi huyu ana ruka ruka tu ni mtu wa kupuuzwa

    • @abubakaromaryonlinetv6333
      @abubakaromaryonlinetv6333 2 года назад

      Sasa ww m b unamshangaa Muhammad bachu au huyu shekh wako anayezisoma Aya za Allaah kwa makosa acha ushabiki kwenye dini utaangamia

    • @abubakaromaryonlinetv6333
      @abubakaromaryonlinetv6333 2 года назад

      Kweli hawa jamaa ni shida eti ni mtu wa kupuuzwa basi tutakusikiliza ww

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 2 года назад +2

      @@abubakaromaryonlinetv6333
      Siafiki yeyote atakaesoma makosa kwa kukusudia katika Qur an ama makosa ya kilugha hata hivyo haya yote hayatakusaidia katika kujua mfumo sahihi wa dini sina ushabiki wa kidini ndo maana nasema ajibu maswali na hoja aloulizwa watu wapate faida.

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 2 года назад

      @@abubakaromaryonlinetv6333
      Haiwezekani unaulizwa mbuzi anamasikio mangapi unakimbilia unajua nyama ya kuku ni tamu sana sana, kunaalokuuliza hilo?. Mfano yeye anaona ni aibu kusema Mtume hajui jambo la kidunia alishajibiwa kwa hoja si aibu kwa Mtume kutojua mambo ya kidunia kuliko yeyote Bali ni mjuzi wa Elimu ya Kisharia kuliko yeyote. Lingine alishaambiwa William Ruto alishawahi kutangaza Kenya ni Taifa la Kikristo havunji hoja na alete majibu yake kila siku kuja na jipya ndo maana utaona kuna mambo mengi mtandaoni kuhusu bachu, bachu, bachu asimame na moja liishe aingie lingine kisha lingine. Huenda hufuatilii pande zote ndo maana umekuwa shabiki.

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 2 года назад +2

    NIMEKULEWA AKHYL KAREEM

  • @sultansaidsalehe3805
    @sultansaidsalehe3805 2 года назад +2

    حفظك الله

  • @SwahabaShaban-w4r
    @SwahabaShaban-w4r Год назад

    Maashaallah

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Год назад

    suokraan bachu okoa mioyo ya waabudia viumbe wanasumbua sana mtaan

  • @abbakariathumani9141
    @abbakariathumani9141 2 года назад +1

    Assalamualaikum warahmatullah wabarakatu naam ndugu yangu afwani naomba namba yako mwalimu wangu

  • @rahmahsaidomar9111
    @rahmahsaidomar9111 2 года назад +1

    Mashekhe wetu mnajikosesha adabu na hadhi kwa kujibishana. Twataka mafunzo ila sio majibishano. Allah awaongoze nyote na sisi sote na atupe faida wala sio kukimbilia kundi hili au lile. Allah atujaalie nasi masomo ya kuelewa dini ili tukisomee tujielewee bila ufafanuzi wa huku au kule kwa kuwa twachanganikiwa hatujui kwa kwenda. Allah mustaan.

  • @issasaidi1812
    @issasaidi1812 2 года назад +2

    Unakuwa mashuhuri kupitia kazi nzuri aloifanya baba yako .. Ila wewe speed yako mbaya na njia yako mbaya hutofanikiwa mdogo Wangu. Jirekebishe

  • @AliNdunde-oq4rh
    @AliNdunde-oq4rh Год назад +2

    Sheikh Muhammad Nassor Bachu lazima hao uwafundishe kwa dalili wakiwacha kufahamu sisi wanafunzi tunakuwelewa vizuri mno kutokana na utowaji wako wa dalili tu.

