- Видео 256
- Просмотров 286 033
Yam Muhamed
Добавлен 1 мар 2016
Usikate tamaa na rehma za Mwenyezi Mungu kwani Mwenyezi Mungu anasemehe madhambi yote
Eid Mubaraka zawadi nono baada ya Ramadhani
Eid Mubaraka zawadi nono baada ya Ramadhani
Просмотров: 16
Видео
RamadhaniHadeeth 30/30Watu walio funga hupata furaha hizi
Просмотров 154 месяца назад
RamadhaniHadeeth 30/30Watu walio funga hupata furaha hizi
RamadhaniHadeeth 29/30Zakat al fitri kutowa ni lazima hivyo tusiizembee
Просмотров 264 месяца назад
RamadhaniHadeeth 29/30Zakat al fitri kutowa ni lazima hivyo tusiizembee
Ramadhani Hadeeth 26/30 mwanamke bora wa kuowa sifa zake ni zipi
Просмотров 164 месяца назад
Ramadhani Hadeeth 26/30 mwanamke bora wa kuowa sifa zake ni zipi
Ramadhani Hadeeth 28/30 kama mapenzi ni Rizqi je kila mtu atapewa Rizqi hii?
Просмотров 374 месяца назад
Ramadhani Hadeeth 28/30 kama mapenzi ni Rizqi je kila mtu atapewa Rizqi hii?
RamadhaniHadeeth 27/30 Mwanamme bora wakuowaAna sifa zipi
Просмотров 265 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 27/30 Mwanamme bora wakuowaAna sifa zipi
RamadhaniHadeeth 25/30Vijana tukimbilie ndoa tuache ujanja unja
Просмотров 175 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 25/30Vijana tukimbilie ndoa tuache ujanja unja
RamadhaniHadeeth 23/30Mtume alisema nini baada ya maswahaba wengi kuota kuwa laylatul Qadr ni 27
Просмотров 125 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 23/30Mtume alisema nini baada ya maswahaba wengi kuota kuwa laylatul Qadr ni 27
RamadhaniHadeeth 22/30 Tafuta laylatul Qadr Katika siku hizi(21) (23)(25)(27(29)
Просмотров 195 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 22/30 Tafuta laylatul Qadr Katika siku hizi(21) (23)(25)(27(29)
RamadhaniHadeeth 21/30Tunaomba nini katika usiku wa laylatul Qadr tukijaaliwa
Просмотров 555 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 21/30Tunaomba nini katika usiku wa laylatul Qadr tukijaaliwa
RamadhaniHadeeth 20/30kwanini offa hii tunapewa sana na Allah kila wakati
Просмотров 65 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 20/30kwanini offa hii tunapewa sana na Allah kila wakati
RamadhaniHadeeth 18/30Vipi tutarudisha iman iliyotutoka kwa madhambi yetu
Просмотров 65 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 18/30Vipi tutarudisha iman iliyotutoka kwa madhambi yetu
RamadhaniHadeeth 17/30Usiwe muanzilishi wa fitna Mana hatari yake ni kubwa
Просмотров 235 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 17/30Usiwe muanzilishi wa fitna Mana hatari yake ni kubwa
RamadhaniHadeeth 10/30Tufanyeje ili Kibri itutoke
Просмотров 125 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 10/30Tufanyeje ili Kibri itutoke
RamadhaniHadeeth 9/30Allah alimpa ibilisi nafasi ya pili amsamehe alifanya hivi
Просмотров 235 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 9/30Allah alimpa ibilisi nafasi ya pili amsamehe alifanya hivi
RamadhaniHadeeth 4/30Dua baada na qabla ya kufturu
Просмотров 265 месяцев назад
RamadhaniHadeeth 4/30Dua baada na qabla ya kufturu
leren bidden met ons broeders Akram en Ibrahim
Просмотров 968 месяцев назад
leren bidden met ons broeders Akram en Ibrahim
zawadi yangu kwa shekh muhammad bachu baada ya munaqasha akiwa na shekh said Allah awalipe kheri
Просмотров 9 тыс.11 месяцев назад
zawadi yangu kwa shekh muhammad bachu baada ya munaqasha akiwa na shekh said Allah awalipe kheri
mtoto wa bachu kam dharau mwalimu wake mbele za watu
Просмотров 3 тыс.Год назад
mtoto wa bachu kam dharau mwalimu wake mbele za watu
je unaweza kufunga mwaka mzima kama huwezi funga hizi siku 6 ndani ya shawal ( hadeeth Ya 30/30)
Просмотров 45Год назад
je unaweza kufunga mwaka mzima kama huwezi funga hizi siku 6 ndani ya shawal ( hadeeth Ya 30/30)
verhaal van profeet issa of jesus was hij gekruist
Просмотров 95Год назад
verhaal van profeet issa of jesus was hij gekruist
usibadilishe tabia yako nzuri kwa tabia mbaya ya mtu mwengine Tusameheyane
Просмотров 38Год назад
usibadilishe tabia yako nzuri kwa tabia mbaya ya mtu mwengine Tusameheyane
verhaal van Maryam moeder van profeet issa of jesus.. hoe is zij zwanger geworden verhaal nummer 17
Просмотров 69Год назад
verhaal van Maryam moeder van profeet issa of jesus.. hoe is zij zwanger geworden verhaal nummer 17
wie weet meer in juz amma ( Quran wedstrijd)
Просмотров 27Год назад
wie weet meer in juz amma ( Quran wedstrijd)
mtume alitoa qauli nzito juu ya mashoga akasema mara tatu... (Hadeeth Ya 27 /30)
Просмотров 184Год назад
mtume alitoa qauli nzito juu ya mashoga akasema mara tatu... (Hadeeth Ya 27 /30)
Mungu akujali leo kesho akupe pepo njema
Duu kumbe bado mmbaumia watuwabidaa mpaka leohii kweli nyundo imewaingia kichwani Bachu aliyowagonga😂😂
Kwani huyu anaumia kutokawapi simjiauanatafuta umaalufu povu linakutoka. Ebu tuachie shehewetu bachu.
