Muhammad Bachu UONGO JUU YA WAZAZI WA MTUME ULIOMO KWENYE VITABU VYA MAULIDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 330

  • @is-hakaame
    @is-hakaame Год назад +7

    Dini ni dalili Mashaalah na umetupa dalili za wazi wazi.
    Na sisi tulikua wapenzi wa maulidi ila baada ya kupata elimu hiiii nimeachana na mambo ya maulidi.

    • @mohdhakim8216
      @mohdhakim8216 11 месяцев назад +1

      😅

    • @mohdhakim8216
      @mohdhakim8216 11 месяцев назад +2

      اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا ونبينا وحبيبنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين ومن تبعهم بإحسان إلى يوم الدين

  • @omarally6819
    @omarally6819 11 месяцев назад +2

    Shekhe Muhammad watu wanadhani wazushi wakutukana tu burebure!!!
    Wanajua wewe unawaadhirisha, kwa ukweli na hoja nzito unazo zitoa kuthibitisha uongo wao.
    Allaah akupe umri mrefu na akuzidishie Elimu na Maarifa ktk Dini

    • @allybobsaith
      @allybobsaith 11 месяцев назад

      Omar ally 🫡🫡🫡🫡🫡umeongea fantastik mm nipo na shekhe bachu, bachu anawapiga mkuki wa roho ndio maana wanamchukia😂😂😂😂😂😂ahlu bidaaa

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 11 месяцев назад

      Bachu hamo na nyinyi hamumo mbona hasemi ukweli mawahabi tawhed tatu amezitoa wapi alafu aseme wazazi wa mtume yuko motoni mawahabi kasomeni aliengia motoni ni ami yake Coz mtume alitumilizwa ami yake akakataa kusilimu bachu wapoteze tu watu

  • @IbrahimuSampa
    @IbrahimuSampa 3 месяца назад

    Allah akupe umri mrefu wa kher ili tuendelee kupata elimu kutoka kwako shekh wetu.

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 2 года назад +5

    Maadam mtumi swalla Allahu alayhi wasallam ametuusia kuhusu nyama za wanazuoni nisumu twendeni tutafika

  • @user-ns4lc3yg2c
    @user-ns4lc3yg2c 3 месяца назад

    Maasha Allah
    tupo pamoja kwa ajili ya .Allah Subhaanahu wataghala

  • @burhanisaidi9811
    @burhanisaidi9811 2 года назад +9

    Hata waliopita kabla ya sisi hoja zao zilikua ni kusema tumeyakuta haya tokea mababu zetu wao walikua wakiyafanya,
    👉Tusomeni tuifahamu dini ya uislamu na sio kufata mambo ya kurithi toka kwa mababu na mabibi.

  • @safinamakoto5533
    @safinamakoto5533 Год назад +4

    Mungu awaswamee masheke nyinyi mulitajwa katika quruani

    • @KHALIDKIRAMA-iq6en
      @KHALIDKIRAMA-iq6en 9 месяцев назад

      Sasa hizi hadithi anazo soma inamaana ni za uwongo?

  • @abdurahmanabdallah2403
    @abdurahmanabdallah2403 2 года назад +1

    SALAAAAAAALA UMEFIKIA HAPO MOHD BACHU KWANI WEWE NI MUHADITH WA KUTAFSIRI HADITHI UNAVO TAKA

  • @yusuphsaad4349
    @yusuphsaad4349 2 года назад +4

    Kwa hakika vijogoo vinavyowika viko vingi....tuweni makini sana...Allah akusamehe mdogo wetu....

    • @alhajsazui3351
      @alhajsazui3351 2 года назад

      mh pole yako

    • @abuunajat4450
      @abuunajat4450 Год назад

      Pole sana kaka yussuf

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Год назад

      Yusuf: Ama kweli wewe Bongolala kabisa, hivi hata maelezo haya huelewi! Tulikuwa wote shule ya msingi ulikuwa hivihivi! POLE

    • @yusuphsaad4349
      @yusuphsaad4349 Год назад

      Sikujui!

  • @abubakarmohamed2845
    @abubakarmohamed2845 2 года назад +5

    Ndio hawa waliopews funguo za pepo na moto na kuwatia motoni mpaka wazazi wa mtume S.A.W kijana waelekea pabaya sana

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 Год назад +1

      ndugu yangu mimi ni mtu wa maulidi lakini asemayo huyo shekhe namsadikisha maana nimefatilia hadithi zote na baraanji vipengele vyote nikaona yupo sahihi ila ndoivo tutafanyaje ndugu tusibishe haki

    • @ibrahimmohamedmaalim5568
      @ibrahimmohamedmaalim5568 11 месяцев назад

      Soma qurani wacha uswahili

    • @user-rk3cv3or8q
      @user-rk3cv3or8q 11 месяцев назад

      SubhanaAllah.Wewe wataka uambiwe na Mtume Muhammad (S.A.W).Basi tafakari msg zimekufikia .Uamuzi ni wako.Hata Mimi nimemuelewa vizuri sana.Yuko sawa kabisa.

