MDAHALO, USHIRIKINA NDANI YA BARAZANJI UKWELI WABAINIKA TANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #Tafadhali_gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Комментарии • 275

  • @halfanspea428
    @halfanspea428 Год назад +6

    Alhamdulillah da ilikua tunapotezwa na mashekh zetu tunakushukuru moto bachu kutupa ilimu maulid basi kuazia leo

  • @hafidhabdi2004
    @hafidhabdi2004 Год назад +2

    Subhanallah mashekhe mnapambana sana vita za kiislam kwa waislam alafu makafir mnawaachia wakina mazinge tu kuwalingania mimi sioni kuna umuhimu ni kama wapoteza muda kuweka kiwanja cha UGOMVI hilo jambo kila mmoja anajua kujitetea kiupande wake asa kwanini Shekh msianzishe mdahalo wa dini ili kuwalingania makafir na kuja katika njia za haki au kuwakumbusha WAISLAM waikumbuke siku ya kufa na maisha ya bwana mtume Muhammad s.a.w ili nawao walinganie ALLAH awalipe wa kina shekh mazinge na wengine wanaofanya kazi kama wao na watu wa jaula (Tabligkh fysabilillah imechangia kwa maswahaba wameslimu na pia wametangaza Laillahaillallah Muhammad rasulullah. Na kurudi katika njia😢

    • @IjumaaIjumaa
      @IjumaaIjumaa Год назад

      We elim hauna jambo la munkari katka dini we wataka liachwe maono kwenye wislam hakuna kwa makafiri ndo Kuna maono wislam kwa dalili tu

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 7 месяцев назад

      Yote muhimu ndugu yangu

    • @Dewaoficial09
      @Dewaoficial09 17 дней назад

      Ndugu ttz lako umekoment bila ya kusikiliza.. ndo mana hujafaidika na lolote.. mazingatio muhimu ndugu.. alf soma

  • @dondosale
    @dondosale Год назад +5

    Mashallah bachu Allah akuzdishie elimu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад

    Wallah mashekhe wetu allah awahifadhi kwa juhudi ya kuitafuta haki

  • @msafirigau5013
    @msafirigau5013 Год назад +12

    Banchu uko vizur sana nimefaatilia mjadala wote nimekubali 🏋️

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Год назад

    Sheikh muhammad Bachu anatembelea vzr na anakwenda vzr na mda wake na maneno yako yakowazi na unaeleweka vzr

  • @kaykastro9302
    @kaykastro9302 Год назад +3

    Wallahi ustadh sabas umewaangusha wanafunzi na wafuasi wako hali ya juu mnooo ! Mtoto wangu wamiaka 12 anaelewa hoja na majibu kukuliko ww.
    Looooo umewekwa corner mpaka hujitambui. Allah akuongoze ww na sisi sote YA RAAB. AMEEN

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Год назад

      Wacha Kujidanga Kwenye Dini Hakuna Jibu Badala Zaidi Ya Kutoka Kwa Qur'an na Adith Sahihi Wewe Kwa Uwelewa wako Umeona Sabasi Amependa Kufedheheka No Hakupenda Bali Hakuwa Na Majibu Ya Kiushaidi Wa Adith Sahihi na Kutoka kwa Qur'an
      Wacha Mtto wako Wala Wewe Mwenyewe Msinge Weza Ata Kutoa Salamu Wacha Kutetea hoja No Ata Kujibu Salam Ingekushinda Usicheze Na Majibu Ya Kiushaid, Na ndio NASema Kina Siku Hakuna Masheikh Wasomi Dunian kma Masheikh wa kisuni Hakuna Masheikh Wanao Jenga Hoja Na Maswali Ya Ya Kiushaid Wa Adith Sahihi na Qur'an Kma Masheikh wa kisuni Na sio Mashabik wa kupiga Maulidi Wanao Penda Kujenga Hoja Kwa Adith Dhaifu

    • @kaykastro9302
      @kaykastro9302 Год назад

      @@sanoureyaliwadoakaroyo1696 kama inakuuma burst !!!! Hakuna lolote hapo mwapigania mpunga wenuu tuu musije ukosa ..... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hamuna lolote walaa hamutishi kielmu....

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Год назад

      @@kaykastro9302 Ndugu Yngu Nakuambia Ukweli Usio Pingika Angalia Munaqasha Wowote Ule Dunian Unao fanywa na Wapiga Maulid na Masuni Kisha Masheikh Wa kisuni Wakawa Wameshiindwa Kwenye Munaqasha Uwoo Hakuna kitu Kama iyoo Haijawai Kutokea Sio Kenya Wala Tanzania haijawai Kutokea Na Wala Haita Tokea
      Upoga Mtu Anae Jenga Hoja Kwa Kutumia Ushaidi Wa Adith Sahihi na Qur'an Na Yule Anae Jenga Hoja kwa Kutumia Uwelewa Wake Kutoka Kichwan Hawa ni Watu Wawili Tofaut Kabisa
      Na ndio Maana Sheikh Mohammad Bachu Akatoa Rai Yake kuwa Kma Kuna Sheikh Yoyote Yule Anae Weza Kumsaidia Sabasi Akotee Aje Amsaidie Akimanisha Kuwa Haki Ama Ukweli Uwezi Kuubadilisha kuwa Uwongo mbona Waligoma Kuja Kumsaidia Mwezao Walijuwa Hawata Shinda Zaid Ya kupata Fedheha Usicheze Na Masheikh wa kisuni Sio Wanao Jenga Hoja kwa Akili zao No no Suni Yoyote Yule Ajengi Hoja Isipokuwa kutoka kwa Qur'an na Adith Sahihi fully stop
      Ndio Maana Wanakuwa Wakijiamin KUFANYA Muhadhara Na Mtu Yoyote Yule Nasio Vinginevyo 🙏🙏🙏

