MAZINGE ASHINDWA KUVUMILIA AMUULIZA SWALI SH MUHAMMAD BACHU ?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #Tafadhali_gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Комментарии • 125

  • @kijeshimpangomzima
    @kijeshimpangomzima Год назад +14

    mazinge ww nimtu mzima utakwenda kumchezea huyo mtt sshv utaharibu sifa ulizo nazo huyo mtt mashaallah

    • @user-dw2bz1ne7q
      @user-dw2bz1ne7q Год назад

      Jahazi lilizama uzima uzima 😅😅😅

    • @hedebjuma6791
      @hedebjuma6791 Год назад

      Ww Una Ali lakin

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Год назад

      Nyinyi Watu Wa Majazi Cjui Akili Zenu Zinakuwaga Wapi Iv Nani Alikuambia Elimu Ni Ukubwa Wacha Ujinga Ni ndio Kubwa Na sio Umri wa Mtu

    • @saiddaud3855
      @saiddaud3855 Год назад

      Huyu mtoto wa marhemu ako na ujinga wa kupitiliza

    • @khalfanhamadi3616
      @khalfanhamadi3616 Год назад +1

      Kweli kabisa ataivyo sheikh Mohammed huwa anamsifu sana mazinge

  • @BON357
    @BON357 3 месяца назад +1

    Muhammed bachu upo vizuri xana

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi Год назад +6

    Sheikh wng Mazinge ALLAH azidi kukubaarik 🤲🤲🤲 i love you Mazinge

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Год назад +1

    MashaAllah sheikh bachu upo vzr sana

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani6423 Год назад +3

    Waislamu wana shida nyingi sana za kijamii ikiwemo umaskini ujinga na ukosefu wa kazi na mitaji wekeni makongamano ya kuwa saidia waislamu kuondokana na hali hizo ! Waacheni hayo mambo ya khitma na maulidi na mwezi / hayana nafasi kwa sasa jamii ya kiislamu ina zidi kuelea kwenye umaskini

    • @idrisamara6510
      @idrisamara6510 Год назад +2

      kawape riziki kama unaweza. Shida yetu kubwa zaidi ni ujinga wetu wa kutokuijua dini yetu

    • @mustafahakim-iq7dj
      @mustafahakim-iq7dj Год назад

      We unanjali dunia kuliko dini kwani mtu kukataza shirki nijambo dog?

    • @user-dg9pn5tl2d
      @user-dg9pn5tl2d Год назад

      Kwa hio unamaanisha kila Mtu afanye atakalo sio au kukataza UZUSHI ktk Dini ni makosa Mtume Mohamed s.a.w anasema nawatahadharisha na UZUSHI kwa hio Mtume kakoseya ndivyo unavyo Manisha.

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu Год назад +14

    Mazinge mtaalamu kwa makafiri sio kwenye mambo ya elimu ya dini swali alilo uliza upuuzi 2

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 Год назад +2

      Usiseme upuuzi. Haifai ndugi yang

    • @bobdeobobdeo8026
      @bobdeobobdeo8026 Год назад

      Kaka hawa watu hawana lolote la kutisha tukae kwene msimamo tulonao maana tukiwasikiza sana wanatupotezea muda. Wa kufanya ibada

    • @lemalisipilali
      @lemalisipilali Год назад

      🙏😂😂😂😂🙏

    • @lemalisipilali
      @lemalisipilali Год назад +1

      @@mohamedturanardan8871 tatizo kutetea ujinga ndio ubofu wa akili kwani watu wengi wangeelewa kitabu Cha barazanji unafikiri watu wangeacha ukiristo kwajili ya ujinga
      Lakini pia kwanini asiwe anawasomea watu kitabu Cha barazanji uwone kama nani atakufata Yani
      Ila iyeshimu Quran na suna za mtume Swalla llah waleyhi wasallam

    • @user-dg9pn5tl2d
      @user-dg9pn5tl2d Год назад

      ​@@mohamedturanardan8871kwa sababu Haijui QURAN na SUNNAH ndio likawa la kipuuzi nadhani umeelewa.

  • @nehembajoh1524
    @nehembajoh1524 Год назад +1

    Bachu mashaAllah ako na elimu ya hali ya juu Allah akuzindishe inshaAllah

  • @BON357
    @BON357 3 месяца назад +1

    Mazinge mjanja alitaka tupate erimu ya uwongo wa kitabu icho feki

  • @lemalisipilali
    @lemalisipilali Год назад +4

    Hakika ostz mazing usijaribu tena😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @officialmutrahlg2484
    @officialmutrahlg2484 Год назад +3

    Maulid hatuachi mpaka kiama kisimame na pepon tutaingia na duffu zetu

    • @jumaharuna2995
      @jumaharuna2995 Год назад

      Hawa mbwa wasitusumbue bure

    • @humanitydensity8974
      @humanitydensity8974 Год назад

      @@jumaharuna2995 sote ni binadamu zaidi ndani ya neema ya Uislamu...! tusipokonyane hadhi alizotupa Allah!

