KUPINGA MADAI YA KUITWA MRONGO NA MUSHRIK SAYYID JAFFAR AL BARZANJI NA BACHU NA POTE LAKE | USTAD…

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 419

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 11 месяцев назад +7

    Wallah'hi tumenufaika sana kupitia sheikh saidi Allah akuhifadhi.
    Amiina Yaa rabby.

  • @kibavumrisho3495
    @kibavumrisho3495 11 месяцев назад +3

    Mashallah sheikh said pia bachu na viongoz hapa sasa tumejuwa elimu na maneno tu hongera sana sheikh said ntakuja kwako inshallah ikiwa ALLAH ameniafikisha nina jambo kubwa kwa ajili ya ALLAH sasa tutampenda mtume kuliko

    • @HAMIDUKijuu
      @HAMIDUKijuu 5 месяцев назад

      Yaani Kwa akili ya kawaida ukisema twajadili urongo ndani ya bazanji si ndiyo aloandika ni mwongo?

  • @basmabasma6287
    @basmabasma6287 11 месяцев назад +8

    Sheikh bachuu ma shaa Allah,Allah yahfadhak.ameen

    • @user-nx7jd3cf1m
      @user-nx7jd3cf1m 11 месяцев назад

      MAA SHAA ALLAH

    • @jambojambosafaris
      @jambojambosafaris 11 месяцев назад

      Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 2 месяца назад

      ​@@jambojambosafarisna kwann atumie hadithi dhaifu wakat hadithi sahihi zimejaa

  • @mkude
    @mkude 11 месяцев назад +18

    Mashaallah Sheikh BACHU umeleeweka vizuri sanaa

  • @barkesalim4419
    @barkesalim4419 11 месяцев назад +7

    Mashallah sbeikh wetu bachuu nomba Allah akuhufadhi za hysda za buna damu na akube umrii mrefuu tubate darsa yako na pia nakuomba kizazi tako awe kama wewe aruelimisha watoto wetu yarwbb

    • @Yory334
      @Yory334 11 месяцев назад +1

      Kama kiswahili kuandika ni shida je kiarabu utawezana kweli nenda shule kwanza😭😭😭 Buna damu ndio nini sasa... Akube😭

    • @MkwizuMkufya
      @MkwizuMkufya 26 дней назад

      Kwa kukimbia swali

  • @mahmuduae2344
    @mahmuduae2344 11 месяцев назад +22

    Wallahi leo nimejifunzaa. Tusichezeee kabisaa na maulamaa. Maulamaa ndio waridh w mitume. Maulamaa na mashekh zetu tuwaheshimu sana

    • @farijalakhalid5558
      @farijalakhalid5558 11 месяцев назад +4

      Yani leo masalafi wameonesha udhaifu mkubwa sana

    • @shaibunundu8021
      @shaibunundu8021 11 месяцев назад

      Llq

    • @saidhassan-vd8tp
      @saidhassan-vd8tp 11 месяцев назад +1

      Ee bwana ee mashaallah munaqsha inaendelea vizuri.sheekh siciid Allah akueke. Matwari yapashwe moto sana, Al sakiir waa kabiir waaingiye kwa safu...........pokeya salamu babu from somalia with one love and one heart ❤

    • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
      @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 11 месяцев назад

      Kwahy shekh lile swali alilouliza Bachu kuhusu wanyama kuwa walizungumza hiyo imekaaje je myama Gani aliwahi kusema?

    • @mozzaliuleiza9288
      @mozzaliuleiza9288 2 месяца назад

      Hawa vilaza ndo maulamaa sio au unakusudia maulamaa wapi

  • @barkesalim4419
    @barkesalim4419 11 месяцев назад +10

    Sheikh wetu Mohamed bachuu usiboteze timm yako kwa watu hawasikii nenda kwq famili yako wanakutamani ajili allah akuhifadhi sheikh bachuu yarabb

    • @allymahaba3425
      @allymahaba3425 11 месяцев назад

      Shekhe wako anatia aibu. Sasa mpaka anajikojolea!! Wewe mpende lakini Siku ya Kiama utafufuka na kuulizwa peke yako na yeye peke yake. Hakuna "shekhe wangu huko". Mtu analeta uongo bado unamtetea tuu!!!! Sub-haanal-llah.