Kaeni nae
Muamadi masharaa
Tumme kukosamuda
Mwarimuuyo mbonakimya
Mashallah Allah atuthibitishe
huyu nae sijui katoka wapi
Scwscw Scwscw Scwscw Allah
Yamdini
Swalallahu alaih wasalamu
Waalaykum salam warahmatullah wabarakat
Goed bezig wel heel ramadan vasten he
Jazakallah kheir
🤲🤲 Waiyaka❤️
Ww ujaahili umekujaa had umekutoa akili nenda kapimwe akili kwanza usijitafutie umaarufu kwa kupitia Mashekhe
Masha'allah
Dua akuombee Nani wew
Unataka umaarufu
Alhamdulillah huoni ata we wanijua ndo mwanzo uwo
Hamna kitu hapo
Napenda sana nipate masheikh niwasomeshe mana weng hawajasoma, na mimi sijasoma ila kwa masheikh hawa kina huyu, saidi, shafi nowasomeshe
Ww acha shobo izoo
Bas na ww itisha munaqasha
Ety huyu nae anamchalenji bachu😂😂😂😂
Fatilia nikiwa tzania
Hii krip hua inanipa nguvu kwa mapito ya haps omani
wew ostadh kushakua huna cha kufanya naongea mimi abuu ahmad anzinjibaar
Kwan kuna hadithi dhaifu au MUNKAR !!!?????
Jitahidi kusoma iko siku Allah atakujaalia utaijua hakki ila saa hizi bado kwanza tafuta elimu
Ameen ameen yaarabal allameen 🤲❤️
Sasa kama adithi tayar ni dhwaifu kwann tuendelee kuitumia
huyu ndiowle wanaotafuta umaarufu mitandaoni nenda kasome kwanza
Said jafar barzanji ni muongo na kitabu chake cha barzanji ni uongo kipindi wanyama wanaongea lugha fasaha alikuwepo ebu punguza kula mirungi utamuelewa vizuri Sheikh Mohammad Bachu
Uyu kijana wa kisufi anatapika nini Wewe ume zizima kwa usufi na bidah
MaSh!allah assalamualykum iptisam jij jamdini
Kasome kwanza umalize Acha ujinga
Sawa
Unaona Allah kamdhalilisha kwa sababu wewe unatetea gitaa hv kweli ?
usipende kuongea mitandaoni kama haujaelewa kinachojadiliwa kijana unajidhalilisha kwa wenye akili.
Allah akuongoze unatafuta umaarufu ushauoara
Jibu cumeltaja mwenyewe apo big up sana mwalimu nataka nije kusoma kwako
Amiiin
Nyamazeni bhna nyie hamja hoja w2 wamaulidi bhnaaaaaaaaa sijui ata mukoje ah
Maliza kusoma kwanza alafu ndo umtafute Bhachu kakangu
Mmekula bakora za mtoto wa bachu bado mnaweweseka tu 😂fimbo zimewakolea sasa mnaongea upuuzi mipasho mafumbo kaimbe taarabu jomba hatukuelewi 🤣🤣
SHEKH BACHU TUKO NA WEWE UMEUFUMBUA UMMA WA KIISLAM KUHUSU UZUSHI WA MAULID
Endeleeni na upuuzi wenu wa kuitetea bidaa!
Wewe huna jipya mbali na kubabaisha tu badala ya kuitetea bidaa ya Maulid....Nyie tumieni nguvu kubwaa kupotosha lakini Sisi tumeshajua Ukweli kwamba MAULIDI NI BIDAA...HAIPO KTK DINI
Mashaallah mashaallah
ww usishindane shekhe taka kujua nikwamba hio khadithi haipo ktk dini
Huyu anaonesha hasa km anapenda kuhongwa ili apotoshe Jamii.shekh ubwabwa
Hhhhh hawa jamaa akili zao c barabbara yani nyie hao mnaowambia wasisome maulid ndio kwanza raha mustarehe na habari hawpati ndio wanzidi kumsalia mtume.
Wewe jibu walau nukta moja tu.wanyama wadudu wote samaki naviumbe vingine vyote ilipo tunga mimba ya mtume viumbe vyooooote vilipeana khabari kuwa mimba ya mtume imeingia je hayo niyakweli?jibu walau hilo tu
Wewe jibu walau nukta moja tu.wanyama wadudu wote samaki naviumbe vingine vyote ilipo tunga mimba ya mtume viumbe vyooooote vilipeana khabari kuwa mimba ya mtume imeingia je hayo niyakweli?jibu walau hilo tu