BARZANJI MAULIDINI Sheikh Said Bafana

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2023
  • MAGHRIB DARSA AT MASJIDPUMWANI RIYADHA

Комментарии • 349

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 9 месяцев назад +18

    Sheikh wangu said Bafana nakupenda kwa ajili ya ALLAH

  • @JUMARAJABUKACHEPA-jp3nc
    @JUMARAJABUKACHEPA-jp3nc 9 месяцев назад +11

    Umezungumza maneno matam sana Allah akuhifadhi

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 9 месяцев назад +10

    Maashaa Allaah Shekh kwenye hii dkk ya 6 umeongea kitu muhimu sana kwa watu ili wakijuwe, kwani huu ndio ukweli unao waweka wazi hawa wazushi na kuthibitisha kua lengo lao kwenye hii Dini ni uchafuzi nasio kufwata kile kilicho thibiti

    • @user-xn3kz4mc4v
      @user-xn3kz4mc4v 9 месяцев назад

      Nenda kasome acha kupelekeshwa 😅😅😅😅😅😅

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u 27 дней назад

    Nilichogundua masheikh wakianswar au ahlu Sunna waljamaaa.....wanajielewa na wanajuwa wanachofanya Masha.ALLAHOOO....bafana

  • @AbdullyHamid
    @AbdullyHamid 9 месяцев назад +5

    Mashallah habib mwenye kuskia n mweny mazingatio atazingatia allah ata tuongoza kwa ujumla inshallah

  • @user-wd7vl2df8u
    @user-wd7vl2df8u 9 месяцев назад +7

    Maashaallah shekhe Allah akuhifadh

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u 27 дней назад

    Namshkuru ALLAHU.....nimezaliwa Baba angu ni answari. Ahlu Sunna waljamaaa

  • @sir-lymwethebest1028
    @sir-lymwethebest1028 9 месяцев назад +11

    Shukran sheikh said bafafa ALLAH AKUHIFADHI

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 9 месяцев назад +6

    Umenena vzr shekh bafana...mtoto wa bachu yuko sawa

  • @AbdallahsalehjafferElchunu
    @AbdallahsalehjafferElchunu 9 месяцев назад +9

    Sheikh bafana may ALLAH protect you from jinn and bad mankind

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 9 месяцев назад +1

    ManshAllah cheikh wangu mwishi wa Dunia njia tuaona maulid yanavunja rekodi zamani maulid yanakua ni balaa tupu

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u 27 дней назад

    God bless you ustadh Masha.ALLAHOOO

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 8 месяцев назад +2

    Ma Shaa Allah
    Darsa lenye manufaa

  • @hasanulbaswari6804
    @hasanulbaswari6804 9 месяцев назад +3

    الله يعطيك العافية والسلام في ٱمور حياتك يا شيخنا الفاضل❤️

  • @user-wy8zq9fj9b
    @user-wy8zq9fj9b 9 месяцев назад +20

    Marshallah nimefatilia mbaka mwisho Alhamdhulillah nitashikana na Sunnah

  • @jamalhassan8308
    @jamalhassan8308 9 месяцев назад +4

    JazakaAllah Sheikh said Allah akuhifadhi..... naomba unifanyie dua??

  • @farakhanmohamed
    @farakhanmohamed 9 месяцев назад +3

    Swadakta ya sheikh bafana

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 9 месяцев назад +1

    Inna lillah wainnaa ilaihi Raajiuun.Hawa...
    Tuweni wakweli mashekh zetu...
    Kuweni na Inswaaf...
    Shekh Bachu aliinuka akaawacha Mjadala we unasema kijana kashindwa kwenda Mbele jamani tusiwe warongo...
    Bachu angejibu ili yule Saidi aende mbele...