    • @husseinabdullahi7495
      @husseinabdullahi7495 11 месяцев назад

      Bachu failed to answer the questions

    • @allymahaba3425
      @allymahaba3425 11 месяцев назад

      @@husseinabdullahi7495 Yes brother. It is true. He even dodged and disappeared. Shame on him and his friends.

  • @faridsalummaulid4681
    @faridsalummaulid4681 11 месяцев назад +3

    Shekh Said unajua sana❤❤❤ MashaAllah

  • @user-ss6jm6jt3h
    @user-ss6jm6jt3h 11 месяцев назад +2

    Wallahi nimejifunza vingi kutoka Kwa sheikh said namuombea mwenyeezi mungu ajaaliee siku 1. Niwe miongoni mwa wakao mtembelea huko aliko nipo tz inshaallah nikijaaliwa kwenda

  • @islamswaleh5185
    @islamswaleh5185 11 месяцев назад +10

    اللهم أرنا الحق حقا وارزقنا اتباعه وارنا الباطل باطلا وارزقنا الاجتنابه

  • @ashrafkhamis-du7rr
    @ashrafkhamis-du7rr 11 месяцев назад +2

    Mashallah Ustadh Said.

  • @user-xl7tb9xr9t
    @user-xl7tb9xr9t 11 месяцев назад +1

    Mashaallah Sheikh Bachu shukran

  • @nuhuomar2541
    @nuhuomar2541 11 месяцев назад +1

    Shekh Said hongera sana mungu akuzidishie elimu
    Pia sijuw upo maeneo gani ningeomba kuonana nawewe

  • @user-zf3fz5lf4m
    @user-zf3fz5lf4m 11 месяцев назад +10

    Mungu atuongoze kwenye haki ya sawasawa

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7w 11 месяцев назад +5

    Mashallah sheikh Muhammad Bachu Allah akuhifadhi umeshinda mashallah

    • @aliyidrisa1536
      @aliyidrisa1536 11 месяцев назад

      Kashinda kitu gani.? Hana elimu

  • @mebbs786
    @mebbs786 11 месяцев назад +12

    Asalaam Alaikum, Shukran For Organizing this Debate, Be Blessed Always

    • @hemedinabinga3604
      @hemedinabinga3604 11 месяцев назад +1

      Waalaykum salaam warahmatullah wabarakaatuh

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 11 месяцев назад +1

    Allah awahifadh nyote .....mnahangaika ili kumfikia Allah mtukufu...Allah ndiye mjuzi zaid ya sisi....namuomba Allah awalipe malipo mema na awasamehe mkiwa mtakosea

  • @AbdiMahmud-cc6ng
    @AbdiMahmud-cc6ng 11 месяцев назад +2

    Manshaalah ihsan tv

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 11 месяцев назад +2

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚

  • @ibrahimmusa331
    @ibrahimmusa331 11 месяцев назад +1

    فاطر السموات والأرض عالم الغيب والشهادة.. أنت تحكم بين عبادك فيما كانوا فيه يختلفون💛📖

  • @user-ou2og1ze9d
    @user-ou2og1ze9d 3 месяца назад

    Maashaallah shekhe bachu umechambua vizur sana ila imekua kama waislam nå wakristo,wakristo hawautaki ukweli japo uko wazi.hongera bachu na jopo lako

  • @remmyskitchen6874
    @remmyskitchen6874 11 месяцев назад +11

    Rabby zidna ilman warzukna fahman

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003 11 месяцев назад +4

    Mashaallah bachu amejitahidi vizuri ktk kupekua vtbu Allah akuhifadhi.maghurafi haqi mtaijua