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +1

    Mwenyezimungu akupe maisha marefu mazinge

    • @bobdeobobdeo8026
      @bobdeobobdeo8026 Год назад

      Nani alofanya kazi ya dini katika hao wanaojiita masalafiuna zaid ya mazinge. Mungu amlinde sana mazinge

    • @BuruhaniKitomozi-gb7fb
      @BuruhaniKitomozi-gb7fb Год назад

      Jamaninipeninamba yamwanawabachu

  • @Abuuhurayrahsaalim
    @Abuuhurayrahsaalim Год назад +1

    Naam Shekh bachu Allaah akuweke

  • @pakashume725
    @pakashume725 Год назад +6

    Wakati mshumaa ukiteketea Kwa moto, Kuna wengine wanapata mwangaza. Dunia ya Leo watu si wajinga kihivyo! Kuna watakao silimu upya!

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu Год назад +5

    Yote tisa mzee majaz hana elimu jitu la uzushi 2

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 Год назад +1

    Kijana Kakosa adabu za elimu

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 Год назад +1

    Sawa kabisa bachu kiboko yao.

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw 10 месяцев назад

    Unaulizwa sisimizi alikua anoongea lugha gani? Au hujui?

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад +2

    Kwanza nchekee ,bachu kiboko yaoo

  • @user-bu4sj4tv6l
    @user-bu4sj4tv6l 5 месяцев назад

    Nyinyi Masekh wa Tanzania hamko sawa dimi mumeifeuza simba na yanga

  • @abdullaothman5728
    @abdullaothman5728 Год назад

    swali la kipumbavu kama hivyo ndivyo ulivyo ni sifuri,mazinge ulikusudia kumuangusha bacho lkn umejidharaulisha na ulikuwa hujui hoja zilizopo mezani

  • @adammaulid2356
    @adammaulid2356 Год назад +1

    Mazinge amejidhalilisha

  • @binsaid7547
    @binsaid7547 Год назад

    Mm cjasoma ila hchi kilichofanyika nahx c sahihi ypo mamb meng xn na muhmu ya kufanya km waislam dhambi zimeenea ushoga umeenea, usagaji pia umeenea hyo ndy mamb ya kukaa mukayafanyia mijadala munanza kuzozana nyny kwa nyny munadhan ni Nani atavutika na kupata Hamasa ya kuingia kwnye uislam?

    • @abdulhamidhaji5056
      @abdulhamidhaji5056 Год назад

      Hivi unadhani hayo hawayasemi ?
      Pande zote hakuna asiyekataza uchafu huo ndgu

    • @nurhatmubarak729
      @nurhatmubarak729 Год назад

      Suali muhimu hapo ni kipi Cha kuwavutiy upande mwengine h

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад

    Wachungaji wanaogopa waarabu kuwekeza kwenye bandari ndo mana wanawatumia chadema kupinga muarabu kuwekeza kwenye bandari masheikh muamke mpambane nao

  • @user-hf4pb7wi1j
    @user-hf4pb7wi1j Год назад +1

    We Mazinge makosa adabu huyo si saizi Yoko we sheikh unamuita eti utu bwana kasome ovyo bimabibilia vyenu uko rasulu llah aliwaingiza maswakhaba kwa kur an na sina kubwa na adabu na masheikh zetu wakisuna

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw 10 месяцев назад

    Mbona hukujibu swali.unajikanyaga kanyaga tu?

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад

    Tuwaulize walevi ushahidi...unauliza WACHAMUNGU USHAHIDI...

  • @BON357
    @BON357 3 месяца назад

    Mazinge vpi umedata nni swali gani alilengi kwenye kitabu feki

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад

    Je tuwaache wAlio uchi wa mnyama tumuandame alovaa Busta tuwaulize taarabu watupe ushahidi na matariku swalat

  • @SaydAliy-uy7wo
    @SaydAliy-uy7wo 10 месяцев назад

    Huyu mtt wa bachu asa anaumia wapi mtume kusifiwa

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 Год назад +2

    Mazinge anajifanya anajua kila kitu kumbe hamna kitu

  • @ibrahimamidu4973
    @ibrahimamidu4973 Год назад

    Mazinge.maswali kawaulize makafiri

  • @ammaryammary3554
    @ammaryammary3554 Год назад +8

    Mazinge alijua anaongea na ndacha

  • @adammujumma6550
    @adammujumma6550 Год назад +1

    Kwanz mngekuwa na Imani kwlii mngelingania dini hko so kuwek mijadala isio nafaida