    • @saeedabunajash6235
      @saeedabunajash6235 Год назад

      Amin

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Год назад +6

    Shaikh Muhammad umemaliza kazi

  • @rect5590
    @rect5590 Год назад +2

    MashaAllah nimemuelewa sana sheikh Sabas Allah amuhifadhi

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 Год назад +6

    Wallaahi ubishi wa akina Sabas u.ewafungua watu wengi na kupata ilmu kupitia Bachu na amekuwa ubao mzuri sana kwetu tunashukuru maana upeo wa walokuwa wanaelewa tofauti hii video itasaidia wanaotaka mwangaza wa kuiendea njia sahihi.

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Год назад +4

    Sheikh Buchu Allah akuifadh ... Awa watu wanachopigania sikion wanaluka Luka tu...

  • @omarally6819
    @omarally6819 Год назад +11

    Kwakweli Shekhe Muhammad jana dua za Waislamu wengi zili kuangukia, na tulikuombea dua Allaah akupe thabaat na shajaa'ah juu ya kubainisha hoja, na naam Allaah kajibu dua zetu.
    Umefanya kazi kubwa sana, na umetumia elimu kubwa.
    Allaah akulipe kila lakheri

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Год назад

      Tangulini Nyinyi Mkawa Duaaa. Wakati Kwenu Duaaa Nibida'a.

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص Год назад

      ​@@nurdinmfamau3493 kunani famau!? Mbona mnaongea uongo bila haya nyinyi!!! Sisi twamuomba Allah hatuombi maiti kama nyinyi!!! Ndio mnaona hatuombi? 😂😂😂😂😂 ama maiti HATUOMBI KABISA!!! TUNAMUOMBA ALLAH PEKE YAKE!! Ndio maana tukashinda kihoja hapo!!!

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Год назад

      @@مبغضالبدع-ع9ص ALIJUNUNU FUNUNU

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 Год назад

      ​@@nurdinmfamau3493nani alikwambia duwww ni badaa mwe mnasoma mjue nini answari wanakataa inamaana answari ibada ambayo mtume hakufanya wao hawafanyi

  • @musarashid-xw1qm
    @musarashid-xw1qm Год назад +5

    Bachu allah akuhifadh na akubalik

  • @ChandeSalumu-s9j
    @ChandeSalumu-s9j Год назад

    Mashallha shekh Muhammad bachu uko vizuri saanha ww unatowa dalili wao maneno saanha ujuwe wa2 wengi wanawateka kwa wa2 umarufu wanatumia umarufu waoo kwakupotosha dini

  • @shaibhemed4152
    @shaibhemed4152 Год назад

    Wallahi shk bachu umewamalizahao hawanahoja wanachekachekatu hawana jibu hawana elimu wende waka uze dawa zamitishamba ndiokazizao wakuelewa wameelewa wakaidi waache naukaidiwao umeonesha elimu kubwa kwauwezo wa Allah Dunia imefahamu kuwa barazanje ni shirki Allah akuhifadhi shk muhammad

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 Год назад +2

    Mungu azidi kukupa elimu kuliko baba yako sheikh nassar bachu

  • @mohamediabdirashidi1099
    @mohamediabdirashidi1099 Год назад +1

    Allah amuhifadhi sheikh Muhammad bachu

  • @omarsongz4422
    @omarsongz4422 Год назад

    MashaAllah Muhammad Bachu uko juu hawezi kujibu hoja yoyote, Allah akuhifadhi

  • @MusaYusuphu-y2l
    @MusaYusuphu-y2l Год назад +8

    Wallahi tumepata faida kubwa sana

  • @MuhamedsaidAdam
    @MuhamedsaidAdam Год назад

    Muhammad bachu 🎉🎉 mashallah Allah akuzidishie

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Год назад +2

    Allah akuhifadhi bachu .. upande wa pili bado hoja zaifu na unakimbia hoja

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 Год назад

    Shekh Al kubra umenimaliza mashallah una elimu. Umemfanya Bachu mtoto sana

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 Год назад +3

    Ume eleweka vuzuri ya sheikh SABAS AL KUBRA BARAKALLAHUFIK

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 Год назад

    Mungu anazidi kuwaumbua nabado mtaumbuana sana kwa uongo wenu wa hadithi rudini kwa yesu

    • @IjumaaIjumaa
      @IjumaaIjumaa Год назад

      Soma acha mkumbo yesu alitumwa kwa Wana wa isirail TU wakati wake ulipita wakati huu ni WA mohamad sw lazima utafute njia ya kweli na ukiristo SI dini

    • @AlbadawiMtoro
      @AlbadawiMtoro 7 месяцев назад

      Bado haujasema nwaka utakao gundua ukristu Siyo dini utakuja kujuta sana

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 7 месяцев назад

    Sheikh Bachu yuko sahihi zaidi maana amemrejelea Mtume s.a.w. na Allah s.w.
    Na Sheikh Alkubraa amemrejelea Sheikh Ibn...ambaye uzito wake si mkubwa.
    Quran na Sunna Tuuu❤❤