  • @mwajumamohammad6612
    @mwajumamohammad6612 11 месяцев назад +6

    Assalam aleykum warahmatullahi wabarakatuh hapa hakuna cha kufurahia bali ni aibu tupu kwetu sisi waisilamu. Waislamu kwa waislamu kubishana kama makufar subhanallah

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 11 месяцев назад

      kweli upo sawa

    • @tanybobbyhomeactivities8013
      @tanybobbyhomeactivities8013 11 месяцев назад +1

      Kweli wallahy afadhali wamgetumia hio nguvu na pesa kufanya mijadala yakusilimisha watu😢 watu wazima wapigiana kelele na kubishana kama watoto

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 11 месяцев назад

      @@tanybobbyhomeactivities8013 Ndio uko sawa wametilisha aibu kusema kwelii walikuwa wasilimishe watu wangepata thawabu

    • @samxx411
      @samxx411 11 месяцев назад

      ​@@tanybobbyhomeactivities8013sasa wewe huhusiki kusilimisha, kwani jukumu la daawa kapewa mtu maalum, mjadala huu ni muhimu sana ili tufahamu elimu

    • @ABDULLAOALI
      @ABDULLAOALI 3 месяца назад

      Km ndsn yke kuna riyaa, bc itakuwa ni wenyekuanhamia

  • @user-pu6pt5lk2p
    @user-pu6pt5lk2p 6 месяцев назад

    Hongera sana sheikh said umetuangazia njia iliyo kuwa na giza

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri 11 месяцев назад +8

    Shekh bachu Allah akuhifadhi... unapambania haqi vilivyo!

    • @Just.madeforyou
      @Just.madeforyou 11 месяцев назад

      Mungu ambariki?(si afaulu mwanzo)😂😂😂😂😂

  • @user-qv9ep6wq1t
    @user-qv9ep6wq1t 11 месяцев назад +5

    Mawahabi mumetengenezwa kuja kuuvuruga uislamu na waislamu na hii nidhimma mwaibeba

  • @aishamussa21
    @aishamussa21 11 месяцев назад +7

    Mawahabi hamna kituuuuu kasomeni tenaaaa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @YahyaAbdul-hafidhi
      @YahyaAbdul-hafidhi 11 месяцев назад +1

      Mashaallah hakuna siku niliyo kua na furaha Kama yaleo na nimepata elimu kubwa Sana ukweli tutaendelea kupiga ubwabwa.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 11 месяцев назад +4

    Safi sana Muhammad Bachu

  • @makamemakame2603
    @makamemakame2603 11 месяцев назад +3

    Mnatutia aibu waislamu wenzenu tunaowaangalia. Yaani waislamu tunafika hapa? Subhanallah

    • @m7.mmd_
      @m7.mmd_ 11 месяцев назад +3

      Hii ni elmu sio ugomvi ... na kufunudishana ni mmoja wa kusogesha dini mbele

    • @samxx411
      @samxx411 11 месяцев назад

      Si aibu ndo inavyotakiwa hasa wakae watoe hoja si kupingana kila siku na kutukanana

    • @hamisisalim8076
      @hamisisalim8076 11 месяцев назад

      Ila dini hairuhusu muislamu kumuiaibisha muislamu mwenzie. Hawa wote ni viongozi wa dini, wakae wayajadili waje watuelezee. Sikuitana warongo wala mushrik.... NI AIBU KUBWA

    • @samxx411
      @samxx411 11 месяцев назад

      @@hamisisalim8076 ni kweli kabisa tatizo wana kibri kila mmoja anajiona bora yeye au yeye ndie wa peponi na mwenziwe motoni

  • @suleimanmkongwa9950
    @suleimanmkongwa9950 2 месяца назад

    Inna lillah wainaa ilaihi raajioon

  • @user-rj5tr9oh8v
    @user-rj5tr9oh8v 11 месяцев назад +1

    Aaaah kimekuramba baba Mbona Tanga hukukimbia,swali rahisi wathapathaaapa!