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 9 месяцев назад +1

      Said alijibiw ila yy alitak ajibiw anavotak yy mana kambiw jibulake halipo kweny vitab ila km angeuliza vzur angejibiw kwa akil ya mt ndio mana aliambiw mfano kazaliw leo ng'ombe anavichwa 7 alaf ww umulize shekhe nn hukmu ya huyu mnyama mwenye vichwa7 kupitia vitabu apo shekh atajib halipo kweny vitab. Ss yy alitak aseme cjui ss ndio nn km lipo ww c litaj ndio mana kagandia pale

  • @yusufadanmoha311
    @yusufadanmoha311 9 месяцев назад +3

    Asante Sheikh wetu

  • @user-md5rj6oo8l
    @user-md5rj6oo8l 9 месяцев назад +3

    Sheikh wallah hawa watu wanajua ukweli lakini wanashindwa kutetea hakika ni vibur tu allahu mustaan allah awaongowe na awaonshe njia ya haki

  • @user-ir5ec5jn3w
    @user-ir5ec5jn3w 9 месяцев назад +1

    Na baada ya ule mjadada WATU wa Maulidi wakawa wanasherehekea kwa istzahi hili kumfanyia vitimbi Bachu
    May Allah guide us all

  • @HarunIsmail-bi8lk
    @HarunIsmail-bi8lk 3 месяца назад

    بارك الله فيك

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 9 месяцев назад +3

    Mashallah
    mashekh zetu
    Bidaaa hii itaondoka tu kama ilivyoondoka 40 katk umisiba.
    Leo hakuna 40 na khitma ! hii n kaz za Ahlu sunnah kaz zenu zina manufaaa

    • @user-xn3kz4mc4v
      @user-xn3kz4mc4v 9 месяцев назад

      Khitma ipo na zitaendelea kuwepo tatizo hamJa soma Niwatu wakukaririshwa njoo tanga 33:54

    • @ruzatuntajadin1274
      @ruzatuntajadin1274 9 месяцев назад

      Je saa za mazishi huletwa ustada atoe darsa nusu watu chini wengine mbali kilio watu walizana hakuna asikiaye jee waqti wa mitume na maswahaba ilikuweko?
      Lakini kukisomwa Qur'ani kuka khitimishwa na kisha ma tawasul na kumswalia Mtume watu wote watikia kwa umoja mpaka alofiliwa hupunguza kuliya nae atikiya kimyaa watu

  • @arafatshaban9217
    @arafatshaban9217 6 месяцев назад

    Thank you good massage may Allah reward

  • @oruko4773
    @oruko4773 18 дней назад

    Alhamdulillah

  • @user-fc4vl8zi4r
    @user-fc4vl8zi4r 5 месяцев назад

    Mashaallah mashaallah shekhe wangu Allah akuhifadhi

  • @mwanakomboabdala-bt4po
    @mwanakomboabdala-bt4po 9 месяцев назад +5

    Naaam

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 9 месяцев назад +3

    Maulidi sasa hivi yamekua disko dancer,........

  • @naswiharashid7166
    @naswiharashid7166 5 месяцев назад

    Masha Allah sheikh wangu asante sn

  • @shaibuyahayaupette4351
    @shaibuyahayaupette4351 6 месяцев назад

    Mashaalah ,sheikh Allah akulinde

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 9 месяцев назад +4

    Sema watu bid'aa wakiambiwa ukweli huwa wanaumwa sana......wengine wakishajua ukweli wanaona kukubali haki ni hali ya kushindwa