  • @saidswaleh7742
    @saidswaleh7742 Год назад

    BARAKHALLAHU FIYK AL AKHY SHEIKH WANGU MUHAMMAD BACHU

  • @AAl-xx8rh
    @AAl-xx8rh Год назад

    Hongera Bachu pasina balbala

  • @AbdallahKawambwa-qx8tl
    @AbdallahKawambwa-qx8tl 4 месяца назад

    Allah akutie motion in shall mwanaharamu WA bacho

  • @AsiaChamzuri-ec3gy
    @AsiaChamzuri-ec3gy Год назад

    wallah bachu natamani nikukute karibu nikupigie Kofi Moja tu roho yangu ituliee

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 Год назад

    Kunasihiana ni kuzur sana swala la kuelewa tumuachie mungu tu

  • @mirajihamza2892
    @mirajihamza2892 Год назад

    Shekhe bachu jazaakallahukhaira,,,,Hawa watu wa bidaa niwabishitu ktk midomo lakini mioyo Yao inakukubali kwamba uko ktk Haki,,,na ushidi ni kwamba,,,makundi tunayo yaona ya wsna Sunna,,,ni Yale yaliokua ktk maulifi zamani,,,na baada yakugundua kwamba maulidi ni bidaa na ni uingo na ni shirki,,,wakatoka ndio wakaingia ktk Sunna,,,lakini ni vigumu kukuta meana anatoka ktk Sunna nakurudi ktk maulidi,,,Haki haijifichi

  • @jumachilumba6258
    @jumachilumba6258 Год назад +7

    Hakuna wa kukupata ktk hoja bacho uko juu umejibu vizuri uyo mwenzio hana elimu uyo na anatumia akili zake tu

  • @KassimAbdullaMohammed-yb7yw
    @KassimAbdullaMohammed-yb7yw Год назад

    Bachu mashallah

  • @issamakau5841
    @issamakau5841 Год назад

    Kwa kweli Allaàh akikunyima maarifa na ufahamu kwenye ilmu umepata mtihani Mkubwa maana lazima utasumbua tu kwa kujiona msomi kumbe ukijuacho ni kusoma na kufasiri kiarabu ukadhani nawe pia ni miongoni mwa wasomi kumbe bado...Jamaa tusomeni hii dini haitaki usanii wa Qaala llaahu wa Qaalar Rasuul....Bali yahitajia ufafanyzi wa kina kama alivyokuwa akifanya Sheikh..Ila tatizo alikuwa na mtihani sana kujaribu kumfunza mtu anaejiona ana elimu ndio shida yote

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587 Год назад +1

    Mahamad alaha akujaz her na baraka

  • @zuberihamisi460
    @zuberihamisi460 Год назад

    Sasa sheikh Sabas mbona hutafsiri maneno yote?unatuchanganya

  • @safaasayed8037
    @safaasayed8037 Год назад

    Masha.Allah kijana mtoto wa Bachu wa mekufahamu wote hawo ila wanaonaaibu kukubali ndomana wanatumiya Akiki nyingi lakIni khaki washaijuwa

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Год назад +3

    Sabas aya hiyo hukupaswa kuihudhurisha imenifanya nijue wew n mwanafunz wa chekechea

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 7 месяцев назад

    QURAN na SUNNA ❤❤❤

  • @akramkhamis-sg2iu
    @akramkhamis-sg2iu Год назад +1

    mashaAllah sheikh sabas al kubra

    • @rayaali7551
      @rayaali7551 Год назад

      @akram khamis. Sasa hapo. Maashallah ya ninii. Kwa kuutetea uzushii auu kuitetea shirki. Hebu fumbuamacho na masikio yako. Pia funguka kiakiliiii wacha kushadidia maovu kwa MASLAH ya kidunia auu ndio nyie munao neemeka kutokana na mifuko ya masherehe za kiduniaaa

    • @akramkhamis-sg2iu
      @akramkhamis-sg2iu Год назад

      @@rayaali7551 wewe umeona shirki wapi? Wajua maana ya shirki? Tusiwe watu wa kurupukwa na maneno kwa ajili ukona chuki nayo na niwazi vile una zungumza mafhum yako iko chini, mas ala yaku neemeka kutokamana na mifuko zaki sherehe...hii ni ishara tosha na zungumza na mtu mwenye chuki na mafhuum ilikuwa chini zadi

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg Год назад

      hebu ww mwenye fahamu ya juu tujibiea japo hoja 1 hapo

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 Год назад

    Kwa upotoshaji na ukafirisho huu wa majazy alkubraa kama sheria ya kiislamu inafanya kazi Wallah huyu ni wa kukatwa kichwa

  • @lameckraphael3743
    @lameckraphael3743 Год назад

    Si kwel ww jamaa wa maulid,ALLAH anafuta madhambi yote ispokua shirik,Maaana ya DHAMBI ni tofauti na Maana ya SHIRIK!

  • @AbdulkarimShosi
    @AbdulkarimShosi Год назад

    Hapa sheikh sabas al kubra umenoa kwa hakika umedodora kidalili

  • @NassorMachano-md4wg
    @NassorMachano-md4wg Год назад

    Dah

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Год назад +2

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @musarashid3482
    @musarashid3482 Год назад +1

    Shukrn shkh sabaa..Allaah akujaze ilmu zaidi.ILA TUNASIKITIKA WANAOKUELEWA APO NI WASOM TU MANA UNAJIB KTK MISING YA ILMU.ILA WATU WANAEZ KUA AWAJAKUELEW WAKAON BACHU NDIO KAJENG HOJA..UPO VZUR SHKH WASOM WAMEKUELEWA.UYO DGO AACHE MIHEMKO AKASOME LUGHA FANI KANUN NK..ZINASAIDIA KUELEW MAANA ZA MAMB MENG SN, UYO BACHU ANAJUA LUGHA YA KUTARJUM TU , 😂😂