  • @bintaidarous2762
    @bintaidarous2762 11 месяцев назад +1

    Wallahy abuu ahmad hana subra yeye akata watu maneno lakini haachi wengine waongea

  • @princeganji2779
    @princeganji2779 11 месяцев назад +3

    Ahsante bachu unanipa raha

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 11 месяцев назад +4

    Walimu mmetukosea sana mnashindwa kuwa na subra ata ya kusikilizana jamni

  • @salmaali7080
    @salmaali7080 11 месяцев назад +4

    Wallah mungefanya makadara huu muhadharrra

  • @al-hudaaislamicpreachersda8056
    @al-hudaaislamicpreachersda8056 11 месяцев назад

    Masha Allah hapo kazi ipo

  • @JUMAJUMA-ym1kt
    @JUMAJUMA-ym1kt 11 месяцев назад +4

    NAAM MADA NI UONGO ULIOPO NDANI YA BARZANJI
    LAKINI JAMANIII MBONA TWAMINYANA SANA KWANI HATUMBUKI KUA NI QURANI TU NDIO KITABU AMBACHO KIMEKAMILIKA JAMANIIII

    • @swadaamiri8109
      @swadaamiri8109 11 месяцев назад

      Sasa mbona watu wakifwate

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 11 месяцев назад

      Na umeongea point ndugu yangu tunabishania vitu ambavyo Allah anaweza msamehe mtu muda wowote tunaacha vitu vikubwa na vya maana

  • @wardashabani
    @wardashabani 11 месяцев назад +4

    Wallah namkubali sana bachu maneno yake lakn watu wanamtus bure

  • @abunufilaabunufila2152
    @abunufilaabunufila2152 11 месяцев назад +4

    Naona kwa anavotaka bachu asisifiwe Sayyidna Muhammad SAW bora watu waache kabisa wafanye mengine

  • @shaneyramadhan2519
    @shaneyramadhan2519 11 месяцев назад +3

    Makafir wanafurah sanaa iv mnazan Allah anapenda mnavy fanya

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td 11 месяцев назад +3

    Dah mawahabi weupe sanaaa

  • @princeganji2779
    @princeganji2779 11 месяцев назад +2

    Haya ushajibiwa ahsante shekh Muhammad bachu wambie ao wahuni

  • @user-qv9ep6wq1t
    @user-qv9ep6wq1t 11 месяцев назад +4

    Ndio mkome mawahabi kutukana waislamu wenzenu wapuuzi wakubwa nyinyi

    • @alhabibismail3031
      @alhabibismail3031 11 месяцев назад

      sasa ww wasema ktu usicho kifanya....watukana watu ksha wasema watu wakome

  • @salmaali7080
    @salmaali7080 11 месяцев назад +2

    Swalluuu allllaaaa nnnabbyyyyy

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye 3 месяца назад

    Maskini bachu mungu amrahamu hadithi ishathibitishwa nimunkar Sasa anaitumia huitwA muongo kwaajili bachu amemuita barnji nimuongo ameitowa wApi hukmu hii

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 11 месяцев назад +6

    Yaani Maka na madina wa sijuwi mauridi mje mjuwe nyinyi

    • @assadyabdull5146
      @assadyabdull5146 11 месяцев назад +1

      Ww ndo umekuja na matope kabisaa kwahyo maadam makkah na madina hawajui Kuna ulazima gani sisi tusijue maadam hatutoki kule

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy 11 месяцев назад

      @@assadyabdull5146 jambo lolote ambalo mtume hakufanya ni makosa kuongeza kwenye dini kwasababu mtume Muhammad (s.a.w) kabla hajafa alisema ametukamilishia dini yetu. Sasa basi kuusu maulidi so mtume tu hata maswahaba wa mtume Muhammad (s.a.w) hawakufanya. Na hiyo maulidi ilianza miaka takribani 500 baada ya kufa Kwa mtume. Asa hapo Bachu anakosea wapi ikiwa hakuna kuongeza kwenye dini

