MITIHANI KWENYE DA'AWA |SHEIKH MUHAMMAD BACHU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #alhaajartvkenya #mombasa #live
    SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
    Instagram: Alhaajartvkenya
    Twitter: Alhaajartvkenya
    Facebook: Alhaajartvkenya
    RUclips: Alhaajartvkenya
    © Al Haajar TV Kenya 2024

Комментарии • 37

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 2 месяца назад +7

    Hii hotuba ni kama wasia wallahi, ya Rabi fungua roho ya waja wako kuiona haqi na kufuata

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j 2 месяца назад +2

    Allah akuhifadhi ndugu yetu Muhammad bachu.

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 2 месяца назад +1

    Ewe Allaah muhifadhi Shekh Muhammad Bachu kutokana na shari za wazushi, waovu na maaduwi wote wakijinni na kibinadamu.
    Mpe nguvu na upana wa maarifa na umuwezeshe kufanya Da'wa kwa nguvu zote alizo nazo

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад +1

    Allahu Akibarr. Jazakrllah khaillah kwaukumbusho. Shehewetu mpendwa

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 2 месяца назад +1

    Maashaa Allah Jazaka Llahul khayr

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b 2 месяца назад +1

    Mansha allah ALLAH akulipe pepo amin

  • @mohammedhassan8922
    @mohammedhassan8922 2 месяца назад +3

    Mashaalah barakalahu fik

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs 2 месяца назад +3

    Maaashaaallah sheikh Wang Allah akuhifadhi

  • @mohammedhassan8922
    @mohammedhassan8922 2 месяца назад +3

    حفظك الله ورعاك يا شيخ

  • @MahmoudMohamed-yc6fr
    @MahmoudMohamed-yc6fr 2 месяца назад +3

    MASHAALLAH

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 2 месяца назад +1

    MAASHAA ALLAH shukran sheikh kipenzi chetu ALLAH akuhifadhi

  • @OmarSaid-nt2xd
    @OmarSaid-nt2xd 2 месяца назад +3

    Masha Allah barakallahu fik

  • @AshaSaid-gy2tg
    @AshaSaid-gy2tg 2 месяца назад +1

    Tuache majungu tusikilize maudhui

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 2 месяца назад +1

    Naskitishwa na maaduwi wa Dini na Da'wah hapa Zanzibar, kwa kuwazuia kufanya Da'wah watu muhimu kama huyu Shekh Muhammad Bachu!!!
    Serekali imewachukuwa wazushi na kuwapa mpini, wajinga ndio mashekhe wa kuzingatiwa, wenye elimu na juhudi yaa kuuamsha ummah, zuia, fyeka ndani, hakuna ruhusa ya kuzungumza chochote kuhusu Dini.
    Wahuni, walevi, wazinifu, washirikina, wazushi, waimbaji na wenye kutuharibia Dini na maadili wote hawa wako huru na wanafanya wanacho jiskia na wengine wamepewa vibali na kulindwa pia😢😢😢😢😢😢.
    Wallaahi zama mbaya sana hizi tulizo nazo, wakweli kufanywa waongo, hawafai kuzungumza, waongo ndio wakweli wazungumze wawezavyo na watakavyo!!!

  • @waladulikhlaas7870
    @waladulikhlaas7870 2 месяца назад +1

    مسجد ضرار .... لا تقم فيه أبدا

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 2 месяца назад +1

    Tuacheni kuchochea hata kiwa izudini alisema haina hajaa comment kusema hivi tutafuteni ya faidaa kama hayaa ndio muhimu

  • @abubakarbakari9372
    @abubakarbakari9372 2 месяца назад

    Sheikh bachu nadhani ulipata ujumbe kutoka kwa sheikh izudin

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 месяца назад +1

      Asa izudini ndo nani 😂😂 kusanyikeni nyote hamutamuweza huyo hizudini khurafi mkubwa yule umshindanishe ilmu na bachu masufi mnachekesha kweli bado maswali 19 mmeshindwa ya jibu tanga kutetea maulid

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 2 месяца назад

      Tafadhal mzijibu hoja 19 kwanza

    • @osmanmanbile9327
      @osmanmanbile9327 2 месяца назад

      Bachu athibitishe kwmba imamu barzanjii.ni muongo siku ya niqash ameona moto

    • @osmanmanbile9327
      @osmanmanbile9327 2 месяца назад

      Je mtu akitumia hathidhi daifu katika kitabu chake huitwa ni muongo jibu swli😂😂😂

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 месяца назад

      @@osmanmanbile9327 muongo ndy kwani barazanji akiwa muongo kuna Nini mtume tuu maneno yake yakwwli hasemi urongo we mimba ya mtume wakati unaingia yey mtunga barazanji hajazaliwa mtume mwenyewe mpk anakufa hajawahi adisia hiko kitu yeye kapata wapi katungatunga urongo tuuh kumpachika mtume basi