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan3726 9 месяцев назад +3

    JAZAAKA LLAAHU KHEIR SHEKH,ALLAH AKUBAARIK SHEKH NA UMRI WENYE KHERI

  • @costerhoshan6755
    @costerhoshan6755 9 месяцев назад +8

    Nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb 9 месяцев назад +3

    MASHA ALLAH
    NGOJA HAKI IBAINISHWE ALLAH AKUJAZE KHERI SHEKHE WETU

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 9 месяцев назад +12

    shaikh bafana Allah protect you ❤❤

  • @user-pg3ez4uo1z
    @user-pg3ez4uo1z 4 месяца назад

    Shekh Allah akuifadhi na akujaliie mwisho mwema inshaallah

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 9 месяцев назад +4

    shekh waongea swahihi kabsa

  • @user-ou1dh2sb2t
    @user-ou1dh2sb2t 9 месяцев назад +1

    Nyiye ahlu Sunnah

  • @user-jk7sm1dl7p
    @user-jk7sm1dl7p 7 месяцев назад

    Shukran sana sheikh tumelewa sana bidah ni mbaya sana

  • @SharifuHamisi-yw1dx
    @SharifuHamisi-yw1dx 7 месяцев назад +1

    Hamjui mtume huuyuu ufahamu nao nirizki tumswalieni mtumeee sanaa

  • @barjah1184
    @barjah1184 9 месяцев назад

    Watu wa maulid musiwashangae wakihalalisha kaumu lut. Hawa na mayahudi hawana tofauti Chinja wao woooote

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 9 месяцев назад +4

    مشاالله

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 4 месяца назад

    Sheikh hebu kemea ulevi ,riba ,zinaa ,dhulma,uongo ,itakua vizuri

  • @rahmaMohamed-op9mk
    @rahmaMohamed-op9mk 9 месяцев назад +1

    Mashallah,ukovizuri,mnajitambua

  • @fadhilizomboko459
    @fadhilizomboko459 9 месяцев назад +2

    Mash'allah

  • @khadijaahmed2331
    @khadijaahmed2331 9 месяцев назад +3

    Jazakallah kher alf marra naomba tupate mtu atutengezee translated copies in kiswahili n English ya kile kitabu cha barzanji😊

  • @AbdallahKabury-ig7kk
    @AbdallahKabury-ig7kk 9 месяцев назад +4

    Swahihi

  • @HusnaTanga
    @HusnaTanga 9 месяцев назад +2

    Ewe allah nifanye niwe mwenye kufata haki na kuicha batwr

  • @abubakarramadhan1716
    @abubakarramadhan1716 9 месяцев назад +2

    Laaaaaailaaaaaaha illallaaahu dini imekosa watu waluiongelea kiudilifu ila lila mtu anataka kujulikana nakundi lake liipate kua juu mungu tusaidie

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 9 месяцев назад

      We fafanuwa km wanavofafanuwa wenzio usiseme kundi tu

    • @mgazamhina840
      @mgazamhina840 9 месяцев назад

      Kasema wewe ukiijua haki igaganie mpaka tone la mwisho

  • @mohammedwedding6530
    @mohammedwedding6530 9 месяцев назад +1

    Yaumu na Leila na kiyama ni siku tofauti.
    Yaumu ni mchana wa siku ya arafa kwa mujibu wa muandamo wa mwezi.
    Leila ni usiku usiojulikana 21,23,25,27
    Kiyama ni kisimamo na kadri yake anaijua Allah.

  • @Buddy9072
    @Buddy9072 9 месяцев назад +5

    Shekhe....wasema hiyo Nuru imetoka mahali ya aibu, yaani Mtume alikuwa kwenye sehemu aibu, ama kweli fahamu zikiwa saqimu fikra huwa ndogo. Ama kweli Nuru ilienea kwa mazazi yake Bwana mtukufu mpaka Shaam lakini masikitiko Nuru hiyo haikuwafika mawahabi. Maskini wasikitisha

    • @Buddy9072
      @Buddy9072 9 месяцев назад +1

      وَأَنْتَ لَمَّا وُلِدْتَ أَشْرَقَتِ الأَرْضُ وَضَاءَتْ بِنُورِكَ الأُفُقُ فَنَحْنُ فِي الضِّيَاءِ وَفِي النُّورِ وَسُبُلُ الرَّشَادِ نَخْتَرِقُ ....