  • @bilaligona5478
    @bilaligona5478 11 месяцев назад +4

    Mashallah shekh bachu wafundishe mungu akuhifadhi

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 11 месяцев назад +1

    hakuna watu wabishi km mawahabi Hao hata mkeshe ila mm naelimu yg dg mawahabi wangetangaza ndini wao wamekalia kupinga naulifi basi mtihani waallaah

    • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
      @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 11 месяцев назад

      Hapo swali ni Moja wanyama walizungumza wakatoa sauti? Walizungumzaje? Huu ndio uhongo unaozungmziwa hapo

  • @salimumbonyumukiza7032
    @salimumbonyumukiza7032 11 месяцев назад

    Mashekhe wallahi nyinyi mutakuja kukufurisha wamamuma wallahi sijuwe barizaji sijuwe mukhari tafazari muwachane nahicho kitambu chamawurindi tupiriya bari barizaji rekebisha kitambo wewe murongo rakini barizaji sisi wasomwi wana fuzi zenu twasema nini muna karirikisha mahari omali mahali Alli bini orama Ako wacha kucafuwa mutume wallahi sorry kwamengi mimi kijana kutoka burundi keny Tusije tuka kufuru wallahi mamuma suna turi jama ماريك

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 11 месяцев назад +5

    MUNAKASHA HUU NI WA MOMBASA SIYO TANGA BACHU MSANII WA ELIMU HANA ELIMU NDIYOMANA ANATISHA ANA LAZIMISHA NA JAZBA BADO MCHANGA BACHU

    • @abdulhalimally7479
      @abdulhalimally7479 11 месяцев назад

      Sio udogo wa bachu ndio elim aliokua nayo muhim ufuate hakki sio kubwabwaja maneno 2 je alichokisema ni hakki au sio hakki

  • @OthmanOthman-ev8qu
    @OthmanOthman-ev8qu 4 месяца назад

    Uko sawa she said nakama huko sawa ekekukosowa irabu lakin hats irabu hakuna kosa

  • @ramsorama9765
    @ramsorama9765 11 месяцев назад +3

    Bachu twakuamini weww n first 11 mbona swali lakuumiza kichwa wazunguka tu

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah hiii niqash kila siku naingilia nikifika kwa huyu bacho wallah namuonea huruma alivodhalilika hajui chochoteeeeee

  • @jumamukoko6662
    @jumamukoko6662 Месяц назад

    Mawahabbi ndiyo wamekuja na hii tabiya, mawahabi ni kundi la mashahidi wa Jehova

  • @rashidinjoe8167
    @rashidinjoe8167 11 месяцев назад

    Ahsante Sheikh wangu Muhammad Bachu kwa kutupatia elimu.

  • @hamidnassoro214
    @hamidnassoro214 11 месяцев назад +1

    Ingekuwa Bora zaidi mngejibu maswali na sio kurumbana na hao wapambe ndio wavurugaji .

  • @user-zn3vf3xd4x
    @user-zn3vf3xd4x 11 месяцев назад +4

    Assalam aleikum haina faida kujadaliana kuna mengi yakufanya lakini mizoz faida yake mimi binafsi nawatia makosa kila mwenye kupanga na kushangilia mizozo ambayo hayalete faida kwa mujtama TUACHENI MIZOZO

  • @aishaabdulmujib7027
    @aishaabdulmujib7027 11 месяцев назад

    Just Imagine what their students go through 😢

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 11 месяцев назад +3

    Tunasubiri itifaki ya wanawachuoni kwamba ukipokea hadithi dhaifu kwenye kitabu waitwa mrongo