    • @ibrahimmg4786
      @ibrahimmg4786 Год назад

      Ndungu yngu bila ushabika utagundua kwamba sabas alikua anazunguuka Sana ktk kujibu pia alitaka kuleta complex mfano hii niqash ilipangwa na pande zote mbili na mada walichagua wote mambo yakapangwa Sasa baada ya kujibu anatafuta sababu ya kujitetea et Lete Sheria siku zote hizo hajajua km kuna sheria na niqash yeye ndo muandaaji (2) Yeye alisoma kitabu akakitaja cha shekhe uthymiyy wala hajambiwa kikowapi Nasoro bachu yeye kampa mpk kopi ya kitabu ana alikua nacho mkononi bs pia akadai original ya kitabu kaambiwa kipo mkobani (3) kaulizwa na yule muulizaji mtu akizini je ahukumiwe kwa nia yake au ipitishwe sherea Yeye km shekhe mkubwa Hakutakiwa ajibu aulizwe shekhe uthymiyy heeeeee 😊😊 yaani kalikwepa swali dah mpk nasema huyu ndo shekhe anaehishimiwa naamini anajua km hukmu km hajaolewa au kuowa bs apigwe mijeledi 100 au km kwenye ndoa wapigwe mawe mpk wafe lkn akijibu hivi atajifunga mwenyewe lkn swali kalikwepa Sasa unaona wazi km alikua ana babaisha tu nahau nyingi mie apo ndo kaniwacha hoi et aulizwe shekhe uthymiyy heeeeee alooo be serous

    • @IbrahimKaranja-qu9yn
      @IbrahimKaranja-qu9yn Год назад

      Allah Akuhifadhi

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Год назад +3

    فالدنيا والآخرة هي من الله ومن خلْقِهِ، وليست من جود الرسول صلى الله عليه وسلم وخلقه، والرسول صلى الله عليه وسلم لا يعلم ما في اللوح المحفوظ، إذ لا يعلم ما فيه إلا الله وحده، وهذا إطراء ومبالغة في مدح الرسول صلى الله عليه وسلم حتى جعل الدنيا والآخرة من جود الرسول وأنه يعلم الغيب الذي في اللوح المحفوظ بل إن ما في اللوح من علمه وقد نهانا الرسول صلى الله عليه وسلم عن الإطراء فقال:
    { لا تطروني كما أطرت النصارى ابن مريم، فإنما أنا عبد، فقولوا عبد الله ورسوله } رواه البخاري.
    3- ما سامني الدهر ضيماً واستجرت به إلا ونلت جواراً منه لم يُضَم
    يقول: ما أصابني مرض أو همٌّ وطلبت منه الشفاء أو تفريج الهم إلا شفاني وفرَّج همي.
    والقرآن يحكي عن إبراهيم عليه السلام قوله عن الله عز وجل:
    { وإذا مرضتُ فهو يشفين } [الشعراء: 80].
    والله تعالى يقول:
    { وإن يمسسك الله بضر فلا كاشف له إلا هو } [الأنعام: 17].
    والرسول صلى الله عليه وسلم يقول:
    { إذا سألت فأسأل الله وإذا استعنت فاستعن بالله } رواه الترمذي وقال حسن صحيح.
    4- فإن لي منه ذمة بتسميتي محمداً وهو أوفى الخلق بالذمم
    يقول الشاعر: إن لي عهداً عند الرسول أن يدخلني الجنة، لأن اسمي محمداً، ومن أين له هذا العهد ؟
    ونحن نعلم أن كثيراً من الفاسقين والشيوعيين من المسلمين اسمه محمد، فهل التسمية بمحمد مُبرر لدخولهم الجنة ؟ والرسول صلى الله عليه وسلم قال لبنته فاطمة رضي الله عنها:
    { سليني من مالي ما شِئْتِ، لا أُغني عنك من الله شيئاً } رواه البخاري.
    5- لعل رحمة ربي حين يقسمها تأتي على حسب العصيان في القسم
    وهذا غير صحيح، فلو كانت الرحمة تأتي قسمتها على قدر المعاصي كما قال الشاعر لكان على المسلم أن يزيد في المعاصي حتى يأخذ من الرحمة أكثر، وهذا لا يقوله مسلم
    ولا عاقل ولأنه مخالف قول الله تعالى:
    { إن رحمت الله قريب من المحسنين } [الأعراف:56] .

  • @theglobalsociallibertyexpr6150
    @theglobalsociallibertyexpr6150 Год назад +1

    Lahore - Pakistan Sheikh Sabas Al Kubrah , Asante saana kuelekeza ufahamu uelewa sahihi kwa ndani zaidi

    • @mohamseyf6243
      @mohamseyf6243 Год назад

      😂😅😅😅😂😂😂😂 dah sikio lakufa halisikii dawa

    • @mohamedswaleh6778
      @mohamedswaleh6778 Год назад

      Lisikii dawa majahili kumbe niweng xx hoja 19 amejibu ngap km sijahili sabass

    • @mohamseyf6243
      @mohamseyf6243 Год назад

      @@mohamedswaleh6778 usumuonee Bure hawazijibu Hana hoja, bachu ataua Mzee WA watu hoja kama mvua

  • @hajiamiri1658
    @hajiamiri1658 Год назад

    Shekh bachu allah amuhifadh

  • @JumaMuwinge
    @JumaMuwinge Год назад +1

    Allah atuhiadhi

  • @nasraabdallah
    @nasraabdallah Год назад +1

    Allah akihifadhi shekhe bachu

  • @abdallahabeid8540
    @abdallahabeid8540 Год назад

    Inna lillah waina illah rajion mumewasha mashia sasa nyinyi kwa nyinyi wakati ushia unashika hatamu sasa

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Год назад

    Barakallahu ya Muhammad Nassor Bachu,umemzidi kielimu Sabas,Sabas elimu yake ni ndogo

    • @akramkhamis-sg2iu
      @akramkhamis-sg2iu Год назад

      Ukona ushahidi gani kwa unayo dai?