    • @babinhoelninho5416
      @babinhoelninho5416 9 месяцев назад

      Kutokuelewa ni shida maaa maneno hayo ni kwa barzanji peke yake,Allah atuongoze

    • @Buddy9072
      @Buddy9072 9 месяцев назад

      @Babinho huyo Barzanji mwamjua lakini ama mwamsikia Bafana na Bachu wakimtaja na nyinyi mwamtaja tu?

  • @SeifRupatu
    @SeifRupatu 9 месяцев назад +2

    Wewe jamaa unajioonaa unaweza kumteteaa bachu. Jamaa wametoaa nafasi uende wewe au uwaalike popootee watajuaa wakina ustdh saidii

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jq 9 месяцев назад

    Wewe shekhe kusema msikiti mbele yangu simakosa kwa ilmu mantiqia
    Nafkiri hujasoma mantiq
    Munatushangaza kweli mukoshasoma kiarabu mushakua maustadh

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 4 месяца назад

    Quran na Sunna ♥️♥️

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 9 месяцев назад +2

    SHEIKH MSELEM ALIWAAMBIYA NYINYI MAWAHABI HAMUTAKI KUSOMA MWATAKA KUTUKANA WATU

  • @uthmanmaalim2680
    @uthmanmaalim2680 7 месяцев назад +1

    inategemeya umeelewa aje

  • @aminaali5139
    @aminaali5139 9 месяцев назад +2

    Jua pia ni moja tu tena lina muanga na twafuata jua kuswali kwanini tusiswali ulimwengu mzima soteniii kibla ni hichohicho 😂😂😂 mwapotezwa na mitandao wazuka wakubwa zamani watu walikua na utulivu hakuna fitna za mitandao kasomeni jamaniiii hatari sanaa mtu hana ilmu ajifanya ana ilmu huyu ni fitna ulimwengu mzima

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly7900 9 месяцев назад +1

    Ustath said amewanyoosha hawa mawahabi imewauma sana

  • @OmarAbdulrahman-uk2fh
    @OmarAbdulrahman-uk2fh 5 месяцев назад +1

    Wewe saidi hujitambui kubwa zima hujielewi

    • @innocentmusa7660
      @innocentmusa7660 3 месяца назад

      Jadili hoja, wacha uburukenge haumjui mwenyezi Mungu na haki zake juu yako wewe na wala haki zake Mtume (s.a.w) juu yako yeye huzijui Je elewe mwanzo!

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 9 месяцев назад

    Ushirikina ndani za kwasidah za almighrania suudaniyah
    كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني
    يا مزيل الغمِّ والكربى
    كلُّ هم أنت تفرجهُ
    إن وفا للعجم والعربي
    وإذا ما الخطبُ أمَّ لنا
    زحتهُ أيضاً كذا النكبى
    فاغث يا خير غوثٍ بدا
    واجل كربا عمَّ من حقبى
    وارحنا من عنا سيّدي
    من عنا الدنيا والأخرى يا بني
    واجعل الأوقات جمعاً صفا
    صحبةَ الأهل وصحباً حبى
    وباخرنا انل راحةً
    بزحامٍ لاعنا نصبى
    وانحنا من هولها سندى
    وإلى الجنّات سُق طلبى
    ومقاما بالجوار نل
    لك يا طه وذا مطلبى
    وصلاةُ اللَه تغشاك مع
    الك الصحب ومدا ما صبى
    هام فيكم وانشدَ المرغنى
    كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني
    شرح ومعاني كلمات قصيدة كر صلى الله عليك يا بني
    قصيدة كر صلى الله عليك يا بني لـ محمد عثمان الميرغني وعدد أبياتها أحد عشر.
    عن محمد عثمان الميرغني

  • @Buddy9072
    @Buddy9072 9 месяцев назад +1

    س: تخصيص الأموات؟
    ج: إذا خصَّهم لا بأس، كان النبيُّ ﷺ كثيرًا ما يُضَحِّي بذبح الشاة عن خديجة، يتصدق بها عن خديجة، ويقسمها بين صواحبات خديجة بعد وفاتها رضي الله عنها.
    Hizo kwenye fatwa za Binbaz