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 11 месяцев назад +1

    Moja bila

  • @idrisalimapema2539
    @idrisalimapema2539 11 месяцев назад +2

    Hii ni Riyadha fanya adab Bachu

  • @salmaanalfaris3848
    @salmaanalfaris3848 11 месяцев назад +7

    Bachu dume kweli,Ukweli mtupu❤❤❤

  • @khamisali9907
    @khamisali9907 11 месяцев назад +2

    Bachu kakimbia babake kenda mwenyewe Mombasa

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 2 месяца назад +1

    Alaa kumbe ktk huu mjadala Side ndo alokimbia swali yy ndo aloulizwa mwanzo aseme sanad ya ile hadithi munkar kisha aseme kwann ikaitwa munkar pengine kuna waongo waliohadithia au waliopokea io hadithi. Haaa kumbe hawa hawajielew kweli kisha wanasema sheikh Muhammad kakimbia swali

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 11 месяцев назад +1

    MAYAHUDI WAMETUWEZASANA KUTUGOMBANISHA WAISLAMU.

  • @alikenga4953
    @alikenga4953 11 месяцев назад +1

    Mdahalo ule wa Tanga ulikuwa vizuri sana, sheikh aliyepambana na sheikh bachu alikuwa na busara zake. Hawa wetu wa Mombasa busara hawana

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 11 месяцев назад

      Toka lini wakenya wakawa na busara

    • @user-oc2ut7tg2w
      @user-oc2ut7tg2w 11 месяцев назад

      Ombasa ni hamaki

    • @binmiraji2168
      @binmiraji2168 11 месяцев назад

      Kuuliza swali la kielimu ndio kutokuwa ustaarabu

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 11 месяцев назад +5

    BACHUU JIBU SWALI PLEASE CAN YOU?

    • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
      @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 10 месяцев назад

      Bachu hawzi jibu swal la hasiyekuwa fast eleven na ukwer hapo hakuna swali na Bachu alitangulia kuuliza kwanza kuwa wanyama walizungumza wakt mimba ya MTUME MUHAMMAD ilipoingia Hilo swali shekh Said amechemka hajibu kwanza

  • @user-gl6ep3xp9s
    @user-gl6ep3xp9s 11 месяцев назад

    Mawahabi wapotoahaji wa umma huu

  • @msarama5406
    @msarama5406 11 месяцев назад

    Huu ndo mnakasha wa elimu sio kama wale masheikh wengine kazi yao wanamponda Bacho kama bacho badala ya hoja kama hizi za sheikh Said mara mtoto mdogo mara hana elimu mara hajui angalau sheikh said hapa tunanufaika na kupata vitu

  • @user-vh7ts1fc2e
    @user-vh7ts1fc2e 11 месяцев назад +2

    Shkh bacho Ilihitajika ujibu Swali Kwa sababu unakataaje si Swali la kielim?

  • @saidmadai2828
    @saidmadai2828 11 месяцев назад +3

    Bachuu A.k.A mandongaa😂

  • @yazidurashidi8443
    @yazidurashidi8443 11 месяцев назад

    Jaman hilli swali lishajibiwa labda museme hamjaridhika na majibu jawabu liko wazi kwa mwenye kuzingatia

  • @YussufMassoud-xe3rc
    @YussufMassoud-xe3rc 11 месяцев назад

    Ww mpiga vinanda ni mbabaishaji tu utawadanganya Hao Hao tu sio sisi

  • @user-yb3mz2jg9j
    @user-yb3mz2jg9j 11 месяцев назад

    Mlixhokifanya mwisho hapo kushindwa kuzuia hisia zenu inaonesha pande zote mbili mmekosa busara na ingefika mngegombar tunafundisha nn kwa watu wanao taman kuwa waislam

  • @MkwizuMkufya
    @MkwizuMkufya 26 дней назад

    Tumeelewa swali unaweza liona dogo ila bacho kutumia saa 1 na hakujibu unajua ujanja ujanja una mwisho kategwa angeingia uwahabi ndiyo ungeishia hapo