    • @abdulgadafi1922
      @abdulgadafi1922 3 месяца назад

      Hiyo Hadith ni sahihi bro

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma2941 2 года назад +3

    Allah akujaze kheri shekh Bachu, endelea kutuelimisha, wanaokasirika huwenda wanamanufaa na hayo. Allah atuongoze

  • @serengetishipping2196
    @serengetishipping2196 2 года назад +6

    Sheikh unapotosha tafsiri kwa mawazo yako sio elimu , unawapotosha watu saanaaa
    Muogope allah sw

    • @alhajsazui3351
      @alhajsazui3351 2 года назад

      sikiliza vizuri ndg yangu utaelewatu

    • @farruqali8879
      @farruqali8879 2 года назад +4

      bas kama yeye ana potosha wewe rekebidha

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Год назад

      Serengeti: kaa kimya, huna Ubongo ila Tope

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 года назад +11

    Lakini wewe ambaye USO na Akili na upungufu WA elimu wamwita barzanji mrongo na kumpakia urongo kukifasiri kitabu cha barzanji Kwa fikra zako

    • @eidallyeidally5093
      @eidallyeidally5093 2 года назад +2

      Km niuongo itakua anatafsir bibliaa

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 2 года назад +2

      Huyu mtoto ni jahil na anataka kuwafanya wanazuoni wetu waonekane majahil kama yeye.Allah atuhifadhi na shari zake yeye na mawahabi wenzake

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 года назад +1

      Barzanji hakuwa mtu mwenye elimu ya dini, alikua ni mshairi tu kwahiyo nafasi ya kukosea ni kubwa

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 2 года назад +1

      @@mhogomchungu7168 acha ujahili wako.Hawa washairi wa kiarabu ni hodari sana kwa lugha ya kiarabu na wanazijua lugha za mafumbo .Tatizo mawahabi ndio wanatuharibia dini yetu.Barzanji ni mtaalamu wa lugha ya kiarabu hata wasaudi,mawahabi na mayahudi wanamuogopa kwa elimu yake.

    • @shariffjuma7974
      @shariffjuma7974 2 года назад

      Ukweli hamuutaki mshazoea mziki ndio dini yenu

  • @mohamedabu3268
    @mohamedabu3268 2 года назад +5

    Masha ALLAH ndio maana umeambiwa huja baleghe ni kweli si kwamba ni kiumri kumbe ni kiilimu ndio huja baleghe

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 2 года назад +1

      Haja balehee vip nyie wajinga hadis sahihi za mtume hizo anawasomea mtadanganywa mpaka lin na uzush

    • @hamisimuhammad3656
      @hamisimuhammad3656 Год назад +1

      @@awadhally1052 hawajielewi hawa

    • @allybobsaith
      @allybobsaith 11 месяцев назад

      @@hamisimuhammad3656jiulize bachu adanganye watu apatefaidagani

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 11 месяцев назад

      @@awadhally1052 ww kasome na bachu wako mpotoshaji hana ilimu sisi tutasoma tukutane siku ya kiyama

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Год назад +2

    Yaani ww mpotoshaji sana mshenzi kama ww daah

    • @user-rk3cv3or8q
      @user-rk3cv3or8q 11 месяцев назад

      SubhanAllah.haya amepotosha wapi?hebu tuelimishe.

  • @AhmedMohamed-po5vh
    @AhmedMohamed-po5vh 2 года назад +2

    MaAshallah SHEIKH! THANKS SO MUCH!

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 Год назад

    NIME AMINI HUYU KIJANA HANA RADHI NA ANAZO CHENGA AKILINI MWAKE ,ALLAH MVUWE MARADHI ALONAYO NA UMTENGENEZE NDIMI YAKE ASIWE SABABU SISI KUKOSA REHMAZAKO NA KHERI ....

    • @abuibra
      @abuibra 11 месяцев назад

      Anasema Kweli

  • @omariweldingfabrication7630
    @omariweldingfabrication7630 Год назад +1

    Mshaa Allah

  • @alimohamedahmedahmed1050
    @alimohamedahmedahmed1050 Год назад +1

    Ndiyo kama ulivyo sema baba wa Ibrahim na mke wa nuhu na mke wa lut wako motoni ni kwa sababu wali onywa wakakata maonyo but wazizi wa mtume nani aliwa onya wakakata na mingu mwenyewe ame sema hanga mizi mtu ila akikata ma onyo hata firauni haku anga miziwa ila baada ya yeye kupiga wajumbe wa mungu

  • @AsmaAli-je2zz
    @AsmaAli-je2zz 3 месяца назад

    Naomba mawasiliano yako shekhe

  • @omaryselemani6575
    @omaryselemani6575 2 года назад +3

    Kichaa siokuvua nguo tu

  • @oldpoultry9341
    @oldpoultry9341 2 года назад +3

    Masha’allaah tabaarakallah
    Allahumma baarik fyikum

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Год назад +1

    Uyo babaako akipinga maulid lkn hakufikia kusema hayo daaaah

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Год назад

    Bachu kasome baba wa mtume aingie motoni swali alifkiwa na ujumbe akaupinga mungu hamuadhbu mtu mpaka afkiwe na ujumbe

  • @HassanMohamed-pt2dy
    @HassanMohamed-pt2dy 2 года назад +2

    Hii naona imeeleweka,hayakuwepo maulid na hakuyaacha Mtume wetu (SWA). So tujiepushe na bid'a. Ustadh naona wameelewa tufunze vitu vyengine In Shaa Allah.barakaAllah fiik

    • @adamsamata8754
      @adamsamata8754 2 года назад

      Bas tusipande ndege wala basi maana ni kitu kulikua haipo unasema hapo

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Год назад

      @@adamsamata8754 bado unaulizaga hayo maswali ndg yangu??? siku zote bidah zinazoongelewaga ni bidah ndani ya dini katika ibada

    • @adamsamata8754
      @adamsamata8754 Год назад

      @@Yu-jr9uf ahaa sawa Sasa somo la Nahau limezuka mtume halijui wala hakuna mtume aliyesoma na vilevile spika za msikitini mtume hakutumia ni bidaa hapo je vipi au navyo sio dini

    • @adamsamata8754
      @adamsamata8754 Год назад

      @@Yu-jr9uf kama hujatosheka nikuongeze

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Год назад

      @@adamsamata8754 spika ni ibada??? unajua maana ya ibada lakini ndugu yangu??