  • @user-ou1dh2sb2t
    @user-ou1dh2sb2t 9 месяцев назад

    Nyie sio ahlu sunnah

  • @abdallamohammed6069
    @abdallamohammed6069 9 месяцев назад +1

    Mungu awaongoze mawahabi

    • @thabitisaidi6334
      @thabitisaidi6334 9 месяцев назад

      Acha kukurpka ongea kwa hoja acha kuwaita watu wasunna mawahabi kwa sbabu wahabu niktika majina ya allaha acha kumkosea mula wako adabu

    • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
      @yahyamajidyahyahilalal-har8762 9 месяцев назад

      ​@@thabitisaidi6334utakuwa mzee wa maulid 😂😂

    • @user-jk7sm1dl7p
      @user-jk7sm1dl7p 7 месяцев назад

      Amin amin amin
      Nimeitikia amin Kwasababu ulipo sena mungu awaongoze mawahabi
      Mungu najuwa ulikusudia Allah,
      Na mimi nawaombeya dua watu wa bidah
      Na Nyinyi watu wa bidah Allah
      Awaongoze muache bidah za maulid na zingine
      Mje kwanye suna

  • @saleherashid2262
    @saleherashid2262 9 месяцев назад +1

    kashindwa Muhammad Bachu si angejibu halafu aone elimu ambayo ingetolewa halafu hao mnaowahukumu hamuwakuti hata robo na ni Mashekh ambao washatangulia mbele za haki mkiwasema watajirekebisha lini

  • @Buddy9072
    @Buddy9072 9 месяцев назад +1

    Jee shekhe....hizo aya za adhabu na za minyororo, ukizisoma zinayo thawabu kwa kila herufi....ama hizo aya hazina thawabu, maana kuna mushkil hapo....

  • @mansulesuleyman6217
    @mansulesuleyman6217 9 месяцев назад +1

    Mzee rudi ukasome

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 9 месяцев назад +3

    sheikh upo sahihi masahaAllah

  • @issayunus2395
    @issayunus2395 9 месяцев назад

    Ustadh, soma na usome saana ustadh.

  • @mansulesuleyman6217
    @mansulesuleyman6217 9 месяцев назад +1

    Swali liko pale pale sema sijui

  • @SeifRupatu
    @SeifRupatu 9 месяцев назад

    Wewe achaa uongooo. Hujawahii kumuoonaa sheekh Samir Wa Tanga akiwakemeaa mashiaa

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y 9 месяцев назад

    Duuu.
    Kwa kupinga hayo maulid vitu vingi vizur vyapatikana katika maulidi maidha mazur yanatolewa qruani tukufu itasomwa na wanaume wanakaa peke yao na wanawake pekee
    Wakichangamyika ndo vibaya.
    Shekh twakupenda kwajili ya ALLAH
    Waislam wote nawapenda kwajili ya ALLAH bila kubagua dhehebu

  • @omarshaban4735
    @omarshaban4735 9 месяцев назад +2

    Wazushi wa maulidi wamefurunga dini

    • @akidahamad142
      @akidahamad142 9 месяцев назад

      Na babu yako alikua mzushi maana alikua anafanya maulid au

    • @omarshaban4735
      @omarshaban4735 9 месяцев назад

      @@akidahamad142 hata mm nilikua mtu wa maulidi lakini niliacha

  • @twalibsaid2614
    @twalibsaid2614 8 месяцев назад

    Jamani mtume hakumsomea mke wake mama khadija quran alipokufa ! Wewe ni hatari sana hufai kuitwa shekhe , wewe shekhena naile dua inao waombea waliokufa ambao dua yenyewe ni quran inasema , Rambanaa ighfirlanaa wal ikhwaaninaa sabakunaa lil iman , hio ni dua nani quran

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai1357 9 месяцев назад

    Nyue ht mssem nin tushakushttukien mnalipw na mayahudi muuchafue uislam

  • @user-zr3pq4sg7j
    @user-zr3pq4sg7j 8 месяцев назад

    Wallah ikiwa upo kwa lengo la kujfunza utayaelewa haya maneno ila ukiwa ni mshabiki hutayafaham

    • @Buddy9072
      @Buddy9072 8 месяцев назад

      فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي.
      Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi???
      Hayo aibu ni yapi ama urongo ni upi???