  • @mohamedabdullahi8069
    @mohamedabdullahi8069 5 месяцев назад

    Bachu Anaita Hadith makruh uongo, upungufu waa kielimu

  • @ilyasawadh6375
    @ilyasawadh6375 Год назад

    bachu anauliza kilicho elezwa ya kwamba wanyama walizungumza kwa lugha ya kiarabu. bachu anauliza swali isio ingia akilini. manake isha semwa wanyama walizungumza kwa lugha ya KIARABU. Muhammad bachu ni mtumishi wa mayahudi na baadhi ya mawahabi wengine.

  • @user-ur4sf5dz1x
    @user-ur4sf5dz1x Год назад +1

    Jamni nyie ivo si katika vizuri kaeni markaz kwenu fundishini acheni na propaganda zenu izo je wanao tamani kuingia kwenye dini ya uislamu wataingia kweli???hali ya kuwa wenyewe mnazozana ivo jamanii
    Kila mmoja yupo sahihi kwan anajopo la maulamaa analifuata
    . umakini unaitajika na fikra nyingi sana 😭😭

    • @bobdeobobdeo8026
      @bobdeobobdeo8026 Год назад

      Haya majamaa hayajijui kama yanatumika kutugawa kwene dini. Makufar wameona wao kutulingania hawawezi wameanza kututumia sisi wenyewe. Na hii hasa ni kwa sisi waafrika ndio sana hasa hizi nchi za vijana wavivu kukaa kusoma wengi wataka elimu ya kusikiliza tu.

  • @salumkatula4824
    @salumkatula4824 Год назад +4

    Muhammad bachu amejibu swali vizur

  • @bobdeobobdeo8026
    @bobdeobobdeo8026 Год назад +3

    Wee ambae hutaki maulidi nini kinakuchoma na kukuumiza juu ya anayefanya maulidi. Acheni ujinga hayo mnayoyafanya siyo katika ibada mnawaruhusu wasohusika kuwagaweni

    • @muhammedameir3582
      @muhammedameir3582 Год назад

      Si kweli huu ulimwengu watu wamesoma watu hawakubali kirahisi rahisi tu.
      Lazima uweze kuwa hoja za kutetea madai yako. Kumsifu mtume(saw) kwa sifa sio zake ni kumchafua. Chukulia hoja hizi anazozileta Bachu zingeletwa na asiye kuwa muislam wewe ungezijibu vipi?
      Mtume Muhammad (saw) ana sifa bora hahitajii kusemewa uwongo. Usiwape maaduwi zako fimbo wakakuchapa. Mfahamu Bachu anasema nini.

    • @AliMohamed-gv7nw
      @AliMohamed-gv7nw Год назад

      Hujielewi

    • @saidmohammed2830
      @saidmohammed2830 Год назад

      SI mzima ww watu wanyamaze juu ya Shirki subuhanallah

    • @hashimsaid3766
      @hashimsaid3766 Год назад

      Tulia ww

    • @yussuffadhil4522
      @yussuffadhil4522 Год назад

      maulid hamna kituu wngefanya makhalifa wanne kwa vishindoo na kwa nguvu zote. ila nyie mwaichezea dini tu mmeikuta watu washamaliza kazi na sisitumepata mtelezo wkt wtu wmeipigania kwa roho zao nyie mnacheza nayoo

  • @ayoubrashid8392
    @ayoubrashid8392 Год назад +8

    Tutafanya maulid mpaka kiama .....In Shaa Allah

    • @aymanmangube4092
      @aymanmangube4092 Год назад +2

      unamkomesha nani sasa

    • @mohamedturanardan8871
      @mohamedturanardan8871 Год назад +3

      Kiburi hakifai, na sisi tuliyasoma maulidi sana lakini ili[pokuja haqq tukachagua hakk

    • @ibrahimabdillah5729
      @ibrahimabdillah5729 Год назад +2

      Hata ukiona mlango wa Moto...wewe utafanya tu bila kujali!!!!!!!

    • @bobdeobobdeo8026
      @bobdeobobdeo8026 Год назад

      Someni uislamu kwa kukaa madrasa siyo kusoma kwene internet hawa wanaosoma maulidi ndio wenye elimu yenye nuru na thamani kubwa ambayo ndio muhimili mkubwa duniani wanaofanya kazi ya kulingania makufar hadi wanaingia kwene uislam. Siyo nyinyi mnaotumika kuugawa uislam

    • @pakashume725
      @pakashume725 Год назад

      Inshallah Allah atakulipeni Kwa stahiki zenu, kwani yeye ndie mjuzi.