  • @abdallahmkomboz2679
    @abdallahmkomboz2679 2 года назад +3

    Hadithi kutoka kwa Annas:Mtume (SAW) anasema MIMI NIMETOKA KWENYE NDOA WALA SIKUTOKA KWENYE ZINAA KUANZIA ADAM MPAKA NILIPOFIKA KWA BABA YANGU NA MAMA YANGU. BASI MIMI NI MBORA WENU KINAFSI NA BABA YANGU NI MBORA KULIKO BABA ZENU!! Hio hadith unayoitoa hujaelewa mafuhumu yake coz neno Abii / Abuu hutumika hata kwa baba mdogo au mkubwa kwa lugha ya kiarabu!! Mtume hapo alimmaanisha Baba yake mdogo Abuu lahabi!!

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 2 года назад

      Katika aheria ya kiisalmu ndoa inatambulika hata ikifungwa kanisani au mila, ndomana mtu akisilimu na mkewe hawafungishwi ndoa upya... Bab yake na mama yake mtume walioana lakin haimanishi waliowana kwa sheria ya kiislamu.... Ni ndoa ya mila... Mtu kweli sio mtoto wa zinaa, hilo ni hakika... Lakn haimanishi wazee wake ni waislamu... Wallahi aalamu

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 Год назад

      shekhe wewe hiyo hadithi yako bado kabisa haina upinzani hata mimi kama wazazai wangu wangekua waikristo kisha mimi nikasilimu ukubwani japo wazazi wangu ni makafiri ciwezi sema kuwa mimi ni mtoto wa zinaa eti kwa kuwa wazaz wangu hawakufungua ndoa ya kiislamu namaanisha kupitia ndoa walofunga tayari inahesabika ni ndoa hata mtume alimuo bikhadija kabla ya kupewa utume na bado ni ndoa halali

    • @MtapankunduLyowa
      @MtapankunduLyowa 5 месяцев назад

      Kwani hakuna ndoa za ki mila???? tumia akili wapagani hawana wake?

  • @albaharyhaji8231
    @albaharyhaji8231 2 года назад +2

    Nenda kazidi kutafuta elmu kwa wanavyuoni hicho unachokisema ni uwongo mtupu hasa shida ya sasa hivi mkishajuwa kusoma kiarab basi tayari mshakuwa wasomi wa dini

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Год назад

      Wewe una elimu? Omba nafasi ktk mimbar tukusikie, acha chuki wakati huna ujuacho

  • @kukww2024
    @kukww2024 2 года назад

    Asalam aleikum warhmatulah wabarakatu shukran sana sheikh nakukuba Allah akuweke akupe husnul hatima

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Год назад

      Mtakoma watu wa Bid'aa, hamumuwezi huyo

  • @hashimmzee9109
    @hashimmzee9109 2 года назад +9

    Kwanini mnaoshabikia mawlid mnakuwa na jazba mnaponasihiwa ukweli? Kwani hiyo Barzanji maneno yake na ubora wake washinda Quran? Yeyote anaetafuta haki kwenye dini yampasa arudi kwenye mafundisho ya Quran na Sunnah.. vyenginevyo hatoifahamu haki na batil ikiwa atakuwa ni mwenye kushabikia itikadi walizofanya mababu zetu wakitakidi kuwa ni mambo ya dini...

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 2 года назад

      Kwani wewe maneno yako na quraan bora yepi ni muhim kufaham kwa hiyo quraan .ukiwa hujaifaham basi .utayumba bora tusali na fardhi tujitahidi .

    • @farruqali8879
      @farruqali8879 2 года назад +1

      @@karimdaud3993 kwan Quran inaonyesha wapi kama maulid ni ibada

    • @abbasmabewa320
      @abbasmabewa320 Год назад

      Hashim mzee,nataka mimi na wewe tufundishane Qur'an na sunna,kisha tuje kumfundisha Mwamedi bachu,Wewe uje na tafsiri ya Qur'an nami In Shaa Allah nitakuja na Ta'awil ya Qur'an tujadiliane,tufundishane na tuelekezane kwa adabu na utaratibu mzuri kisha tuje kwa mwamedi bachu pia.

  • @ramadhanmakame1328
    @ramadhanmakame1328 2 года назад +6

    Umma w Kiislamu unaandamwa kila kona na makafiri, sheria za Allah s.w.t hazitekelezwi duniani. Bado mpaka leo mada ni "MAWLID" ndo Uislamu wetu umeishia hapo?

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 2 года назад

      Hizo sheria tekeleza ktk family yako huwezi waminisha watu unacho amini wewe

    • @ramadhanmakame1328
      @ramadhanmakame1328 2 года назад

      @@michaelthobias9967 kufa kwa chuki zako

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 2 года назад

      @@michaelthobias9967 Huna ulijualo katika uislamu endelea na upuuzi tu ila maisha ya kweli yapo baada ya kufa.