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 Год назад

      @@akramkhamis-sg2iu Sabas elimu yake ni ndogo sana,hamfikii kabisa Bachu,na aende akawadang’anye watu waliokosa elimu,kama wewe umekosa kulifahamu hilo,itakua ni mmojawapo unaedanganywa,na ukakubali kudanganywa.Tatizo unakubali upotoshwaji.

  • @AsiaChamzuri-ec3gy
    @AsiaChamzuri-ec3gy Год назад

    bachu iyogope cku ambayo atakusimisha ulipe juu yakutukana mashekh nakupotosha watu unatumia nguvu nyingi sana pole sana umeangalia lkn huoni

  • @MohamedMwafujo
    @MohamedMwafujo Год назад +1

    Mtoto wa bachu amewasuza vizuri leo😂😂😂😂

  • @IdrisMunga-uz5gk
    @IdrisMunga-uz5gk Год назад

    Mm na utwarika bac kumbe kuna shirk dooooo

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587 Год назад

    Nacho uk vizuri

  • @ibnaliytv7907
    @ibnaliytv7907 Год назад +1

    Mbona sheikh sabas km sijuelewi vizuri unachokiongea na umekua unaruka ruka 2

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Год назад +3

    Tawhid tatu mbele Ibnu taimiah
    ومنهم: ابن جرير الطبري (ت: 310هـ) في مواطن عديدة من تفسيره، وانظر -على سبيل المثال- كلامه في معنى قوله تعالى: "فاعلم أنه لا إله إلا الله".
    ومنهم: أبو جعفر الطحاوي (ت: 321هـ) الذي قال في مقدمة متنه في العقيدة المشهور بالطحاوية: (نَقُولُ فِي تَوْحِيدِ اللَّهِ مُعْتَقِدِينَ بِتَوْفِيقِ اللَّهِ: إِنَّ اللَّهَ وَاحِدٌ لَا شَرِيكَ لَهُ، وَلَا شَيْءَ مِثْلُهُ، وَلَا شَيْءَ يُعْجِزُهُ، وَلَا إِلَهَ غَيْرُهُ ... )، فقوله: "إن الله واحد لا شريك له" شامل لأقسام التوحيد الثلاثة؛ فهو سبحانه واحد لا شريك له في ربوبيته، وواحد لا شريك له في ألوهيته، وواحد لا شريك له في أسمائه وصفاته.
    وقوله: "ولا شيء مثله" هذا من توحيد الأسماء والصفات.
    وقوله: "ولا شيء يعجزه" هذا من توحيد الربوبية.
    وقوله: "ولا إله غيره" هذا من توحيد الألوهية.
    ومنهم: أبو حاتم محمد بن حبان البستي (ت: 354هـ) في مقدمة كتابه: "روضة العقلاء ونزهة الفضلاء"، حيث يقول: (الحمد لله المتفرد بوحدانية الألوهية، المتعزز بعظمة الربوبية، القائم على نفوس العالم بآجالها، والعالم بتقلبها وأحوالها، المانِّ عليهم بتواتر آلائه المتفضل عليهم بسوابغ نعمائه، الذي أنشأ الخلق حين أراد بلا معين ولا مشير، وخلق البشر كما أراد بلا شبيه ولا نظير، فمضت فيهم بقدرته مشيئته ونفذت فيهم بعزته إرادته ... ).
    ومنهم: ابن أبي زيد القيرواني المالكي (ت: 386هـ) حيث قال في مقدمة كتابه الرسالة: (من ذلك الإيمانُ بالقلب، والنُّطقُ باللِّسان أنَّ الله إلَهٌ واحدٌ لا إله غيرُه، ولا شبيهَ له، ولا نَظيرَ له، ولا وَلَدَ له، ولا وَالِدَ له، ولا صاحبة له، ولا شريكَ له، ليس لأَوَّلِيَّتِهِ ابتداءٌ، ولا لآخِرِيَّتِه انقضَاءٌ، لا يَبْلُغُ كُنْهَ صِفَتِهِ الواصفون، ولاَ يُحيطُ بأمرِه المُتَفَكِّرونَ، يَعتَبِرُ المتفَكِّرونَ بآياته، ولا يَتَفكَّرونَ في مَاهِيَةِ ذاتِه، ولا يُحيطون بشيءٍ من عِلمه إلاَّ بِما شاء … إلى أن قال: … تعالَى أن يكونَ في مُلْكِهِ ما لا يُريد، أو يكونَ لأَحَد عنه غِنًى، أو يكون خالقٌ لشيءٍ إلا هو رَبُّ العباد ورَبُّ أعمالِهم، والمُقَدِّرُ لِحَركاتِهم وآجالِهم، الباعثُ الرُّسُل إليهِم لإقَامَةِ الحُجَّةِ عَلَيهم)، فذكر الأقسام الثلاثة.
    ومنهم: ابن بطة العكبري (ت: 387هـ) في كتابه: "الإبانة عن شريعة الفرقة الناجية ومجانبة الفرق المذمومة".
    ومنهم: الإمام القرطبي (ت: 671 هـ) في تفسيره في مواطن عديدة، قال: (الشِّرْكُ عَلَى ثَلَاثِ مَرَاتِبَ وَكُلُّهُ مُحَرَّمٌ. وَأَصْلُهُ اعْتِقَادُ شَرِيكٍ لِلَّهِ فِي أُلُوهِيَّتِهِ، وَهُوَ الشِّرْكُ الْأَعْظَمُ، وَهُوَ شِرْكُ الْجَاهِلِيَّةِ، وَهُوَ الْمُرَادُ بِقَوْلِهِ تَعَالَى: (إِنَّ اللَّهَ لَا يَغْفِرُ أَنْ يُشْرَكَ بِهِ وَيَغْفِرُ مَا دُونَ ذلِكَ لِمَنْ يَشاءُ). وَيَلِيهِ فِي الرُّتْبَةِ اعْتِقَادُ شَرِيكٍ لِلَّهِ تَعَالَى فِي الْفِعْلِ، وَهُوَ قَوْلُ مَنْ قَالَ: إِنَّ مَوْجُودًا مَا غَيْرَ اللَّهِ تَعَالَى يَسْتَقِلُّ بِإِحْدَاثِ فِعْلٍ وَإِيجَادِهِ وَإِنْ لَمْ يَعْتَقِدْ كَوْنَهُ إِلَهًا كَالْقَدَرِيَّةِ مَجُوسِ هَذِهِ الْأُمَّةِ، وَقَدْ تَبَرَّأَ مِنْهُمُ ابْنُ عُمَرَ كَمَا فِي حَدِيثِ جِبْرِيلَ عَلَيْهِ السَّلَامُ. وَيَلِي هَذِهِ الرُّتْبَةَ الْإِشْرَاكُ فِي الْعِبَادَةِ).