  • @sngrafx
    @sngrafx 2 года назад

    Mtihani sana vijana mnafatilia haya suala La manhaj ya Mtu libakie kwake kikubwa fikisheni Haki aliyotuachia Mtume wetu

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 года назад +1

    jaman tuacheni ushabiki na umimi
    mohamnad Bachu n kigogo kwa kweliii cio siri Allah amuhifadhi

  • @hafidhomar1271
    @hafidhomar1271 2 года назад +1

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, jamani Masheikh hebu sikizeni haya maneno kuna mama mmoja hajasoma dini utotoni na yy ni mskilizaji2 aliwahi kuwauliza Masheikh wawili suala moja la kidini, majibu yakapinzana huyu mama akaniulza kwa kusema " kwani QUR'AN zipo ngapi?" jamaniii Masheikh tusiouja tupo wengi hata kusoma QUR'AN hatujui sura chache mno tunazozijua, huyu mama ananiumiza maneno yake sababu majibu ya Masheikh wawili. Masheikh mtambue tunaosikiliza wengi hatujasoma mnatuacha dailema, MTUME (SAW) hayupo, nani atatufahamisha Allah na Mtume, jamani salama yetu ss kwa maneno kama ya huyu mama ipo wapi? 😰

  • @ahmedrageahmedrage9134
    @ahmedrageahmedrage9134 2 года назад

    Mche Allah

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 года назад +5

    Mnajuwa nyie majadida
    Huyu muhammad bachu hamumuwez
    Kwa sababu anachokieleza
    Kina hoja na mantiki ndani yake
    Halafu ana dalili
    Anajuwa kujenga hoja mazbut
    Kaeni pembeni nyie
    Majadida

  • @yunussadik1202
    @yunussadik1202 2 года назад

    naam swadaqta shekh nilitaka kukusikia mana huyo abdallah humed alishindwa hoja akakimbilia hutoa maneno yasiyo na maana na wengi tulijua atajibu hoja mwisho wa siku abakimbilia kwe kuhukumu matamshi kukose katika herfi nikitu cha kawaida mana ulimi hauna mfupa mashallah nimeshiba kwa jinsi ulivyo waelekeza kadhia za kuteleza

  • @mutanafatiibrahim2240
    @mutanafatiibrahim2240 2 года назад

    Aslm alkm yaa sheikh ,, natamani ni some kwako,,

  • @harithsaid1567
    @harithsaid1567 2 года назад +2

    Allah tuongoze

  • @rosemery542
    @rosemery542 2 года назад +2

    Sheikh achana kuwajibu hao. Watu wamewaelewa. Unaheshimiwa wasikuharibie ibada Yako.

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 2 года назад +25

    Mwendo unaoenda nao utakufikisha pabaya. Unakujaga na mada kwa jazbaaa ukishajibiwa unakaa kmyaaaa mada unairuka kama hujasikia vleee. Nukta muhimu zote unaziacha ukiona huna majibu. Umefanya hvo hvo kwa abul abbaas, hanein na abuu fawzaan na wengneo wengi hapo kablaaa. Sasa hii ni dini, ukikusudia kufata haqqi basi wacha mwendo wako huo. Na kama utaendelea hvo basi nakubashiria mwisho mbaya katka daa’wa yako. Utaanguka vby sana nakuahidi basi utaendelea hvo. هدانا الله وإياك

    • @abuushaymaatz
      @abuushaymaatz 2 года назад +2

      Anatafuta views huyu sio Diyni, au hajui Jarhi na taadil misingi yake.

    • @muslimmassoud2673
      @muslimmassoud2673 2 года назад +1

      ​@@abuushaymaatz Ahhh Wallah mtihan tuh

    • @mahfoudhcalender2747
      @mahfoudhcalender2747 2 года назад +1

      acha chuki za kijadida

    • @mahfoudhcalender2747
      @mahfoudhcalender2747 2 года назад +3

      @@abuushaymaatz kwahiyo wew unajua ghaib au? unajua yaliyomo moyoni mwake au?