  • @hidayarashidi5484
    @hidayarashidi5484 Год назад +3

    Mashehe kama hawa ndio mimi nawafuata maashaallah

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 11 месяцев назад

      Fuata upote wapotoshaji hawa bachu mpotofu

  • @sameermilo2492
    @sameermilo2492 2 года назад +3

    Hamna Elimu hapo , kuna chuki tu na kiburi

  • @SaidAli-rb2tp
    @SaidAli-rb2tp 2 года назад +3

    Wazazi wa mtume Mohamad s.a.w wapo peponi tena janatul firdaus ww ni laaana zakusumbua

    • @kukww2024
      @kukww2024 2 года назад +1

      Asalam aleikum warhmatulah wabarakatu angaliya kauli zako kaka

    • @sayman158
      @sayman158 2 года назад

      @@kukww2024 soma dini kaka acha kukurupuka wewe

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 2 года назад +1

      Tupe hadithi inayosema hivo.... Maana hata sisi twatamani wangekuwa peponi..... So Tupe hadithi yaonekana umesoma sana ndg

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 Год назад

      tuliza mshono kaka acha kukurupuka
      tumia hoja kasema mtume mwenyewe wewe nanai tukisikiliza wewe kajambe mbele

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 11 месяцев назад

      @@kukww2024 mbona usimwambie bachu achunge na wanazuoni na mtume alikataza kuwatusi wanazuoni

  • @user-fb6dz4zh6e
    @user-fb6dz4zh6e 2 года назад +1

    Ww kuwa na adabu na wazazi wa mtume
    Juzi tu Mohammad mafuta kamtaja babako kukosa usalafi ukajawa na jazba mpaka kuwakosea heshima kina kasim mafuta
    Keif hao wazazi wa mtume unawakufurisha

  • @salmaomar7979
    @salmaomar7979 Год назад

    Muhammad umeowa wake wawili umewaweka nyumba moja hata mtume hakufanya hivo kwa hiyo nawewe pia mnafik

  • @drchinamodi6373
    @drchinamodi6373 2 года назад +2

    kibaleghee weee

  • @HashimMohd-wg3cy
    @HashimMohd-wg3cy Год назад

    Baadae utaelewa tu inshallah na upumbavuwako uwo

  • @mickidadmiraji5949
    @mickidadmiraji5949 3 месяца назад

    Sheikh said Omary kijana kaanza tena fujo tunataraji afundishwe tena tangu.

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 2 года назад +3

    Maashaallaah. Allaahu akubaariki.

  • @hamadidodi5295
    @hamadidodi5295 Год назад

    Huna adabu mtoto wa bachu

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Год назад +1

    We mfitnishaji tu na mvunjaji nakaziako kupotoa watu tu hauna jengne

  • @abdallahmkomboz2679
    @abdallahmkomboz2679 2 года назад +19

    Innalillahi waina ilaih rajiuun!! Uchache wa elimu ndo unakufanya uongee usiyojua...nenda kaisome nasaba ya mtume (s.a.w) umjue Abdullah alikua nani kwa baba yake,,je ni hakua muislamu au alikua anafanya ibada ziliochwa na nabii Ibrahimu!! Nenda kamsome Abdull mutwalib (babu yake mtume) alikua vp,,Kamsome Hashim na jina lake halisi ni nani , na kwann ameitwa Hashim,kamsome Abdul manaf na jina iake halisi ni nani na kwann anaitwa Abdul-manafi!! kasome nasaba yake yote mpaka ya Adinani utawajua ubora wa kizazi cha mtume (s.a.w)

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 2 года назад +2

      Kwahiyo hiyo hadithi bi yauongo? Mtume hajasema kua baba yake yupo huko motoni??? Naomba nijibu tafadhali

    • @abdallahmkomboz2679
      @abdallahmkomboz2679 2 года назад +9

      @@suleymansalim5732 hadithi ni ya kweli lkn inataka mafuhumu sababu neno Abuu/ abi hutumika hata kwa baba mkubwa au mdogo! Na hapo mtume (s.a.w) amemmaanisha Abuu lahabi ambae alikua baba yake mkubwa!! Hadithi inayoonesha ubora wa baba yake mtume moja wapo ni hii kutoka kwa Annas kwa Mtume (s.a.w) amesema Na nimetoka kwenye ndoa wala sikutoka kwenye zinaa kuanzia kwa Adam mpaka Baba yangu na Mama yangu, basi mimi ni mbora wenu kinafsi na baba yangu ni mbora kuliko baba zenu!! Na ukisoma nasaba ya mtume mpaka kwa Ismaili(a.s) wote hawa walikua wanamuabudu Allah na kufuata mila za nabii Ibrahim (a.s) !! Nakushauri isome hii nasaba kwa undani..Zipo Hadithi za mtume zenye majaz na kinaya ndani yake mfano mtume alipomjibu yule kibibi kizee kwamba Peponi hawaingii wazee ,,, maaanake kuna kinaya sio kwamba wazee wataingia motoni bali pepon tutaingia kwa umbo la ujana!! Kufasiri Qur-an ,hadithi au beti kama hzo hitajiii tu kujua lugha na nahau!! Bali kuna fani za usuulu , Balagha , Mantwik na kujua kilichokusudiwa !! Huyo Barzanji anaemkosoa hapo alikua ni Mufti wa Madina katk Uhai wake na Alifundisha darsa zake katk Msikiti wa Mtume (s.a.w) sasa yeye anakurupuka kufasiri beti kwa kiarabu cha kawaida hvo vnampa tabu sana!! mfano mtu wa darasa la saba kumpa kitabu cha mashair ya wasaka tonge akute shairi la jiwe si mchi , Mvuja jasho au Mfereji maringo alafu atafsiri kwa kawaida bila kujua dhamira za tungo hzoo!! Tusomeni Dini , tupo kwenye zama za fitna!! Hivo kamsome Abdullah bin Abdul-mutwalib ambae alikua ni mtt wa mwisho wa Abdul-mutwalib