  • @saidgawawa
    @saidgawawa Год назад +1

    Mashallah Sheikh sabas ni mti hoja zilizo kwenda shule

  • @maulidbadali9530
    @maulidbadali9530 Год назад

    Watakwama Nan shkh

  • @RamadhaniRamadhani-yd4hq
    @RamadhaniRamadhani-yd4hq Год назад +3

    Sheria zenyewe hulekebishwa hata kitabu cha maulidi kinatakiwa kulekebishwa jamani kilitungwa na MTU sio mungu

    • @RadhiaKasimu-so1xq
      @RadhiaKasimu-so1xq Год назад

      Dini Kwa dalili nyie watu wa maulidi mtadanganya mpaka lini haijafika wakati mkatubia kwa Allah

    • @RamadhaniRamadhani-yd4hq
      @RamadhaniRamadhani-yd4hq Год назад

      @@RadhiaKasimu-so1xq hahahaa hii hapa duniani tutadanganywa mpaka

  • @Imam_Roji_tv
    @Imam_Roji_tv 11 месяцев назад

    mmmhhhhh kiukweli bachuu hajasma arudi chuo akasmeshwee nahauuu pamja na fani yahadithi kwamoto washekh saidiii atasma barazanji bachoo yaan sio aibu teleeeeeeeee kwa bachooo neno languu kasme ndo mawaidha yangu yaleo kwabachuuuu😅😅😅😅😅😅😅

  • @abdul-azeezmagram4973
    @abdul-azeezmagram4973 Год назад

    Alhamdulliah faida imepatikana lkn haya sio mambo muhimu sana katika dini yapo mambo muhimu mashekh wetu mmeyawacha hamutaki kuyafanya kuna watu tena ni waislamu wenzetu hawajui misingi ya dini yao ingekuwa vyema mukawafikia ili kuwaongoza kuliko kuwacha ummah muhammad kupotea kuliko kubaki kwenye maulid na mengine ambaya hayana tija kuna waislm wanalala na njaa wengine wagonjwa wengine hawajui maadil wamepotea walevi wacheza kamari waizi wazinifu n.k

  • @isihakaabdul1134
    @isihakaabdul1134 Год назад +4

    Kwa haya hata mimi maulidini sendi tena ukweli umebainika.

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587 Год назад

    Sabas kasome kwa Mohamad

  • @hasanathuman6591
    @hasanathuman6591 Год назад

    shekh Majazi leo kapatikana

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Год назад

    Sabas hoj ya kwanz dhaifu sana kuhus mazish ya ibnu taymiah

  • @swalehmohammed3491
    @swalehmohammed3491 Год назад

    Mashallah

  • @ibnaliytv7907
    @ibnaliytv7907 Год назад

    Watu wa twariika mnajizima data lkn ukweli ni kwamba hoja zoote hamjazijibu mnazunguka zunguka tu

  • @AAl-xx8rh
    @AAl-xx8rh Год назад +1

    Shekh Qubra huna kipaji cha mjadala ufasaha huna brother

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw Год назад +1

    alhabiib sheikh sabbas nakuelewa san unavyoleta elimu hapo hakun kupuyanga ni elimu tu

    • @ibrahimmg4786
      @ibrahimmg4786 Год назад

      naomba jibu straight ambalo shekhe wako kajibu kwa hadith sahihi au kur-ani mie naona kazonga zonga tu nahau nyingi

  • @TheZanzibarstonetown
    @TheZanzibarstonetown Год назад

    Sheikh Hii barzanji ina shubha

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 Год назад

    Regeeni kwa mungu muache kufru masufi...
    Sabasi muongo na Diwani wake wstu wa masilaii hao kulaaa tuu.

  • @kisuwamwabaka333
    @kisuwamwabaka333 Год назад +1

    Huyu sheikh Abas alitakiwa apigwe mboko anapotosha Watu sanaa anajibu hoja kiakili hahaha. Bachuuu( a young lion is a lion) hongera Mohammed Bachu.