    • @user-fc4vl8zi4r
      @user-fc4vl8zi4r 5 месяцев назад

      Nikweli kabisa mdogo wangu

  • @mohamedmasanga9134
    @mohamedmasanga9134 9 месяцев назад +1

    Dini ni ya Mungu umesema kweli na mwenye kujua nani kapatia na nani kakosea ni huyo mwenye DINI yaani Allah SW lakini kila sheikh ukimsikiliza utaona anajivutia upande wake anaoamini na wanao comment pia wameegemea upande wanaoshabikia kumbe sasa Allah ndie HAKIMU kwa aliepatia na aliekosea basi tumwachie Allah ahukumu sio sisi kuwa majaji ni makosa

    • @babiddi8620
      @babiddi8620 9 месяцев назад

      Watu wana takiwa kuelimishana

  • @MtandaKibari-zm4bj
    @MtandaKibari-zm4bj 9 месяцев назад +1

    Saidi bafana naona hata kichefu chefu kukuangalia unaongea utumbo tu ndugu yangu

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj 9 месяцев назад

    Munaogopewa kwa sababu wapotoshaji nyinyi mawahabi

  • @KhuluudHamouda2380
    @KhuluudHamouda2380 9 месяцев назад

    Kapige magoti uisome Lugha ya kiarabu upate kuelewa mambo vzr.

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 9 месяцев назад +3

    Msaidie bas kujibu swali la bachu wacha kutuletea balbala zako

    • @diagfinamix1861
      @diagfinamix1861 9 месяцев назад

      Bado hamja zi jibu hata zile za Tanga mnadai kujibiwa ka kwenu ka moja tu ,

  • @mohammedwedding6530
    @mohammedwedding6530 9 месяцев назад +2

    Naam wamezungumza wanyama na anayefahamu jinsi walivyozungumza ni aloandika abyati tunamuamini kwa miaka yote iliyopita na inayokuja sio wewe unayetafsiri na ufahamu wako.

    • @earthmanhassan656
      @earthmanhassan656 9 месяцев назад

      Sio kwa hasira wala kukejeliana alhabib, naomba hadith swaheeh shekhe langu. Nahofia nisiwe miongoni mwa watu watakomkadhibisha Mtume Wetu Swalla Allaahu Alayhi Wa Sallam
      ((من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار)) متفق عليه
      ((Atakayeniongopea makusudi basi ajitayarishie makazi yake motoni)) [Al-Bukhaariy Na Muslim]
      Ukiwa umeeneza mambo hayo na hali unajua kuwa si sahihi, basi tambua kuwa ushaingia katika walioelezwa ndani ya Hadiyth hiyo

  • @hamisishabani4333
    @hamisishabani4333 9 месяцев назад +3

    It's munakasha nawewe tuoneelimu yako

  • @imamhussein2370
    @imamhussein2370 9 месяцев назад

    Ule mlango unaoanza kwa kusema. واول من أمن من الرجال ابو بكر صاحب الغار والصديقية