    • @sheikhabdallahabdulkarim2470
      @sheikhabdallahabdulkarim2470 2 года назад +3

      Kweli

    • @karimdaud3993
      @karimdaud3993 2 года назад +7

      @@abdallahmkomboz2679
      ALLAH AKUPE UMRI WENYE BARKA .
      NA MOYO ULIVO NIDUNDA .
      KUMSIKIA MTU ANASEMA MAMENO MAZITO JUU YA RASULULLAH. ALLWAAHUAKBAT.

    • @muhidinn5648
      @muhidinn5648 2 года назад +2

      Huyu haha akili eti yeye ndo mkweli na hao walioifanya kazi yote mpaka wakatunufaisha kielimu kwa mijeledi ya vitabu ni waongo الجنون فنون والاحمق من المجنون

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Год назад +1

    Astaghfirullaaaah kwaio wamaanisha kwamba mamaetu bibi amina ataingia motoni daaah we jamaa hufai hata kdg yaani tena ww mshenzi tu sii sheikh

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 2 года назад +1

    Ukosefu wa elimu na kukosa adabu ndiko kunakokupelekea kuzua hayo unayoyazua,

    • @alhajsazui3351
      @alhajsazui3351 2 года назад

      Sheik sikiliza vzr uwelewe upate faida

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 года назад +4

    hujatunga hata kitabu cha kurasa 10 Leo hii wamkosoa barzanji Kweli una upungufu WA elimu na Akili

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 2 года назад

      Kwa kweli ww ni mjinga dah pole sana zero brain

    • @shariffjuma7974
      @shariffjuma7974 2 года назад

      Ww unakijua au ni kufuata tu bila kujua ulisemalo

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 2 года назад +1

      Jamani kumbe kuna watu wagonjwa kweli ee sasa wewe nani alikuambia kama mtu akitunga kitabu ndio yupo sawa, sasa mimi nakuambia barzanj ni kitabu kilichojaa shirki shirki shirki za waziiiii na uongo mkubwaa

  • @abubakarfaiz2401
    @abubakarfaiz2401 Год назад

    Sheikh Abdallah Humeid(Dilele) alivyokuwa akisema mulimwita maneno kibao na kusema ana matusi lakini sahii mwaona maneno mazito alokuwa akiyasema.

  • @omarykinolo3628
    @omarykinolo3628 2 года назад

    Hana ilmu

    • @bwagizoselemani8434
      @bwagizoselemani8434 2 года назад

      Wewe unaelimu kaka au waongea tu sikiliza hoja tu zakielimu sio unabisha alafu hujui kitu kama kunashekhe yoyote anajiamini kihoja za maulid azilete online mbn wapo kimya

    • @habibuhalfani2038
      @habibuhalfani2038 Год назад

      wewe una kichaa ndugu hana elimu haya wewe mwenye elimu njoo utuelimisha au kawatafute mashekhe wako wapiga madufu waje watuelimisha on line

  • @fakijuma8713
    @fakijuma8713 11 месяцев назад +1

    Sibitisha baba wa mtume kuwa ameabudia sanamu?

  • @omarykinolo3628
    @omarykinolo3628 2 года назад +2

    Innaa lillahi wainnaa ilaihi raajiuu ni msiba mzito sana

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z 11 месяцев назад

    MAULIDI NI UWONGO KWELI WALA HAIFAI..ILA NASHANGAA MASHEKHE WOTE WANAMSEMA BACHU..KWANZA VP UTASHEREHEKEA SIKU YAKUFA

  • @rashidabasi7940
    @rashidabasi7940 2 года назад +1

    Masheikh tulobaki nao.... Kubwa ni kuzungumzia madhehebu .
    Ebu jikite kutoa elimu kama Ustadh Othman maalim watu waelimike wachague wenyewe.

    • @Miynuh_01
      @Miynuh_01 2 года назад

      Kabisa, yaani badala kufindisha watu Tawhid na mengineyo yao huyu ni mrongo,huyu ni mzushi huyu ni hivi. Subhana Allah sijuwi twaelekea wapi ,mola atupe fahamu na Tawfiq tuweze kujuwa batil katika dini bila kutegema sheikh yeyote😢

    • @wignaspaschal38
      @wignaspaschal38 Год назад

      We nae masikio huna huoni kuwa Anaongea point

  • @arjenarjen6718
    @arjenarjen6718 2 года назад +3

    Wewe bado kielimu japo kua mtoto wa shekhe

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 Год назад

    Unawazimu bachu umeishiwa na darsa

  • @athaum05
    @athaum05 2 года назад +2

    فسئلوا أهل الذكر إن كنتم لا تعلمون
    Hili ndio tatizo la mtu kuacha kuuliza wajuzi wa jambo,
    Anaamua kujiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe
    Kisha anajipongeza kwamba kapatia kujijibu!

  • @abdallahmwasiho1521
    @abdallahmwasiho1521 2 года назад +1

    Mm sina elimu lakini siku zijazo makafiri watakuwa wakija kwny debet watakuwa wana uliza maswali khs maulid,kwny mihadhara itakuwa hvy hvy innahlillah wainnalillah rajuun!!!!!!!