    • @eng.saalim8646
      @eng.saalim8646 2 года назад

      @@mahfoudhcalender2747 hebu naww acha kuropoka. Alosema ya moyoni hapa ni nini. Mtu anahukumiwa kwa dhwaahiri yake. Ww mtu anakuja na hoja na anatoa challenge ajibiwe kisha akishajibiwa anakaa kmy na kuruka madaa na kuja na nyngne. Na bado hadii hii naamini atajibiwa tena na abuu fawzaan na ataruka tena. Kisha anaambiwa kuwa mwendo huo sio sawa na sio dini wala sio misingi wa jarh wat taadil kisha ww unakuja kuropoka ati ujadida. Hebu kaa kmy kama hujui unaropoka ktu gani

  • @masudmohhamed3146
    @masudmohhamed3146 2 года назад +2

    Allah awahifadhi mshekhe zetu Sheikh Abuu Hashim na Sheikh Abul Fadhil Qassim awape thabat katika haqqi. Huyu kijana Hizby hajui nini anazungumza

    • @mussafakiu5322
      @mussafakiu5322 2 года назад

      Hujajua sasa hap alichozungumza

    • @albassambakili3757
      @albassambakili3757 2 года назад

      Sikiliza kwanza video ata masaa m2 haijafka tena video enyewe inasaa zima na dakika ushacommet 😁

    • @abuuarmanali6319
      @abuuarmanali6319 2 года назад +2

      Sasa hapo kaongea chauzushi kipi?.hebu achen chuki zisizonamsingi..lete hoja z kielimu..
      Kwan hao masheikh zenu wanapoleta rad unachukuliaje..acha chuki zisizofaida utakuw n roho mbaya

    • @abuuarmanali6319
      @abuuarmanali6319 2 года назад +1

      Kaakitako usome usileta chuki

    • @muslimmassoud2673
      @muslimmassoud2673 2 года назад

      amiin

  • @allymuhamed7295
    @allymuhamed7295 2 года назад

    wepe mzee baba wape. Wanadhani wao ni kama maswahaba wanasahau kuwa wao ni wao na hawajakamilika pia yaani huyo hata mimi naweza kumsomesha tena vizuri Allah amswamehe.

  • @harithsaid1567
    @harithsaid1567 2 года назад +1

    Subuhannallah

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv6245 2 года назад +2

    Wale ambao hatuna ushabik kwenye dini tumekuelewa na hakika umeongea usahihi Ila wale wenye ushabik kwenye dini hapo watajifanya Ni Vichwa ngumu

  • @Abutwaibah001
    @Abutwaibah001 2 года назад

    Allah akupe kila kheri akh mohamed nassor wallahi ume somesha somo zuri sana, na hao mahasidi waki selfie sio salafy allah awaongoze na hizo ndimi zao za chuki na sumu walizo katika akili zao.

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 2 года назад +3

    Allah akuzidishiye kheri nyingi sana. Ameen!

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty 6 месяцев назад

    Umma leo ukowapi umma uko mbali na amri za Allah unatakiwa ubembelezwe warudi kwenye amri za Allah kinyume chake ndoo kwanza wana waritadisha

  • @Team-t6k
    @Team-t6k 2 года назад +1

    Wa umbuwe kwa sababu elimu zao ni finyu kisha mazara yao kwa jami ni mengi zaidi Allah awaongoze kwenye ufahamu maana wamekuwa majiona niwajuku wa Rasurull'Allah swallalahu alayhi wa salam mbaya zaidi iyo yakuruka Ayah njoo imeni cost japo wenye kukoseya kwenye kiarabu tunawapa uzra maana sio lugha yao ila Ahsante

  • @binseifalsuleimaniy503
    @binseifalsuleimaniy503 2 года назад +1

    Dah alhamdulillah kiukwli raha sna dawa imefikaa hiyoo

  • @blacknature3691
    @blacknature3691 2 года назад +1

    Amesomea kimakosa kwakweli 😔 mwalimu lazima awe bora kuliko mwanafunzi

  • @muuhjunior3139
    @muuhjunior3139 Год назад

    Sema shekh Kama unapiga vijembe tuelekezane kwa usawa 😢

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад

    Wapi shekh MTUME ALIKULA UROJO TUPE USHAHIDI

  • @ABUUALLY-b3t
    @ABUUALLY-b3t Год назад

    Ama kweli mtume s.a.w hakukosea kusema Kila utakachokifanya Kwa mwenzako na wewe utafanyiwa ,Muhammad bachu wewe ni hodari kutukana watu kukufurisha maulamaa , ubayaa saivi umekurudia mwenyewe maana mawahabii wenzio wanakutukana na wewe saiv na hawakutambuii wallah ama kweli maneno ya mtume ni ya kweli kabisa