  • @user-de4yj3oc1g
    @user-de4yj3oc1g 9 месяцев назад +1

    Hata huyu nae kashatumwa na mayahudu kuja kuharibu dini subhanallah

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly7900 9 месяцев назад +1

    Sasa ukiongea lazima utie chumvi ili ukubalike

  • @saleherashid2262
    @saleherashid2262 9 месяцев назад +2

    Mwenyewe hapo upo kwenye Bida'a hiyo maiki Mtume hakutumia

  • @omarytobaomary7148
    @omarytobaomary7148 9 месяцев назад +3

    Mashallah masheh wanaosema ukweli kama wwe ndio tunawaitaji

  • @murkemadmar3840
    @murkemadmar3840 5 месяцев назад

    Jana nimesikia kisa cha Miraj shekhe flani asema mtume alipofika mbinguni alimuona Allah kama vile mimi na wewe na pia mtume alifika ilipo arsh ya Allah akiwa na viatu na hakuambiwa avue viatu kuonyesha utukufu wake kwa Allah. Watuwa bid

  • @casmiliyndunguru6110
    @casmiliyndunguru6110 9 месяцев назад +1

    Nyie leo mahabi inaacha kuzungumzia zinaa imekithir mitaani mnazungumzia maulid

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 9 месяцев назад

    PAKA WA BACHU AMEZUNGUMZA KWA KUSHINDWA KWAKE NA USTADH SAID

  • @user-zt1ov5qy5z
    @user-zt1ov5qy5z 7 месяцев назад

    Kwakweli naona sheikh wanimalizia banlde langu bila tija, ,

  • @SeifRupatu
    @SeifRupatu 9 месяцев назад +1

    Semaa wp wajee

  • @salimjawas8123
    @salimjawas8123 9 месяцев назад

    Tumia ilimu yako vizuri, ilimu nayo ni rizki. Chunga manena yako Bafana. Yasije yakakuangamiza kaka.....

    • @omadal1
      @omadal1 9 месяцев назад

      Kwa kweli sio umuhimu wa kuoneshana ubabee wa kukosowana kwa mambo yasiyo muhimu wakati tunawacha mambo yalo muhimu, kama huyu sasa Bwane Bafana na wengineo kwanini hawatumi muda wao kwa mambo muhimu ya jamii?

    • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
      @yahyamajidyahyahilalal-har8762 9 месяцев назад

      Leta na wewe elimu yako 😅😂

    • @rashidbanza7840
      @rashidbanza7840 2 месяца назад

      ​@@omadal1elimu muimu niipi iyo tuambie

  • @maawymuhammad6779
    @maawymuhammad6779 9 месяцев назад +1

    Hiyo ayah yasema;
    إنَّا نحن نزّلنا ٱلذِّكر وإنَّا له لحىٰفظون
    Sasa hiyo nahnu umeipeleka wapi wewe
    SOMA SOMA SOMA!!!!
    JISHEKHE LA KUOKOTA WE!!!!

  • @abdallahsaid4997
    @abdallahsaid4997 9 месяцев назад

    Gaza watu wanapigwa usiku na mchana badala ya kuzungumaa ya muhimu bado mko kwenye maulidi
    Mashekhe bure kabisa

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 9 месяцев назад

    Elimu ni bahari pana, inafika mwisho kwako endea kujifunza kwa wengine, tujitahid sana kuelezea pale tunapojua tu kuliko kuingia mambo ambayo huna elimu nayo

  • @salimrukago6910
    @salimrukago6910 9 месяцев назад +1

    Unaongelea uzushi huo mjadala wenyewe huon kama ni uzushi ?

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj 9 месяцев назад

    Washanga wanyama Shanga lile jiwe likimsalimia mtume kabla hajakua mtume

  • @sikandarsuleimanTV
    @sikandarsuleimanTV 9 месяцев назад

    Wewe mtoa mada hio kuwa ghera waislam wenzetu wanakufa kutokana na uzembe wenu kuwafarakanisha waislam kwenye kukumbatia ikhtilaaf badala ya kuhamasisha kwenye ufanano ili waislam tuwe wamoja

  • @saadmbarak1903
    @saadmbarak1903 9 месяцев назад +1

    Kwahiyo sheikh ww pia alkua wasoma moulid sio kisha ukanunuliwa ukaacha kusoma moulid