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 2 года назад +1

      Haina uzito hiyo hoja pale ni Quran na baibo . Sasa ajekuulza barzanje nikitabu cha mashairi sasa aulize vina au

  • @ElMafunzoTv770
    @ElMafunzoTv770 Год назад +1

    Daaaah we jamaa jahilia sana mpumbavu kabisa yani Allah akuongoze uijue dini Aaamin

  • @bakarhaj9214
    @bakarhaj9214 8 месяцев назад

    Kwa kweli huyu bado anathibitisha ni mchache wa elimu kila siku anaharibu yeye.
    Kwani ukisema baba kwa kiarabu inakua baba mzazi?
    Kwa kweli mudi unawapotosha watu na utakwenda kujibu.
    Ami na babu pia unaweza kuita Abii.
    Aabaaukum mababa zenu

  • @hamhahamha9446
    @hamhahamha9446 2 года назад +1

    We Muhammed Bachu Uchizi kama chizi wengine tu.

  • @shafiisalim5481
    @shafiisalim5481 2 года назад +1

    ruclips.net/video/CM7mX19MBM0/видео.html
    Raddi kwa Muhammad Bachu jee katika Barzanji kuna shirki (1)

  • @Marwatv255
    @Marwatv255 2 года назад +1

    Kunavitu kama huna elimu huwez kosoa Nahw uliyo nayo na Lugha Hsikutoshi kukosoa

    • @harounmussa846
      @harounmussa846 Год назад

      Naona umengangana kupotosha watu wewe nimchanga ktk elim kasome huna elim yakuzidi sayidinaa jaafari

  • @saidiabdallah-kv7bd
    @saidiabdallah-kv7bd Год назад +1

    Huo ukweli wako ww twambir

  • @majmaulbahraintv5535
    @majmaulbahraintv5535 Год назад

    Huna ELIM dogo ndo maana hujui kitu soma Kwanza chali

  • @HashimMohd-wg3cy
    @HashimMohd-wg3cy Год назад

    Nenda ukasome tena, usiropokwe mambo usiyoyajua.

  • @ahmedhusseinshnoor1210
    @ahmedhusseinshnoor1210 2 года назад +1

    Nilidhani yeyote anayepingana Mowlid ni salafi, kumbe mahizbi na maikhwani pia wanapinga mowlidi.. yaa hizbiyuun mwanzo jirakibisheni Na Biddah zenu ‘

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 Год назад

    Hee mtihani kwa kweli mie kwa hapa sikubali

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Год назад

      Hukubali lipi? Tueleze msimamo wako ni upi? na umesoma wapi maandiko tofauti na hayo?

  • @bythamtz8642
    @bythamtz8642 Год назад +1

    Hauna akili ivyo ulivyo elewa wewe jiulize maneno yako yana akili? Acha kutukana wanawazuoni nenda kasome uelewa wako mdogo sana, Kisha jifunze kuwaheshim Wana zuoni ili uelewe, ndo maana hujui na hutojua mpk kiama, maana wewe unawatukana wenyej kujua kwa umbumbumbu wako

  • @omarymtumbatu6157
    @omarymtumbatu6157 2 года назад +2

    Kushachelewa ww shekhe, tutasoma maulidi mpaka kiama

  • @abubakarfaiz2401
    @abubakarfaiz2401 Год назад

    Bidaah ni uzushi tu katika dini baaas hakuna lingine

  • @ashraf.e.o
    @ashraf.e.o Год назад

    Sabasibul Kubra... pwaguzi wako
    خالف تعرف ،

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 2 года назад +1

    Idhaa maata ibn aadha nkatwaa amaluhu ila man ay...

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 2 года назад +1

      Sharti la kufaiwa na mwanao ufe ukiwa muislamu....

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 года назад +2

    Kwa hakika tumewaona mashekhe walokutangulia WA kiwahabi Vigo wakisawasawa hawajadhubutu hats siku moja kuwatukana swahib barzanji Wala waliotunga vitabu vingine

    • @alamoodyfauzi9658
      @alamoodyfauzi9658 2 года назад +1

      Kwani huyu shekhe pia? Hata hana quality za mashekhe. Amejaza roho yako chuki kinyume cha mafundisho ya mtume..He is in a lot of pain..namuhurumia.

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 Год назад

    Wewe ulimuona ama kumskia mtume ulisoma madrassa gni una kibri

  • @alijabz1204
    @alijabz1204 Год назад

    Ndugu zangu yauma kweli na nichungu sana lkn yabidi turidhike na tumize madamu dalili zimedhibiti

  • @abunufilaabunufila2152
    @abunufilaabunufila2152 2 года назад +1

    Wewe mjinga kweli kuna makahaba yanafanya yatakayo miziki aina tofauti tena yanaharibu watoto sibora upigevita hayo machafu wewe

  • @mohdmohd2550
    @mohdmohd2550 Год назад

    Tuseme ndio hujui kulingania au vipi, mbona kila sikua wasoma maulidi wanaongezeka tu tena hadi staili mpya za maulidi zinaanzishw, wallah ungekua hujikwezi na kujisifu bac watu wangekuelew

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +3

    Jazaakallahu haillah

  • @anwarambar6141
    @anwarambar6141 2 года назад

    mrongo wewe, kuwa na adabu, mashekhe wote ulimwenguni sijawasikia wakisema kuwa wazazi wa mtume wetu Muhammad wamekufa ilhali mushrikina, umevuka mipaka wewe, wewe ni kazi yako kubishana TU