  • @ibrahimsaad617
    @ibrahimsaad617 Год назад +1

    Bacho bado mtoto sana kielimu anachanganya mambo ana uwahabi wa kitoto

  • @adamuabdilahi4710
    @adamuabdilahi4710 Год назад +2

    Huyu Mtoto Wa Bachu Kiboko,Mtoto Anajua Sana Huyu!!

  • @AlawyAlawy-r1i
    @AlawyAlawy-r1i Год назад

    Amma kweli C KIO la kufa halickii dawa BACHU NI SUMMU BUKMU UMMYU haon au hataki haki

  • @mohdkhalfan1380
    @mohdkhalfan1380 Год назад

    Sasa hapa wanapingana kwa maulid hicho kitabu hajaleta Mungu wala Mtume sasa sikiachwe kisisomwe?

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 Год назад

    Lohhh Bachu kweli elimu ya undani hana. Elimu yake ni ya tafsiri za juu juu hana uelewa kweli

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Год назад +1

    Majazi majazi mnapenda kula tu, mala utasikia leteni huku Kwa Mashekh Nyama nyingi nyingi....

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Год назад +2

    Bachu mtoto wa Simba!

  • @mudimaalim217
    @mudimaalim217 Год назад

    Sheikh sabas umejibu vizur ila uelewa wa wengine ni mdogp maana mawahab weng wanakuwa na uelewa mdogo wanatafsir neno kwa neno

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg Год назад

      kwa sababu mawahabi wanajiepusha na shubha.
      Mawahabi hawampambi saaaana paka asije geuka chui kama vile masufi walivyopindukia mipaka kumsifu mtume ﷺ

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Walishaitikadi washirikina kuwa wanawasujudia masanamu sio kwa ajili ingine ila ni majaz tu wanafanya kwa ajili ya kuwakaribisha kwa Allah kupitia ibada yao ya sanamu tazama az zumara
    { أَلَا لِلَّهِ ٱلدِّینُ ٱلۡخَالِصُۚ وَٱلَّذِینَ ٱتَّخَذُوا۟ مِن دُونِهِۦۤ أَوۡلِیَاۤءَ مَا نَعۡبُدُهُمۡ إِلَّا لِیُقَرِّبُونَاۤ إِلَى ٱللَّهِ زُلۡفَىٰۤ إِنَّ ٱللَّهَ یَحۡكُمُ بَیۡنَهُمۡ فِی مَا هُمۡ فِیهِ یَخۡتَلِفُونَۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا یَهۡدِی مَنۡ هُوَ كَـٰذِبࣱ كَفَّارࣱ }
    [Surah Az-Zumar: 3]
    "Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri"
    HIZO Hao nao wanapenda kupinga aatu wa tawheed na huku wanaabudia sanamu wakiulizwa wanajibu "ni majazi" Kwanini wahirikina mnapenda sana kujifichia kwenye majaz kila ibada zenu za shirki mkikatazwa na mnakuwa mwashindana na ahlut tawheed na hapa kila kitu mkikamatwa mwasingizia majaz na hao nao walitumia sababu za uongo na kuita "majaz" kama ninyi mpaka Allah anawarudi

  • @kijeshimpangomzima
    @kijeshimpangomzima Год назад

    Muhammad bachu yupo sawa sn

  • @komboko4143
    @komboko4143 Год назад

    ❤❤❤bachu point view but ans un view😅😅😅kz kweli

  • @fisabillah-o7r
    @fisabillah-o7r Год назад

    Ni Kweli uelewa ni tatizo ulilonalo sabas kubra...sijui hata umeongea nini...hueleweki, unajikanyaga kanyaga tu...

  • @advancedmathematicslessons
    @advancedmathematicslessons Год назад +1

    Sabbas hana uwezo wa kujib hoja

  • @KinuniSchool
    @KinuniSchool Год назад

    AIBU!! HAYA SIO MAPITIO YA WAISLAM ,KAENI FARAGHA MUELIMISHANE NA SIO KUADHIRISHANA HADHARANI,WATU WANAMOANGO WATU KUOANA JINSIA MOJA NYIE NDIO MUNA ANZA KULUMBANA HADHARANI,

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 Год назад +2

    Tumepata faida wenye kupata na tuwaombee na wenzetu Allah awajaalie wafungue macho maana shetan da'awa y tawheed na ya iisalaf haitaki anawapamba watu waichukie zaidi na kuwapa njia za kujiona wapo sawa wakatafsir kwa matamanio ya nafsi zao kwa kuwa hakuna alopotea kama afuataye matamanio ya nafsi yake bila ya haki. HAKINA Allah hawaongozi watu nadhalim (wenye kibri na ushabiki mbels ya haki wakaichukia haki kwa maslah ya nafsi zao) na kwa dalili tu na hoja ambaye atasimamia kutaka kujua haki akamuomba Allah atajua na ambaye ana noa ya kutetea utamu wa ubwabwa na maanadazi ya maulid atabakia katka ubwabwa hadi Allah akitaka amuongoze au afie katika sufuria la ubwabwa wa mau. Kuba kuwaombe ndugu zetu Allah awaongoze maana nasi tulikuaa huko akatutoa tumekula sana maandazi na kuimba bila kujua na kucheza na kutandika matwari lakin haki ikaja akatuokoa na hayo.