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 11 месяцев назад +3

    Bachu hodari Mmungu Akuzidishia

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 11 месяцев назад +3

    Jaafari albarazanzi ni murongo? tubaki hapo watu wamebadili mada juu kwa juu

  • @yussufsumbu9412
    @yussufsumbu9412 11 месяцев назад +4

    bachu mbn unaznguk san c ujib t😂😂😂

  • @aminamodi8927
    @aminamodi8927 11 месяцев назад +2

    Bachu HUNA erim ila UBISHI tuu leo unaemwita second division atakugalagaza kama Sabas alivyokuvua JOHO
    Bachu KUBALI ufundishwe na huyo uliyomwita kijana mdogo

  • @aliabuu4987
    @aliabuu4987 11 месяцев назад +4

    Bachooo Kubalii ufundishwe hapo huwezi kabisaaaa

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 11 месяцев назад

      Wa kwanza kuuliza ni Bachu uthibitisho wa ukweli wa maneno ya wanyama kusema. Hola haikujibiwa Said akaja kukubali kuwa Hadith ni munkar au dhaifu. Akaulizwa aseme kama hadithi munkar au dhaifu yafaa kutumika? Hakujibu, kaja kauliza na kung'ang'ana kuhusu swali linalomuhusu Muhadith wakati Jafar si Muhadith.

  • @jambojambosafaris
    @jambojambosafaris 11 месяцев назад

    Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii

  • @ZenaAwath-uy1ku
    @ZenaAwath-uy1ku 11 месяцев назад +2

    Bachu jibu swali sisi tuko kwenye maulidi hapa twakuskiza ww saidi bakia hapo hapo n swali lako sheikh Aboud umenifurahisa na sheikh Muhammad wa swalihina bakia hapo hapo

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 11 месяцев назад

    Waislamu tunalumbana tu😢😢😢

    • @user-mq6lu2po3y
      @user-mq6lu2po3y 11 месяцев назад

      Tushukuru wamelumbana kwa kitabu cha muandishi sio kulumbana kwa Quran Wala mtume ni sawa na mtu aandike kitabu Dunia inazunguka Sasa wao wamekuja kujadili Dunia inazunguka au haizunguki

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 11 месяцев назад +2

    Sheikhe Muhammad Bachu hanalo leo

  • @user-vj7wk6bv2b
    @user-vj7wk6bv2b 11 месяцев назад +1

    SWALI ALILO ULIZWA BACHU HALIJIBIKI MPAKA DUNIA IFIKE MWISHO....

    • @yazidurashidi8443
      @yazidurashidi8443 11 месяцев назад

      Lakini ni swali ambalo halibatilishi ukweli uliopo

    • @yazidurashidi8443
      @yazidurashidi8443 11 месяцев назад +1

      Hv jamani hamjamuelewa shekh bacho kwenye maneno ya imamu wa muslim

  • @suleimanabeid246
    @suleimanabeid246 11 месяцев назад +1

    Hakuna mtu mwenye elimu anaweza fanya upuuzi wa aina hii

  • @bintaidarous2762
    @bintaidarous2762 11 месяцев назад +1

    Royal court wamekubaliana kuwa uwongo wa jaafar barzanj

  • @saidali5964
    @saidali5964 11 месяцев назад

    Mwenye akili amewajuwa kuwa elimu yenu hamuna uwezo wa kujibu masuala ya Dk Muhammad Bachu . Allah amzidishiye Elimu bachu amin. Na nyinyi endeleyeni kupiga ngona nakufuata uzushi uzushi halafu mujipakaziye kuwa ni ahlusuna waljamaa kumbe ni ahlubidaa na ubishani tu ilasisi tunawafahamu sana kuwa ukweli hamuutaki ila munajuwa munazunguka bahari musoijuwa wapi imenda Allah awaongowe amin

  • @mbarakadau7345
    @mbarakadau7345 11 месяцев назад +1

    Mambo haya ni kama ikhtilafu za mwezi. Hawezi kupatikana mshindi.
    Rai yangu kila mtu abaki na msimamo.wake na kuwe ni adabu masuala ya kutupa vitabu chini na kuitana warongo hayajengi ndugu zangu. Tukubaliane kutokubaliana ili tussonge mbele. Tuna chanamoto nyingi kama umma hatuna referral hospital, tuna university moja na inachechemea tutumie nguvu nyingi kwenye haya badala ya ikhtilafu.