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 года назад +3

    Mwanzo kamsome barzanji ni nani ndio alafu umkosoe

    • @user-rk3cv3or8q
      @user-rk3cv3or8q 11 месяцев назад

      Akamsome kivipi?sisi tunatafuta ukweli tupate muongozo

  • @Ahmed-wj5md
    @Ahmed-wj5md 2 года назад +1

    Please don't come to give wrong words you need to study

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Год назад

      Colonial mentality, why don't you write in Kiswahili? Uonekane umesoma sana! Jinga

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Год назад

      He has studied that's why he's speaking reality infront of you with no doubt with perfect references

  • @fikratulmuhibbonlinetvismail
    @fikratulmuhibbonlinetvismail Год назад

    Watumia hadithi zaifuu kuwaingiza motoni wazazi wa mtume

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Год назад

      Kaa pembeni, hata maandishi yako makosa matupu--hujielewi

    • @fikratulmuhibbonlinetvismail
      @fikratulmuhibbonlinetvismail Год назад

      @@selemanmartin hadithi ya kuwa wazazi wa mtume ni wamotoni ni dhaifu shekh sasa huyuu au kisa iko sahihi muslim

  • @mauldisalim2024
    @mauldisalim2024 2 года назад

    ✓ وعن ابن مسعود وابن عباس رضي الله عنهم: من أفتى في كل ما يسأل فهو مجنون.
    ✓ وعن الأثرم: سمعت أحمد بن حنبل يكثر أن يقول: لاأدري؛ وذلك فيما عرف الأقاويل فيه.
    ✓ وعن الهيثم بن جميل: شهدت مالكا سئل عن ثمان وأربعين مسألة، فقال في ثنتين وثلاثين منها: لاأدري.
    ✓ وعن مالك أيضا، أنه ربما كان يسأل عن خمسين مسألة، فلا يجيب في واحدة منها، وكان يقول: من أجاب في مسألة فينبغي قبل الجواب أن يعرض نفسه على الجنة والنار، وكيف خلاصه؛ ثم يجيب.
    ✓ وقال الشافعي: ما رأيت أحدا جمع الله تعالى فيه من آلة الفتيا ما جمع في ابن عيينة، أسكت منه على الفتيا.
    ✓ وقال أبو حنيفة: لولا الفرق من الله تعالى أن يضيع العلم، ما أفتيت؛ يكون لهم المهنأ وعلي الوزر.

  • @mrmuhammed8790
    @mrmuhammed8790 Год назад

    Eeee mwanawee vip kwani mbona unapotosha watu we kama hunakaz nenda kauze njugu darajani dahhh kaz

  • @feisal6592
    @feisal6592 Год назад

    Piaya stusemee yakweli usisome uwongoo ttuu

  • @abdalhasaid8408
    @abdalhasaid8408 2 года назад

    Ww kazi yakufanya huna unatafuta mashekhe wameteleza wapi upate ukosowe wachana na waislam wenzio kugombana nao ila nimekumbuka nimipango yenu malumu munalipwa kufanya hivo na viongozi wenu

  • @luqmansadi3724
    @luqmansadi3724 2 года назад +1

    Uwongo je wewe ulikuepo

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 года назад +1

    Mungu akuhifadhi lakini unapoelekea ni pabaya na yatadhihiri si mbali

    • @allysharifu9049
      @allysharifu9049 2 года назад +2

      Sio kusoma tu ajifunze na adabu

    • @allysharifu9049
      @allysharifu9049 2 года назад

      Anapenda sana kudhalilisha wazee anastahili kuwaita babu

    • @yussufisaack7436
      @yussufisaack7436 2 года назад +1

      Mashekh walio na elimu wametulia hawasemi kuhusu maulidi,haswa baada ya kishki kuja juu akatulizwa na Muhammad Alhaadiy.lakini huyu debe tupu haachi ........lakini pia yy ni Muhaddith!!!!

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 2 года назад +1

      @@yussufisaack7436 acha kuongea usoyajua!! Sikiliza clip utaelewa Muhaddith ninani? Usiongee bila ujuzi sio vzri ndugu yangu tafuta clip alozungumzia kuhusu Muhaddith .usiweke chuki chuki hufunga ufahamu

    • @abubakarmohamed2845
      @abubakarmohamed2845 2 года назад

      Yaani mtu hata su chochote si lolote kusema ati wazazi wake mtume wako motoni! Audhu billah.

  • @issajaha5162
    @issajaha5162 2 года назад

    Kwakweli sijaelewa hoja zako za kupinga maulidi kwahiyo mama yake mtume hakuwa mwema

    • @mafaza.tv.tz255
      @mafaza.tv.tz255 2 года назад

      Assalam Alykm, ndugu usitsfute hoja ya kupinga maulidi... Waulize wanaofanya wametumia hadithi gani, au aya gani, au swahaba gani au imamu gani shafi, hambal, maliki, hanifa... Nani alifundisha maulidi... Hao ndio maimamu wa kutegemewa... Kama ni mtu tu kaja nayo basi hiyo si ibada.. So usiulize kwanin haifai, uliza kwanin watu wafanye jambo ambalo si mtume, wala swahaba, wala taabin, wala maimamu wanne wakubwa amewahi kufanya hilo

    • @ashasalum4467
      @ashasalum4467 Год назад

      Mtihaaani kwa kweli.