  • @twalibkatuli5318
    @twalibkatuli5318 Год назад

    kama huna elimu huwezi kumuelewa sheikh Sabasi kubra me nimemfahamu vzr sana jamaa ana elimu hatumii nguvu kulekeza na mifano yake midg sana na myepesi inaeleweka

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Год назад +1

    Wa kwanza ku gawanya Altowhid
    الحمد لله، والصلاة والسلام على رسول الله، أما بعد؛
    فالحقيقة أن تقسيم التوحيد إلى الأقسام الثلاثة: (توحيد الربوبية، والألوهية، والأسماء والصفات) ليس من مخترعات شيخ الإسلام ابن تيمية -كما زعموا!-، بل قال به أئمة وعلماء من السلف قبل ابن تيمية.
    فمِن هؤلاء الأئمة: أبو حنيفة (ت: 150هـ) في الفقه الأكبر الذي قال فيه: (وَالله تَعَالَى يُدعى مِن أعلى لَا من أَسْفَل؛ لأنَّ الأَسْفَل لَيْسَ من وصف الربوبية والألوهية فِي شَيْء).
    فقوله: "يدعى مِن أعلى لا من أسفل … ": فيه إثبات العلو لله، وهو مِن توحيد الأسماء والصفات، وفيه رد على الجهمية والمعتزلة والأشاعرة والماتريدية وغيرهم مِن نفاة العلو.
    وقوله: "من وصف الربوبية": فيه إثبات توحيد الربوبية.
    وقوله: "والألوهية": فيه إثبات توحيد الألوهية.
    ومنهم: القاضي أبو يوسف صاحب أبي حنيفة (ت: 182هـ)، وقد نقل كلامه كل من الحافظ ابن مَنْدَه (ت: 395هـ) في كتابه التوحيد.
    ومنهم: الإمام أبو القاسم إسماعيل التيمي الأصبهاني (ت: 535هـ) في كتابه الحجة، وأثر أبي يوسف هذا الذي رواه هذان الإمامان عظيم، القدر مشتمل على أقسام التوحيد الثلاثة: توحيد الربوبية وتوحيد الألوهية وتوحيد الأسماء والصفات

    • @suleyazidu4991
      @suleyazidu4991 Год назад

      الله أكبر. بارك الله فيك وجزاك الله خيرا

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Sabas muogope Allah maana unaona jua linatoa mwangaza lakin unajifanya huoni kabisa mchana kweupe na sio kipofu kabbisa Allah akuongoze katka haki na nduguyo maana haki ni mwangaza na upotof ni giza unaleta giza jamaa analeta mwanga unamulika vizuri teN kwenye giza kali ukija mwanga unamulika vizuri sana we leta giza mwanga uje tusome zaidi na utaamua mwenyewe kuendelea kuwa ubao au ubadilike halaf wajua kukwepa sana kujibu maswali na kukimbilia kulalamika na kupotezea majazi majazi hata mwishowe unaulizwa nati unatoa jibu screw vitu tofaut ukiambiwa kuhusu kijiko unajibu jembe vitu tofauti na pia hoja zako badala ya kuegemeza katika elimu unaangalia walomzika ibni Taymiya hata kama sio watu walokuwa wanasoma kwake unangangania sana vitu vya ajabu ajabu na hao wanafunzi hawakusema walikubaliana nayo

  • @Abiola-ei8es
    @Abiola-ei8es Год назад +1

    Mzee WA Majazi usisahau NA mandazi kwa sababu unapenda kula.

  • @niyakhalid5650
    @niyakhalid5650 Год назад +2

    Hadi namuonea huruma huyu Sabas

  • @yoramabubakar8012
    @yoramabubakar8012 Год назад

    Kwa kusema ukweli huu shekh sabas anatetea musimamo wake tu , anatetea shiriki kabisa

  • @RamadhaniRamadhani-yd4hq
    @RamadhaniRamadhani-yd4hq Год назад

    Nyie watu barazanj mjueni na yesu ni mungu katika utatu

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Год назад

    DIWANI. UNAJIVHEKESHA. BAADA KUJIONA 0 MTOTO WA BACHU AMEKUNYOOOSHAAA. MTOTO AMEKU WEKA SAWAA NA MAJAZI WAKO HAYA SASA NENDENI MUKAENDELEE NA KUUZA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME NDIO FANY ZENU WEWE NA SANBAS ( MAJAAZ )

  • @adamomarchannel5101
    @adamomarchannel5101 Год назад

    Huyo kwa hakika ni msomi tunafaa tusimame na huyu sheikhi

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Год назад +1

    ماذا تعرف عن قصيدة البردة
    الحمد لله رب العالمين، والصلاة والسلام على رسوله الأمين وعلى آله وصحبه أجمعين
    هذه القصيدة للشاعر البوصيري مشهورة بين الناس ولا سيما بين الصوفيين.
    ولو تدبرنا معناها لرأينا فيها مخالفات للقرآن الكريم وسنة الرسول صلى الله عليه وسلم !
    يقول في قصيدته:
    1- يا أكرم الخلق ما لي من ألوذ به سواك عند حلول الحادث العمم
    يستغيث الشاعر بالرسول صلى الله عليه وسلم ويقول له: لا أجد من ألتجئ إليه عند نزول الشدائد العامة إلا أنت، وهذا من الشرك الأكبر الذي يُخلد صاحبه في النار إن لم يتب منه، لقوله تعالى:
    { ولا تدع من دون الله ما لا ينفعك ولا يضرك فإن فعلت فإنك إذا من الظالمين } [ يونس: 106].
    ( أي المشركين ) لأن الشرك ظلم عظيم.
    وقوله صلى الله عليه وسلم:
    { من مات وهو يدعو من دون الله نداً دخل النار } رواه البخاري.
    ( الند: المثيل ).
    2- فإن من جودك الدنيا وضرتها ومن علومك علم اللوح والقلم
    وهذا تكذيب للقرآن الذي يقول الله فيه:
    { وإن لنا للآخرة والأولى }

    • @suleyazidu4991
      @suleyazidu4991 Год назад

      بارك الله فيك وجزاك الله خيرا