  • @mohamedyahya6268
    @mohamedyahya6268 11 месяцев назад

    Mazinge watu wanaongea kwa dalili wew unaleta maswali ya kutegana hiyo sio Bible 😂😂

  • @omarchaijefwa729
    @omarchaijefwa729 Год назад

    Hapa mazinge amefeli ,tatizo sio kwa wadudu kwa nabii Suleiman A.S,lakn hawa wa maulid wanazidisha sukari

    • @humanitydensity8974
      @humanitydensity8974 Год назад

      Basi onyesha kwa umakini na uwazi kilichokuwa sawa ni kipi na kilicho zidishwa ni kipi kwa ubainifu na malengo ya Islahi!

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw 10 месяцев назад

    Wewe kasome, elimu yako wewe ni ya ushindani, wewe mtoto wa mzee bacho huna elimu dini.

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu Год назад +1

    Mijitu ilio kosa maarifa hata kufikiri haifikiri na majitu yanayo sapot yote hayana akili

    • @halimahussein6792
      @halimahussein6792 Год назад +1

      kama ww uliye andika msg na kama ungekuwa na akili usingeandika msg hii😮

    • @ammaryammary3554
      @ammaryammary3554 Год назад +1

      Halima achakutetea ujinga hao maswahaba wangecheza maulidi hii dini ingefka usifuate wazazi wako fuata haki

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Inaonekana kuwa wewe ni kafiri

    • @ammaryammary3554
      @ammaryammary3554 Год назад +2

      @@jumakapilima7295 ana muslim na Allah nishahid

    • @humanitydensity8974
      @humanitydensity8974 Год назад

      Mizani yako imebendukia mipaka fanya wastani...usitie tashdidi sana huenda unakosea pia!!

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад

    SHEKH BACHU BORA UPAMBANE NA MASHOGA NA MABASHA NA WASAGAJI UTAKUA UMEFANYA JAMBO KUBWA ACHA MAMBO MADOGO hayo tunakutegemea kamulize shogi ushahidi....

    • @humanitydensity8974
      @humanitydensity8974 Год назад

      Hoja sampuli ganii hii...Imejengeka katika misingi ipi (Hasira na chuki mapendeleo ya kibinafsi au huruma)?!

  • @khamiskhamis2871
    @khamiskhamis2871 Год назад

    Waislamu huo ni ujinga mnawapa watu faida gani

  • @sifankubana1697
    @sifankubana1697 Год назад

    Watasema ni majazi kunakitu kilimaanishwa hapo hawakosagi majibu watu wamaulid

  • @jumaathumaninnalillahwaina1972
    @jumaathumaninnalillahwaina1972 Год назад +1

    Hakuna faida ya huo mnaqasha
    Hao walioandaa huo mnaqasha wanafanya dini iwe na ushabiki kama simba na yanga mtihan walah Allah atunusuru
    Kuna mambo mengi ya kufanya hayo ya mnaqasha hayana maana hata kidogo

  • @dagnatordo-fe6nh
    @dagnatordo-fe6nh Год назад

    Mshumaa umewaka kweli !!!

  • @user-xh6fz2tu9d
    @user-xh6fz2tu9d Год назад

    Huo mdaharo wa kiislamu haukuwa sawa kwa sababu Leo tunapambana na

  • @ramyramso
    @ramyramso Год назад

    Kawatafuteni kina mwamposa huko muwalete katika dini ya haki nyie kubishana tuuu na mambo madogo madogo kina mwamposa wanawauzia watu kijiko cha udongo buku et ni uponyaji nyie mnakaa kubishana tu watoeni watu kwenye ukafiri muwalete huku

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Год назад

    Yan mazinge unauliza maswali ya kijahili kwa shekh bachu kanakwamba unamuuliza kafiri

    • @humanitydensity8974
      @humanitydensity8974 Год назад

      Unahukumu pia wewe...kila mtu amaekua Mufti Inna Lillahi Wa Inna Ilaihi Ra'ajiuun

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад +1

    Duu kwelii baachu kiboko

    • @humanitydensity8974
      @humanitydensity8974 Год назад

      KIBOKO myama au vipi hizi comment zetu zatoa natija gani kwa Umma wa kiislamu!!

  • @ibrahimamidu4973
    @ibrahimamidu4973 Год назад

    Bachu ni mwamba

    • @humanitydensity8974
      @humanitydensity8974 Год назад

      mwamba manake nini? Tuhurumianeni hakuna mkamilifu !! wengine tuskilize tu au tufanye mambo mbadala sio kuegemea pande Haki haina upande Iko mahala Pake haifikii mtu kwa kuwa mwamba...ni ushauri tu! Afwan