  • @abdullahaji8421
    @abdullahaji8421 2 года назад +2

    وارنا الباطل باطلا ورزقنا اجتنابة

  • @abouhafswa5580
    @abouhafswa5580 2 года назад +1

    Baaraka llahu fiyka yaa Akhiy

  • @KamandaYesu
    @KamandaYesu 7 месяцев назад

    muogope Allah kumsingizia sheikh uwongo utaulizwa na Allah, unasema usiyoyajua bado elimu yako ipo chini acha kutafuta kick mtandaoni sheikh abdillah humeid ni qariii, alafu acha kuwachafua masheikh wa haramu, kijana huna adabu Allah akuongoze kijana mpuuzi sana we

  • @calmness4403
    @calmness4403 2 года назад

    Toa makosa ya tawheed.

  • @mohamadmaulidngava1510
    @mohamadmaulidngava1510 2 года назад

    Mashaalwaah Watanyookatu.

  • @husseinkhalfan8378
    @husseinkhalfan8378 2 года назад

    Umesahau kosa moja

  • @sharkiiy236
    @sharkiiy236 2 года назад +2

    Nilichoelewa kuwa abuu hashim amesema kuwa HAYO MANENO NI YA KIHZIB...
    na yule muulizaji kasema maneno mengi kwamba...
    Mashekh ni walewale vitabu ni vilevile na mengine mengi kwaiyo abuu hashimu hakusema elimu ya seculr ni uhizb hata kidogo...

    • @moHamedHassan-qy7pm
      @moHamedHassan-qy7pm 2 года назад

      Akhiy sikiliza audio vizuri inaonesha hujasikiliza
      Akhiy wacha kupenda watu penda dini Allah atuongoze
      Aamiin

    • @rajabumbendenga5480
      @rajabumbendenga5480 2 года назад

      Nanyi Mahzib wenzie mmesikiliza kipande alichokata Mngesikiliza Muhadhara mzima mngebainikiwa talbiis inayofanywa na huyo Sheikh lenu

  • @youngdaddy3085
    @youngdaddy3085 2 года назад +1

    Kwa kweli hakuna aliyekamilika Allah atuhifadhi

  • @abdulazizijolo8700
    @abdulazizijolo8700 2 года назад +1

    Muda mwingine kijana anatafuta comment. Mtandaon tu baba yake salafy Mtoto kavukia sehem mbaya Allah akuongoze mohamed bacho

    • @ibrahimjumaa538
      @ibrahimjumaa538 Год назад +1

      Ndo hoja hii weka wazi sehemu alipokose. Hii ni dini na sio siasakaka

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Год назад

    Ao wengine nimegundua sio masalafi bali nikikundi kimetengenezwa kuja kuaribu akkida ya ahlsunna waljamaa Allah akulipe kher shekh bachu mtoto simba nasoro bachu

  • @sahimtourstravel2156
    @sahimtourstravel2156 Год назад

    Acha ujinga mpuuzi wew Mudy kujifanya unajua sn kenge wew utawabubusa hao wapuuzi wenzio. Nasour Bachu alikua na elim zaid yako kenge wew na hakufikia kejeli hiyo mpuuzi wee. Na huna ambach unakipata kwa ALLAH kwasababu huna hekima katika uislam mpuuz wew

    • @midohamsik7613
      @midohamsik7613 Год назад

      Mbona matusi? Si ni nyinyi mlikata kumpa udru kwa kuteleza ktk lugha. Lengo lake ni kukufahamisha kwamba yeyote anaeza kosea na kutafuta makosa ktk hayo ni kutokuwa na hoja