    • @saidsalim2386
      @saidsalim2386 11 месяцев назад

      Hapa suala lilikuwa rahisi saana angejibu tu istilahul Hadith yasema hivi kulingana na aqsaam Hadith munkar na watu wengi wangeelimika, Lakin bachu kwa kupindana kwake kukwepa kwepa suala alilijua hili kuwa mustwalahul hadiith wanavyuoni Wanasemaje kutokana na point zake, nukta zote au hoja zake Zote zingefuata msingi huo huo, Alhamdu Lillah Ustadh Said nimekuelewa vyema

  • @swalehali3037
    @swalehali3037 11 месяцев назад +3

    Hoja kumi na tisa zabaki hazijajibiwa.

  • @hassansaid6628
    @hassansaid6628 11 месяцев назад +9

    Maulid ni Biddah dhalal

    • @ahmadomar5806
      @ahmadomar5806 11 месяцев назад

      Simu ni bidddah, mtume hakutumia, ondoka youtube

    • @adammgana7811
      @adammgana7811 11 месяцев назад

      Masahafu yenyewe bidaa .. unaongea kuhusu bidaa na wakati hujui hata bidaa imetokea wapi?

    • @maulidsheni6878
      @maulidsheni6878 11 месяцев назад +1

      Yee mwenyewe ni bidaa pia ahitajika kufahamu hilo kabla ya kunena maulid ni bidaa

    • @nduwimanaamidou4009
      @nduwimanaamidou4009 2 месяца назад

      Maulidi ni bidah Allah atuepushe nayo

  • @komboruga4271
    @komboruga4271 11 месяцев назад

    Kuna minutes inetumika lakin imefeli. Mpuuz mmoja anatibua hali ya hewa mjadala unakufa watu wanaenda kujipanga upya

  • @user-uz2wh1kd8s
    @user-uz2wh1kd8s 10 месяцев назад

    🎉kwani bachu anaenda wap mbona mjadala haukwisha kashaamka siaseme ukweli kua hajui mbona mwezie katulia kwenye kiti chake?

  • @KassimMwalim-ki3zy
    @KassimMwalim-ki3zy 11 месяцев назад +1

    Ni bora pangeletwa police hapa maana hakuna hata la muhimu hapa

  • @moneyyou4928
    @moneyyou4928 10 месяцев назад

    Tutamkumbuka sana shekh Aboud Rogo Rahimahuwa huujinga munaendelea nao hopo Wakati waislam wanauliwa kila siku

  • @allyfundi6405
    @allyfundi6405 11 месяцев назад +1

    Mawahabi wamepoteana huko baada yakushindwa kujibu suali la ustadh yakaanza fujo😅😅😊

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 11 месяцев назад

      Wa kwanza kuuliza ni Bachu uthibitisho wa ukweli wa maneno ya wanyama kusema. Hola haikujibiwa Said akaja kukubali kuwa Hadith ni munkar au dhaifu. Akaulizwa aseme kama hadithi munkar au dhaifu yafaa kutumika? Hakujibu, kaja kauliza na kung'ang'ana kuhusu swali linalomuhusu Muhadith wakati Jafar si Muhadith.

    • @wm9669
      @wm9669 11 месяцев назад

      Wahabi ina maanisha nini?
      Sufi waingo

  • @abdulrahmanaboud5499
    @abdulrahmanaboud5499 11 месяцев назад +4

    Sasa kama ni urongo si itakuwa mwenye kuandika ni mrongo

  • @shabaniumande
    @shabaniumande 11 месяцев назад +6

    Kumbe watu wa bidah mmesimamia kwenye hadith za uwongo

  • @ShariifDhadho
    @ShariifDhadho 28 дней назад

    Wewe wenda kwa sanad,jawabu hujajibu,kwa sanad wenda kufanya nini?