  • @hashimshariff8903
    @hashimshariff8903 2 года назад +1

    Mitume wengine walikuwa na dini gani kama watu walokufa kabla ya mtume kutumilizwa wataingia motoni ambao ni ahlu fitra

    • @eastzooadmin6416
      @eastzooadmin6416 2 года назад

      Mbona upo kama bunju, yani bado tu hajaelewa, au ni kusudi tu. Ndo nyinyi watoto wa barzanji 😁

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 Год назад

    Huyu badchu jamaa yuwajua anachoongea

  • @abunufilaabunufila2152
    @abunufilaabunufila2152 2 года назад +1

    Shekhegani wewe uliekosa busara na adabu

  • @feisal6592
    @feisal6592 Год назад

    Sawa

  • @burayhin
    @burayhin 2 года назад +9

    Muhammad utakuja kudhurika ndugu yangu nenda ukasome, haya yote ni kwasababu hujakaa kusoma kwa ambao zimesakimika sanadi zao za ilmu.

    • @zaitunmohamed9398
      @zaitunmohamed9398 2 года назад

      Akasome wapi nae ahahitimu kitabu cha kupinga maulidi mengine hajui ya kufundisha manake kuna watu watamani hata hii twahara hawajui km engelifundisha angalipata thawabu ngapi?

    • @zahorsuleyman3429
      @zahorsuleyman3429 2 года назад

      Ndio walivo watu wamaulid wasema msitafsiri kitabu Cha maulid kina malagha kubwa subhanallah kitabu Cha maulid kina malagha kubwa kuliko Qur-aan nayo imetafsiriwa

    • @zahorsuleyman3429
      @zahorsuleyman3429 2 года назад

      Nyie mnaemwambia akasome hamjui lolote na km hamjui lolote utajuaje kua Hana elimu ililhali wewe mtupu

    • @addaalmedia
      @addaalmedia 2 года назад

      Wacha mambo ya kudhurika kama uko na hadith ambaye ni kinyume alivyo sema sheikh leta

    • @zaitunmohamed9398
      @zaitunmohamed9398 2 года назад

      Samahani nielewe vizuri nimekwambia kuna mbao ya muhimu kufundisha watu sikupinga maulidi kuna watu hata hii swala hawajui kwanini asifundishe watu na ndicho kitu cha kwanza kaburini tutaulizawa

  • @abunufilaabunufila2152
    @abunufilaabunufila2152 2 года назад

    Wewe unejifunza jihadi kwa ajili ya kupigana na waislamu wenzako

  • @user-gl6ep3xp9s
    @user-gl6ep3xp9s 11 месяцев назад

    Wacha upuuzi na ujinga ww kijana kaa chini ukasome

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 2 года назад +1

    Umetukosesha utamu nataka niskilize mpaka mwisho. Allaah Akuhifadhi akhui

  • @swabiralii140
    @swabiralii140 Год назад

    Fanya adabu na mashekhe sasa na wewe utamuuliza vipi mtume natayri ushakataa kuwanuri yke haiko ushamba mwingi kasome

  • @fatmaabdallah8471
    @fatmaabdallah8471 2 года назад +1

    wewe bado tuu umekazana maulidi niuongo wajuao ilimu hawapingi maulidi athman maalim na ezdin huashidi kwa ilimu hawapingi maulidi una nini wewe kijana ama umepewa pesa upwa yukwe mtumi mungu amemsifu alianza mungu kumsifu mtumi usitusemeshe kijana tafuta ilimu kwanza wewe huna ilimu bachuuu wacha kusema maulidi niurongo wewe ndie mrongo huna ukweli kabisa

    • @criminal03mostwanted71
      @criminal03mostwanted71 2 года назад +2

      Wewe Sasa unaakili kweli ❓❓❓❓❓Sasa Izuddin na othman maalim wameyapata wapiiii hayo maulidi na hayo maneno yaliopo kwenye hayo mabarazanje, na simtuddurari......... Pia hawana ilmu kumshinda mtume hat imaam shafiy hawamkuti

    • @criminal03mostwanted71
      @criminal03mostwanted71 2 года назад +2

      Thibitisha uongo wa Muhammad Bachu maana upuuzi wenu wa vitabu vitabu vya kipuuuzi kama barazanji

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 года назад +1

      Barzanji alikua mshairi na hakuwa mwanachuoni wa dini , soma quran 26.224
      وَالشُّعَرَاء يَتَّبِعُهُمُ الْغَاوُونَ
      224. Na watungaji mashairi (yasiokuwa na faida ) wanafuatwa na watu wapotofu (wenye akili zao hawafuati watu hao).
      Tafsiri ya Sheikh Abdallah Saleh Farsy
      Hivi unafikiri hiyo aya imeshuka kwa bahati mbaya ?

    • @fatmaabdallah8471
      @fatmaabdallah8471 Год назад

      wewe mwalimu wako haja kupa ilimu maulidi ni sera ya mtumi huna ilimu wewe tafuta ilimu kwa wasomi

  • @fahmisaid8998
    @fahmisaid8998 2 года назад

    Huna mengine ya kuongea mtu wewe ni Mawlid tu? Kuna mengi yakuongea jamii imepotoka yahitaji kurekebishwa...nyinyi ni Mawlid tu utapasuka kundru angalia ya muhimu boss

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Год назад

    Bachu unatia kichefuchefu

  • @lukakyauke3258
    @lukakyauke3258 2 года назад

    Apo Mmesema kweli Wazazi wa Muhammad walikuwa makafiri
    Na kwa mojibu wa Biblia kitu Kichafu akiwezi kutoa kitu kisafi
    Kwa msingi huwo Muhammad ni Nabii feki